DENIS MPAGAZE: Mfahamu Mwanamalundi / Mwanaume Aliyekausha Miti kwa Kidole Wanawake Wakapata Kuni!!
Vložit
- čas přidán 27. 11. 2021
- EMAIL US : sales@fomaentertainment.com
Follow Us On Instagram
/ ananiasedgartz
/ ananiasedgartv
/ ananiasedgartv
/ ananiasedgartv
SUBSCRIBE
bit.ly/2ZWGBXo
Copyright Disclaimer: Under Section 107 of the Copyright Act 1976, allowance is made for fair use for purposes such as criticism, comment, news reporting, teaching, scholarship, and research.
______________________________________________________________________________________________
SIMULIZI ZA MATUKIO: bit.ly/2XlNCzg
HISTORIA ZA VIONGOZI: bit.ly/3ezWg2X
ELIMU ZA UKOMBOZI: bit.ly/3eCOK7m
Unataka kutuunga mkono? Tuchangie chochote kuanzia Tsh 500 nakuendelea. Kiwango chochote ni kikubwa sana kwetu na tunathamini sana. Unawezakutuchangia ukiwa popote pale duniani.
Bofya hapa chini kutuchangia;
flutterwave.com/donate/uznwvj3q1jox
I need to know the current events from your channel
Je,mnapokuwa mnafanya utafiti wenu Kwa Hawa mashujaa wetu,huwa mnakumbuka na kuulizia vizazi vyao kwamba vipo au ndo baada ya wao kufa na damu zao huishia hapo?
Ukweli ni kwamba sisi tulikuwa na manabii na wazungu waliwauwa manabii wetu ili kuwatangaza wa kwao na ss waafrica tumeferi ktk hill kwa zipo baraka ktk kuwatangaza manabii zenu na mbaya zaidi mmegeuza majina yao kuwa mizimu lakini wazungu wanawaita watakatifu shtuken waafrika
leo nimeamini huyu jamaa anasimuliaga vitu vya kweli mana sehemu aliyoitaja ni kwetu na hizo sehemu zipo tukienda kuchunga tulikuwaga tunaona hizo nyayo za mwanamalundi pia kuna mwamba mwingine alikuwa anaitwa chalya naye historia yake inasisimua pia stori ya ibamba ngulu nilisimulia na mama yangu mzazi, keep it up bro unafanya utafiti wa kina hii habari ni ya kweli kabisa.
Nikutafute unipeleke🙏
Nichek mi nkupeleke kwenye nyayo zake utaona na mti alioukausha
Ukitaka kuyajua maeneo yote haya ya mwanamalundi nitafute nikupeleke
Historia imebeba mengi , tuitafute historia, tujitambue.
Shukran kwa uchambuzi wenu .
Tatizo atutimizi marengo ndugu yangu
Watu wengi hapa kuna kitu hawakijui (1)-Kabuli la huyu Jamaa lipo Kijiji kimoja kinaitwa SEKE IDIDI (SHINYANGA) mpk Sasa lipo
Huko ni kwetu kabisa ndio nmezaliwa huko.
Denis nakuelewa san mkuu. Keep up kutupa vitu vitamu havichosh kuskilza, unatufundsha vtu vng sana kuhus maisha na historia ya watu weusi. Nakuombea sik moja uje kua kiongoz Mkubwa katka hii nchi naamini utakua kam JPM kwa philosophy na mtzamo wako dhid ya Whites.
Chapa kazi Wadau, tunapenda simuulizi zenu katika mambo mbalimbali. Diaspora ya Watanzania UK
Mimi nimesoma mwakilyambiti secondary school hiyo history ni ukweli mtupu mpka kwao mwana malundi napajua mwakubiringa
Nimeipenda sana hii ni kumbukumbu nzur zinatukumbusha Asili yetu tuliko toka Ananias tuletee na simulizi za mwamba wengine wa tz
Hongera sana. Kupitia hii simulizi, Leo nimewasimulia watoto wangu kuhusu Mwanamalundi. Maana baba yao anapenda sana kuwasimulia kuhusu Legend stories za tamaduni yake ya Czech au Ulaya. Sasa na mimi nilivyoisikia hii nimewasimulia. Mtoto wangu wa Kiume amefurahia pale kamba ya kunyonga ilipokatika na Mwanamalundi alipojamba na wasukuma wakapata Ng'ombe wao 😆☺️. Unasauti nzuri sana yakusimulia, inanikumbusha David Attenborough akivyokuwa msimulizi mzuri kwenye makala za historia na wanyama. Endelea hivyo hivyo, kizazi chetu tunajikomboa kifikra.
,
Umefanya vema sasa Dada. Vijana hawa wanafanya kazi nzuri sana katika kusimulia vizazi vijavyo historia za mashujaa wetu wa Tanzania. Nimekulia Tanzania kwa miaka 30 lakini sikuweza kusikia simulizi hizi. Inanikumbusha kipindi cha miaka ya 90 ambapo tulikuwa tunasikiliza kwenye redio RTD kipindi cha “mama na mwana” saa 8 kamili mchana.
Great voice, narration and metaphors....kiswahili kitukuzwe
Nakumbuka sana nikiwa mtoto tulikua tunaambiwa mwanamalundi alikua kilima viazi ASUhi jioni anachimba viazi anaanza kura
Congratulations
Safi
unachosema kweli....yule jamaa aliwalisha watu kibao kwwa mikate miwili....lakina mwanamarundi anakausa mti wanamuona mshirikina yule wa israel ni uwezo wa mungu africa banaa
huo usimulizi wako uko juuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaana>>> You are a great narrator bro.. so catchy
Ndani ya story yako tunapata story nyingine ndogondogo nzuri sana asanteee
Nikirudi tz nitakutafuta nipate vitabu vyako kaka ni kwa ajili ya watt wangu hupenda sana kusoma vitabu vya histor ya waliotangulia
Huyu ndio Yesu asee maana kaacha nyayo zake juu ya mawe kaka
😂
Salute san kiongoz unatufundish vitu tusivyovijua, mung akuongoze....
safi sana story nzuri na inamafunzo kwa watu wa africa tunatakiwa kuthamii vya nyumbani na kuvaamini kabca maana ata leo ukikutana na msukuma halisi atakuambia mwanamalundi ni mchawi wa kutupwa
Pamoja brother big up
Kweli kaka Denis watoto wa sikuizi wanaingilia paka maongezi ya watu wazima
the voice of the voiceless King Dennis
👍🏽 the voice of the faceless king D
Annanias uje kunifundsha kusmulia story. I really appreciate unavosimulia.
napenda sana stori zako lakini ni story za juzi tuu nataka unipe story ya chief mangungo na baba yake masaki . habari zao zipo hata makaburi yao lakini yamefichwa na watu wamejua
Mwanamalundi ni shujaa wa Africa nzima.
hahaha unachekesha mwamba nimkwawa
Omg nimesoma wasomi huru gerezani, ukombozi wa fikra, na tumbo lisiloshiba na leo nimekusikiliza bila kujua ni wewe mtunzi wa vile vitabu😥 naamini tutaikomboa jamii kwa juhudi zetu sote tukiwa wawazi!!
Kuna anani s edga na Denis mpagaze mmoja mwandishi mwingine msimuliaji
Kakah iachie sisi tuenjoi leo mana kitambo sana tumeisubiri hii
Noma sana, yani ile Historia ya Tanzania ingefundishwa mashuleni wewe ndiye ungekuwa mtu muhimu sana.
Ety mti wa kuwanyongea Wahalifu, Aliyeandika alikua Mpemba niniii😂😂😂
Wasukuma tunapenda ndege ndio maana JPM alizinunua Kwa wingi sikupingi 💃💃💃
Za masiku Joyce?? Umepotea Sana... Uje upande ndege😋😃
Kwa Uchambuzi tu Asante❤️🙏🏾🇰🇪
Simulizi tamu sana..keep up good work.
Napenda kz yako ndugu mungu awe nawe kwakila jambo 🙏🙏
That is it . GOD BLESS WE
Safi. Tunatengene filamu yake sasa
Ikikamilika Hiyo filam unijulishe ntachukua CD
Mimi napenda sana simulizi ukisimuliwa na Ananias Edgar halafu iwe ndefu kama ile ya Thomas sankara,Mkwawa na Mirambo
Asante
Tunashukuru Sana naona na wewe kama mkombozi wa fikra zetu waafrika
Nimependa sana simulizi yako endelelea kupambazuwa waatu
Naomba uniadd kwenye group la Makala za Denis MPAGAZE brother
FANTASTIC FLOW
Nasubiri simulizi hili leo
Ananias Edgar, upo vizuri Sana,
Naomba nipate soft copy, Pia naomba nijue Kama una vitabu Aina zingine, ili niangalie nichukue vitabu vingine Pia.
Nimeipenda sana history ya mwana malundi, barikiwa msimulizi
Hawa washkaji uwa nawasiikiliza uzalendotu ila kwamachungu mengi sana hawa majaa wameni kula hela yangu eti watanitumia kitabu paka kitabu akijafika mwezi wa6 hivi nikiwahandikia eti bado kunatatizo kwelii tatizo lisiohisha kwamyiezi yotehiyoo
Hello pole sana.
Tafadhali tunaomba ututumie namba yako whatsapp +255659982764 kwa msaada zaidi.>
Nimependa madoido uloyatia katikati usimulize wako😍, hadi nimeishare kwenye status yangu 🇰🇪♥️
Afrika ni Tajiri Lakin sjui nan katuroga
Hangera sana mzee napenda sana kukusikiliza wana jaribu kukuigizaaa lakini wanafel kabsaa.
Ni kweli yote. Mimi hapa nimeandika vitabu vitano. Lakini nimekosa wa kunifadhili kea sababu vinazungumzia mila na desturi za kiafrika
Unahitaji ufadhiri Kama tshs ngapi,?
Wafadhiri wapo wengi Sana.
Hiyo unayofanya Ni Kazi Njema Sana.
Great voice 👍
Upo vizuri Sana msomaji na mwandaaji, Ni story inayofundisha Sana.
Nakubali sana kaka big up 💯💯💯
Kazi nzur sana👏👏
Hii sio historia sahihi ya Mwanamalundi- ng'wanamalūndi.
huyu jamaa hajazungumzia tumboni mwa mama yake, bali ni mjukuu wa Igulu yaani JISHOSHA.
Igulu bugomola ni nan?
Eee bhana na hyo alie kua anaacha alama ya miguu kwenye mawe ni ibhamba ngulu cyo n'gwanamalund navyo jua Mimi lakin
Kazi nzuri sana
Wasukum wanapend ndege 🤣 ndio maan hata hayat JPM 💔 alizinunua kwa wingi 👏
Historia nzuri sana.
Keep up bro. 🙏🙏🙏
Nimekuelewa sana nanimejifunza mengi ahsante sana nakubali kazi yako❤
Nakubali good tuelimishe maana sasaivi vijana hatuna uasilia wetu
Nilishelewa kidogo brother,good good🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Nakukubali Sana Annanias
Great
Nakubali Bro hauna baya kuna watu wamelala mpaka leo
ur geniuz bro . napenda mawazo yako yani ningeeza ngefufua mizimu yote ya africa lets go back to where we belong
Good Work Denish
Duuu bro upo poa sana
History inakubid uwe Makin kuitafakal maan mmmmmmmmh Asante
Amen
Hakika mswahili alifeli kwatukuza vya weupe. Ndio maana Leo wenye chanjo wameittwa ng'ombe na mahakama za Marekani
Umeongea point sana bro
Fact to be told.
Nmefurah sana kupata hii story
Nikirudi Tz 🇹🇿nta tafuta vtabu vyenu ✅
Nimekuwa nikizifuatilia sana hizi simulizi zako, kazi njema kaka. Naweza vipataje hivi vitabu nikiwa Nairobi Kenya?
😂😂😂😂😂😂😂😂 Edgar akianza kusimulia tu huwezi kuchoka kumsikiliza
Ahn kweli kabisa bibi fisi nimeona live nyumba katikat ya balabala
Big up broo Edgar😊
Story qalii Sana tunamisi saut yako ingekua kila siku
Hongera Mr Denis.nimeipenda
Nakukubali sana bro
Unaeleza vizuri sana kamanda
Dah. Kaka nakukubali sna
Unafanya vizuri sana kaka big up sana mzeee #ananiasediga
Yaani watanzania sis tuna vitu amazing na hatuvijui
safi sana
Good job 254👍👍👍
Kwanza nakushukuru sana kwa history hii nzuri me pia nilikuwa siyajui haya nimewaza sana kuhusu kifo cha jpm kwnn asingepewa ulinzi kama huo jaman
Nimekupenda unavyo simulia 🙏😍💓
Nimependa San brother
Narration on point 👉
Nope
Nakuelewa sana
Nice video
Pamoja sana
Nakubali
Nzuri sana
Mwanalundi hajaenda singida buana ila ni meatu
Alikua mtaalamu wa ngoma ya wigashe
kingwendu kamtaja mwana malundi kumbe kweli yupo💥💥🙏🏼
Napenda Sana story
The great voice ur man keep it broo
Kwa nini isiigizwe sinema yake itakua tamu sana.
Lakini kabla Brian deacon mwigizaji wa filim ya Yesu hajazaliwa ! Picha za Yesu Kristo zilikuwepo... Fuatilia kisa cha mwanamke Veronica aliyeachiwa kumbu kumbu ya picha ya Yesu kwa muujiza kupitia kitambaa chake mara baada ya kuupunguza uso wa Yesu wakati wa mateso yake.....