HISTORIA YA CHIFU MKWAWA / WAZUNGU WANAYOIFICHA!

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 05. 2019
  • HISTORIA YA CHIFU MKWAWA / WAZUNGU WANAYOIFICHA!
    Wahehe walimuita Mkwawa mtwa, waswahili wakamuita mfalme, Unyanyembe wakamuita mtemi, waha wakamuita Mwami na shuleni tukamuita Chifu Mkwawa, mwanaume pekee aliyewanyoa nywele wazungu bila maji.
    Huyu mwanaume kiboko ya Wajerumani ni uzao wa yule jiniazi kutoka nchi ya Uhabeshi, Ethiopia ya leo, aliyefika katika ufalme wa Mwamududa miaka 1700 akiwa na teknolojia ya kuwinda kwa mbwa.
    #CHIFUMKWAWA
    czcams.com/users/playlist?list... www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
    globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

Komentáře • 709

  • @venstonvedasto
    @venstonvedasto Před 5 lety +202

    Anastahili views milioni mm Mkwawa nmemuelewa leo tangu nimalize form 4 😂😂😂😂

  • @annahjoxhua1953
    @annahjoxhua1953 Před 4 lety +21

    Wahehe naomba like zenu me mbena

  • @djatm1319
    @djatm1319 Před 5 lety +139

    Napenda sana vile huyu jamaa husoma historia..... Nikiwa hapa Nairobi/Kenya

    • @musasaid964
      @musasaid964 Před 3 lety +1

      Mtafute mtiga abdalla utaewa kuliko huyu

  • @shabanikamsawa424
    @shabanikamsawa424 Před 4 lety +33

    Jamaa bora awe mwalimu wa history anae kubaliana na mm .gonga like hapa tujuane

    • @AliMasudi-mc2sj
      @AliMasudi-mc2sj Před 2 měsíci

      Maamyuzi.unajizima.data.hata Mimi nimeipenda.hiyo

  • @lilianluhasi311
    @lilianluhasi311 Před 5 lety +59

    Wahehe hoyee!!!!!!! Fantastic

  • @maijayahaya3770
    @maijayahaya3770 Před 5 lety +40

    kusoma kwangu koote adi form 4 leo ndio nimeelewa hii story, hongera bro 👏👏

  • @andrewshustle1331
    @andrewshustle1331 Před 5 měsíci +2

    2024 Niko hapa tena kurudia kuiskiliza hii historia adhimu ya CHIEF MKWAWA.🎖️👑

  • @dralhajijbmatatala4580
    @dralhajijbmatatala4580 Před 3 lety +8

    ""Najivunia Kuwa MHEHE,""

  • @FamSalome
    @FamSalome Před 5 lety +28

    Global tv kuna historia kadhaa natamani mgeziweka tukazisikia, historia ya Mwalimu Nyerere, Kenyatta, Joseph Kony, mauji ya Kimbari Rwanda. Waiyaki wa Hinga kutoka Kenya na zingine ambazo nitazitaja tukisonga. itakuwa bora kama Ananias Edigar atakuwa msimulizi kama kawaida. long live global tv long live Ananias Edigar.

  • @kindoleenock6708
    @kindoleenock6708 Před 3 lety +8

    Kama ww ni mhehe gongaa like

  • @mohamedikibasa418
    @mohamedikibasa418 Před 5 lety +326

    anayemuelewa mkwawa agonge like hapa

  • @jameschumbula7351
    @jameschumbula7351 Před 3 lety +3

    Afrika mashariki muhehe ndio kabila lakwaza kuvaa nguo. 🤣😄😃😀😆👍👍👍👏👏👏 Asantee Sana kutujuza kaka pamoja sana🤝

  • @marymichelle6280
    @marymichelle6280 Před 5 lety +38

    Hongera sana mtoa historia, napenda sana vile unasoma historia. Unafundisha na kueleweka. Safi

    • @unamimlay7619
      @unamimlay7619 Před 3 lety

      Nimependa story yako iko poa sana inafundisha

  • @ngenzisaid4958
    @ngenzisaid4958 Před 5 lety +11

    nyama ya mbwa dah ngoja nitafute hiyo nyama na dawa yake ninuse watu this is iringa brother waheh tupige like

  • @innocentmmbando5484
    @innocentmmbando5484 Před 5 lety +51

    Kaka hongera kwa simuliz maridhawa..
    Naomba siku moja utupe simulizi ya mangi wa wachaga!!

  • @lilianluhasi311
    @lilianluhasi311 Před 5 lety +21

    Hapo inaonyesha Uhehe ulitokana na mchanganyiko wa uzao wa Mswimi toka Uaveshi na wazawa waliowakuta, hivyo hizo koo zaidi 100 za mchanganyiko huo ndiyo Uhehe wenyewe, ni Genius, wahehe wote, na Mkwawa ni Mhehe, waache wivu,

  • @jimmyandrew3883
    @jimmyandrew3883 Před 4 lety +25

    im proud to be hehe na mama yangu ni semduda uzao uleeee

  • @christophersoty101
    @christophersoty101 Před 5 lety +16

    wakala visivyoliwa kabla ya Ndoa binti akapata ujauzito kijana akala kona kuogopa Mikono ya cheaf
    akakutana na mbogo msituni akalestiishwa in peace Aaaaamin 😂😂😂😂😂
    huyu bro anajua mpaka homa aisee Duh!!!

    • @upstar4951
      @upstar4951 Před 5 lety

      Christopher Soty saf

    • @jeyadam833
      @jeyadam833 Před 4 lety

      😂😂😂😂😂😂😂😂 kile kipande katishaaaa😂😂😂😂😂

  • @ahmadkafashe7427
    @ahmadkafashe7427 Před 5 lety +31

    Bro unaipenda kwel kaz yako.. Mungu akuongoze kwa kila jambo la hery. Unafanunua kwel na kama ungekuw mwalim wng bas ningekuw wa kufaulu maan nakuelewa vzr

  • @UzalendoNaUtu
    @UzalendoNaUtu Před 4 lety +4

    Brother mi ni muhehe na ninaijua vizuri historia yetu ila nmeirudia kuiskiliza Kwa sababu ya usimuliaji wako mzuri, big up! MUNGU AKUINUE katika kazi zako

  • @benjaminphilip7408
    @benjaminphilip7408 Před 5 lety +21

    it hurts ukisikiliza baadhi ya vitu , ni kweli huyo mjusi (dinosaur) inasemekana walichukua skeleton yake wakapeleka kwenye museum huko German, nowadays they are making a lot of money kupitia hcho walichotuibia, bado utackia mtanzania anasema wazungu ni watu wazuri.

    • @monicahovda5890
      @monicahovda5890 Před 5 lety

      Wewe uki google utapata historia yote ya huyo mjusi. Dinosaur. Sio mpka usikilize ndio huujue ukweli. Muwe wepesi wa kusoma yote wameyandika kwenye vitabu. Na wamerahisisha kwenye Gooogle.kila kitu

    • @mnzavachris5423
      @mnzavachris5423 Před 5 lety

      @@monicahovda5890 hmmm

    • @mnzavachris5423
      @mnzavachris5423 Před 5 lety

      @@monicahovda5890 tena gugo huko ndo wamechuja mpaaka, vema maktaba zetu wenyewe ndo zipatikane na hizi hadithi/vitabu

  • @victorsimfukwe5309
    @victorsimfukwe5309 Před 4 lety +3

    Tunashukuru kwa taarifa zenu nzuli hakika tunaelimika na kufahamu histor mbali mbali

  • @fubanjenjele521
    @fubanjenjele521 Před 4 lety +16

    Resistance Against The Imposition Of Colonial Rule
    Small Scale Resistance# Mtwa Mkwawa

  • @kimwelshebuge8772
    @kimwelshebuge8772 Před 4 lety +3

    Una miaka 30 halafu unalala kwenu halafu unakoroma ukilala

  • @duniacafe
    @duniacafe Před 3 lety +5

    Kamwene! Ndimno fuela. Kaka, nakushukuru sana---umenielimisha ziada ya niliyofundishwa shule ya msingi Forodhani. Naomba uendelee na utafiti wako na kuandika kitabu cha historia ya watemi wote. Itapendeza pia ukifanya video ya Mangi Meli, Isiki, Rumanyika wa Karagwe, Mirambo, nk. Na methali zako---eee---hizo zilinoga kweli

  • @Respicius
    @Respicius Před 5 lety +31

    Da! Broo mgejaribu kuwa mnatoa CD tunazinunua mnauza hata Cd moja ina stori mbili mbili 2000 ingekuwa vizuri sana

    • @kacherosimba5762
      @kacherosimba5762 Před 4 lety

      Kweli kabisa dah sipati picha ukiwa geto kwako una sikiza saiti hii dah story mzuli sana

  • @allythabiti8150
    @allythabiti8150 Před 5 lety +16

    Sikuzi cjuui kwann hawazaliwi vijana jasir Kama wa zamani aise,
    Mkwawa namuelewa saana. Huyu jama ni hatariii.

    • @mohamedothman9769
      @mohamedothman9769 Před 5 lety

      Sio kwamba hawazaliwi, wapo ila wanaogopa kufa

    • @mnzavachris5423
      @mnzavachris5423 Před 5 lety

      @@mohamedothman9769 ndo hawapo tena au wana mapungufu kama yote

  • @logatercharles3665
    @logatercharles3665 Před 4 lety +12

    “Ukimpa mimba mtoto wa kihehe lazima akutaje”😂😂😂

  • @shabanbuchu2130
    @shabanbuchu2130 Před 5 lety +41

    Ningependa kuona library yako ya vitabu.kwa akili hii nahisi husomi pumba

  • @owinochris9886
    @owinochris9886 Před 3 lety +1

    Mpagaze & edga mubarikiwe sana kwaku elemisha ulimwengu nawapenda sana,

  • @jumamdoe5123
    @jumamdoe5123 Před 5 lety +29

    Story zako zipo vizur sana kaka toka nianze kusikiaga story ya Gadafi mpaka sasa napenda sana voice ad simulz zako
    BIG up

  • @matitu_jr5035
    @matitu_jr5035 Před 5 lety +41

    Leo hii kuwa kiongozi Tanzania si elimu wala ushujaa bali ukiijua Ilani ya CCM umepita.

  • @sheldonmbakaya
    @sheldonmbakaya Před 4 lety +4

    Nikiwa shuleni historia haikunishika, sasa hivi nashika historia na kuielewa vyema kwa lugha mufti ya kiswahili na Global TV
    Nakushukuru Ananias Mpagaze

  • @mbwanarajab7238
    @mbwanarajab7238 Před 5 lety +6

    Hawa ndio wangetakiwa kuongoza nchi kwa kuihangaikia sana nchi hii

  • @bonifacechengula6117
    @bonifacechengula6117 Před 2 lety +5

    Brilliant narrator, you are so eloquent that I love listening to your story.

  • @johnsylivester8412
    @johnsylivester8412 Před 5 lety +4

    we Jamaa Nakupenda Sana Wewe, hd sauti yako. tuletee watemi na machifu wa singida

  • @adcutey9112
    @adcutey9112 Před 4 lety +4

    Nisidangany mm now had simuamin mungu najali miungu yangu ya kikabila maana God kaletwa na mzungu yaaani mm sinahamu nao mm nawapenda miungu wangu wa kihehe na Leo nimeenda makumbusho kwao

  • @gosbertrwezahura3645
    @gosbertrwezahura3645 Před 3 lety +4

    Mkuu sijui tukushukuruje. Wewe ni chuma katika historia. Tunaomba mtuandikie historia yetu itakayofundishwa kwenye shule zetu na vyuo vyetu tuachane na hizi historia za kusifia wazungu akina Livingstone na Karl Peters na kujiona wanyonge. Serikali inabidi iwatumie vizuri ili mtusaidie tufahamu historia yetu.

  • @isackhassan6551
    @isackhassan6551 Před 5 lety +6

    Elimu ya wazungu kwa wa-Afrika is a system of misseducation us as Afrikan, wanajua historia yetu kuliko tunavoijua

  • @manyandatimoth7
    @manyandatimoth7 Před 5 lety +26

    Msukuma chapa ya ng'0mbe ...daaah umejua kunifurahisha

  • @juliethhouseofdesigns147
    @juliethhouseofdesigns147 Před 4 lety +2

    Ananias unavyosimulia utadhani alikuwepo 😂😂😂hongera sana aisee. Apo kwa wapelelezi kula nyama ya mbwa.

  • @jasirimkombozi4926
    @jasirimkombozi4926 Před 5 lety +84

    Natamani simulizi hii ingekuwa Movie fulani hivi .

    • @shaibuabdallah631
      @shaibuabdallah631 Před 5 lety

      Dogo ismaVEVO
      .
      .
      .

    • @adcutey9112
      @adcutey9112 Před 4 lety +2

      Karibuni kwetu Iringa muje muone hiyo movie kalenga museum kuna fuvu la mkwawa na pia kuna sehemu kikongoma mama mkwawa alifia pale n.k Karibuni sanaaaa

    • @emmanueljest6786
      @emmanueljest6786 Před 4 lety

      Jasiri Mkombo🐻 iuhyh1

    • @nuratkalinga581
      @nuratkalinga581 Před 4 lety +1

      Hiyo kuua ukoo mzima ipo mpaka leo ,akiba mmoja wanateketea ukoo mzima labda mkaombe msamaha.

  • @joshualwelu7302
    @joshualwelu7302 Před 4 lety +2

    Wazungu kazi walionyeshwa. Big up kwa wazawa wetu waliokuwa na msimamo.

  • @hamzanasry8011
    @hamzanasry8011 Před 5 lety +22

    Kwaukweli Edgar kila nikiskia tafsiri yako unavyo tafsiri hunahap kilasiku kuskiliza istoria zako sikuzote ongera

  • @denismugendi1034
    @denismugendi1034 Před 5 lety +4

    Kaka uko sawa tena makini sana , historia ya afrrika inaniingia zaidi ya kipindi kile nikiwa shule, nashukuru.

  • @solanzakalolo2782
    @solanzakalolo2782 Před 2 lety +1

    Hongela mkwawa my friend

  • @tinawilliam4961
    @tinawilliam4961 Před 5 lety +5

    Asante kaka nilikua sielewi chochote kuhusu mkwawa👏👏

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 Před 3 lety

      Umeelewa kwa kweli shukrani zimefika

  • @allythabiti8150
    @allythabiti8150 Před 5 lety +23

    Itabid tuandike historia yetu, sio tunasoma historia iliyoandikwa na watu sio sisi

  • @georgenagabona203
    @georgenagabona203 Před 5 lety +13

    upo vizuri nipe story ya lucky dube kwa ndani zaidi

  • @zawadigwimile2637
    @zawadigwimile2637 Před 5 lety +12

    Daaa leo nimeelewa asili ya waburishi wa rujewa asante mkuu

    • @lilianluhasi311
      @lilianluhasi311 Před 5 lety +3

      Na hata asili hasa ya Uhehe ni nini? Ni mchanganyiko wa uzao wa Mhaveshi na wazawa waliowakuta hapo, uzao wa koo hizo ndiyo Uhehe wenyewe, hapo mwanzo ilikuwa wabena tu, ambao nao inasemekana walitokea Ghana

    • @mnzavachris5423
      @mnzavachris5423 Před 5 lety +1

      @@lilianluhasi311 dooh, wabena nao kumbe iletwe ya kwao hapa

    • @lilianluhasi7685
      @lilianluhasi7685 Před 4 lety

      @@mnzavachris5423 wabena walitokea Ghana mababu wanasema

    • @mnzavachris5423
      @mnzavachris5423 Před 4 lety

      Lilian Luhasi asee!

    • @mnzavachris5423
      @mnzavachris5423 Před 4 lety

      Lilian Luhasi asee.,yaonesha iringa ni nyumbani

  • @mpogoletv.5966
    @mpogoletv.5966 Před 5 lety +2

    NAMKUBALI SANA MKWAWA NA UWA SICHOKI KUTEMBELEA FUVU NA MAKAZI YAKE KULE KARENGA

  • @swaleheismail46
    @swaleheismail46 Před 4 lety +3

    Mizimu yote ya africa ikagonga cheers

  • @watotowamungubyfreconicide1505

    Mtangazaji unatangaza vizuri saana

  • @emmanuelnzaligo6262
    @emmanuelnzaligo6262 Před 3 lety +2

    Story nzuri nimependa.

  • @linkreuben5804
    @linkreuben5804 Před 5 lety +2

    Yesu anaweza yote. Uko vizuri kaka, huu ndo muda wetu Tanzania

  • @charlesjonas4412
    @charlesjonas4412 Před 5 lety +10

    😂😂😂😂 eti ulifundishwa historia kama habari za mbinguni... huyu jamaa kiboko aisee

  • @goodluckymartin334
    @goodluckymartin334 Před 4 lety +1

    Kumbeeee brooh upo vizuriiiiiiiiii cana aseehhhh

  • @abdallahhamad4499
    @abdallahhamad4499 Před 4 lety +19

    Kama ungependa hii story waifanyie movie
    Kama mimi ninavyotamani gonga like 💗

  • @mrsmile6649
    @mrsmile6649 Před rokem +2

    Big story 💯🏃💥

  • @haidarihondo4475
    @haidarihondo4475 Před 5 lety +17

    big up kk kazi nzr tupe nyingi zaidi

  • @bakariluhala7332
    @bakariluhala7332 Před 5 lety +11

    Asante kutupatia kitu kizuri kama hiki

  • @kacherosimba5762
    @kacherosimba5762 Před 4 lety +1

    Dah naomba mzee baba utoe cdii yaniitakua poasana

  • @johnsahani1325
    @johnsahani1325 Před 5 lety +11

    Somo zuri ubarikiwe

    • @siliviamyinga1400
      @siliviamyinga1400 Před 4 lety

      Siliviamyinga
      Nashukuru sana kumbebabu mkwawa ametoka alichanganyika kabila mbili, nashukuru kujua historia

  • @zamdakimaro2973
    @zamdakimaro2973 Před 4 lety +1

    Mimi bwana acha tu hii chanel inanikoshaga sana

  • @fineskilatu5432
    @fineskilatu5432 Před 5 lety +1

    Napenda saut yako mtangazaj yaan mtu unajikuta unataman uendelee kusikiliza💪👏👏👏👏

  • @saidmosh2695
    @saidmosh2695 Před 5 lety +1

    Hongera sana mjomba unatupa chakula cha ubongo cc tucyeyajua haya

  • @goodluckymartin334
    @goodluckymartin334 Před 4 lety +1

    Ananias edgas umetishaaaa cnaaaaaa

  • @MeckMsea-cx1ct
    @MeckMsea-cx1ct Před 3 dny

    Chiffu wetu alitisha. Sana huyu. Alikuwa mwamba najivunia kuwa mhehe

  • @givenngoko4528
    @givenngoko4528 Před 5 lety +4

    Nzuri sanaa🙏🙏🙏🙏👏👏👏...#Elimu hii

  • @mpendakiswahili3053
    @mpendakiswahili3053 Před 2 lety

    Naskia raha sana, historia kutolewa kwa kiswahili....hongera kutoka Kenya...

  • @lilianluhasi311
    @lilianluhasi311 Před 5 lety +5

    Wanaosema Mkwawa alijinyonga ni wale wenye wivu dhidi ya Mkwawa na wahehe kwa ujumla

  • @donaldmwita4227
    @donaldmwita4227 Před 3 lety +1

    Help kwa historian nzuri

  • @maliethnyoni2847
    @maliethnyoni2847 Před 5 lety +4

    Yaan ww daa nakupendaga sana bs tuu

  • @gabychaki158
    @gabychaki158 Před 5 lety +6

    Bro Saloot sana, Mwana history hapa nakuelewa mnoo. Aminia

  • @jamesmwangi5176
    @jamesmwangi5176 Před 4 dny +1

    good work

  • @amanimichael2047
    @amanimichael2047 Před 4 lety +1

    Hata wahehe wengine hatujui historia yake vizuri unajua sana simulizi kwa kweli pongezi kwako

  • @charo.mukarebugo5778
    @charo.mukarebugo5778 Před rokem +1

    Napenda historia zenu

  • @saddybrezzy9777
    @saddybrezzy9777 Před rokem

    Ananias Edgar ni best historical ever🙌

  • @josej9888
    @josej9888 Před 5 lety +2

    Shukrani sana Anania Ediga.

  • @erickmnyalu553
    @erickmnyalu553 Před 5 lety +1

    AAAHHHAAAHH UMEGUSA HAPO pa kutosaidiana hilo niliwah kutana nalo saaana kwa mkuu mmoja akanichinjia baharini nashukur Mungu nimepata kwa juhudi binafsi zaidi ya pale....

    • @oscarmario466
      @oscarmario466 Před 5 lety

      Ngutange undutile yee be Nene singukutanga nda

  • @lilianluhasi311
    @lilianluhasi311 Před 5 lety +19

    Wanaosema Mkwawa si Mhehe, ni wale wenye wivu kwa ushujaa wa wahehe, Historia yako na ninavyojua inaonyesha UHEHE ulitokana na mchanganyiko huo

    • @mnzavachris5423
      @mnzavachris5423 Před 5 lety

      wako sahihi kwa upande mwingine!

    • @lilianluhasi7685
      @lilianluhasi7685 Před 4 lety

      @@mnzavachris5423 hapana maana simulizi inaonyesha Uhehe imetokana na mchanganyiko huo uabeshi na waliowakuta, kabla ya vita Uhehe haukuwepo, na ndiyo sababu ya kutofautiana Uhehe na ubena, japo kabila ni moja

    • @kurwpaul1134
      @kurwpaul1134 Před 4 lety

      Lilian Luhasi jamani good story

    • @lilianluhasi7685
      @lilianluhasi7685 Před 4 lety

      @@mnzavachris5423 huyo baba yake mwenyewe Mkwawa ni Munyigumba mhehe original, mababu huko wa kale ndiyo walitoka huko siyo yeye Mkwawa Chief hapana, iweje baba yake Munyigumba azaliwe Tanzania halafu mtoto Chief atoke uabeshi? Ni mababu zetu wa kale zaidi ndiyo walitoka huko

    • @mnzavachris5423
      @mnzavachris5423 Před 4 lety

      Lilian Luhasi sawa mhehe og au mueleweshaji mzuri weye nimekuelewa, kwaio twaweza sema wabena ndo watu iringa og tangia kitambo au labd uhehe = ubena + wahabeshi?

  • @muinjiristimgimbe6678
    @muinjiristimgimbe6678 Před 5 lety +8

    Napenda sana kamwene vayangu

  • @katunzijasson5410
    @katunzijasson5410 Před 5 lety +22

    Hongera mr.Edgar unastahili pongezi unatoa simulizi ikiwa inaeleweka na taarifa nyingi. .nachojiuliza historia tuliyosoma shuleni na hii yako mbna hii ina mambo mengi vyanzo vyako ni vp...?

    • @jeyadam833
      @jeyadam833 Před 4 lety

      ile ya shule nyingi zimeandaliwa na wazungu

  • @venancenguaro354
    @venancenguaro354 Před 5 lety +1

    kaka nakufwatilia sana kakaaaa big up sana kwa kutujuzaaa

  • @ismailmangare547
    @ismailmangare547 Před 5 lety +3

    Safi sana nakupata mkuu uko vizur

  • @joyceleonard584
    @joyceleonard584 Před 5 lety +6

    Me napenda San story zen glob tv lkn zp chache San jmn

  • @rizikisamwel9904
    @rizikisamwel9904 Před 5 lety +5

    Asante sana

  • @charlesntemi1683
    @charlesntemi1683 Před 5 lety

    Dah! Hatari fire !!!

  • @clinton3168
    @clinton3168 Před 3 lety

    Asanten sana

  • @athumanomary1438
    @athumanomary1438 Před 5 lety +2

    Asante san histolia nzuri san

  • @AnnaBoniphace-dw7py
    @AnnaBoniphace-dw7py Před 10 měsíci

    Mkwawa ni moto mkali jmn🔥🔥🤝🤝🤝

  • @charlienudra168
    @charlienudra168 Před 5 lety +7

    awwww hey meeen this thing is difficulty to understand joh😂😂😂

  • @musaomary590
    @musaomary590 Před 5 lety +3

    I appreciate you✔✔✔

  • @sylvesternzowa8458
    @sylvesternzowa8458 Před 5 lety

    Naikubali sana sauti yako ndugu msimuliaji Edga, so you make me concentrate to your stories.

  • @xaverysunday1886
    @xaverysunday1886 Před 5 lety +20

    TOKA TEAM MEDIA MAKAMBAKO TOWN HAKIKA MKWAWA WETU ALIKUWA NI CHUMA KAMA WW NI WA KWETU GONGA LIKE TWENDE SAUWA

  • @kenyfrancis2946
    @kenyfrancis2946 Před 4 lety

    Iko vizuri kaka.....ni Mwambambe...

  • @masaulihassan2463
    @masaulihassan2463 Před 5 lety +1

    najivunia kupata historia kwa simulizi baada ya ile ya shule ya kusoma.najivunia glabal tv

  • @flame.l0655
    @flame.l0655 Před 5 lety

    From usa love global online tv keep on

  • @enockyohana6856
    @enockyohana6856 Před 5 lety +6

    Janja LA mjini mtaki...hahah jamaa naeelewa sana naukubal uwez wako..waafrica turudin tulip toka..paracetamol na hedex zanini wakat mlonge unatibu ..

  • @mukikibati3519
    @mukikibati3519 Před 3 lety

    Simulizi kali sana muhimu kusikiliza asante