RAIS WA MALAWI ALIYEFARIKI TANGU 1994 'ANAISHI KISHUA'?/UMEME HAUJAWAHI KUKATIKA KABURINI KWAKE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 14. 09. 2022
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #Kamuzubanda #Malawi #Nyasabigbullets

Komentáře • 145

  • @sultanamour8501
    @sultanamour8501 Před rokem +22

    Tunaishi kwenye dunia ambayo wafu wanaishi katika majumba mazuri lakini maskini ya Mungu ambao ni wazima wanaishi katika vibanda vya nyasi

  • @ErickChrispin
    @ErickChrispin Před rokem +20

    Mtangazaji umefanya kazi nzuri sana, hongera mnoo

  • @noelmarapachi1808
    @noelmarapachi1808 Před rokem +10

    Makala nzuri sana, mtangazaji umeitendea haki hii makala

  • @mjukuuumachoz1599
    @mjukuuumachoz1599 Před rokem +10

    Mtangazaji unajua mpk unajua Tena kongole brother 👊

  • @brandsmedia4861
    @brandsmedia4861 Před rokem +6

    Safi sana, Mtangazaji umeweka maneno vyema

  • @wilsonchishomi1083
    @wilsonchishomi1083 Před rokem +9

    Africans yaani jitu limewatesa na kuwaua bado wanalijengea kaburi zuri.. waafrika macho yetu yafunguke

  • @g_forcemusician4242
    @g_forcemusician4242 Před rokem +6

    Huyu alikuwa muhuni tu tena siyo m.malawi ni mu ghana.walipipigwa nyundo

    • @elwinluwe4631
      @elwinluwe4631 Před rokem

      Mmalawi pure. Watu walikuwa wanazusha tu kwasababu aliishi sana nje na alisoma sana

  • @isaacsengunda3099
    @isaacsengunda3099 Před rokem +13

    Mimi nikiwa kijijini kwetu,miaka ya 1980 hadi miaka ya 1989 nilishuhudia watanzania wakitakiwa kua na kadi za ccm ili kupata huduma mbalimbali za kiserikali,na ilikua ni lazima uwe mwanachama wa ccm ili uhudumiwe vizuri,kwahio hata ubinafsi unaoendelea kwa watawala wa tz,ni matunda yaliostawishwa na ccm.

    • @dottoamos2902
      @dottoamos2902 Před rokem +1

      Ilikuwa upinzani bado was vyama vya siasa kipindi inco

    • @lucasmhagama8166
      @lucasmhagama8166 Před rokem +1

      Tanzania ilikuwa na Chama kimoja tu CCM so zamani ilikuwa kama sheria ni kama kuwa na kitambulisho Cha NIDA sasa

    • @dottoamos2902
      @dottoamos2902 Před rokem +1

      @@lucasmhagama8166 kweli ilikuwa hamna upinzani kipindi incho

  • @user-fs7xc2bb5d
    @user-fs7xc2bb5d Před rokem +13

    Asante mtangazaji kuna baadhi ya viongozi wanajuwa waitaishi milele kwa aliyofanyia binaadam wenzie kuwauwa bila hati Mwenyeezi Mungu ndie anae juwa hukumu yake unajuwa ukiwatesa sana watu lazima wakuombee mabayaa au ufe yote kwa yote tunamshukuru Rais wetu hayat Mwl Julias Kambarage Nyerere kwa kuitetea nchi angekuwa mzembe Tanzania ingekuwa ndogo sana alipambana sana kila aliyekuwa anataka kuimega nchi

  • @ziyandamhlana8776
    @ziyandamhlana8776 Před rokem +8

    Nic story you work had

  • @ulaweboy9826
    @ulaweboy9826 Před rokem +12

    Uyo rais alikuwa mshenzi aliuwa watu Sana na pia alikufa bila mke

    • @TM.Sullusi
      @TM.Sullusi Před rokem +5

      Walimfanyia kitu mbaya Waingereza kwenye mfumo wake wa uzazi😂😂, maana alikua daktari hodari

    • @heritier5119
      @heritier5119 Před rokem +1

      Alikuwa ni mchawi hatari

    • @zuleyvendor6577
      @zuleyvendor6577 Před rokem +1

      @@TM.Sullusi walimfanyaje 😂😂😂😂😂 walimfinya pumbu nini

    • @bintysele6999
      @bintysele6999 Před rokem +2

      Atari babu alikimbia uwo utawala najua Tanzania 😭😭😭 nchi ya aman

  • @amirikoshuma6022
    @amirikoshuma6022 Před rokem +6

    Broo respect

  • @peaceisrael8158
    @peaceisrael8158 Před rokem +4

    Niko hapa ujerumani na nzi zipogo tu hasa summer season ..nashangaa eti kashangaa lugha yake mmmh unaanzaje

  • @nyotaphina8167
    @nyotaphina8167 Před rokem +9

    Kwa historia yake hakupaswa kupoteza vitu vya thamani kumjengea hivyo. Mmeviharibu bure vingetumika kwa watu waadilifu. Ni kama kupuliza perfume jalalalani ukitaka linukie.

  • @heritier5119
    @heritier5119 Před rokem +4

    Haya yapo afrika tu huwezi kuta ulaya wanachezea pesa kujenga makaburi

  • @MosesMsomba-jp7zq
    @MosesMsomba-jp7zq Před 2 měsíci

    Hongera xana boss

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Před rokem +3

    Napafahamu hapo....
    Ila ukifa hakuna kuishi kishuwa
    Kufa ni kufa tu hata ujengewe kabuki la ghorofa 100 juu

  • @kassimmustapha456
    @kassimmustapha456 Před rokem +3

    Kamuzu banda alikua ajui lugha yoyote ya Malawi ajua English tu ni wa kutoka Ghana kapewa zawadi na queen Elizabeth

  • @raphaelmwamakimbula9642
    @raphaelmwamakimbula9642 Před rokem +7

    My boy😃😂😃

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 Před rokem +4

    Hatali sana aisee afrika watawala niwabinafs sana

  • @heritier5119
    @heritier5119 Před rokem +5

    Ingekuwa ukiua mtu unaishi milele watawala wengi wasingekufa, yafaa nini kuuwa watu then nawe unakufa

  • @luckyngumbi4243
    @luckyngumbi4243 Před rokem +3

    Huo mjengo ulipaswa kwahuku tz🇹🇿 ajengewe kipenzi magufuli

    • @mahamoudduchi3318
      @mahamoudduchi3318 Před rokem

      Halafu iweje??? kabrii linajengwa kwa matendo mema na ucha mungu tu ayo mapambo hayasaidii chochote ndugu yangu.

  • @sefoadelino6684
    @sefoadelino6684 Před rokem +2

    Masikini... Alikua mtana shati, lakini leo yuko chini uchafu huo huo

  • @dottoamos2902
    @dottoamos2902 Před rokem +6

    Naukubali Sana natamani namimi nije nione

  • @salehaliy7198
    @salehaliy7198 Před rokem +3

    Akachezewe vizuri huko aliko

  • @omarymakota8252
    @omarymakota8252 Před rokem +5

    Somba Ni samaki kwa kwetu uku Zambia Ila hongera Sana somba

  • @aloysfussi3900
    @aloysfussi3900 Před rokem +5

    Nice

  • @suntzu8959
    @suntzu8959 Před rokem +5

    I have been at this place

  • @dickchambilo9138
    @dickchambilo9138 Před rokem +5

    Sasa kwa ukatili huo aloufanya ,mbona wamemjengea kaburi lenye dhamani Sana?

    • @user-fs7xc2bb5d
      @user-fs7xc2bb5d Před rokem +1

      Hata nami nimepatwa na mshangao baada ya kuliona kabur huenda wamemjengea mwenyewe alitaka afanyiwe hivyo au wameona wamjengee kwa kuikomboa nchi yao

    • @heritier5119
      @heritier5119 Před rokem

      Ilitakiwa lipigwe bomu Ili kufuta historia, maana wapumbavu kama hawa ndio wamesababishwa waafrika tudharauliwe

    • @user-fs7xc2bb5d
      @user-fs7xc2bb5d Před rokem +3

      @@heritier5119 yaani mtihani pesa ya serikali inatumika hapo kwa kulipa walinzi wanaomlinda marehemu SubhanAllah wapo wanachi wenye njaa wagonjwa na mitihan mbalimbali hakuna anaejali dunia hii inatuhadaa

    • @heritier5119
      @heritier5119 Před rokem +1

      @@user-fs7xc2bb5d ujinga wa muafrika SAsa nani ataiba mzoga

    • @mahamoudduchi3318
      @mahamoudduchi3318 Před rokem +1

      Ndugu yangu wala usiuumize akili yako hii ni kawaida Yao watawala kupenda kupeana sifa nzuri nzuri tu hata kama alikua maaluuni kupita kiasi utawasikia kwenye misiba Yao oohhh sjui alikua mpenda haki sjui mchapa kazi mara muadilifu kumbe hkn kitu km hicho mafasiQ na uhabisii tu mwingi.

  • @adam-saffi211
    @adam-saffi211 Před rokem +6

    Same as Tanu party during Nyerere

  • @zainabmahmoud5501
    @zainabmahmoud5501 Před rokem +11

    Ok ndoma na kwetu z'bar hii sera ya kama huna kadi ya chama tawala hupati kazi serekalini kumbe wamechukua malawi kwa huyu mjeda du!

  • @dottoamos2902
    @dottoamos2902 Před rokem +6

    Ngoja nisablakilabu

  • @silengombanga7817
    @silengombanga7817 Před rokem +4

    Duuuuuuuuuh hii yenyewe na limekula gharama kubwa

  • @vincentmushi1247
    @vincentmushi1247 Před rokem

    asante sana kaka kwa muda wako na kutuletea habari ambazo tulikuwa hatuzijui...Ubarikiwe sana..ila humu duniani kuna watu wengine wamekufa lkn bado wana enjoy maisha...very beatiful place..mm nilidhani kanisa...lkn sio mbaya ni kivutio kwa watalii pia...kaka nenda Zimbabwe utuletee taharifa za mugabe na mahali alipozikwa...maana hawa wote historia zao zinafanana...
    madaktari wa Queen waliominywa mmmh nani iiii... naogopa kusema

  • @kefajoseph158
    @kefajoseph158 Před rokem +10

    Waliokuwa wanamlinda waliokuwa wajinga

  • @heritier5119
    @heritier5119 Před rokem +1

    Pamoja na fahari zote lakini kaishia kuzimu

  • @maddybongo
    @maddybongo Před rokem

    #Somba umetisha mwanangu kwenye hii simulizi. ukishawahi kumuhoji MH. JK kwake Msoga

  • @kingschannelvoiceofjustice6255

    Hiyo habari nzuri kweli.

  • @rosemuniu1171
    @rosemuniu1171 Před rokem +2

    Alikuwa wa mansion

  • @brightbautbright8028
    @brightbautbright8028 Před rokem

    Safi sana

  • @aishamatangamatangamatanga1344

    Daaah

  • @tonymaster3619
    @tonymaster3619 Před rokem

    Hatareeeeee huyo mzee

  • @asiakheir8684
    @asiakheir8684 Před rokem

    Huyo aliyetengeza kaburi ali haribu pesa za nchi maana hakuwa kiongozi mzuri

  • @benedictmwambanga9544

    But nimesikia kuwa hajawai kuwa na mke !?
    Kama ume sikia kama Mimi nipe kongole 👍👍👍

  • @fahimbakari5104
    @fahimbakari5104 Před rokem

    Innaa lillaahi wainnaa ilayhi raajiuun,Jamaa alikuwa aaswi kwelikweli

  • @shidavis5029
    @shidavis5029 Před rokem

    Huyo sio mtu wa kukumbukwa, hiyo kaburi inatakiwa kumbomolewa na kusahaulika.

  • @ramazonejohnson2831
    @ramazonejohnson2831 Před rokem +1

    Maajabu haya

  • @bettympaka767
    @bettympaka767 Před rokem +1

    All is vanity,hawezi amka ata kwa hizo garama zote

  • @sekedonelson4760
    @sekedonelson4760 Před rokem

    Somba unajua sana, kazi ya kiwango hii..

  • @malengamsombwa3115
    @malengamsombwa3115 Před rokem

    Pamoja na ubabe na ukatili yuko chini ya udongo sasa, viongozi acheni ukatili maana sote tu wapitaji akuna mbabe mbele ya kifo

  • @omarylukindo5306
    @omarylukindo5306 Před rokem

    Eti unaupiga mwingi😂😂 kwahiyo hizi ni kauli za watu machawa

  • @khadhiriramadhan5984
    @khadhiriramadhan5984 Před rokem +1

    KAmuzu alijifanya mudhungu akasahau alipotoka

  • @geraldtarimo3210
    @geraldtarimo3210 Před rokem +2

    Pumbavu,tangazo

  • @saidmlemeta8083
    @saidmlemeta8083 Před rokem +1

    Izo ndo tunataka hbr kama izi

  • @medardnhungwa685
    @medardnhungwa685 Před rokem +4

    somba hiyo!

  • @gilbertonindo1135
    @gilbertonindo1135 Před rokem

    Sasa maana gani ya kua na iyo Mali yote na huna bibi, watoto ,kuumiza tu raiya wenzako weusi

  • @marrymenas
    @marrymenas Před rokem

    Hee! Nimeogopa ulivoingiza huo mkono hapo kwenye nondo kutuonesha alipalala Simba wa Malawi. Mara ghafla usikie unavutwa kwa ndani, mamaaaaa...🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️

  • @mariamushemazunde4369
    @mariamushemazunde4369 Před rokem +1

    Tufanye ibada

  • @heritier5119
    @heritier5119 Před rokem +1

    Madikteta wote walikuwa washirikina

  • @festongonyani152
    @festongonyani152 Před rokem

    Lakini ndiyo keshakufa Yote hayo hayana Maana

  • @christinenthambi4028
    @christinenthambi4028 Před rokem

    Kube c Kenya pekee Raise wa kwanza Jakawai zikwa ! From 1978 now 2022

  • @daytonantwale8175
    @daytonantwale8175 Před rokem

    Huyu mzee arikuwa katili sana alikuwa akija kwenye mikutano wananchi wote walitakiwa kukaa chini hakuna kusimama

  • @kurwak.m3875
    @kurwak.m3875 Před rokem

    Mbona Wamekosea miaka ya Kuzaliwa,,?

  • @aishachambo8663
    @aishachambo8663 Před rokem

    Watu walio hai wanaushi kwenye vibanda marehemu wanamlaza sehemu nzuri ya kishua😏😏😏😏

  • @mr.dbenchannel727
    @mr.dbenchannel727 Před rokem +1

    Dah huyu mwamba alikua adiko yaan hajawai kung'oa demu

  • @heritier5119
    @heritier5119 Před rokem

    Wengi wao wanakuwa ni wachawi thus wanaua watu

  • @abdallahmwinyi2106
    @abdallahmwinyi2106 Před rokem

    elimu mzuri

  • @saidkanji9882
    @saidkanji9882 Před rokem

    Matumizi mabaya ya. Fe

  • @josephlucas5798
    @josephlucas5798 Před rokem

    Umenikosha mkuu mwaka 2014 nilitembelea hapa Hakika haujakosea

  • @sandinaadrian2837
    @sandinaadrian2837 Před rokem

    Bado tu kufufuka mbona

  • @user-vi1hm1cg6u
    @user-vi1hm1cg6u Před 4 měsíci

    Sasa hayo yote yanamasidia nn?kama hakuwa na matendo mama imekula kwakwe,harafu chakushaza wamemuwekea umeme juu ya kaburi vp khs ndani ya kabuli?wakristo bwana akili zao ni ndogo sana wanahisi kwakufanya hivyo labda ndio itamsaidia.

  • @heritier5119
    @heritier5119 Před rokem

    Maisha ya duniani si zaidi ya kula na kunywa

  • @yusuphalinani5432
    @yusuphalinani5432 Před rokem

    Yote no ubatiri mtupu Yuko wapi sasa

  • @grande9657
    @grande9657 Před rokem

    Hawa ndio watangazaji sasa

  • @yohanalundo5192
    @yohanalundo5192 Před rokem

    Aise uliendaje huko

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Před rokem

    Saf Sana somba

  • @yakobolusasu1821
    @yakobolusasu1821 Před rokem

    Sasa huyu c alikuwa Malaya tu kashidwa kuwa na mke kisa umalaya wake

  • @rukiauwonde7062
    @rukiauwonde7062 Před rokem

    HUYU ANGETUPWA KAMA TUNAVYOTUPWA WENGINE HAKUFAA KUJENGEWA HIVI KABISA🤣🤣

  • @sharifarashid4463
    @sharifarashid4463 Před rokem

    ☝️❤️❤️♥️😂😂

  • @hamisihashimhusseinhussein6465

    Nazarethmwandi

  • @aash4145
    @aash4145 Před rokem

    Yan kwakwel,,, tajir mfu anaish ktk jengo lakifahar,,,,, lililotumia garama kubwa, lakin maskin anaish ktk kibanda kilichoezekewa nyas,,,, nakimachovuja,,,

  • @onesmomasala-rg2wd
    @onesmomasala-rg2wd Před 7 měsíci

    Haha kaburi TU wanaxhea pesa

  • @meyotamphirii9439
    @meyotamphirii9439 Před rokem

    Yani mupaka leo tunamu kumbuka san

  • @heritier5119
    @heritier5119 Před rokem

    Unaua binadamu wenzio kisha na wewe unakufa inasaidia nini, thus watawala wa kiafrica wapo kuzimu, Hakuna aliyeenda mbinguni hata mmoja, sababu wananuka damu za watu

  • @alisuleiman8110
    @alisuleiman8110 Před rokem

    dictator huyo

  • @grande9657
    @grande9657 Před rokem

    Viongozi wa kiaafrika balaa tu

  • @kushkabulika4074
    @kushkabulika4074 Před rokem

    Huyu Ali kuwa sio malawi mbwa kabisa

  • @babianliza
    @babianliza Před rokem

    Dunia ina mambo ndugu mabwenyenye hayo ndio yamekalipia nchi ziingine cha muhimu ni mungu tu

  • @vidmore2180
    @vidmore2180 Před rokem

    I don't understand Swahili very well but I tried to Google translator for the comments to my surprise everyone is negative about him, that's very wrong. He was way better than you are thinking about him and so developmental than any of the president malawi has ever have

  • @lirastanley390
    @lirastanley390 Před rokem

    Kamuzu kafa mwaka gani unasema??1994???

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 Před rokem

    Mbona unaongea uku unakunja sura

  • @sadih5333
    @sadih5333 Před rokem +2

    Tunavyo ona maraisi wa wenzetu na wa kwetu wanaonekana hivyo hivyo , tulikua tunakaa foleni ya unga wa muhogo nili tupwa lockup kwa kuonekana na sabuni moja ya Lux niliyo pewa zawadi.

  • @valentinochaffu1421
    @valentinochaffu1421 Před rokem

    Hakuna nafsi ambayo Haitaonja Mauti

  • @heritier5119
    @heritier5119 Před rokem +5

    Mugabe, banda, savimbi, hawa ni waafrika wapumbavu walifanya mambo kama awajakwenda shule. Walitumia vibaya Sana elimu zao kuzibomoa nchi zao.

    • @sadih5333
      @sadih5333 Před rokem

      Umesahau mmoja kikulacho

    • @bazilkisibo5811
      @bazilkisibo5811 Před rokem

      Wewe acha kumuingiza Mugabe kwenye uozo wako huo

    • @heritier5119
      @heritier5119 Před rokem +1

      @@bazilkisibo5811 kipi cha maana alichofanya kwa elimu yake, zaidi ya kuubomoa uchumi wa nchi yake. Wapigania UHURU walipigania maslai yao binafsi na sio maslai ya waafrika wote thus wao ni matajiri waafrika ni masikini.

  • @francisrobert9652
    @francisrobert9652 Před rokem

    safi sana somba

  • @osssimohamed2483
    @osssimohamed2483 Před rokem +1

    Siri ya Huko aliko aijua yeye mwenyewe. Adhabu za mungu ni kali zinatisha

  • @heritier5119
    @heritier5119 Před rokem +1

    Yafaa nini SAsa hizo pesa si wangenunulia matreka tu

  • @hamisihashimhusseinhussein6465

    Nazarethmwandi