Ijue historia ya mtoni kwa AZIZI ALLY, tajiri aliyemkataza NYERERE kuvaa kaptula

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 08. 2019
  • __
    Harakati za Bongo is an online magazine that specializes in educations stories and entertainment stories from Tanzania.
    Harakati za Bongo, Aloso abbreviated as HZB was started 2011 by John Sambila,who had a passion for wrinting and photography from the time he was young.
    *******************************************
    Share, Support, Subscribe!!!
    Subscribe: UC-4fDfmsXy9hIcEmPKbARIQ
    CZcams: / hzbtv
    Twitter: / harakatizabongo
    Facebook: / harakatizabongo
    Instagram: / harakatizabongo
    Google Plus: plus.google.com/+harakatizabongo
    Website: harakatibongo.com/
  • Zábava

Komentáře • 80

  • @shifaaal-baity4503
    @shifaaal-baity4503 Před 3 lety +12

    Allah amrehemu na amrzuqu pepo ya juu kabisa Azeez Ali

  • @jumakisailo1066
    @jumakisailo1066 Před 2 lety +6

    Mwenyeezimungu amsamehe makosa yake na amlaze mahala pema peponi. In-shaallah..❤️❤️❤️

    • @jumakisailo1066
      @jumakisailo1066 Před 2 lety +1

      Ama kweli historia ya Azizi Ally imenisisimua vilivyo..❤️😭

  • @azadida801
    @azadida801 Před 2 lety +6

    Allah amsamehe, amhurumie, na ampe makazi firdausi mwamba kabisa huyu aziz ally na wazazi wake na vizazi vyake. Amiin

    • @christopherkiswaga9270
      @christopherkiswaga9270 Před měsícem +1

      Hizi ni shuhuda zinapaswa kukifundisha kizazi chetu kuipenda nchi yetu , watu , na kuwapa heshima viongozi ambao Mungu amewaweka kuongoza nchi yetu.

  • @khadijambuya794
    @khadijambuya794 Před 2 lety +4

    Mwenyezi mungu amrehemu in shaallah

  • @harounbuzohera4797
    @harounbuzohera4797 Před 2 lety +2

    Historia stahiki. ASANTE MZEE WETU AZIZ ALLY KIDONYO.Mwenyezi MUNGU akulaze mahala pema peponi.

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 Před 3 lety +5

    Mungu amrehemu!!!

  • @ashritaabdallah6474
    @ashritaabdallah6474 Před 4 lety +4

    Mashallah Allah amsamehe amfanyie kaburi lake kua nyumba ya peponi aamiyna

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před 4 měsíci

    Ni kweli na ndio maana Waislam ni wengi sana kuliko kiriso❤❤❤👍👍👍mtangazaji ongera sana'tuletee mambo mengine mazuri

  • @mzuvendi
    @mzuvendi Před 3 lety +11

    Allah amrehemu..wengi wa waasisi wa Tanganyika Nyerere alihakikisha wanafutika..Kitabu cha mwana historia Mohamed Said kinachambua habari zao kwa urefu zaidi...

  • @abdallahhamza9689
    @abdallahhamza9689 Před 4 lety +8

    Wazee wengi wakiislamu wamefunikwa Mungu anawaona

  • @jumabakary2796
    @jumabakary2796 Před rokem

    Mungu mlaze pema peponi mzee wetu Aziz Ally

  • @lawrencehezronmwakalebela2738

    Uko vizuri. Ila uliposema mwafrica wa kwanza kununua gari umekosea labda useme mtanzania wa kwanza kununua gari

    • @chomaroyalchiefdom1907
      @chomaroyalchiefdom1907 Před 3 lety +3

      Nchi inayoitwa Tanzania haikuwepo, imezaliwa baada ya kuungana na Zanzibar mwaka 1964. Pengine labda angesema ni Mtanganyika wa kwanza kwenye eneo hilo la Mtoni kununua gari.

  • @halimasalim6629
    @halimasalim6629 Před 3 lety

    Mashallah Allah amrehemu ampe jannah

  • @maulidmtowi3937
    @maulidmtowi3937 Před 4 lety +10

    Kweli haki aipotei japo itacheleweshwa ila ipo siku itakufikia tu
    HISTORIA HAIFICHIKI HASWA IKIWA NZURI KAMA HII SAFI SANA endeleeni kutufukulia makabur yaliyo fichwa kwenye hii nchi yapo mengi tu

  • @seifserenge3340
    @seifserenge3340 Před měsícem

    Tunaomba hii historia uindeleze tujue zaidi ya hapo

  • @111dudi
    @111dudi Před 4 lety +11

    Nimefurahi historian ya Aziz Ali imefukuliwa. Natamani mchango wake zaidi atolewe ujulikane. Hatajwi katika historia ya wanaharakati wa uhuru. Tulifundishwa kuwa Nyerere ndiye aliyekuwa kila kitu katika TANU. Aziz na wenzake walitupiliwa mbali na Nyerere na wala hakuwataja wala kuwajali. Picha zinawasuta.wengi wao walikuwa ni waislam ambayo Leo hawamo katika kutawala wala chama

    • @salumkanju1732
      @salumkanju1732 Před 4 lety +4

      Leo nimepata mwanga, Kilasiku nilikuwa najiuliza huyu Aziz Ally alikuwa ni nani mpaka eneo kubwa la temeke likapewa jina lake, Yani itokee tu eneo liitwe jina lamtu bila lolote jambo??? Nimesikiliza na kuelewa mambo vizuri, Baba yangu aliwahi kunisimulia sana habar hizi za uhuru wa Tanganyika ila sehem kubwa alisema ukweli umefichwa mwanangu soma zaidi iko siku yatakutoka machozi haki ikijulikana....leo hii nimeziona apo picha ambazo baba akinisimulia alikuwa akinionesha roho inaniuma nimelia sana adi watoto wangu wananishangaaa...HAMZA AZIZ alipewa ukuu wa polisi 1972-1973 kisha akaambulia kashfa kutokana na dini yake....

    • @shifaaal-baity4503
      @shifaaal-baity4503 Před 3 lety +3

      @@salumkanju1732 iko siku tutakutana wote mbele ya Allah na kila mtu atapata haki yake

  • @khalifanassor9072
    @khalifanassor9072 Před 3 lety +2

    Allah awarehemu

  • @muh_tz
    @muh_tz Před 5 lety +2

    Kwa Azizi Ally.... Shushaaaaaa!!!

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Před 2 lety +8

    HAKIKA NYERERE ALIKUWA MWIZI WA FADHILA!!

  • @emamuharamain4552
    @emamuharamain4552 Před 4 lety +11

    Sisi tukiwaambia kua uhuru wa nchi hii asili ya imetoka kwa Waislamu lakin hamtaki, na bado mtakuja kueleza kila haki INSHAALLAAH,

    • @Kibaba12
      @Kibaba12 Před 4 lety +6

      Sijawahi kuona mtu mwenye uelewa mdogo kama wewe asee

    • @mzuvendi
      @mzuvendi Před 3 lety +3

      @@Kibaba12 inaonyesha wee ni nyumbu khasa!

    • @Kibaba12
      @Kibaba12 Před 3 lety +4

      cool moods sawa naona mlimchagu sheikh kuwa na raisi wa kwanza wa nchi sio

    • @shifaaal-baity4503
      @shifaaal-baity4503 Před 3 lety +5

      Kweli kabisa..nimesikia story ya bibi zaituni matola na wenzie wengi wote waislamu kule mbeya bi zatuni Allah amrehemu alikua akimficha rais Nyerere kwa kumvisha baibui ili asionekane na wa British

    • @shifaaal-baity4503
      @shifaaal-baity4503 Před 3 lety +1

      @@mzuvendi 👍🏻👍🏻

  • @dioskorimtalo2348
    @dioskorimtalo2348 Před 2 lety +4

    Hakika huyu alikua mtu mwema sana. Tena akabarikiwa mali nyingi , mtu ana lorry Tipper mwaka 1930. Leo vijana akinunua Spacio hawasalimii watu. Nyambaffff

  • @zainulahmed8206
    @zainulahmed8206 Před rokem +1

    Niskilize izo story za uwongo tu ntafanyaje

  • @mohammedhimba1647
    @mohammedhimba1647 Před 2 lety

    Si utani mungu inajua

  • @bestman8182
    @bestman8182 Před měsícem

    Kiingereza sasa😅😅😅

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup68 Před 3 lety +1

    Stori tam

  • @saidiswalehe566
    @saidiswalehe566 Před 3 lety +1

    Abalikiwe

  • @mugabugadi
    @mugabugadi Před rokem

    Nawapa ta

  • @simonnembomadola7512
    @simonnembomadola7512 Před rokem +2

    Uhuru umepiganwa na Waislam na baada ya Uhuru waislam wakasaulikwa rasmi

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před 2 lety

    Safi mtangazaji tulikuwa hatujui jina ilo limetoka wapi?tujuze na wazee wengine maarufu.

  • @khalifanassor9072
    @khalifanassor9072 Před 3 lety +5

    Kwa kweli uhuru wa Tanzania umetwafutwa na waislam

    • @gracejulius3966
      @gracejulius3966 Před 2 lety +6

      Kwani kuna shida ? Jambo la Msingi ni kwamba wote walikuwa Watanganyika. Udini hauna nafasi katika nchi hii.

    • @nicholousmtemi3902
      @nicholousmtemi3902 Před 7 měsíci

      Daaa watu wanapenda udini kila mahali ko nyerere kama hakutafuta au hakuhusika ikawaje akawa raisi

  • @humoudmohammad3125
    @humoudmohammad3125 Před 3 lety

    .

  • @seifserenge3340
    @seifserenge3340 Před měsícem

    Huo ndio uislam, nyie msiokuwa waislam,upingeni uislam, wapigeni vita waislam lakini ukweli utabakia kuwa ukweli. Iko siku mtaelewa tu.

  • @abuubakalmtangenange4389
    @abuubakalmtangenange4389 Před 3 lety +3

    Waislam ndio wapigania huru wa nchi hii nyerere aliwekwa km shati

    • @flavianaludovick7830
      @flavianaludovick7830 Před 3 lety +1

      Ukisema hvyo unakosea,zamani watu wengi walidharau elimu,ilikua sio rahis kudai uhuru kama huna uelewa,Nyerere alikua kasoma kwa hiyo ilikua rahis ku

    • @flavianaludovick7830
      @flavianaludovick7830 Před 3 lety +1

      Kuwasiliana na wakolon ndipo Watanganyika walipomtumia yy kwa ajili ya kudai uhuru,yaliyofuata ni matokeo tuu,hata zamani dini haikuwepo wapo wa Kristo walioitwa majina ya kiislam wengi tu,mfano mababu zetu.

    • @richardbegga6679
      @richardbegga6679 Před 2 lety

      Haaa haaa

    • @lucasthomas188
      @lucasthomas188 Před 11 měsíci

      Kwa hiyo🤗🤣🤣😅

  • @abuubakalmtangenange4389
    @abuubakalmtangenange4389 Před 3 lety +3

    Ili mtu umtawale umnyime, elimi, umpe umasikini, pia umuondolee historian yake ya kweli kwa ilo nyerere alifanikiwa watu wengi hawajui ni kinanani waliopigania huru wengi ujua nyerere ila ktk oradha ya kweli hakuna mkristo hata mmoja aliyepigania uhuru wa nchi hii

  • @saidbakari7476
    @saidbakari7476 Před 3 lety +6

    Wakristo hawataki kuisikia historia hii wanajiona wao ndio kila kitu Tanzania wamefunika historia ya waasisi wetu kwa sababu ya ubinafsi tu kabla ya Uhuru watanzania tulikuwa wamoja bila kujali dini au kabila

    • @erastobartalome2709
      @erastobartalome2709 Před 3 lety +2

      Umekosea wewe ndio umeleta huo ubaguzi sasa

    • @monicahovda4524
      @monicahovda4524 Před 3 lety +1

      Kwa hiii Tanzania ? Habari za utofaiti wa Iman. Mmmmh watu wanazaliana mpka, Sasa utakuta huyu Muasisi matawi ya kizazi chake ni hao hao tofauti tofauti za hizo Iman, Lakini kitachobaki hapo ni (generation) kizazi chake, kiwe Iman hii au Iman ile ndio hivyo Generation inavyokwenda, mradi wote ni ndugu waliotokana na mtu Mmja, hamuwezi kujijua.

    • @stanlaymanya687
      @stanlaymanya687 Před 2 lety

      Axeee binadam bwanaa!!! Udin wann katka ukombozi was taifa!!!? Tusipandiane chuki na kujiweka special Awamu zote waislam na wakristo wanaachiana uraiss mlitaka muwekwe mfukoni waislam, wakristo, wapagan walikufa kwaajili ya hi nchi.

    • @JASIRIGR
      @JASIRIGR Před 2 lety +2

      Hiyo dini yenyewe uliletewa na waarabu ambao walikuwa wanawatesa babu na bibi zako, tumia kichwa kufikilia.

    • @estermpagama9664
      @estermpagama9664 Před 2 lety +1

      Walioachiwa mbona walishindwa kuendeleza udini si kitu kizuri tunaishi na familia zetu waislamu yaani tuwaache tusiwasomeshe

  • @mamlomamlo9064
    @mamlomamlo9064 Před rokem

    Mgoa ni muhindi

  • @simonnembomadola7512
    @simonnembomadola7512 Před rokem +2

    Uhuru umepiganwa na Waislam na baada ya Uhuru waislam wakasaulikwa rasmi