HISTORIA YA CHIFU MKWAWA / WAZUNGU WANAYOIFICHA!
Vložit
- čas přidán 22. 05. 2019
- HISTORIA YA CHIFU MKWAWA / WAZUNGU WANAYOIFICHA!
Wahehe walimuita Mkwawa mtwa, waswahili wakamuita mfalme, Unyanyembe wakamuita mtemi, waha wakamuita Mwami na shuleni tukamuita Chifu Mkwawa, mwanaume pekee aliyewanyoa nywele wazungu bila maji.
Huyu mwanaume kiboko ya Wajerumani ni uzao wa yule jiniazi kutoka nchi ya Uhabeshi, Ethiopia ya leo, aliyefika katika ufalme wa Mwamududa miaka 1700 akiwa na teknolojia ya kuwinda kwa mbwa.
#CHIFUMKWAWA
czcams.com/users/playlist?list... www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho
Anastahili views milioni mm Mkwawa nmemuelewa leo tangu nimalize form 4 😂😂😂😂
Ven The Guy 😂😂😂😂😂me too
Wengne tunamuelewa Sana fatilia tena
Ven the guy pol
@Ven hiii
Ven The Guy duh
Wahehe naomba like zenu me mbena
Napenda sana vile huyu jamaa husoma historia..... Nikiwa hapa Nairobi/Kenya
Mtafute mtiga abdalla utaewa kuliko huyu
Jamaa bora awe mwalimu wa history anae kubaliana na mm .gonga like hapa tujuane
Maamyuzi.unajizima.data.hata Mimi nimeipenda.hiyo
Wahehe hoyee!!!!!!! Fantastic
nyumbani nn!
Hoyeeeeeee!!!kamwene
Wahehe ni watani zangu Mimi ni Mndamba kutoka ifakara
Hoyeeeeeeeeeeeeeeee!
kusoma kwangu koote adi form 4 leo ndio nimeelewa hii story, hongera bro 👏👏
Hhhh mwaija
daudi Juma 😂😂 beee!!
Polee
Shule akuna mwalimu anaweza kukufundisha hv zaidi ya kuambiwa tafuta kitabu utapata story yote ila hapa unaelewa zaidi ya shulen
2024 Niko hapa tena kurudia kuiskiliza hii historia adhimu ya CHIEF MKWAWA.🎖️👑
""Najivunia Kuwa MHEHE,""
Global tv kuna historia kadhaa natamani mgeziweka tukazisikia, historia ya Mwalimu Nyerere, Kenyatta, Joseph Kony, mauji ya Kimbari Rwanda. Waiyaki wa Hinga kutoka Kenya na zingine ambazo nitazitaja tukisonga. itakuwa bora kama Ananias Edigar atakuwa msimulizi kama kawaida. long live global tv long live Ananias Edigar.
Sanaaa
Mauaji ya kimbari ipo mbona story ya nyerere nayo ipo na ya kenyatta ipo zitafute utaziona
Kama ww ni mhehe gongaa like
anayemuelewa mkwawa agonge like hapa
Namuelew saan!2
Why??????????
upo vizur
Wahehe magaidi...
mohamedi Kibasa nc
Afrika mashariki muhehe ndio kabila lakwaza kuvaa nguo. 🤣😄😃😀😆👍👍👍👏👏👏 Asantee Sana kutujuza kaka pamoja sana🤝
Hongera sana mtoa historia, napenda sana vile unasoma historia. Unafundisha na kueleweka. Safi
Nimependa story yako iko poa sana inafundisha
nyama ya mbwa dah ngoja nitafute hiyo nyama na dawa yake ninuse watu this is iringa brother waheh tupige like
Nakuelewa wa iringa unaishi wap
Kaka hongera kwa simuliz maridhawa..
Naomba siku moja utupe simulizi ya mangi wa wachaga!!
Kabiisa
Hahahaha
Ameisha simuliaga ebu andika Denis mpanga simuliz ya wachaga
Hapo inaonyesha Uhehe ulitokana na mchanganyiko wa uzao wa Mswimi toka Uaveshi na wazawa waliowakuta, hivyo hizo koo zaidi 100 za mchanganyiko huo ndiyo Uhehe wenyewe, ni Genius, wahehe wote, na Mkwawa ni Mhehe, waache wivu,
ni wahaBeshi / wahaVeshi.?
@@mnzavachris5423 ndiyo koo zaidi ya 100 zimezaa na kupanuka, ndiyo kabila LA wahehe
@@mnzavachris5423 waabeshi
@@mnzavachris5423 waabeshi samahani nolikosea
Lilian Luhasi arlaah kuumbe!
im proud to be hehe na mama yangu ni semduda uzao uleeee
Gfffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffuuuuuuuuuu
Gfffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffuuuuuuuuuu
Bbbbbbb
wakala visivyoliwa kabla ya Ndoa binti akapata ujauzito kijana akala kona kuogopa Mikono ya cheaf
akakutana na mbogo msituni akalestiishwa in peace Aaaaamin 😂😂😂😂😂
huyu bro anajua mpaka homa aisee Duh!!!
Christopher Soty saf
😂😂😂😂😂😂😂😂 kile kipande katishaaaa😂😂😂😂😂
Bro unaipenda kwel kaz yako.. Mungu akuongoze kwa kila jambo la hery. Unafanunua kwel na kama ungekuw mwalim wng bas ningekuw wa kufaulu maan nakuelewa vzr
Yani wew Acha tu
Brother mi ni muhehe na ninaijua vizuri historia yetu ila nmeirudia kuiskiliza Kwa sababu ya usimuliaji wako mzuri, big up! MUNGU AKUINUE katika kazi zako
So nitakufata kamzizi
it hurts ukisikiliza baadhi ya vitu , ni kweli huyo mjusi (dinosaur) inasemekana walichukua skeleton yake wakapeleka kwenye museum huko German, nowadays they are making a lot of money kupitia hcho walichotuibia, bado utackia mtanzania anasema wazungu ni watu wazuri.
Wewe uki google utapata historia yote ya huyo mjusi. Dinosaur. Sio mpka usikilize ndio huujue ukweli. Muwe wepesi wa kusoma yote wameyandika kwenye vitabu. Na wamerahisisha kwenye Gooogle.kila kitu
@@monicahovda5890 hmmm
@@monicahovda5890 tena gugo huko ndo wamechuja mpaaka, vema maktaba zetu wenyewe ndo zipatikane na hizi hadithi/vitabu
Tunashukuru kwa taarifa zenu nzuli hakika tunaelimika na kufahamu histor mbali mbali
Resistance Against The Imposition Of Colonial Rule
Small Scale Resistance# Mtwa Mkwawa
Una miaka 30 halafu unalala kwenu halafu unakoroma ukilala
Kamwene! Ndimno fuela. Kaka, nakushukuru sana---umenielimisha ziada ya niliyofundishwa shule ya msingi Forodhani. Naomba uendelee na utafiti wako na kuandika kitabu cha historia ya watemi wote. Itapendeza pia ukifanya video ya Mangi Meli, Isiki, Rumanyika wa Karagwe, Mirambo, nk. Na methali zako---eee---hizo zilinoga kweli
Da! Broo mgejaribu kuwa mnatoa CD tunazinunua mnauza hata Cd moja ina stori mbili mbili 2000 ingekuwa vizuri sana
Kweli kabisa dah sipati picha ukiwa geto kwako una sikiza saiti hii dah story mzuli sana
Sikuzi cjuui kwann hawazaliwi vijana jasir Kama wa zamani aise,
Mkwawa namuelewa saana. Huyu jama ni hatariii.
Sio kwamba hawazaliwi, wapo ila wanaogopa kufa
@@mohamedothman9769 ndo hawapo tena au wana mapungufu kama yote
“Ukimpa mimba mtoto wa kihehe lazima akutaje”😂😂😂
Logater Charles nomaxana
Leo uzinifu umekuwa kama maji ya kunywa zamani ukizini na mtoto wa mtu unauwawa hii sheria bora irudishwe tena..!
Nikae kimya ili
Naachaje sasa kukutaja
Ningependa kuona library yako ya vitabu.kwa akili hii nahisi husomi pumba
Shukran denisi mpagaze
Mpagaze & edga mubarikiwe sana kwaku elemisha ulimwengu nawapenda sana,
Story zako zipo vizur sana kaka toka nianze kusikiaga story ya Gadafi mpaka sasa napenda sana voice ad simulz zako
BIG up
Usalliti. Tangu zamani upo Hivo tusishangae
Leo hii kuwa kiongozi Tanzania si elimu wala ushujaa bali ukiijua Ilani ya CCM umepita.
😂😂😂
Utajuaje ilani ya CCM bila kuwa na elimu? Au kwako elimu Nini?
Nikiwa shuleni historia haikunishika, sasa hivi nashika historia na kuielewa vyema kwa lugha mufti ya kiswahili na Global TV
Nakushukuru Ananias Mpagaze
Hawa ndio wangetakiwa kuongoza nchi kwa kuihangaikia sana nchi hii
Brilliant narrator, you are so eloquent that I love listening to your story.
we Jamaa Nakupenda Sana Wewe, hd sauti yako. tuletee watemi na machifu wa singida
Nisidangany mm now had simuamin mungu najali miungu yangu ya kikabila maana God kaletwa na mzungu yaaani mm sinahamu nao mm nawapenda miungu wangu wa kihehe na Leo nimeenda makumbusho kwao
Hahahaha
Mkuu sijui tukushukuruje. Wewe ni chuma katika historia. Tunaomba mtuandikie historia yetu itakayofundishwa kwenye shule zetu na vyuo vyetu tuachane na hizi historia za kusifia wazungu akina Livingstone na Karl Peters na kujiona wanyonge. Serikali inabidi iwatumie vizuri ili mtusaidie tufahamu historia yetu.
Elimu ya wazungu kwa wa-Afrika is a system of misseducation us as Afrikan, wanajua historia yetu kuliko tunavoijua
Msukuma chapa ya ng'0mbe ...daaah umejua kunifurahisha
Bado historia ya samori toure
Ananias unavyosimulia utadhani alikuwepo 😂😂😂hongera sana aisee. Apo kwa wapelelezi kula nyama ya mbwa.
Natamani simulizi hii ingekuwa Movie fulani hivi .
Dogo ismaVEVO
.
.
.
Karibuni kwetu Iringa muje muone hiyo movie kalenga museum kuna fuvu la mkwawa na pia kuna sehemu kikongoma mama mkwawa alifia pale n.k Karibuni sanaaaa
Jasiri Mkombo🐻 iuhyh1
Hiyo kuua ukoo mzima ipo mpaka leo ,akiba mmoja wanateketea ukoo mzima labda mkaombe msamaha.
Wazungu kazi walionyeshwa. Big up kwa wazawa wetu waliokuwa na msimamo.
Kwaukweli Edgar kila nikiskia tafsiri yako unavyo tafsiri hunahap kilasiku kuskiliza istoria zako sikuzote ongera
Kaka uko sawa tena makini sana , historia ya afrrika inaniingia zaidi ya kipindi kile nikiwa shule, nashukuru.
H
Hongela mkwawa my friend
Asante kaka nilikua sielewi chochote kuhusu mkwawa👏👏
Umeelewa kwa kweli shukrani zimefika
Itabid tuandike historia yetu, sio tunasoma historia iliyoandikwa na watu sio sisi
vipi
upo vizuri nipe story ya lucky dube kwa ndani zaidi
Tuanze tamadumi zetu tuwe na umoja wa afrika
Daaa leo nimeelewa asili ya waburishi wa rujewa asante mkuu
Na hata asili hasa ya Uhehe ni nini? Ni mchanganyiko wa uzao wa Mhaveshi na wazawa waliowakuta hapo, uzao wa koo hizo ndiyo Uhehe wenyewe, hapo mwanzo ilikuwa wabena tu, ambao nao inasemekana walitokea Ghana
@@lilianluhasi311 dooh, wabena nao kumbe iletwe ya kwao hapa
@@mnzavachris5423 wabena walitokea Ghana mababu wanasema
Lilian Luhasi asee!
Lilian Luhasi asee.,yaonesha iringa ni nyumbani
NAMKUBALI SANA MKWAWA NA UWA SICHOKI KUTEMBELEA FUVU NA MAKAZI YAKE KULE KARENGA
Mizimu yote ya africa ikagonga cheers
Mtangazaji unatangaza vizuri saana
Story nzuri nimependa.
Yesu anaweza yote. Uko vizuri kaka, huu ndo muda wetu Tanzania
Kakaunawezasanakusimulia
😂😂😂😂 eti ulifundishwa historia kama habari za mbinguni... huyu jamaa kiboko aisee
Kumbeeee brooh upo vizuriiiiiiiiii cana aseehhhh
Kama ungependa hii story waifanyie movie
Kama mimi ninavyotamani gonga like 💗
Big story 💯🏃💥
big up kk kazi nzr tupe nyingi zaidi
Aliyeikubali hii agonge like down
Asante kutupatia kitu kizuri kama hiki
Dah naomba mzee baba utoe cdii yaniitakua poasana
Somo zuri ubarikiwe
Siliviamyinga
Nashukuru sana kumbebabu mkwawa ametoka alichanganyika kabila mbili, nashukuru kujua historia
Mimi bwana acha tu hii chanel inanikoshaga sana
Napenda saut yako mtangazaj yaan mtu unajikuta unataman uendelee kusikiliza💪👏👏👏👏
Hongera sana mjomba unatupa chakula cha ubongo cc tucyeyajua haya
Ananias edgas umetishaaaa cnaaaaaa
Chiffu wetu alitisha. Sana huyu. Alikuwa mwamba najivunia kuwa mhehe
Nzuri sanaa🙏🙏🙏🙏👏👏👏...#Elimu hii
Naskia raha sana, historia kutolewa kwa kiswahili....hongera kutoka Kenya...
Wanaosema Mkwawa alijinyonga ni wale wenye wivu dhidi ya Mkwawa na wahehe kwa ujumla
Help kwa historian nzuri
Yaan ww daa nakupendaga sana bs tuu
Bro Saloot sana, Mwana history hapa nakuelewa mnoo. Aminia
Wasukuma oyeeee
good work
Hata wahehe wengine hatujui historia yake vizuri unajua sana simulizi kwa kweli pongezi kwako
Þþ
Napenda historia zenu
Ananias Edgar ni best historical ever🙌
Shukrani sana Anania Ediga.
AAAHHHAAAHH UMEGUSA HAPO pa kutosaidiana hilo niliwah kutana nalo saaana kwa mkuu mmoja akanichinjia baharini nashukur Mungu nimepata kwa juhudi binafsi zaidi ya pale....
Ngutange undutile yee be Nene singukutanga nda
Wanaosema Mkwawa si Mhehe, ni wale wenye wivu kwa ushujaa wa wahehe, Historia yako na ninavyojua inaonyesha UHEHE ulitokana na mchanganyiko huo
wako sahihi kwa upande mwingine!
@@mnzavachris5423 hapana maana simulizi inaonyesha Uhehe imetokana na mchanganyiko huo uabeshi na waliowakuta, kabla ya vita Uhehe haukuwepo, na ndiyo sababu ya kutofautiana Uhehe na ubena, japo kabila ni moja
Lilian Luhasi jamani good story
@@mnzavachris5423 huyo baba yake mwenyewe Mkwawa ni Munyigumba mhehe original, mababu huko wa kale ndiyo walitoka huko siyo yeye Mkwawa Chief hapana, iweje baba yake Munyigumba azaliwe Tanzania halafu mtoto Chief atoke uabeshi? Ni mababu zetu wa kale zaidi ndiyo walitoka huko
Lilian Luhasi sawa mhehe og au mueleweshaji mzuri weye nimekuelewa, kwaio twaweza sema wabena ndo watu iringa og tangia kitambo au labd uhehe = ubena + wahabeshi?
Napenda sana kamwene vayangu
Kamwene unogage
Ndimnofu makasi
Muinjiristi Mgimbe kamwene mnoge
Ndimnofu
Kamwene unogage
Hongera mr.Edgar unastahili pongezi unatoa simulizi ikiwa inaeleweka na taarifa nyingi. .nachojiuliza historia tuliyosoma shuleni na hii yako mbna hii ina mambo mengi vyanzo vyako ni vp...?
ile ya shule nyingi zimeandaliwa na wazungu
kaka nakufwatilia sana kakaaaa big up sana kwa kutujuzaaa
Safi sana nakupata mkuu uko vizur
Me napenda San story zen glob tv lkn zp chache San jmn
Asante sana
Dah! Hatari fire !!!
Asanten sana
Asante san histolia nzuri san
Mkwawa ni moto mkali jmn🔥🔥🤝🤝🤝
awwww hey meeen this thing is difficulty to understand joh😂😂😂
I appreciate you✔✔✔
Naikubali sana sauti yako ndugu msimuliaji Edga, so you make me concentrate to your stories.
TOKA TEAM MEDIA MAKAMBAKO TOWN HAKIKA MKWAWA WETU ALIKUWA NI CHUMA KAMA WW NI WA KWETU GONGA LIKE TWENDE SAUWA
Zamani paliitwa amakambako
Wa hehe mpooo
Iko vizuri kaka.....ni Mwambambe...
najivunia kupata historia kwa simulizi baada ya ile ya shule ya kusoma.najivunia glabal tv
From usa love global online tv keep on
Janja LA mjini mtaki...hahah jamaa naeelewa sana naukubal uwez wako..waafrica turudin tulip toka..paracetamol na hedex zanini wakat mlonge unatibu ..
Simulizi kali sana muhimu kusikiliza asante