RC MWANRI ALIVYOMBANA INJINIA MPAKA KAMKATAA BOSI WAKE "

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024

Komentáře • 129

  • @steveagustino9368
    @steveagustino9368 Před 5 lety +214

    Anaye mkubali MWANRI Like hapa

  • @Rogasiandesmond6
    @Rogasiandesmond6 Před 5 lety +43

    Tabora imekuwa nzuri sana, kuanzia barabara kui, za mitaa safi sanaaa. Piga kazi mzee wa sukuma ndani

  • @shorewanda5635
    @shorewanda5635 Před 5 lety +62

    Huyu mtu anajifanyaga kazi zake toka moyoni kabisa. Hana unafiki, wala hamtajitaji raisi. Anajua wajibu wake na unatoka ndani kabisa.

    • @fredrickbilaury7466
      @fredrickbilaury7466 Před 5 lety +1

      Kati ya watu wa CCM ninao wakubali ni huyu jamaaa Ubunge haumfai kabisaaa apa ndk mahali pake namkubali kwa kweli hana time na wapinzani yeye na maendeleo tu kama kuna mtu ana simamia kweli maendeleo ni huyu

    • @godlistenmaridadi754
      @godlistenmaridadi754 Před 5 lety

      Kiukweli agrey mwanri hatumii Kiki au jina la magufuli anafanya kazi yake kwa maslahi ya mkoa wake

  • @jimmiejr11
    @jimmiejr11 Před 5 lety +19

    tumei mislead.... mmei misplace bhana. KU MISLEAD maana yake nini
    🤣🤣🤣🤣 ???

  • @stephanomchenya6344
    @stephanomchenya6344 Před 5 lety +25

    Tukipata watu kumi kama huyu tutaisandia serkari ya mangufuli

  • @khalidballeth5957
    @khalidballeth5957 Před 5 lety +9

    FUKUA MAKABURI Mzee Tumpe LIKE RC Mkombozi i;i twende Kazi

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Před 5 lety +16

    Mkuu wa mkoa uko vzr nyoosha tabora yote wajomba zangu wajanja sana

  • @korogwetanga810
    @korogwetanga810 Před 5 lety +21

    Kwanini wanakuchezea mzee wa Toronto hawachukulii mfano kwa wenzao waliokwisha nyooka

  • @suratfrank6282
    @suratfrank6282 Před 5 lety +13

    Helmet ya mzee wa Toronto ni more funny!

  • @calowamaye4009
    @calowamaye4009 Před 5 lety +10

    Poa ☝🏾poa 👋🏽👂🏾👏🏽🙏🏽 good job that who Africans country should work had wavivu wasipewe nafasi ya kuhalimbu country to jenge inchii zote kwa bindii

  • @emanuelmselle637
    @emanuelmselle637 Před 5 lety +6

    Safi sana mkuu

  • @nasibuahmedy2438
    @nasibuahmedy2438 Před 5 lety +15

    Kwangu mm huyu ndiye Raisi wangu au aje kuwa hata mkuu wa mkoa hapa Dar es Salaam

    • @hjhj6230
      @hjhj6230 Před 5 lety

      Hakika dar ingenyooka zaid

  • @imrankombe1816
    @imrankombe1816 Před 5 lety +17

    Aliesikia daraja litabaki kama stuli hapa katkat gonga like kw huyu baba

  • @yashjuma9168
    @yashjuma9168 Před 5 lety +16

    Helmet ya RC Mwanri 😂😂😂

  • @johnlaoz1416
    @johnlaoz1416 Před 5 lety +10

    Afu siyo program inayohitajika hapo ni drawing

    • @ludovickanizet9991
      @ludovickanizet9991 Před 5 lety +1

      john laoz
      Drawing zinaendanda sambamba na program ya kazi/schedule of works.
      Lazima kila stage ya kazi itambulike itaanza lini na itaisha lini

  • @shayopaterini8678
    @shayopaterini8678 Před 5 lety +10

    Saf saana mzeee wa Tabora mpyaa London

  • @emanuelcosmas395
    @emanuelcosmas395 Před 5 lety +11

    Nimesikia daraja litabaki Kama stuli..

  • @kizitokasulamo9167
    @kizitokasulamo9167 Před 5 lety +8

    Dalaja linabaki kama sturii 😁😁😁😁😁

  • @mwinyimtengwa5515
    @mwinyimtengwa5515 Před 5 lety +2

    Unafaa kuwa upcoming president wa tanzania🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @salummuhija4435
    @salummuhija4435 Před 5 lety +1

    Jamaa anazugazuga tu hapo chini kupimapima wakati hata kwa macho unaona tu kwamba hapo iko shida.

  • @hashimusaid7695
    @hashimusaid7695 Před 5 lety +26

    Watanzania wakati umefika wakujitambua nakuacha kufanya kazi kimazoea, Watanzania wengi hawajatambua nini maaana ya uchumi wa kati, nchi yenye uchumi wa kati hatuna budi kuindaa sasa, mda tulio nao ili kufikia lengo ni mchache mno, ndio maana jpm kaja na slogan yake ya (hapa kazi tu ) ili nchi maskini kama Tanzania iweze kuufikia uchumi wa kati, inahitaji kua na kiongozi kama jpm, na wananchi wake kuiunga mkono serikari yao, watanzania hatuna budi kuiunga mkono serikari yetu, kwasababu rais John pombe magufuli yupo kwenye njia sahihi. JPM4LIFE

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 Před 5 lety +1

    Mkuu wa mkoa unakazi ngumu sana kila sehemu matatizo duuuu

  • @wilsonboniface6482
    @wilsonboniface6482 Před 5 lety +1

    Huyu jamaa katika watu walioteuliwa na mh raisi Hapa mtu kapatikana haswa hana figisu figisu safi sana

  • @Itarusii
    @Itarusii Před 5 lety +8

    Eti usiitikie tu kwa kichwa!😥😥

  • @MegaAlexison
    @MegaAlexison Před 4 lety

    Tulikuwatunawachukiya wa china sasa j’ai ni watanzania wa nafanya kazi hiyo wanakula pesa wa kandalasi na injiniya ni wa Tanzania kazi wanafanya mbovu ila wa kule pesa.... bwana RC mwanri watanzania wa nakupenda sana kazi nzuri

  • @danielyared4880
    @danielyared4880 Před 5 lety +4

    Hatari sana

  • @barakambwilo4602
    @barakambwilo4602 Před 5 lety +5

    safi sana mkuu

  • @abdulkillya2655
    @abdulkillya2655 Před 5 lety +5

    Daraja litabaki kama #stuli 😂😂😂😂😂😂😂😂,

  • @abdulinyanga6741
    @abdulinyanga6741 Před 5 lety +4

    Tabora now is called London🔥🔥

  • @atikombogolo2356
    @atikombogolo2356 Před 5 lety +1

    Kusimamiankazi vizuri ndiko kumuwakilisha Rais kwenyewe. Sio kumtaja taja unaishia Ofisini kunywa chai. Yule kamaa wa Arusha sijui bado yupo au yu wapi jamani

  • @bodeamaimbo4180
    @bodeamaimbo4180 Před 5 lety +3

    Kama umesikia kama mimi You Men 😂😂😂

  • @frankmgendi8751
    @frankmgendi8751 Před 5 lety +5

    Ndioo mana watz tunakosa ajira maan tunashindwa kua wazalendo kwakweli tubadilike ili tulijenge taifa tutaishia kulalamika kua wanapewa tenda wagen uku sumu ni cc wenyewe

  • @dshynermcongo1564
    @dshynermcongo1564 Před 5 lety +12

    Apewe uwaziri wa ujenzi na miundombinu huyu atatufaa sanaaa

  • @danieln.laurence1485
    @danieln.laurence1485 Před 5 lety +1

    Hivi hawa wakandarasi makanjanha hua mnawapataga wapi jamani hasee....., kuna watu wako fit wako kitaaa makanjanja ndio wanapewa miradi 🙄

  • @abdulinyanga6741
    @abdulinyanga6741 Před 5 lety +3

    Anafaa kua waziri wa ujenzi na miundombinu Raisi amtazame uyu

  • @yusuphwella9651
    @yusuphwella9651 Před 5 lety +7

    Daraja litabaki km stuli🤣🤣🤣

  • @israelimjema5001
    @israelimjema5001 Před 5 lety +2

    Safi xana Mangi waonyeshee kuwa uongozi ndivyo unavyotakiwa uwe chapa kazi raisi

  • @mussataliye7815
    @mussataliye7815 Před 5 lety +2

    Tumbua aoooooo

  • @aginiweyessayakyando9855
    @aginiweyessayakyando9855 Před 5 lety +2

    Watanzania wengi hatuko serious na kazi, ubabaishaji mwingi mno jmn hebu tubadilike ndg zangu. Tunafurahia mambo mazuri wanayofanya wengine lkn mbona wengi wetu bado tuko zama za zamani🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️

  • @geofreykiller6792
    @geofreykiller6792 Před 5 lety +12

    Daah mzee yuko serious hatak mchezo

  • @ibrahimrashid8676
    @ibrahimrashid8676 Před 5 lety +5

    Uyu mzee akijichanganya akavuta bangi tu basi atapiga watu

  • @tinyaanosiatha1118
    @tinyaanosiatha1118 Před 5 lety +2

    Huyu mkandarasi akikuletea za kuleta fwekelea mbali.. hiki ni kishindo cha awamu ya tano. Hakuna mchezo ni hapa kazi tu.

  • @ramadhaninasaibu140
    @ramadhaninasaibu140 Před 5 lety +1

    Mkuu afande bonge anasinzia huyo

  • @febroniakimaro8119
    @febroniakimaro8119 Před 4 lety

    Hahaaa my favourite. Ur so smart honorable

  • @rajabchumbi1491
    @rajabchumbi1491 Před 5 lety +1

    Nikipata tenda mkoa wa tabora nagoma uyuu jamaa balaa mmmhh

  • @ramadhankatozi9150
    @ramadhankatozi9150 Před 5 lety +4

    Kweli Tabora itakuwa kama Toronto

  • @motoernest7890
    @motoernest7890 Před 5 lety +6

    Ahaha program wameimislead

  • @ilovecomputers1630
    @ilovecomputers1630 Před 5 lety +4

    Veraaaaaaaaa 😄😄😄

  • @puttenyanthony9284
    @puttenyanthony9284 Před 5 lety +5

    Jamaa namkubali mpaka kelooooo

  • @rweyemamueustace1706
    @rweyemamueustace1706 Před 5 lety +3

    Salute Ndio kila weekend

  • @zamdaoman7782
    @zamdaoman7782 Před 5 lety +5

    Nomaa sana

  • @lawmaina78
    @lawmaina78 Před 5 lety +1

    Watu wanapoteana....hehehe

  • @masoudmullah1329
    @masoudmullah1329 Před 4 lety

    Huyu jamaa angekua raisi, bac hii nchi ingekua ya maajabu, co kama ilivo shv

  • @fredrickbilaury7466
    @fredrickbilaury7466 Před 5 lety +2

    Huyu ndo mtu kwa kweli magufuli tafadhali tupelekee huyu mtu airekebishe Songwe yetu

  • @jumajoseph9353
    @jumajoseph9353 Před 5 lety +4

    Kamandaaa Tabora tunajivunia

  • @zainabguya9257
    @zainabguya9257 Před 5 lety +1

    Mislid maana Yake ndio nn mm sielewi

  • @emjay1016
    @emjay1016 Před 5 lety +3

    mkuu wa mkoa wa mwanza iga utendaji wa mh.Mwanri

  • @kalimyusuph6616
    @kalimyusuph6616 Před 4 lety

    Hakika nashukuru mkoa wagu umepata kiongozi

  • @mwitafrancins3998
    @mwitafrancins3998 Před 5 lety +1

    Kama umemuona afande milaji anasinzia sukuma Nadani

  • @newbornhaule1635
    @newbornhaule1635 Před 5 lety +1

    Kuhusu kuleta mzigo wote nafikiri wanaepuka cement na nondo kuharibika ila mzee Baba libarikiwe Tumbo lililokubena unafanya kazi bila kuangalia nani anakutazama bali una uzalendo na kodi zetu...yapo madubwana yamekula hela mpaka yanawaza yafanye nini kutuumiza tusiosoma ....

  • @tareqhilal6750
    @tareqhilal6750 Před 5 lety +1

    "You meeen "hahaha fanya kazi baba

  • @lawmaina78
    @lawmaina78 Před 4 lety

    Unaendeshaji mradi bila mpango kazi au program, ama kwa kweli hii ndio Afrika.

  • @rastaashiraph745
    @rastaashiraph745 Před 5 lety +2

    Natamani uje kua raisi wa tz mzee

  • @saketnicholaus9962
    @saketnicholaus9962 Před 5 lety +2

    shida tulonayo nchi hii ni kiwapa nafasi wasioweza kazi undugu tu ndo mwingi na kubebana

  • @nkubapaul8531
    @nkubapaul8531 Před 5 lety +1

    Mto manonga kuingia shy

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 Před 5 lety +3

    hata mganga wa kienyeji ana program akishapata watu anaanza na lamli kisha unajua kesho nitafanya nini

  • @makamemufadhil627
    @makamemufadhil627 Před 5 lety +1

    Huyu Jamaa noma

  • @dicksonaroka6961
    @dicksonaroka6961 Před 5 lety +4

    Mzeeee kula kichwa cha mtu wasikuzoeeee kabisaaa wana leta longo longo hao watu.

  • @luganomwambulukutu5311
    @luganomwambulukutu5311 Před 5 lety +2

    Nimesikia anakuja mbeya

  • @manttheboss7545
    @manttheboss7545 Před 5 lety +2

    Kama una miss read gonga like..

  • @manasemwakilasa5931
    @manasemwakilasa5931 Před 4 lety +1

    Unakula kw jasho lako rc

  • @issamohd2674
    @issamohd2674 Před 5 lety +1

    Hawa wote wakusukuma ndani ndani

  • @hashimusaid7695
    @hashimusaid7695 Před 5 lety +4

    Sukuma ndani fanya kama unajikuna hivi

  • @majaaliwajuma5512
    @majaaliwajuma5512 Před 4 lety +1

    Mislidi ndio Nini Mimi sijaelewa hapo???

  • @johnlaoz1416
    @johnlaoz1416 Před 5 lety +7

    Kazi za kitalaam hizi hazihitaji siasa

    • @lucasheluman476
      @lucasheluman476 Před 5 lety

      john laoz sahihi

    • @danielmgonja9906
      @danielmgonja9906 Před 5 lety

      john laoz ukaguzi

    • @douglasjackson373
      @douglasjackson373 Před 5 lety

      john laoz
      -Utaalamu huo ndo umetuchelewesha watu wanapiga hela kwa kisingizio cha utaalamu
      -Twende hivi hivi hata kwa miaka kumi tutakuwa mahali fulani

    • @asphathbashiru2052
      @asphathbashiru2052 Před 5 lety

      @@douglasjackson373 ss siasa iko WAP hapo wkt rc anaongea fact tupu za ki engineer hapo, wee c unaona hta hao wanaojiitaaa matechinician uchwara wanashindwa hta kuongea yaan kawagonga mambo yakitaalam wanayotakiw kufanya

  • @suzanegabriel8232
    @suzanegabriel8232 Před 5 lety +2

    instagram.com/siloamnetwok?igshid=181lx2rxhk116 subscribe yako ni muhimu sana kwetu na Mungu akubariki share zaidi amen.

  • @davidojuok1608
    @davidojuok1608 Před 8 měsíci

    RC MWANRI anafaa akuje uku kwetu Kenya atufanyie kazi kwa muda wa mwaka mmoja tu,hawa wazembe watoroke ata kabla wafukuzwe

  • @dicksonjohn4477
    @dicksonjohn4477 Před 4 lety

    Hii jembe ya kazi aseee

  • @charzykibushi6133
    @charzykibushi6133 Před 5 lety +3

    You mannnnn !!!!!!!! Hahahaha

  • @benedictodaniel323
    @benedictodaniel323 Před 4 lety

    Mh Rais Tunaomba wana mwanza Huyu kiongozi Aje mwanza Maana Uliahidi kuwa mwanza Utaifanya kama Giniva sasa huyu anaweza kusimamia yale unayota

  • @RobbyRunnerON3
    @RobbyRunnerON3 Před 5 lety +3

    Tumeimis Lead??????🤣

  • @safariadrien5493
    @safariadrien5493 Před 5 lety +1

    4:30 kamanda kasinzia ile mbaya kieeehh

    • @lucasmkui3160
      @lucasmkui3160 Před 5 lety

      Safisana Mh Mwananri ningependa uwe Waziri wa miundombinu yawn upon safiiii, uno full confidence nakukubali wewe ni kamanda unalifaataifa la Tanzania upopamoja na Mh Raisi wetu safiiii tenasaaana .

  • @snetiengineering_hub
    @snetiengineering_hub Před 5 lety +1

    Huyu anaeza akupige kofi

  • @ramsonlatino2008
    @ramsonlatino2008 Před 5 lety +3

    Watanyooka

  • @chariuskiita8942
    @chariuskiita8942 Před 5 lety +2

    jamaa mzalendo

  • @willambimgalla5601
    @willambimgalla5601 Před 5 lety +4

    Mislead tena hahaha

  • @benedictodaniel323
    @benedictodaniel323 Před 4 lety

    Tungekuwa nao kama 10 Viongozi wa mikowa kama huyu Nchi ingesonga mbele

  • @allyhassan7522
    @allyhassan7522 Před 5 lety +3

    Yaani watu hawa walioaminiwa wanakuwa wajinga wajinga kila siku.Hivi tangu aanze kusema huyu mkuu wa mkoa hawajifunzi? Halafu ni mume au baba wa mtu huyu anayefanya kazi kwa mazoea na si kwa weledi.Shame on them stupid!

  • @faustinluambano2958
    @faustinluambano2958 Před 5 lety +1

    Hizi kampuni ni za akina nani?. Kuna moja inafanya matengenezo hapa MACHAVA bogus kabisa.Hamna kinachoendelea cha maana na mawaziri wawili na naibu moja wanaona jinsi kazi inavyochezewa lakini KIMYAAAAAA.

  • @luganojacob
    @luganojacob Před 5 lety +3

    Nima na nusu

  • @dillisalum2384
    @dillisalum2384 Před 2 lety

    Aisee mainjinia wengi wazembe sna

  • @dickymediapro4179
    @dickymediapro4179 Před 5 lety +1

    Soma iyooo

  • @SalmaSalma-qp3xf
    @SalmaSalma-qp3xf Před 4 lety

    😂😂😂kazi kazi

  • @jacobmakono389
    @jacobmakono389 Před 4 lety

    Mzee mwenge haupo tens!!covid-19!!!!

  • @tadeustemba4549
    @tadeustemba4549 Před 4 lety

    Mnaona vipi baada ya Magu afate huyu

  • @dwiny7841
    @dwiny7841 Před 5 lety +2

    🤣😂😂😂😂😂🤣😂😂

  • @deogratiusdominick8882

    Vp wakaz wa tabora kukoje uko ?

  • @brayo001
    @brayo001 Před 4 lety

    Mislead maana yake nini he he

  • @lucasheluman476
    @lucasheluman476 Před 5 lety +5

    acha kuchachatika kwenye taaluma za watu mzee

  • @hassanmkungile6021
    @hassanmkungile6021 Před 4 lety

    Tuelewane vzul apo