RAIS WA MALAWI ALIYEFARIKI TANGU 1994 'ANAISHI KISHUA'?/UMEME HAUJAWAHI KUKATIKA KABURINI KWAKE
Vložit
- čas přidán 14. 09. 2022
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Kamuzubanda #Malawi #Nyasabigbullets
Tunaishi kwenye dunia ambayo wafu wanaishi katika majumba mazuri lakini maskini ya Mungu ambao ni wazima wanaishi katika vibanda vya nyasi
Hao wanao ishi kwenye nyasi, kwanini na wao wasiishi kwenye nyumba nzuri
Sio shida zao😄
Mtangazaji umefanya kazi nzuri sana, hongera mnoo
Makala nzuri sana, mtangazaji umeitendea haki hii makala
Mtangazaji unajua mpk unajua Tena kongole brother 👊
Kvkv
Safi sana, Mtangazaji umeweka maneno vyema
Africans yaani jitu limewatesa na kuwaua bado wanalijengea kaburi zuri.. waafrika macho yetu yafunguke
Huyu alikuwa muhuni tu tena siyo m.malawi ni mu ghana.walipipigwa nyundo
Mmalawi pure. Watu walikuwa wanazusha tu kwasababu aliishi sana nje na alisoma sana
Mimi nikiwa kijijini kwetu,miaka ya 1980 hadi miaka ya 1989 nilishuhudia watanzania wakitakiwa kua na kadi za ccm ili kupata huduma mbalimbali za kiserikali,na ilikua ni lazima uwe mwanachama wa ccm ili uhudumiwe vizuri,kwahio hata ubinafsi unaoendelea kwa watawala wa tz,ni matunda yaliostawishwa na ccm.
Ilikuwa upinzani bado was vyama vya siasa kipindi inco
Tanzania ilikuwa na Chama kimoja tu CCM so zamani ilikuwa kama sheria ni kama kuwa na kitambulisho Cha NIDA sasa
@@lucasmhagama8166 kweli ilikuwa hamna upinzani kipindi incho
Asante mtangazaji kuna baadhi ya viongozi wanajuwa waitaishi milele kwa aliyofanyia binaadam wenzie kuwauwa bila hati Mwenyeezi Mungu ndie anae juwa hukumu yake unajuwa ukiwatesa sana watu lazima wakuombee mabayaa au ufe yote kwa yote tunamshukuru Rais wetu hayat Mwl Julias Kambarage Nyerere kwa kuitetea nchi angekuwa mzembe Tanzania ingekuwa ndogo sana alipambana sana kila aliyekuwa anataka kuimega nchi
Nic story you work had
Uyo rais alikuwa mshenzi aliuwa watu Sana na pia alikufa bila mke
Walimfanyia kitu mbaya Waingereza kwenye mfumo wake wa uzazi😂😂, maana alikua daktari hodari
Alikuwa ni mchawi hatari
@@TM.Sullusi walimfanyaje 😂😂😂😂😂 walimfinya pumbu nini
Atari babu alikimbia uwo utawala najua Tanzania 😭😭😭 nchi ya aman
Broo respect
Niko hapa ujerumani na nzi zipogo tu hasa summer season ..nashangaa eti kashangaa lugha yake mmmh unaanzaje
Kwa historia yake hakupaswa kupoteza vitu vya thamani kumjengea hivyo. Mmeviharibu bure vingetumika kwa watu waadilifu. Ni kama kupuliza perfume jalalalani ukitaka linukie.
Kweli kabisa ! Shida hiyi IPO has a Afrika
Haya yapo afrika tu huwezi kuta ulaya wanachezea pesa kujenga makaburi
Hongera xana boss
Napafahamu hapo....
Ila ukifa hakuna kuishi kishuwa
Kufa ni kufa tu hata ujengewe kabuki la ghorofa 100 juu
Kamuzu banda alikua ajui lugha yoyote ya Malawi ajua English tu ni wa kutoka Ghana kapewa zawadi na queen Elizabeth
My boy😃😂😃
Hatali sana aisee afrika watawala niwabinafs sana
Ingekuwa ukiua mtu unaishi milele watawala wengi wasingekufa, yafaa nini kuuwa watu then nawe unakufa
Huo mjengo ulipaswa kwahuku tz🇹🇿 ajengewe kipenzi magufuli
Halafu iweje??? kabrii linajengwa kwa matendo mema na ucha mungu tu ayo mapambo hayasaidii chochote ndugu yangu.
Masikini... Alikua mtana shati, lakini leo yuko chini uchafu huo huo
Naukubali Sana natamani namimi nije nione
Akachezewe vizuri huko aliko
Somba Ni samaki kwa kwetu uku Zambia Ila hongera Sana somba
Na kota ni zile nyumba za kupanga ndogo ndogo huku kwetu Tanzania 😂😂😂😂
@@khadijajacobo4660 🤣🤣🤣 umenishinda
Wamuyaya yaani wamilele
Hata kwetu Makete somba ni samaki tena zikitokea ziwa Nyasa na ni tamu kweli.
@@dicksonkilupa2258 🤣🤣🤣 uwongoooo
Nice
I have been at this place
Sasa kwa ukatili huo aloufanya ,mbona wamemjengea kaburi lenye dhamani Sana?
Hata nami nimepatwa na mshangao baada ya kuliona kabur huenda wamemjengea mwenyewe alitaka afanyiwe hivyo au wameona wamjengee kwa kuikomboa nchi yao
Ilitakiwa lipigwe bomu Ili kufuta historia, maana wapumbavu kama hawa ndio wamesababishwa waafrika tudharauliwe
@@heritier5119 yaani mtihani pesa ya serikali inatumika hapo kwa kulipa walinzi wanaomlinda marehemu SubhanAllah wapo wanachi wenye njaa wagonjwa na mitihan mbalimbali hakuna anaejali dunia hii inatuhadaa
@@user-fs7xc2bb5d ujinga wa muafrika SAsa nani ataiba mzoga
Ndugu yangu wala usiuumize akili yako hii ni kawaida Yao watawala kupenda kupeana sifa nzuri nzuri tu hata kama alikua maaluuni kupita kiasi utawasikia kwenye misiba Yao oohhh sjui alikua mpenda haki sjui mchapa kazi mara muadilifu kumbe hkn kitu km hicho mafasiQ na uhabisii tu mwingi.
Same as Tanu party during Nyerere
Ok ndoma na kwetu z'bar hii sera ya kama huna kadi ya chama tawala hupati kazi serekalini kumbe wamechukua malawi kwa huyu mjeda du!
KARUME MNYASA.
Hizi sera za Zanzibar zilitoka Malawi kwani karume alitokea Malawi ndio kwao
Ngoja nisablakilabu
Duuuuuuuuuh hii yenyewe na limekula gharama kubwa
Haya tuone yario ya dunia🤳
asante sana kaka kwa muda wako na kutuletea habari ambazo tulikuwa hatuzijui...Ubarikiwe sana..ila humu duniani kuna watu wengine wamekufa lkn bado wana enjoy maisha...very beatiful place..mm nilidhani kanisa...lkn sio mbaya ni kivutio kwa watalii pia...kaka nenda Zimbabwe utuletee taharifa za mugabe na mahali alipozikwa...maana hawa wote historia zao zinafanana...
madaktari wa Queen waliominywa mmmh nani iiii... naogopa kusema
😄
Waliokuwa wanamlinda waliokuwa wajinga
Wajanja kama wewe waliuliwa kama nguruwe kwa kukosa kumsikiliza
Alikuwa mchawi
Pamoja na fahari zote lakini kaishia kuzimu
#Somba umetisha mwanangu kwenye hii simulizi. ukishawahi kumuhoji MH. JK kwake Msoga
Hiyo habari nzuri kweli.
Alikuwa wa mansion
Safi sana
Daaah
Hatareeeeee huyo mzee
Huyo aliyetengeza kaburi ali haribu pesa za nchi maana hakuwa kiongozi mzuri
But nimesikia kuwa hajawai kuwa na mke !?
Kama ume sikia kama Mimi nipe kongole 👍👍👍
Innaa lillaahi wainnaa ilayhi raajiuun,Jamaa alikuwa aaswi kwelikweli
Huyo sio mtu wa kukumbukwa, hiyo kaburi inatakiwa kumbomolewa na kusahaulika.
Maajabu haya
All is vanity,hawezi amka ata kwa hizo garama zote
Somba unajua sana, kazi ya kiwango hii..
Pamoja na ubabe na ukatili yuko chini ya udongo sasa, viongozi acheni ukatili maana sote tu wapitaji akuna mbabe mbele ya kifo
Eti unaupiga mwingi😂😂 kwahiyo hizi ni kauli za watu machawa
KAmuzu alijifanya mudhungu akasahau alipotoka
Pumbavu,tangazo
Izo ndo tunataka hbr kama izi
somba hiyo!
Sasa maana gani ya kua na iyo Mali yote na huna bibi, watoto ,kuumiza tu raiya wenzako weusi
Hee! Nimeogopa ulivoingiza huo mkono hapo kwenye nondo kutuonesha alipalala Simba wa Malawi. Mara ghafla usikie unavutwa kwa ndani, mamaaaaa...🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Tufanye ibada
Madikteta wote walikuwa washirikina
Lakini ndiyo keshakufa Yote hayo hayana Maana
Kube c Kenya pekee Raise wa kwanza Jakawai zikwa ! From 1978 now 2022
Huyu mzee arikuwa katili sana alikuwa akija kwenye mikutano wananchi wote walitakiwa kukaa chini hakuna kusimama
Mbona Wamekosea miaka ya Kuzaliwa,,?
Watu walio hai wanaushi kwenye vibanda marehemu wanamlaza sehemu nzuri ya kishua😏😏😏😏
Nazl
Dah huyu mwamba alikua adiko yaan hajawai kung'oa demu
Alikuwa anagonga ila udikiteta ndo ulikuwa unamsumbua
Wengi wao wanakuwa ni wachawi thus wanaua watu
elimu mzuri
Matumizi mabaya ya. Fe
Umenikosha mkuu mwaka 2014 nilitembelea hapa Hakika haujakosea
Bado tu kufufuka mbona
Sasa hayo yote yanamasidia nn?kama hakuwa na matendo mama imekula kwakwe,harafu chakushaza wamemuwekea umeme juu ya kaburi vp khs ndani ya kabuli?wakristo bwana akili zao ni ndogo sana wanahisi kwakufanya hivyo labda ndio itamsaidia.
Maisha ya duniani si zaidi ya kula na kunywa
Yote no ubatiri mtupu Yuko wapi sasa
Hawa ndio watangazaji sasa
Aise uliendaje huko
Saf Sana somba
Sasa huyu c alikuwa Malaya tu kashidwa kuwa na mke kisa umalaya wake
HUYU ANGETUPWA KAMA TUNAVYOTUPWA WENGINE HAKUFAA KUJENGEWA HIVI KABISA🤣🤣
☝️❤️❤️♥️😂😂
Nazarethmwandi
Yan kwakwel,,, tajir mfu anaish ktk jengo lakifahar,,,,, lililotumia garama kubwa, lakin maskin anaish ktk kibanda kilichoezekewa nyas,,,, nakimachovuja,,,
Haha kaburi TU wanaxhea pesa
Yani mupaka leo tunamu kumbuka san
Unaua binadamu wenzio kisha na wewe unakufa inasaidia nini, thus watawala wa kiafrica wapo kuzimu, Hakuna aliyeenda mbinguni hata mmoja, sababu wananuka damu za watu
dictator huyo
Viongozi wa kiaafrika balaa tu
Huyu Ali kuwa sio malawi mbwa kabisa
Dunia ina mambo ndugu mabwenyenye hayo ndio yamekalipia nchi ziingine cha muhimu ni mungu tu
I don't understand Swahili very well but I tried to Google translator for the comments to my surprise everyone is negative about him, that's very wrong. He was way better than you are thinking about him and so developmental than any of the president malawi has ever have
una uhakika gani?
@@ikwisamwakatobe4460 atakua mwana familia huyu🤣🤣🤣
Kamuzu kafa mwaka gani unasema??1994???
Kasema 1997
Mbona unaongea uku unakunja sura
Tunavyo ona maraisi wa wenzetu na wa kwetu wanaonekana hivyo hivyo , tulikua tunakaa foleni ya unga wa muhogo nili tupwa lockup kwa kuonekana na sabuni moja ya Lux niliyo pewa zawadi.
Dah pole
Kweli kabisa
Hakuna nafsi ambayo Haitaonja Mauti
Mugabe, banda, savimbi, hawa ni waafrika wapumbavu walifanya mambo kama awajakwenda shule. Walitumia vibaya Sana elimu zao kuzibomoa nchi zao.
Umesahau mmoja kikulacho
Wewe acha kumuingiza Mugabe kwenye uozo wako huo
@@bazilkisibo5811 kipi cha maana alichofanya kwa elimu yake, zaidi ya kuubomoa uchumi wa nchi yake. Wapigania UHURU walipigania maslai yao binafsi na sio maslai ya waafrika wote thus wao ni matajiri waafrika ni masikini.
safi sana somba
Siri ya Huko aliko aijua yeye mwenyewe. Adhabu za mungu ni kali zinatisha
Yafaa nini SAsa hizo pesa si wangenunulia matreka tu
Nazarethmwandi