RAIS SAMIA AMTOLEA MFANO MAKONDA IKULU - ''MPAKA APITE WANANCHI WALIE? FANYENI KAZI''...
Vložit
- čas přidán 12. 03. 2024
- RAIS SAMIA AMTOLEA MFANO MAKONDA IKULU - ''MPAKA APITE WANANCHI WALIE? FANYENI KAZI''...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
Wakuu wa mikoa hawakusaidii rais Samia,, wakurungenzi watumbuliwe wote,
Safi sana mama, hujawa mnafiki hapo kwa makonda umelamba dume ktk Serikali yako yaani tungepata wakuu wa mikoa 20 km Makonda hii nchi ingekuwa Tamu sana,
Makondo kula tano toka kwa Mwanchi mzalendo,🌹🌹🌹🌹👊👊
Mama hao wakuu wa mikoa waambie watetee wananchi waache kupokea bahasha za watu
Nimejifunza kitu kuhusiana na masawala mazima ya uongozi, short and clear, alie chini ndie msaidizi wake alie juu
Ndio ipo hivyo, upo sahihi kabisa
Tatizo ndo hili, kulea na kulea na kulea, oky tutafika kwa kuleana, Ahsante mama kwa malezi, ndi maana maendeleo yanasonga, hongera sana mama
Nikwer kabisa mama umesema. Mambo mazur sana hawaji kutusikiliza huku chini mpka litokee jambo gumu kweli jaman Asante kuwapa taarifa waje huku mitaani
Hii nchi tungempa tu makonda ndo anaiweza hawa wengine ngojera nyingi kuleana kwengi kulinda kwasana wananchi tunateseka sana nahawa viongozi wabovu
Makonda hata hafai zaidi ya kuhemka na kutumiwa kwa vile anaweza kufanya lolote ilimradi apate tonge.
@@nkwazigatsha wewe ndo unaemwona hivyo lkn makonda ndo mwanasiasa marufu Tanzania kuliko yeyote na ndo mtu sahihi wa kuiongaza nchi anasifa zote nimchapa kazi sana nimtu jasiri asieogopa mtu asiejua kujipendekeza Kwa mtu hata rais wake haoni ndani Kwa makonda kwasaizi ndo anaekubarika sana Tanzania sema watu Kama ninyi hamuwezi kumpenda makonda
Elewa weweeeee@@nkwazigatsha
Ubunifu pia ni mdogo sana kwa viongozi wetu
Mnacheza sana na akili za watanzania nyie
Tupo pamoja mama yetu mungu akulinde
Makonda ni mtu na nusu mungu akuepushe na husda saida wanyonge sisi
Mama ❤ napenda sana makonda awe mbunge afu awe waziri mkuu wewe mama ubaki kua mkuu wa inchi afu mambo yataenda vzuri sana mbona tutanyoka
Ndio mutajua Kua CCM na Makonda Lao moja 😂😂😂😂😂😂😂
Haswaaa
Kwani makonda siyo CCM?
Kwani Chadema na Mbowe lao tofauti?
Mama nakuomba mrudishe Ali Hapi naye akasikilize kero kama Makonda nazani wananchi watapata Mtetezi na maovu ya viongozi utayajua vizuri sana
Makonda aandaliwe awe raisi
Wewe acha utani WEWE. Awe raisi wa nani. Mpeleke kwako akakutawale.
@@Mundi-oz7os
Sie tunamtaka
peke yako @@sonnyr1899
Namtaka makonda🎉
Hongera saana mama, yaani unaweza saana. Unahitaji watu wachapa kazi na wazalendo kwa nchi yaani mbona utatimiza ahadi zote kwa asilimia zote. Mungu akulinde mendwa wetu wasaidizi wote.
Mama hao wakuu wa mikoa hawana kazi makonda anatosha nchi nzima atakusaidia muongezee ulinzi
Nakunga mkono
Makonda ni mtu wa maana kabisa
Alokwambia nani
hapo wanasikiliza ukimaliza wanaacha hapohapo
sasa walichukue nini cha maana hapo cha kuleana ndio wachukue si ujinga tu huo
Siku zote atendae aki mungu yupo pamoja nae ongela mama kwakazi nzuri
Mama yupo vizuri lkn watendaji wako wanakuangusha ila mungu atakupa mwisho mwema mama yetu amiiin
Mkienda ofisini muanze na kule nida na uhamiaji mana uhamiaji wanaona Kama hii nchi ni yao hasa pale kigoma
Wakuu wa mikoa nawatakia kazi njema na mujitahidi kufata maelekezo aliyokupeni Muheshimiwa Rais na mujitahidi kuwasaidia wananchi na mujitahidi kutatuwa changa moto zao ahsante.Kazi iendelee.
Mungu akusimamie rais wetu
Mama akimaliza anapaswa amkabidhi nchi hii makonda
Unadhani anafaa humjui vizuri yule ana roho ya dhulma na utapeli 2ulize sisi
Nchi inahitaji roho hiyo Kwa Sasa...
@@SurprisedBoomBox-yq2pt😂😂😂
Usimamizi wa serikali hatuuoni ndio maana kila siku wanabadilisha viongozi❤❤
Mama kwaushauli wangu mluhusu makanda atumbue wamezidi zalau
Mungu akubariki Sana mama naomba huyu Mama ulie mpa mkoa singida Afike Hadi Kipera.
Mama MUNGU yupo nawe hujakosea kumteua Makonda. Makonda ubarikiwe sana umetenda haki huna upendeleo kwaajili ya vyeo.❤
Mama yetu oyeee .Makonda Oyeee Jembe letu Magu Oyeee
JamaniRais wetu ajui maeneo take aaaashh
Msaidieni mama,watu wana shida huko chini.
Makonda hongera kwa Mungu 2 kwa wazazi wako maana mama ko angetoa mimba kama wa mama wengine, mh angepoteza kipenzi cha watanzania kiukweli 3 hongera mama Samia kwakumuona Makonda hongera sana mama wanch hatua unafki tukioenda tunapenda kweli hasa tukipata kiongozi mtenda haki.
Asante Sana Mheshiwa Rais Kwa Hotuba nzuri. Tupo pamoja. Mungu akutangulie Kwa Kila jambo.
GOD BLESS MAMA NAPENDAGA UNAVYO KUWA NA MAAMUZ YA UTULIV NA BUSARA S MTU WA KUKURUPUKIA MAMBO
Ningekuwa na Mamlaka ya uteuzi ningemteua Makonda Makonda kuwa Mbunge then angekuwa Naibu PM na Biteko abaki kuwa waziri wa Nishati na Comrade Nape angerudi kuwa Katibu Mwenezi CCM akakutane na Baba/ Mjomba Comrade Kinana.....
Ni kweli Mheshimiwa Rais Mama samia Wananchi hawasikilizwe na hao UliowachaguwaWakuu Wa Mikoa. Kazi yao kubwa Wakuu waMikoa kutembea na Magari ya Serikali ya kifahari mijini wakuu wamikoa hawaendi Vijijini kuwatembelea Wananchi na kujuwa shida zao.
Mama uwishi maisha malefu
2:40 kazi zetu zile....za kuiba kura
Rahis hapa unapotsha. Huenda sijui. Rais hauchaguliwa japo wewe hukuchaguliwa. Hivyo, ni afisa mkuu wa tafai. Wakuu wa mikoa wala wilaya si. rais wa yeyyote bali mapandikizi yasiyo na umuhimu nchini. Laiti mngekuwa hamlali, nchi isingekuwa ya hovyo kama ilivyo kwa sasa dada yangu.
Mamaaaaa🎉makonda kakubalika🎉
Ziara ya makonda imeanza kujibu
nchi imejaa viongozi wanawake tuu na hawana uwezo wa kuongoza zaidi mama anajitengezea mazingira ya Kuingia Ikulu tuu na kuwa salama sababu iyo Misukule anayoichagua haiwezi kumkosoa hata akivurunda
Haujawahi feli mama
Singida angepelekwa mkali zaidi maana ni shidaaa
Mama samia tunaomba utusaidie tulipwe fidia yetu tuhame kupisha upanuzi wa uwanja wa ndege wa dar es salaam. Hatujalipwa waziri mwiguru nchemba kila mara anasema pesa zipo tunalipwa lakini bado mpaka Leo miaka 24 ameaidi mara Kwa mara mbuge tunatese mama wananchi wa ukonga kipunguni dar es salaam mwenyekiti wa mtaa amekatazwa kufanya mkutano wowote na wananchi. Tunaomba mama utusaidie
Tufunze watu wetu kusimamia faida kwenye mashirika yetu na tuwe na viwanda na makampuni ya ujenzi ya umma faida yake ndio itakayotajirisha nchi badala ya kutegemea Kodi pekee pia nikipimo Cha maendeleo pale wasomi wetu serikali inakuwa na mifumo na nguvu ya kuwasimamia watakavyotumika kazalisha faida ya nchi badala ya kwenda kutumika kuzalisha faida kwa wawekezaji na pravite sector. Tutengenaze state capitalist country tupunguze tatizo la ajira tuepukane na wanyonyaji wakutumia mitaji
Mama Kuna mijitu hapo unaongea inatamani umalize tu hawana uchungu ulionao,,,,siku amua uweke watu ambao hawajawategemea kabisa rudi Kwa walimu,madaftari,mabwana shamba,askari polisi teua watu huko waliopitia shida uone kaz ikipigwa hao royal families hawajali.
asante mama hujawa mnafiki Kwa makonda kama yeye asivyo mnafiki kwako mama
Aya mama na iamani kuwa hao ni watu sahihi kwa taifa letu
Wilaya ya Kigamboni hatujawahi kupata mkuu wa wila mzur wala mkurugenzi
Alie leta wazo la kura ni mhaini wa taifa na Wananchi wake,wajibu wa watawala sio kuwatumikia Wananchi,Hadi kumbe huruma ya kuwapa Kura,Sina neno mama umemalizaa..
Safi sana
Mama umefeli,unewasikiliza hao matapeli na Wala haki za watu kumtoa makonda.
Mama leo umegusa moyo wangu kwa maneno yako ya hekima Mungu akubaruki
Umeongea point Mama yetu mzuri, MUNGU akutunzee
Karibu Ruvuma tutakupenda
Kasema hakuna shida kabisaaa labda kwa mbaaali Tunduru 🙏🙏🙏💪💪
Mama km kweli unachokisema watafuata wakuu wetu wa mkoa kiukweli watakusaidia sana! Wa Tabora ninaomba akija tu nikamsalie
Shida viongozi hao uliowataja wengine hawajui kuwa wako kwa ajili ya kuwatumikia wananchi....
Hapo Rais kaeleza vizuri , tena kwa umakini, wateule wake na watumishi wengine wote kazi yao ni kuhakikisha mambo yana kwenda vizuri kwa wananchi , kama wewe una mwakirisha Rais inakuwaje wanainchi wanapata taabu hawashughlikiwi malalamiko yao? Unasubili nini na huku umepewa machinery zote at your disposal? Mtendeeni Rais haki na litendeeni taifa lenu haki na watendeeni watu haki.
Rais wa nchi hajui mipaka ya nchi yake inaonesha nchi haijui kabisa daah
CCM hawakurupukii Lao moja 😂😂😂😂
Hapo uko sahihi sana mheshimiwaRais point muhimu sana
Tena wilaya ya Masasi kumesahaulika sanaaaa watu wana vilio vya ardhi
Mama nakutakia kila laheri uwendapo uwapo Allah akubariki tena sana
Body guard warais amefanana sana na Rais Samia
Kweri mama umekumbuka fadhira mungu akujalie mama
Mama, mama, mama nalia na kibaha mkoa wa pwani kwa ujumla hatuna viongozi, maji na Barabara ni kero wananchi wako tunaumia
Mama Nchi Hii Ina Mambo Yakushangaza Sana Namba Zote Za Viongozi Na Bado Uku Chin Sisi Tunaumia
Kweli mh.Rais viongoz hawashuki kusikiluza KERO za wananchi.mfano hai uko ktk familia yeti mbeya mjin eneo la Soweto Kuna bwana mmoja anajiita molex ametupora kiwanja chetu Zaid ya miaka kumi sasa.amehonga wanasheria na kuchukua ardhi yetu.duuuuuuu inahuzunisha
Well done Mama Allah akuhifadhi sana sana
Kwann mama hatupi kaz sisi ukuu wa wilaya tu nimpigie kazi wilaya iyanyooka why!?
Mama umeme sukari wanauza tofauti na bei elekezi tamka neno labda watasikia
Kanyaga twende mama haina kufeli
Big up Makonda keep up what you do 💯
RC WENGINE WANAFQNYQ MAIGIZO. WANAJUFANYQ KUSIKIKIZA KERO KUMBE ANASANISIFU
Ges tunayo tunasubiri nini mpaka mwaka 2030? Aya bhana hii ndio CCM
Mama nakupenda sana mama kiroho safi mama huna mbamba kwenye haki unasimama, tukiyanyaswa wa mama upo nasi mama anae kusema vibaya analake huyo, Mungu akutunze uwe na umri mrefu na wenye afya na furaha.
Asante mama
Namkubalii sanaaa
Mamaa nakukubali saaana natamani wangetufanyia km unavyowaelekeza
MAGUFULI TUNAKUKUMBUKA, HAKUNA CHA KULEA MAFISADI NA WAZEMBE.
Hao wakuu wa mikoa wamekaa 2 ofcn nakufikiria upigaji
Makonda ndio kiboko kazi'hao kazi yao kupokea bahasha za watu tu.Hakuna lolote.
Innalilah wa inna ilayh raajiun , kweli tulifiwa 😢
Huyu wa Arusha hamna kitu Mama
😂😂
Mama umenisahau , nasubiria jina langu.
Mkuu wa mkoa wa Morogoro uje Lukobe usikilinze wananchi tuna kelo zetu
Mama kashaanza kuwamwaga ripoti ya makonda yaanza kuwatafuna jamani mama yupo serious
MAMA WAKUUU WA MIKOA WENGI WAO NI VICHWA MAJI MAMA WANA KUCHOSHA MAMAANGU WAKISHAKAA MAOFISINI KWAKO NI SHIDA TU
Mama wakamulie ndimu hao 💯
Bado Sabaya Mama nakuaminia
God Continue to guide our President 🙏🏻
Na mnatupuuza sana. Kiasi kwamba mnatuona maboya.
Mama samia.tuletee batllda burhani arusha tunampenda sana huku ni kichwa huyo mama yetu samia
Makonda anajua sana. Mama muongezee ulinzi.
wanabadilishana Ofisi tuu wala hakuna anaefukuzwa kazi ni Serikali poa shamba la Bibi,,viongozi wale wale Mafisadi yani inasikitisha!
Tunaimani na mama CCM Ooooooyee
Toa ile katibu Tawala yuko kwa mkuu wa mkoa Arusha hatendi haki
Oh! Makonda anasifa oh hawez kuniwajibisha 😂😂😂 mama yakeeeee😂