AFISA ELIMU AZIMIA GHAFLA KISA KATUMBULIWA NA RC MWANRI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024

Komentáře • 65

  • @jaybinmwinyi5918
    @jaybinmwinyi5918 Před 2 lety +9

    Hongera sana mwanrri kwa kazi bora unayoichapa big up, , , , moto wa kuotea mbali..💥💥

  • @balakakalagho1388
    @balakakalagho1388 Před 2 lety +6

    Eti amekunywa dilisha😀

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s Před 7 měsíci +1

    Awamu ya sita wakuu wa mikoa wakula bata tu, hakuna kazi wanayofanya,zaidi ya kucheza pull table,

  • @josiacharles2778
    @josiacharles2778 Před 7 měsíci +1

    Mtu alikunywa drisha 😂

  • @victormtani7170
    @victormtani7170 Před 2 lety +12

    Magufuli alikufa kwa sababu Kikwete hakupenda Uongozi wa ukweli na yeye atakufa tu Msoga muuaji na genge lake. Magufuli alikuwa anaweka watu wa kuongoza wachapa kazi siyo km huyo bibi Tozo anavyo tuburuza Watanzania anaweka washenzi wezi vibaka waliokuwa wamefukuzwa na Magufuli

  • @amanmwalyambi1416
    @amanmwalyambi1416 Před 11 měsíci +2

    Nilikuwa nampenda mwanri

  • @HalidMuhammad-gi9qy
    @HalidMuhammad-gi9qy Před rokem +1

    Hio safi ujinga na uzembe hta Kama unacheo

  • @jacksonjacksonjacksonjacks9879

    Mzee una tumia nguvu nyingi sana kuongea daha pole sana mzee wetu 2022

  • @sebaskibiki4836
    @sebaskibiki4836 Před 5 měsíci +1

    Mtu kazima! Suo mchezo

  • @aloycendalu6867
    @aloycendalu6867 Před 2 lety +1

    Hongera sana unanibaliki muno kamaumeokokavile

  • @mathayocharles5449
    @mathayocharles5449 Před 2 lety +3

    Mzee huyu namkubali mpaka naumwa

  • @newforcejv9721
    @newforcejv9721 Před 5 lety +4

    Huyu Mzee ni Moto wa Tipa

  • @alluminiumexperttz.12mview13

    Huyu apewe form ya urais 2025. Hata akisimama peke yake anachukua

  • @theonlyonebeautiful3726
    @theonlyonebeautiful3726 Před 5 lety +6

    🤣🤣🤣I loooove this guy,kweli simba huzaa simba magu hoyeeeeee

  • @shukuruezekiel1988
    @shukuruezekiel1988 Před 2 lety +3

    Duu kweli mwanile angekuwa raisi sijui tungekuwaje viboko vingeahusu wasio penda kazi

  • @gabrielmdem4271
    @gabrielmdem4271 Před 11 měsíci

    Usiniangarie Kwa huruma sio mchezi majembe ya magu haikuwa kitoto kazkz

  • @aceofspades3728
    @aceofspades3728 Před 2 lety +1

    Mzee mwanri😂😂👍

  • @pepchallanga3626
    @pepchallanga3626 Před 2 lety +1

    RIP Magufuli

  • @kilimanjaro77international26

    Huyu mwar namuita BLACK MAMBA

  • @ancomagu3155
    @ancomagu3155 Před 5 lety +2

    Huyu ndie RC MWANRI eti

  • @emmanicko1535
    @emmanicko1535 Před 2 lety +1

    NANI AMEKUNYWA DILISHA🤪😀

  • @aronpaul2331
    @aronpaul2331 Před 2 lety

    Nyieee😂😂😂😂mtakomaaa mbonaa

  • @nestgrammyz5475
    @nestgrammyz5475 Před 5 lety +2

    Eti Amekunywa hili 😂 😂

  • @majaliwarobert7709
    @majaliwarobert7709 Před 2 lety

    Naomba es

  • @aronpaul2331
    @aronpaul2331 Před 2 lety

    Amekunywa dilisha 🤣🤣🤣🤣injinia anatia huruma

  • @amriharuna4236
    @amriharuna4236 Před 4 lety +3

    Usiniangalie kwa jicho la Huruma

  • @oscarmachume8886
    @oscarmachume8886 Před 2 lety

    Dah kweli mzee

  • @paulmuchu9095
    @paulmuchu9095 Před 2 lety +1

    Soma hiyo

  • @PrissilaHussein-og3cg
    @PrissilaHussein-og3cg Před 11 měsíci

    Eti amekunywa dirisha haha

  • @robertj.4484
    @robertj.4484 Před 2 lety

    Songombingo na kitimutimu make, Mzee anachachafya vumbi kabisa huyu, daaah!!

  • @salmaiddy6059
    @salmaiddy6059 Před 5 lety

    Sweka ndani

  • @vitusgeraldo2282
    @vitusgeraldo2282 Před 5 lety

    Fyekelea mbalii hao

  • @adijajuma4978
    @adijajuma4978 Před 5 lety +3

    Sukumaa ndani hao

  • @keffajacob8952
    @keffajacob8952 Před 2 lety

    Hivi kuna mtu anaitwa bibi tozo🤣🤣🤣🤣

    • @busnaoman9981
      @busnaoman9981 Před 2 lety

      @Mtanzania Halisi ndio walewale mn unamvaa Kila anaeuliza swali hovyoo👌👌👌👌

  • @ericktweve5477
    @ericktweve5477 Před 5 lety +2

    Fyekelea mbalii

  • @ramadhanjuma1184
    @ramadhanjuma1184 Před 2 lety

    Daniel mgogo

  • @mubarakahamis2259
    @mubarakahamis2259 Před 5 lety

    Nomasan

  • @amranisongoro3497
    @amranisongoro3497 Před 2 lety

    Amekunywa hili

  • @josephatjohn2390
    @josephatjohn2390 Před 5 lety +2

    Utakuja kuua Babuu

  • @joxevictus3720
    @joxevictus3720 Před 4 lety

    Kioja😁😁

  • @hasanially9294
    @hasanially9294 Před 5 lety

    Nishidaa

  • @happykimaya2762
    @happykimaya2762 Před 5 lety

    Safi kabisa walizoea

  • @hamadyussuf5307
    @hamadyussuf5307 Před 4 lety +1

    Mzee unawazalilisha wenzio

  • @theonlyonebeautiful3726

    Safi uzembe umezidi Tanzania wakomeshe wote wajue nafasi zao

  • @flova7022
    @flova7022 Před 2 lety +1

    Utaratibu WA kumsimamisha mtumishi haupo hivo...mwanasiasa hata mandatory power ya kumsimamisha mtumishi.. na ni udhakilishaji ambao ni kosa kisheria kufanya huo upuuzi

    • @josephatmassae7316
      @josephatmassae7316 Před 2 lety +2

      Ulitaka ufwate utaratibu wa nini wakati umeharibu kazi kwa uzembe wako!!
      Labda kwa tamaa zako binafsi sasa unataka awabembeleze!!
      Ndo maana akasema wasimame kazi uchunguzi ufanyike wakikutwa hawana hatia watarudi kwenye shughuli zao!!

    • @thomasmartinez786
      @thomasmartinez786 Před 2 lety +3

      Wee nae mjinga kweli hujui kitu

    • @flova7022
      @flova7022 Před 2 lety

      @@thomasmartinez786 wewe ndio mjinga na hujuii... Pengine hujui sheriaa za utumishi na mipaka ya wanasiasa nenda ofisi ya utumishi kajifunze. Shida za watu msio jua sheria za utumishi omba ufundishwe ndugu yangu.usikae kusema mjinga...kumsimamisha mtumishi hadharani hiyo haipo kwenye ofisi zetu za utumishi na ni kosa la udhalilishaji..nukuu speech ya mama. Ummy avokuaa tamisemi utajuaa nachosema hususan juu ya Madiwani...pia unapaswa kujuaa mipaka na kazi ya Kila kiongozi ndio utaelewa hili

    • @hindisaidi5097
      @hindisaidi5097 Před 2 lety

      Jifunze kuelewa maudhui kwanza...hapa hajafukuzwa mtu kazi , wanachunguzwa tu.bado waajiriwa lakini kasoro ziliopo "dhaahiri" ni kubwa!

    • @flova7022
      @flova7022 Před 2 lety

      @@hindisaidi5097 weww ndio hujanielewa sijaandika kufukunzwa hapo.. nimesema Hana mandat ya kumsimamisha hadharani hivyo ni kosa kisheria. Kuna taratibu zake usitumie mihemko kujibu

  • @salmaiddy6059
    @salmaiddy6059 Před 5 lety

    Hahahaha kazimia hahahahhaaaa

  • @moshielfesty7992
    @moshielfesty7992 Před 2 lety

    🤣🤣🤣🤣🤣