ALIYENYANG'ANYWA BANGO na POLISI AMLIPUA OCD - ''ALIKUJA na KITENGE USIKU na ASKARI WENYE SILAHA''

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 01. 2024
  • ALIYENYANG'ANYWA BANGO na POLISI AMLIPUA OCD - ''ALIKUJA na KITENGE USIKU na ASKARI WENYE SILAHA''
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 339

  • @maikomatayo2794
    @maikomatayo2794 Před 5 měsíci +10

    makonda popote ulipo mungu akubariki akuepushe na maofu ya dunia akujalie mema saidi 🎉🎉❤❤❤

  • @israelimarco6465
    @israelimarco6465 Před 4 měsíci +7

    Mungu akusaidie kaka makonda Mungu akufinike adui asikuone

  • @user-nl5no3ep5v
    @user-nl5no3ep5v Před 4 měsíci +5

    Nakuombea unafanya nzuri Mungu akufanye uwe Rais

  • @elizabethmgassa7243
    @elizabethmgassa7243 Před 5 měsíci +10

    Huyo police muongo anasema hapajui.hrf liko ndani ya kambi tumueleweje?

  • @catherinenenula7450
    @catherinenenula7450 Před 4 měsíci +8

    Eti anamacho makubwa mweupe anakutisha eti ee🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂 hii nchi tunacheka kama mazuri

  • @stellamartin5106
    @stellamartin5106 Před 4 měsíci +5

    Mungu baba wa mbinguni mpe umri mrefu na afya njema.

  • @IsaayJohn
    @IsaayJohn Před 5 měsíci +18

    Mungu wangu! Mhe makonda tuokoe na dhuluma hizi za viongozi wasiowaadilifu na wenye kutumia madaraka yao kunyanyasa wananchi!

    • @sosmakanya4901
      @sosmakanya4901 Před 5 měsíci +1

      Usanii mwingi Anaibua mambo na kuyatelekeza fustilia uone

  • @hassankajembe4118
    @hassankajembe4118 Před 5 měsíci +31

    Huyu jamaa ni kichwa sana.MUNGU Akulinde makonda.endelea kuwapigania wananchi kwa moyo huo huo

  • @batilda4920
    @batilda4920 Před 5 měsíci +34

    Ndio maana wamemnyang'anya Bango wanajua makosa Yao hawa maskari wanyanyasaji Sana hawa dhulmat Sana.

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 Před 5 měsíci +23

    MAKONDA MUNGU AKAWE MBELE KATIKA KAZI ZAKO AKUPUSHE NA MABAYA YOTE ❤❤❤❤❤❤❤

  • @abdallahnkrumah6237
    @abdallahnkrumah6237 Před 5 měsíci +22

    Tutajionea sanaa na sarakasi nyingi Kwa watendaji wa serikali.

  • @kapesekapese7167
    @kapesekapese7167 Před 5 měsíci +13

    Namuona Hayati Magufuli ndani ya Paul Makonda, big up brother. Komboa wanyonge kaka.

    • @ShadrackKapange
      @ShadrackKapange Před měsícem

      Lakini kweli na mm nikimuona makonda nakua kama nimemuona magufuli (from Malawi)❤❤

  • @mamachris6811
    @mamachris6811 Před 5 měsíci +16

    Ila Polisi wengi wanaonaga Nchi hii yao

  • @shehanimzee9953
    @shehanimzee9953 Před 5 měsíci +8

    Kwanini hao polisi wamemnyang'anya bango?

  • @user-kn6iv2sm8b
    @user-kn6iv2sm8b Před 5 měsíci +36

    Makonda ni mwamba kam miamba wengine likes nyingi kama unamuelewa makonda

  • @EliaHiluka-ep3tp
    @EliaHiluka-ep3tp Před 5 měsíci +7

    Ulifika kwake ? Nyumba hiyo aliyojenga inapakana na Polisi? Na kama ndiyo basi ulifika

  • @user-cy3pl6yu8l
    @user-cy3pl6yu8l Před 5 měsíci +10

    Kumyang'anya bango ni ushahidi tosha simamisha wote

  • @yohanamdemu9232
    @yohanamdemu9232 Před 4 měsíci +4

    Mmmmh huuu uamuzi wa Makonda Mungu anajua

  • @kahema_steven
    @kahema_steven Před 5 měsíci +8

    Hii ndo CCM sasa, achana na vyama vingne

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 Před 5 měsíci +4

    Mungu akulinde Makonda🙏❤️❤️❤️❤️❤️

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Před 5 měsíci +20

    Uonevu umeibuka hatar Sana polis wajiangalie

    • @chacha_matiti
      @chacha_matiti Před 3 měsíci

      Kuna wakati kweli polisi wanatumia madalaka yao vibaya kwa wananchi kwasababu ya vyeo vyao

  • @RehemaJonas-yj7ed
    @RehemaJonas-yj7ed Před měsícem +2

    Makonda mtetez wawanyonge karibu arusha kumenuka mungu akuangazie Nuru ya uso wake Amin🙏🙏

  • @inviolatamalifa6871
    @inviolatamalifa6871 Před 4 měsíci +12

    Hongera sana Baba kwa kutetea wanyonge ,Mungu akujalie afya njema Baba.

  • @fatmaalhabs6939
    @fatmaalhabs6939 Před 5 měsíci +9

    Polisi ndi majambazi mbwa sana

  • @user-fh8ep8hs5q
    @user-fh8ep8hs5q Před 5 měsíci +17

    Pumzika kwa amani anko magu hii ndo inchi aliyoiyacha watu wanafanya wanavyotaka kutokana na mamlaka yao😢😢

  • @franknzowa22
    @franknzowa22 Před 5 měsíci +14

    Sasa hapo tunachanganyikiwa maana hapajui kwake halafu tena anasema kajenga ndani ya kambi,...kivipi?...basi anapajua.

  • @user-tx1yb3my3m
    @user-tx1yb3my3m Před 5 měsíci +6

    Jamani jamani polisi mmepotoka hahahhaha😢😢😢

  • @mohamedpinda544
    @mohamedpinda544 Před 5 měsíci +8

    Hii nchi polisi wanatakiwa wapigwe msasa wanaendesha kikoloni Kila sehemu malalamiko ya polisi tu

  • @shuwanaliloka3816
    @shuwanaliloka3816 Před 5 měsíci +8

    Makonda nakuomba uvaege na buleti prufu maana maadui ni wengi hata hao askari wanaweza kukutumia sharp shooters wakakumaliza.

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 Před 5 měsíci +23

    Magufuli atakumbukwa!!MAKONDA tunakupenda ❤

  • @user-mz7qw9ij1i
    @user-mz7qw9ij1i Před 5 měsíci +5

    Huyo mama ni jambazi kweli

  • @abisaimuhanji3687
    @abisaimuhanji3687 Před 4 měsíci +3

    Huyo mama kasema hapajui kwake kwakuwa wao wanadai eneo ni la polisi ndio maana hakusema kuwa ni kwake, mwananchi yeye anaitwa kwake 😂😂😂

  • @imeldasamwel539
    @imeldasamwel539 Před 5 měsíci +9

    Hahahaha police ina kambi sku hz 😅😅😅😅😅

  • @user-fr6rv2yb4s
    @user-fr6rv2yb4s Před 4 měsíci +1

    Truly President Maghufuli left a wonderful legacy.. And I have watched Mr Makonda since he was the R.C in Daressalam . President Samia appointed the right person to represent her for this job. I'm also very sure Mr Makonda will be a future Tanzanian president....

  • @aliyageorge6794
    @aliyageorge6794 Před 5 měsíci +9

    Hakuna democracy...
    In Tanzania 🇹🇿

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 Před 5 měsíci +6

    MAKUMAKONDA NYAYO ZA BABA❤❤❤

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 Před 5 měsíci +12

    Asante Makonda,nadhan mama samia umeona kwann watu wanahamia chadema kuna madudu mengi ktk chama chako

    • @Lodrickmwambene
      @Lodrickmwambene Před 4 měsíci

      Hilo sio suluhisho ni kuwapa mikataba watumishi wa serekali wakishidwa hawapewi mikataba mipya

    • @khadjamhozya
      @khadjamhozya Před měsícem

      Akiona

    • @khadjamhozya
      @khadjamhozya Před měsícem

      Et mama Samia ameona🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @user-uq3vx9oq4y
    @user-uq3vx9oq4y Před 3 měsíci +3

    Mpaka machozi😢😢😢 mungu akulinde mweshimiwa makonda

  • @sofiaantonioantonio7265
    @sofiaantonioantonio7265 Před 5 měsíci +4

    Naona Yohana mbatizaji anatengeneza njia kwajili ya Mama!

  • @josephkalwani
    @josephkalwani Před 5 měsíci +13

    😂😂😂😂😂 sasa kama hapajui amejuaje kama amejenga ndani ya kambi?

  • @aisharamdan8358
    @aisharamdan8358 Před 5 měsíci +5

    Hujaenda kwake naunasema alijenga ndani yakambi sindio nyumba aliyokuwa anaishi mkaibomoa? Ww mama vipi

  • @user-rj9fh5qh9k
    @user-rj9fh5qh9k Před 5 měsíci +14

    Huyo OCD hata sura yake inaonyesha ni katili

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 Před 5 měsíci +11

    ASANTE SANA MAKONDA KWA KUFUATA NYAYO ZA BABA YAKO MAGU. MUNGU AKULINDE.

    • @marryfelician1426
      @marryfelician1426 Před 5 měsíci

      Na kwa nini Askari mkubwa hivyo unaongea uwongo Askari mzima

  • @vagashappnecy4850
    @vagashappnecy4850 Před 5 měsíci +2

    Mungu kamrudisha Magufuli kwa njia ingine😢😢😢😢

  • @mitundafmoni7699
    @mitundafmoni7699 Před 5 měsíci +3

    hii nchi imejaa dhulma wallah kias tusiende mbele😊

  • @clemenceparokola
    @clemenceparokola Před 5 měsíci +3

    Hao waliokimbia na bango ,unge wasweka ndani hapohapo

  • @user-eg4hk9pg5o
    @user-eg4hk9pg5o Před 5 měsíci +9

    Mungu akutangulie Kila utakapo kanyaga mguu wako Mweshimiwa Makonda

  • @petermboje5839
    @petermboje5839 Před 4 měsíci +1

    Unaita nyumba za watu kibanda fala askar

  • @ombenimunisi6311
    @ombenimunisi6311 Před 5 měsíci +3

    Halafu nyie jeshi la polisi mnajidhalilisha.

  • @lossarungira965
    @lossarungira965 Před 5 měsíci +2

    Daaah, njaa mbaya sana

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 Před 5 měsíci +7

    SASA WEWE NI MTU WA ARIDHI MAMA POLICE?. ACHENI UONEVU. YAANI KIFO CHA MAGUFULI JANAANI, KIMETUWEKA PABAYA SANAA. HATA MAPOLICE SASA WANAFANYA KAZI YA ARIDHI.

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 Před 5 měsíci +18

    Hii Nchi ina mambo ! Sometimes Sana'a za ccm zinachosha kuzisikiliza --- maana tumeanza kuzisikia toka tukiwa watoto,mpaka tunazeeka sasa,hakuna chochote kinachobadilika -- ugumu wa maisha unazidi kuongezeka -- mfumuko wa bei ndio huo,vitu havishikiki -- umeme unakatika toka miaka ya 70 mpaka Leo,haujawahi kuwa stable -- migogoro ya ardhi imesambaa every where Nchini -- pamoja na rasilimali lukuki alizotubariki Mungu,lakini umaskini kwa wa Tz unazidi kutamalaki ---ajira hakuna " Inauma moyo "

    • @djbaddest1220
      @djbaddest1220 Před 5 měsíci +1

      Nchi zilizoendelea zote ajira sio kpaumbele kabxa watu wanajiajr 🙏

    • @kahema_steven
      @kahema_steven Před 5 měsíci

      Umeandika nn sasa hicho 😅

    • @djbaddest1220
      @djbaddest1220 Před 5 měsíci +2

      @@kahema_steven tulza mbul

  • @BilalShingwa
    @BilalShingwa Před 5 měsíci +1

    Makonda. Unajitihid kuelewa maelezo..! Ya walalamikaji. Mungu akulinganie daima...sababu. Nimuelewa sikuwahi kukujua Kama nimuelewa kiasi hicho. Pendekezo langu binafsi. Tunaomba tuwe tunaoneshwa walioludishiwa haki zao. Chama Cha ccm nakukubar kupitia utalatibu wako. Asante mungu Akulinde daima

  • @muhammednassor690
    @muhammednassor690 Před 5 měsíci +3

    Ndugu yangu unajipa tabu kumpiga kelele kwa viongozi ndugu mshukuru huko unakoelekea litakukuta jambo ujute viongozi hao wanalindana, rabda alifuatilie makonda mwenyewe

  • @user-xu2mh9zx1n
    @user-xu2mh9zx1n Před 5 měsíci +1

    Hongera makinda kwa hilo msaidie huyo mwananchi na wengine wanaodhulumiwa

  • @bishopmosesmagadula7572
    @bishopmosesmagadula7572 Před 5 měsíci +2

    Dogo makonda anajitengenezea NJIA YA KUWA raise siku za MBELE

  • @user-tj7bj8kv8m
    @user-tj7bj8kv8m Před 4 měsíci

    Hongera karibu mwenezi kwa ufatiaji

  • @alastridamichael5685
    @alastridamichael5685 Před 4 měsíci

    Hongela sana makonda kwakutusaidia sana kelo zetu nimekupenda sana umebadili Kwa manguvulu Fanya kazi baba nimekupenda bule baba angu kwakazi nzuli unayofa nya mungu akubalikisana

  • @johakhimu.mgembe.3297
    @johakhimu.mgembe.3297 Před 5 měsíci +2

    Inachekesha taarifa hii.

  • @imeldasamwel539
    @imeldasamwel539 Před 5 měsíci +1

    Mh.mengine uwe unamaliza hapo hapo police ni tatzo sehem zote unaleta iman kwa chama sasa❤❤❤❤❤

  • @saidunikanju6410
    @saidunikanju6410 Před 5 měsíci +7

    Hupajui kwake mbona unasema kajenga kwenye eneo lapolici?

    • @user-zs2dc3kq8g
      @user-zs2dc3kq8g Před 5 měsíci

      Shangaa na wewe wanapenda kujitoa fahamu kweli

  • @allykamwela8474
    @allykamwela8474 Před 5 měsíci +2

    Mungu azid kukulinda ucje ukapewa sum bure

  • @WilliamMlangi
    @WilliamMlangi Před 4 měsíci

    Makonda hongera kwa kazi ngum na yenye weledi

  • @solomoneglesias9752
    @solomoneglesias9752 Před 5 měsíci +5

    Maigizo tu,, keroooooooo keroooooooo,, tunajenga nchi ya namna gani hiii???

    • @user-uo8xw9kr4b
      @user-uo8xw9kr4b Před 5 měsíci

      Watu hawafanyi kazi zao vizur labda akujue au uwe na hela ndio utapat huduma nzur ktk ofisi zao ni mtihan mkubwa.

    • @user-ij9pk5zu2x
      @user-ij9pk5zu2x Před 4 měsíci

      Ulitakajee ndugu

  • @husseinallysuleiman4657
    @husseinallysuleiman4657 Před 4 měsíci +1

    Nimemuona mama kama alitaka kugombea mic au sijaangalia vizuri

  • @FrediMolell-ql9sg
    @FrediMolell-ql9sg Před měsícem

    Makonda mungu akubariki

  • @jumakiduka4625
    @jumakiduka4625 Před 5 měsíci +1

    We Makonda, utawauwa watu kwa kazi zako hixi,unsnyoosha watu waovu tinakuhitaji mbagala zakhem Dares salaam

  • @user-rs8gi7cu5k
    @user-rs8gi7cu5k Před 5 měsíci +1

    Jamani Dunia inamambo uyo anajifanya apajui nyumbani kwawalio mzilum tena

  • @radhiaally4872
    @radhiaally4872 Před 5 měsíci +1

    Nchi ina taab sn Mungu tusaidie

  • @JoelMuro-dr1sf
    @JoelMuro-dr1sf Před měsícem

    Makonda piga kazi mungu atakulinda

  • @katotoGenius-ml9ve
    @katotoGenius-ml9ve Před 5 měsíci +1

    Rushwa umerejea Tena,daaaah hii nchi imekithiri uozo

  • @diamondplutnumz4862
    @diamondplutnumz4862 Před 5 měsíci +2

    Wameyakanyaga

  • @dorotheasamwel8071
    @dorotheasamwel8071 Před 4 měsíci

    Big up OCD... raia anaingiaje kambini na kujenga kibanda afu asifukuzwe.. ebu tofautisha kibanda na nyumba ya kuishi... tusijibu kwa preshaaa... ocd safi sanaaa... umejibu kwa kujiamini...na kwa uhakikaaaa... BANGO SASA BAAANGOOO

    • @swahibually8349
      @swahibually8349 Před 4 měsíci

      Mjomba hueleweki,kama kweli huyo OCD ni mkweli,imewezekanaje Mtu ajenge Mpaka amalize awe anaishi,hao polisi walikua wapi?Na kama KESI IPO mahakamanni,iweje wasisubiri Maelekezo ya Mahakama? OCD ameenda kufanya nini Usiku huko nyumbani kwa muhusika? Kwanini wamnyang'anye Bango ?kwa Akili ya kawaida Inaonyesha kwamba, Askari walijua KOSA lao,na hapo washaingia Doa.Hapo subiri kifuatacho?Mapolisi wengi ni Majambazi waliosajiliwa na kukabidhiwa Silaha na Serikali,.

  • @samwelnevele7796
    @samwelnevele7796 Před 2 měsíci

    Mungu akutunze kaka

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 Před 5 měsíci +10

    Wahamishwe hao polisi watamuua

    • @Zainab_salat
      @Zainab_salat Před 5 měsíci +2

      Kweli ndo zao hao

    • @TM-zs3rm
      @TM-zs3rm Před 4 měsíci

      Wafukuzwe kazi na wawajibishwe. Wafungwe.

  • @yonasaimoni1302
    @yonasaimoni1302 Před 5 měsíci +1

    Hii ndiyo sera za ccm mwaka huu tutaona mengi

  • @user-gb7xp5ph4v
    @user-gb7xp5ph4v Před 4 měsíci

    Kaka makonda mungu akupe maisha marefu na Imani ya mungu saidia wenye shida na fukuza hao wafujaji

  • @WitnessMwanga
    @WitnessMwanga Před měsícem

    Makonda jemb Kam magufuli jamn, mungu akulinde , sanaa

  • @user-ie7lu5wn5y
    @user-ie7lu5wn5y Před 5 měsíci +3

    Matias tunataka bango letu

  • @chidomobile9546
    @chidomobile9546 Před 4 měsíci

    Hakika umejitoa sadaka kwa ajili yutu so niwajibu wetu kukuombea kila aina ya dua ili haki ipatikane good job kaka

  • @sadickmsigwa2998
    @sadickmsigwa2998 Před 4 měsíci +1

    Makonda🔥🔥🔥

  • @dottomsuya6597
    @dottomsuya6597 Před 5 měsíci +1

    Huyo askari anajiamini nini mpaka afanye hivyo mbele ya Mwenezi wetu

  • @jacksonamos2008
    @jacksonamos2008 Před 4 měsíci +3

    Wmesepa na bango sio😂😂

  • @syliveriuszaverius2347
    @syliveriuszaverius2347 Před měsícem

    Aiseee Makonda nakuomba uje mkoa Kagera jamani madudu tumeyajaza hapa njoo utuondolee

  • @user-xr1ri5tl8d
    @user-xr1ri5tl8d Před 4 měsíci

    Wanafki hawa, Mungu anawaona, Inshallah

  • @SayyidAhmadBaalawy
    @SayyidAhmadBaalawy Před 4 měsíci +1

    Tushindwa Kujua Hapa, Niserikali Inaongoza Au Nichama????

  • @machakuroger7068
    @machakuroger7068 Před 5 měsíci +1

    OCD Yuko vizuri

  • @philipongenzatv
    @philipongenzatv Před 5 měsíci +3

    Makonda anafanya kazi kubwa sanaaaa

  • @Commentsplus
    @Commentsplus Před 5 měsíci +3

    Afande anafahamu kuwa upomgogoro wa muhusika kujenga eneo la polisi ila kwake hapajui

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Před 5 měsíci +2

    Akipata Eneo Lake Auze Mana Kunakoelekea Anaweza Bambikiwa Kesi Mana Watu Wanapenda Kuishi Kwa Visasi

  • @jumakiwande2441
    @jumakiwande2441 Před 5 měsíci

    Kuna kitu hapo hakiko sawa Lzm busara itumike Makonda Mungu aendelee kukuweka naamini Utaendelea kuvumbua mengi hata mengine tusiyoyatatajia ,Chama kipo kazini

  • @OdenBidili-lj5qi
    @OdenBidili-lj5qi Před 5 měsíci +1

    Nyie polisi sio mungu

  • @PauloMathayo-ql8cl
    @PauloMathayo-ql8cl Před 2 měsíci

    jaman sio kila police ni njema mapolice wengine ni wabaya san

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x Před 5 měsíci +1

    Watakuua hao

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb Před 5 měsíci +1

    Kama hujui ulijuaje kama lilenieneo polisi

  • @riazshaikh8577
    @riazshaikh8577 Před měsícem

    Huyo ocd apigwe chini, kala sana rushwa hadi katuna hivo, dah

  • @angelavayinga914
    @angelavayinga914 Před 4 měsíci

    Mmmmmh watu tunapitia mengi😢😢😢😢

  • @hidayasaidi7872
    @hidayasaidi7872 Před 3 měsíci

    ❤❤, 🙏🙏🙏

  • @user-jk7ib6ft8y
    @user-jk7ib6ft8y Před 4 měsíci

    ❤❤❤

  • @agnessboaz7349
    @agnessboaz7349 Před 4 měsíci

    Sema kweli makonda unamaliza mb zangu nakupenda bure