LIVE: RC HAPI AAGIZA MENEJA WA BENKI AKAMATWE NA KUHOJIWA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 03. 2019
  • a
  • Zábava

Komentáře • 826

  • @suldanyareofficial6003
    @suldanyareofficial6003 Před 5 lety +22

    Walai i feel crying
    This are the right people
    God bless this man and Tanzania

  • @mwanaafrika_tz
    @mwanaafrika_tz Před 5 lety +70

    Magufuli Hajakosea kukuteuwa Mkuu Wa Mkoa, piga Kaz kwa Haki.

  • @justkibet1125
    @justkibet1125 Před 4 lety +8

    Kenya hutawahi ona wakuu wa serikali wakijituma kwa watu. Hongera viongozi wa TZ

  • @najma3268
    @najma3268 Před 5 lety +65

    Asante muheshimiwa , haki itendeke milion moja watu wauze nyumba

  • @antonykashube2065
    @antonykashube2065 Před 5 lety +21

    Hapiiiiii. God bless you man. Thanks Hon Magufuli for Hon Hapi.

    • @deejayrula2548
      @deejayrula2548 Před 5 lety

      i wish tupate viongozi watenda haki kama hawa kenya.

  • @lukanadric4491
    @lukanadric4491 Před 5 lety +33

    gonga like kama unaamini mwanasheria ana GPA ya 0.

  • @mathayoayubu8635
    @mathayoayubu8635 Před 5 lety +45

    Shikamoo mkuu wa Mkoa umefanya kitu chema saana

  • @barackabaracka7854
    @barackabaracka7854 Před 5 lety +281

    Kama umeangali hii video ukajikuta unalia kwa furaha gonga like hapa

  • @vaniaruta
    @vaniaruta Před 4 lety +7

    Magufuli with your team... keep it up ! I believe Julius Kambarage Nyerere in paradise is proud of you !
    Touched I am a Rwandan.

  • @kirwaisa8772
    @kirwaisa8772 Před 5 lety +3

    Kazi nzuri mkuu wa Mkoa.i wish Kenyans should emulate such kind of leadership

  • @issahketon4719
    @issahketon4719 Před 5 lety +42

    Baba Mimi Niko Nairobi, pongezi kwa kazi nzuri. Pia huku watufaa

  • @khamisshariff6600
    @khamisshariff6600 Před 5 lety +31

    muheshimiwa rais kiongozi kama huyu anatufaa nampa pokezi sana RC

  • @johanesjofrey2105
    @johanesjofrey2105 Před 5 lety +17

    Hawa ndio biongozi tunao wahitaji, wachapakazi. Safi sana Ally,

  • @kietiaziz725
    @kietiaziz725 Před 4 lety +3

    AAm from kenya and am very happy to see this kind of leadership

  • @hawaabubakar2619
    @hawaabubakar2619 Před 4 lety +3

    Nilikua nimetegeya hii sehemu ya pili hongera bro safi kwetu kenya unyanyasaji tele haswa wajane,mackini i salute u Bro Big up from saudi Arabia

  • @Amani715
    @Amani715 Před 5 lety +15

    Another King Solomon of our day. God may you give him more wisdom

    • @allymahmoud9951
      @allymahmoud9951 Před 5 lety

      Mkuu wa mkoa hongera sana,tungekupata kama WW Zanzibar tungejivunia sana M,mungu akupe afya njema kwa kazi yako nzr

  • @wendelipwera7582
    @wendelipwera7582 Před 5 lety +25

    Asante Kaka Ally Mkoa wangu 💪💪💪💪👌 NMB IRINGA #KAMWENE#

  • @pendoanzigar3172
    @pendoanzigar3172 Před 5 lety +28

    Kama umemuhurumia hugo meneja wa nmb nipe like hapa

  • @ernestjohanes9087
    @ernestjohanes9087 Před 5 lety +29

    Eti sipaswi kuwepo eti mwana sheria huyooooo

  • @user-jh7io9hd4q
    @user-jh7io9hd4q Před 5 měsíci +1

    I like this like of leadership of TZ.ALLAH BLESS TZ LEADERS

  • @collooloo1074
    @collooloo1074 Před 5 lety +13

    We need some brilliant people like this in kenya

  • @mwamvuajumanne6090
    @mwamvuajumanne6090 Před 5 lety +55

    yes hii ndo nchi yangu nnliyoichagua

    • @stevek8318
      @stevek8318 Před 5 lety

      Uliichagua vipi nchi hii? Labda wewe uwe umehamia tanzania basi umeichagua lakini kama wewe mzaliwa hukua na choice

  • @cypmkutubi3109
    @cypmkutubi3109 Před 5 lety +13

    Mwenyezi Mungu Akupe cheo zaidi ili uwatetee wanyonge na waja wake kwa ujumla

  • @josphatmbegera1680
    @josphatmbegera1680 Před 4 lety +4

    I wish TZ was Kenya from this man to president they are doing a good job

  • @samwelimwinyi9267
    @samwelimwinyi9267 Před 5 lety +5

    Maandishi hayadanganyi! Respect u RC. HAPI

  • @edithdickson3090
    @edithdickson3090 Před 5 lety

    Nikiwa namuangali Mh, Hapi Akiwa anatekeleza majukumu yake ya kuwasaidia wanyonge nahisi niko paradiso yaani, Hongera sana M/ mungu akupe maisha marefu tuendelee kunufaika na kipawa alichokujaria M/ mungu.

  • @zuhraali8569
    @zuhraali8569 Před 5 lety +1

    Am in love with mkuu wa mkoa! 😍😁🤗 congratulations to this man on how he handled this whole case!

  • @zainabuahmed5910
    @zainabuahmed5910 Před 5 lety +22

    Allah akujaalie mkuu.
    Hizi Bank majanga,wanauza kwa ku deal na brokers na kuna list ya vibopa maarufu kwa kutengeneza deal za kuuza na kuuzia watu maalum ambao na wao huuza.
    Nasubiria Makonda afuate mkondo nikalitibue na mie.

    • @janesuma2193
      @janesuma2193 Před 5 lety +1

      Zainabu Ahmed mim nilikopa finca nikajitahidi kulipa ikabaki shilling lakin na nusu eneo langu la biashara likawa limebomolewa nikawaita finca wakaona nikaenda kwa menega kumuomba wasiniongezee riba niweze lipa lile deni wanipe miez miwi uwiiiiii nilipigwa riba ambayo nilihisi kuchanganyikiwa deni la 150,000 likazaa milion moja hapohapo wakataka kuja kupiga mnada vitu vyangu wakati haviko kwenye zamana

    • @zainabuahmed5910
      @zainabuahmed5910 Před 5 lety

      @@janesuma2193 Hizi taasisi zinwapigaji kibao nyuma ya Pazia
      Ktk Bank ambazo ni Rafiki basi Amana Bank.
      Ukikwama wanakupa njia na sio kukomoa.
      Hii kazi ya issues za Bank mkuu huyu awe mfano kwenu BOT mliolala,
      Raisi kawatembelea BOT ila nyie hamtaki kutembelea wananchi wakawapa majanga ya hizi taasisi za fedha,tunajua mna yenu nyuma ya pazia ila kwa Mungu hakuna kubwa

    • @missmoresa8854
      @missmoresa8854 Před 5 lety

      mungu yupo jamani

    • @kingimmanuely1007
      @kingimmanuely1007 Před 5 lety

      Zai Nitumie Namba Yako Nitakuchek Hawa Washenz Sana Hata Wanaofanya Valuation Hua Wakiiiba Nakueka Bei Fake Bot Wanawasave Sana

    • @cjrtz
      @cjrtz Před 3 lety

      Zey ukalitibue

  • @saimonmwansile6101
    @saimonmwansile6101 Před 5 lety +3

    Big up mkuu ! Hongera pia kwa JPM kwa kumwona Huyu bwana mdogo huyu !

  • @malikamanara4076
    @malikamanara4076 Před 5 lety +1

    Mwenyezi mungu ndio mjuzi wa malipo kwako kwautendaji wako wa kazi mzuri na utetezi wako wa hali na mali kwa wanyonge. Mungu akulipe pepo Allahumma Amiin.zaidi ya hili sijaona la kukuombea.

  • @stephenkasigara7070
    @stephenkasigara7070 Před 5 lety +9

    Safi sana Mh.Hapi.

  • @davidpaulmungai5131
    @davidpaulmungai5131 Před 2 lety

    Hongera nchi yangu Tanzania,hakika unanukia vzuri.Hongera sana! sana!! Kiongozi,Mungu wa mbinguni akupe maisha marefu na yawe mema siku zote na akuinue na kukuweka mahali pa wafalme

  • @thobiasbolen2496
    @thobiasbolen2496 Před 5 lety +9

    I wish they were granted the greatness power. My God help them

    • @edwinwafula3258
      @edwinwafula3258 Před rokem

      usione wembam na wa reli gari Moshi hupita,mkuu wa mkoo mdogo kimwili lakini amekomaa kiakili,ungekuwa Kenya bwana mdogo tungepata nafuu baba,Kenya wezi ajabu.congrats men

  • @abuuqaasim4815
    @abuuqaasim4815 Před 4 lety +1

    Kusema kweli Mh ALI HAPI uko vizuri sana kikazi zaidi kaka big up na wewe ni mfano wa kuigwa,kwa maana hiyo MH MAGUFULI hujakosea kabisa kumteua huyu kijana hongera sana mkuu

  • @johnmkunde873
    @johnmkunde873 Před 5 lety +8

    Kama uwongozi ndio huu basi kweli nimeamini kwann mflame suleiman aliomba hekima na busara katika kuamuwa aamuzi yake

  • @fatmahmwinyi4061
    @fatmahmwinyi4061 Před 5 lety +2

    Kwa hili baba wallah hata mungu yupo pamoja na wewe na inshallah atakulindaa...watu wananenepa na kungaa kwa fedha za wenzao tena maskinii...Allah akulindee...

  • @bahatifrank4869
    @bahatifrank4869 Před 5 lety +26

    Mungu akubariki sana, tunatamani na sehemu zingine haki itendeke hivyo

    • @waitbird6549
      @waitbird6549 Před 5 lety

      BAHATI FRANK z
      Bof

    • @uledihassan6065
      @uledihassan6065 Před 5 lety +1

      Ni vigumu kuongea fact mbele ya mtawala anaetafuta kiki

    • @riz00rajebo82
      @riz00rajebo82 Před 5 lety

      Muheshimiwa ningekupata mm huwe mume wangu ingependeza +254

  • @user-ft4tq4ug4c
    @user-ft4tq4ug4c Před 2 měsíci

    Ongera sana Allya Ape kwa ma'mzi mazuri uliyo yafanya ivi-ndivo viongozi wanapaswa kufanya juu ya Aki ya mwananchi binadamu Acheni zuruma fanyeni uwadirifu katika kazi zenu

  • @AlAl-sd9pl
    @AlAl-sd9pl Před 4 lety

    Asante mkuu wa mkoa unafwata nyendo za magufuli big up xana mungu awe nawe wanyooshe Hao mabwege

  • @oliviakemuto1412
    @oliviakemuto1412 Před 5 lety +7

    Mimi naona nikihama kenya niende kuishi Tanzania kuzuri bhana

  • @dismasdonald745
    @dismasdonald745 Před 5 lety

    Ilitakiwa na Mwanza tupate mkuu wa mkoa kama huyu!!! Dah! Namuelewa sana Hapi! Fantastic

  • @imallya6513
    @imallya6513 Před 5 lety +1

    Mungu ibariki Tanzania, mungu wabariki viongoz wote na raisi magufuli...

  • @stephanomchenya6344
    @stephanomchenya6344 Před 5 lety +8

    Tanzania tulifikia pambaya sana asante mangufuli asante mkuu wa mkoa

  • @munirdatisha684
    @munirdatisha684 Před 4 lety

    Wee noma rc m mungu akuzidishie kuwasaidia wananchi nakupenda sn na kukubali

  • @zefamange7281
    @zefamange7281 Před 5 lety +7

    ALLY HAP WEWE NI AINA YA WAKUU WA MIKOA WANAOFIT KATIKA AWAMU YA JPM. HONGERA DOGO

  • @charlesmwango2736
    @charlesmwango2736 Před 5 lety +2

    Congrats mkuu wa mkoa... From 254

  • @kajjd40
    @kajjd40 Před 5 lety +2

    Nakukubali sana mkuu wangu wazaman Wa kinondoni kazi kazi Ali hapi 💪👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @franceslenis4512
    @franceslenis4512 Před 5 lety +1

    This government is the best if it would be in Europe or america the world could appreciate I wish Tanzanians and Africans become the fans to this gvnt and learn something

  • @abelasmerom4832
    @abelasmerom4832 Před 2 lety

    God bless your hard work mweshimiwa your doing a remarkable job

  • @voicejoachim1370
    @voicejoachim1370 Před 5 lety +2

    Nimekubali brother kuheshimiwa:)🤗🤗🤗🤗

  • @user-fj9it6mq4u
    @user-fj9it6mq4u Před 5 lety +31

    Eeh mungu shusa viongozi wa haina hii kenya watu wanyambishwe kwelikweli

    • @kacheali4777
      @kacheali4777 Před 5 lety +1

      Hak ya Mungu sijui n nani atakomboa wanyonge Kenya Mungu sikia kilio chetu..ndio maana sipend mambo ya mikopo heri nijenge miaka kumi..mawakili n wafanyikaz wa benk waiz kaa nn.

    • @janesuma2193
      @janesuma2193 Před 5 lety

      سالم السعدي atawapa tu wakati ukifika ila ni wakati wa Africa kubadilika wananchi wanaumizwa sana karibu kwetu Tanzania ndugu yetu Jiran yetu

  • @jumbelbrownman1295
    @jumbelbrownman1295 Před 5 lety +1

    Congrats Pal commandante Ally Salum Hapi!

  • @MohammedAli-up6cu
    @MohammedAli-up6cu Před 4 lety

    Kwamuda mrefu sana wanyonge wamekua wakidhulumiwa,na hawakupata wakumlilia,,,hongera mhe,RC kwakufichua uovu huu,,,naomba uzidi kufuatilia,Kuna maouvu makubwa kuliko hayo.

  • @buddycharles5045
    @buddycharles5045 Před 5 lety +1

    wish this was in kenya,one day we will be auctioned

  • @kacharimwangi537
    @kacharimwangi537 Před 3 lety

    Big salute from 🇰🇪 Rc hapi

  • @marijanimohamed7619
    @marijanimohamed7619 Před 5 lety +7

    Hongera tunataka viongozi kama. Hawa wanaowajibika na haki za wanyonge

  • @shadyahamad3724
    @shadyahamad3724 Před 2 lety

    nyonge mnyongeni haki yake mpeni Ali happy alifanya kazi nzuri saiv watu hawayaoni

  • @modestmassawe9940
    @modestmassawe9940 Před 5 lety +4

    Safi sana kiongoz anapaswa kuwa wa watu

  • @WilliamChristopher-dq2vn
    @WilliamChristopher-dq2vn Před 4 měsíci

    hongera sana mkuu wa mkoa kweli RAISI WETU anao watu wazuri mungu ambariki sana nawewe pia mkuu wamkoa ubarikiwe sana

  • @safari5774
    @safari5774 Před rokem

    Napenda sana uongozi wako God bless you so much we need such leader in Kenya

  • @nuraakram1025
    @nuraakram1025 Před měsícem

    Kazi safi watching from kenya

  • @emanueluledi5616
    @emanueluledi5616 Před 4 lety

    Viongozi kama awa ni muhimu sana ktk Tanzania yetu ahsante mkuu wa mkoa

  • @ahmedali1552
    @ahmedali1552 Před 4 lety +2

    Daaaah...uncle maguu kwenye awamu yake amechaguwa watu makinii kwelii...naomba zanzibar tupate viongozi kam hawaaa😥

  • @mungholomakalanga8958
    @mungholomakalanga8958 Před 5 lety +3

    Hongera Magufuri Rais wangu mpendwa!

  • @bernardkibet
    @bernardkibet Před 4 lety +4

    Kenya desperately needs such leaders. Hongera Jirani yetu Tanzania

  • @stephenwakuloba7086
    @stephenwakuloba7086 Před 4 lety +1

    Wow, what a leadership!!!

  • @nahashaban5610
    @nahashaban5610 Před 5 lety

    Kweli naikubali serikali yangu Kwa kazi wanayoifanya ya kutete wanyonge na kuitimiza sheria ipasavyo.Hongera mheshimiwa

  • @agesag.m2476
    @agesag.m2476 Před 4 lety +1

    Such a wonderful and a resourceful RC,,Good work brother.

  • @allyabeid4188
    @allyabeid4188 Před 5 lety

    Baba nakupenda natamani nikuone ata sura tu mungu akupe maisha marefu

  • @dandeenndandeen3047
    @dandeenndandeen3047 Před 5 lety

    Safi sana mkuu ningekuw karib nmekupig bisu😁 nic job muheshimiw mung akupe nguvu na afya njema 😍😘😘 wameshajinyea hapo maskin

  • @faidamanoni2285
    @faidamanoni2285 Před 5 lety +6

    Mwanasheria hatakiwi kuwepo😂😂😂😂

  • @Mohamedali-gr2ex
    @Mohamedali-gr2ex Před 5 lety +1

    Asante kaka umefaya zizuri
    Nigependa kukuja Tanzania

  • @mwanahalimamwachili9679

    Hongera Muheshimiwa Kwa Kazi nzuri,Hawa ndio Wanyanyasaji,Mwanasheria hajielewi,Meneja Hajitambui.

  • @abdilahibg8794
    @abdilahibg8794 Před 2 lety

    I came across this clip in 2021 August..I can authotorively say this RC is Late Magafuli reincarnated.kumbe Tanzania hajaishiwa na magafuli?! Kudos from Kenya

  • @secylovenessadaa4245
    @secylovenessadaa4245 Před 4 lety

    Hongera sana mheshimiwa ,I'm watching from Nairobi Kenya

  • @dennismalima5365
    @dennismalima5365 Před 4 lety +1

    Yunusi umeuaaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣... Mwanasheria mafi ya mende shule hakuna... Hapi akili kubwa sanaa

  • @jamesassanga9220
    @jamesassanga9220 Před rokem

    Kwa kweli hii nimeupenda, I wish to be like this man in leadership

  • @chrismassawe326
    @chrismassawe326 Před 5 lety +1

    Huyu mkuu kamzidi hata wa dar sasa kwa kazi daa nimempenda kweli kweli

  • @simonlulenga7062
    @simonlulenga7062 Před 2 lety

    Hapi Iringa ubaki mpaka kustaafu kwako usiondoke wewe ni Mwanairinga mwenzetu maana unaonyesha uzalendo wa kweli kweli. Asante sana.

  • @mariamabdull4134
    @mariamabdull4134 Před 5 lety

    Mungu akuzidishie afyanjema mh. Ally Hapy

  • @alpheondanzi2544
    @alpheondanzi2544 Před 4 lety +2

    Mhe:Mkuu wa mkoa Wa iringa
    Ally Happy
    Iringa tumepata Neema Sana tunajivunia tunu yetu
    Karibu tena #mafingaTz

  • @nancymuseve514
    @nancymuseve514 Před 4 lety +1

    Tanzanian government is doing good work..well done

  • @clemencesekabigwa5895
    @clemencesekabigwa5895 Před 5 lety

    Mwenyezi mungu akubaliki sana umesimamia haki hicho ndicho kinachotakiwa kazi njema bro.

  • @rosekazaula2557
    @rosekazaula2557 Před 5 lety +1

    Yaan mpaka machozi yamenitoka mnamdhulumu mjane waziwazi Mungu akupiganie Ally

  • @martinamarugu44
    @martinamarugu44 Před 3 měsíci

    Sijawahi fatilia habari zako. Nimekupenda Bure be blessed

  • @user-we3or9ol4o
    @user-we3or9ol4o Před 5 měsíci

    HAAPIIIIIIIIIIII💯👍👍👍👍👍👍,MR BOB SOSY A K A KATIA WA ARUSHA MURIET JIRANI NA MH GAMBO

  • @tinagorges3741
    @tinagorges3741 Před 5 lety

    Jamani muogopeni mungu dhulma siyo nzurii mnauza nyumbaya mjane bilayawoga shukran muheshimiwa bilayawewe .alisha.dhulumiwa ubarikiwe sanaa

  • @tusekilemwakatobe1262
    @tusekilemwakatobe1262 Před 5 lety

    Mheshimiwa Ally hapi nimekupenda sana mungu angetushushia viongozi hata kumi kama were nadhani tungekuwa tunatamalaki tu

  • @benedictkimanzi4510
    @benedictkimanzi4510 Před 4 lety +1

    Tanzania is going far... If only something similar happened here in the +254

  • @kandidosamwel3030
    @kandidosamwel3030 Před 5 lety +7

    Mungu wape nini wakazi wa iringa RC mnayo hapo mwenye speed ya JPM yani kama JPM kimaàmuzi ya papo hapo likê hapa kama nawe umemkubali RC

  • @maligisadotto8631
    @maligisadotto8631 Před 5 lety

    Tunakuombea Mkuu wa Mkoa, Mhe. Hapi Mungu akubariki, aendelee kukulinda ili uendelee kuijenga nchi yetu ya Tanzania.

  • @annetiadyeri5638
    @annetiadyeri5638 Před 3 měsíci

    Makofuli Aliacha watoto mungu ababariki tunafurahi kwakazi zenu❤❤❤

  • @dionisemyigezo9137
    @dionisemyigezo9137 Před 5 lety +5

    Hakika viongozi wenye uchungu na taifa wapo,
    Naamini macho hayanidanganyi walahi,,,
    Nainjoyi saaana kumtazama mkuu huyu wa mkoa.

  • @irenejoseph6684
    @irenejoseph6684 Před 4 lety

    Nimekukumbali baba wewe ndo kiongozi bora maguful tunashukuru mngu kupat kiongoz bora 😍💪💪💪💪💪💪

  • @thomasvenance5186
    @thomasvenance5186 Před 5 lety +7

    Yani hao wamezingua bila chenga coz sheria ya Ardhi na 4 ya mwaka 1999 ina sema " mkopo wowote unao hitaji rehani ya rasilimali zisizo hamishika ambayo ni Nyumba au kiwanja kilicho endelezwa na pia hati miliki ya kiwanja au nyumba hiyo lazima iwe chini ya Benki husika katika mkopo " sasa huyo Jamaa akisema makochi yani hata huyo meneja wa bank naye haja elewa vyema sheria za mikopo kuhusu rasilimali

    • @joycejohn7754
      @joycejohn7754 Před 5 lety

      Bank gan naweza kukopa kwa kuweka dhamana kiwanja?

    • @joycejohn7754
      @joycejohn7754 Před 5 lety

      Bank gan naweza kukopa kwa kuweka dhamana kiwanja?

    • @thomasvenance5186
      @thomasvenance5186 Před 5 lety

      @@joycejohn7754 kiwanja ni kile kilicho endelezwa yani kina jengo lilo simamiahwa pale au wew umeelewaje?

    • @rukundoseif6161
      @rukundoseif6161 Před 5 lety

      Na ndio maan wote wapelekwa kuhojiwa ili kesi ieleweke vizuri.

  • @ashuramhando5285
    @ashuramhando5285 Před 2 lety

    Nampenda huyu DC mpk bas Mungu ampe umri mrefu🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @omarcpt1178
    @omarcpt1178 Před 3 měsíci

    Mungu akujalie kwakuwasaidi wanyonge

  • @maryclaralema2577
    @maryclaralema2577 Před 5 lety

    Asante Sana mkuu wa mkoa mungu akubariki kwa kutetea haki ya wanyonge

  • @abdulmalickupete9015
    @abdulmalickupete9015 Před 5 lety

    Dogo mungu akulete mbeya mambo hayo mengi mno asante magu

  • @zakyahya4645
    @zakyahya4645 Před 5 lety +9

    Yani m2 anakopa miln5 analipa miln4 deni milin 1 nyumba inauzwa milin 7 wanachukua milin 1 ya deni inabaki milin6 wanaweka heshima bar pumbavu zao Suma ndani wote ao