JINSI UKOLONI MAMBOLEO UNAVYOITAFUNA AFRIKA
Vložit
- čas přidán 6. 09. 2024
- JINSI UKOLONI MAMBOLEO UNAVYOITAFUNA AFRIKA
Changamoto kubwa inayolikabili bara la Afrika siyo umaskini , wala siyo uhaba wa rasilimali bali ni utumwa wa fikra. Fikra zetu zimekamatwa kiasi kwamba hatuwezi kuwaza nje ya misaada.
Heshima na ukarimu tunaompatia mzungu ni mkubwa kuliko waafrika wenyewe.Ukarimu wa mzungu unaanzia anapofika kwenye viwanja vyetu vya ndege.
#UKOLONIMAMBOLEO
www.youtube.co.... www.youtube.co.... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho
As I always say. Our problems start with us. The day we will accept we are the cause of all our problems is the day we will move forward. Ni kawaida ya watu wa zembe kulaumu wengine
kipkoech kosgei we already know the problem we just don't wanna change things we like how things are some Africans real like to be colonized as long as u can keep feeding her, him we good we got many leaders who believe in white so much and that's the big problem but things are starting to change now like Ethiopian airlines has sign a 6 year deal with Ghana also the africa free trade is going to start next month so the is still lil bit of hope
@@jp1780 I wonder why we have to blame whites for all of our problems. Even USA was once colonized. We Africans still think the reason we are behind is because of wazungu colonizing us
@@jp1780 I wonder why we have to blame whites for all of our problems. Even USA was once colonized. We Africans still think the reason we are behind is because of wazungu colonizing us
kipkoech kosgei we have to blame them they dont wanna let us be an who told u the usa did get colonized by who? Lol they colonized us for over 400 years that's a lot of yrs to be colonized bro an till to this day france still colonizing 14 African countries they make those 14 use their Franco currency an the funny thing is the france it self doesn't even use that Franco currency I mean it's just insane and embarrassing real! But it's time to fight back to get real freedom
ww mwenyew ni tatizo anza kujikubali ww mwenyewe, mfano mzuri lugha unayotumia kutoka nje.
Ikiwa unapenda kazi ya ananias like hapa
classic naufal 💪
This guy is super talented
Sure broo naniel N. laurence
@@danieln.laurence1485 sure broo
Good
Hii makala safi sana. Ichapishe tengeneza kitabu inahitaji marekebisho kidogo. Lakini imetulia sana hongera san
Hii kaz kwel yaaaan tunaitaji utulivu San kwa ujumbe huu asateh
Daaah mwanangu katika siku umenishawishi kuzidi kukuelewa ni hii story maana yake imegusa maisha ya bara la Africa god bless Africa kama tuko pamoja naomba likes zenu....
Asante sana bwanamkubwa Mpagaze .İla ingekua bora otoe video hii kwachini İtafsiriwe mkıngereza Pia nakifaransa
ili mataifa Mengine waeze elimika pia haswa kwawale wasio skia na kuelewa kiswahili
Asante leo nimesikiya yenye nilikuwa ubongo wangu unahitaji chakula cha akili asante sana
sema kaka upo vzr wallah napenda kuskiliza vipindi vyako duuuh najikuta nainjoy ungekuwa mwalim mm ningefaulu historia wallah ILA HAKIKA WAAFRIKA TUSIPO JIELEW TUTAKUWA WATUMWA WAO MM NMEKATAA KUWA MTUMWA
point apo....tunanunua majembe ulaya wakati babu zetu ndio waliogundua chuma hahahah
Bado sana kunamijitu imesoma na bado utaskia wazungu eti ni watetez wa haki za binadam..tuspoandamana au kufanya mikutano kila siku watatutenga...pumbavu
Asante Kwa huduma yenu,Mungu awabariki Sana.
Unaweza sana nimemaliza historia karibu zote na najifunza mengi unaweza sana
Hongera sana umeongea point sana hii ndio Elimu inayotakiwa kwa jamii 👏👏👏 maana kweli hatujitambui na hatujithamini
h
Daaah Aseee broo fikira zako kama ZANGU daah MUNGU akuongoze Mzee mana ukisema kweli wanakuzima kama analogia kwenda digital
mungu? mbona mungu asaiidi watoto ambayo awana chakula wawe na chakula?
Ata Mungu ni Mzungu mwenzao sisi tushaatupa Miungu yetu asili tukabeba dini zao
@@BigZhumbe we acha tu
Aise edga mungu akulinde makala zako zinatisha sijui ututengenezee vitabu!
Amina
Braza kunywa unachotaka alaf nitumie bili yako dah!! We jamaa n nomaa sana.
Embu tuandikie kitabu kuhusu haya maisha aisee ila pia ukitengeneza CD itapendezaa sana ili hawa watoto wadogo waendelee kusikia haya labda wanaweza kutusaidia tubadilike! Duh!!
Tunaomba nakala ziendelee na kwenye TV ndugu zetu nao wapate kusikiliza angalau wajuwe uhalisia wa mambo#kazi nzur
Broo umetisha mpeni like yake.
Hakika anaongea points
Said lumuli jamaa sio poa huyu
@@abdimaulid5569 sana
Kwa msimuliaji, Kazi yako unaipenda sana. Hasa sauti yako ni safi sana. Hongera. Binaadamu hakuwa nyani. Hakikisha unafanya utafiti na kuhariri jumbe zako kabla hujaliza la mgambo.
Iko vizuri iyo ndugu yangu Africa inahitaji miti shamba tofauti na ile ya wazungu
Kaka Mungu akusimamie yani Mpaka Machozi yamenitoka. Inauma sana na ukweli siku zote hauburudishi Bali unaridhisha na huja na maumivu.
😃😃😃
Gonga like...Kaka yangu kutoka mama mwingine......"Africa ina umri mkubwa lakini bado inavalishwa nepi"
Tukiona viongozi wanaopambana ili tujikomboe wenyewe tunawaponda eti wantutesa
Sagudanicas Kwel kbs tena et mashtak tunawapelekea wao watuamulie tunawaona wazungu wa maana sana
@@jp1780 Marufuku kukata tamaa usichoke
@UCqmzrUyTOODhZZny-yyYxWg Marufuku kukata tamaa usichoke
Agatha Thobias kweli bro but sometimes is just to much ulaya wa Africans tuna huwawa kama minyama ukija Africa ndohivo tena
Agatha Thobias ila nakwelewa bro
Tunaomba Africa tuwe United, mganda akionekana Tanzania 🇹🇿 anafungwa.
Sio maisha ayo wote ni waafrica.
Asante kaka kwa video yako nzuri. Ninaunga mkono na mengi ulichoyasema. Lakini kuna jambo moja ambalo sijakubaliana nalo, na hiyo ni kulinganisha hali ya maendeleo ya Afrika na ya nchi kama Amerika, Malaysia, Singapore na kadhalika.
Nchi ya Amerika haikufikia maendeleo kwa sababu ya ''maono'' ama ''founding fathers'', la! Amerika ni nchi iliyonyakuliwa kutoka kabila ya ''Red Indians'' naye ilijengwa kwa jasho na damu ya ndugu zetu, yaani ''Black Americans''. Bila huo unyakuzi na bila utumwa wa ndugu zetu, Amerika ingekuwa nchi ya kawaida au hata ya umaskini.
Nchi kama Singapore na Malaysia hazina rasilimali kiasi cha kulinganishwa na zetu. Afrika kina mali nyingi chini ya ardhi yake na mali hii inavutia wakora mbalimbali kutoka kila pembe ya dunia. Wakora hawa, sana sana wakishirikiana na viongozi wetu bure, wanatupangia vita na kutuletea magonjwa. Tunaposhughulika na majangwa mbalimbali wao wanelendelea kutupora.
Kwa hivyo shida kuu ya Afrika ni mali yetu nyingi!
Wewe Ni pumbavu ujuhi lolote ,kaha kimia funga bakuli lako ,ajakoseya ata kidogo ,nyama wa pori wewe
Very great message
Nimesikiliza sana simulizi zako nikagundua .......unatumia muda mwingi sanaa kujiandaa kabala ya kuanza simulizi .......na pia nikagundua wewe ni moja ya watu wenye upeo mkubwa sanaa wa kufikiri kabla ya jambo na nikagundua kuwa watu kama wewe wanaitajika sanaa katika nchi zetu izi ..............namalizia tu kwa kusema wewe unajua unachokifanya yaani wewe ni kichwa unatumia akili yako vizuri sanaa ........napenda sana simulizi zako ANANIAS EDGER my brother from another mother ..................
Asante Sana'a
"Babu zetu walifungwa minyororo shingoni..lakini sisi tumefungwa fikra hili ni kweli ...natamani tuamke tulipo lala ...TANZANIA ni nchi tajiri sana lakini rais akifanya maendeleo wengine wanampinga...sijui ni nini tumefichwa usoni petu ...tunampinga raisi kwa kuipa kipaumbele lugha ya kiswahili ila waswahili sisi bado tunampinga...MUNGU inusuru africa ..."
Wazee wa zaman hawakuish wao Ila walituandalia sisi...ila sisi tunaharib vyote...ili wanao kuja wapamban wenywe..fid q alisema wanataman kutuangusha chini wanatukuta tumelala chini..
Hongera sana kijana una mawazo mengi sana kijana. Umasikini wetu ume sababishwa na ubaguzi ambao tuko nao. Tu ache kwanza ubaguzi kati yetu sisi kwa sisi.
Umezungumza ukweli sana tena sana,tunawafanya wao miungu watu mpaka tunachukia asili yetu,
Mambo yao ya ajabu sisi ndio tunaona ujanja
Baba nakupenda sana
Natena nakufwata 100%
Unasemakweli adui wamu afrika ni mu afrika
Hataserekali zetu zingekuwa zinaku fwata kungekuwa mabadiliko
Naomba nishaur fungua group whtsap kisha liite harakat kwa MTU mweusi..tufunguan harakt nimuhim ili historian ibadirik tena uafrica ulindwe na kila mmoja
Nimekuelewa sana ,lkn hivi hawa tunaoamini ni viongozi wetu wanajua haya!? Anyway hii inaonekana hili la waafrika ni agano la Mungu....maana kujua haya mambo hayahitaji akili kubwa. !
Shida sio viongozi shida ni sisi
Ahsante kwa simulizi hii, hakika wewe ni mwaafrika halisi na mzaleno wa kweli kaka, Hongera sana
NDUGU YANGU UNACHO SEMA KWELI NAUNAONA MBALI SANA ASANTE SANA
Asante sana
Heri wazazi waliokuzaa....Na ashukuriwe Mungu aliyewapa maarifa haya
Amina sana
Hongera na asamte,hata viongoz bora wamapotokea Afrika tunawaita dikteta.Inapendeza kukusikiliza.
Ukiitaka ujue waafrica niwajinga na pia uamin wazungu wanatutia ujinga angalia black pnda mwishon jamaa alitaka aende akawaue wazungu baada ya kupata nguvu ndugu zake wakampinga wakamshanbulia yeye
I hope everyone watch this video so people can change 😭😭😭
I like this News Team and the main narrator Ananias its the best and of its kind.
Thank you so much Team Global and Team Ananias.
How i like your voice and all the education you offer us through this channel.
Please keep it up my brother from another mother.
Dickson Sisya - From Zambia, DRC and Mauritius.
Thanks very much, we are humbled.
Yaani hata uitafsir kwa lugha zote uwape na Copy kila mmoja hawaelewi sijui tulirogwa na nani! "" "haya ma NGO nayachukia tangu yanaanza, siku hizi zipo hadi za kutetea mashoga na wanatumia kivuli cha haki za binaadamu, Shenzi kabisa!
Ukwel
😃😃😃😃😂😂😂😂😋
Point muhimu sana.kweli sisi tuliokua ulaya huku mipaka IPO lakin i tunapita tofauti na afrika tunavobaguana.
Unaongea points tupu Brother 🤗
Africa Hamkeni....Great job bro.
Safi sana gonga like
Africa bado haijakombolewa. Pamba inalimwa mwanza wahindi wananunua maelfu ya tani kisha wanatengeneza nguo tunakuja kuuziwa kwa gharama ya juu zaidi
dah tumejenga majeshi yenye nguvu badala ya uchumi wenye nguvu
wazungu sio rafiki wetu. nakumbuka 2014 nikivyo rudi bongo niliona mademu na wazungu nikasema daa nchii yetu imeisha. watu wengine ni washamba wana fikiria wazungu ni mungu. mzungu hana roho nzuri.
mimi mkongomani ila nahishi south Africa nakukubali sana Bro kwa story zako ohh my Africa
true bro
Jana nimeona marekan imemuwekea vikwazo balozi wa Zambia tanzania nikashindwa kuelewa
kazi njema kaka. ushauri mzuri, tupunguze ufinyu wa kimawazo na kifikra Afrika.
Du kaka uko sawa kabisa
kaka uko juu mungu akubariki
umetisha sana kk hongera
Asante kwa ujumbe huu....
nice stories
Dah Inaskitisha sana
wa china na wa Inde nao wanazaaga sana mradi kuwa wengi wa africa tuna kosa misimamo ndo kinacho turudisha nyuma
Ili kuikabili hali hii ni lazima Waafrica vijana tujitafakari na tuchukue hatua kwa kuanza kujikubali sisi na vya kwetu pia tuuondoe unyanyasaji kwa waafrica kote Duniani
Endelea kutufungua tujitambue asee ...Africa tujitambue
Tengeneza kitabu bro kitakuwa kinatufundisha Sana maana makala zako ziko vizuri sana
Nakubali xana
Brother hongera sn...sijajua Ni lini watu weusi tutastuka kuheshimiana, kujikubali na kujitambua...never
Tumejengwa kweny misingi ya kuogopa tangu ukoloni..tumelelwa kweny misingi ya unafiki ...tumelelew katk malez mabaya sana...tunawaza tupate misaada ili tupige hatua ..hakuna jamb kama ilo ..namuheshim rais wetu Magufuri anapambana japo sio MTU wasiasa Ila anapamban haswa kutukumbush sisi nia akina nani.. Africa tuamke jamn..ghadafi alihitaj uafrica umoja wa wamataifa wakamuua..
Asantesana kwa mafundisho mazuri mwalimu✊🏿we are coming home soon
Naskia hasiraaaaaah vibaya mnooo Mung ameibariki Africa nawatu wake
Mungu endelea kutufahamisha yaliyo ya kweli
Kiukweli kwa kizazi ambacho bado tupo mashuleni naamini kupitia elimu hii ..... Africa mpya inakuja
Like u Ananias buddy untuamsh San vijan lkn mamb yatabadilik tu hy
Naipenda sana
😂😂😂 mda wote unafanya maandalizi ya kuondoka duniani
Suala la Zanzibar kujitenga ni sawa kwa sababu Tanganyika ni mkoloni mweusi tunayo haki ya kuchukua nchi yetu
We ivi unaakiri wewe
abdulrahim Hemed mara trilliin ni boraaa
We kwel chenga sana
Badala ya kusema tuungane,we unasema tutengane duh! Mwarabu kakuroga.
@@jamesmzaak7258 mtaungana na Kenya lkn msilazimishe kama znz hawataki tena
Kama ikiwezekana ombeni kipindi kwenye hizi station za redio au tv zenye wasikilizaji wengi ata mkipata station 2 tofauti piA sio mbaya mnakuwa mnatuwekea kila siku makala moja moja naamini watu watasikiliza tu ... nendeni ata azam tv hamuwezi kunyimwa kipindi mkuu.. ni hayo t
Africa ingekuwa mbali sana kiuchumi kama tusingedai Uhuru bandia
asante kwa kumbea mama africa ukweli asante mungu akuwe uzidi kutuelimisha sisi wana wa afrika
Gonga cheers bro hata kama hutaki huo ndio ukweli "Unyenyekevu usio na maana ni sehemu ya ujinga pia", afrika tumejenga majeshi yenye nguvu, majeshi ya afrika yanatumika kulinda wapolaji, nguvu hii ingetumika kulinda raslimali za afrika ingekuwa baraka kwa waafrika, mfano ni raslimali zinazoibiwa Kongo, huku wakongo wakiuana na kula risasi, kweli ukiwa masikini halafu mjinga ni hatari kweli kama ilivyo Afrika.
I think mungu hakuumba mwafrika atajirike ila amtukuze tu alafu maadui zake wakuje kuangamizwa baadaye na mwafrika aishi bila uwoga na mashinda.
Umeongea Kweli Waafrika tuamke .
hizi nondo peleka bungeni
hili ndo bunge weweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Bungeni
Wabunge wenyewe vilaza😂😂😂
Kama ingekua inaruhusiwa kuilike hii video hata mara trillion ningefanya hivyo,,,,bigup boss kwa elimu makini na ya kizalendo
mie natoka Kenya na nimependa maneno unayoyatamka. umeongea ukweli na ninakubaliana nawe
.
Nakku bali sana bulaz salute kwako na mngu hakufanyie wepes katka mmbo yko
Bro nakubali kinoma kaz ya kutoa ujinga kikubwa tufanyie kaz tunarudishwa nyuma na viongoz wetu pia
Safi sana kiongozi .bigbrain.
Mungu akubariki afrika tumetiwa akili finyo kujirudi kwenye usawa.wetu inakuwa shida na wanaoweza.kurekebisha ni viongozi wetu wa afrika nzima kuungana na kulifanyia kazi ili tatizo
keep it up ananias
Waafrika wengi tunanyimana passi. Me mwanafunzi wa uhandisi nimefanya mengi ila support zero.
iddi adam daah pole sana bro ni follow Instagram jp_1044 labda tuweza saidiana😦
Inauma sana
damn bro upo vizur sana
Duuh kaka nimekuewa vizuri sanaa wazugumza ukweli mtupu kabisaa
Kaka ubalikiwe sana na Mwenyezi Mungu.Wewe ni Mkombozi wetu
Maarifa mazuri sana
Umegonga ndipo kaka sisi waafrika tunachukiana wenyewe kwa wenyewe kuliko tupendane km undugu ya pili hatuna viongozi wanaokomboa bara letu wote ni waporaji
Point kabisa BRO mungu awe nawew Et
Bora nipate chandarua Kuliko kuwa na gold nisiyo itumia
hongelen sana kazi nzuri sana
Unajuwa sana
Huzuni kwa kweli,