RC HAPI KAMVAA HAKIMU ALIODAIWA KUCHUKUA RUSHWA YA MIL 2

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 03. 2019

Komentáře • 169

  • @aishaaisha5466
    @aishaaisha5466 Před rokem +3

    Hakhija ww unafanya kazi zuri Sana tunamkumbuka Sana magufuri kweli ww kiongozi Bora unatetea wanyonge mungu aibariki kazi yako aminaaaa🙏🙏🙏🙏🤝🛩️

  • @user-qc5ye7xc1q
    @user-qc5ye7xc1q Před měsícem +1

    Saf sana viongozi waziri japo wengi bado miyeyusho hongoren kimsingi wewe na makonda mna nikosha sana uyendaji wenu Mungu awabariki

  • @mbokaandbahatitv8509
    @mbokaandbahatitv8509 Před 5 lety +8

    Napaswa kukushukuru mkuu wa mkoa
    Ahsante sana kwa kazi njema na uadilifu

  • @jumasaid6073
    @jumasaid6073 Před 5 lety +7

    Viongoz wa aina hii huwa nawapenda sana,naamini ni warithi wazuri wa Mhe. Rais Magufuli,Mungu ibariki Tanzania ,Mungu wabariki Viongoz wetu,Amina!!🙏🙏🙏🙏

  • @teddymwageni1763
    @teddymwageni1763 Před 4 lety +2

    Hapi ubarikiwe na mama aliyekuzaa Kwa kweli unaguswa saaana na haki za wanyonge.Mungu akupe maisha marefu aki

  • @joeljames8420
    @joeljames8420 Před 5 lety +4

    Unafaa kuwa Rais baada ya Rais Wetu kukamilisha miaka kumi. Hongera sana kazi zako zaonekana .

  • @EK-kp2np
    @EK-kp2np Před 5 lety +4

    Asante mheshimiwa, unatenda haki daima, 🙏🏼Mungu azidi kukusimamia

  • @mcmwamba8152
    @mcmwamba8152 Před 5 lety +7

    Your my role model!! Don't give up my brother, my comrade!!
    Kidumu chama cha mapinduzi

  • @jumamohamedi8388
    @jumamohamedi8388 Před 5 lety +23

    Wakuu wamikoa nnao wakubalii.. Makonda, Hapi, Mwanly na Gambo kdgo

    • @mariaferick7381
      @mariaferick7381 Před 4 lety +1

      Juma Mohamedi usimfananishe alhap na makonda yule makonda sifuritu

  • @agneskadzo6105
    @agneskadzo6105 Před 5 lety +4

    Good work RC Hapi.. Mtetezi wa wanyonge Mungu akulinde kila pembe za kona in Jesus Name

  • @charleskimathi3050
    @charleskimathi3050 Před 4 lety +6

    Namvulia Kofia RC Happi.... Huyu anafaa kumrithi Magufuli.... Wish this was happening in my country, Kenya

  • @johnnjogundegwa9799
    @johnnjogundegwa9799 Před 5 lety +8

    Thanks alot PC Hapi the ever energetic man of people, may God be with you as go about performing your duties.
    How i wish my country can go that way, Wengi wamepoteza MALI YAO na watu yao pia hapa.
    People loosing hope for the time cases are taking.Its not in vain sir.. SERVICE TO PEOPLE IS SERVICE TO GOD all the best.

  • @anatorydesdery4654
    @anatorydesdery4654 Před 5 lety +26

    Serikali hii ipo vizuri, MUNGU walinde na uwabariki viongozi wenye nia njema kwa wananchi

  • @wahidawahida6675
    @wahidawahida6675 Před 5 lety +2

    Mheshimiwa natamani ungekuwa mkuu wa mkoa wa dar es salaam kazi ya yako inafanyika vzur sana

  • @davidluwondo4753
    @davidluwondo4753 Před 5 lety +7

    Godbless your honour RC Ally Hapi for that litigation.

  • @christianchando7041
    @christianchando7041 Před 5 lety +21

    Asante sana Mheshimiwa Ally Hapi. Kazi unayofanya ni njema. MIMI NAKUPENDA BURE

  • @furahalunyungu936
    @furahalunyungu936 Před 5 lety +2

    Mungu akulinde MKuu wa mkoa!!!!

  • @saidabdul8547
    @saidabdul8547 Před 4 lety

    Safi mkuu ....nzuri Sana kuwa na wanajamii karibu na kuwasikiliza .....piga kazi lets people talk behind lakin ucjali

  • @bintmussa1519
    @bintmussa1519 Před 5 lety +2

    Kazi mzur sana hapi penda bure mungu akurinde inshallah

  • @idrisahussein3869
    @idrisahussein3869 Před 5 lety +1

    Hawa ndiyo vijana niwatakao mimi,hakuna kuleana hapa.Tokeni maofisini nendeni kwa wananchi mkaone madudu ya nchi hii,pamoja sana.

  • @angeluslijuja2413
    @angeluslijuja2413 Před 5 lety +10

    Mh kunalushwa kubwa sana mahakamani mimi mwenyewe kesi yangu ya kubomolewa nyumba waliimaliza hivihivi bira ata kuniita mimi kama shaidi wa kwanza na wakaifuta ikabidi nitumia njia mbadara tu upande wa pili tu nakweli walio usika chomoto wanakiona kuanzia uzao waio na kazi zao nabiashara zao wameyapata majibu ya matokeo yao waliyoyafanya

    • @munguhashindwijambo2681
      @munguhashindwijambo2681 Před 5 lety

      Mkuu hiyo fomula yako noma duuu

    • @frankjohn8570
      @frankjohn8570 Před 5 lety

      Angelus Lijuja rushwa zipo maeneo mengi za wazi kama barabarani ndo imezoeleka hadi inaitwa kiwi na maji ya kunywa,kwanini dereva tu atoe siku zingine na trafiki wawape madereva Maji ya kunywa mana wote wana mshahara vp huyu achukue pesa kwa dereva tu

  • @gracemwanjabala8073
    @gracemwanjabala8073 Před 5 lety +5

    hapii nakupendaaa bure mungu akulinde

  • @user-rr8cw8yl5o
    @user-rr8cw8yl5o Před měsícem

    Ali allah akupe nguvu na subra ktk ufanyaji wako wa kazi

  • @serianjamal8254
    @serianjamal8254 Před 5 lety +1

    Mimi niko uingereza naishi huku, hakuna hata siku moja sijaangalia kazi zako mkuu muheshimiwa Ally Hapi wewe ni mwisho wa matatizo.Mungu akuongoze zaidi

  • @adrianomsungu7649
    @adrianomsungu7649 Před 5 lety +2

    Umejieleza vizuri Sana baba angu

  • @shukuruilomo768
    @shukuruilomo768 Před 5 lety

    Sina lakusema mkuu hongera sana kwa kazi njema.

  • @ugulumsaid2850
    @ugulumsaid2850 Před 5 lety +2

    Good mh

  • @jailomhengilolo2898
    @jailomhengilolo2898 Před 5 lety

    Hongera sana mh Ally hapi kwa kazi hii🤝

  • @rahmahersi6584
    @rahmahersi6584 Před rokem

    WELL DONE KWA
    KAZI NZURI....

  • @boazsebastian358
    @boazsebastian358 Před 5 lety

    Safi sana bro mungu akulinde kazi nzuri unafanya

  • @rizbfighter8574
    @rizbfighter8574 Před 5 lety

    Saf sana mh.hapi kazi nzuri sana nimependa sana jinsi unavyofanya kazi

  • @rutakihama7599
    @rutakihama7599 Před 5 lety +2

    Daaaah safi sana

  • @bujashidaniel5537
    @bujashidaniel5537 Před 2 lety +1

    Huyu jamaa anajua kujieleza sana

  • @paulopatrice2590
    @paulopatrice2590 Před 2 lety

    Kwa utendaji wako wa kazi unafaa kuchaguliwa nafasi ya urasi hongera sn mkuu.

  • @rajabismail8921
    @rajabismail8921 Před 5 lety

    Mkuuwamkowa huyu mungu ambariki maishamarefupia

  • @alfanselemani1750
    @alfanselemani1750 Před 5 lety

    Big ap all hapi
    Lushwa adui wa haki
    Takukulu nao watakula rushwa kwa hakim ndio shida fanyakazi hapi mungu atakusaidia

  • @filbertatutokusaushujaawaf3420

    RS mungu akujalie nakz zako

  • @yassinsalum1864
    @yassinsalum1864 Před 2 lety

    Napoziona Crip za mkuu Happ roho inaniuma mama amemfuta kazi kwa kosagani huyu mama hafai kuwa kiogozi

  • @rehemakimei2588
    @rehemakimei2588 Před 5 lety

    Hapi kama jina lako hapii nakuelewa kaka

  • @abdallahgosso3029
    @abdallahgosso3029 Před 5 lety

    Kaka hapi nakukubali sana kazi yako nakukubali sana

  • @magdalenakidumbuyo1505

    Hongera muheshimiwa Ali Hapi

  • @evamdula9699
    @evamdula9699 Před 5 lety +1

    mungu akupe maisha malefu, uendelee kutetea watu

  • @mikenaluyaga3181
    @mikenaluyaga3181 Před 5 lety +5

    Saf Sana mh Hapi mm hapo nimekukubal asilimia zote!

  • @paschalvenance1833
    @paschalvenance1833 Před 5 lety

    Wasio kuunga mkono ni wanafiki kazi ya mtawala toka enzi nikutatua matatizo ya watu,MKUU endelea na kazi yako Mwenyezi Mungu atakulipa.

  • @amaninyekele5002
    @amaninyekele5002 Před 2 lety

    RC alifanya vzuri sana.

  • @ramadhanijumanne94
    @ramadhanijumanne94 Před 5 lety

    kaka nakukubali sana happy.asante

  • @winnyandrea555
    @winnyandrea555 Před 5 lety +1

    maisha marefu mwako Rc

  • @desouzatv6923
    @desouzatv6923 Před 5 lety

    safi sana RC

  • @KassimJabu
    @KassimJabu Před měsícem

    Watu wanateswa sana nawenye vyeo

  • @amrimalumbo1712
    @amrimalumbo1712 Před 5 lety

    Baba Khapi wew nomaaaaaaa piga kazi ww ndo Makonda mdogo

  • @gaganog7299
    @gaganog7299 Před 5 lety

    Big up sana mheshimiwa

  • @abuuchaula6961
    @abuuchaula6961 Před 5 lety

    Mungu akulinde hapi unafanyakazi nzur napenda uwe kwenye mkoa Wang barikiwa sana

  • @faridaabdallah7620
    @faridaabdallah7620 Před 5 lety +2

    Asante sana mkuuwamkowa

  • @mwanahalimamwachili9679

    Swadaktaaaaa sana Muheshimiwa.

  • @alexanderson1805
    @alexanderson1805 Před 5 lety +18

    Yani mda mwingne unatamani Hadi mtu awe kiongzi kwako tu

  • @salehjuma9354
    @salehjuma9354 Před 5 lety +4

    Uwezi kujua kama kunatatizo

  • @dachjunior4766
    @dachjunior4766 Před 5 lety +3

    Huyu mtumishi (mchungaji) apewe ULINZI maana UWAZI wake wamtia katika HALI YA HATARI

  • @rosezumba6318
    @rosezumba6318 Před 5 lety

    Pole sana

  • @dickndalu8879
    @dickndalu8879 Před 5 lety +1

    Good

  • @husseinchiaseeds2653
    @husseinchiaseeds2653 Před 5 lety

    Nakuelewa Sana mh.hapi

  • @charlesemmanuel9434
    @charlesemmanuel9434 Před 5 lety

    Naomba mungu huyu RC ahamishiwe dar wa dar atafutiwe kazi nyingine

  • @francisshetui330
    @francisshetui330 Před 5 lety +6

    Fupishafupishaa watu niwengii sanaaaaaaa tupatee majibu ya mheshimiwaa.

  • @mazeras1
    @mazeras1 Před 4 lety

    Huyu jamaa Hapi anaweza kuwa rais mzuri sana.

  • @amrimalumbo1712
    @amrimalumbo1712 Před 5 lety

    Baba Khapi Respect kiongoz

  • @mkkomodo8181
    @mkkomodo8181 Před 5 lety

    hapi big up bro

  • @agneserasto9806
    @agneserasto9806 Před 5 lety

    Mkuu wa mkoa ata mahakama xa mwanzo mwanza wanakula rushwa sana wanakwenda kuzihombea kwenyebaa wanataka waanze kupewa pombe kwanza na pesa zifwate tena muhedhimiwa anasema hutanipa ngapi nikufanyie hii kazi

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 Před 5 měsíci

    Wanaopokea Rushwa waachichwe Kazi na si Mahakamani

  • @gideonkalumbu5220
    @gideonkalumbu5220 Před 4 lety

    Sio kila raia ni wa kuonea nyakati hizi maana tumeshasomesha vijana wetu kwasasa,msituhumize jamani.

  • @rayaqme6935
    @rayaqme6935 Před 5 lety +2

    Jaman kwakweli hii kesi imenigusa maana kwa yanayotusibu ni mengi maana ninandugu yangu kazurumiwa na kusingiziwa kwa sababu ya hizi rushwa ndugu yangu kauziwa baadhi ya mali zake ndio hizo hizo zinatolewa lushwa kwakweli inauma sana

  • @bugybuster5788
    @bugybuster5788 Před rokem

    Viongozi km hawa hawadum ila ally hapi yuk vzr

  • @neyf8459
    @neyf8459 Před 5 lety

    takukuru sio msaada kabisa mi nimewai enda kushitaki wakaongea na akimu wakayamaliza wanapokea rushwa kama kawa siji kujichosha wanalindana sana

  • @jacklinemichael9462
    @jacklinemichael9462 Před 5 lety

    kwakwel HAPI duuuh wanyooshe tena inabidi wa dar atafutiwe kazi nyingine ukuje uku utunyoosheeee

  • @natyvan4071
    @natyvan4071 Před 5 lety

    Ally api namkubali sana

  • @mocomoco1836
    @mocomoco1836 Před 5 lety

    Upo sawa Api

  • @hussenkhamis3615
    @hussenkhamis3615 Před 4 lety

    Hakiamungu milard ayo huyu jamaa ukiwepo Zanzibar bs mikoa itanuka usaha kwa majipu tuu

  • @lukandotv8101
    @lukandotv8101 Před 4 lety

    Smtym police n sehem salama kuliko takukuru,Takukuru kuna shida mnoo!
    Hapo wanasemwa takukuru iringa,ila wapo takukuru wabovu ambao wanatia mashaka kule kigoma.

  • @NkoitoLaoi-mj3ud
    @NkoitoLaoi-mj3ud Před 4 měsíci

    Hi

  • @aminaosman3315
    @aminaosman3315 Před měsícem

    ,mahakama NI tatizo kwa wanyon😢😢😢😢😢😢😮😮😮😢😢

  • @mohdsalum3832
    @mohdsalum3832 Před 5 lety

    Safi

  • @bonfacelitwaka9666
    @bonfacelitwaka9666 Před 3 lety

    Hatuna kama we we huku kenya

  • @SamuelMatalu
    @SamuelMatalu Před 9 měsíci

    Utamtoaje serikalini kama huyu, kama sio kama upuuzi ni nini?

  • @mpenzisamaki9488
    @mpenzisamaki9488 Před 2 lety

    Hapi pmj na yote utabaki kuwa mkuu wa mkoa pendwa wa miaka yote mwamba

  • @kelvinbatista1142
    @kelvinbatista1142 Před 4 lety

    Naiona iringa yangu mpya

  • @albertoarcangel5859
    @albertoarcangel5859 Před 5 lety

    Mpokea rushwa na mtoajirushwa, wanawanyima haki wanyonge, wabananishwe wawe mfano kwa wengine wenye tabia kaa hiyo

  • @andrewmfinde8978
    @andrewmfinde8978 Před 4 lety

    Nc

  • @bahatisanga8664
    @bahatisanga8664 Před rokem

    2022 Mambo yamebadilika jamaan

  • @bonfacelitwaka9666
    @bonfacelitwaka9666 Před 3 lety

    Wewe unatosha kwenye kiatu cha JPM

  • @herrymathias2997
    @herrymathias2997 Před rokem

    Duuuuhh😰

  • @alfamvula1079
    @alfamvula1079 Před 4 lety

    nahitají nioné taafa yà habari TBC

  • @priscadaniel7
    @priscadaniel7 Před 3 lety

    Hatari

  • @petermboje5839
    @petermboje5839 Před 2 lety

    Mh hapi waache uombe ubunge kwenu uache hizi kazi za kinafiki ww ni kiongozi bora

  • @awalimunishi
    @awalimunishi Před 5 lety

    Mungu akubariki mkuu wa mkoa wewe una sifa ya kuitwa kiongozi

  • @tithomwamengo6571
    @tithomwamengo6571 Před 2 měsíci

    Police walifanya kaziyao kwa weredi

  • @pirminmatumizi5464
    @pirminmatumizi5464 Před 2 lety

    Huyu mtoto kwa nini ameenguliwa uRC?

  • @RamazaniMulongeca
    @RamazaniMulongeca Před 5 lety

    Eti #KangiLugola Anamuita #MhLISU arudi TZ kufatilia kesi yake. Kah???

  • @pendokimaro5394
    @pendokimaro5394 Před 5 lety

    dah % kubwa ya migogoro ya watanzania n ardhi ambayo inatufukia kwnn dhuluma itutawale?

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd Před 3 měsíci

    yote haya kayaleta magufuli nchi ilinyooka ila bx bn

  • @jamesmagere4562
    @jamesmagere4562 Před 5 lety

    Mwendesha mashtaka wa hiyo kesi ni nani, polisi au mwanasheria wa serikali....?

  • @musatv9456
    @musatv9456 Před 4 lety

    Hatariii

  • @MambaAfrica
    @MambaAfrica Před 5 lety

    Weka hao wote ndani.