JINSI UKOLONI MAMBOLEO UNAVYOITAFUNA AFRIKA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • JINSI UKOLONI MAMBOLEO UNAVYOITAFUNA AFRIKA
    Changamoto kubwa inayolikabili bara la Afrika siyo umaskini , wala siyo uhaba wa rasilimali bali ni utumwa wa fikra. Fikra zetu zimekamatwa kiasi kwamba hatuwezi kuwaza nje ya misaada.
    Heshima na ukarimu tunaompatia mzungu ni mkubwa kuliko waafrika wenyewe.Ukarimu wa mzungu unaanzia anapofika kwenye viwanja vyetu vya ndege.
    #UKOLONIMAMBOLEO
    www.youtube.co.... www.youtube.co.... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
    globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

Komentáře • 413

  • @kipkoechkosgei104
    @kipkoechkosgei104 Před 5 lety +54

    As I always say. Our problems start with us. The day we will accept we are the cause of all our problems is the day we will move forward. Ni kawaida ya watu wa zembe kulaumu wengine

    • @jp1780
      @jp1780 Před 5 lety +2

      kipkoech kosgei we already know the problem we just don't wanna change things we like how things are some Africans real like to be colonized as long as u can keep feeding her, him we good we got many leaders who believe in white so much and that's the big problem but things are starting to change now like Ethiopian airlines has sign a 6 year deal with Ghana also the africa free trade is going to start next month so the is still lil bit of hope

    • @kipkoechkosgei104
      @kipkoechkosgei104 Před 5 lety +1

      @@jp1780 I wonder why we have to blame whites for all of our problems. Even USA was once colonized. We Africans still think the reason we are behind is because of wazungu colonizing us

    • @kipkoechkosgei104
      @kipkoechkosgei104 Před 5 lety +1

      @@jp1780 I wonder why we have to blame whites for all of our problems. Even USA was once colonized. We Africans still think the reason we are behind is because of wazungu colonizing us

    • @jp1780
      @jp1780 Před 5 lety +2

      kipkoech kosgei we have to blame them they dont wanna let us be an who told u the usa did get colonized by who? Lol they colonized us for over 400 years that's a lot of yrs to be colonized bro an till to this day france still colonizing 14 African countries they make those 14 use their Franco currency an the funny thing is the france it self doesn't even use that Franco currency I mean it's just insane and embarrassing real! But it's time to fight back to get real freedom

    • @isackkiketelo3344
      @isackkiketelo3344 Před 5 lety +5

      ww mwenyew ni tatizo anza kujikubali ww mwenyewe, mfano mzuri lugha unayotumia kutoka nje.

  • @classicnaufal9100
    @classicnaufal9100 Před 5 lety +203

    Ikiwa unapenda kazi ya ananias like hapa

  • @veelusa
    @veelusa Před 5 lety +34

    Hii makala safi sana. Ichapishe tengeneza kitabu inahitaji marekebisho kidogo. Lakini imetulia sana hongera san

    • @swaumukiondo3217
      @swaumukiondo3217 Před 5 lety

      Hii kaz kwel yaaaan tunaitaji utulivu San kwa ujumbe huu asateh

  • @abdimaulid5569
    @abdimaulid5569 Před 5 lety +3

    Daaah mwanangu katika siku umenishawishi kuzidi kukuelewa ni hii story maana yake imegusa maisha ya bara la Africa god bless Africa kama tuko pamoja naomba likes zenu....

  • @ntakirutimanaabdulazizi7778

    Asante sana bwanamkubwa Mpagaze .İla ingekua bora otoe video hii kwachini İtafsiriwe mkıngereza Pia nakifaransa
    ili mataifa Mengine waeze elimika pia haswa kwawale wasio skia na kuelewa kiswahili

  • @aishandayishimiye5127
    @aishandayishimiye5127 Před 5 lety +12

    Asante leo nimesikiya yenye nilikuwa ubongo wangu unahitaji chakula cha akili asante sana

  • @azizacleny8677
    @azizacleny8677 Před 5 lety +2

    sema kaka upo vzr wallah napenda kuskiliza vipindi vyako duuuh najikuta nainjoy ungekuwa mwalim mm ningefaulu historia wallah ILA HAKIKA WAAFRIKA TUSIPO JIELEW TUTAKUWA WATUMWA WAO MM NMEKATAA KUWA MTUMWA

  • @Cesar2000k
    @Cesar2000k Před 5 lety +42

    point apo....tunanunua majembe ulaya wakati babu zetu ndio waliogundua chuma hahahah

  • @ototek8037
    @ototek8037 Před 5 lety +25

    Bado sana kunamijitu imesoma na bado utaskia wazungu eti ni watetez wa haki za binadam..tuspoandamana au kufanya mikutano kila siku watatutenga...pumbavu

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 Před 5 lety +3

    Asante Kwa huduma yenu,Mungu awabariki Sana.

  • @daudintanga1521
    @daudintanga1521 Před 5 lety +11

    Unaweza sana nimemaliza historia karibu zote na najifunza mengi unaweza sana

  • @faridamkesso97
    @faridamkesso97 Před 5 lety +12

    Hongera sana umeongea point sana hii ndio Elimu inayotakiwa kwa jamii 👏👏👏 maana kweli hatujitambui na hatujithamini

  • @cascmvirile8687
    @cascmvirile8687 Před 5 lety +19

    Daaah Aseee broo fikira zako kama ZANGU daah MUNGU akuongoze Mzee mana ukisema kweli wanakuzima kama analogia kwenda digital

    • @nemohos4885
      @nemohos4885 Před 5 lety +1

      mungu? mbona mungu asaiidi watoto ambayo awana chakula wawe na chakula?

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe Před 5 lety +1

      Ata Mungu ni Mzungu mwenzao sisi tushaatupa Miungu yetu asili tukabeba dini zao

    • @brokenigga2842
      @brokenigga2842 Před 5 lety

      @@BigZhumbe we acha tu

  • @mohammediallykaboza5862
    @mohammediallykaboza5862 Před 5 lety +8

    Aise edga mungu akulinde makala zako zinatisha sijui ututengenezee vitabu!

  • @acleymangu9020
    @acleymangu9020 Před 5 lety +2

    Braza kunywa unachotaka alaf nitumie bili yako dah!! We jamaa n nomaa sana.
    Embu tuandikie kitabu kuhusu haya maisha aisee ila pia ukitengeneza CD itapendezaa sana ili hawa watoto wadogo waendelee kusikia haya labda wanaweza kutusaidia tubadilike! Duh!!

  • @rihannarose1731
    @rihannarose1731 Před 5 lety +12

    Tunaomba nakala ziendelee na kwenye TV ndugu zetu nao wapate kusikiliza angalau wajuwe uhalisia wa mambo#kazi nzur

  • @applestru_cape2219
    @applestru_cape2219 Před 5 lety +92

    Broo umetisha mpeni like yake.

  • @deadcrush
    @deadcrush Před 5 lety +1

    Kwa msimuliaji, Kazi yako unaipenda sana. Hasa sauti yako ni safi sana. Hongera. Binaadamu hakuwa nyani. Hakikisha unafanya utafiti na kuhariri jumbe zako kabla hujaliza la mgambo.

  • @robertmasatu4029
    @robertmasatu4029 Před 5 lety +2

    Iko vizuri iyo ndugu yangu Africa inahitaji miti shamba tofauti na ile ya wazungu

  • @masungadutta3823
    @masungadutta3823 Před 5 lety +10

    Kaka Mungu akusimamie yani Mpaka Machozi yamenitoka. Inauma sana na ukweli siku zote hauburudishi Bali unaridhisha na huja na maumivu.

  • @josephatkashendwa1177
    @josephatkashendwa1177 Před 4 lety +3

    Gonga like...Kaka yangu kutoka mama mwingine......"Africa ina umri mkubwa lakini bado inavalishwa nepi"

  • @sagudanicasnicas2660
    @sagudanicasnicas2660 Před 5 lety +50

    Tukiona viongozi wanaopambana ili tujikomboe wenyewe tunawaponda eti wantutesa

    • @agathathobias8690
      @agathathobias8690 Před 5 lety +3

      Sagudanicas Kwel kbs tena et mashtak tunawapelekea wao watuamulie tunawaona wazungu wa maana sana

    • @agathathobias8690
      @agathathobias8690 Před 5 lety +1

      @@jp1780 Marufuku kukata tamaa usichoke

    • @agathathobias8690
      @agathathobias8690 Před 5 lety

      @UCqmzrUyTOODhZZny-yyYxWg Marufuku kukata tamaa usichoke

    • @jp1780
      @jp1780 Před 5 lety

      Agatha Thobias kweli bro but sometimes is just to much ulaya wa Africans tuna huwawa kama minyama ukija Africa ndohivo tena

    • @jp1780
      @jp1780 Před 5 lety

      Agatha Thobias ila nakwelewa bro

  • @UlimwenguMilenga
    @UlimwenguMilenga Před 5 lety +5

    Tunaomba Africa tuwe United, mganda akionekana Tanzania 🇹🇿 anafungwa.
    Sio maisha ayo wote ni waafrica.

  • @kirujam628
    @kirujam628 Před 5 lety +5

    Asante kaka kwa video yako nzuri. Ninaunga mkono na mengi ulichoyasema. Lakini kuna jambo moja ambalo sijakubaliana nalo, na hiyo ni kulinganisha hali ya maendeleo ya Afrika na ya nchi kama Amerika, Malaysia, Singapore na kadhalika.
    Nchi ya Amerika haikufikia maendeleo kwa sababu ya ''maono'' ama ''founding fathers'', la! Amerika ni nchi iliyonyakuliwa kutoka kabila ya ''Red Indians'' naye ilijengwa kwa jasho na damu ya ndugu zetu, yaani ''Black Americans''. Bila huo unyakuzi na bila utumwa wa ndugu zetu, Amerika ingekuwa nchi ya kawaida au hata ya umaskini.
    Nchi kama Singapore na Malaysia hazina rasilimali kiasi cha kulinganishwa na zetu. Afrika kina mali nyingi chini ya ardhi yake na mali hii inavutia wakora mbalimbali kutoka kila pembe ya dunia. Wakora hawa, sana sana wakishirikiana na viongozi wetu bure, wanatupangia vita na kutuletea magonjwa. Tunaposhughulika na majangwa mbalimbali wao wanelendelea kutupora.
    Kwa hivyo shida kuu ya Afrika ni mali yetu nyingi!

    • @sofiaasukuku8238
      @sofiaasukuku8238 Před 5 lety

      Wewe Ni pumbavu ujuhi lolote ,kaha kimia funga bakuli lako ,ajakoseya ata kidogo ,nyama wa pori wewe

  • @benp7693
    @benp7693 Před 5 lety +1

    Very great message

  • @mzunguonlinetv9181
    @mzunguonlinetv9181 Před 5 lety

    Nimesikiliza sana simulizi zako nikagundua .......unatumia muda mwingi sanaa kujiandaa kabala ya kuanza simulizi .......na pia nikagundua wewe ni moja ya watu wenye upeo mkubwa sanaa wa kufikiri kabla ya jambo na nikagundua kuwa watu kama wewe wanaitajika sanaa katika nchi zetu izi ..............namalizia tu kwa kusema wewe unajua unachokifanya yaani wewe ni kichwa unatumia akili yako vizuri sanaa ........napenda sana simulizi zako ANANIAS EDGER my brother from another mother ..................

  • @almacaugust9501
    @almacaugust9501 Před 5 lety

    Asante Sana'a

  • @godfreymkanje5667
    @godfreymkanje5667 Před 5 lety +2

    "Babu zetu walifungwa minyororo shingoni..lakini sisi tumefungwa fikra hili ni kweli ...natamani tuamke tulipo lala ...TANZANIA ni nchi tajiri sana lakini rais akifanya maendeleo wengine wanampinga...sijui ni nini tumefichwa usoni petu ...tunampinga raisi kwa kuipa kipaumbele lugha ya kiswahili ila waswahili sisi bado tunampinga...MUNGU inusuru africa ..."

  • @enockyohana6856
    @enockyohana6856 Před 5 lety +1

    Wazee wa zaman hawakuish wao Ila walituandalia sisi...ila sisi tunaharib vyote...ili wanao kuja wapamban wenywe..fid q alisema wanataman kutuangusha chini wanatukuta tumelala chini..

  • @olivercloud5597
    @olivercloud5597 Před 5 lety

    Hongera sana kijana una mawazo mengi sana kijana. Umasikini wetu ume sababishwa na ubaguzi ambao tuko nao. Tu ache kwanza ubaguzi kati yetu sisi kwa sisi.

  • @imanivard1127
    @imanivard1127 Před 5 lety +2

    Umezungumza ukweli sana tena sana,tunawafanya wao miungu watu mpaka tunachukia asili yetu,
    Mambo yao ya ajabu sisi ndio tunaona ujanja

  • @nissannicolas8397
    @nissannicolas8397 Před 4 lety

    Baba nakupenda sana
    Natena nakufwata 100%
    Unasemakweli adui wamu afrika ni mu afrika
    Hataserekali zetu zingekuwa zinaku fwata kungekuwa mabadiliko

  • @enockyohana6856
    @enockyohana6856 Před 5 lety +5

    Naomba nishaur fungua group whtsap kisha liite harakat kwa MTU mweusi..tufunguan harakt nimuhim ili historian ibadirik tena uafrica ulindwe na kila mmoja

  • @kulwamigo9127
    @kulwamigo9127 Před 5 lety +9

    Nimekuelewa sana ,lkn hivi hawa tunaoamini ni viongozi wetu wanajua haya!? Anyway hii inaonekana hili la waafrika ni agano la Mungu....maana kujua haya mambo hayahitaji akili kubwa. !

    • @sonson9282
      @sonson9282 Před 5 lety

      Shida sio viongozi shida ni sisi

  • @edsonmwaibanje129
    @edsonmwaibanje129 Před 5 lety +1

    Ahsante kwa simulizi hii, hakika wewe ni mwaafrika halisi na mzaleno wa kweli kaka, Hongera sana

  • @ramadhanalfan6249
    @ramadhanalfan6249 Před 5 lety +24

    NDUGU YANGU UNACHO SEMA KWELI NAUNAONA MBALI SANA ASANTE SANA

  • @prochesslyimo4863
    @prochesslyimo4863 Před 5 lety +3

    Heri wazazi waliokuzaa....Na ashukuriwe Mungu aliyewapa maarifa haya

  • @venancemalima1181
    @venancemalima1181 Před 5 lety +2

    Hongera na asamte,hata viongoz bora wamapotokea Afrika tunawaita dikteta.Inapendeza kukusikiliza.

  • @abdulkarimhamissi3755
    @abdulkarimhamissi3755 Před 5 lety +2

    Ukiitaka ujue waafrica niwajinga na pia uamin wazungu wanatutia ujinga angalia black pnda mwishon jamaa alitaka aende akawaue wazungu baada ya kupata nguvu ndugu zake wakampinga wakamshanbulia yeye

  • @calhoun1750
    @calhoun1750 Před 5 lety +7

    I hope everyone watch this video so people can change 😭😭😭

  • @dicksonsisya349
    @dicksonsisya349 Před 5 lety +1

    I like this News Team and the main narrator Ananias its the best and of its kind.
    Thank you so much Team Global and Team Ananias.
    How i like your voice and all the education you offer us through this channel.
    Please keep it up my brother from another mother.
    Dickson Sisya - From Zambia, DRC and Mauritius.

  • @adammj6258
    @adammj6258 Před 5 lety +20

    Yaani hata uitafsir kwa lugha zote uwape na Copy kila mmoja hawaelewi sijui tulirogwa na nani! "" "haya ma NGO nayachukia tangu yanaanza, siku hizi zipo hadi za kutetea mashoga na wanatumia kivuli cha haki za binaadamu, Shenzi kabisa!

  • @MauBonde
    @MauBonde Před 13 dny

    Point muhimu sana.kweli sisi tuliokua ulaya huku mipaka IPO lakin i tunapita tofauti na afrika tunavobaguana.

  • @moviesseries9923
    @moviesseries9923 Před 5 lety +7

    Unaongea points tupu Brother 🤗

  • @ufc-ultimatefightingchampi8456

    Africa Hamkeni....Great job bro.

  • @abdulxavi8121
    @abdulxavi8121 Před 5 lety +14

    Safi sana gonga like

  • @justineallan8
    @justineallan8 Před 5 lety +1

    Africa bado haijakombolewa. Pamba inalimwa mwanza wahindi wananunua maelfu ya tani kisha wanatengeneza nguo tunakuja kuuziwa kwa gharama ya juu zaidi

  • @eddokasanga6338
    @eddokasanga6338 Před 5 lety +13

    dah tumejenga majeshi yenye nguvu badala ya uchumi wenye nguvu

  • @nemohos4885
    @nemohos4885 Před 5 lety +6

    wazungu sio rafiki wetu. nakumbuka 2014 nikivyo rudi bongo niliona mademu na wazungu nikasema daa nchii yetu imeisha. watu wengine ni washamba wana fikiria wazungu ni mungu. mzungu hana roho nzuri.

  • @gloirejoseph9408
    @gloirejoseph9408 Před 5 lety +1

    mimi mkongomani ila nahishi south Africa nakukubali sana Bro kwa story zako ohh my Africa

  • @ntcltd5010
    @ntcltd5010 Před 5 lety +1

    true bro

  • @abdulkarimhamissi3755
    @abdulkarimhamissi3755 Před 5 lety +2

    Jana nimeona marekan imemuwekea vikwazo balozi wa Zambia tanzania nikashindwa kuelewa

  • @rajabkafuta3385
    @rajabkafuta3385 Před 5 lety

    kazi njema kaka. ushauri mzuri, tupunguze ufinyu wa kimawazo na kifikra Afrika.

  • @erickmodest5488
    @erickmodest5488 Před 5 lety +1

    Du kaka uko sawa kabisa

  • @zesootv6726
    @zesootv6726 Před 5 lety +3

    kaka uko juu mungu akubariki

  • @haidarihondo4475
    @haidarihondo4475 Před 5 lety +2

    umetisha sana kk hongera

  • @mpendakiswahili3053
    @mpendakiswahili3053 Před 2 lety

    Asante kwa ujumbe huu....

  • @josephnyandadomenick7373

    nice stories

  • @scopioncaptan551
    @scopioncaptan551 Před 5 lety

    Dah Inaskitisha sana

  • @benjaminfataki6898
    @benjaminfataki6898 Před 5 lety +6

    wa china na wa Inde nao wanazaaga sana mradi kuwa wengi wa africa tuna kosa misimamo ndo kinacho turudisha nyuma

  • @johnkabeja2219
    @johnkabeja2219 Před 5 lety +5

    Ili kuikabili hali hii ni lazima Waafrica vijana tujitafakari na tuchukue hatua kwa kuanza kujikubali sisi na vya kwetu pia tuuondoe unyanyasaji kwa waafrica kote Duniani

  • @enockyohana6856
    @enockyohana6856 Před 5 lety +1

    Endelea kutufungua tujitambue asee ...Africa tujitambue

  • @juhudikihongosi3904
    @juhudikihongosi3904 Před 5 lety +9

    Tengeneza kitabu bro kitakuwa kinatufundisha Sana maana makala zako ziko vizuri sana

  • @princejaytz6166
    @princejaytz6166 Před 5 lety +4

    Nakubali xana

  • @thobiassmollel2608
    @thobiassmollel2608 Před 5 lety

    Brother hongera sn...sijajua Ni lini watu weusi tutastuka kuheshimiana, kujikubali na kujitambua...never

  • @enockyohana6856
    @enockyohana6856 Před 5 lety +1

    Tumejengwa kweny misingi ya kuogopa tangu ukoloni..tumelelwa kweny misingi ya unafiki ...tumelelew katk malez mabaya sana...tunawaza tupate misaada ili tupige hatua ..hakuna jamb kama ilo ..namuheshim rais wetu Magufuri anapambana japo sio MTU wasiasa Ila anapamban haswa kutukumbush sisi nia akina nani.. Africa tuamke jamn..ghadafi alihitaj uafrica umoja wa wamataifa wakamuua..

  • @thetriplesofbethlehem6095

    Asantesana kwa mafundisho mazuri mwalimu✊🏿we are coming home soon

  • @agnessestoni5631
    @agnessestoni5631 Před 5 lety +2

    Naskia hasiraaaaaah vibaya mnooo Mung ameibariki Africa nawatu wake

  • @rasihamsangi8084
    @rasihamsangi8084 Před 5 lety

    Mungu endelea kutufahamisha yaliyo ya kweli

  • @eveliusreveliantv5985
    @eveliusreveliantv5985 Před 5 lety +5

    Kiukweli kwa kizazi ambacho bado tupo mashuleni naamini kupitia elimu hii ..... Africa mpya inakuja

  • @hemedjackson2261
    @hemedjackson2261 Před 5 lety +1

    Like u Ananias buddy untuamsh San vijan lkn mamb yatabadilik tu hy

  • @amani2555
    @amani2555 Před 5 lety

    Naipenda sana

  • @ayubunyiriza6124
    @ayubunyiriza6124 Před 5 lety +18

    😂😂😂 mda wote unafanya maandalizi ya kuondoka duniani

  • @abdulrahimhemed2691
    @abdulrahimhemed2691 Před 5 lety +6

    Suala la Zanzibar kujitenga ni sawa kwa sababu Tanganyika ni mkoloni mweusi tunayo haki ya kuchukua nchi yetu

  • @johnkwayu8724
    @johnkwayu8724 Před 5 lety

    Kama ikiwezekana ombeni kipindi kwenye hizi station za redio au tv zenye wasikilizaji wengi ata mkipata station 2 tofauti piA sio mbaya mnakuwa mnatuwekea kila siku makala moja moja naamini watu watasikiliza tu ... nendeni ata azam tv hamuwezi kunyimwa kipindi mkuu.. ni hayo t

  • @heritier5119
    @heritier5119 Před 5 lety

    Africa ingekuwa mbali sana kiuchumi kama tusingedai Uhuru bandia

  • @msonocollo9551
    @msonocollo9551 Před 4 lety

    asante kwa kumbea mama africa ukweli asante mungu akuwe uzidi kutuelimisha sisi wana wa afrika

  • @josephatkashendwa1177
    @josephatkashendwa1177 Před 4 lety +1

    Gonga cheers bro hata kama hutaki huo ndio ukweli "Unyenyekevu usio na maana ni sehemu ya ujinga pia", afrika tumejenga majeshi yenye nguvu, majeshi ya afrika yanatumika kulinda wapolaji, nguvu hii ingetumika kulinda raslimali za afrika ingekuwa baraka kwa waafrika, mfano ni raslimali zinazoibiwa Kongo, huku wakongo wakiuana na kula risasi, kweli ukiwa masikini halafu mjinga ni hatari kweli kama ilivyo Afrika.

  • @walkerfamily5582
    @walkerfamily5582 Před 5 lety +1

    I think mungu hakuumba mwafrika atajirike ila amtukuze tu alafu maadui zake wakuje kuangamizwa baadaye na mwafrika aishi bila uwoga na mashinda.

  • @kennedymmbando
    @kennedymmbando Před 5 lety +8

    Umeongea Kweli Waafrika tuamke .

  • @semanasitv8303
    @semanasitv8303 Před 5 lety +12

    hizi nondo peleka bungeni

  • @hermanstephenntabahungu5310

    Kama ingekua inaruhusiwa kuilike hii video hata mara trillion ningefanya hivyo,,,,bigup boss kwa elimu makini na ya kizalendo

  • @Amarimartins254
    @Amarimartins254 Před 5 lety +24

    mie natoka Kenya na nimependa maneno unayoyatamka. umeongea ukweli na ninakubaliana nawe

  • @allysamba1695
    @allysamba1695 Před 5 lety

    Nakku bali sana bulaz salute kwako na mngu hakufanyie wepes katka mmbo yko

  • @humphreykajigili6866
    @humphreykajigili6866 Před 5 lety +1

    Bro nakubali kinoma kaz ya kutoa ujinga kikubwa tufanyie kaz tunarudishwa nyuma na viongoz wetu pia

  • @petermahimbo9450
    @petermahimbo9450 Před 5 lety +2

    Safi sana kiongozi .bigbrain.

  • @rizikivincent9471
    @rizikivincent9471 Před 4 lety

    Mungu akubariki afrika tumetiwa akili finyo kujirudi kwenye usawa.wetu inakuwa shida na wanaoweza.kurekebisha ni viongozi wetu wa afrika nzima kuungana na kulifanyia kazi ili tatizo

  • @kelvinshaban2641
    @kelvinshaban2641 Před 5 lety +1

    keep it up ananias

  • @iddiadam857
    @iddiadam857 Před 5 lety +6

    Waafrika wengi tunanyimana passi. Me mwanafunzi wa uhandisi nimefanya mengi ila support zero.

    • @jp1780
      @jp1780 Před 5 lety

      iddi adam daah pole sana bro ni follow Instagram jp_1044 labda tuweza saidiana😦

  • @petrochengula9480
    @petrochengula9480 Před 5 lety

    Inauma sana

  • @alfredmtui8602
    @alfredmtui8602 Před 5 lety +3

    damn bro upo vizur sana

  • @zulfahhussein505
    @zulfahhussein505 Před 5 lety +1

    Duuh kaka nimekuewa vizuri sanaa wazugumza ukweli mtupu kabisaa

  • @japhetkazeri7135
    @japhetkazeri7135 Před 4 lety

    Kaka ubalikiwe sana na Mwenyezi Mungu.Wewe ni Mkombozi wetu

  • @chumujr3961
    @chumujr3961 Před 5 lety +1

    Maarifa mazuri sana

  • @ibrahimwario3177
    @ibrahimwario3177 Před 5 lety +2

    Umegonga ndipo kaka sisi waafrika tunachukiana wenyewe kwa wenyewe kuliko tupendane km undugu ya pili hatuna viongozi wanaokomboa bara letu wote ni waporaji

  • @isayamichael
    @isayamichael Před 4 lety

    Point kabisa BRO mungu awe nawew Et

  • @gigotz1755
    @gigotz1755 Před 5 lety +6

    Bora nipate chandarua Kuliko kuwa na gold nisiyo itumia

  • @ryobajohn7177
    @ryobajohn7177 Před 5 lety +1

    hongelen sana kazi nzuri sana

  • @mickyomary5215
    @mickyomary5215 Před 5 lety

    Unajuwa sana

  • @samiraabdimahamed4449
    @samiraabdimahamed4449 Před 5 lety +3

    Huzuni kwa kweli,