Nikiwa namuangali Mh, Hapi Akiwa anatekeleza majukumu yake ya kuwasaidia wanyonge nahisi niko paradiso yaani, Hongera sana M/ mungu akupe maisha marefu tuendelee kunufaika na kipawa alichokujaria M/ mungu.
Allah akujaalie mkuu. Hizi Bank majanga,wanauza kwa ku deal na brokers na kuna list ya vibopa maarufu kwa kutengeneza deal za kuuza na kuuzia watu maalum ambao na wao huuza. Nasubiria Makonda afuate mkondo nikalitibue na mie.
Zainabu Ahmed mim nilikopa finca nikajitahidi kulipa ikabaki shilling lakin na nusu eneo langu la biashara likawa limebomolewa nikawaita finca wakaona nikaenda kwa menega kumuomba wasiniongezee riba niweze lipa lile deni wanipe miez miwi uwiiiiii nilipigwa riba ambayo nilihisi kuchanganyikiwa deni la 150,000 likazaa milion moja hapohapo wakataka kuja kupiga mnada vitu vyangu wakati haviko kwenye zamana
@@janesuma2193 Hizi taasisi zinwapigaji kibao nyuma ya Pazia Ktk Bank ambazo ni Rafiki basi Amana Bank. Ukikwama wanakupa njia na sio kukomoa. Hii kazi ya issues za Bank mkuu huyu awe mfano kwenu BOT mliolala, Raisi kawatembelea BOT ila nyie hamtaki kutembelea wananchi wakawapa majanga ya hizi taasisi za fedha,tunajua mna yenu nyuma ya pazia ila kwa Mungu hakuna kubwa
Mwenyezi mungu ndio mjuzi wa malipo kwako kwautendaji wako wa kazi mzuri na utetezi wako wa hali na mali kwa wanyonge. Mungu akulipe pepo Allahumma Amiin.zaidi ya hili sijaona la kukuombea.
Hongera nchi yangu Tanzania,hakika unanukia vzuri.Hongera sana! sana!! Kiongozi,Mungu wa mbinguni akupe maisha marefu na yawe mema siku zote na akuinue na kukuweka mahali pa wafalme
usione wembam na wa reli gari Moshi hupita,mkuu wa mkoo mdogo kimwili lakini amekomaa kiakili,ungekuwa Kenya bwana mdogo tungepata nafuu baba,Kenya wezi ajabu.congrats men
Kusema kweli Mh ALI HAPI uko vizuri sana kikazi zaidi kaka big up na wewe ni mfano wa kuigwa,kwa maana hiyo MH MAGUFULI hujakosea kabisa kumteua huyu kijana hongera sana mkuu
Kwa hili baba wallah hata mungu yupo pamoja na wewe na inshallah atakulindaa...watu wananenepa na kungaa kwa fedha za wenzao tena maskinii...Allah akulindee...
Ongera sana Allya Ape kwa ma'mzi mazuri uliyo yafanya ivi-ndivo viongozi wanapaswa kufanya juu ya Aki ya mwananchi binadamu Acheni zuruma fanyeni uwadirifu katika kazi zenu
This government is the best if it would be in Europe or america the world could appreciate I wish Tanzanians and Africans become the fans to this gvnt and learn something
Hak ya Mungu sijui n nani atakomboa wanyonge Kenya Mungu sikia kilio chetu..ndio maana sipend mambo ya mikopo heri nijenge miaka kumi..mawakili n wafanyikaz wa benk waiz kaa nn.
I came across this clip in 2021 August..I can authotorively say this RC is Late Magafuli reincarnated.kumbe Tanzania hajaishiwa na magafuli?! Kudos from Kenya
Yani hao wamezingua bila chenga coz sheria ya Ardhi na 4 ya mwaka 1999 ina sema " mkopo wowote unao hitaji rehani ya rasilimali zisizo hamishika ambayo ni Nyumba au kiwanja kilicho endelezwa na pia hati miliki ya kiwanja au nyumba hiyo lazima iwe chini ya Benki husika katika mkopo " sasa huyo Jamaa akisema makochi yani hata huyo meneja wa bank naye haja elewa vyema sheria za mikopo kuhusu rasilimali
Yani m2 anakopa miln5 analipa miln4 deni milin 1 nyumba inauzwa milin 7 wanachukua milin 1 ya deni inabaki milin6 wanaweka heshima bar pumbavu zao Suma ndani wote ao
Walai i feel crying
This are the right people
God bless this man and Tanzania
Magufuli Hajakosea kukuteuwa Mkuu Wa Mkoa, piga Kaz kwa Haki.
Kenya hutawahi ona wakuu wa serikali wakijituma kwa watu. Hongera viongozi wa TZ
Asante muheshimiwa , haki itendeke milion moja watu wauze nyumba
Wehu saana hao.
Vipara vikubwa tu
Kwel
Hapiiiiii. God bless you man. Thanks Hon Magufuli for Hon Hapi.
i wish tupate viongozi watenda haki kama hawa kenya.
gonga like kama unaamini mwanasheria ana GPA ya 0.
Mwanasheria wa hovyo kabisa .
Shikamoo mkuu wa Mkoa umefanya kitu chema saana
Kama umeangali hii video ukajikuta unalia kwa furaha gonga like hapa
huyu mkuu wa mkoa atumikie miaka yote hadi uzeeheni nimempenda bure
Nimefrahi yaaan daaaaaaaa
Yaan wey ach tu nmelia kw furah n Hurum pia😀😁😢
Hapiii mwa mwa nakupenda bure
dogo umekwiva sasa nakufahamu toka unasoma st thomas pale gongolamboto ukonga safi sana kijana
Magufuli with your team... keep it up ! I believe Julius Kambarage Nyerere in paradise is proud of you !
Touched I am a Rwandan.
Kazi nzuri mkuu wa Mkoa.i wish Kenyans should emulate such kind of leadership
Baba Mimi Niko Nairobi, pongezi kwa kazi nzuri. Pia huku watufaa
muheshimiwa rais kiongozi kama huyu anatufaa nampa pokezi sana RC
Kabisa
Asante baba tenda haki mungu atakulipa
Hawa ndio biongozi tunao wahitaji, wachapakazi. Safi sana Ally,
AAm from kenya and am very happy to see this kind of leadership
Nilikua nimetegeya hii sehemu ya pili hongera bro safi kwetu kenya unyanyasaji tele haswa wajane,mackini i salute u Bro Big up from saudi Arabia
Another King Solomon of our day. God may you give him more wisdom
Mkuu wa mkoa hongera sana,tungekupata kama WW Zanzibar tungejivunia sana M,mungu akupe afya njema kwa kazi yako nzr
Asante Kaka Ally Mkoa wangu 💪💪💪💪👌 NMB IRINGA #KAMWENE#
Kama umemuhurumia hugo meneja wa nmb nipe like hapa
Mi nimemuhurumia sana
Eti sipaswi kuwepo eti mwana sheria huyooooo
I like this like of leadership of TZ.ALLAH BLESS TZ LEADERS
We need some brilliant people like this in kenya
yes hii ndo nchi yangu nnliyoichagua
Uliichagua vipi nchi hii? Labda wewe uwe umehamia tanzania basi umeichagua lakini kama wewe mzaliwa hukua na choice
Mwenyezi Mungu Akupe cheo zaidi ili uwatetee wanyonge na waja wake kwa ujumla
inatakiwa pongez
I wish TZ was Kenya from this man to president they are doing a good job
Maandishi hayadanganyi! Respect u RC. HAPI
Nikiwa namuangali Mh, Hapi Akiwa anatekeleza majukumu yake ya kuwasaidia wanyonge nahisi niko paradiso yaani, Hongera sana M/ mungu akupe maisha marefu tuendelee kunufaika na kipawa alichokujaria M/ mungu.
Am in love with mkuu wa mkoa! 😍😁🤗 congratulations to this man on how he handled this whole case!
Allah akujaalie mkuu.
Hizi Bank majanga,wanauza kwa ku deal na brokers na kuna list ya vibopa maarufu kwa kutengeneza deal za kuuza na kuuzia watu maalum ambao na wao huuza.
Nasubiria Makonda afuate mkondo nikalitibue na mie.
Zainabu Ahmed mim nilikopa finca nikajitahidi kulipa ikabaki shilling lakin na nusu eneo langu la biashara likawa limebomolewa nikawaita finca wakaona nikaenda kwa menega kumuomba wasiniongezee riba niweze lipa lile deni wanipe miez miwi uwiiiiii nilipigwa riba ambayo nilihisi kuchanganyikiwa deni la 150,000 likazaa milion moja hapohapo wakataka kuja kupiga mnada vitu vyangu wakati haviko kwenye zamana
@@janesuma2193 Hizi taasisi zinwapigaji kibao nyuma ya Pazia
Ktk Bank ambazo ni Rafiki basi Amana Bank.
Ukikwama wanakupa njia na sio kukomoa.
Hii kazi ya issues za Bank mkuu huyu awe mfano kwenu BOT mliolala,
Raisi kawatembelea BOT ila nyie hamtaki kutembelea wananchi wakawapa majanga ya hizi taasisi za fedha,tunajua mna yenu nyuma ya pazia ila kwa Mungu hakuna kubwa
mungu yupo jamani
Zai Nitumie Namba Yako Nitakuchek Hawa Washenz Sana Hata Wanaofanya Valuation Hua Wakiiiba Nakueka Bei Fake Bot Wanawasave Sana
Zey ukalitibue
Big up mkuu ! Hongera pia kwa JPM kwa kumwona Huyu bwana mdogo huyu !
Mwenyezi mungu ndio mjuzi wa malipo kwako kwautendaji wako wa kazi mzuri na utetezi wako wa hali na mali kwa wanyonge. Mungu akulipe pepo Allahumma Amiin.zaidi ya hili sijaona la kukuombea.
Safi sana Mh.Hapi.
Hongera nchi yangu Tanzania,hakika unanukia vzuri.Hongera sana! sana!! Kiongozi,Mungu wa mbinguni akupe maisha marefu na yawe mema siku zote na akuinue na kukuweka mahali pa wafalme
I wish they were granted the greatness power. My God help them
usione wembam na wa reli gari Moshi hupita,mkuu wa mkoo mdogo kimwili lakini amekomaa kiakili,ungekuwa Kenya bwana mdogo tungepata nafuu baba,Kenya wezi ajabu.congrats men
Kusema kweli Mh ALI HAPI uko vizuri sana kikazi zaidi kaka big up na wewe ni mfano wa kuigwa,kwa maana hiyo MH MAGUFULI hujakosea kabisa kumteua huyu kijana hongera sana mkuu
Kama uwongozi ndio huu basi kweli nimeamini kwann mflame suleiman aliomba hekima na busara katika kuamuwa aamuzi yake
Kwa hili baba wallah hata mungu yupo pamoja na wewe na inshallah atakulindaa...watu wananenepa na kungaa kwa fedha za wenzao tena maskinii...Allah akulindee...
Mungu akubariki sana, tunatamani na sehemu zingine haki itendeke hivyo
BAHATI FRANK z
Bof
Ni vigumu kuongea fact mbele ya mtawala anaetafuta kiki
Muheshimiwa ningekupata mm huwe mume wangu ingependeza +254
Ongera sana Allya Ape kwa ma'mzi mazuri uliyo yafanya ivi-ndivo viongozi wanapaswa kufanya juu ya Aki ya mwananchi binadamu Acheni zuruma fanyeni uwadirifu katika kazi zenu
Asante mkuu wa mkoa unafwata nyendo za magufuli big up xana mungu awe nawe wanyooshe Hao mabwege
Mimi naona nikihama kenya niende kuishi Tanzania kuzuri bhana
Karibu 🤣🤣🤣
Sana nakuna amanii telee
Ilitakiwa na Mwanza tupate mkuu wa mkoa kama huyu!!! Dah! Namuelewa sana Hapi! Fantastic
Mungu ibariki Tanzania, mungu wabariki viongoz wote na raisi magufuli...
Tanzania tulifikia pambaya sana asante mangufuli asante mkuu wa mkoa
Stephano Mchenya 5
Sana.yena ilioza tanzania
@@hashmumwamedi296 mvbh
ycnj
Wee noma rc m mungu akuzidishie kuwasaidia wananchi nakupenda sn na kukubali
ALLY HAP WEWE NI AINA YA WAKUU WA MIKOA WANAOFIT KATIKA AWAMU YA JPM. HONGERA DOGO
Congrats mkuu wa mkoa... From 254
Nakukubali sana mkuu wangu wazaman Wa kinondoni kazi kazi Ali hapi 💪👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
This government is the best if it would be in Europe or america the world could appreciate I wish Tanzanians and Africans become the fans to this gvnt and learn something
God bless your hard work mweshimiwa your doing a remarkable job
Nimekubali brother kuheshimiwa:)🤗🤗🤗🤗
Eeh mungu shusa viongozi wa haina hii kenya watu wanyambishwe kwelikweli
Hak ya Mungu sijui n nani atakomboa wanyonge Kenya Mungu sikia kilio chetu..ndio maana sipend mambo ya mikopo heri nijenge miaka kumi..mawakili n wafanyikaz wa benk waiz kaa nn.
سالم السعدي atawapa tu wakati ukifika ila ni wakati wa Africa kubadilika wananchi wanaumizwa sana karibu kwetu Tanzania ndugu yetu Jiran yetu
Congrats Pal commandante Ally Salum Hapi!
Kwamuda mrefu sana wanyonge wamekua wakidhulumiwa,na hawakupata wakumlilia,,,hongera mhe,RC kwakufichua uovu huu,,,naomba uzidi kufuatilia,Kuna maouvu makubwa kuliko hayo.
wish this was in kenya,one day we will be auctioned
Big salute from 🇰🇪 Rc hapi
Hongera tunataka viongozi kama. Hawa wanaowajibika na haki za wanyonge
nyonge mnyongeni haki yake mpeni Ali happy alifanya kazi nzuri saiv watu hawayaoni
Safi sana kiongoz anapaswa kuwa wa watu
hongera sana mkuu wa mkoa kweli RAISI WETU anao watu wazuri mungu ambariki sana nawewe pia mkuu wamkoa ubarikiwe sana
Napenda sana uongozi wako God bless you so much we need such leader in Kenya
Kazi safi watching from kenya
Viongozi kama awa ni muhimu sana ktk Tanzania yetu ahsante mkuu wa mkoa
Daaaah...uncle maguu kwenye awamu yake amechaguwa watu makinii kwelii...naomba zanzibar tupate viongozi kam hawaaa😥
Hongera Magufuri Rais wangu mpendwa!
Kenya desperately needs such leaders. Hongera Jirani yetu Tanzania
Wow, what a leadership!!!
Kweli naikubali serikali yangu Kwa kazi wanayoifanya ya kutete wanyonge na kuitimiza sheria ipasavyo.Hongera mheshimiwa
Such a wonderful and a resourceful RC,,Good work brother.
Baba nakupenda natamani nikuone ata sura tu mungu akupe maisha marefu
Safi sana mkuu ningekuw karib nmekupig bisu😁 nic job muheshimiw mung akupe nguvu na afya njema 😍😘😘 wameshajinyea hapo maskin
Mwanasheria hatakiwi kuwepo😂😂😂😂
Asante kaka umefaya zizuri
Nigependa kukuja Tanzania
Hongera Muheshimiwa Kwa Kazi nzuri,Hawa ndio Wanyanyasaji,Mwanasheria hajielewi,Meneja Hajitambui.
I came across this clip in 2021 August..I can authotorively say this RC is Late Magafuli reincarnated.kumbe Tanzania hajaishiwa na magafuli?! Kudos from Kenya
Hongera sana mheshimiwa ,I'm watching from Nairobi Kenya
Yunusi umeuaaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣... Mwanasheria mafi ya mende shule hakuna... Hapi akili kubwa sanaa
Kwa kweli hii nimeupenda, I wish to be like this man in leadership
Huyu mkuu kamzidi hata wa dar sasa kwa kazi daa nimempenda kweli kweli
chris massawe dih
Hapi Iringa ubaki mpaka kustaafu kwako usiondoke wewe ni Mwanairinga mwenzetu maana unaonyesha uzalendo wa kweli kweli. Asante sana.
Mungu akuzidishie afyanjema mh. Ally Hapy
Mhe:Mkuu wa mkoa Wa iringa
Ally Happy
Iringa tumepata Neema Sana tunajivunia tunu yetu
Karibu tena #mafingaTz
Tanzanian government is doing good work..well done
Mwenyezi mungu akubaliki sana umesimamia haki hicho ndicho kinachotakiwa kazi njema bro.
Yaan mpaka machozi yamenitoka mnamdhulumu mjane waziwazi Mungu akupiganie Ally
Sijawahi fatilia habari zako. Nimekupenda Bure be blessed
HAAPIIIIIIIIIIII💯👍👍👍👍👍👍,MR BOB SOSY A K A KATIA WA ARUSHA MURIET JIRANI NA MH GAMBO
Jamani muogopeni mungu dhulma siyo nzurii mnauza nyumbaya mjane bilayawoga shukran muheshimiwa bilayawewe .alisha.dhulumiwa ubarikiwe sanaa
Mheshimiwa Ally hapi nimekupenda sana mungu angetushushia viongozi hata kumi kama were nadhani tungekuwa tunatamalaki tu
Tanzania is going far... If only something similar happened here in the +254
Mungu wape nini wakazi wa iringa RC mnayo hapo mwenye speed ya JPM yani kama JPM kimaàmuzi ya papo hapo likê hapa kama nawe umemkubali RC
Tunakuombea Mkuu wa Mkoa, Mhe. Hapi Mungu akubariki, aendelee kukulinda ili uendelee kuijenga nchi yetu ya Tanzania.
Makofuli Aliacha watoto mungu ababariki tunafurahi kwakazi zenu❤❤❤
Hakika viongozi wenye uchungu na taifa wapo,
Naamini macho hayanidanganyi walahi,,,
Nainjoyi saaana kumtazama mkuu huyu wa mkoa.
Nimekukumbali baba wewe ndo kiongozi bora maguful tunashukuru mngu kupat kiongoz bora 😍💪💪💪💪💪💪
Yani hao wamezingua bila chenga coz sheria ya Ardhi na 4 ya mwaka 1999 ina sema " mkopo wowote unao hitaji rehani ya rasilimali zisizo hamishika ambayo ni Nyumba au kiwanja kilicho endelezwa na pia hati miliki ya kiwanja au nyumba hiyo lazima iwe chini ya Benki husika katika mkopo " sasa huyo Jamaa akisema makochi yani hata huyo meneja wa bank naye haja elewa vyema sheria za mikopo kuhusu rasilimali
Bank gan naweza kukopa kwa kuweka dhamana kiwanja?
Bank gan naweza kukopa kwa kuweka dhamana kiwanja?
@@joycejohn7754 kiwanja ni kile kilicho endelezwa yani kina jengo lilo simamiahwa pale au wew umeelewaje?
Na ndio maan wote wapelekwa kuhojiwa ili kesi ieleweke vizuri.
Nampenda huyu DC mpk bas Mungu ampe umri mrefu🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu akujalie kwakuwasaidi wanyonge
Asante Sana mkuu wa mkoa mungu akubariki kwa kutetea haki ya wanyonge
Dogo mungu akulete mbeya mambo hayo mengi mno asante magu
Yani m2 anakopa miln5 analipa miln4 deni milin 1 nyumba inauzwa milin 7 wanachukua milin 1 ya deni inabaki milin6 wanaweka heshima bar pumbavu zao Suma ndani wote ao
Dunia hii