Sheikh Kutoka Burundi Awashushia Nyundo Masheikh Wanaotangaza Pete Za Majini Kuwapotosha Waislam

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 07. 2024
  • QIBLATEIN ONLINE Ni channel ya dini ambayo inajihusisha na kukusanya taarifa za kidini kutoka Tanzania na huripoti matukio yote ya ndani ya Tanzania kila siku kupitia FACEBOOK, INSTAGRAM CZcams @QiblateinOnlineTv)
    🙏🤝Tafadhali🙏Subscribe #qiblateinonlinetv #ili uwe sehemu ya familia hii muhimu.
    INSTAGRAM 👉👉 / qiblatein_online_
    FACEBOOK👉👉 profile.php?...
    TIKTOK 👉👉 www.tiktok.com/creator-center

Komentáře • 173

  • @Assiya39
    @Assiya39 Před 13 dny +9

    Barakallahu fiyqih Sheikh shakuru umeongea maneno mazito yenye mazingatio 😊

  • @azamomar9920
    @azamomar9920 Před 14 dny +6

    Allah akuhifadhi shekh akujalie umri mrefu wenye manufaa. Hakika umefikisha

  • @Zanha582
    @Zanha582 Před 13 dny +8

    Allah atuongoze ktk njia iliyonyooka na atusamehe makosa yetu yoote

  • @user-nk3dp9cv9c
    @user-nk3dp9cv9c Před 17 dny +24

    Upo sahihi sekhe, ila Kuna wengii watakupinga na kuyadharau maneno yako, hii kwasababu watu wengi hua tunajali nani kasema. Na sio nini kinasemwa, hii ndo shida ya Waislaam wa zama hizi tunajali watu sio maneno yanayotoka kinywan kwa mtuu

    • @the-homeboyztv2689
      @the-homeboyztv2689 Před 17 dny +1

      Shida imeingia katika uisilam, mashehe wasababisha kwaku sema wau wanagawa utajiri, baraka kuja ufanyewe dua

    • @user-nk3dp9cv9c
      @user-nk3dp9cv9c Před 17 dny +1

      @@the-homeboyztv2689 🤣 Kama ni hivyo umaskin ingekua hakuna ,lkn ni upotoshaji ulotujaa viumbee, mtu hataki aende motion mwenyewe laazim awe na wafuasi

    • @ismailsoud3634
      @ismailsoud3634 Před 17 dny +1

      Watanzania huwa wanaangalia MTU siyo NENO.

    • @hamisijuma3276
      @hamisijuma3276 Před 12 dny

      Mbona mahubiri. Ya kikristo??? C ubatizwe?
      Usiwe na miunnngu mingine iila mimi Kutoka 20:1...
      ..

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 Před 12 dny


      NIKWELIIIII KBSAAAAAA

  • @SuleimanKhdija
    @SuleimanKhdija Před 17 dny +11

    Mambo ya pete za majini ni ushirikina Allah atunusuru

  • @kisaujibabou9436
    @kisaujibabou9436 Před 9 dny +1

    Burudani nchi nambar moja kwa umaskini nambar moja kwa upendo mansha Allah tunarizika nakila Hali ushirikina upo ila hatuuamini hongera sana sheh wetu Abdul shakur imamu mku mskiti 17 nambar 11 buyenzi anatuhelimishaga kweli kweli Allah atujaaliye tuwe wene kuyafwata nakuyatekeleza

  • @user-tt4yv9zl7i
    @user-tt4yv9zl7i Před 15 dny +3

    Allah akulipe heri sheikh wetu. Kua madha mazuri sana❤❤kaka yangu.Allah atupe muisho muema

  • @malikmasoud3190
    @malikmasoud3190 Před 14 dny +3

    Sheikh umeongea maneno mazuri sana , ma sha allah

  • @user-um8lt3vx3u
    @user-um8lt3vx3u Před 13 dny +2

    Masha'Allah Allah akuhifadh na akujalie mwisho mwema inshaaAllah

  • @lilmojr7
    @lilmojr7 Před 14 dny +2

    Allah sheikh akulipe kheri nyingi sana umesema ukweli mashekhe njaa na washirikina wanapotosha sana watu Allah atuongoze

  • @user-xb3nf9dq8k
    @user-xb3nf9dq8k Před 16 dny +4

    Binafsi nimekuelewa sana Allah atufanyie wepesi sote kwa jumla

  • @JUBRANBULAYHl-yb4ke
    @JUBRANBULAYHl-yb4ke Před 15 dny +2

    Mungu azirehemu roho ambazo haziwezi kubadilishwa au kuzaliwa mara ya pili
    Ee Mungu, wasamehe wale ambao tuliishi nao miaka ya kupendeza zaidi na ambao tulihisi tamaa kwao.
    Ee Mungu, tukusanye pamoja nao katika bustani za neema, Ee Mungu, uwasamehe walio wa thamani zaidi waliotoweka machoni pangu sikia sauti yao. Mungu airehemu kila nafsi inayopendwa na moyo wangu chini ya ardhi Nakula kiapo? idhini ya Mola wangu Mlezi, Ametakasika, na ulitukuze jina Lako, Uso wa Mtukufu, Mungu wangu, namaanisha, Ee Mungu, Ee Mungu, Ee Mungu, Ee Mungu, Ewe Uliye hai, Ewe Uliye hai , Ewe Mwenye nguvu, Mwenye nguvu, Mwenye nguvu, Mwenye kurehemu, Mwenye kurehemu, katika kutimiza na kuamini kwa kiapo na maagano kwa hakika, agano ni la kuwajibika Mwenyezi Mungu mkiiamini, na mkataba wake mnapofanya mkataba nayo, na mmejifaradhishia nafsi zenu kuwa ni haki kwa yule mliyefunga naye mkataba na mkamuamini, wala msivunje viapo baada ya kuvithibitisha. Basi mkavunja viapo vyenu, na mkavivunjia uwongo, na mkavivunja Wallahi, Hakuvunja ahadi, na kiapo, ni wajibu kutoka kwa Mwenyezi Mungu .Enyi mlioamini, kwa nini mnasema msiyo yatenda? Ishara za mnafiki ni tatu: Na anapoahidi huvunja amana yake, na anapoaminiwa humfanyia khiyana walifanya ahadi na Mwenyezi Mungu, kwani miongoni mwao wapo walio kufa, na waliopoteza maisha yao. Hao ndio wanaongoja, na hawakufanya mabadiliko yoyote, ili Mwenyezi Mungu awalipe.

  • @hassanmchengwa2950
    @hassanmchengwa2950 Před 13 dny +3

    Allahu Akbar, Allah atunusuru inshallah

  • @shanimpenike7568
    @shanimpenike7568 Před 12 dny +2

    maashaallah shekh kemea wazushi hao wanaozuka kila kukicha

  • @asa121amenahtanakshfrombur5

    Manshaallah tabarakallah sheikh
    Uposahihi allah akujaliye umri mrefu

  • @imamumohamedmalina6995
    @imamumohamedmalina6995 Před 17 dny +7

    Allah akulipe kwa elimu hii

  • @rizikiali328
    @rizikiali328 Před 15 dny +4

    Huyo shékh mshirikina laana za zimshukie ametudhalilisha waislamu

  • @dulasele-ud8cw
    @dulasele-ud8cw Před 17 dny +6

    Swadacta sheh nimekuelewa

  • @NdikumanaAmisdi
    @NdikumanaAmisdi Před 15 dny +2

    Allaah akujaze kheri Sheikh wetu.

  • @hamisisaid-zz2ye
    @hamisisaid-zz2ye Před 14 dny +2

    Mashallah JazzakAllah kheir sheikh

  • @user-qq6mv6vh3e
    @user-qq6mv6vh3e Před 3 dny

    Mungu akupe maisha marefu na ufunuo zaidi sheikh

  • @aishamumy8402
    @aishamumy8402 Před 6 dny

    MashaAllah sheikh wetu,Allah akujalie afya njema na umri wenye kher uweze kutujuza🙏🙏🙏

  • @mohammedmussa7378
    @mohammedmussa7378 Před 16 dny +2

    Hawa wanafiki wameficha kufuru katika miyoo yao ndio mana wanamtangaza sheitwan baada ya kumtangaza allah subhana wataalah

  • @salehbahovu9303
    @salehbahovu9303 Před 7 dny

    Sheikh yupo sahihi saana, Allah akuihifadhi in shaa Allah… ila naona sheikh na yeye ana pete zake 2 mikono yote miwili 😊

  • @MariamMwamba-lm4oe
    @MariamMwamba-lm4oe Před 3 hodinami

    Shekhe mola akuafu Kwa kutoa daawa nzuri

  • @rizikiali328
    @rizikiali328 Před 15 dny +1

    Sheikh unasema kweli na hawa masheke wanao jiita waumni wanafiq hawa waupotoa uislam mpaka wasio waislamu wana tukejeli Allah awaongoze hawa wanaojiita mashekh

  • @NassorNassor-p1i
    @NassorNassor-p1i Před 14 dny +2

    Sahihi sheikh

  • @sakinahassani1455
    @sakinahassani1455 Před 3 dny

    MashaAllah MashaAllah shekh

  • @ayubumasudi8380
    @ayubumasudi8380 Před 15 dny +1

    Maashallah❤😂😂😂 Tabaraqallah imeenda iyoo😂

  • @HassanGessan
    @HassanGessan Před 17 dny +1

    maashallah sheikh ALLAH atuhifadhi

  • @maulideabdala3832
    @maulideabdala3832 Před 15 dny +1

    Masha Allah
    Safi sana allah atunusuru wote. Kwa mambo ayo

  • @brianaugust9737
    @brianaugust9737 Před 8 dny

    Sheikh, nimekuelewa sana, umenifungua vizur kuhusu pete na uislam, kumbe masheikh wengine wanaupotesha uislam na watu wanakaa kimya, mimi ni mkristo ila nimefurahia sana darasa lako leo

  • @KheyriHassani
    @KheyriHassani Před 17 dny +2

    Sera moja tuu mashekhe wote akuna mabadiriko

  • @Jigflou
    @Jigflou Před 10 dny

    Masha Allah, Allah azidi kukupa ujasiri waku kemeya Ayo mambo sheikh 🎉🎉❤

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 Před 17 dny +2

    Diwani Mbogo Sulyman mnaaasikia hayaaaaa
    Acheni ushirikina someni dini

  • @user-pg2xj9jd9l
    @user-pg2xj9jd9l Před 11 hodinami

    Dk Sule. Nimushilkina maana Ana Amini sana pete

  • @the-homeboyztv2689
    @the-homeboyztv2689 Před 17 dny +3

    Hio ndio shida kubwa limekumba uisilam kwasasa watu waamin mashehe kuliko Allah, mashehe wagawa utajiri, baraka, huu ni ugojwa wakumbwa uisilam ( tafuteni dawa

  • @AsdASD-xc3sw
    @AsdASD-xc3sw Před 14 dny +2

    Kabisa 🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤

  • @Abdoulnibigira
    @Abdoulnibigira Před 13 dny +1

    Jazzakaallah kher

  • @user-ds1cy3dc7z
    @user-ds1cy3dc7z Před 10 dny

    Naam 😊Allah akuifadh Shkh Shkrn sana Kwa Dawa 👏🏼

  • @ZainabHassan-hz4no
    @ZainabHassan-hz4no Před 13 dny +1

    Alhamdullah wafundishe hap wanao tupotosha

  • @nelson-cd7fr
    @nelson-cd7fr Před 16 dny +1

    Jazakumllahu kheiran

  • @ShemsaKeza-mo8wf
    @ShemsaKeza-mo8wf Před 15 dny +1

    Allah akulipe kwakufunguwa watu masho

  • @ZainabuIrakoze
    @ZainabuIrakoze Před 15 dny +1

    Allah Akulipe Kwa mawaidha mazuri

  • @destineluna5768
    @destineluna5768 Před 14 dny +1

    Mashaallah shekhe

  • @MunezeroIsmail
    @MunezeroIsmail Před 13 dny +1

    Allah atulinde na mitihani hiyo

  • @user-ej2hj4zr9y
    @user-ej2hj4zr9y Před 14 dny +1

    Jazzakaallahu kheri 😂❤

  • @hemedyusuf8835
    @hemedyusuf8835 Před 13 dny +1

    Mtihani wallah Allah atunusuru

  • @GamingLimbe
    @GamingLimbe Před 15 dny +2

    Mashaallah❤

  • @DjumaIssa-w8v
    @DjumaIssa-w8v Před 2 dny

    Kuna watu hawa elewi kabisaa sikilizeni vizuri
    Haifaï kumushirikisha Allah nachochote
    Harizie hilo

  • @user-ih4zi8ss9y
    @user-ih4zi8ss9y Před 11 dny

    Masha Allah
    Tabaraka Allah
    Jazaka Allah hkeir 🤲

  • @AmadeChafimBacar
    @AmadeChafimBacar Před 14 dny +1

    Allah te abençoar shekh

  • @SultanSaid-js9yj
    @SultanSaid-js9yj Před 17 dny +3

    Shukrani

  • @AthuuSainga
    @AthuuSainga Před 15 dny +1

    Baaraqallahu fiiqa

  • @user-qv8uo3bc6o
    @user-qv8uo3bc6o Před 8 dny

    MashaAllah MashaAllah ALLAH HUAKBAR 💯

  • @latifanyari8912
    @latifanyari8912 Před 12 dny

    Allah akuhifadhi inshaallah na akujazie kwenye mizani yako siku ya hesabu

  • @NoraKedir
    @NoraKedir Před 6 dny

    Barakallah fiki

  • @AmadHassanRashid
    @AmadHassanRashid Před 11 dny

    Allah hatie kherry kwenye helimu na kuwaongoza mashekhe kama haw lnshaalla

  • @Gaddafi-knight
    @Gaddafi-knight Před 13 dny +1

    Allahu Akbar

  • @omarynguhwe3961
    @omarynguhwe3961 Před 8 dny

    Sheikh umenigusa sana alhamdu li LLAH Rabil Ghalamiiyn

  • @balkissMuhammad-sk1ic
    @balkissMuhammad-sk1ic Před 17 dny +2

    Bismillah ❤

  • @user-dv4md3vi5u
    @user-dv4md3vi5u Před 17 dny +3

    Shukran

  • @user-ws8uk2ip3l
    @user-ws8uk2ip3l Před 17 hodinami

    Viizuri sana sheikh

  • @NahimanaMariamu
    @NahimanaMariamu Před 7 dny

    Mansha Allah 🇧🇮

  • @LabiloWabikongo
    @LabiloWabikongo Před 15 dny +1

    allah sw akupekher

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Před 14 dny +1

    Dr Sule anatutia aibu sana waislam ...... mungu ktk quran anasema tumuombe yeye na tumtegemee yeye , na yeye ndio anatulinda . Lkn Bro Sule anataka tutegemee pete . Quran haijasema tutegemee pete . Fuckin Sule . Mungu amuongoze aongoke .😢😢

    • @malikmasoud3190
      @malikmasoud3190 Před 14 dny

      Usihukumu kabla ujaukumiwa unaweza kuonyesha mahari ambapo sule amesema tutegemee Pete sio allah

    • @loner_wolf
      @loner_wolf Před 14 dny

      @@malikmasoud3190 mfuatilie.

    • @FaridaHamadi-p9d
      @FaridaHamadi-p9d Před 12 dny

      We na we in Amana ujui au unajizima data, ​@@malikmasoud3190

  • @ShamiraMbululo
    @ShamiraMbululo Před 16 dny +1

    Allah akulipe

  • @asa121amenahtanakshfrombur5

    Alhamdulilah rab

  • @harerimanaaisha7613
    @harerimanaaisha7613 Před 11 dny

    Mansha'Allah Mansha'Allah

  • @RamadhaniMsukuma
    @RamadhaniMsukuma Před 13 dny +1

    Nitaipataje namba ya sheikh huyu

  • @husseinkudra-gp6gp
    @husseinkudra-gp6gp Před 12 dny

    Allah akuhifadhi❤

  • @AliMsellem
    @AliMsellem Před 16 dny +2

    Pete km Pete sio haramu wala shiriki ila pete Sasa watu wadanganywa tuu pete haina uwezo wowote

  • @KudraWanguvu-em1xw
    @KudraWanguvu-em1xw Před 10 dny +1

    Mimi na shangaa sana mnajua mtu anajinasibisha naushekh hamumuiti na kumnasihi akiendelea kukaidi mnamuwajibisha kwanini mashekhe wetu mnashindwa kumuonya kwani anababaisha mara mhadhir , muomba dua, mganga na kujifakhalisha kwa vijimali kufanya mambo ya lia. tumejifunza kutoka kwa Allah kupitia kwa Mtume wetu Muhammad na wema walio tangulia kumtegemea Allah lakini akuja mtu mpuuzi hana dalili ilio thibit ya kusemea uislam kama ana hati miliki ya kubadilisha uislamu namnamuangalia tu anaeneza ushirikina kwa kuwapaka mafuta wasio elewa tauhid pete haina jambo lingine zaidi ya pambo tu hamna bahati wala ulinzi vyote hivyo vinatoka kwa Allah Subhanallah Wataala tuamke tumtegemee Allah tuache matapeli wanao jinasibisha na dini yakimchongo mchongo. Allah atuongoze ktk dini yake Shekhe nakumshukulu kwa kuliongelea hilo ila naomba muliongezee kulisema zaidi na zaidi kwani wanaleta uenyeji ktk dini na UISLAM ni SUNNA na SUNNA ndio UISLAM

  • @FaridaHamadi-p9d
    @FaridaHamadi-p9d Před 12 dny

    Ni kweli, majisifu anawakashifu mashekh wasio na kipato yani daa sio yule wazamini ambae akiingia mskitini itoki saa iz akiingia mskitini watu waondoka aibu sana

  • @baqirmkilindi9369
    @baqirmkilindi9369 Před 17 dny +2

    Soma hiyo
    ان الله ابى ان يجري الأمور الا باسبابها

    • @Faharizuckerberg
      @Faharizuckerberg Před 16 dny +1

      نعم، صحيح أن الله لا يهتم بالمصالح الشخصية

    • @sirlimomari2633
      @sirlimomari2633 Před 13 dny

      نعم، وما قصدك في ذلك

  • @ButoyiRukiya
    @ButoyiRukiya Před 12 dny

    Allahu Akbar mawaidha mazuri saana.

  • @amimwinni4829
    @amimwinni4829 Před 12 dny

    ALLAH AKBAR

  • @ShukranSaidi
    @ShukranSaidi Před 12 dny

    Asant Abdl Shakur Wetu Wape vidongi vyao wa TZ😂😂😂😂

  • @keidykudrat2533
    @keidykudrat2533 Před 17 dny +1

    Kweli

  • @RévérienDusabe-w8z
    @RévérienDusabe-w8z Před 12 dny

    Allah akulipe kila laheri

  • @user-yy2rk4wi3p
    @user-yy2rk4wi3p Před 17 dny +1

    Asalam alaykum warahmatullah wabarakatuh
    Wambie kbs

  • @ibrahimfarha3853
    @ibrahimfarha3853 Před 10 dny

    Allah Akbar ujumbe mzitoooo

  • @sulekhan7119
    @sulekhan7119 Před 16 dny +1

    Hapa duniani kama kuna watu niwanafki sana

  • @hashiru_bayona
    @hashiru_bayona Před 12 dny +1

    Jazaaka llahu khaira sheikh, Allah akuhifadhi

  • @omaar5693
    @omaar5693 Před 17 dny +1

    jibuni kama mwaweza

  • @user-xl3cd6iq2u
    @user-xl3cd6iq2u Před 15 dny +1

    Maisha yaharaka matokeo nihayo

  • @IrankundaNaomie
    @IrankundaNaomie Před dnem

    ❤❤❤❤

  • @wiseman7133
    @wiseman7133 Před 16 dny +1

    Naam

  • @mohammedmussa7378
    @mohammedmussa7378 Před 16 dny +1

    Khaswah

  • @ismailsoud3634
    @ismailsoud3634 Před 17 dny +1

    Swadaktana. Umesema kweli.

  • @amrozwhite1073
    @amrozwhite1073 Před 2 dny

    SASA WW SHEIKH NA WW PIA UNAYO PETE TUELEZE PETE ULIOVAA NA YANINI

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 Před 16 dny +1

    Kwanza nchekee maana sio kwa dongo hilo

  • @drsaeedherbs
    @drsaeedherbs Před 17 dny +1

    Usiyoyajua wachananayo

  • @aishamukandanga6892
    @aishamukandanga6892 Před 5 dny

    Naaam

  • @alphalungele-479
    @alphalungele-479 Před 9 dny

    Sasa Dini aikubali?

  • @hurulaainmalkiaaisha1508

    Naa mbona ww umevaa pete?

  • @SangoAbdallah-cf2ld
    @SangoAbdallah-cf2ld Před 10 dny

    Sheik pete haina matatizo,na kama inamatatizo? Mbona wewe unavaa? Tena istoshe kama kweeli tupe aya moja tu, Mungu kamkataza nabii suleiman kuvaa, kwa sababu pale ndo palokuwa nguvu fulani na uwezo alowezeshwa na Mungu, sasa kama elimu yako ndogo kaa kimya tu

  • @iradukundaideale2673
    @iradukundaideale2673 Před 3 dny

    Rakini chehe naizo Pete munavara siy o nzuri uzo

  • @amrozwhite1073
    @amrozwhite1073 Před 2 dny

    KUMBE NA HUYU ANA PETE 2 TUELEZE PETE ZAKO HIZO ZA NN

  • @drsaeedherbs
    @drsaeedherbs Před 17 dny +1

    Kuwa msomi wa dini sikwamba ndokuwa na elimu ya tiba

    • @negaboy497
      @negaboy497 Před 15 dny

      Watu hawajui kutofautisha kati ya tiba na shirki ndio shida

    • @nibiziasiya-gh3qd
      @nibiziasiya-gh3qd Před 15 dny +1

      Tiba ipi ambao mwenyezimungu amesema mtumieni pete ili mtu apate kutibika ? Acheni ushirikina wa majini ,

    • @nibiziasiya-gh3qd
      @nibiziasiya-gh3qd Před 14 dny

      Tiba kila mtu anaweza kutibu kutokana na karama uliopewa na mugu tiba, haiombi ushirikiano wa majini , hauna jini unaweza kutibu mtu bila usaidizi wa majini na akapona , mimi naweza kumsomea tu mtu maji nikatiya niya nimpa akanywa na akaja akanambia wewe ungeendeleatu kusomey watu , na unawez kuwa unajuwa dawa fulani ile ukimpa mtu anapona, bila jini wala pete , sasa hayo mambo huyo baba anataka kuja kujifananisha na ufalme wa nabii suleiman , apo amepotea , yule alipewa ufleme wakumiliki majini na pete na utajiri mkubwa , kutoka kwa Allah, basi tamaa zakidunia ndio zinawafanya waingie kutafuta pesa za majini, ipo siku mungu atawaaibisha wenye kumshiriikisha Allah na vingine kinyume na yy.

    • @negaboy497
      @negaboy497 Před 14 dny

      @@nibiziasiya-gh3qd Kutumia majini si sawa ila kuna vitu vingi mwenyezimungu ameviumba ni dawa na vinatibu, nachofahamu mimi jini msaada wake unakuwa na maagano ambayo inabidi ukufuru yeye ndio atoe msaada.