MAKONDA AMTAJA ALIYEMDHULUMU NYUMBA - ''ANA PESA - WAKANIAMBIA NIENDE MAHAKAMANI''...

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 02. 2024
  • MAKONDA AMTAJA ALIYEMDHULUMU NYUMBA - ''ANA PESA - WAKANIAMBIA NIENDE MAHAKAMANI''...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 121

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před 5 měsíci +4

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

  • @neemamasudi7988
    @neemamasudi7988 Před 4 měsíci +6

    Kaka Makonda nakupenda naroho moja, kabi hadi namkumbuka Baba yetu Magufuli.
    From Congo to Sweden.

  • @KelvinMtavangu-ow8yo
    @KelvinMtavangu-ow8yo Před 5 měsíci +14

    MHESHIMIWA MAKONDA HUU UTARATIBU UFANYIKE WALAU MARA MBILI KWA MWAKA KWA NCHI NZIMA. ILI SERIKALI IWAJIBIKE IPASAVYO KWA WANANCHI. OMBI MAALUMU PIA KWAKO MH. RAIS DR SAMIA SULUHU HASANI.HUU NI UTARATIBU MZURI SANA. MUNGU IJALIE TANZANIA.

    • @amedeuskimario8895
      @amedeuskimario8895 Před 5 měsíci +2

      Mara tatu ndo mambo yatanyooka

    • @eligiuselias4469
      @eligiuselias4469 Před 5 měsíci +1

      ​@@amedeuskimario8895😂🎉

    • @tanzcanmediatv4473
      @tanzcanmediatv4473 Před 5 měsíci +2

      No iwe rotation akishamaliza mikoa yote apumzike miezi 2 amze kule alikoanzia ili ajue maagizo yametekelezwa kwakweli nchi itakuwa mchakamchaka

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v Před 5 měsíci +13

    MAKONDA ANGEKUWA HAKIMU AU JAJI KILA MTU ANGEPATA HAKI YAKE,EXCELLENT

  • @anselmimarandu2293
    @anselmimarandu2293 Před 5 měsíci +6

    Mungu akulinde daimaaaaaaaa

  • @hamishassan6784
    @hamishassan6784 Před 4 měsíci +2

    Mh. Makonda kutokana na ubora wa kazi unayoifanya naona kama unge mshauri Mh. Mwenyekiti wa chama kiwepo kitengo maalumu ndani ya chama ambacho kitambulike ndani ya katiba ya chama na kiwezeshwe ili kiwe endelevu kwenye kuendelea kuifanya kazi hii kwa kweli aliyoinzisha Rais/Mwenyekiti wa chama nawe ukawa mtekelezaji wakwanza mwenye ubunifu mkubwa mno katika kuendea CHANGAMOTO mbalimbali za wanannchi, maana nachelea kama yeye akiondoka na wewe ukiondoka bado watanzania watarudi kulekule na hivyo kuiono haki yao kama ihsani kutoka kwa viongozi kwani kila mtu huwa na utashi wake. Hongera sana Mama Samia Hongera sana Makonda Hakika huwa unanipa tumaini jipya kila mara nikusikiapo

  • @TuzoTuzo-xi9xm
    @TuzoTuzo-xi9xm Před měsícem

    Mungu Akubaliki mama yetu laisi mungu akutuze na akupe balaka na Avya njema

  • @KabwikaIbrahim-ld8vf
    @KabwikaIbrahim-ld8vf Před 4 měsíci +1

    Unaendelea kufanya vizuri Mr.Makonda Mola akubariki,pia Rais wetu Mama Samia Hasan Suluhu

  • @Azikiwe-qi6jd
    @Azikiwe-qi6jd Před 5 měsíci +23

    Jamani watanzania wenzangu, kwa huuu utaratibu hatutafika popote, hiii ni dalili, mbaya kwa ustawi wa nchi yetu, hili ni dhihirisho kuwa taasisi, za nchi hususan zinazohusika kutoa haki zimefeli kabisa, au hazipo kabisa, haiwezekani, mtu mmoja ndie awe anatatua matatizo ya wananchi wote milioni 65, haiwezekani. Atachoka tuuu. Tunataka taasisi zinazohusika kutoa haki, zifanye kazi yake, kwa maaana Kuna watu wameajiriwa huko, wanakula mishahara alafu haki hazitendeki. kwa mtindo huuu hatufiki ndugu zangu. There is a serious systemic failure. Watanzania tunahitaji mifumo inayojiendesha sio kwa mtindo huuu

    • @taseleli9181
      @taseleli9181 Před 5 měsíci

      Tunaanzia hapo huko kwingine tutafika,kwanza tujue yaliyomo ili wanaofanya wajisikie vibaya

    • @faumahona5769
      @faumahona5769 Před 5 měsíci

      Kama siyo makonda hayo madudu tungeyajulia wap ?

    • @Azikiwe-qi6jd
      @Azikiwe-qi6jd Před 5 měsíci

      @@faumahona5769 duuu, kazi ipo, ndugu yangu, mtanzania mwenzangu, sidhani kama umeelewa nilichokiandika, iko hivi, naomba nikueleweshe hii nchi ina watu zaidi ya milioni 65, hawa ni watu wengi sana hatuwezi kumtegemea mtu mmoja atatue changamoto za watu milioni 65, haiwezekani. Ndio maana Kuna umuhimu wakujenga mifumo na taasisi zinazojiendesha sio kumtegemea mtu mmoja, binadamu maisha yake ni ya kitambo tuu hayana Diamante yana pita kwa haraka sana, sasa kwa mfano ikitokea makonda akatoweka ghafla tunafanyaje sasa, muwe mnaangalia mbele kidogo

    • @justinekyando9558
      @justinekyando9558 Před 4 měsíci

      Wewe fara

    • @Azikiwe-qi6jd
      @Azikiwe-qi6jd Před 4 měsíci

      @@justinekyando9558 lugha ya kiswahili hakuna neno "fara" unatakiwa kusema "fala" sio fara.
      Unaweza kufanya marekebisho, utasikilizwa

  • @SamsonLubeleje
    @SamsonLubeleje Před 3 měsíci

    Mungu akujalie maisha mema uzid kusaidia tz

  • @abcxyz3740
    @abcxyz3740 Před 5 měsíci +7

    GSM walitaka kumdhulumu nyumba Makonda🎉🎉🎉🎉

    • @AllyGibu-cz2vo
      @AllyGibu-cz2vo Před 5 měsíci

      Uje unipe story hiyo ndugu kumbe gsm walitaka kumdhulumu Makonda

  • @salcle9702
    @salcle9702 Před 5 měsíci +7

    Hao jamaa wa aridhii wahuni sana tanzania nzima

    • @moxasaidi3398
      @moxasaidi3398 Před 4 měsíci

      Kuna yule aliekuwa mkuu wakati wa magufuli alidhulumu sana

  • @maimunakassim8413
    @maimunakassim8413 Před 3 měsíci

    Hongera mdogo wangu poul makonda

  • @user-mg9fg6vc9w
    @user-mg9fg6vc9w Před 4 měsíci +3

    Dah! Nakwenda kuchukua card yangu ya chama CCM oyeee

  • @johnchungwa-ei7xj
    @johnchungwa-ei7xj Před 5 měsíci +13

    Watumishi wa selikali wanakitesa chama

  • @elizalutiga6287
    @elizalutiga6287 Před 5 měsíci +1

    Hawa watu ni Wahuni sana Aridhi kumeoza.Hongera Makonda

  • @ramadhanzenj9111
    @ramadhanzenj9111 Před 5 měsíci +12

    MAKONDA MDOGO WANGU UISHI MAISHA MAREFU PIGA KAZI

  • @user-is4jg9gr1p
    @user-is4jg9gr1p Před 5 měsíci +1

    Mungu akulinde Kwa kuwatetea wanyonge

  • @ullujaffariyohani1186
    @ullujaffariyohani1186 Před 4 měsíci +1

    Kwa kweli na albu kubwa Sana hawa viongozi wengine kazi Yao ni nn mpk matatizo ya wananchi wananchi yanakuwa mingi kiasi hiki wavivu wa kufanya kazi lkn wana nguvu ya kula pesa za Miradi 😢

  • @suleimansultan3333
    @suleimansultan3333 Před 4 měsíci +1

    Safi sana makonda

  • @moiseszachariasmoisesmoises
    @moiseszachariasmoisesmoises Před 4 měsíci +1

    ningekuwa mtanzania,ningependekeza,mh makonda angepata kira ya uraisi toka kwangu😅

  • @user-lp8in3ou7r
    @user-lp8in3ou7r Před 4 měsíci +1

    Makonda mdogowangu umevaa viatu vya mjomba Magu....hongera

  • @user-jr9jj7yj8j
    @user-jr9jj7yj8j Před 5 měsíci +2

    Makonda unafaa sana Tena sana

  • @umsulaiman7468
    @umsulaiman7468 Před 5 měsíci +4

    Makonda nakupenda unatetea wa tanzania Mungu akuhifadh usiwape fursa kwa kudhulumu wanyonge

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 Před 5 měsíci +7

    Makonda hoyeeee

  • @selebitende3162
    @selebitende3162 Před 5 měsíci +2

    Mhe Rais tunakupongeza sana Kwa kunteua makonda kwa nafasi hii ombi letu wanyonge aongezewe ulinzi na tunajua atapigwa fitina sana ila ikumbukwe yupo na sisi wanyonge na Mungu atakulinda ww mhe Rais na Makonda

  • @user-rs9nb1ez3r
    @user-rs9nb1ez3r Před 4 měsíci +1

    Piga kazi mzeeee

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3u Před 4 měsíci

    Sawa mheshimiwa Makonda uko vizuri kwakuwasaidia watu kupata haki Yao na sisi 77 hotel tunaomba tulipwe jameni Makonda utukumbuke 77 hotel arusha

  • @masamakijames7837
    @masamakijames7837 Před 5 měsíci +2

    Hivi ndani ya ccm watakatifu ni Samia na Makonda tu?Viongozi wengine mko kundi gani?Mbona kila mkoa aendako Makonda ni shida ambazo hata shetani anaona aibu kutendea wanadamu ilihali viongozi wengine mpo!

  • @innocentlegos4530
    @innocentlegos4530 Před 4 měsíci

    Matatizo mengi yameletwa na hao hao viongozi wa ccm,Unafanya kazi nzuri ila umekosa nguvu yakutoa suluhisho hapo kwa hapo,Mama anajua Magufuli kila alichokuwa akitutendea sisi wananchi,Mama ajitokeze,tumuone akitoa maamuzi ya kututetea sisi wananchi,mtu akiwa na hatia ya kupora ama kutumia pesa ya serekali vibaya atumbuliwe na pesa zirudi,Hii ya makonda ni kutuziba macho tu maana mshajua uchaguzi uko karibu,Makonda kaa hivo hivo ikikaribia wagombea kujiandikisha,chomoka ccm,jiunge na chama chochote,ikulu moja kwa moja.

  • @DuduMagau-sm3pd
    @DuduMagau-sm3pd Před 4 měsíci

    MAKONDA ULIYOSEMA HAKIKA YANATOKA MOYON KWAKO MUNGU AKUBALIKI SANA, HAKUNA KIONGOZI MWENYE MOYO KAMA WAKO WAKUSHAURI WANANCHI USHAURI MZIRI, UBALIKIWE SANA

  • @brunidamadege3747
    @brunidamadege3747 Před 4 měsíci

    Ccm hoyeeee sijawahi kuwa mkereketwa nikiwa na kiongozi kama huyu nitajikuta tu nimevaa nembo🎉🎉🎉🎉🎉

  • @kyaro5945
    @kyaro5945 Před 4 měsíci

    Makonda sema ukweli. Wew ulienda kujenga kwenye kiwanja cha Mwarabu wakakuonyesha ujeuri. Hati uliitoa feki na waarabu wakajaa na hati safi..

  • @user-ex9sd8wm4l
    @user-ex9sd8wm4l Před 5 měsíci +4

    Piga kaz mkuu 🎉🎉🎉chukuwa na maua yako

  • @brunidamadege3747
    @brunidamadege3747 Před 4 měsíci +1

    Tunataka hakiyetu,tunataka haki yetu,tunataka haki yetu.

    • @brunidamadege3747
      @brunidamadege3747 Před 4 měsíci

      Tanzania, Tanzania Tanzania. Nchi yangu nakupenda maana Mungu amesaza watu wakusaidiana naye Mungu.

  • @Ericzdeking24
    @Ericzdeking24 Před 5 měsíci +1

    YAANI NI AIBU KUBWA MADUDU YANAYOENDELEA NCHINI.

  • @edwardmkwelele
    @edwardmkwelele Před 4 měsíci

    MTANZANIA HUYO mlipeni

  • @plumbingtanzaniaplumber7570
    @plumbingtanzaniaplumber7570 Před 4 měsíci

    Yani serikari inawauzia wananch maeneo ambayo sio wanawatapeli wana nch kumbe wao serikari ndio wanaosababish migogoro

  • @AminaRamadhani-gx8yr
    @AminaRamadhani-gx8yr Před 5 měsíci +1

    Jamani hii nchi ni uonevu, makonda atasisi ni wahanga tupo moshi umasikini ndio unatunyamazisha,

  • @wilbatnyato4679
    @wilbatnyato4679 Před 3 měsíci

    Kweli nenda mahakamani km walivyokwambia

  • @radhiambwana3353
    @radhiambwana3353 Před 4 měsíci

    Tunashkur Mhe Rais kwkumteuwa huyu Mwenez

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3u Před 4 měsíci

    Mheshimiwa Makonda 77 hotel arusha tunateseka kwakudai haki yetu ya madai yetu Makonda njoo Arusha jameni we twafa njaa mafao 77 hatujalipwa Mungu

  • @user-os6sc7is5h
    @user-os6sc7is5h Před 3 měsíci

    Wafukonyoe hao wapumbavu kisomo Awana kichwani Alafu wanawekwa katika viti vya huongozi😂😂😂

  • @user-fq7sy4lo9d
    @user-fq7sy4lo9d Před 5 měsíci

    Viongoz wa halmashaur mjitahid kufany kazi kwa haki jaman mnampashida mama samia jaman kuwen na uwelewa

  • @IsayaSosolo-nx8zk
    @IsayaSosolo-nx8zk Před 4 měsíci

    Wanaichi mnashangiria matatizo waliyo tengeneza haohao CCM kweli tunawajinga wengi,

  • @solomondanny-1507
    @solomondanny-1507 Před 4 měsíci

    Hapa kuna tatizo la mawasiliano baina ya Ardhi na TANROADS. Ardhi na TANROADS wana sheria zao.

  • @AminaRamadhani-gx8yr
    @AminaRamadhani-gx8yr Před 5 měsíci +1

    Makonda simamia hilo mpaka haki itoke, wezi wakubwa hao

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Před 4 měsíci

    12:45 Kwahiyo ishu ya mbowe ilikua hakuna kesi 😅

  • @sesilianjala3306
    @sesilianjala3306 Před 5 měsíci

    Jamani namimi ninataka haki yangu makonda nitakutafuta aki

  • @janetymatola6639
    @janetymatola6639 Před 4 měsíci

    Sauti ya Makufuli inasikika pia nami nahitaji unisaidie

  • @smallscaleminingsupplies9670

    Sasa kama ye analalamika mwananchi wa kawaida itakuaje, mahakama ajui ilipo

  • @domymerinyo8165
    @domymerinyo8165 Před 4 měsíci

    Kipindi hicho tanroad walikua hawajapima hiyo barabara sehemu nyingine wanaonea watu

  • @AminaRamadhani-gx8yr
    @AminaRamadhani-gx8yr Před 5 měsíci +1

    Ataizi mahakama nizakuchuzwa azitendi haki

  • @ngambikomsu64
    @ngambikomsu64 Před 4 měsíci

    Ujue ni jinsi gani CCM haistaili kuendelea kuwa nadarakani shida zote hizi ni zao la serikali ya CCM.

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 Před 3 měsíci

    Kwa nchi ilipofikia sahiz inahitaji rais km makonda kabisa hata akiwa atalipa visasi atalipa kwa wakubwa huko huko ila wanyonge tutakuwa salama haiwezekan nchi imekosa mwelekeo kabisa sahiz

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 Před 5 měsíci +1

    Ss kwnn mlimpa na akajenga alafu mbakuna kubomowa na hamtaki kuwalipa mmeona ipo ktm barabara bc mngewalipa iki wawapishe lkn si kublmowa tu alafu mnawaacha wna angaika mnasumbuwa sn wnanchi nyie nakuonea hy ni makosa yenu inabidi muawalipe

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle Před 5 měsíci

    Kwa mantiki hiyo mheshimiwa makonda mahakama zetu hazitendi haki

  • @user-cz3gk2op9r
    @user-cz3gk2op9r Před 2 měsíci

    Unajikuta raisi kumbe ni maenge tu

  • @user-wj6zj1ly4e
    @user-wj6zj1ly4e Před 5 měsíci

    Kwahyo G.S.M atapata cha moto et? Au tayari ameshairudisha nyumba ya makonda

  • @noelbryson7840
    @noelbryson7840 Před 4 měsíci

    MRUFISHIE GSM NYUMBA YAKE..

  • @user-vy8tb2hq9w
    @user-vy8tb2hq9w Před 4 měsíci

    Hayo unayo sema ofisini wanarindana hawa tendi haki kama hio

  • @hailinhelen4675
    @hailinhelen4675 Před 4 měsíci

    niki9na hivi naweza sema wenye haki hawqpewi na wasio na haki wanapewa mzigo wa dhambi kubeba kesho siku ya hisabu kunakazi ninavohisi washika bedera za motoni ni wengi

  • @khadijabuberwa3362
    @khadijabuberwa3362 Před 5 měsíci

    We

  • @MasterRegan
    @MasterRegan Před 4 měsíci

    Simchezo

  • @user-ig4in5ut9k
    @user-ig4in5ut9k Před 4 měsíci

    Hiyo ndio tabia ya ardhi hivyo ndivyo wanafanyia wananchi

  • @ramazanisongolo7258
    @ramazanisongolo7258 Před 5 měsíci +1

    Nikushukuru mh. Makonda kwa yote unayo yazungumza kila kukicha mimi nafatilia ziyara zako una stahili kuhitwa MTETEZI kwa maana hiyo MAHAKAMANI akuna haki ni kweli kabisa

  • @user-mg9fg6vc9w
    @user-mg9fg6vc9w Před 4 měsíci

    Anasema alimilikishwa kipindi hiko kwani haikua Serikali??

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx Před 4 měsíci

    Nachofrahi nikwamba madai ya wananchi yote ni halali naniyakweli

  • @AlbatSimon-yq5ro
    @AlbatSimon-yq5ro Před 4 měsíci

    Huyu jamaaa kaja kuvizima vyama pinzani

  • @salmaabdu5011
    @salmaabdu5011 Před 5 měsíci

    Huku unguja tuko wengi tunozulumiwa na mahakama inakula rushwa tupu

  • @user-if9gi2rx8f
    @user-if9gi2rx8f Před 5 měsíci +1

    Komed komed

  • @marylukas6832
    @marylukas6832 Před 4 měsíci

    Rais wangu kipenzi

  • @Mundi-oz7os
    @Mundi-oz7os Před 5 měsíci

    Muwe na uhakika kuwa hawajawatalipwa

  • @elizalutiga6287
    @elizalutiga6287 Před 5 měsíci

    Daaaaaaaaah

  • @user-cz3gk2op9r
    @user-cz3gk2op9r Před 2 měsíci

    Makonda wewe ni fala tu

  • @chai_r
    @chai_r Před 4 měsíci

    Nini anfanya hapo? Hiyo ni kazi yake? Sheria ne katibu inampa mamlaka ya kwenda barabarni kidifanya judge? Kupoteza muda mtupu

  • @user-zs2dc3kq8g
    @user-zs2dc3kq8g Před 4 měsíci

    Watu wanakiu na wewe

  • @kiwangodaniel1302
    @kiwangodaniel1302 Před 5 měsíci

    Makonda kumbe hii imeandaliwa. Upuuzi mtupu!

  • @AbrahamSekuza
    @AbrahamSekuza Před 5 měsíci

    Haya unayo fanya Makonda unaivua nguo CCM na serikali yako kwa ushauri wangu fupisha hii mihadhara yako

    • @damagambiti8292
      @damagambiti8292 Před 5 měsíci +2

      We mjinga kweli! Hivi ungekuwa wewe umetendewa dhuruma usingeongea upumbavu huo! We kama unaona nongwa kaa kimya!

    • @MubinaRoshan
      @MubinaRoshan Před 5 měsíci +2

      Wewe kaa kimya hayakuhusu

    • @AllyGibu-cz2vo
      @AllyGibu-cz2vo Před 5 měsíci +2

      Wewe ni mjinga kumbe nilijua una akili

    • @samwelsimon7392
      @samwelsimon7392 Před 5 měsíci +2

      wewe kaa tayali zamu yako kama na wewe ni miongoni mwao

    • @KiongoziMwandamizi
      @KiongoziMwandamizi Před 4 měsíci

      Mbona kujiaibisha hvo😂😂

  • @anselemmasirikali6384
    @anselemmasirikali6384 Před 5 měsíci

    Wewe mwenyewe dhuluma ulitaka kuwadhulumu nyumba Gsm

  • @samwelnaal7952
    @samwelnaal7952 Před 5 měsíci +1

    GSM kimekuramba😂😂😂

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 Před 5 měsíci +2

    Ccm wanacheza na akili za watu ccm nikama shetani leo anakujahuyu anasema lake kesho mingine nakuja na utapeli wake watanzani msiposanuka na hi janja ya ccm utaisha kama wafuasi wa Kibwetere

    • @marymanoni5536
      @marymanoni5536 Před 5 měsíci

      Hachezi hata 😂😂😂 ww ndo unsjidangamya

    • @UfahamuwaKristo
      @UfahamuwaKristo Před 5 měsíci +1

      Hapana Leo ndo nimegundua shida sio ccm shida ni watendaji tu sio waaminifu na sio wachapakazi

    • @hurumamsuya7122
      @hurumamsuya7122 Před 5 měsíci

      Kwamba watu hawasaidiwi?!!

    • @barackawithokiswaga2686
      @barackawithokiswaga2686 Před 5 měsíci

      Na wewe hebu peleka Upumbavu wako huko, kwahiyo unachotaka wewe ni kipi? Au wewe una uwezo wa kutatua hizo kero, basi tatua wewe tukuone! Kazi kujifanya wewe ndio mjuaji unataka nini wewe??

    • @Ernestlaiza
      @Ernestlaiza Před 5 měsíci

      ​@@barackawithokiswaga2686wacha ufala tunataka katiba mpya

  • @faridahalwaily85
    @faridahalwaily85 Před 5 měsíci

    Jamani mshukuruni mwenyezimngu na rais na makonda kusimamiya haki za wanyongee…kuweni na dhanaa njemaaa wachanenii kulaumiyaaaanaa…duniya mapitoo.