RAIS SAMIA AMTOLEA MFANO MAKONDA IKULU - ''MPAKA APITE WANANCHI WALIE? FANYENI KAZI''...

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 03. 2024
  • RAIS SAMIA AMTOLEA MFANO MAKONDA IKULU - ''MPAKA APITE WANANCHI WALIE? FANYENI KAZI''...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 173

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před 3 měsíci +6

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

    • @user-ze6lx9ng6s
      @user-ze6lx9ng6s Před 3 měsíci

      Wakuu wa mikoa hawakusaidii rais Samia,, wakurungenzi watumbuliwe wote,

  • @edithafrancis847
    @edithafrancis847 Před 3 měsíci +11

    Safi sana mama, hujawa mnafiki hapo kwa makonda umelamba dume ktk Serikali yako yaani tungepata wakuu wa mikoa 20 km Makonda hii nchi ingekuwa Tamu sana,
    Makondo kula tano toka kwa Mwanchi mzalendo,🌹🌹🌹🌹👊👊

  • @user-fy3cy5fe6q
    @user-fy3cy5fe6q Před 3 měsíci +16

    Mama hao wakuu wa mikoa waambie watetee wananchi waache kupokea bahasha za watu

  • @pilotmadata5791
    @pilotmadata5791 Před 3 měsíci +9

    Nimejifunza kitu kuhusiana na masawala mazima ya uongozi, short and clear, alie chini ndie msaidizi wake alie juu

  • @prosperjohn2047
    @prosperjohn2047 Před 3 měsíci +6

    Tatizo ndo hili, kulea na kulea na kulea, oky tutafika kwa kuleana, Ahsante mama kwa malezi, ndi maana maendeleo yanasonga, hongera sana mama

  • @user-yg8yo3ul8h
    @user-yg8yo3ul8h Před 3 měsíci +5

    Nikwer kabisa mama umesema. Mambo mazur sana hawaji kutusikiliza huku chini mpka litokee jambo gumu kweli jaman Asante kuwapa taarifa waje huku mitaani

  • @JeremiahMwalukosya-eh5nf
    @JeremiahMwalukosya-eh5nf Před 3 měsíci +4

    Hii nchi tungempa tu makonda ndo anaiweza hawa wengine ngojera nyingi kuleana kwengi kulinda kwasana wananchi tunateseka sana nahawa viongozi wabovu

    • @nkwazigatsha
      @nkwazigatsha Před 3 měsíci

      Makonda hata hafai zaidi ya kuhemka na kutumiwa kwa vile anaweza kufanya lolote ilimradi apate tonge.

    • @JeremiahMwalukosya-eh5nf
      @JeremiahMwalukosya-eh5nf Před 3 měsíci

      @@nkwazigatsha wewe ndo unaemwona hivyo lkn makonda ndo mwanasiasa marufu Tanzania kuliko yeyote na ndo mtu sahihi wa kuiongaza nchi anasifa zote nimchapa kazi sana nimtu jasiri asieogopa mtu asiejua kujipendekeza Kwa mtu hata rais wake haoni ndani Kwa makonda kwasaizi ndo anaekubarika sana Tanzania sema watu Kama ninyi hamuwezi kumpenda makonda

    • @user-bt3wt6nt4z
      @user-bt3wt6nt4z Před 2 měsíci

      Elewa weweeeee​@@nkwazigatsha

  • @beatusmajumbi7125
    @beatusmajumbi7125 Před 3 měsíci +6

    Ubunifu pia ni mdogo sana kwa viongozi wetu

  • @user-xq8nq9he3u
    @user-xq8nq9he3u Před 3 měsíci +5

    Mnacheza sana na akili za watanzania nyie

  • @joelmwalukasa
    @joelmwalukasa Před 3 měsíci +7

    Tupo pamoja mama yetu mungu akulinde

  • @asiasued3655
    @asiasued3655 Před 3 měsíci +4

    Makonda ni mtu na nusu mungu akuepushe na husda saida wanyonge sisi

  • @saimonjohn7420
    @saimonjohn7420 Před 3 měsíci +5

    Mama ❤ napenda sana makonda awe mbunge afu awe waziri mkuu wewe mama ubaki kua mkuu wa inchi afu mambo yataenda vzuri sana mbona tutanyoka

  • @AleiHadji-js3ed
    @AleiHadji-js3ed Před 3 měsíci +8

    Ndio mutajua Kua CCM na Makonda Lao moja 😂😂😂😂😂😂😂

  • @stellalagwelagwe5539
    @stellalagwelagwe5539 Před 3 měsíci +1

    Mama nakuomba mrudishe Ali Hapi naye akasikilize kero kama Makonda nazani wananchi watapata Mtetezi na maovu ya viongozi utayajua vizuri sana

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 Před 3 měsíci +8

    Makonda aandaliwe awe raisi

  • @user-kf9pu3cl9g
    @user-kf9pu3cl9g Před 3 měsíci +2

    Hongera saana mama, yaani unaweza saana. Unahitaji watu wachapa kazi na wazalendo kwa nchi yaani mbona utatimiza ahadi zote kwa asilimia zote. Mungu akulinde mendwa wetu wasaidizi wote.

  • @gladistaemanueliy6336
    @gladistaemanueliy6336 Před 3 měsíci +9

    Mama hao wakuu wa mikoa hawana kazi makonda anatosha nchi nzima atakusaidia muongezee ulinzi

  • @gasparlubaga5866
    @gasparlubaga5866 Před 3 měsíci +16

    Makonda ni mtu wa maana kabisa

  • @saidimdoe5246
    @saidimdoe5246 Před 3 měsíci +5

    hapo wanasikiliza ukimaliza wanaacha hapohapo

  • @user-bl3wg8bx5u
    @user-bl3wg8bx5u Před 3 měsíci +1

    Siku zote atendae aki mungu yupo pamoja nae ongela mama kwakazi nzuri

  • @yussufhaji3335
    @yussufhaji3335 Před 3 měsíci +1

    Mama yupo vizuri lkn watendaji wako wanakuangusha ila mungu atakupa mwisho mwema mama yetu amiiin

  • @KulwaKisansa
    @KulwaKisansa Před 3 měsíci +1

    Mkienda ofisini muanze na kule nida na uhamiaji mana uhamiaji wanaona Kama hii nchi ni yao hasa pale kigoma

  • @fatmaaliomar9733
    @fatmaaliomar9733 Před 3 měsíci

    Wakuu wa mikoa nawatakia kazi njema na mujitahidi kufata maelekezo aliyokupeni Muheshimiwa Rais na mujitahidi kuwasaidia wananchi na mujitahidi kutatuwa changa moto zao ahsante.Kazi iendelee.

  • @flavianfrank6256
    @flavianfrank6256 Před 3 měsíci +1

    Mungu akusimamie rais wetu

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 Před 3 měsíci +11

    Mama akimaliza anapaswa amkabidhi nchi hii makonda

  • @dubigutv2957
    @dubigutv2957 Před 2 měsíci

    Usimamizi wa serikali hatuuoni ndio maana kila siku wanabadilisha viongozi❤❤

  • @JosephJon-wk6il
    @JosephJon-wk6il Před 3 měsíci +2

    Mama kwaushauli wangu mluhusu makanda atumbue wamezidi zalau

  • @hamiskambi6578
    @hamiskambi6578 Před 3 měsíci

    Mungu akubariki Sana mama naomba huyu Mama ulie mpa mkoa singida Afike Hadi Kipera.

  • @ziadasadiki8196
    @ziadasadiki8196 Před 3 měsíci

    Mama MUNGU yupo nawe hujakosea kumteua Makonda. Makonda ubarikiwe sana umetenda haki huna upendeleo kwaajili ya vyeo.❤

  • @beatricehenry6776
    @beatricehenry6776 Před 3 měsíci +1

    Mama yetu oyeee .Makonda Oyeee Jembe letu Magu Oyeee

  • @wilhardvawunge-ns2ks
    @wilhardvawunge-ns2ks Před 3 měsíci +1

    JamaniRais wetu ajui maeneo take aaaashh

  • @godsonndamgoba8053
    @godsonndamgoba8053 Před 3 měsíci +8

    Msaidieni mama,watu wana shida huko chini.

  • @ndolepeter2770
    @ndolepeter2770 Před 3 měsíci

    Makonda hongera kwa Mungu 2 kwa wazazi wako maana mama ko angetoa mimba kama wa mama wengine, mh angepoteza kipenzi cha watanzania kiukweli 3 hongera mama Samia kwakumuona Makonda hongera sana mama wanch hatua unafki tukioenda tunapenda kweli hasa tukipata kiongozi mtenda haki.

  • @robertmwandu1854
    @robertmwandu1854 Před 3 měsíci +1

    Asante Sana Mheshiwa Rais Kwa Hotuba nzuri. Tupo pamoja. Mungu akutangulie Kwa Kila jambo.

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 Před 3 měsíci

    GOD BLESS MAMA NAPENDAGA UNAVYO KUWA NA MAAMUZ YA UTULIV NA BUSARA S MTU WA KUKURUPUKIA MAMBO

  • @chivatasabihi5731
    @chivatasabihi5731 Před 3 měsíci +1

    Ningekuwa na Mamlaka ya uteuzi ningemteua Makonda Makonda kuwa Mbunge then angekuwa Naibu PM na Biteko abaki kuwa waziri wa Nishati na Comrade Nape angerudi kuwa Katibu Mwenezi CCM akakutane na Baba/ Mjomba Comrade Kinana.....

  • @SaadEbrahim
    @SaadEbrahim Před 3 měsíci

    Ni kweli Mheshimiwa Rais Mama samia Wananchi hawasikilizwe na hao UliowachaguwaWakuu Wa Mikoa. Kazi yao kubwa Wakuu waMikoa kutembea na Magari ya Serikali ya kifahari mijini wakuu wamikoa hawaendi Vijijini kuwatembelea Wananchi na kujuwa shida zao.

  • @user-fd5pb1dt4j
    @user-fd5pb1dt4j Před 2 měsíci

    Mama uwishi maisha malefu

  • @danielwankyo4979
    @danielwankyo4979 Před 3 měsíci +1

    2:40 kazi zetu zile....za kuiba kura

  • @nkwazigatsha
    @nkwazigatsha Před 3 měsíci

    Rahis hapa unapotsha. Huenda sijui. Rais hauchaguliwa japo wewe hukuchaguliwa. Hivyo, ni afisa mkuu wa tafai. Wakuu wa mikoa wala wilaya si. rais wa yeyyote bali mapandikizi yasiyo na umuhimu nchini. Laiti mngekuwa hamlali, nchi isingekuwa ya hovyo kama ilivyo kwa sasa dada yangu.

  • @rukiauwonde7062
    @rukiauwonde7062 Před 3 měsíci +4

    Mamaaaaa🎉makonda kakubalika🎉

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 Před 3 měsíci +2

    Ziara ya makonda imeanza kujibu

  • @myself4128
    @myself4128 Před 3 měsíci

    nchi imejaa viongozi wanawake tuu na hawana uwezo wa kuongoza zaidi mama anajitengezea mazingira ya Kuingia Ikulu tuu na kuwa salama sababu iyo Misukule anayoichagua haiwezi kumkosoa hata akivurunda

  • @Namtumbo
    @Namtumbo Před 3 měsíci +2

    Haujawahi feli mama

  • @elizalutiga6287
    @elizalutiga6287 Před 3 měsíci +1

    Singida angepelekwa mkali zaidi maana ni shidaaa

  • @msomaliwilliam
    @msomaliwilliam Před 3 měsíci

    Mama samia tunaomba utusaidie tulipwe fidia yetu tuhame kupisha upanuzi wa uwanja wa ndege wa dar es salaam. Hatujalipwa waziri mwiguru nchemba kila mara anasema pesa zipo tunalipwa lakini bado mpaka Leo miaka 24 ameaidi mara Kwa mara mbuge tunatese mama wananchi wa ukonga kipunguni dar es salaam mwenyekiti wa mtaa amekatazwa kufanya mkutano wowote na wananchi. Tunaomba mama utusaidie

  • @issakwisamwasanjobe541
    @issakwisamwasanjobe541 Před 3 měsíci

    Tufunze watu wetu kusimamia faida kwenye mashirika yetu na tuwe na viwanda na makampuni ya ujenzi ya umma faida yake ndio itakayotajirisha nchi badala ya kutegemea Kodi pekee pia nikipimo Cha maendeleo pale wasomi wetu serikali inakuwa na mifumo na nguvu ya kuwasimamia watakavyotumika kazalisha faida ya nchi badala ya kwenda kutumika kuzalisha faida kwa wawekezaji na pravite sector. Tutengenaze state capitalist country tupunguze tatizo la ajira tuepukane na wanyonyaji wakutumia mitaji

  • @abdillahhozza
    @abdillahhozza Před 3 měsíci

    Mama Kuna mijitu hapo unaongea inatamani umalize tu hawana uchungu ulionao,,,,siku amua uweke watu ambao hawajawategemea kabisa rudi Kwa walimu,madaftari,mabwana shamba,askari polisi teua watu huko waliopitia shida uone kaz ikipigwa hao royal families hawajali.

  • @piusmaduka
    @piusmaduka Před 3 měsíci

    asante mama hujawa mnafiki Kwa makonda kama yeye asivyo mnafiki kwako mama

  • @fedhamipango2758
    @fedhamipango2758 Před 2 měsíci

    Aya mama na iamani kuwa hao ni watu sahihi kwa taifa letu

  • @user-gf6zt9nu5b
    @user-gf6zt9nu5b Před 3 měsíci

    Wilaya ya Kigamboni hatujawahi kupata mkuu wa wila mzur wala mkurugenzi

  • @alexdukes5547
    @alexdukes5547 Před 3 měsíci

    Alie leta wazo la kura ni mhaini wa taifa na Wananchi wake,wajibu wa watawala sio kuwatumikia Wananchi,Hadi kumbe huruma ya kuwapa Kura,Sina neno mama umemalizaa..

  • @emmanuelonyangoochola9228
    @emmanuelonyangoochola9228 Před 3 měsíci

    Safi sana

  • @fredrickjohnson2692
    @fredrickjohnson2692 Před 3 měsíci

    Mama umefeli,unewasikiliza hao matapeli na Wala haki za watu kumtoa makonda.

  • @user-yo4mt8cv6w
    @user-yo4mt8cv6w Před 3 měsíci

    Mama leo umegusa moyo wangu kwa maneno yako ya hekima Mungu akubaruki

  • @janethtimotheobisekwa8328
    @janethtimotheobisekwa8328 Před 3 měsíci

    Umeongea point Mama yetu mzuri, MUNGU akutunzee

  • @Namtumbo
    @Namtumbo Před 3 měsíci +1

    Karibu Ruvuma tutakupenda

    • @patrickakitanda7709
      @patrickakitanda7709 Před 3 měsíci

      Kasema hakuna shida kabisaaa labda kwa mbaaali Tunduru 🙏🙏🙏💪💪

  • @mhangwacastory8765
    @mhangwacastory8765 Před 3 měsíci

    Mama km kweli unachokisema watafuata wakuu wetu wa mkoa kiukweli watakusaidia sana! Wa Tabora ninaomba akija tu nikamsalie

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 Před 3 měsíci

    Shida viongozi hao uliowataja wengine hawajui kuwa wako kwa ajili ya kuwatumikia wananchi....

  • @DavidMakvok
    @DavidMakvok Před 3 měsíci

    Hapo Rais kaeleza vizuri , tena kwa umakini, wateule wake na watumishi wengine wote kazi yao ni kuhakikisha mambo yana kwenda vizuri kwa wananchi , kama wewe una mwakirisha Rais inakuwaje wanainchi wanapata taabu hawashughlikiwi malalamiko yao? Unasubili nini na huku umepewa machinery zote at your disposal? Mtendeeni Rais haki na litendeeni taifa lenu haki na watendeeni watu haki.

  • @EvarimAdrian-xl5jq
    @EvarimAdrian-xl5jq Před 3 měsíci +1

    Rais wa nchi hajui mipaka ya nchi yake inaonesha nchi haijui kabisa daah

  • @AleiHadji-js3ed
    @AleiHadji-js3ed Před 3 měsíci +6

    CCM hawakurupukii Lao moja 😂😂😂😂

  • @user-cm1bu8qb7d
    @user-cm1bu8qb7d Před 3 měsíci

    Hapo uko sahihi sana mheshimiwaRais point muhimu sana

  • @sophiamoses431
    @sophiamoses431 Před 3 měsíci

    Tena wilaya ya Masasi kumesahaulika sanaaaa watu wana vilio vya ardhi

  • @musasaanane9275
    @musasaanane9275 Před 3 měsíci

    Mama nakutakia kila laheri uwendapo uwapo Allah akubariki tena sana

  • @tztanzania2262
    @tztanzania2262 Před 3 měsíci

    Body guard warais amefanana sana na Rais Samia

  • @idrissaissa5607
    @idrissaissa5607 Před 3 měsíci

    Kweri mama umekumbuka fadhira mungu akujalie mama

  • @atanasiokalikumbi6783
    @atanasiokalikumbi6783 Před 3 měsíci

    Mama, mama, mama nalia na kibaha mkoa wa pwani kwa ujumla hatuna viongozi, maji na Barabara ni kero wananchi wako tunaumia

  • @abdulhamis9825
    @abdulhamis9825 Před 3 měsíci

    Mama Nchi Hii Ina Mambo Yakushangaza Sana Namba Zote Za Viongozi Na Bado Uku Chin Sisi Tunaumia

  • @user-ub7fs2pe9b
    @user-ub7fs2pe9b Před 2 měsíci

    Kweli mh.Rais viongoz hawashuki kusikiluza KERO za wananchi.mfano hai uko ktk familia yeti mbeya mjin eneo la Soweto Kuna bwana mmoja anajiita molex ametupora kiwanja chetu Zaid ya miaka kumi sasa.amehonga wanasheria na kuchukua ardhi yetu.duuuuuuu inahuzunisha

  • @hajijuma1761
    @hajijuma1761 Před 3 měsíci

    Well done Mama Allah akuhifadhi sana sana

  • @andrewmalamsha3042
    @andrewmalamsha3042 Před 3 měsíci

    Kwann mama hatupi kaz sisi ukuu wa wilaya tu nimpigie kazi wilaya iyanyooka why!?

  • @philemornmutta1597
    @philemornmutta1597 Před 3 měsíci

    Mama umeme sukari wanauza tofauti na bei elekezi tamka neno labda watasikia

  • @UsambaraMombo
    @UsambaraMombo Před 3 měsíci +1

    Kanyaga twende mama haina kufeli

  • @user-bb9fz6jx4o
    @user-bb9fz6jx4o Před 3 měsíci

    Big up Makonda keep up what you do 💯

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula Před 3 měsíci

    RC WENGINE WANAFQNYQ MAIGIZO. WANAJUFANYQ KUSIKIKIZA KERO KUMBE ANASANISIFU

  • @donaldbenedict5761
    @donaldbenedict5761 Před 3 měsíci

    Ges tunayo tunasubiri nini mpaka mwaka 2030? Aya bhana hii ndio CCM

  • @ndolepeter2770
    @ndolepeter2770 Před 3 měsíci +1

    Mama nakupenda sana mama kiroho safi mama huna mbamba kwenye haki unasimama, tukiyanyaswa wa mama upo nasi mama anae kusema vibaya analake huyo, Mungu akutunze uwe na umri mrefu na wenye afya na furaha.

  • @shemelaruhinda6113
    @shemelaruhinda6113 Před 3 měsíci

    Asante mama

  • @ElipokeaLema
    @ElipokeaLema Před 3 měsíci

    Namkubalii sanaaa

  • @josemalley1691
    @josemalley1691 Před 3 měsíci

    Mamaa nakukubali saaana natamani wangetufanyia km unavyowaelekeza

  • @user-nn3is3hr8u
    @user-nn3is3hr8u Před 3 měsíci +1

    MAGUFULI TUNAKUKUMBUKA, HAKUNA CHA KULEA MAFISADI NA WAZEMBE.

  • @abuuthauran9933
    @abuuthauran9933 Před 3 měsíci

    Hao wakuu wa mikoa wamekaa 2 ofcn nakufikiria upigaji

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před 3 měsíci

    Makonda ndio kiboko kazi'hao kazi yao kupokea bahasha za watu tu.Hakuna lolote.

  • @kamotechnicshamzahamsini6853
    @kamotechnicshamzahamsini6853 Před 3 měsíci +2

    Innalilah wa inna ilayh raajiun , kweli tulifiwa 😢

  • @user-fy3cy5fe6q
    @user-fy3cy5fe6q Před 3 měsíci +1

    Huyu wa Arusha hamna kitu Mama

  • @ElishadaiSam-rq3hl
    @ElishadaiSam-rq3hl Před 3 měsíci

    Mama umenisahau , nasubiria jina langu.

  • @muddyausi8470
    @muddyausi8470 Před 3 měsíci

    Mkuu wa mkoa wa Morogoro uje Lukobe usikilinze wananchi tuna kelo zetu

  • @jumamnumbwa9483
    @jumamnumbwa9483 Před 3 měsíci

    Mama kashaanza kuwamwaga ripoti ya makonda yaanza kuwatafuna jamani mama yupo serious

  • @bakarirajabu3783
    @bakarirajabu3783 Před 3 měsíci

    MAMA WAKUUU WA MIKOA WENGI WAO NI VICHWA MAJI MAMA WANA KUCHOSHA MAMAANGU WAKISHAKAA MAOFISINI KWAKO NI SHIDA TU

  • @yasinimalya4001
    @yasinimalya4001 Před 3 měsíci

    Mama wakamulie ndimu hao 💯

  • @paulludwig7132
    @paulludwig7132 Před 2 měsíci

    Bado Sabaya Mama nakuaminia

  • @franklinjr996
    @franklinjr996 Před 3 měsíci +2

    God Continue to guide our President 🙏🏻

  • @user-fk6mt5ib6g
    @user-fk6mt5ib6g Před 3 měsíci

    Na mnatupuuza sana. Kiasi kwamba mnatuona maboya.

  • @dismaslalubare4196
    @dismaslalubare4196 Před 3 měsíci

    Mama samia.tuletee batllda burhani arusha tunampenda sana huku ni kichwa huyo mama yetu samia

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 Před 3 měsíci

    Makonda anajua sana. Mama muongezee ulinzi.

  • @myself4128
    @myself4128 Před 3 měsíci

    wanabadilishana Ofisi tuu wala hakuna anaefukuzwa kazi ni Serikali poa shamba la Bibi,,viongozi wale wale Mafisadi yani inasikitisha!

  • @BakaryChombo-vu1wn
    @BakaryChombo-vu1wn Před 3 měsíci

    Tunaimani na mama CCM Ooooooyee

  • @user-fy3cy5fe6q
    @user-fy3cy5fe6q Před 3 měsíci

    Toa ile katibu Tawala yuko kwa mkuu wa mkoa Arusha hatendi haki

  • @mohdmohd8428
    @mohdmohd8428 Před 3 měsíci

    Oh! Makonda anasifa oh hawez kuniwajibisha 😂😂😂 mama yakeeeee😂