Magufuli alikufa kwa sababu Kikwete hakupenda Uongozi wa ukweli na yeye atakufa tu Msoga muuaji na genge lake. Magufuli alikuwa anaweka watu wa kuongoza wachapa kazi siyo km huyo bibi Tozo anavyo tuburuza Watanzania anaweka washenzi wezi vibaka waliokuwa wamefukuzwa na Magufuli
Utaratibu WA kumsimamisha mtumishi haupo hivo...mwanasiasa hata mandatory power ya kumsimamisha mtumishi.. na ni udhakilishaji ambao ni kosa kisheria kufanya huo upuuzi
Ulitaka ufwate utaratibu wa nini wakati umeharibu kazi kwa uzembe wako!! Labda kwa tamaa zako binafsi sasa unataka awabembeleze!! Ndo maana akasema wasimame kazi uchunguzi ufanyike wakikutwa hawana hatia watarudi kwenye shughuli zao!!
@@thomasmartinez786 wewe ndio mjinga na hujuii... Pengine hujui sheriaa za utumishi na mipaka ya wanasiasa nenda ofisi ya utumishi kajifunze. Shida za watu msio jua sheria za utumishi omba ufundishwe ndugu yangu.usikae kusema mjinga...kumsimamisha mtumishi hadharani hiyo haipo kwenye ofisi zetu za utumishi na ni kosa la udhalilishaji..nukuu speech ya mama. Ummy avokuaa tamisemi utajuaa nachosema hususan juu ya Madiwani...pia unapaswa kujuaa mipaka na kazi ya Kila kiongozi ndio utaelewa hili
@@hindisaidi5097 weww ndio hujanielewa sijaandika kufukunzwa hapo.. nimesema Hana mandat ya kumsimamisha hadharani hivyo ni kosa kisheria. Kuna taratibu zake usitumie mihemko kujibu
Hongera sana mwanrri kwa kazi bora unayoichapa big up, , , , moto wa kuotea mbali..💥💥
Naomba es
Eti amekunywa dilisha😀
Awamu ya sita wakuu wa mikoa wakula bata tu, hakuna kazi wanayofanya,zaidi ya kucheza pull table,
Mtu alikunywa drisha 😂
Magufuli alikufa kwa sababu Kikwete hakupenda Uongozi wa ukweli na yeye atakufa tu Msoga muuaji na genge lake. Magufuli alikuwa anaweka watu wa kuongoza wachapa kazi siyo km huyo bibi Tozo anavyo tuburuza Watanzania anaweka washenzi wezi vibaka waliokuwa wamefukuzwa na Magufuli
Stress hizo zinakupelekesha
UNA USHAHIDI???
Nilikuwa nampenda mwanri
Hio safi ujinga na uzembe hta Kama unacheo
Mzee una tumia nguvu nyingi sana kuongea daha pole sana mzee wetu 2022
Mtu kazima! Suo mchezo
Hongera sana unanibaliki muno kamaumeokokavile
Mzee huyu namkubali mpaka naumwa
Huyu Mzee ni Moto wa Tipa
Huyu apewe form ya urais 2025. Hata akisimama peke yake anachukua
🤣🤣🤣I loooove this guy,kweli simba huzaa simba magu hoyeeeeee
Duu kweli mwanile angekuwa raisi sijui tungekuwaje viboko vingeahusu wasio penda kazi
Usiniangarie Kwa huruma sio mchezi majembe ya magu haikuwa kitoto kazkz
Mzee mwanri😂😂👍
RIP Magufuli
Huyu mwar namuita BLACK MAMBA
Huyu ndie RC MWANRI eti
NANI AMEKUNYWA DILISHA🤪😀
Amekunywa diliaha 🤣🤣🤣🤣
Hahahahahaha
Nyieee😂😂😂😂mtakomaaa mbonaa
Eti Amekunywa hili 😂 😂
Amekuywa dirisha... 😂😂😂😂
Naomba es
Amekunywa dilisha 🤣🤣🤣🤣injinia anatia huruma
Usiniangalie kwa jicho la Huruma
Dah kweli mzee
Soma hiyo
Eti amekunywa dirisha haha
Songombingo na kitimutimu make, Mzee anachachafya vumbi kabisa huyu, daaah!!
Sweka ndani
Fyekelea mbalii hao
Sukumaa ndani hao
Hivi kuna mtu anaitwa bibi tozo🤣🤣🤣🤣
@Mtanzania Halisi ndio walewale mn unamvaa Kila anaeuliza swali hovyoo👌👌👌👌
Fyekelea mbalii
Daniel mgogo
Nomasan
Amekunywa hili
Utakuja kuua Babuu
Alafu yule mama hana utaalam wowote
Kioja😁😁
Nishidaa
Safi kabisa walizoea
Mzee unawazalilisha wenzio
Hawa ndio viongozi 2naowataka Tz
Wanajizalilisha wenyewe
Safi uzembe umezidi Tanzania wakomeshe wote wajue nafasi zao
Utaratibu WA kumsimamisha mtumishi haupo hivo...mwanasiasa hata mandatory power ya kumsimamisha mtumishi.. na ni udhakilishaji ambao ni kosa kisheria kufanya huo upuuzi
Ulitaka ufwate utaratibu wa nini wakati umeharibu kazi kwa uzembe wako!!
Labda kwa tamaa zako binafsi sasa unataka awabembeleze!!
Ndo maana akasema wasimame kazi uchunguzi ufanyike wakikutwa hawana hatia watarudi kwenye shughuli zao!!
Wee nae mjinga kweli hujui kitu
@@thomasmartinez786 wewe ndio mjinga na hujuii... Pengine hujui sheriaa za utumishi na mipaka ya wanasiasa nenda ofisi ya utumishi kajifunze. Shida za watu msio jua sheria za utumishi omba ufundishwe ndugu yangu.usikae kusema mjinga...kumsimamisha mtumishi hadharani hiyo haipo kwenye ofisi zetu za utumishi na ni kosa la udhalilishaji..nukuu speech ya mama. Ummy avokuaa tamisemi utajuaa nachosema hususan juu ya Madiwani...pia unapaswa kujuaa mipaka na kazi ya Kila kiongozi ndio utaelewa hili
Jifunze kuelewa maudhui kwanza...hapa hajafukuzwa mtu kazi , wanachunguzwa tu.bado waajiriwa lakini kasoro ziliopo "dhaahiri" ni kubwa!
@@hindisaidi5097 weww ndio hujanielewa sijaandika kufukunzwa hapo.. nimesema Hana mandat ya kumsimamisha hadharani hivyo ni kosa kisheria. Kuna taratibu zake usitumie mihemko kujibu
Hahahaha kazimia hahahahhaaaa
Atakuja kuuuwa huyu mzee😀😀
🤣🤣🤣🤣🤣