The Story Book: WAMASAI na Mila za Ajabu za Makabila Ya Waafrika.
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2022
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Zábava
Jamal tutafutie historia ya wamakonde na mila zao😊😊 please kama unakubaliana na mm gonga like 👍
Wewe ni mmakonde nini😂😂😂wana mauno hao
Nikwel
Nikwel
We we Una taka Jamal I a kale pants sio😂
Wa kwanza naombeni like jmn 10 tu
Second to comment at least 10 likes for me
Proffesor umeonyesha ujasiri ambao repoters wengi wanashindwa kua nao big up bro na karibu tena Manyara
Jamal anafanya reality sanaa kuliko wengine aseeh''' Pongezii sana kwake na anaipenda kazi yake kwakweli.
Kijana jaml upo vizuri sana wakujengee sanam kama unakubaliana namim gonga like twende wote
Jamal my favorite 💖 nakupenda Sana.. Sasa umekuja Hadi kwa wamaasai, karibu na kikwetu kabisa🙈 Kenya tuna wamaasai na kusema ukweli huu Ni ukweli kabisa
Add English subtitle some viewers don't know kiswahili but love the session
Hii nzuri zaidi kuliko zote ambazo nilishawahi kuziona the story book👍👍👍🔥🔥🔥
Ahsante Prof. Nmecheka yangu yote vile ulikunywa damu na woga Karibu Kenya upande wa Kilgoris kwa Maasai naomba niwe nimetoka Ughaibuni nikutembeze Huku
Jamal mustafa (April) you are so brave and professional. Your stories deserve more views than what you got. ❤️>🇧🇮
Hongera sana Olemenea stonik/ Jamal Mustapha,nimefurahi kujua story ya Wamasai. Ila nimeogopa ulipokuwa damu mbichi daaah.Hongera sana
Umetisha mwamba niliisubiria sana kwa hamu hii siku nimekipata nilicho kuwa nakihita respect professor
Aiseee hii n story nzuri ambayo umeisimulia Yan daah wamasai n kabila nzur sanaaaa nataman hata ningekuwa nimezaliwa ktk kabila Hilo japo nafanana nao Ila m cmmasai .hongera Sana professa kwa ujasiri wa kula na kunywa damu kiukweli kwakunitazama na hasa kipande kile kila ninachokiweka mdomon hasa nyama najikuta kichefuchefu kinanipanda but umetuelimisha na kutuburudisha sanaaa
dahhh Jamal nakukubali San, unajuwa kukipa thamani kile unachokifanya Mungu akufanyiye makubwa zaidi kuliko unayotegemea
Ila tuseme kweli Jamali ilo vazi la wamasai limekupendeza
Kwel
Kazi nzuri sana kuangazia Wamaasai Wakati mwingine angazia wakisii nchini Kenya Prof. Maeneo ya Marekani Kasikazini nawapata mbashara mpaka maeneo ya Kisii Kenya
Kazi nzuri sana Jamal.
One day tunaomba history ya wakurya na Mila zao na uje ufanye safari kuwatembelea wajibu wenyewe maana Kuna mambo wanasingiziwa sana.......
Ni mimi pekeyangu ninaemuangalia Jamal April na kutabasamu pekeyangu🥰🥰🥰Nimekuja tena kuangalia leo 17.March.2024❤🎉🎉🎉
Tamaduni bora iliyo baki Africa Thanks you so much kaka kwa story yako bora yenye mafunzo na kutowa watu propaganda be blessed 🙏🙏
Wewe jamal story zako Ualisia na kufika sehemu Usika bravo jamal 👏☝️🤲🇹🇿🇬🇷
Jamali hii ni documentary inabidi uwauzie Tanapa au watu wa wizara ya utalii waiingize kwenye TV zinazoonyesha utalii
Daaah kweli una uthubutu🙌🏽damu mbichi hongera sana
Hii ni zaidi ya movie aseeee, kazi nzuri sana jamal mustapha 🔥🔥
Nmengoja The story book wiki mzima lakini sasa ndo huu wakati Mungu akulinde sana maeneo ya Marekani Kasikazini nawapata mbashara mpaka maeneo ya Kisii Kenya ninapokosa story book kila siku narudia zile za samani nikingoja utengeneze ngine so proud of you karibu Kisii Kenya
💖 Love From kenya my maasai culture the best the Name your given that means Lomunyak blessings Azin your blessed 🙌 ......The love of my culture Am seeing my kids missing this Culture ❤
Oooh good Namnyaki is here am from Tanzania and IAM a maasai
Mashallah jamal 😍
Hii ni one among the best clips have ever watched from jamal...East Africa is proud of you bro... definitely i heve to visit masai community here in kenya and onjoy a bit of it💪😂😂🇰🇪🇰🇪
Congratulation professor Jamal your the best story teller in the world, keep it up my brother.
Ama kweli ukiipenda Kaz utajitoa Hata uhai hauna thaman
Nakupenda Bure Jamal upo seriously katka kazi, hongera sana
😂😂😂😂 inafrahisha sana na me nnetaman kwenda kutembelea wamasai ntaenda one day yes inshaallaah
Hongera sana Professor Jamal, this is amazing 👏 👏 👏 next time tuletee ya wahadzabe
Ilishafanywa na mo town Sanya hapa hapa wasafi
Tunashukuru sana teach Jamal April kwa kutu simuliya abari mbalimbali za uso wa dunia tunafahamu kupitaya wewe nasisi tume jifunza kitu Asante sana mungu azidi kukupa pumuzi❤🎉
One of the best story teller of anytime,,full research and reality bravo jamal keep it up bro u deserve I appreciate 🇹🇿🇺🇲
Number one fan from Kenya 🇰🇪 salute to you @jamaal April
Masha Allah kaka Jamal dah hiki nikipaji umevaa uhusika ipasavyo na tume yafaham yale tusio yajua na ya uzushi tume yajua.
Jamal you are one of a kind. Congratulations Brother
Nime kukubali sana mshuwa wangu ww ni dume kweli kweli m’masai uliye potea
Maajabu but I thank God naelewa kimasaai Cha Kenya na wanaongea the same. Anyway thanks Kwa kazi poa
kwenye maisha uongo huwa unapand lift na kuwahi kufika na ukwel huwa unakuja kwa ngazi,hivy unachelew kufika,leo umetuletea ukwel na umefika, no research no right to speak!. ✍️✍️
Kabisa ukweli dhahiri hakuna kupinga hapa
Jamal unawezaa bro 👏 thanks 4 the story buk
Wee jamaa ni creative sana ungeshiriki kwenye Royal tour na Mama
I love to watch jamals story book is so nice
Daaaah ubunifu wa hali ya juu sana Jamal, wamasai watu wakarimu sana asee.
Nimejifunza meng sana JAMAN NA WASAFI endeleen kukupa hizi elimu mm n mwanachuo wa Tanzania nikuwa sijui lakn mmenifungua sana nimeelewa sas tunasubiri nyingine bro
This guy is amazing better than storyteller
sikupingi
Nmeipenda story masha allah lakn mie binafsi nashukur nlipo naninapo ish uko dah kugum wallah kwangu
Hii inanikumbusha nyumbn kbs,kwa mzee wangu letinga lyama matagi diwani wa kata ya mwakijembe ,Tanga nalipenda sana kabila la kimasai 🥰🥰🥰
Na rokoine umesahau
This is totally amazing story 🇰🇪
The story book hii ya leo nimeipenda sana 😍
Mzuri sana hii ume tengeneza brother
Izo Mila zingekua tz 😆😆😆tusinge olewa kabisa khaa ila umetisha sana jamal ✊👊 congrats kwa Kaz yako.......
Br you deserve the best, I never get tired watching your stories. This is the best thing you do
Haki umenichekeshaa sanaa good job brother...
Jamal 🙌🙌🙌🙌🙌 salute 🫡 your profesa
Its magical African
!! We appreciate our ancestors for living behide this kind of culture generation to generations unforgettable...shukran jamal April.. as you travel from place to place my the lord be your protector!!! 🤲🤲👏ashe!!!
Nimekupenda sana jamal. Nakuaidi nitampa mwanangu jina lako. Inshallah 🥰🥰🥰
Kwakwer
Big up from Kenya 🇰🇪🇰🇪
Okay asante sana jamal mustafa kwa mafundisho yako mazuri hapa kwetu kenya kuna kabila la samburu ni ndugu moja na hawa masai tafathali siku moja profesa tembeya huko kwetu kenya tuzungumziye hiyo kabila na mila zao
Kazi safi na lenye mvuto ..natamani nijipate siku moja nikiwa mhariri❤️🙏
Hongera sana Jamal,utaporudi Tena simanjiro,waulize majina vile misri.cairo , Israel,Sudan,khatoum, Nile,Ina ma'ana Gani! Ili upate story kamili sababu majina mengi ya misri ni ya kimasai
Amazing story,watching from kenya
Thanks brother Jamal in from Kenya
Jamal jamal allah akusimamie upo vzr
Professor kwa hapa umeua kabsaa.....
Story inatolewa na wenyewe kwa ushirikiano na kila kitu kinavutia.....
The story book inazidi kupata uhai zaidi
Big up sana from Mozambique🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Just waoh ma culture beautiful 🥰🥰,,,Mungu akuweke broo✊
Dah kwetu uku usukumani ni changamoto sana kunywa damu mbichi ya mbuzi,au ng'ombe na kula nyama duuuuuh hakika duniani kunavitu vingi sana.....dah mh. Jamali msitapha kwa masai unaitwa oreminyaki stonic 😂😂😂😂😂😂 jamali msitapha unatufunza vingi sana watanzania tunashukuru sana atuna budi,,mwenyezi mungu awe nawe daima ktk maisha yako
Nakubali na kuheshiku kazi yako respectful
I really like the Story Book, It's really teaching me a lot of Historical and Reality things, thanks so much.
This is beautiful Jamal, hongera sana aisee
This is a masterpiece
Kazi nzuri .... unaelezea vizuri, maswali mazuri iko proper sana interview
Jamal u such a genius 👏. U the best story teller from East Africa. Umenifikisha home 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 Listening from 🇶🇦 🇶🇦 🇶🇦 🇶🇦 🇶🇦 🇶🇦 🇶🇦 🇶🇦
Mwanangu umependezea na hilo vazi duu kama Masai kabisa yaani.....
Etanyanyikie duo ninye katukul armasinda....
I love what you're doing Bro...Kazi nzuri sana..
Tunakushukur sana brother kwa kufuatiria historia yetu thank you so much
This is smart ,amazing super history work..Kazi Safi bro.We appreciate this kind of content ..
Kama kawaida Jamal.Kenya imewakilishwa.Prof baba yao.Kenya Oyeee!🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Professor Jamal nime furaiya story hii, hakika wee ni mutu wa utafiti, na mungu aendelee kuku Bariki zaidi!🙏🏽🇨🇩
Your really professor 👏👏 Mungu akupe afya Kila siku uendelee kutuletea mambo Mapya machoni na masikioni kwetu 🙏
❤sua a ventura é crível. Você é corajoso parabéns!❤
Olumnyaki hakika maasai tribe they're so kindly and once your there Torono ashenale
Maasai tribe it's amazing tribe in the world that's why people's what to know more about this amazing tribe so kindly the world much love about us ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Burdan TV olumnyaki....mwenye bahati.yaani munya(enye bahati)maasai and tigania of meru.are related
Ongera xna kkngu Kwa Kaz nzuri aki uko sawA brother ✌️✌️🔥🔥🔥
Maswali yalo enda shule kipindi kizuri hiki balaa🔥🔥
Congratulation OLEMENAC SETOONEC
It's magic 😍🇹🇿
Jamal kitu nakupendeyag unatafuta ukwre kabs ndomana sitakupingaga🙏🙏🙏🙏🇧🇮🇧🇮🇧🇮
From Kenya congratulations Jamal April mustafa
Mimi naitwa djumu naishi South Africa napenda the story book yako sana mimi niwamoja wanao kufatiya sana naomba nambayako Ya sm
😅😅
Your amazing
I just love what your doing bro
Tanzania is very proud of you 🥰🥰🥰
Uko sawa 😊😊😊👍 from Uganda 🇺🇬
Hapo msitapha nimekukubali. Kutoka umasaini. Kutuletea kitu kilicho Cha kweli. Safi sana kaka.🥂
Sema sidhani kama Wasafi wanakulipa ipasavyo maana Hii docomentary niyaela ndefu sana
wcb amna mtu asiyelipwa vzr,,,sasa kma yule bodyguard analipwa m3 unazani jamal atalipwa shngp
Tumepata elimu kubwa sanaa..keep it up bro🙏💪
Professor Jamal wewe ni mtu mzuri kwa ujasiri na kuhesimika.God bless ur work
Mm naeapenda sana wamasai kama huwaelewi utawachukia ila ni watu amazing
Umeuwe Sana waige na hii funika prof.
Deep analysis. Congratulations Mr. jamal
nimekumbuka blossoms of the savannah baada ya hili simulizi
Jamal nimkarimu sana❤❤❤
Nimeipenda hii hiki kipindi kizuri sana
Diamond akuongezee mshahara aisee