Viongoz wa aina hii huwa nawapenda sana,naamini ni warithi wazuri wa Mhe. Rais Magufuli,Mungu ibariki Tanzania ,Mungu wabariki Viongoz wetu,Amina!!🙏🙏🙏🙏
Thanks alot PC Hapi the ever energetic man of people, may God be with you as go about performing your duties. How i wish my country can go that way, Wengi wamepoteza MALI YAO na watu yao pia hapa. People loosing hope for the time cases are taking.Its not in vain sir.. SERVICE TO PEOPLE IS SERVICE TO GOD all the best.
Mh kunalushwa kubwa sana mahakamani mimi mwenyewe kesi yangu ya kubomolewa nyumba waliimaliza hivihivi bira ata kuniita mimi kama shaidi wa kwanza na wakaifuta ikabidi nitumia njia mbadara tu upande wa pili tu nakweli walio usika chomoto wanakiona kuanzia uzao waio na kazi zao nabiashara zao wameyapata majibu ya matokeo yao waliyoyafanya
Angelus Lijuja rushwa zipo maeneo mengi za wazi kama barabarani ndo imezoeleka hadi inaitwa kiwi na maji ya kunywa,kwanini dereva tu atoe siku zingine na trafiki wawape madereva Maji ya kunywa mana wote wana mshahara vp huyu achukue pesa kwa dereva tu
Mimi niko uingereza naishi huku, hakuna hata siku moja sijaangalia kazi zako mkuu muheshimiwa Ally Hapi wewe ni mwisho wa matatizo.Mungu akuongoze zaidi
Mkuu wa mkoa ata mahakama xa mwanzo mwanza wanakula rushwa sana wanakwenda kuzihombea kwenyebaa wanataka waanze kupewa pombe kwanza na pesa zifwate tena muhedhimiwa anasema hutanipa ngapi nikufanyie hii kazi
Jaman kwakweli hii kesi imenigusa maana kwa yanayotusibu ni mengi maana ninandugu yangu kazurumiwa na kusingiziwa kwa sababu ya hizi rushwa ndugu yangu kauziwa baadhi ya mali zake ndio hizo hizo zinatolewa lushwa kwakweli inauma sana
Smtym police n sehem salama kuliko takukuru,Takukuru kuna shida mnoo! Hapo wanasemwa takukuru iringa,ila wapo takukuru wabovu ambao wanatia mashaka kule kigoma.
Hakhija ww unafanya kazi zuri Sana tunamkumbuka Sana magufuri kweli ww kiongozi Bora unatetea wanyonge mungu aibariki kazi yako aminaaaa🙏🙏🙏🙏🤝🛩️
Saf sana viongozi waziri japo wengi bado miyeyusho hongoren kimsingi wewe na makonda mna nikosha sana uyendaji wenu Mungu awabariki
Napaswa kukushukuru mkuu wa mkoa
Ahsante sana kwa kazi njema na uadilifu
Viongoz wa aina hii huwa nawapenda sana,naamini ni warithi wazuri wa Mhe. Rais Magufuli,Mungu ibariki Tanzania ,Mungu wabariki Viongoz wetu,Amina!!🙏🙏🙏🙏
Tz bhna kasha fukuzwa now da
Hapi ubarikiwe na mama aliyekuzaa Kwa kweli unaguswa saaana na haki za wanyonge.Mungu akupe maisha marefu aki
Unafaa kuwa Rais baada ya Rais Wetu kukamilisha miaka kumi. Hongera sana kazi zako zaonekana .
Asante mheshimiwa, unatenda haki daima, 🙏🏼Mungu azidi kukusimamia
Your my role model!! Don't give up my brother, my comrade!!
Kidumu chama cha mapinduzi
RAPHAEL MWAMBAMBE kidumu chama tawala
Mungu akubarik MKUU wamkoa tunaomba wakuu Wa mikoa wengine muige mfano huu
Wakuu wamikoa nnao wakubalii.. Makonda, Hapi, Mwanly na Gambo kdgo
Juma Mohamedi usimfananishe alhap na makonda yule makonda sifuritu
Good work RC Hapi.. Mtetezi wa wanyonge Mungu akulinde kila pembe za kona in Jesus Name
Namvulia Kofia RC Happi.... Huyu anafaa kumrithi Magufuli.... Wish this was happening in my country, Kenya
Thanks alot PC Hapi the ever energetic man of people, may God be with you as go about performing your duties.
How i wish my country can go that way, Wengi wamepoteza MALI YAO na watu yao pia hapa.
People loosing hope for the time cases are taking.Its not in vain sir.. SERVICE TO PEOPLE IS SERVICE TO GOD all the best.
Serikali hii ipo vizuri, MUNGU walinde na uwabariki viongozi wenye nia njema kwa wananchi
tunaomba tupate mawasiliano yako mkuu wa mkoa ally happy
Unsafe Mkuu
Unafaa Mkuu
Mheshimiwa natamani ungekuwa mkuu wa mkoa wa dar es salaam kazi ya yako inafanyika vzur sana
Godbless your honour RC Ally Hapi for that litigation.
Asante sana Mheshimiwa Ally Hapi. Kazi unayofanya ni njema. MIMI NAKUPENDA BURE
Nandi
CHRISTIAN CHANDO mheshimiwa uko sawa kabisa
Mungu akulinde MKuu wa mkoa!!!!
Safi mkuu ....nzuri Sana kuwa na wanajamii karibu na kuwasikiliza .....piga kazi lets people talk behind lakin ucjali
Kazi mzur sana hapi penda bure mungu akurinde inshallah
Hawa ndiyo vijana niwatakao mimi,hakuna kuleana hapa.Tokeni maofisini nendeni kwa wananchi mkaone madudu ya nchi hii,pamoja sana.
Mh kunalushwa kubwa sana mahakamani mimi mwenyewe kesi yangu ya kubomolewa nyumba waliimaliza hivihivi bira ata kuniita mimi kama shaidi wa kwanza na wakaifuta ikabidi nitumia njia mbadara tu upande wa pili tu nakweli walio usika chomoto wanakiona kuanzia uzao waio na kazi zao nabiashara zao wameyapata majibu ya matokeo yao waliyoyafanya
Mkuu hiyo fomula yako noma duuu
Angelus Lijuja rushwa zipo maeneo mengi za wazi kama barabarani ndo imezoeleka hadi inaitwa kiwi na maji ya kunywa,kwanini dereva tu atoe siku zingine na trafiki wawape madereva Maji ya kunywa mana wote wana mshahara vp huyu achukue pesa kwa dereva tu
hapii nakupendaaa bure mungu akulinde
RC hap Ungekuwa mkowa wa rukwa kiukweli tungenufaika xana
Ali allah akupe nguvu na subra ktk ufanyaji wako wa kazi
Mimi niko uingereza naishi huku, hakuna hata siku moja sijaangalia kazi zako mkuu muheshimiwa Ally Hapi wewe ni mwisho wa matatizo.Mungu akuongoze zaidi
Contacts no plz
ameeen
Umejieleza vizuri Sana baba angu
Sina lakusema mkuu hongera sana kwa kazi njema.
Good mh
Hongera sana mh Ally hapi kwa kazi hii🤝
WELL DONE KWA
KAZI NZURI....
Safi sana bro mungu akulinde kazi nzuri unafanya
Saf sana mh.hapi kazi nzuri sana nimependa sana jinsi unavyofanya kazi
Daaaah safi sana
Huyu jamaa anajua kujieleza sana
Kwa utendaji wako wa kazi unafaa kuchaguliwa nafasi ya urasi hongera sn mkuu.
Mkuuwamkowa huyu mungu ambariki maishamarefupia
Big ap all hapi
Lushwa adui wa haki
Takukulu nao watakula rushwa kwa hakim ndio shida fanyakazi hapi mungu atakusaidia
RS mungu akujalie nakz zako
Napoziona Crip za mkuu Happ roho inaniuma mama amemfuta kazi kwa kosagani huyu mama hafai kuwa kiogozi
Hapi kama jina lako hapii nakuelewa kaka
Kaka hapi nakukubali sana kazi yako nakukubali sana
Hongera muheshimiwa Ali Hapi
mungu akupe maisha malefu, uendelee kutetea watu
Saf Sana mh Hapi mm hapo nimekukubal asilimia zote!
Wasio kuunga mkono ni wanafiki kazi ya mtawala toka enzi nikutatua matatizo ya watu,MKUU endelea na kazi yako Mwenyezi Mungu atakulipa.
RC alifanya vzuri sana.
kaka nakukubali sana happy.asante
maisha marefu mwako Rc
safi sana RC
Watu wanateswa sana nawenye vyeo
Baba Khapi wew nomaaaaaaa piga kazi ww ndo Makonda mdogo
Big up sana mheshimiwa
Mungu akulinde hapi unafanyakazi nzur napenda uwe kwenye mkoa Wang barikiwa sana
Good
Asante sana mkuuwamkowa
Sio mkowa ni mkoa
Swadaktaaaaa sana Muheshimiwa.
Yani mda mwingne unatamani Hadi mtu awe kiongzi kwako tu
Hujakosea kabisa
Kwel uongozi ni kipawa
@@alexanderson1805 ila kila siku najiuliza sijawai kupata majibu hiv mtu mpk unamkata manga hiv unakuwa kwenye mud gn
Nikuombe uchape kaz najua mh utasemwa lakin Fanya kaz
O
Uwezi kujua kama kunatatizo
Huyu mtumishi (mchungaji) apewe ULINZI maana UWAZI wake wamtia katika HALI YA HATARI
Hakimu kapewa rushwa
Pole sana
Good
Nakuelewa Sana mh.hapi
Naomba mungu huyu RC ahamishiwe dar wa dar atafutiwe kazi nyingine
Fupishafupishaa watu niwengii sanaaaaaaa tupatee majibu ya mheshimiwaa.
Huyu jamaa Hapi anaweza kuwa rais mzuri sana.
Baba Khapi Respect kiongoz
hapi big up bro
Mkuu wa mkoa ata mahakama xa mwanzo mwanza wanakula rushwa sana wanakwenda kuzihombea kwenyebaa wanataka waanze kupewa pombe kwanza na pesa zifwate tena muhedhimiwa anasema hutanipa ngapi nikufanyie hii kazi
Wanaopokea Rushwa waachichwe Kazi na si Mahakamani
Sio kila raia ni wa kuonea nyakati hizi maana tumeshasomesha vijana wetu kwasasa,msituhumize jamani.
Jaman kwakweli hii kesi imenigusa maana kwa yanayotusibu ni mengi maana ninandugu yangu kazurumiwa na kusingiziwa kwa sababu ya hizi rushwa ndugu yangu kauziwa baadhi ya mali zake ndio hizo hizo zinatolewa lushwa kwakweli inauma sana
Viongozi km hawa hawadum ila ally hapi yuk vzr
takukuru sio msaada kabisa mi nimewai enda kushitaki wakaongea na akimu wakayamaliza wanapokea rushwa kama kawa siji kujichosha wanalindana sana
kwakwel HAPI duuuh wanyooshe tena inabidi wa dar atafutiwe kazi nyingine ukuje uku utunyoosheeee
Ally api namkubali sana
Upo sawa Api
nyie ndio viongozi
Hakiamungu milard ayo huyu jamaa ukiwepo Zanzibar bs mikoa itanuka usaha kwa majipu tuu
Smtym police n sehem salama kuliko takukuru,Takukuru kuna shida mnoo!
Hapo wanasemwa takukuru iringa,ila wapo takukuru wabovu ambao wanatia mashaka kule kigoma.
Hi
,mahakama NI tatizo kwa wanyon😢😢😢😢😢😢😮😮😮😢😢
Safi
Hatuna kama we we huku kenya
Utamtoaje serikalini kama huyu, kama sio kama upuuzi ni nini?
Hapi pmj na yote utabaki kuwa mkuu wa mkoa pendwa wa miaka yote mwamba
Naiona iringa yangu mpya
Mpokea rushwa na mtoajirushwa, wanawanyima haki wanyonge, wabananishwe wawe mfano kwa wengine wenye tabia kaa hiyo
Nc
2022 Mambo yamebadilika jamaan
Wewe unatosha kwenye kiatu cha JPM
Duuuuhh😰
nahitají nioné taafa yà habari TBC
Hatari
Mh hapi waache uombe ubunge kwenu uache hizi kazi za kinafiki ww ni kiongozi bora
Mungu akubariki mkuu wa mkoa wewe una sifa ya kuitwa kiongozi
Police walifanya kaziyao kwa weredi
Huyu mtoto kwa nini ameenguliwa uRC?
Eti #KangiLugola Anamuita #MhLISU arudi TZ kufatilia kesi yake. Kah???
dah % kubwa ya migogoro ya watanzania n ardhi ambayo inatufukia kwnn dhuluma itutawale?
yote haya kayaleta magufuli nchi ilinyooka ila bx bn
Mwendesha mashtaka wa hiyo kesi ni nani, polisi au mwanasheria wa serikali....?
Hatariii
Weka hao wote ndani.