DENIS MPAGAZE: Mfahamu Mwanamalundi / Mwanaume Aliyekausha Miti kwa Kidole Wanawake Wakapata Kuni!!

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 11. 2021
  • EMAIL US : sales@fomaentertainment.com
    Follow Us On Instagram
    / ananiasedgartz
    / ananiasedgartv
    / ananiasedgartv
    / ananiasedgartv
    SUBSCRIBE
    bit.ly/2ZWGBXo
    Copyright Disclaimer: Under Section 107 of the Copyright Act 1976, allowance is made for fair use for purposes such as criticism, comment, news reporting, teaching, scholarship, and research.
    ______________________________________________________________________________________________
    SIMULIZI ZA MATUKIO: bit.ly/2XlNCzg
    HISTORIA ZA VIONGOZI: bit.ly/3ezWg2X
    ELIMU ZA UKOMBOZI: bit.ly/3eCOK7m

Komentáře • 350

  • @AnaniasEdgarTV
    @AnaniasEdgarTV  Před rokem +21

    Unataka kutuunga mkono? Tuchangie chochote kuanzia Tsh 500 nakuendelea. Kiwango chochote ni kikubwa sana kwetu na tunathamini sana. Unawezakutuchangia ukiwa popote pale duniani.
    Bofya hapa chini kutuchangia;
    flutterwave.com/donate/uznwvj3q1jox

    • @SangetNgoirien
      @SangetNgoirien Před 8 měsíci +1

      I need to know the current events from your channel

    • @boniphacemashauri3318
      @boniphacemashauri3318 Před měsícem +1

      Je,mnapokuwa mnafanya utafiti wenu Kwa Hawa mashujaa wetu,huwa mnakumbuka na kuulizia vizazi vyao kwamba vipo au ndo baada ya wao kufa na damu zao huishia hapo?

  • @herbertlevery13
    @herbertlevery13 Před 2 lety +15

    Ukweli ni kwamba sisi tulikuwa na manabii na wazungu waliwauwa manabii wetu ili kuwatangaza wa kwao na ss waafrica tumeferi ktk hill kwa zipo baraka ktk kuwatangaza manabii zenu na mbaya zaidi mmegeuza majina yao kuwa mizimu lakini wazungu wanawaita watakatifu shtuken waafrika

  • @simonballu1124
    @simonballu1124 Před 2 lety +53

    leo nimeamini huyu jamaa anasimuliaga vitu vya kweli mana sehemu aliyoitaja ni kwetu na hizo sehemu zipo tukienda kuchunga tulikuwaga tunaona hizo nyayo za mwanamalundi pia kuna mwamba mwingine alikuwa anaitwa chalya naye historia yake inasisimua pia stori ya ibamba ngulu nilisimulia na mama yangu mzazi, keep it up bro unafanya utafiti wa kina hii habari ni ya kweli kabisa.

    • @SAMISAI.
      @SAMISAI. Před 9 měsíci +2

      Nikutafute unipeleke🙏

    • @nassibu-hy5ny
      @nassibu-hy5ny Před 8 měsíci +3

      Nichek mi nkupeleke kwenye nyayo zake utaona na mti alioukausha

    • @KiyumbiEmmanuel-zc4hv
      @KiyumbiEmmanuel-zc4hv Před 6 měsíci

      Ukitaka kuyajua maeneo yote haya ya mwanamalundi nitafute nikupeleke

  • @munawwar.akachwamba
    @munawwar.akachwamba Před 2 lety +18

    Historia imebeba mengi , tuitafute historia, tujitambue.
    Shukran kwa uchambuzi wenu .

  • @kamobcooler1077
    @kamobcooler1077 Před 2 lety +7

    Watu wengi hapa kuna kitu hawakijui (1)-Kabuli la huyu Jamaa lipo Kijiji kimoja kinaitwa SEKE IDIDI (SHINYANGA) mpk Sasa lipo

    • @abbytv4659
      @abbytv4659 Před 2 lety

      Huko ni kwetu kabisa ndio nmezaliwa huko.

  • @manp.....7694
    @manp.....7694 Před 2 lety +15

    Denis nakuelewa san mkuu. Keep up kutupa vitu vitamu havichosh kuskilza, unatufundsha vtu vng sana kuhus maisha na historia ya watu weusi. Nakuombea sik moja uje kua kiongoz Mkubwa katka hii nchi naamini utakua kam JPM kwa philosophy na mtzamo wako dhid ya Whites.

  • @matthewkimaro8695
    @matthewkimaro8695 Před rokem +6

    Chapa kazi Wadau, tunapenda simuulizi zenu katika mambo mbalimbali. Diaspora ya Watanzania UK

  • @mosesmaganga1490
    @mosesmaganga1490 Před 2 lety +7

    Mimi nimesoma mwakilyambiti secondary school hiyo history ni ukweli mtupu mpka kwao mwana malundi napajua mwakubiringa

  • @christopherdimagaaaikopouw916

    Nimeipenda sana hii ni kumbukumbu nzur zinatukumbusha Asili yetu tuliko toka Ananias tuletee na simulizi za mwamba wengine wa tz

  • @coronacermak7099
    @coronacermak7099 Před 2 lety +28

    Hongera sana. Kupitia hii simulizi, Leo nimewasimulia watoto wangu kuhusu Mwanamalundi. Maana baba yao anapenda sana kuwasimulia kuhusu Legend stories za tamaduni yake ya Czech au Ulaya. Sasa na mimi nilivyoisikia hii nimewasimulia. Mtoto wangu wa Kiume amefurahia pale kamba ya kunyonga ilipokatika na Mwanamalundi alipojamba na wasukuma wakapata Ng'ombe wao 😆☺️. Unasauti nzuri sana yakusimulia, inanikumbusha David Attenborough akivyokuwa msimulizi mzuri kwenye makala za historia na wanyama. Endelea hivyo hivyo, kizazi chetu tunajikomboa kifikra.

    • @yassinchachalika2446
      @yassinchachalika2446 Před 2 lety +1

      ,

    • @matthewkimaro8695
      @matthewkimaro8695 Před rokem

      Umefanya vema sasa Dada. Vijana hawa wanafanya kazi nzuri sana katika kusimulia vizazi vijavyo historia za mashujaa wetu wa Tanzania. Nimekulia Tanzania kwa miaka 30 lakini sikuweza kusikia simulizi hizi. Inanikumbusha kipindi cha miaka ya 90 ambapo tulikuwa tunasikiliza kwenye redio RTD kipindi cha “mama na mwana” saa 8 kamili mchana.

  • @herbertogaro7270
    @herbertogaro7270 Před 2 lety +9

    Great voice, narration and metaphors....kiswahili kitukuzwe

  • @bogoheidaso2628
    @bogoheidaso2628 Před 2 lety +11

    Nakumbuka sana nikiwa mtoto tulikua tunaambiwa mwanamalundi alikua kilima viazi ASUhi jioni anachimba viazi anaanza kura

  • @ibraton4071
    @ibraton4071 Před 2 lety +7

    unachosema kweli....yule jamaa aliwalisha watu kibao kwwa mikate miwili....lakina mwanamarundi anakausa mti wanamuona mshirikina yule wa israel ni uwezo wa mungu africa banaa

  • @prof.oduoroduor6471
    @prof.oduoroduor6471 Před 2 lety +15

    huo usimulizi wako uko juuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaana>>> You are a great narrator bro.. so catchy

  • @frankwilbard5775
    @frankwilbard5775 Před 2 lety +12

    Ndani ya story yako tunapata story nyingine ndogondogo nzuri sana asanteee

  • @fatumaligome4584
    @fatumaligome4584 Před 2 lety +8

    Nikirudi tz nitakutafuta nipate vitabu vyako kaka ni kwa ajili ya watt wangu hupenda sana kusoma vitabu vya histor ya waliotangulia

  • @arveengeorge9577
    @arveengeorge9577 Před 2 lety +6

    Huyu ndio Yesu asee maana kaacha nyayo zake juu ya mawe kaka

  • @Delux698
    @Delux698 Před 7 měsíci +1

    Salute san kiongoz unatufundish vitu tusivyovijua, mung akuongoze....

  • @adolfkimaro784
    @adolfkimaro784 Před 2 lety +3

    safi sana story nzuri na inamafunzo kwa watu wa africa tunatakiwa kuthamii vya nyumbani na kuvaamini kabca maana ata leo ukikutana na msukuma halisi atakuambia mwanamalundi ni mchawi wa kutupwa

  • @peterkisomezi1101
    @peterkisomezi1101 Před 2 lety +12

    Pamoja brother big up

  • @tatukigua5456
    @tatukigua5456 Před rokem +4

    Kweli kaka Denis watoto wa sikuizi wanaingilia paka maongezi ya watu wazima

  • @saidbakari2408
    @saidbakari2408 Před rokem +3

    the voice of the voiceless King Dennis

    • @maryaika9645
      @maryaika9645 Před rokem

      👍🏽 the voice of the faceless king D

  • @manp.....7694
    @manp.....7694 Před 2 lety +2

    Annanias uje kunifundsha kusmulia story. I really appreciate unavosimulia.

  • @mecksonmasaki5463
    @mecksonmasaki5463 Před rokem +4

    napenda sana stori zako lakini ni story za juzi tuu nataka unipe story ya chief mangungo na baba yake masaki . habari zao zipo hata makaburi yao lakini yamefichwa na watu wamejua

  • @primestar5922
    @primestar5922 Před 2 lety +7

    Mwanamalundi ni shujaa wa Africa nzima.

  • @princessmunii2530
    @princessmunii2530 Před 2 lety +6

    Omg nimesoma wasomi huru gerezani, ukombozi wa fikra, na tumbo lisiloshiba na leo nimekusikiliza bila kujua ni wewe mtunzi wa vile vitabu😥 naamini tutaikomboa jamii kwa juhudi zetu sote tukiwa wawazi!!

    • @kulwalugata7232
      @kulwalugata7232 Před 2 lety

      Kuna anani s edga na Denis mpagaze mmoja mwandishi mwingine msimuliaji

  • @aguerowakujidai6509
    @aguerowakujidai6509 Před 2 lety +8

    Kakah iachie sisi tuenjoi leo mana kitambo sana tumeisubiri hii

    • @godwin6325
      @godwin6325 Před 2 lety

      Noma sana, yani ile Historia ya Tanzania ingefundishwa mashuleni wewe ndiye ungekuwa mtu muhimu sana.

  • @LeonJayson-x9j
    @LeonJayson-x9j Před dnem

    Ety mti wa kuwanyongea Wahalifu, Aliyeandika alikua Mpemba niniii😂😂😂

  • @joycesengo3976
    @joycesengo3976 Před 2 lety +10

    Wasukuma tunapenda ndege ndio maana JPM alizinunua Kwa wingi sikupingi 💃💃💃

  • @bish_daddiyao
    @bish_daddiyao Před 2 lety +2

    Kwa Uchambuzi tu Asante❤️🙏🏾🇰🇪

  • @carloskitheka5401
    @carloskitheka5401 Před rokem

    Simulizi tamu sana..keep up good work.

  • @Eddyplatnumz700
    @Eddyplatnumz700 Před rokem +2

    Napenda kz yako ndugu mungu awe nawe kwakila jambo 🙏🙏

  • @abelchacha5977
    @abelchacha5977 Před 2 lety +5

    That is it . GOD BLESS WE

  • @jacksonjoseph6990
    @jacksonjoseph6990 Před 2 lety +4

    Safi. Tunatengene filamu yake sasa

  • @mwljuliuskiwovele223
    @mwljuliuskiwovele223 Před 2 lety +6

    Mimi napenda sana simulizi ukisimuliwa na Ananias Edgar halafu iwe ndefu kama ile ya Thomas sankara,Mkwawa na Mirambo

  • @abelchacha5977
    @abelchacha5977 Před 2 lety

    Asante

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 Před 2 lety +5

    Tunashukuru Sana naona na wewe kama mkombozi wa fikra zetu waafrika

  • @tanialucas4579
    @tanialucas4579 Před 2 lety +5

    Nimependa sana simulizi yako endelelea kupambazuwa waatu

  • @ovidiokibuga1086
    @ovidiokibuga1086 Před 2 lety

    Naomba uniadd kwenye group la Makala za Denis MPAGAZE brother

  • @saxannjo6173
    @saxannjo6173 Před rokem +1

    FANTASTIC FLOW

  • @compromiseboy7226
    @compromiseboy7226 Před 2 lety +5

    Nasubiri simulizi hili leo

  • @prophetsayitv1541
    @prophetsayitv1541 Před rokem

    Ananias Edgar, upo vizuri Sana,
    Naomba nipate soft copy, Pia naomba nijue Kama una vitabu Aina zingine, ili niangalie nichukue vitabu vingine Pia.

  • @evodiadominicpaul5006
    @evodiadominicpaul5006 Před rokem +1

    Nimeipenda sana history ya mwana malundi, barikiwa msimulizi

  • @mbayomaikoakzahi9400
    @mbayomaikoakzahi9400 Před 2 lety +2

    Hawa washkaji uwa nawasiikiliza uzalendotu ila kwamachungu mengi sana hawa majaa wameni kula hela yangu eti watanitumia kitabu paka kitabu akijafika mwezi wa6 hivi nikiwahandikia eti bado kunatatizo kwelii tatizo lisiohisha kwamyiezi yotehiyoo

    • @AnaniasEdgarTV
      @AnaniasEdgarTV  Před 2 lety

      Hello pole sana.
      Tafadhali tunaomba ututumie namba yako whatsapp +255659982764 kwa msaada zaidi.>

  • @justblackcode
    @justblackcode Před 2 lety +5

    Nimependa madoido uloyatia katikati usimulize wako😍, hadi nimeishare kwenye status yangu 🇰🇪♥️

  • @idarusishabani7551
    @idarusishabani7551 Před rokem +2

    Hangera sana mzee napenda sana kukusikiliza wana jaribu kukuigizaaa lakini wanafel kabsaa.

  • @kahemajohn9992
    @kahemajohn9992 Před 2 lety +5

    Ni kweli yote. Mimi hapa nimeandika vitabu vitano. Lakini nimekosa wa kunifadhili kea sababu vinazungumzia mila na desturi za kiafrika

    • @prophetsayitv1541
      @prophetsayitv1541 Před rokem

      Unahitaji ufadhiri Kama tshs ngapi,?
      Wafadhiri wapo wengi Sana.
      Hiyo unayofanya Ni Kazi Njema Sana.

  • @Beautiful-Place
    @Beautiful-Place Před 2 lety +15

    Great voice 👍

  • @prophetsayitv1541
    @prophetsayitv1541 Před rokem

    Upo vizuri Sana msomaji na mwandaaji, Ni story inayofundisha Sana.

  • @muherefaustine578
    @muherefaustine578 Před 3 měsíci

    Nakubali sana kaka big up 💯💯💯

  • @malaleboy5607
    @malaleboy5607 Před 2 lety +3

    Kazi nzur sana👏👏

  • @makeresiapawa7947
    @makeresiapawa7947 Před 2 lety +4

    Hii sio historia sahihi ya Mwanamalundi- ng'wanamalūndi.
    huyu jamaa hajazungumzia tumboni mwa mama yake, bali ni mjukuu wa Igulu yaani JISHOSHA.

    • @silveryb
      @silveryb Před 2 lety

      Igulu bugomola ni nan?

    • @ernestlameck5523
      @ernestlameck5523 Před 2 lety

      Eee bhana na hyo alie kua anaacha alama ya miguu kwenye mawe ni ibhamba ngulu cyo n'gwanamalund navyo jua Mimi lakin

  • @lbmbtv9743
    @lbmbtv9743 Před 2 lety

    Kazi nzuri sana

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 Před 2 lety +8

    Wasukum wanapend ndege 🤣 ndio maan hata hayat JPM 💔 alizinunua kwa wingi 👏

  • @ababeleikocajacques7796
    @ababeleikocajacques7796 Před 10 měsíci

    Historia nzuri sana.

  • @egidenkeshimana7905
    @egidenkeshimana7905 Před 2 lety

    Keep up bro. 🙏🙏🙏

  • @SmilingPhoenix-td1rz
    @SmilingPhoenix-td1rz Před 7 měsíci

    Nimekuelewa sana nanimejifunza mengi ahsante sana nakubali kazi yako❤

  • @samwelmahwela9576
    @samwelmahwela9576 Před 2 lety +3

    Nakubali good tuelimishe maana sasaivi vijana hatuna uasilia wetu

  • @mustafarbacar4161
    @mustafarbacar4161 Před 2 lety +1

    Nilishelewa kidogo brother,good good🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @barakamwakapoma2702
    @barakamwakapoma2702 Před 2 lety

    Nakukubali Sana Annanias

  • @irenemassawe5791
    @irenemassawe5791 Před 2 lety

    Great

  • @mathewdeus9978
    @mathewdeus9978 Před rokem +1

    Nakubali Bro hauna baya kuna watu wamelala mpaka leo

  • @florentinilyimo9045
    @florentinilyimo9045 Před 2 lety +3

    ur geniuz bro . napenda mawazo yako yani ningeeza ngefufua mizimu yote ya africa lets go back to where we belong

  • @macklynesoloo8538
    @macklynesoloo8538 Před 2 lety

    Good Work Denish

  • @asajilemwamundela1220
    @asajilemwamundela1220 Před 2 lety +2

    Duuu bro upo poa sana

  • @benneliasmahundi1112
    @benneliasmahundi1112 Před 2 lety +1

    History inakubid uwe Makin kuitafakal maan mmmmmmmmh Asante

  • @abelchacha5977
    @abelchacha5977 Před 2 lety +1

    Amen

  • @juma1hujukii642
    @juma1hujukii642 Před 5 měsíci

    Hakika mswahili alifeli kwatukuza vya weupe. Ndio maana Leo wenye chanjo wameittwa ng'ombe na mahakama za Marekani

  • @noelynjelekela5406
    @noelynjelekela5406 Před 7 měsíci

    Umeongea point sana bro

  • @abelchacha5977
    @abelchacha5977 Před 2 lety +2

    Fact to be told.

  • @samwelyremy4103
    @samwelyremy4103 Před 8 měsíci

    Nmefurah sana kupata hii story
    Nikirudi Tz 🇹🇿nta tafuta vtabu vyenu ✅

  • @nickrandu7759
    @nickrandu7759 Před 5 měsíci

    Nimekuwa nikizifuatilia sana hizi simulizi zako, kazi njema kaka. Naweza vipataje hivi vitabu nikiwa Nairobi Kenya?

  • @chrissjoel7752
    @chrissjoel7752 Před 2 lety +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂 Edgar akianza kusimulia tu huwezi kuchoka kumsikiliza

  • @AlhajiomnarisoudiSoudi

    Ahn kweli kabisa bibi fisi nimeona live nyumba katikat ya balabala

  • @laurenciafeya4283
    @laurenciafeya4283 Před 2 lety

    Big up broo Edgar😊

  • @charlesmyamba8531
    @charlesmyamba8531 Před 2 lety +9

    Story qalii Sana tunamisi saut yako ingekua kila siku

  • @rashidmollel529
    @rashidmollel529 Před 2 lety

    Hongera Mr Denis.nimeipenda

  • @wilondjarama1427
    @wilondjarama1427 Před rokem

    Nakukubali sana bro

  • @bogoheidaso2628
    @bogoheidaso2628 Před 2 lety

    Unaeleza vizuri sana kamanda

  • @chiburashfod5122
    @chiburashfod5122 Před 2 lety

    Dah. Kaka nakukubali sna

  • @malaleboy5607
    @malaleboy5607 Před 2 lety +1

    Unafanya vizuri sana kaka big up sana mzeee #ananiasediga

  • @Mushidebb
    @Mushidebb Před 6 měsíci +1

    Yaani watanzania sis tuna vitu amazing na hatuvijui

  • @arakazashabani3295
    @arakazashabani3295 Před 2 lety

    safi sana

  • @ellvinkerubo6365
    @ellvinkerubo6365 Před rokem +1

    Good job 254👍👍👍

  • @emmanuelbonifas2804
    @emmanuelbonifas2804 Před 2 lety +1

    Kwanza nakushukuru sana kwa history hii nzuri me pia nilikuwa siyajui haya nimewaza sana kuhusu kifo cha jpm kwnn asingepewa ulinzi kama huo jaman

  • @uymm3954
    @uymm3954 Před 2 lety +2

    Nimekupenda unavyo simulia 🙏😍💓

  • @twailyiddy5016
    @twailyiddy5016 Před 2 lety

    Nimependa San brother

  • @e.jack.47
    @e.jack.47 Před 2 lety +7

    Narration on point 👉

  • @eliudmaster2175
    @eliudmaster2175 Před 2 lety

    Nakuelewa sana

  • @vicentsimon1245
    @vicentsimon1245 Před 2 lety

    Nice video

  • @chikubundara5761
    @chikubundara5761 Před 2 lety

    Pamoja sana

  • @wazeewatukutu7928
    @wazeewatukutu7928 Před 2 lety

    Nakubali

  • @henrytumai8002
    @henrytumai8002 Před rokem

    Nzuri sana

  • @luhendesoloshija9502
    @luhendesoloshija9502 Před rokem +1

    Mwanalundi hajaenda singida buana ila ni meatu

  • @silveryb
    @silveryb Před 2 lety +3

    Alikua mtaalamu wa ngoma ya wigashe

  • @BENZ001.
    @BENZ001. Před 5 měsíci

    kingwendu kamtaja mwana malundi kumbe kweli yupo💥💥🙏🏼

  • @pastorykatana9654
    @pastorykatana9654 Před 2 lety

    Napenda Sana story

  • @hassancharles1771
    @hassancharles1771 Před rokem

    The great voice ur man keep it broo

  • @richardboaz-mashagospel2346
    @richardboaz-mashagospel2346 Před 3 měsíci

    Kwa nini isiigizwe sinema yake itakua tamu sana.

  • @paschalsafari9747
    @paschalsafari9747 Před rokem +1

    Lakini kabla Brian deacon mwigizaji wa filim ya Yesu hajazaliwa ! Picha za Yesu Kristo zilikuwepo... Fuatilia kisa cha mwanamke Veronica aliyeachiwa kumbu kumbu ya picha ya Yesu kwa muujiza kupitia kitambaa chake mara baada ya kuupunguza uso wa Yesu wakati wa mateso yake.....