The Story Book: Mji wa Tanzania Uliokuwa Mji Mzuri Zaidi Duniani (Historia ya KILWA)

SdĂ­let
VloĆŸit
  • čas pƙidĂĄn 7. 07. 2022
  • WATCH WASAFI TVđŸ“ș
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM đŸ“»
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI đŸ“» | 104.1 DODOMA đŸ“» | 94.5 ARUSHA đŸ“» | 97.3 MBEYA đŸ“» | 94.9 MWANZA đŸ“» | SHINYANGA 106.3 đŸ“» | KIGOMA 101.7 đŸ“»
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    đ‘Ș𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 đ‘Ÿđ’‚đ’”đ’‚đ’‡đ’Š 𝑮𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑹𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • ZĂĄbava

Komentáƙe • 629

  • @abuubilal2646
    @abuubilal2646 Pƙed rokem +27

    Sababu ya mji wa kilwa kupotea ni kwamba walipokuja wareno kutaka kutawala waliwaamrisha wenyeji. wa kilwa kubatizwa kwa nguvu walipokataa ndipo kwa wivu wao wakaamua kuupiga makombora mji huo na kuuharibu na wakawachukua utumwani wenyeji.Ukitaka kuijua historia ya kilwa kiundani waulize waislamu wanaijua vizuri

  • @tanzanian8847
    @tanzanian8847 Pƙed rokem +19

    Huwez kutengenisha historia y mji wa kilwa na ukuaji wa uislam afrika. Historia ya kilwa ilipotezwa ili kuficha historia ya uislam Afrika Mashariki na MCHANGO wa uislam katika maendeleo ya dunia.
    Ahsante sana Jamal Hashim kwa documentary hii.

    • @SilaMinanda
      @SilaMinanda Pƙed 3 měsĂ­ci +1

      Ni kweli kaka, historia ya kweli inafichwa ambayo ni kubwa kuliko ata nyerere wanaomuabudu na kumuita baba wa taifa, wakati huo waislam ndio walianza kupgania uhuru maana ata ukoloni ulianzia pwani na sio bara.

  • @mahamudumbwana382
    @mahamudumbwana382 Pƙed rokem +49

    Maaana halisi ya kwamba hakuna kinachodumu duniani😱😱 kila kitapita tu na kitabaki kua historia ee mwenyezi Mungu tujalie mwisho mwema

    • @perujumah1422
      @perujumah1422 Pƙed rokem +1

      Ameen thuma ameen

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 Pƙed rokem

      @@perujumah1422 Allahumma Aaaameen

    • @SamirBSam
      @SamirBSam Pƙed rokem

      Watu tunapita. KILWA YA SASA NI KIJIJI CHA OVIO SANA. IMEBAKI KIJIJI CHA HISTORIA. SEHEMU WANAO PIKISHA KILA CHAKULA KWA MAFUTA YANAZI.

  • @michaelliungo7811
    @michaelliungo7811 Pƙed rokem +47

    kusini kumesahaulika sana na leo nimeamini kwamba Jamal ndio mtu pekee mzalendo wa nchi hii mwenye kujua thamani ya historia yetu

  • @yohanamhagama8975
    @yohanamhagama8975 Pƙed rokem +52

    Nimefurahi Sana prof Jamal kwa kuitangaza nchi yetu wengi wetu hatujui mambo mengi ya nchi kwa kuwa hatuna utaratibu wa kutembelea vivutio vyetu vya kale

  • @perujumah1422
    @perujumah1422 Pƙed rokem +9

    There is no permanent situation,Allah atujalie mwisho mwema😱😱đŸ€ČđŸ€Č

  • @HusseinAllih-Arsenalke
    @HusseinAllih-Arsenalke Pƙed rokem +2

    umenielimisha sana kakangu.Serikali za africa zafaa kuikuza zaidi kwa manufaa ya wananchi

  • @Is-hakaMussa-yu3lh
    @Is-hakaMussa-yu3lh Pƙed 9 měsĂ­ci +3

    mungu akupe umrii broo

  • @arapninja_things
    @arapninja_things Pƙed rokem +12

    Hakika professor Jamal , nimeweza kujua kikamilifu staarabu za kilwa ya kale... Naitazama kutoka nchi Jirani ya Kenya 🇰đŸ‡Ș🇰đŸ‡Ș🇰đŸ‡Ș Asante sana

  • @rinirietransfomaorenge4309
    @rinirietransfomaorenge4309 Pƙed rokem +25

    Ahsante Sana Prof. Marekani Kasikazini nawapata mbashara mpaka maeneo ya Kisii Kenya sitakosa kufuatilia

  • @jamesmzaki6041
    @jamesmzaki6041 Pƙed rokem +3

    Dah! Bonge moja la mji wa kihistoria ila nashangaa promo kubwa inapigwa Bagamoyo

  • @hassansaidhajji001
    @hassansaidhajji001 Pƙed rokem +54

    Professor your are my model especial in knowledge,learning,innovation and other aspect Allah bless you my brother

  • @abdallahmwanjile471
    @abdallahmwanjile471 Pƙed rokem +8

    M/mungu akinijaalia uhai nitaitembelea kilwa insha'Allah

  • @user-hz3lr7po2l
    @user-hz3lr7po2l Pƙed 5 měsĂ­ci +1

    Kwanza kabisa napenda kukupongeza sana kwa maelezo yako mazuri yanayoeleweka kirasi. Nchi hii yetu ina mengi yaliyofichika kwasababu mbalimbali. Nakuomba tukiwa hukohuko wilayani Kilwa tupo historia ya miji kama kilwa kivinje na songa mnara na kwingine. Kwa mara nyingine nakupongeza sana.

  • @idrisadalluc4498
    @idrisadalluc4498 Pƙed rokem +3

    Blo nazani allah amekushusha iwe msaada kwetu blo nakubalisana nakuombea kwamungu uwe namalifazaid utufunulie zaidi ishallah

  • @kingkittah6748
    @kingkittah6748 Pƙed rokem +17

    PROFESSOR ...!! MTAALAMU KABISA.!! 🙏🙏🙏

  • @samwelthomas239
    @samwelthomas239 Pƙed rokem +7

    Professor you are the best historian I never had,ila uwe unawasiliza hao sources alafu unasimulia mwenyew ,maana wakiongea wanapunguza ladha ya story book, we need your real voice only✊

  • @jumakibe5032
    @jumakibe5032 Pƙed rokem +2

    Dah...Jiwe la jahaz sio mchezo! Prof Jamal na mm Naenda kilwa kupaona. 🙏

  • @hassanpande9915
    @hassanpande9915 Pƙed rokem +15

    Wa KILWA đŸ›¶đŸŒŽ Kam mim, kilwa masoko tujuane 👍

  • @ismailkizito5692
    @ismailkizito5692 Pƙed rokem +9

    Professor uandae na story inayokuhusu ww maake naww ni miongon mwa watu wakipekee sana kweny sanaa

  • @Homeofrhumba
    @Homeofrhumba Pƙed rokem +6

    Kilwa ya Tz na Fort Jesus ya Kenya zote ni almost the same, Long live east africa.

  • @leonardpeter3953
    @leonardpeter3953 Pƙed rokem +8

    Nafatilia sana kaka simulizi zako, big-up sana kwa kutufunulia yaliyokuwa nje ya ufahamu wetu. Naomba pia siku moja utuletee simulizi ya JACK THE RIPPER.

  • @teaminfinity4995
    @teaminfinity4995 Pƙed rokem +52

    Ibn Battuta was a moroccan traveller the great city at the most powerful. writing in 1332 Battuta note that the city of kilwa is among the most beautiful cities and elegantly built

  • @happynelson1180
    @happynelson1180 Pƙed rokem +4

    Historia ya vasko da gamma nimesoma shule yaani viongozi wameshindwa kabisa kujenga upya kisiwa cha historia cha kilwa ambacho ni muhimu sana wale wageni waliojenga magorofa kilwa wasingefukuzwa leo hii kilwa ingekuwa juu sana wageni walifukuzwa na kilwa ikafa moja kwa moja

    • @zamzamabdi5279
      @zamzamabdi5279 Pƙed rokem +1

      Kweli kabisa.mchaganyiko ya watu ni maendeleo kubwa.wageni hawana hasara

  • @hassanilimbega9121
    @hassanilimbega9121 Pƙed rokem +9

    Wenye Kilwa yetu tumefarijika sana kwa simulizi hii

  • @oswaldmwihavapaul8517
    @oswaldmwihavapaul8517 Pƙed rokem +11

    Waziri wa Mali Asili na Utalii , akae na wataalam wake wa utalii wafanye kitu hapa Kilwa ..hiki ni kivutio kikubwa cha utalii na kinaweza kusaidia sana sana Tz

    • @bonita329
      @bonita329 Pƙed rokem +2

      yaani sijui ujumbe wanaupataje hii sehemu Watanzania pamoja na Viongozi wanaichukulia powa lakini ni sehemu muhimu sana kuliko hata zanzibar... hapa maarifa yanaitajika hapa dah đŸ€ŠđŸœâ€â™€ïž

    • @richardlucas2275
      @richardlucas2275 Pƙed rokem +1

      Si ndioviongoz wakianza kupambana kuitangaza nchi tunaanza kubeza mambo ya royal tour

    • @ismailel-mazrui6983
      @ismailel-mazrui6983 Pƙed rokem

      Kabisa ndugu shm km hz ndo katalunya ya madrid

  • @sdeshnjwetr6707
    @sdeshnjwetr6707 Pƙed rokem +8

    Historia inatafakarisha sana hasa sisi wa AFRIKA.

  • @yusufumwasha548
    @yusufumwasha548 Pƙed rokem +2

    Wareno ni washenzi sana waliuharibu huo mji kwa maksudi

  • @Sautisultan
    @Sautisultan Pƙed rokem +7

    Jamal wewe. Ni kipenzi changu katika utafiti na kutuletea mambo mazuri kama haya you are my favorite documentary artist be blessed

  • @CoachHafidh
    @CoachHafidh Pƙed rokem +7

    Hicho kichemba ndani ya mskiti wa watu malindi kinaitwa 'kibla' na sio mimbar....Mimbar ni kama jukwaa analotengezewa mhatibu ili apande juu yake aweze kuhutubia waumini kwa mfano kama kutoa hotuba siku ya ijumaa...ila 'imaam' au kiongozi anaposwalisha au kuongoza ibada ya swala anaongiza akiwa ndni ya hicho kichba kitaitwa kibla

  • @dieudonnejohnson5200
    @dieudonnejohnson5200 Pƙed rokem +35

    Kazi zako zote huwaga ni nzuri mno!👌
    Kusema kweli, hongera sana ndugu yangu, wewe pamoja na team yako nzima. đŸ’Ș
    Ila, nina ka advice kadogo.
    Nadhani ingekuwa vema unge jitahidi kuweka "english subtitles" ili ku wa accommodate wenzetu wasio sikia lugha yetu hii ya Kiswahili.
    Maana darsa zako zote huwaga ni kubwa sana, na za kimataifa zaidi.
    Fikiria hili Bro, na ikikupendeza wewe, pamoja na team yako, basi implement hio strategy.
    Ila kama nilivo tanguliza kusema hapo hawali, ni wazo langu tuu, na wala si lazima kufanya hivo.
    Asante sana ndugu zangu, na m'barikiwe!!
    Congrats guys!đŸ’ȘđŸ’ȘđŸ’Ș
    MAY GOD BLESS AFRIKA!!!🙏🙌đŸ’Ș❀

    • @philipbonhour4987
      @philipbonhour4987 Pƙed rokem +5

      Wajifunze kiswahili

    • @muxxerju7532
      @muxxerju7532 Pƙed rokem +6

      my brother me naona ibaki ivyo ivyo tuu hakuna haja ya subtitles wasiojua kiswahili wakajfunze then warud tuelewane kwa kiswahil. mbona wao kwenye makala zao hawatuwekei kwa njia ya kiswahil mpka tunajifunza lugha zao kwaiv na wao acha wakajfunze na ss lugha ytu ikuwe now ishakuwa lugha rasmi mpka kwnye jumuiya ya africa mashariki inatumika

    • @mpendakiswahili3053
      @mpendakiswahili3053 Pƙed rokem +2

      @@philipbonhour4987 "wajifunze kiswahili," fullstop....

    • @sadanahimana7193
      @sadanahimana7193 Pƙed rokem

      wajifunze kiswahili na sisi lugha zao tunajitahidi kuziiga hadi tunaweza mimi huwa na komenti kwa kiswahili chochote nikiona kinanifurahisha na watu wananiuliza hiyo lugha niyipi nina wajibu vizuri sana

    • @mpendakiswahili3053
      @mpendakiswahili3053 Pƙed rokem +1

      @@sadanahimana7193 Hahaha umenifurahisha walai, kwanzia Leo nafwata nyayo zako.....kwani sisi miaka na Mikaka ndio tutakua tunajifunza za wenyewe...

  • @user-xp3vi3wc8p
    @user-xp3vi3wc8p Pƙed 16 dny

    kilwa ni evidence ya early swahili civilization yaani ustaarabu wa mswahili najivunia kuwa miongoni mwa vitukuu wa dola ya kilwa ❀❀

  • @brunokalunga4552
    @brunokalunga4552 Pƙed rokem +8

    Kilwa is an avenu in DRC of cause mwami m'siri aliye talawa jimbo la katanga enzi izo alikuwa munya mwezi na aka dumu Katanga adi Leo.... I love my King.

  • @MWEGOHA
    @MWEGOHA Pƙed rokem +3

    Nilikuwa nikiisikia historia ya Kilwa ila sikujua kiundani hivi kama ulivyonielimisha leo @Prof Jamal, umenifanya niendelee kutafuta makala mbali mbali kuhusu Kilwa ila zaidi nahitaji kuutembelea nikajionee kwa macho mji huo ambao ni hazina kubwa sana Tz na Africa, Hongera Wasafi Media, Hongera Professor Jamal kwa kazi nzuri, "The Story Book" forever đŸ’„

  • @aliisaid854
    @aliisaid854 Pƙed rokem +2

    Nyerere ameua mambo yote

  • @athuman6223
    @athuman6223 Pƙed rokem +7

    from Philadelphia watching storybook 👏

  • @josephatmarko6155
    @josephatmarko6155 Pƙed rokem +12

    Nimejaribu kutembelea majengo ya zamani barani ulaya hasa katika nchi ya uswiss na Italy, kuna utofauti mkubwa sana majengo yao pamoja na kwamba yameishi miaka zaidi ya elfu bado yapo vizuri japo si kwa mwonekano ule wa awali lakn wanajitahidi sana kuyatunza.Nchi yetu imeyatelekeza hayo majengo wangeweza kuyafanyia ukarabati kama wanavyofanya wenzetu ili angalau majengo yetu yaweze kuendelea kuonekana kama majengo kwa watalii na vizazi vijavyo.

    • @leith87seif55
      @leith87seif55 Pƙed rokem +2

      Ile ni miji ta kiislamu na historia ni yabkiislamu hawawezi kufanya hivo katikabseheku ambayo serikali wamekusahau kwa Tanzania ni upande wa kusini mwa Tanzania kila kitu kibovu wewe angalia barabara ya kule tu utajua

  • @alimzee
    @alimzee Pƙed rokem +5

    Kwa kweli istoria nzuri inatungumbusha tuiwekee maanani sana.ikarabatiwe

  • @saidkaim768
    @saidkaim768 Pƙed rokem +11

    "tulivyofukuza walowezi tukawacha waende na maarifa yao " it so pain brother

    • @ahmedzahor2975
      @ahmedzahor2975 Pƙed rokem +1

      Muongo pashia si warabu ni Wairani na Wairani hata kiarabu hawajui

    • @mpendakiswahili3053
      @mpendakiswahili3053 Pƙed rokem +2

      @@ahmedzahor2975 Dah, hilo sio hoja.... mbona tunatilia maanani yasio muhimu

    • @mpendakiswahili3053
      @mpendakiswahili3053 Pƙed rokem +2

      Aiii, huwa najiuliza, kwani sisi waafrica tulilaaniwa au nini...mbona tunafaili kwa kila jambo ...

    • @saidkaim768
      @saidkaim768 Pƙed rokem

      @@mpendakiswahili3053 mpango tu

    • @shaujimpota7202
      @shaujimpota7202 Pƙed rokem +1

      @@ahmedzahor2975 pashia ndo nini?
      Halafu pia toa tafsiri yako ya waarabu tuiskie. Na mwisho kabisa, hilo neno waarabu linatumika na wengi na inakubalika kuziita jamii zilizo nyingi za mashariki ya kati ikiwemo Oman, Saudi Arabia, Yemen, Iraq, Iran, n.k

  • @muddytupa6688
    @muddytupa6688 Pƙed rokem +2

    Unatisha sana my Brother

  • @lotilazaro8845
    @lotilazaro8845 Pƙed rokem +4

    Big up xaaana professor Jamal unaendelea kutuonyesha ubora na thamani Yako katika Kazi yako

  • @selemannaoda2027
    @selemannaoda2027 Pƙed rokem +3

    Upo vzr Sanaa!! Kilwa Ina historian kubwa Sanaa. Ingawa serikali Ina inaacha historian ya mji uwo inazidi kupotea. Inashindikana nn kutengeneza mjii una unaofanana na historian unayo silmuliaa?! Ili tuweze Linda historia ya mjii wa Kilwa.

  • @shabaniramadhani714
    @shabaniramadhani714 Pƙed rokem +2

    Nimefurahi sana na nimejifunza mengi kuhusu mji wa kulwa

  • @wa-mbeyaTv4725
    @wa-mbeyaTv4725 Pƙed rokem +1

    Uje na huku mbeya uielezee kaporogwe, daraja la Mungu, ziwa ngosi n.k maana tunavivutio Ving Sana Ila havtambuliki

  • @ChiefMyalla
    @ChiefMyalla Pƙed rokem +2

    Uongozi bora ndio chanzo cha maendeleo, kwa kifupi Wa Africa kwa ujumla hatujali yaliyopita wala yajayo. Ndio maana hatuendelei sana kama wenzetu.

  • @richbird.123
    @richbird.123 Pƙed rokem +5

    Kwetu wasini pia Kuna Historia YA jahazi lililo jeuka kuwa jiwe Na watu kujeuka kuwa njiwa wenye lemba

  • @jaypmunyamaofficial3488
    @jaypmunyamaofficial3488 Pƙed rokem +20

    I really like your storytelling

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 Pƙed rokem +7

    Asante kwa Historia ya Kilwa Nchni Tansania

  • @littletv3177
    @littletv3177 Pƙed rokem +2

    Nimefurahi sana kusikia simulizi hii sababu inatuhusu Moja Kwa Moja wa Tanzania nimejifunza mambo mengi ila kikubwa ni kwamba hakuna Cha kudumu Duniani Kila kitu kitapita.

  • @ahmadsaid4878
    @ahmadsaid4878 Pƙed rokem +2

    Hakika Tanzania tuna history kubwa sana Big up sna Bro kwa kuona mbali

    • @irenewile
      @irenewile Pƙed rokem

      Hapo ndio maneno ya Kiswahili yapogundulika mwaka 17....

    • @ahmadsaid4878
      @ahmadsaid4878 Pƙed rokem

      @@irenewile đŸ‘©đŸżâ€đŸ’»Jambo zuri kuijua Tanzania yetu

  • @rubenmatley9552
    @rubenmatley9552 Pƙed rokem +23

    🙌🙌👏👏 you are inspiring me to seek more knowledge

  • @nasramuhammad2404
    @nasramuhammad2404 Pƙed rokem +7

    Prof Allah aibariki kazi yako kwa sasa yafaa uwekee subtitles in english ipate kutembea duniani

  • @rinirietransfomaorenge4309
    @rinirietransfomaorenge4309 Pƙed rokem +4

    Nafurahi ninapoona nko na dakika 44.nasikia the story book 😋😋😋😋

  • @blasiusrweyemamu5052
    @blasiusrweyemamu5052 Pƙed rokem +6

    Respect prof Jamal April.......wewe ni icon ya marifa

  • @haslyhasly7945
    @haslyhasly7945 Pƙed rokem +4

    Nice story big up prof. Jamali April

  • @kairatiswahilli7024
    @kairatiswahilli7024 Pƙed rokem +1

    Kumefanana na pembađŸ„șđŸ„°

  • @salhandembo2480
    @salhandembo2480 Pƙed rokem +1

    Mashallah wangewacha warabu jaman

  • @abdallahomary6942
    @abdallahomary6942 Pƙed rokem +6

    Welcome home KILWA

  • @barekesteve8679
    @barekesteve8679 Pƙed rokem

    Kwamakala hii unstable kuponfezwaa na mama samia umetisha sana duh gonga. Like kam unakubalia na mim yakwambaa jama. Kaamzima Ananias edigr mtiga Abdallah yeye pekee ndiye ame baki aakiskika kwasimulizi tofauti tofauti

  • @mohamedally1594
    @mohamedally1594 Pƙed 20 dny

    Sehemu nzuri sana kutembelea 👏 👏 👏

  • @alltanzania
    @alltanzania Pƙed rokem +2

    Kazi nzuri sana Professor. Utafika mbali sana kwenye upande wa kuandaa Documentary hapa Tanzania.

  • @crispuskasanga8487
    @crispuskasanga8487 Pƙed rokem +1

    UTAMU WA HISTORIA.KONGOLE MWANAHISTORIA MSHUPAVU.FROM +254

  • @abdallahmbwana4135
    @abdallahmbwana4135 Pƙed rokem +1

    Sofala ni mji uliopo Msumbiji na Monamutapa ndio Zimbabwe. Tukumbuke tulikotoka. Kazi nzuri.

  • @shaphiasabani5760
    @shaphiasabani5760 Pƙed rokem +2

    Najivunia kuzaliwa Kilwa

  • @masoudsuleiman4623
    @masoudsuleiman4623 Pƙed rokem +3

    Naipenda Kilwa yangu

  • @kilogreekachananawatuwasio4054

    ivi vitu kama tunavifanyia adivatazimet tena duniani tutapata turist wangi kupita Africa yoyote tanzaniađŸ‡č🇿đŸ‡č🇿đŸ‡č🇿

  • @bakaryCMD
    @bakaryCMD Pƙed rokem +10

    The great professor of all time

  • @mudarrisumuhangia7576
    @mudarrisumuhangia7576 Pƙed rokem +1

    ubarikiwe ndugu kwakazi unayoifanya

  • @niikosomali0nly
    @niikosomali0nly Pƙed rokem +7

    Much Love from 🇰đŸ‡Ș Kenya💖

  • @novotechenterprises8747
    @novotechenterprises8747 Pƙed rokem +2

    Nikiona haya naumia sana. Huu ni urithi na utajiri mkubwa. Hakika watanzania hatujaipa hadhi inayo stahili. Nchi nyingine zinapata utajiri mkubwa kutokana na historia yao. Naomba viongozi wetu watembelee utajiri huu na tukubali kuwekeza ili tuchume.

  • @filbertivo1988
    @filbertivo1988 Pƙed rokem +2

    Upo vizuri broo na kwaa picha iliyojijeenga kwetu ww n kama kioo lakini vp hzooo tattoo mkononi yan zinanisumbua japo kua n maisha yako binafsi

  • @ramadhanjaphet2976
    @ramadhanjaphet2976 Pƙed rokem +2

    Asante Sana Proffer J . Kwa simulizi ya kilwa. Nimefurahi sn! Mimi naomba uje utuelezee kwanini mji wa kilwa ulikufa? WHY KILWA ISLAND FALL? BY R . JAPHET

  • @kairatiswahilli7024
    @kairatiswahilli7024 Pƙed rokem +1

    Majengo ya kiarabu ukiyaona UtIjuw tu mie nipo Omani ila hiyo ndio mijengo yao halisiđŸ„°

  • @edgarchiluma6401
    @edgarchiluma6401 Pƙed rokem +5

    Mtu kama huyu Jamal April,, ndiyo ilifaa waingizwe kwenye utengenezaji wa Royal Tour

  • @evansnchimbi7992
    @evansnchimbi7992 Pƙed rokem +3

    Professor Nina request unaweza kuandaa storybook ya safari ya Jerusalem kuanzia egypt Kwa farao ukapitia israel na miji mikubwa ya kihistoria ya biblia tukaona ilivyo kama vile hekalu la MWENYEZI MUNGU alilolijenga mfalme Solomon n.k

    • @gh7naa
      @gh7naa Pƙed rokem +1

      Ni msiiti wa na bee seleman uko mpka leo na mitume wote walisali na mtume muhammda saw ) walisali kwa pamoja woote wote mtume alipo toka miraj mbinguni

  • @maquizonlinetv3150
    @maquizonlinetv3150 Pƙed rokem +1

    Najifunza vitu vingi kutoka kwako Mungu ukujalie

  • @hajikombo1220
    @hajikombo1220 Pƙed rokem +2

    Haya majengo yanatakiwa yafanyiwe renovation itaongeza sana na kuchochea utalii kama walivyofanya nchi za wenzetu. Mtu kwenda na kuangalia magofu haimake sense viongozi wa afrika wengi wengi hawajitambui.

  • @shamilamuhamedi7904
    @shamilamuhamedi7904 Pƙed rokem +1

    Mashaallah. Kilwa yetu. Iyoo lindi moja iyoo

  • @eshyndibalema1529
    @eshyndibalema1529 Pƙed rokem +1

    Serikali iendeleze huu mji wa kilwa kisiwani iwe sehemu ya utalii inavutia sana vinginevyo history itapotea

  • @farajajoseph2971
    @farajajoseph2971 Pƙed rokem +2

    Asante sana professor

  • @jumakibula4851
    @jumakibula4851 Pƙed rokem +1

    Jamaa yetu jamali ni Professor Aisee, Big Up bro

  • @gwakisamatingo4861
    @gwakisamatingo4861 Pƙed rokem +4

    Nakubali prof...

  • @naslee1010
    @naslee1010 Pƙed rokem +12

    our country to be greatly blessed by god congratulations brother for declaring our country 🙏

  • @haarunsaidabdillahi4082
    @haarunsaidabdillahi4082 Pƙed rokem +7

    Mtangazaji you are doing a wonderful job. I learned alot about Kilwa which i have not leaned anywhere.

  • @awadhbuya9649
    @awadhbuya9649 Pƙed rokem +14

    U always inspire me prof.

  • @brmtvtibaasili8289
    @brmtvtibaasili8289 Pƙed rokem +5

    Upo sahihi kaka ila Alu badili sio dua kama wengi wanavyo zani albadili nishirki kwa mujibu wa qur an ana sunna

    • @mohammedbinjumaabinaweisal9188
      @mohammedbinjumaabinaweisal9188 Pƙed rokem +1

      Kwenye hii Dua in kwamba Kilwa ilikuwa na miskiti 99 idadi sawa na majina ya Allah.(mwenyezi mungu)
      99 na kila msikiti uliitwa Kwa jina moja miongoni mwa majina ya Allah.
      Siku MAKAFIRI Wa Kikiristo walipo kuja kuuvamia Kwa mara ya kwanza wenyeji waliamua kusoma adhana Kwa pamoja miskiti yote 99 Kwa pamoja na kuomba kupitia majina 99 ya Allah na kuangamizwa makafiri wote kwa kugeuzwa mwamba wa jiwe.

    • @mushimadege
      @mushimadege Pƙed rokem +1

      Kumbukumbu zangu ilikuwa ni adhana kwa jinsi tulovyosomeswa na masheikh zetu na sio albadil

  • @farajkibinda6151
    @farajkibinda6151 Pƙed rokem +10

    Love it kikwa boy

  • @mustaphasayyid6740
    @mustaphasayyid6740 Pƙed rokem +5

    My home KILWA

  • @robinmuganda7690
    @robinmuganda7690 Pƙed rokem +22

    You make Swahili sound elegant. Kazi safi Prof. Much love from 254.

    • @mpendakiswahili3053
      @mpendakiswahili3053 Pƙed rokem +2

      Hakuna lugha tamu kuliko kiswahili, kote duniani....

    • @masupildula
      @masupildula Pƙed rokem

      @@mpendakiswahili3053 kila lugha Ina uzuriwake na ubayawake kwa watu mbalimbali
      Mzanzibari anayosoma UChinani, na ndiyo najua kuzungumza kichina, usalama ukupate.

    • @mpendakiswahili3053
      @mpendakiswahili3053 Pƙed rokem

      @@masupildula Kiswahili hakina ubaya....utamu mtupu....

  • @frankmsigwa153
    @frankmsigwa153 Pƙed rokem +2

    Good upo vizuri Mkuu umenipa raha sana

  • @nelsonbisi6499
    @nelsonbisi6499 Pƙed rokem +5

    Fantastic Professor J.April keep it up đŸ’ȘđŸ‡č🇿

  • @bintrobert4952
    @bintrobert4952 Pƙed rokem +1

    Shukran kwa historia ya kilwa

  • @adriansabudema4898
    @adriansabudema4898 Pƙed rokem +10

    Endelea kutupa historia hizi na ikiwezekana wafunsihe watu wengi wawe Kama wewe maana katika vitu tunavyokosea Ni kutoacha wafanani

  • @zainabmaulidi9846
    @zainabmaulidi9846 Pƙed rokem +2

    Tanzania zindabadi đŸ‡č🇿 đŸ„°đŸ‘ŒđŸ‘Œ

  • @victormneney1475
    @victormneney1475 Pƙed rokem +1

    Huku unaweza okota Dhahabu Shaba
    Historia nzuri sana tuendeleze huo mji kwa kujenga majengo yanayoenda na michoro ya 13s au 14s

  • @alindingo1382
    @alindingo1382 Pƙed rokem +3

    The story book ibaki milele

  • @emmanuelshija7032
    @emmanuelshija7032 Pƙed rokem +1

    Kaka huwa nakuelewa sana simlizi zako ila leo umenikosha mungu akulinde jamaali mustafa

  • @mishekimbuba8260
    @mishekimbuba8260 Pƙed rokem +1

    Asante sanaaa umetuelemishaaa

  • @platvinlover6508
    @platvinlover6508 Pƙed rokem +1

    Nimeipenda hii😃

  • @salumkudrakihulo7613
    @salumkudrakihulo7613 Pƙed rokem +10

    Narudi kuandika tena WEWE NDIE PROFESSOR PEKEE UNAYE UTUMIA UPROFESSOR WAKA KWA MANUFAA YA JAMII YAKO sio wale wanao subili kutolewa majalalani wakina nanilii,

    • @Mwamba67
      @Mwamba67 Pƙed rokem +1

      😂
      Wakikusikiaa hee shaur yako,,,,!!