Mi mkenya toka mji wa Eldoret ,watanzania laiti mgelijua tunavyomtamani mhs Msukuma😢 , ana hoja za kuijenga nchi ,duh mungu akuongoze sina la kuongeza .
Ahsante sana Rais wa Hoja za msingi hongera sana . NATAKA KUJUA MBUNGE WA JIMBO LA KYERWA KAGERA Alipewa Ubunge kutalii bungeniii au anafanya nini bungeni. OFFICIAL JB NAULIZA.
Kweli Mimi kama Mimi nasema tu wewe ndio ungekua rais Tanzania ingefika mbali tena sana point yako inasemeka mungu akubaliki ikaje kua rais tu kwanza ww ni zaid ya rais kabisa
Good morning musukum uko sawa uko kwa bungeni nakupenda san unasemanga ukweli lkin musomeeni uyo mama wakambo aache ujinga kuusa nch kwel tutakuj kuliman
Big up to you mzee wetu MUNGU azid kukuongoza
Lasba A kweli wewe ni dr, mungu akujalie maisha malefu. Ikibidi ccm ikuamini kiti cha juu inch itaenda vizuri sana. Napenda sana swaga zako bungeni,
Hivi ni lin watamwelewa Mh.Msukuma point zake na anastahili tuzo ya Heshima🔥very genius 👊
Wasomi wetu ndio adui wetu tanzania! Ni watu wa ovyoo sana&ole wako wakujue we ni mulala hoi & umetoboa! Wanakomesha.
Mi mkenya toka mji wa Eldoret ,watanzania laiti mgelijua tunavyomtamani mhs Msukuma😢 , ana hoja za kuijenga nchi ,duh mungu akuongoze sina la kuongeza .
Asante sana mh.Msukuma kwa kuwasilisha ujuzi wako kwa jamii
Akili nyingi, elimu ndogo, hongera san msukuma
Salute sana kiongozi wa kweli kura yangu haikwenda bure dadec💪💪💪....mwamba ndo huyu.
Wakuu salam za dhati ziwafikie huko mliko kwa kazi mzuri mnaofanya kwa taifa letu tanzania
Uko sawa Kwa hoja nzuri hongera sana
kaka msukuma nakukubali sana kaka ongera kwa uongozi wako
Huwa natumia Bando langu kumwangalia Msukuma wengine matumbo kushiba kisa wana Degree
This should be all afrikan parliament speak our local languages keep it up my tz brothers and sisters
Mbunge msukuma huwa anaongea point sana,Mimi Sina mengi zaidi ya kukupa 💐🌹🌿🌹 mapema.
❤❤ very nice musukuma
Hongera msukuma Kwan hoja tunatamani uwe raise wa tanzania
Msukuma oyeee lasaba A❤️
msukuma Remain In Power (R.I.P) forever
Mskuma unawakilisha tunakuelewa sanaa
Hongera
Big up saaana msukuma ,,darasa la saba materials with more inteligent points
Uko vizuri , Mungu akuongezee miaka mingine ya ubunge, maana maendeleo huletwa na wageni sio wenyeji na wenyeji tunaiga kutoka kwao
Honggela sana msukuma
Moja yakiongoz bola nikujiamin nakusemea kile wananchi wake wanachokihtaj nahvy sku yamwish kiongoz asokuw mwadilif atakiona chamoto
musukuma mungu akulinde sana
Msukuma Fanya kazi Yako kwa ajiri Yetu wananch tunashukuru san
Ngosha baba huna Baya miaka yote👏👏👏👏👏
Kazi iendelee
Natamani huyu jamaa awe kiongozi wa nchi
Mbarikiwa mwakipesile
Tuko nyuma ya msukuma kweli ni Kama maghufuli wa pili Asante msukuma wetu
Usimfananishe msukuma na jitu lenye roho mbaya
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤@@omaryramdhani9823
Kazi nzuri
Wananchi wa geita wana raha sana hili ni Jembe
Kaka msukuma hongera wewe nimchesh sana nataifa tunakutegemea chapa kaz brooo❤❤❤❤
Msukuma uko sawa Sana wewe ni mtetezi wa wawanyonge mungu aendelee kukupa hekima zaidi,🌹🌹🌹
Mwamba hauko mbali na magufuli pambana ungekuwa magu tungekuita baba mwisho pambania jimbo lako magu tunateseka
Kwer msukuma ongera san
👍👍 ilo ndo bunge letu
Amsukuma u are a got sent and we thank magufuli for recruiting u.. As a member of the parliament ❤
Huyu ni dume la simba❤
Ahsante sana Rais wa Hoja za msingi hongera sana . NATAKA KUJUA MBUNGE WA JIMBO LA KYERWA KAGERA Alipewa Ubunge kutalii bungeniii au anafanya nini bungeni. OFFICIAL JB NAULIZA.
😂😂😂
Kweli Mimi kama Mimi nasema tu wewe ndio ungekua rais Tanzania ingefika mbali tena sana point yako inasemeka mungu akubaliki ikaje kua rais tu kwanza ww ni zaid ya rais kabisa
Mungu atusaidie Tanzania ipate rais kama uyuu kaka msukuma
Mbunge wa Jimbo la korogwe vijijini mkoa Tanga hatumsikiii Yani anakera huyo
Hongera sana Kaka Msukuma kuwa Kiongozi bora lazima ujisimamie... wewe ni Kiongozi bora sana uliokamilika
Pambana msukuma nakuelewa sanaaaaa
Mubunge musukuma hakikaa huna weza baba
Msukuma Mungu akulinde
One of the intelligence minds without education, big up msukuma all the way fro Kenyan
hahahaha nimekuelewa msukuma vizuri sanaa
Mufindi -Mgololo tunaomba lami na sisi ' Hii ni barabara muhimu sana kwa uchumi wa Taifa
Mwamba huyu hapa namkubalia sana Msukuma
Yuko vizuri sana
Fratei masay kiboko bungeni,
Nice
Chukuwa❤❤❤hiyo msukumaa
Mhh msukuma nimekuelewa umepiga mkwala mpaka jamaa kanyamaza kutoa taarifa
Mambo vp wapendwe
JAMII ZA KIFUGAJI WANAKITU WASIKILIZWE.
Hatare msukumaaaasss
Aaaaaaaaaaa nataman nitafte kiwanja geita Nike msukuma
Uko vizuri sana kutetea watu wako
Pambana mtu WANGU
Madini tupuuuu🙌🙌🙌😂
Alipewa rais hyu nchi itakua mbali
Good nice
Msukuma jamni like uncle maguu natamni uchukue 📜🙆🙆
Hii chuma naikubali sana.. Keep it up Msukuma
Msukuma eti nilikaona kabinti nilikaomba na namba🤣🤣🤣🤣,mke wako anakusikiliza.
Good
Musukuma ako na point 🔥🔥🔥
Kwakweli msukuma uko vizuri ht kama haujasoma verry guddy brothers
Good morning musukum uko sawa uko kwa bungeni nakupenda san unasemanga ukweli lkin musomeeni uyo mama wakambo aache ujinga kuusa nch kwel tutakuj kuliman
Wewe ni walasaba lakini unaakili kuliko hao wasomi❤❤❤💪💪💪
Asante mungu wabariki viongozi wote wa tanzania
Genius kweli,pokea maua yako 💐🌹🌹❤️
Huyu jamaa kwanini Asipewe wizara jamani Mnyonge Mnyonge I Hakiake Apewe😂😂
Mungu akujalie msukuma
Safi msukuma
Risk assessment, mchakato, upembuzi yakinifu,,,,,ni sehemu Tu za upigaji fedha!!
Msukuma mbabe na anajiamini atokee mbunge choko atoe taarifa aone wamenyamaza kimya wanamsikiliza mbabe%
Wasukuma huwa wana katabia ka ubabe
@@-kagerayetubw9jxmnoooooo
Allah nijaalie niwe mama bora na niwe ni mwenye kuomba mema kwa wenzangu sio mabaya
Amiina
Msukuma tutetee wanyonge baba
Namuelewaga Sana tuu, hawa wa hivi ni wachache,
Makonda yuko Arusha, site, anatupambania wana Arusha.❤
Siku zote wasukuma wana hakili ndogani munabisha sasa 😜
Uyu jamaa akipata tu ata shavu la uwaziri
M/h Msukuma ujasiri ulio nao Mungu akubariki
Yan msukuma namkubali sana nataman angekuwa jimbon kwetu kalenga nahisi kalenga ingenyoka sana kwakweli??????
Umetisha Sana kweri yaan
Kweli kabisa mkuu
Huyu msukuma apewe pongezi huwa naongea ukweli mara nyingi (facts)despite the fact that ametoka kijijini
Mweh neema ikizidi inakuwa kufuru
I salute you musukuma
Musukuma you are one wise articulate people representative hongera sana kaka yetu- love from kenya
Muulize kuhusu mkataba wa Dpw usikie madudu
Wala rushwa hao walienda Dubai kulamba Asali ya kiaraabu. BUNGE FEKI
HALIWEZI KUSIMAMIA RASILIMALI ZETU .
MAFISADI
Daah bunge tamu sana
Msukuma hawawahi kuangusha😂
Bahati nzuri umesema mfalme aliwaita wanaopinga akakaa nao ikulu ili wazungumze😊😊😊
Msukuma ana kitu na madini kichwani nampenda kuzid ata mbunge wangu
mh musukuma weewe nikiongozi mwemaa❤
Tanzania next president
Anapongezwa, waziri badala ya kuwapa pongezi wenye nchi walipao kodi,
Safi San Mh mbunge
Hongera sana musukuma
Ngosha yupo vzr sana
ATI Una miaka mingapi ?