"MNAZULUMU MPAKA MAKABURI,TUAMBIE ILE NI HOSPTAL AU GUEST HOUSE"MAKONDA AGEUKA MBOGO BILA HURUMA

Sdílet
Vložit

Komentáře • 99

  • @akimmbwego797
    @akimmbwego797 Před 6 měsíci +11

    AIBU SANA
    Big up JPM SON❤

  • @user-eg4hk9pg5o
    @user-eg4hk9pg5o Před 6 měsíci +7

    Hongera kaka yangu Makonda Mwenyezi Mungu azidi kukutunza hakika wewe ndio mtetezi wa wanyonge

  • @nicksonzimbeiya
    @nicksonzimbeiya Před 6 měsíci +10

    Kaka makonda Kama kuchkua fom ya urais chkua una mpinzan Kaka unaweza njia magufuli vile vile una baya

  • @gladistaemanueliy6336
    @gladistaemanueliy6336 Před 5 měsíci +3

    Mimi nimeona tz watu wawili tu waziri mkuu na makonda nawapenda sana msaidieni mama samia

  • @chire4574
    @chire4574 Před 6 měsíci +17

    Makonda ndo mwanasiasa maarufu kwa sasa

  • @ezrayohana3541
    @ezrayohana3541 Před 6 měsíci +9

    Uyu Mkuu tumuombee wasije wakamuua kama mzee wetu. Wezi hawapendi mambo haya

  • @dolomentfrance418
    @dolomentfrance418 Před 6 měsíci +11

    Baada ya SAMIA NI MAKONDA

    • @user-bt3wt6nt4z
      @user-bt3wt6nt4z Před 5 měsíci

      Makonda woyooooo Mungu akusaidie kakaaah😢😂😂😂❤❤❤

  • @williamkazi4116
    @williamkazi4116 Před 6 měsíci +2

    Hongera mh rais samia Makonda ni cd inayochezeka

  • @user-rh9co7ws2b
    @user-rh9co7ws2b Před 5 měsíci +2

    Makonda wewe ni????magufuli wapili💪jembe

  • @machoguhameri7757
    @machoguhameri7757 Před 6 měsíci +4

    Nchi hii inaumwa sana inahitaji tiba

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 Před 5 měsíci +3

    Mmmm muongo jamni mungu anakuona toka mwaka 2020

  • @yeshrunmimo-ph6dx
    @yeshrunmimo-ph6dx Před 6 měsíci +5

    Tunakuombea makonda

  • @user-bv1wt9ut8t
    @user-bv1wt9ut8t Před 6 měsíci +7

    Makonda katibu wetu mwenezi unafanyakazi sanasana MUNGU akubarik

  • @menyajoseph9729
    @menyajoseph9729 Před 5 měsíci

    i salute you bro makonda please take care of your life, my next president of republic of Tanzania makondaaaaaa

  • @apostelgodwin
    @apostelgodwin Před měsícem

    Makonda uishi milele nakuombea kaka Yangu piga kaz wala usiofie wanafiki❤

  • @issaabdallah7660
    @issaabdallah7660 Před 6 měsíci +3

    Hii nchi inamatatizo makubwa sana kwenye ardhj

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 Před 6 měsíci +2

    POLE SANA MDOGO WANGU MAKONDA, MUNGU AKUPE NGUVU.

  • @GraceMhoja-zc7yg
    @GraceMhoja-zc7yg Před 5 měsíci +1

    Uncle magu kufa mengi yanatokea mhhhhhhhh mungu tusaidie

  • @coolruler6820
    @coolruler6820 Před 6 měsíci +6

    😢😢😢😢 muenezi anapaswa kutembea na fimbo,,,,kuna watu wanastahili adhabu mbele ya hadhara.

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 Před 5 měsíci +3

    Tatizo watendaji aliowaweka sio taisi

  • @SurprisedAtom-vp5qe
    @SurprisedAtom-vp5qe Před 6 měsíci +3

    Makonda njoo kiteto baba

  • @user-su6yd2lt5f
    @user-su6yd2lt5f Před 5 měsíci +1

    Anajitambiua sana kaks uyo. Safi sana. Kula buku

  • @user-xx8jx6tb7d
    @user-xx8jx6tb7d Před 5 měsíci

    Hongera kaka kwa uongoz mzur yaan mtu anaulzwa maswal had anashindwa kujib, yaan kama viongoz wote wakiwa hiv wazulumaj watanyooka tu

  • @moiseszachariasmoisesmoises
    @moiseszachariasmoisesmoises Před 4 měsíci

    mwenyekiti wew kama magumu❤unastair sifa

  • @magangiralucas6516
    @magangiralucas6516 Před 5 měsíci

    Awamajambazi mama wanamualibia nnchi sana kuchukia utawala ngaz ya juu kumbe awa viraza wa chini wanamchafulia

  • @user-hv7pw6ih5v
    @user-hv7pw6ih5v Před 5 měsíci

    Mheshimiwa Makonda Mungu akubariki sana tetea walala hoi wapo viongozi wa CCM ni wezi kwa nini usiwabananishe acha kuwonea aibu kuna viongozi wa chama cha CCM ni Chawa nguoni

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 Před 6 měsíci +4

    Mungu patie makonda msimamizi bora ww ndiwe HURUMA ya waliyo onewa

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 Před 6 měsíci

      Ni maigizo na kampeni tu kwani si rahisi kutatua kero siku moja jukwaani mengine ni sugu mengine yako mahakamani. Kama ni utawala bora kwa mini kero zisitatuliwe na wahusika kama serikali za mitaa na mahakama

    • @jenyyusuph4973
      @jenyyusuph4973 Před 5 měsíci

      @@hashimchaoga9566 serikali za mitaa tatizo Hawana karama ya kutumikia watu makonda anayo karama ya kutumikia

  • @romanusnjovu6845
    @romanusnjovu6845 Před 6 měsíci +3

    Kama namwona magufuli vile

  • @alimasha-qh3vn
    @alimasha-qh3vn Před 5 měsíci

    Kazi nzuri bro,,ww ndie mrithi wa magufuli

  • @user-ro2sv3hv6w
    @user-ro2sv3hv6w Před 5 měsíci

    Hongera sana makonda

  • @kashindesalha8107
    @kashindesalha8107 Před 5 měsíci +1

    Hahaha😂makaburi haaa mnashiiiida nyie❤

  • @user-cj2iq1qv6n
    @user-cj2iq1qv6n Před 5 měsíci

    Makonda Mdogo wangu Kamwambie Rais samia Nchi Hii Inaitaji Katiba Mpya C VINGINEVYO

  • @MohamedMrija
    @MohamedMrija Před 15 dny

    Saluti makonda

  • @pascarmwatosya5855
    @pascarmwatosya5855 Před 6 měsíci +1

    Watuuu weweeee,Hii ndio Tanzania Eee mungu ee mungu nyie muogopeni mungu Haya yoote sababu ni kupita bila kupingwa,Acha onyeshe tuone panapovuja

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 Před 5 měsíci +4

    Hakika hii nchi inahitaji makonda wengi

    • @GraceMhoja-zc7yg
      @GraceMhoja-zc7yg Před 5 měsíci

      Mhhhhhhhh akigombea tu tutaambiwa ana matatzo ya moyo mhhhhhhhh RIP JPM

    • @user-bt3wt6nt4z
      @user-bt3wt6nt4z Před 5 měsíci

      We ndo unae just hii nchi ukipata Cha thamani hats hakidum daaaaa😢😢😢😢

  • @msafiripascal2757
    @msafiripascal2757 Před 5 měsíci

    makonda wewe ni sawasawa na yesu ....umejitosa msalabani kwajili yakuwahokowa wanyonge

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 Před 6 měsíci +1

    PESA HIYO , HAO NDO VIONGOZI NA WASOMI WA TANZANIA.NI WAZULUMAJI NA WANYANGANYI WAKUBWA.

  • @MarthaTemba
    @MarthaTemba Před 2 měsíci

    Me nilikuwa simuelewagi makonda sasa namuelewa kweli kweli utabarikiwa kwa hawa wanyonge

  • @edrisalusonge4141
    @edrisalusonge4141 Před měsícem

    Mama wapige spana wakuu wa mikoa wako wamelala sana

  • @pascarmwatosya5855
    @pascarmwatosya5855 Před 6 měsíci +1

    Duuu this is Tanzania,

  • @user-zt4ih3bq8u
    @user-zt4ih3bq8u Před 5 měsíci

    Safi sana

  • @ramadhanisalum3898
    @ramadhanisalum3898 Před 5 měsíci

    Kuna watu hawapendi kbc iki anachofanya Uyu mwenezi walaji ni wengi sana ongera sana makonda mungu Ndio kinga Yako watu wana roho mbaya sana

  • @Omarjumanne-zm9zh
    @Omarjumanne-zm9zh Před 6 měsíci +1

    Hatuna viongozi mikoani wala wilayani hata kata maana yake maana yake serlkali yote ipangwe upya hilo litakarofuata jueni laja

  • @user-jz6dd8cj8s
    @user-jz6dd8cj8s Před 5 měsíci

    Fanya hayo in deply cos kuna baadhi ya wasomi katika nchi hii hawa utu bali ubinadamu, haipendezi, from mwanza ukerewe

  • @jamesjuma1445
    @jamesjuma1445 Před 3 měsíci

    Napenda kweli

  • @ezrayohana3541
    @ezrayohana3541 Před 6 měsíci +1

    Hizo huduma mnazotoa wananchi hawazijui ni zipi

  • @magangiralucas6516
    @magangiralucas6516 Před 5 měsíci

    Aisee noma hawa ndio mabeberu wakibongo

  • @user-py8ol3zd2y
    @user-py8ol3zd2y Před 4 měsíci

    Dah kweli lazima wasikupende

  • @Omarjumanne-zm9zh
    @Omarjumanne-zm9zh Před 6 měsíci +1

    Wakuu was mikoa na wilaya hawfanyi kazi na hawana maa.muzi hawataki au hawajiamini au hawajuianukumu yao shida

  • @user-pz7zi2bf1w
    @user-pz7zi2bf1w Před 6 měsíci +1

    Hayo yote mmeyasababisha haya ni ya ccm mnawajingaishs uma

  • @josephjulio6112
    @josephjulio6112 Před 5 měsíci

    Tuandamana dunia nzima makonda uchukue fom

  • @ustadhtaqwa8868
    @ustadhtaqwa8868 Před 6 měsíci +1

    Ulijisoga na malaa

  • @JamesNackor-xx8og
    @JamesNackor-xx8og Před 5 měsíci

    Tunajua uongozi ni kazi nzito lakini makonda unajua maumivu ya wananchi ,hiyo ndio maana halisi ya kiongozi .hakika tunajivunia

  • @sadickmasoudi1689
    @sadickmasoudi1689 Před 5 měsíci +1

    😢

  • @user-fq7sy4lo9d
    @user-fq7sy4lo9d Před 5 měsíci

    Mwenez wetu wa nec na itakadi taifa kaka makonda unaupiga mwingi

  • @SadaKigwangala
    @SadaKigwangala Před měsícem

    Makabuli sio yake na wale sio ndugu zake mnashida nyie😂😂😂😂😂😂😂

  • @DenisMwanawane-of2bg
    @DenisMwanawane-of2bg Před 5 měsíci

    Makonda mungu akupe afya njema njoo mkoa wa pwani uone sebene la aridhi ndio utakubali matokeo bila kupenda

  • @barakamanga5502
    @barakamanga5502 Před 5 měsíci

    Hapa najifunza kuwa ccm itaelewa kuwa watu wanapi leta mining'ono kuwa serikal mbaya ni hapo, kuwa walio pewa mamlaka wana haribu serikali yetu ya ccm.

  • @FredyObed
    @FredyObed Před 5 měsíci

    Mmmmh hii nchi ngumu

  • @stevenemwakasimba-pt8er
    @stevenemwakasimba-pt8er Před 5 měsíci

    Huyu kijana tafadhari mpeni nafasi awatumikie wananchi anafaa kabisa kua kiongozi wawananchi ako na uwezo huo mpeni hata uwenyekiti

  • @mwandisimfukwe326
    @mwandisimfukwe326 Před 5 měsíci

    mama kachanga karata zake vyemaaa

  • @AmosJuma-wp2pe
    @AmosJuma-wp2pe Před 5 měsíci

    Mimi nilikuwa chadema ila kila nikiona chadema naona kama hawana ujasili kama makoda kwaiyoo makoda kama ni urais chukuwa baba

  • @ngossomahenge3500
    @ngossomahenge3500 Před 6 měsíci +2

    Mama yuko kazini, makonda oyeeeee wanao kuujumu janwali makamba.. mzee kinana nape na uyee mzee kikwete. Mzee makamba hao niadui watanzania

  • @user-og9fs6dc8o
    @user-og9fs6dc8o Před 4 měsíci

    Mijambazi ya ccm hiyo hiking chama cha kipumbavu sana

  • @LebahatiSongori
    @LebahatiSongori Před 5 měsíci

    Simba na azam

  • @aminaosman3315
    @aminaosman3315 Před 5 měsíci

    ,mahakama Tanzania NI tatizo ndio inayoongoza kudhulumu wanyongekama hapa tanga mahakama imempoka haki yake mjane mnyonge haki

  • @user-wo8ej8kg5l
    @user-wo8ej8kg5l Před 5 měsíci

    mwana malundi

  • @user-ut3gf1tg2n
    @user-ut3gf1tg2n Před 5 měsíci

    Yan wanae shida sio kidogo

  • @ImaniMalekela
    @ImaniMalekela Před 4 měsíci

    Hawa viongozi tunao wataka uje hata huko ismani

  • @alwatanalgilgilan-y3078
    @alwatanalgilgilan-y3078 Před 5 měsíci

    Makonda ni mpuuzi,kesi iko mahakamani usiingilieee,jua mipaka yako

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 Před 5 měsíci

    Mahakaman kwenyewe rushwa tupu serikali ya saizi shida tupu

  • @daudimwita-bk6mg
    @daudimwita-bk6mg Před 5 měsíci

    Sa jaman mbona watanzania niwanatabu

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 Před 5 měsíci

    Angaria hata sura yake ukibaka mtupu

  • @sungisungi6589
    @sungisungi6589 Před 5 měsíci

    Wafanyakaz wa serikal

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 Před 5 měsíci

    Tumuombee makonda wasimuue kama magufuri

  • @mudhihirugara8845
    @mudhihirugara8845 Před 4 měsíci

    Kamani aibusana kwaserekari

  • @user-ig4in5ut9k
    @user-ig4in5ut9k Před 4 měsíci

    C makosa yao wanafata useless kila mbuzi ale kwa useful wa kama yake

  • @maulidasaa9407
    @maulidasaa9407 Před 5 měsíci

    Hii yote ni kampeni ya 2025

  • @GraceMhoja-zc7yg
    @GraceMhoja-zc7yg Před 5 měsíci

    Makonda ugombee mwakani

  • @SAIDIMUKSIN-iy2op
    @SAIDIMUKSIN-iy2op Před 6 měsíci +2

    Aibu tupu

  • @hamisimsosi6237
    @hamisimsosi6237 Před 5 měsíci +1

    Wakusikilize ujinga huyo ni muwongo mkubwa 😅😅😅😅😅😭😭😭😭😭😭😭

  • @user-gt2ic6uq6p
    @user-gt2ic6uq6p Před 5 měsíci +2

    Sasa nimegundua tatizo sio raisi Tatizo ni watendaji wake ambao ni watu wakaida ndio shidaa ise

  • @user-og9fs6dc8o
    @user-og9fs6dc8o Před 4 měsíci

    Upumbavu mtupu hiki chama tukitowe madarakani

  • @goodluckswai7496
    @goodluckswai7496 Před 6 měsíci +1

    Usanii mtupu

  • @kassimmuktarymurji4242
    @kassimmuktarymurji4242 Před 5 měsíci

    Mhh hii dunia tunapita tutacha kila kitu,Makonda pambana kwaajili ya haki za wanyonge

  • @zawadisisto8188
    @zawadisisto8188 Před 5 měsíci

    Kumbe hadi wa ccm nao wanadeseka😮😮

  • @MarthaTemba
    @MarthaTemba Před 2 měsíci

    Heeeee ardhi mnasema wachaga kumbe ni makabila yote muache basi

  • @cosmasmlyuka4727
    @cosmasmlyuka4727 Před 5 měsíci +1

    😢