Mufti Aingilia Kati Sakata La Kufungwa Kwa Msikiti Kisarawe Afunguka Haya Suala Kufanyiwa Kazi

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 09. 2024
  • QIBLATEIN ONLINE Ni channel ya dini ambayo inajihusisha na kukusanya taarifa za kidini kutoka Tanzania na huripoti matukio yote ya ndani ya Tanzania kila siku kupitia FACEBOOK, INSTAGRAM CZcams @QiblateinOnlineTv)
    🙏🤝Tafadhali🙏Subscribe #qiblateinonlinetv #ili uwe sehemu ya familia hii muhimu.
    INSTAGRAM 👉👉 / qiblatein_online_
    FACEBOOK👉👉 www.facebook.c...
    TIKTOK 👉👉 www.tiktok.com...

Komentáře • 53

  • @user-yy5qf4gz6q
    @user-yy5qf4gz6q Před měsícem +3

    Mashallah mufti kwa hekma na busara zako,dhahir yule mkuu wa wilaya alinikwaza sana

    • @MilloWamilonga-ft8ir
      @MilloWamilonga-ft8ir Před měsícem

      Sasa nini alikukwaza?
      Yule alikuwa sawa bhana coz yeye hakukataza ile madrasa bali alichokikataa ni hali mbaya ya wale wanafunzi kimalazi, ilikuwa kama ghetto tena ghetto ya kishenzi
      Hata yeye mwenyewe kachangia na madrasa safi inajengwa sasa.

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 Před měsícem

      ​@@MilloWamilonga-ft8irhakuwa sawa bali udini umemjaa yule..!

    • @MilloWamilonga-ft8ir
      @MilloWamilonga-ft8ir Před měsícem

      @@hassanmfaume4522 hilo nakataa kabisa
      Kwa mfano wewe uwe DC na ukaikuta hali kama ile nadhani ungelia mchozi, pia ungewashambulia vibaya wale wakubwa wa masjid.
      Ukweli hawakuwa silias kabisa yaani
      Na hata sheikh wa mkoa aliridhika na ujio wa DC coz hata yeye hakujua kinachoendelea
      Pale sio udini mkuu
      Mbona kawashambulia vikali maaskofu au hujaona wewe?

    • @EmmaPonera
      @EmmaPonera Před měsícem

      Amekukwaza nn Kwa serikal ifuate dini au utaratibu na Sheria za nchi

  • @user-lk3qc7vr2n
    @user-lk3qc7vr2n Před měsícem +3

    Masha'Allah Allah akuweke Mufti wetu tunajilazimisha Subra Insha'Allah

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 Před měsícem +3

    Sawa Sheikh wetu Vurugu sio Uislam

  • @Kingstonbagamoyo
    @Kingstonbagamoyo Před měsícem

    Inshallah,bakwata mjenge hiyo madrasa ya kisarawe,,,,mipesa ya aina hyo kwa ukweli ni chap kukusanywa,,,,,tupo ok kuchangia kisarawe madrasa,,,,,amejitahidi sana maalm wa kisarawe,inshallah uislam stand up,,,

  • @user-st3hv8pi9i
    @user-st3hv8pi9i Před měsícem +1

    Me mwenyewe nimeumia sana mkuu kuwaambia wale watoto wanajifunza ugaidi

    • @EliasPaul-qs2ib
      @EliasPaul-qs2ib Před měsícem

      Yaweza kuwa ni kweli

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 Před měsícem

      ​@@EliasPaul-qs2ibkweli itoke wapi nyiye makafiri mnapenda sana kuwafuata fuata waislamu na dini yetu tukufu hii wao hawana dini mungu wala mtume wanachukua mzungu uko ati wanamfanya mtume..!

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw Před měsícem +4

    Serikali iwe makini isije ikachangia kuharibika kwa vijana wetu sie tuna uchungu na watoto wetu kuliko serikali Kwa nn hamuendi kufunga mahotel ya mashoga na mwayajua yapo mnafunga msikiti watu wanasoma dini yao

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa Před měsícem

      Mmezoea vurugu tu,hizo hotel za mashoga umeziona wapi,kama ni ushoga upo siku nyingi sana hasa mikoa ya pwani.Kila mahali dini yenu ndiyo chanzo cha machafuko,nenda somalia,Mali, Afghanistan, Pakistan, Nigeria nk nendeni mkajifunze kuishi kwa utulivu kama wahindu, wakristo, wabudha nk kwanini iwe ninyi kila siku

    • @fettiemaganza1484
      @fettiemaganza1484 Před měsícem

      Ndugu yangu uliona yale mazingira lkn??? Hta kma kuna malezi ya kiimani ila sio mazingira rafiki kwa wtt

    • @MilloWamilonga-ft8ir
      @MilloWamilonga-ft8ir Před měsícem

      Mjinga sana wewe bwege, kilichofungwa sio msikiti bali ile madrasa ambayo ilikuwa sawa au zaidi ya ghetto la ovyo.
      Vijana waliishi kama watumwa bhana.
      Sasa kuna kosa gani serikali kuingilia suala PA wananchi wake ambao walikuwa ktk taharuki ya maisha mabovu?

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 Před měsícem

      ​@@FridayMwassawewe acha kupotosha watu kama mwendazake 😅😅😅

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 Před měsícem

      ​@@MilloWamilonga-ft8irhivi kwanini jambo la waislamu mnapenda makafiri kuingilia mbona hamuendi kanisani huko kuwafukuza wanaosoma Sunday school mkawapa nembo ya Christian fundamental..!

  • @salummussa9871
    @salummussa9871 Před měsícem +1

    Pele limepata wakunaji yetu macho.

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw Před měsícem +3

    Mm naona angewataka warekebishe changamoto zilizopo kisha vijana waendelee kusoma dini yao sasa hv amekatishia masomo wataenda kuharibika huko mitaani na ndio wanavyotaka kama hawataki watoto waharibike wange waacha wakaendelea kusoma sisi waisilamu kulala chini na kusoma kitabu cha allaah ni ibada pia na kujidhalilisha kwa allaah ndio maumbile yetu waisilamu

  • @MaulidiJongo
    @MaulidiJongo Před měsícem

    Yan tok niumbwe Leo kdg ila mwisho 😢

  • @KhalidAlly-je8ky
    @KhalidAlly-je8ky Před měsícem

    Duh

  • @joachimkalungwana8654
    @joachimkalungwana8654 Před měsícem +1

    Sheikh kwani mazingira Yale kweli yakusomea kwa watoto wenye umri ule?

    • @fettiemaganza1484
      @fettiemaganza1484 Před měsícem

      Mm muislam kweli lkn mwanangu hawezi kwenda kuishi ktk yale mazingira

  • @user-gn9rh7sw7r
    @user-gn9rh7sw7r Před měsícem +3

    Tusikurupuke kulaumu waislam yale mazingira ni hatarishi kwa watoto kuna walioona wakanyamaza DC magoti kawatoa ukungu machoni,mashekh tembeleeni madras,vituo sio kukaa misikitini tu kagueni mbaini mapungufu na kuyasahihisha😊

    • @hajikatanje5961
      @hajikatanje5961 Před měsícem

      Waislamu wote tulio soma walio na vyeo na tusie kuwa na vyeo tumesoma mazingira hayo wewe tangia uzaliwe ushawahi sikiaTV au redio ikitangaza serikali imejenga madrasa? sisi tuna wachora sikuyenu inafika

  • @ambokileasheengai1140
    @ambokileasheengai1140 Před měsícem +2

    Ila Mufti ukemee hii kwa jinsi tulivyoona wale watoto wanavyposhi pale je wa kwako wanaweza ishi vile?mbona hukemei unaovuta maneno mengi tu,,,mkuu wa wilaya hajafunga msikiti ni ile mlundikano pale watoto mazingira ni hatarishi

    • @hajimgwami5224
      @hajimgwami5224 Před měsícem

      saa kwani kwani yeye kakataa au karuhusu au unadhani alikua anajua kuna hali ile, ni jambo liledundulika linafanyiwa kazi na tayar serikal imetoa cement itajengwa mabweni kwa watoto, sio vizuri kumuattack muft kwa lugha chafu

    • @ambokileasheengai1140
      @ambokileasheengai1140 Před měsícem

      @@hajimgwami5224 Sikiza kwanza sija muattack mufti kwa lugha chafu...pili mm ni mkristo mila nimesoma shule za bakwata kinondoni muslim form mpaka six..mwaka 91 mpaka 98..nimeongelea Mufti aliona pia kwenye mtandao kama mimi akasema msikiti umefungwa ,,hapana mkuu wa wilaya hakufunga masikiti,,,ila ni ile madrassa ya mabweni ya wale watoto hayako ktkt mazingira salama...jitahidi kusoma vizuri,,,,,ukiwa kiongozi ni haki yako kushauri ,kukemea na kuonya pia na kufundisha pia,,kwahyo mimi nilitegemea akionnya lile lisifanyike sehemu zingine,,,je wewe mtoto wako aliishi pale?

    • @mangulimanguli3974
      @mangulimanguli3974 Před měsícem

      Wakemee na shule za kata maana mazingira mabovu sana

    • @ambokileasheengai1140
      @ambokileasheengai1140 Před měsícem

      @@mangulimanguli3974 Angalia vizuri ile video..thn ufananishe na shule za kata ni shule sio msikiti au kanisa kulaza watu ndani...tuwe na subira...nafikiri watu watajitoa pale wapate mabweni na sehemu salama kwa wale watoto ni wadogo pia...

    • @annamwakibinga527
      @annamwakibinga527 Před měsícem

      Kabisa

  • @ZainabuBakari-yb4vj
    @ZainabuBakari-yb4vj Před měsícem

    Si kweli mufti,unaweza kutukanwa,halafu unapewa pipi,

  • @BilalMuhammad-jt6sq
    @BilalMuhammad-jt6sq Před měsícem

    ❤❤❤

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před měsícem

    Sasa kuwajaza watoto wengi kiasi hicho wakubwa na wadogo tena wakiume watajamiana tu hilo kosa kubwa sa hiyo yote ni ktaka misaada tu kwa kutumia hao watoto dini zote sasa hivi zimekuwa zinamazingaombwe ya ajabu kila dhehebu ziko kimaslahi zaidi

  • @edwardleonard7402
    @edwardleonard7402 Před měsícem

    Waislam bhaa wanajikutaga kwamba wao ndo wanahaki sanaaa eti wasifanye fujo jaribuni siku kufanya fujo afu muone maagizo yametolewa na mkuu wa wilaya Sasa apo fujo sijui mtulie yanatoka wapi Tena kawa ulizeni uamusho wako wapi saiv

    • @hajikatanje5961
      @hajikatanje5961 Před měsícem

      Wewe nyamaza huna unalo lijuwa sasa shanga ivyo ivyo fujo inakuwaje ipo siku utajikuta upo ukimbizini kwa ujinga wa mtu mmoja hakuna binadamu mdogo ktk duni kwasababu Allah kamuumba na ufahamu

  • @stedeteam531
    @stedeteam531 Před měsícem

    HEBU WAENDE SHULE ZA PRIYMARY
    KATA WAONE VYOO VILIVYO
    KIUKWELI MASHEIKH WOTE WAMEPITIA MAZINGIRA YA KULALA MSKTN KWA AJILI YA KUSOMA DINI
    PIA NI ASLI YA KUSOMA UISLAAM TANGIA
    MASWAHABA
    AKINA ABUU HURAYRA
    TUACHENI MAZINGIRA YA KUWALEA HAWA WATOTO NI MAGUMU SANA
    MWENYE KUINGIA MSKTN NI SEHEMU YA AMANI

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw Před měsícem

    Umeongea sahihi mufti wetu tunakuunga mkono sie masalaf

    • @FeisalDoctor-wr8ws
      @FeisalDoctor-wr8ws Před měsícem

      Kweny uislam hakuna madheheb msijikweze cijui salafi ahlu sunna n mengineo mnaleta tofaut katika dini muislam w kweli ni yule anaefuata qur an n mafundisho y mtume acheni kujigawa gawa ukiulizwa mtum alikuw kundi gan hun jibu.

  • @lifardKombolela
    @lifardKombolela Před měsícem

    wew pia nitatizo sisi waislam kuzurumika akika mungu atatunusuru pasina wewe

    • @walker-96
      @walker-96 Před měsícem

      Dhurma gani wewe......
      Watu mia chumba kimoja basi wapunguze waende misikiti mingine

  • @user-vr6lu8tq1n
    @user-vr6lu8tq1n Před měsícem +1

    Mufuti jitahidi kumaliza matatizo ya wanao chukia wisilamu

  • @josegambi7149
    @josegambi7149 Před měsícem

    Uje uwaelimishe na wa huku pemba

  • @HijaSaid-xd7fg
    @HijaSaid-xd7fg Před měsícem

    Mtengeneze matatizo, halafu mjitokeze kutatua