ALIYENYANG'ANYWA BANGO na POLISI AMLIPUA OCD - ''ALIKUJA na KITENGE USIKU na ASKARI WENYE SILAHA''
Vložit
- čas přidán 24. 01. 2024
- ALIYENYANG'ANYWA BANGO na POLISI AMLIPUA OCD - ''ALIKUJA na KITENGE USIKU na ASKARI WENYE SILAHA''
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
makonda popote ulipo mungu akubariki akuepushe na maofu ya dunia akujalie mema saidi 🎉🎉❤❤❤
Mungu akusaidie kaka makonda Mungu akufinike adui asikuone
Nakuombea unafanya nzuri Mungu akufanye uwe Rais
Huyo police muongo anasema hapajui.hrf liko ndani ya kambi tumueleweje?
Hilo lidada dawa yake ni Looo
Eti anamacho makubwa mweupe anakutisha eti ee🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂 hii nchi tunacheka kama mazuri
😂😂😂 yaani tutacheka sana lound hii
Mungu baba wa mbinguni mpe umri mrefu na afya njema.
Mungu wangu! Mhe makonda tuokoe na dhuluma hizi za viongozi wasiowaadilifu na wenye kutumia madaraka yao kunyanyasa wananchi!
Usanii mwingi Anaibua mambo na kuyatelekeza fustilia uone
Huyu jamaa ni kichwa sana.MUNGU Akulinde makonda.endelea kuwapigania wananchi kwa moyo huo huo
Kwani hao police Mali ya nani? Au ni Mali ya CDM? Acheni maigizo
Ndio maana wamemnyang'anya Bango wanajua makosa Yao hawa maskari wanyanyasaji Sana hawa dhulmat Sana.
MAKONDA MUNGU AKAWE MBELE KATIKA KAZI ZAKO AKUPUSHE NA MABAYA YOTE ❤❤❤❤❤❤❤
Amen.
Tutajionea sanaa na sarakasi nyingi Kwa watendaji wa serikali.
Namuona Hayati Magufuli ndani ya Paul Makonda, big up brother. Komboa wanyonge kaka.
Lakini kweli na mm nikimuona makonda nakua kama nimemuona magufuli (from Malawi)❤❤
Ila Polisi wengi wanaonaga Nchi hii yao
Kama vile 🇰🇪
Kwanini hao polisi wamemnyang'anya bango?
Makonda ni mwamba kam miamba wengine likes nyingi kama unamuelewa makonda
Ulifika kwake ? Nyumba hiyo aliyojenga inapakana na Polisi? Na kama ndiyo basi ulifika
Kumyang'anya bango ni ushahidi tosha simamisha wote
Mmmmh huuu uamuzi wa Makonda Mungu anajua
Hii ndo CCM sasa, achana na vyama vingne
Mungu akulinde Makonda🙏❤️❤️❤️❤️❤️
Uonevu umeibuka hatar Sana polis wajiangalie
Kuna wakati kweli polisi wanatumia madalaka yao vibaya kwa wananchi kwasababu ya vyeo vyao
Makonda mtetez wawanyonge karibu arusha kumenuka mungu akuangazie Nuru ya uso wake Amin🙏🙏
Hongera sana Baba kwa kutetea wanyonge ,Mungu akujalie afya njema Baba.
Polisi ndi majambazi mbwa sana
Pumzika kwa amani anko magu hii ndo inchi aliyoiyacha watu wanafanya wanavyotaka kutokana na mamlaka yao😢😢
Sasa hapo tunachanganyikiwa maana hapajui kwake halafu tena anasema kajenga ndani ya kambi,...kivipi?...basi anapajua.
Aise namm nimeshangaa sana 😂
😂 labda anamaanisha hapajui kwakuwa anaamini pale walipobomoa sio kwake ni kwa polosi
Sawa,...basi tuseme tu hivyo
Jamani jamani polisi mmepotoka hahahhaha😢😢😢
Hii nchi polisi wanatakiwa wapigwe msasa wanaendesha kikoloni Kila sehemu malalamiko ya polisi tu
Makonda nakuomba uvaege na buleti prufu maana maadui ni wengi hata hao askari wanaweza kukutumia sharp shooters wakakumaliza.
Kweli kabisaaa
Magufuli atakumbukwa!!MAKONDA tunakupenda ❤
Huyo mama ni jambazi kweli
Huyo mama kasema hapajui kwake kwakuwa wao wanadai eneo ni la polisi ndio maana hakusema kuwa ni kwake, mwananchi yeye anaitwa kwake 😂😂😂
Hahahaha police ina kambi sku hz 😅😅😅😅😅
Truly President Maghufuli left a wonderful legacy.. And I have watched Mr Makonda since he was the R.C in Daressalam . President Samia appointed the right person to represent her for this job. I'm also very sure Mr Makonda will be a future Tanzanian president....
Hakuna democracy...
In Tanzania 🇹🇿
MAKUMAKONDA NYAYO ZA BABA❤❤❤
Asante Makonda,nadhan mama samia umeona kwann watu wanahamia chadema kuna madudu mengi ktk chama chako
Hilo sio suluhisho ni kuwapa mikataba watumishi wa serekali wakishidwa hawapewi mikataba mipya
Akiona
Et mama Samia ameona🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mpaka machozi😢😢😢 mungu akulinde mweshimiwa makonda
Naona Yohana mbatizaji anatengeneza njia kwajili ya Mama!
😂😂😂😂😂 sasa kama hapajui amejuaje kama amejenga ndani ya kambi?
😂😂😂😂
Wazo zuri 👏
Hapo sasa sijuh kwanini hajaulizwa
Hujaenda kwake naunasema alijenga ndani yakambi sindio nyumba aliyokuwa anaishi mkaibomoa? Ww mama vipi
Yani sijui kwann wamemuachia
Huyo OCD hata sura yake inaonyesha ni katili
😂😂😂😂😂
ASANTE SANA MAKONDA KWA KUFUATA NYAYO ZA BABA YAKO MAGU. MUNGU AKULINDE.
Na kwa nini Askari mkubwa hivyo unaongea uwongo Askari mzima
Mungu kamrudisha Magufuli kwa njia ingine😢😢😢😢
hii nchi imejaa dhulma wallah kias tusiende mbele😊
Hao waliokimbia na bango ,unge wasweka ndani hapohapo
Mungu akutangulie Kila utakapo kanyaga mguu wako Mweshimiwa Makonda
Unaita nyumba za watu kibanda fala askar
Halafu nyie jeshi la polisi mnajidhalilisha.
Daaah, njaa mbaya sana
SASA WEWE NI MTU WA ARIDHI MAMA POLICE?. ACHENI UONEVU. YAANI KIFO CHA MAGUFULI JANAANI, KIMETUWEKA PABAYA SANAA. HATA MAPOLICE SASA WANAFANYA KAZI YA ARIDHI.
Ccm ni wale wale hamnaga jipya
Hii Nchi ina mambo ! Sometimes Sana'a za ccm zinachosha kuzisikiliza --- maana tumeanza kuzisikia toka tukiwa watoto,mpaka tunazeeka sasa,hakuna chochote kinachobadilika -- ugumu wa maisha unazidi kuongezeka -- mfumuko wa bei ndio huo,vitu havishikiki -- umeme unakatika toka miaka ya 70 mpaka Leo,haujawahi kuwa stable -- migogoro ya ardhi imesambaa every where Nchini -- pamoja na rasilimali lukuki alizotubariki Mungu,lakini umaskini kwa wa Tz unazidi kutamalaki ---ajira hakuna " Inauma moyo "
Nchi zilizoendelea zote ajira sio kpaumbele kabxa watu wanajiajr 🙏
Umeandika nn sasa hicho 😅
@@kahema_steven tulza mbul
Makonda. Unajitihid kuelewa maelezo..! Ya walalamikaji. Mungu akulinganie daima...sababu. Nimuelewa sikuwahi kukujua Kama nimuelewa kiasi hicho. Pendekezo langu binafsi. Tunaomba tuwe tunaoneshwa walioludishiwa haki zao. Chama Cha ccm nakukubar kupitia utalatibu wako. Asante mungu Akulinde daima
Ndugu yangu unajipa tabu kumpiga kelele kwa viongozi ndugu mshukuru huko unakoelekea litakukuta jambo ujute viongozi hao wanalindana, rabda alifuatilie makonda mwenyewe
Hongera makinda kwa hilo msaidie huyo mwananchi na wengine wanaodhulumiwa
Dogo makonda anajitengenezea NJIA YA KUWA raise siku za MBELE
Hongera karibu mwenezi kwa ufatiaji
Hongela sana makonda kwakutusaidia sana kelo zetu nimekupenda sana umebadili Kwa manguvulu Fanya kazi baba nimekupenda bule baba angu kwakazi nzuli unayofa nya mungu akubalikisana
Inachekesha taarifa hii.
Mh.mengine uwe unamaliza hapo hapo police ni tatzo sehem zote unaleta iman kwa chama sasa❤❤❤❤❤
Hupajui kwake mbona unasema kajenga kwenye eneo lapolici?
Shangaa na wewe wanapenda kujitoa fahamu kweli
Mungu azid kukulinda ucje ukapewa sum bure
Makonda hongera kwa kazi ngum na yenye weledi
Maigizo tu,, keroooooooo keroooooooo,, tunajenga nchi ya namna gani hiii???
Watu hawafanyi kazi zao vizur labda akujue au uwe na hela ndio utapat huduma nzur ktk ofisi zao ni mtihan mkubwa.
Ulitakajee ndugu
Nimemuona mama kama alitaka kugombea mic au sijaangalia vizuri
Makonda mungu akubariki
We Makonda, utawauwa watu kwa kazi zako hixi,unsnyoosha watu waovu tinakuhitaji mbagala zakhem Dares salaam
Achen kukili mapooza utaumia ww
Jamani Dunia inamambo uyo anajifanya apajui nyumbani kwawalio mzilum tena
Nchi ina taab sn Mungu tusaidie
Makonda piga kazi mungu atakulinda
Rushwa umerejea Tena,daaaah hii nchi imekithiri uozo
Wameyakanyaga
Big up OCD... raia anaingiaje kambini na kujenga kibanda afu asifukuzwe.. ebu tofautisha kibanda na nyumba ya kuishi... tusijibu kwa preshaaa... ocd safi sanaaa... umejibu kwa kujiamini...na kwa uhakikaaaa... BANGO SASA BAAANGOOO
Mjomba hueleweki,kama kweli huyo OCD ni mkweli,imewezekanaje Mtu ajenge Mpaka amalize awe anaishi,hao polisi walikua wapi?Na kama KESI IPO mahakamanni,iweje wasisubiri Maelekezo ya Mahakama? OCD ameenda kufanya nini Usiku huko nyumbani kwa muhusika? Kwanini wamnyang'anye Bango ?kwa Akili ya kawaida Inaonyesha kwamba, Askari walijua KOSA lao,na hapo washaingia Doa.Hapo subiri kifuatacho?Mapolisi wengi ni Majambazi waliosajiliwa na kukabidhiwa Silaha na Serikali,.
Mungu akutunze kaka
Wahamishwe hao polisi watamuua
Kweli ndo zao hao
Wafukuzwe kazi na wawajibishwe. Wafungwe.
Hii ndiyo sera za ccm mwaka huu tutaona mengi
Kaka makonda mungu akupe maisha marefu na Imani ya mungu saidia wenye shida na fukuza hao wafujaji
Makonda jemb Kam magufuli jamn, mungu akulinde , sanaa
Matias tunataka bango letu
Hakika umejitoa sadaka kwa ajili yutu so niwajibu wetu kukuombea kila aina ya dua ili haki ipatikane good job kaka
Makonda🔥🔥🔥
Huyo askari anajiamini nini mpaka afanye hivyo mbele ya Mwenezi wetu
Wmesepa na bango sio😂😂
Aiseee Makonda nakuomba uje mkoa Kagera jamani madudu tumeyajaza hapa njoo utuondolee
Wanafki hawa, Mungu anawaona, Inshallah
Tushindwa Kujua Hapa, Niserikali Inaongoza Au Nichama????
OCD Yuko vizuri
Makonda anafanya kazi kubwa sanaaaa
Afande anafahamu kuwa upomgogoro wa muhusika kujenga eneo la polisi ila kwake hapajui
Akipata Eneo Lake Auze Mana Kunakoelekea Anaweza Bambikiwa Kesi Mana Watu Wanapenda Kuishi Kwa Visasi
Kuna kitu hapo hakiko sawa Lzm busara itumike Makonda Mungu aendelee kukuweka naamini Utaendelea kuvumbua mengi hata mengine tusiyoyatatajia ,Chama kipo kazini
Nyie polisi sio mungu
jaman sio kila police ni njema mapolice wengine ni wabaya san
Watakuua hao
Kama hujui ulijuaje kama lilenieneo polisi
Huyo ocd apigwe chini, kala sana rushwa hadi katuna hivo, dah
Mmmmmh watu tunapitia mengi😢😢😢😢
❤❤, 🙏🙏🙏
❤❤❤
Sema kweli makonda unamaliza mb zangu nakupenda bure