Ikiwa kuna haramu na halali imeandikwa kwa kuruani mpaka kuhusu ushirikina na majini na mashetani na binadamu wanyama wadudu na vinginevyo vyote viliumbwa na allah tuu.
Katika masuala ya kisheria na si mambo ya mubahaat au mapambo na Mtume hasadikishi yaani lazima afanye yote aliyafamya nabii Suleiman. Yaani kusadikisha si lazima afuate. Na mambo ya Nabii suleiman alipewa mambo yanayomuhusu yeye tu
Hakika shekh wetu kishk Allah akujaalie mwisho mwema maana ameifundisha jamii ya kiislam Mambo mengi Sana
Jazakalau khayra shekh, kishk Allah akujaze kher
Jazakallahu khyrañ ....bora umetia neno shaykh naamini wengi tulikuwa twangoja taalik yako ktk hili janga
Aslm alaykum ya sheikh, wallah, tumeshukuru sana kwa kuwazindua wakislam, Allah akutilie Barka kwenye ilimu ya dini
Nakupenda Kwa ajil ya Allah ❤❤❤
Usichoke shekh kishik ukiwa Allah amekupa pumzi , na uhai itumikie dini hii Allah mwenye sifa zote hakika atakunusuru na Adhabu zake
shukrain sheikh wetu kwa kutufuza ALHAMDULILA
ALLAH azidi kuwapa afya njema mashekh wetu ALLAH azidi kuwa weka THUMMA AMIN AMIN 🤲🏼
Allah akujalie umri mrefu wenye manufaa kwako skekhe kishk(mhadhir wa kimataifa)
Na ndio maana naupenda uislamu kila kitu kina asli yake na jibu lake.Allah barik
Mashaallah Allah Akuhifadhi shekh wetu
Aslam alykum cheikh wangu. Aksanti sana kwa mafunzo haho. Mungu wangu akulipe kila laheri.
Waleykum salam warahmatullah wabarakatuh umesemakweli kipenzichetu dr sule hana elim yadini ila anaelim yakuwatumikisa majin napete ambavyo viakupelekea kuamchawi kwakifupi niwachaw
Walkum salama warahmatullah wabarakatuh karma kweli
Jazakallah khayl
Shukran sheikh wetu
Mashaallah tabarakaallah tunaelimika
🎉🎉🎉 mashaalaah
Alhamdulillah
Kuvurugwa kwa watanzania kuhusu pete za majini; sababu ni kuwa ,1 imani ndogo
2 ushabiki
3 umaskini kati ya raia wengi ambao wamekata tamaa.
Shukran
Asalam alaykum 🙏🙏💯
S,a,w❤❤❤❤
Ikiwa kuna haramu na halali imeandikwa kwa kuruani mpaka kuhusu ushirikina na majini na mashetani na binadamu wanyama wadudu na vinginevyo vyote viliumbwa na allah tuu.
Wabie hao wafunga majini halafu wanapotowa watu kwatama zao naja walozi weka bele halafu wakajifanya mashekhe wanaijuwa ndini
Huyu Sasa ndyo shekh na sio sule mtumiya majini
Shida hap nilivy elewa ni mtume je wengine sio manabii Kila mtume amkuja kisadikish yalio nyuma au sio hivy ,
Katika masuala ya kisheria na si mambo ya mubahaat au mapambo na Mtume hasadikishi yaani lazima afanye yote aliyafamya nabii Suleiman.
Yaani kusadikisha si lazima afuate.
Na mambo ya Nabii suleiman alipewa mambo yanayomuhusu yeye tu
Tupe hadithi sahihi inayoonyesha kuwa Mtume alivaa pete mkono wa kushoto.
Nyie majadida bwana
Ivo vitabu alivotaja hujasikia au
Yaani nyie masalafia jadida kazi yenu ubishii tuuu
Nabi sulemani petezake zilikuwa zanini?
Kigezo chetu waislamu ni Mtume Muhammad.
Kuna mambo yalikuwa halali kwa uma zilizopita lakini ikawa haramu kwa zama za mtume saw and vice versa
Mtajijua Wenyewe bora tushwali tu?
Kusikiliza napo ni moja wapo ya elimu
Soma dini yako
Tumechoka sasa
Mhhh.toa dalili kuwa chafya ya kujitakia harehemew...
Mtajiju
Huyu nae vipi
Swali langu la kijingajinga ni hili.
Yaani hii kuvaa pete ni katika dini?
Au tu ni uzushi wenu?
C ktk dini c umemskia xhkh ntumie altumia km muhur