Mheshimiwa Makonda Mungu akubariki sana tetea walala hoi wapo viongozi wa CCM ni wezi kwa nini usiwabananishe acha kuwonea aibu kuna viongozi wa chama cha CCM ni Chawa nguoni
Ni maigizo na kampeni tu kwani si rahisi kutatua kero siku moja jukwaani mengine ni sugu mengine yako mahakamani. Kama ni utawala bora kwa mini kero zisitatuliwe na wahusika kama serikali za mitaa na mahakama
Hapa najifunza kuwa ccm itaelewa kuwa watu wanapi leta mining'ono kuwa serikal mbaya ni hapo, kuwa walio pewa mamlaka wana haribu serikali yetu ya ccm.
AIBU SANA
Big up JPM SON❤
Hongera kaka yangu Makonda Mwenyezi Mungu azidi kukutunza hakika wewe ndio mtetezi wa wanyonge
Kaka makonda Kama kuchkua fom ya urais chkua una mpinzan Kaka unaweza njia magufuli vile vile una baya
Mimi nimeona tz watu wawili tu waziri mkuu na makonda nawapenda sana msaidieni mama samia
Makonda ndo mwanasiasa maarufu kwa sasa
Uyu Mkuu tumuombee wasije wakamuua kama mzee wetu. Wezi hawapendi mambo haya
Baada ya SAMIA NI MAKONDA
Makonda woyooooo Mungu akusaidie kakaaah😢😂😂😂❤❤❤
Hongera mh rais samia Makonda ni cd inayochezeka
Makonda wewe ni????magufuli wapili💪jembe
Nchi hii inaumwa sana inahitaji tiba
Mmmm muongo jamni mungu anakuona toka mwaka 2020
Tunakuombea makonda
Makonda katibu wetu mwenezi unafanyakazi sanasana MUNGU akubarik
i salute you bro makonda please take care of your life, my next president of republic of Tanzania makondaaaaaa
Makonda uishi milele nakuombea kaka Yangu piga kaz wala usiofie wanafiki❤
Hii nchi inamatatizo makubwa sana kwenye ardhj
POLE SANA MDOGO WANGU MAKONDA, MUNGU AKUPE NGUVU.
Uncle magu kufa mengi yanatokea mhhhhhhhh mungu tusaidie
😢😢😢😢 muenezi anapaswa kutembea na fimbo,,,,kuna watu wanastahili adhabu mbele ya hadhara.
😂😂
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂🎉😂kula Nina we
Tatizo watendaji aliowaweka sio taisi
Makonda njoo kiteto baba
Anajitambiua sana kaks uyo. Safi sana. Kula buku
Hongera kaka kwa uongoz mzur yaan mtu anaulzwa maswal had anashindwa kujib, yaan kama viongoz wote wakiwa hiv wazulumaj watanyooka tu
mwenyekiti wew kama magumu❤unastair sifa
Awamajambazi mama wanamualibia nnchi sana kuchukia utawala ngaz ya juu kumbe awa viraza wa chini wanamchafulia
Mheshimiwa Makonda Mungu akubariki sana tetea walala hoi wapo viongozi wa CCM ni wezi kwa nini usiwabananishe acha kuwonea aibu kuna viongozi wa chama cha CCM ni Chawa nguoni
Mungu patie makonda msimamizi bora ww ndiwe HURUMA ya waliyo onewa
Ni maigizo na kampeni tu kwani si rahisi kutatua kero siku moja jukwaani mengine ni sugu mengine yako mahakamani. Kama ni utawala bora kwa mini kero zisitatuliwe na wahusika kama serikali za mitaa na mahakama
@@hashimchaoga9566 serikali za mitaa tatizo Hawana karama ya kutumikia watu makonda anayo karama ya kutumikia
Kama namwona magufuli vile
Kazi nzuri bro,,ww ndie mrithi wa magufuli
Hongera sana makonda
Hahaha😂makaburi haaa mnashiiiida nyie❤
Makonda Mdogo wangu Kamwambie Rais samia Nchi Hii Inaitaji Katiba Mpya C VINGINEVYO
Saluti makonda
Watuuu weweeee,Hii ndio Tanzania Eee mungu ee mungu nyie muogopeni mungu Haya yoote sababu ni kupita bila kupingwa,Acha onyeshe tuone panapovuja
Hakika hii nchi inahitaji makonda wengi
Mhhhhhhhh akigombea tu tutaambiwa ana matatzo ya moyo mhhhhhhhh RIP JPM
We ndo unae just hii nchi ukipata Cha thamani hats hakidum daaaaa😢😢😢😢
makonda wewe ni sawasawa na yesu ....umejitosa msalabani kwajili yakuwahokowa wanyonge
PESA HIYO , HAO NDO VIONGOZI NA WASOMI WA TANZANIA.NI WAZULUMAJI NA WANYANGANYI WAKUBWA.
Me nilikuwa simuelewagi makonda sasa namuelewa kweli kweli utabarikiwa kwa hawa wanyonge
Mama wapige spana wakuu wa mikoa wako wamelala sana
Duuu this is Tanzania,
Safi sana
Kuna watu hawapendi kbc iki anachofanya Uyu mwenezi walaji ni wengi sana ongera sana makonda mungu Ndio kinga Yako watu wana roho mbaya sana
Hatuna viongozi mikoani wala wilayani hata kata maana yake maana yake serlkali yote ipangwe upya hilo litakarofuata jueni laja
Fanya hayo in deply cos kuna baadhi ya wasomi katika nchi hii hawa utu bali ubinadamu, haipendezi, from mwanza ukerewe
Napenda kweli
Hizo huduma mnazotoa wananchi hawazijui ni zipi
Aisee noma hawa ndio mabeberu wakibongo
Dah kweli lazima wasikupende
Wakuu was mikoa na wilaya hawfanyi kazi na hawana maa.muzi hawataki au hawajiamini au hawajuianukumu yao shida
Hayo yote mmeyasababisha haya ni ya ccm mnawajingaishs uma
Tuandamana dunia nzima makonda uchukue fom
Ulijisoga na malaa
Tunajua uongozi ni kazi nzito lakini makonda unajua maumivu ya wananchi ,hiyo ndio maana halisi ya kiongozi .hakika tunajivunia
😢
Mwenez wetu wa nec na itakadi taifa kaka makonda unaupiga mwingi
Makabuli sio yake na wale sio ndugu zake mnashida nyie😂😂😂😂😂😂😂
Makonda mungu akupe afya njema njoo mkoa wa pwani uone sebene la aridhi ndio utakubali matokeo bila kupenda
Hats nakuja nisubirr😊😊
Hapa najifunza kuwa ccm itaelewa kuwa watu wanapi leta mining'ono kuwa serikal mbaya ni hapo, kuwa walio pewa mamlaka wana haribu serikali yetu ya ccm.
Mmmmh hii nchi ngumu
Huyu kijana tafadhari mpeni nafasi awatumikie wananchi anafaa kabisa kua kiongozi wawananchi ako na uwezo huo mpeni hata uwenyekiti
mama kachanga karata zake vyemaaa
Mimi nilikuwa chadema ila kila nikiona chadema naona kama hawana ujasili kama makoda kwaiyoo makoda kama ni urais chukuwa baba
Mama yuko kazini, makonda oyeeeee wanao kuujumu janwali makamba.. mzee kinana nape na uyee mzee kikwete. Mzee makamba hao niadui watanzania
Unae mwanasheria?
Mijambazi ya ccm hiyo hiking chama cha kipumbavu sana
Simba na azam
,mahakama Tanzania NI tatizo ndio inayoongoza kudhulumu wanyongekama hapa tanga mahakama imempoka haki yake mjane mnyonge haki
mwana malundi
Yan wanae shida sio kidogo
Hawa viongozi tunao wataka uje hata huko ismani
Makonda ni mpuuzi,kesi iko mahakamani usiingilieee,jua mipaka yako
Mahakaman kwenyewe rushwa tupu serikali ya saizi shida tupu
Sa jaman mbona watanzania niwanatabu
Angaria hata sura yake ukibaka mtupu
Wafanyakaz wa serikal
Tumuombee makonda wasimuue kama magufuri
Kamani aibusana kwaserekari
C makosa yao wanafata useless kila mbuzi ale kwa useful wa kama yake
Hii yote ni kampeni ya 2025
Makonda ugombee mwakani
Aibu tupu
Wakusikilize ujinga huyo ni muwongo mkubwa 😅😅😅😅😅😭😭😭😭😭😭😭
Sasa nimegundua tatizo sio raisi Tatizo ni watendaji wake ambao ni watu wakaida ndio shidaa ise
Upumbavu mtupu hiki chama tukitowe madarakani
Usanii mtupu
😂
Mhh hii dunia tunapita tutacha kila kitu,Makonda pambana kwaajili ya haki za wanyonge
Kumbe hadi wa ccm nao wanadeseka😮😮
Heeeee ardhi mnasema wachaga kumbe ni makabila yote muache basi
😢