WATANZANIA WAMEVURUGWA NA MASUALA YA PETE ZA MAJINI, ELIMU KUHUSU PETE HAWANA SHEIKH NURDIN KISHK

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 09. 2024
  • Tufuatilie mitaondao ya kijamii;-
    Facebook: / mzeewakhidma
    Instagram: / khidma_tv
    Tiktok: / khidmatv1
    CZcams: / @khidmaonlinetv350

Komentáře • 41

  • @RajabuLabu
    @RajabuLabu Před 9 dny

    Hakika shekh wetu kishk Allah akujaalie mwisho mwema maana ameifundisha jamii ya kiislam Mambo mengi Sana

  • @RajabuLabu
    @RajabuLabu Před 9 dny

    Jazakalau khayra shekh, kishk Allah akujaze kher

  • @Shamsudeen-h5o
    @Shamsudeen-h5o Před měsícem +6

    Jazakallahu khyrañ ....bora umetia neno shaykh naamini wengi tulikuwa twangoja taalik yako ktk hili janga

  • @FadhilChai
    @FadhilChai Před měsícem +4

    Aslm alaykum ya sheikh, wallah, tumeshukuru sana kwa kuwazindua wakislam, Allah akutilie Barka kwenye ilimu ya dini

  • @user-wr5ce6lu8q
    @user-wr5ce6lu8q Před měsícem +1

    Nakupenda Kwa ajil ya Allah ❤❤❤

  • @RajabuLabu
    @RajabuLabu Před 9 dny

    Usichoke shekh kishik ukiwa Allah amekupa pumzi , na uhai itumikie dini hii Allah mwenye sifa zote hakika atakunusuru na Adhabu zake

  • @faizanassor6336
    @faizanassor6336 Před měsícem +2

    shukrain sheikh wetu kwa kutufuza ALHAMDULILA
    ALLAH azidi kuwapa afya njema mashekh wetu ALLAH azidi kuwa weka THUMMA AMIN AMIN 🤲🏼

  • @AbedPonda
    @AbedPonda Před měsícem +1

    Allah akujalie umri mrefu wenye manufaa kwako skekhe kishk(mhadhir wa kimataifa)

  • @user-mt4sd6cj5y
    @user-mt4sd6cj5y Před měsícem

    Na ndio maana naupenda uislamu kila kitu kina asli yake na jibu lake.Allah barik

  • @khalfaankauga294
    @khalfaankauga294 Před měsícem +1

    Mashaallah Allah Akuhifadhi shekh wetu

  • @RAMATHANI-eu5dk
    @RAMATHANI-eu5dk Před měsícem

    Aslam alykum cheikh wangu. Aksanti sana kwa mafunzo haho. Mungu wangu akulipe kila laheri.

  • @user-xb6tr5vq4b
    @user-xb6tr5vq4b Před měsícem +1

    Waleykum salam warahmatullah wabarakatuh umesemakweli kipenzichetu dr sule hana elim yadini ila anaelim yakuwatumikisa majin napete ambavyo viakupelekea kuamchawi kwakifupi niwachaw

  • @user-yy2rk4wi3p
    @user-yy2rk4wi3p Před 26 dny

    Walkum salama warahmatullah wabarakatuh karma kweli

  • @BadruHisha
    @BadruHisha Před měsícem

    Jazakallah khayl

  • @NiyonkuruYazidi
    @NiyonkuruYazidi Před měsícem

    Shukran sheikh wetu

  • @MwanatumuJumaa-rj4fg
    @MwanatumuJumaa-rj4fg Před měsícem

    Mashaallah tabarakaallah tunaelimika

  • @AmadeSalimoSalimo-gw8ij
    @AmadeSalimoSalimo-gw8ij Před měsícem +1

    🎉🎉🎉 mashaalaah

  • @Ayuminchasi
    @Ayuminchasi Před měsícem

    Alhamdulillah

  • @rafikindugu4674
    @rafikindugu4674 Před měsícem +1

    Kuvurugwa kwa watanzania kuhusu pete za majini; sababu ni kuwa ,1 imani ndogo
    2 ushabiki
    3 umaskini kati ya raia wengi ambao wamekata tamaa.

  • @user-fc4vl8zi4r
    @user-fc4vl8zi4r Před měsícem

    Shukran

  • @user-rk1cp5qs9d
    @user-rk1cp5qs9d Před měsícem

    Asalam alaykum 🙏🙏💯

  • @user-fd5pb1dt4j
    @user-fd5pb1dt4j Před měsícem

    S,a,w❤❤❤❤

  • @user-cd9nk8yz2h
    @user-cd9nk8yz2h Před měsícem +1

    Ikiwa kuna haramu na halali imeandikwa kwa kuruani mpaka kuhusu ushirikina na majini na mashetani na binadamu wanyama wadudu na vinginevyo vyote viliumbwa na allah tuu.

  • @ruqiyanasir7141
    @ruqiyanasir7141 Před měsícem

    Wabie hao wafunga majini halafu wanapotowa watu kwatama zao naja walozi weka bele halafu wakajifanya mashekhe wanaijuwa ndini

  • @zuhuraMangapi
    @zuhuraMangapi Před měsícem +1

    Huyu Sasa ndyo shekh na sio sule mtumiya majini

  • @user-oo7yr5zq6g
    @user-oo7yr5zq6g Před měsícem +1

    Shida hap nilivy elewa ni mtume je wengine sio manabii Kila mtume amkuja kisadikish yalio nyuma au sio hivy ,

    • @universitylink
      @universitylink Před měsícem

      Katika masuala ya kisheria na si mambo ya mubahaat au mapambo na Mtume hasadikishi yaani lazima afanye yote aliyafamya nabii Suleiman.
      Yaani kusadikisha si lazima afuate.
      Na mambo ya Nabii suleiman alipewa mambo yanayomuhusu yeye tu

  • @baqirmkilindi9369
    @baqirmkilindi9369 Před měsícem

    Tupe hadithi sahihi inayoonyesha kuwa Mtume alivaa pete mkono wa kushoto.

    • @pavillioncry5241
      @pavillioncry5241 Před měsícem +2

      Nyie majadida bwana
      Ivo vitabu alivotaja hujasikia au
      Yaani nyie masalafia jadida kazi yenu ubishii tuuu

  • @fauznuhu9981
    @fauznuhu9981 Před měsícem +2

    Nabi sulemani petezake zilikuwa zanini?

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 Před měsícem +2

      Kigezo chetu waislamu ni Mtume Muhammad.
      Kuna mambo yalikuwa halali kwa uma zilizopita lakini ikawa haramu kwa zama za mtume saw and vice versa

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 Před měsícem +1

    Mtajijua Wenyewe bora tushwali tu?

  • @baqirmkilindi9369
    @baqirmkilindi9369 Před měsícem

    Mhhh.toa dalili kuwa chafya ya kujitakia harehemew...

  • @HemedyKhamisi
    @HemedyKhamisi Před měsícem

    Mtajiju

  • @BushDoctor-dw8el
    @BushDoctor-dw8el Před měsícem

    Swali langu la kijingajinga ni hili.
    Yaani hii kuvaa pete ni katika dini?
    Au tu ni uzushi wenu?

    • @salamaalladini
      @salamaalladini Před měsícem

      C ktk dini c umemskia xhkh ntumie altumia km muhur