Musukuma aweka wazi utajiri wake, Ndege, VXR, na MIJENGO anayomiliki; ajibu wanaosema amehongwa V8

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 06. 2023
  • Mbunge wa Geita Vijijini (CCM) Joseph Musukuma akieleza utajiri alionao wakati akiwajibu wanaosema kwamba amehongwa gari aina ya V8 ili atetee sakata uwekezaji kwenye Bandari.

Komentáře • 416

  • @khalidballeth5957
    @khalidballeth5957 Před rokem +24

    msukuma ni mfanyabiashara mkongwe wa DHAHABU tangia miaka ya 80,,,,,ni mtu mwenye utajiri Long time na wala sio mtu wakujiskia saana ni mtu simpo saana pia ni mtu wa watu,,,,,ana real eastate kanda ya ziwa bab kubwa..pia ana kamuni za transport na etc

  • @twiseghekisilu8845
    @twiseghekisilu8845 Před rokem +11

    Msukuma shikamoo!! nakupenda toka rohoni Mungu akulinde baba yetu

  • @PauloPetro-nv6pi
    @PauloPetro-nv6pi Před 7 měsíci +6

    Hongeraa sanaaa MUNGU akufanikishe katika mambo yote

  • @rosechuwa9493
    @rosechuwa9493 Před rokem +19

    Huyu mwamba namkubali sana, msukuma mungu akubariki sana wewe ni hazina muhimu sana hapa Tanzania

    • @ramadhanihamisi9393
      @ramadhanihamisi9393 Před 10 měsíci +1

      Wananchi was geita mnakila sababu ya kujivunia kwa mbunge mlie nae ni jembe msukuma namkubali Sana akisimama bungeni utafurahi mungu akulinde na Kila baya

    • @AndrewMasaga
      @AndrewMasaga Před 10 měsíci

      Hakuna lolote tunataka ndege yetu

  • @user-mj1hq3fn1m
    @user-mj1hq3fn1m Před 9 měsíci +3

    Shukran msukuma swali umefanya wema mzuri sana na je wewe ni mwislam au mkristo maana naona unapendeza sana

  • @Sharifarajabudebe
    @Sharifarajabudebe Před rokem +5

    Mashaallah watu heshimu msio wajua ache dharau

  • @josephatmtweve6534
    @josephatmtweve6534 Před 7 měsíci +4

    Msukuma uko vizuri Sana kaka naomba nmawasiliano yako kaka

  • @mosesbaruti306
    @mosesbaruti306 Před 2 měsíci +1

    Ninachukia sana kutoka moyoni Nchi yetu na Watanzania kuitwa masini,Namuombea Mungu ampe mama yetu Rais wetu Samia Suluhu Hassani ujasiri wa maamuzi mazito.

  • @withomsigala4389
    @withomsigala4389 Před 11 měsíci +2

    Hongera sana kwa majukumu ya kazi ya kuwatetea wanyonge Mheshimiwa Mbunge Msukuma

  • @JohnSteven-ox3pv
    @JohnSteven-ox3pv Před 2 měsíci +1

    Dah.. doctor msukuma me nakuomba uje ugombee uraisi maana asaiv c.v unayo ya usomi so nakuona mbali sana ndg yangu ❤❤❤ tunataka uje kua raisi wetu bhn....

  • @kelvinimasagasi7398
    @kelvinimasagasi7398 Před rokem +5

    King msukuma Ly umeuwa huo ndio ukweli Mungu akubarik %100

  • @abdulhamis9825
    @abdulhamis9825 Před 3 měsíci +1

    Nchi Hii Wasomi Ndio Kikwazo Hongera Sana Dr.Msukuma

  • @josephatmtweve6534
    @josephatmtweve6534 Před 7 měsíci +3

    Naomba mawasiliani yako mheshimiwa uko vizuri Sana kimtazamo

  • @ShekiyaoHussein-ki4ty
    @ShekiyaoHussein-ki4ty Před 11 měsíci +3

    Msukuma uko vizuri umewapigilia msumari wa moto

  • @wachachesana
    @wachachesana Před rokem +2

    Nakubali sana mbunge wangu vijijini geita

  • @user-yk5gm5qj4u
    @user-yk5gm5qj4u Před 3 měsíci +3

    Hongera kaka uko vzr kiukweli huna shida

  • @farajamwakifuna303
    @farajamwakifuna303 Před 3 měsíci +3

    Respect sana Mheshimiwa

  • @aidatimakunda387
    @aidatimakunda387 Před rokem +2

    Kwa kweli Big up MP. Msukuma

  • @metusalnganga1002
    @metusalnganga1002 Před rokem +6

    Msukuma Big up🎉🎉🎉🎉

  • @gloryjacson
    @gloryjacson Před 7 měsíci +2

    Hongera brother unamalengo mazuri sana umefika pazuri sana mbunge tajiri

  • @Zubaiba
    @Zubaiba Před 2 měsíci +1

    Mungu akubariki mbunge msukuma, nakupenda sana ❤

  • @musasaguti4760
    @musasaguti4760 Před 4 měsíci +2

    Musukuma uko vizuri, huna baya mdogo wangu

  • @meroymollel9156
    @meroymollel9156 Před rokem +1

    Hongera sana Mh. msukuma

  • @stanleymhozi7590
    @stanleymhozi7590 Před 9 měsíci +3

    Hongera baba mungu akubariki sana umeaso sana

  • @NurudiniNdoka
    @NurudiniNdoka Před měsícem +1

    Safi sana msukuma.

  • @EdithaMgoha-jy7ev
    @EdithaMgoha-jy7ev Před 7 měsíci +2

    Mungu akujalie Baba wa wetu achana na maneno ya wakosaji

  • @mambotv1233
    @mambotv1233 Před rokem +2

    Hongera sana msukuma

  • @LukasiJeremiah
    @LukasiJeremiah Před 2 měsíci +1

    Hongera bro uraisi unakufaa chukua fomu ya mgombea

  • @user-pc1cs6nd4y
    @user-pc1cs6nd4y Před měsícem +1

    Msukuma salute kula yangu kwako

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Před rokem +4

    Kazi kazi , Jembe kama Jembe

  • @winnerkondejunior1890
    @winnerkondejunior1890 Před 6 měsíci +1

    MH Musukuma myooshe. From Mozambique

  • @mussamkumbukwa5053
    @mussamkumbukwa5053 Před 2 měsíci +1

    Safi Mh Msukuma umesema ukwelii.

  • @abadharkhamis5909
    @abadharkhamis5909 Před rokem +2

    Mskuma umetisha sana

  • @user-px6px4tf2g
    @user-px6px4tf2g Před 8 měsíci +2

    Mungu akulinde na maaadui uishi miaka ming

  • @robertpaul7714
    @robertpaul7714 Před rokem +8

    Nilichokiona humu watu mna makasiriko sana tafteni hela acheni kelele mtabakia kutoa comments za kutukana bure tu hii nchi usijifanye unaijua sana we kua mzalendo tu pia fanya kazi kwa bidii 💴💸

  • @patriceomolo232
    @patriceomolo232 Před měsícem

    Asante sana msukuma you are a good man. May God bless you and provide for you long life. You speak the truth

  • @daudifungo5521
    @daudifungo5521 Před měsícem

    Sana Mzee Baba Kazi Iendelee Umetisha Sana
    Waache Majungu Watafute Pesa

  • @SashaOscar
    @SashaOscar Před 3 měsíci

    Nampenda xana msukuma, Mungu ampe maisha marefu

  • @mariamusaulo4429
    @mariamusaulo4429 Před rokem +3

    Big up msukuma

  • @user-yk5gm5qj4u
    @user-yk5gm5qj4u Před 3 měsíci +1

    Hongera musukuma

  • @salminasalim5630
    @salminasalim5630 Před 10 měsíci +1

    Mheshimiwa Dr. Tafadhali njoo kwetu Umfundishe mbunge wa Bukoba vijijini asaidie wananchi wake hata maji hakuna watu wanakunywa maji yanayo nyweshea Ng'ombe na wakati wa kuomba........

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme8455 Před měsícem +1

    Hawakukujui hao kua wew ni king

  • @ramadhanihamisi9393
    @ramadhanihamisi9393 Před 10 měsíci +2

    Bradha msukuma mm binafusi nakukubali hoja na ushauri unao shauri serekali au mtu binafusi bigapu mungu akulinde na Kila baya zaidi akuongeze riziki zaidi

  • @kaburaprince3596
    @kaburaprince3596 Před 11 měsíci +1

    Asanteni

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před 8 měsíci +2

    Hongera sana ndugu

  • @user-wb5pk9km5o
    @user-wb5pk9km5o Před 7 měsíci +2

    Ni kweli uliniuzia simu mbovu Ta nga ugomvi ulimalizwa na Mfanya biashara mmoja wa kiasia aliyerudisha pesa zangu na kunisihi nimwachie simu take ugomvi ukaishia hapo kumbe ni home boy wangu Swagger wazijua

  • @khatimushabani3941
    @khatimushabani3941 Před rokem +3

    Nakubali kaka

  • @user-zn7vw3pj6p
    @user-zn7vw3pj6p Před 6 měsíci +2

    Kaka
    Nakuelewasana.barikiwasana

  • @DanielKagoma-nx8ff
    @DanielKagoma-nx8ff Před 3 měsíci +1

    Kaka msukuma uko vizuri Mungu akubariki Sana tunakuombea Sana Mimi Niko Tabora mjini naomba namba zako mkuu naitwa Daniel kagoma

  • @adinanimussa5484
    @adinanimussa5484 Před rokem +2

    King Msukuma👍

  • @user-hv6pc8kq5c
    @user-hv6pc8kq5c Před 9 měsíci +2

    Tajiri tu

  • @mariakibwana3700
    @mariakibwana3700 Před rokem +2

    Msukuma hongera sana,naomba ninunulie japo IST niendee Kanisani, sio kwa utajiri huo.

    • @emmanuelmauki2938
      @emmanuelmauki2938 Před rokem

      🤣🤣🤣

    • @mariakibwana3700
      @mariakibwana3700 Před rokem

      @@emmanuelmauki2938 Emmanuel nimechoka kutembea na boda wakati wengine wanautajiri wote huo.Msukuma anielewe tu.Yaaani IST tu na Mungu atazidi kumbariki.

  • @user-el2qg1zj4l
    @user-el2qg1zj4l Před rokem +1

    Hongera

  • @SaimonKazimoto-xt1zo
    @SaimonKazimoto-xt1zo Před rokem +2

    Safi m'bunge ayo ndo mambo tunayo yataka bandari ya kisasa sio maneno ya kuku kashifu mti wenye matunda ndo unaopigwa mawe

  • @user-vy9pz7sk4z
    @user-vy9pz7sk4z Před 6 měsíci +2

    Uyu jamaa kiongoz mzur

  • @prosperkimaro4660
    @prosperkimaro4660 Před 9 měsíci +2

    Mwbamba upo vizuri

  • @deusvincent1489
    @deusvincent1489 Před rokem +3

    Bandari sawa lakini sio kwa Mkataba huo Kaka. Povu jingi linatushangaza.

  • @sofiamfaramago3820
    @sofiamfaramago3820 Před 10 měsíci +2

    Kaaah sawa baba !

  • @rashidlwengo6940
    @rashidlwengo6940 Před rokem +4

    Kasheku msukuma we Ni noma PhD ilikuwa haki yako baba

  • @praygodmunisi8999
    @praygodmunisi8999 Před rokem +17

    😂aliye mchokoza msukuma kazi anayo,, Siyo Kwa michambo hiyo😂😂

  • @hafidhbarau9981
    @hafidhbarau9981 Před rokem +7

    Mungu akubariki brother, mungu akulinde na maadui wako, mungu azibariki Mali zako, mungu akupe moyo wa huruma na upendo uwe na moyo wa kuwasaidia wasiojiweza pamoja na wananchi wako,

  • @saidalhinai1131
    @saidalhinai1131 Před 11 měsíci +1

    Hongera msukuma wewe ni mbunge wa kwanza kuwajali watu wa jimbo lako na hakuna aliefanya kama wewe hata magufuli hakuwahi kufanya jimboni kwake wape ukweli hawo waliohongwa kupinga huo uwekezaji nadhani hao wanafaidika na ule wizi mkubwa unaofanya bandarini wacheni wapige kelele bandari itaingia ubia washenzi

  • @FidelisiKavishe
    @FidelisiKavishe Před 2 měsíci

    Msukuma hongera baba chukua maua yak❤️❤️❤️❤️❤️❤️💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋

  • @gindamaster1784
    @gindamaster1784 Před rokem +17

    Men lie women lie, numbers don't lie. Kudos Msukuma, am inspired

    • @jdanny497
      @jdanny497 Před rokem

      Danganya Dar na Dodoma sio mwanza

    • @noramkendamunishi6902
      @noramkendamunishi6902 Před 11 měsíci

      Si kweli. Kuwa na hela hakuzuii kupokea rushwa. Ila Kama hajapokea ni vizuri Sana.
      Ila swali langu kazi ya mbunge ni kutoa misaada kwa wananchi au kufikisha hoja za wananchi bungeni na kuziweka kwa ufasaha ziweze kufanyiwa kazi na serikali?

    • @GaudenceTesha
      @GaudenceTesha Před 10 měsíci

      Halo sawa mku

  • @zabrongermanus-co1jj
    @zabrongermanus-co1jj Před rokem +5

    Sema umeongea sana facts your the best

  • @augustinomtongi711
    @augustinomtongi711 Před rokem

    Mmmmnh Mungu anakuona

  • @amimumufaumekikwasa5921
    @amimumufaumekikwasa5921 Před 9 měsíci +1

    Mzee upo asahihi kabisa unafudha watu jisi ya kuishi na watu, na kukubali mzee wangu.

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 Před rokem +4

    King msukuma

  • @user-cg5ly5rg8z
    @user-cg5ly5rg8z Před 11 měsíci +1

    Nimekuelewa sana mbunge

  • @user-wp8yk6ow8h
    @user-wp8yk6ow8h Před 2 měsíci

    Wabunge wote wangeliikuwa kama msukuma nchi ingepiga hatua kwa mda mfupi sana hongera sana msukuma

  • @SammitindoJeremia-jv4qb
    @SammitindoJeremia-jv4qb Před 10 měsíci +3

    Daaaah umetisha mzeebaba uko vizuri sana

  • @abdulkarimmgunya513
    @abdulkarimmgunya513 Před 7 měsíci

    Pamoja sana ndugu yangu

  • @jacksonjosephmollel3833
    @jacksonjosephmollel3833 Před 2 měsíci +1

    Naombeni namba ya MUSUKUMA...

  • @HappyKiteboarder-du9th

    Mungu akupe umri mrefu wewe ni mtu Wa maana sana

  • @hamadmhchande5633
    @hamadmhchande5633 Před 2 měsíci +1

    Acheni unafiki hivi viblog uchwara tangia lini anamiliki ndege msukuma?

  • @FulbertFisoo
    @FulbertFisoo Před rokem +8

    Kwani ukiwa tajiri unashindwa kuhongwa kubali kuwa umekula unga wa ndere kwa hilo

  • @shurungubunzari9474
    @shurungubunzari9474 Před 8 měsíci +1

    Yes my boss

  • @josephdaniel7341
    @josephdaniel7341 Před rokem +5

    Mh Msukuma .Mimi naomba Unisaidie hata mtaji wa ml 2,000,000/= Ninashida sana ..

  • @Nsajibjsnsdreamerztz
    @Nsajibjsnsdreamerztz Před rokem +1

    Uko vizur

  • @michaeldoroleo4864
    @michaeldoroleo4864 Před měsícem

    Siku naambiwa jamaa ana miaka 60 nikaendelea kushangaa sana.

  • @khaalidcheo5383
    @khaalidcheo5383 Před rokem +9

    Jamani aliemchokoza msukma akamuombe msamaaa

  • @muhammednassor3569
    @muhammednassor3569 Před 2 měsíci

    Ukweli ni ukweli sawa baba you big up

  • @johnginni9926
    @johnginni9926 Před rokem +4

    We mpigaji tu na ukianza Kwa msukuma mwenziee

  • @bonnymwajombe779
    @bonnymwajombe779 Před rokem

    Msukuma nakukubali sana ,ila kiukweli ile gari ni zao la pesa ya kuhongwa utetee bandari!

  • @suleimanrodriguez9484
    @suleimanrodriguez9484 Před 10 měsíci +1

    Hawa ndo watetezi wa uma

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 Před 7 měsíci

    HONGERA SANAA NDUGU MSUKUMAA. KUSOMA SANAA , HAIMAANA NDO UNAAKILI SANAA. AKILI MTU ANAZALIWA NAYO. WAPE SIRI YA MAFANIKIO YAKOO.

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 Před 8 měsíci +1

    Anahongwa sana huyu

  • @safarilager51
    @safarilager51 Před rokem

    Msaada hautangazwi

  • @user-mk9tc8bj3y
    @user-mk9tc8bj3y Před 3 hodinami

    Habar kaka msukuma mimi ni mtanzania naitwa innosent mbatia nakuomba mawasiriano nawe

  • @user-ok3ws8jl2s
    @user-ok3ws8jl2s Před rokem +1

    Kumbe watu mnamali kama izo kule kijijini mlo mmoja mtu kwa siku halafu wote ni watz duuuuh Mungu mkubwa

  • @user-jo3ip7zq9j
    @user-jo3ip7zq9j Před 10 měsíci +1

    Mheshimiwa athanasius na vyako mbona kimya kuhusu bandari.

  • @user-bp7pu4fy3v
    @user-bp7pu4fy3v Před rokem

    We ni bos wetu

  • @MrNibiru2112
    @MrNibiru2112 Před rokem +3

    Msukuma unaweza kumuelewa kama elimu yako inalingana na yake.Ukimaliza kukomenti tuandikie na level ya elimu yako pia

  • @benmpe2227
    @benmpe2227 Před rokem +4

    Msukuma sisi tuliotokea geita tuna kujua unautitiri wa mabasi pia ww ni mfanyabiashara mkubwa. Ulikuwa ukisafirisha watu siku za weekend kwa sh 1000 kutoka geita Hadi mwanza

  • @mhangwacastory8765
    @mhangwacastory8765 Před rokem +4

    Msukuma shikamooo, mwenye namna ya kupata namba ya msukuma ninaomba aisogeze hapa

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar9912 Před rokem +6

    Tanzania mabilionea wako wengi Sana sema wamejificha tu na awataki kujionyesha

    • @irhamseif
      @irhamseif Před rokem

      Kama uyu nikitambo ela anayo sana madin mabasi na mfugaji mzuli sana ng'ombe kibao

    • @Bikhafija
      @Bikhafija Před rokem

      Mashaalh

  • @oskabajumz3210
    @oskabajumz3210 Před 9 měsíci +1

    Maizii kamawegine

  • @allymuhamed7295
    @allymuhamed7295 Před 6 měsíci

    sawa mkubwa

  • @davidpaulbernard
    @davidpaulbernard Před 9 měsíci +3

    Suala la kuwa na pesa nyingi haliwezi kukuzuia wewe kuhongwa na ninafikiri kuhongwa unaweza hongwa tu hata Kama una ndege

    • @user-wp8yk6ow8h
      @user-wp8yk6ow8h Před 2 měsíci

      Hizo ni fitna zako na roho mbaya yako msukuma si jamaa yangu lkn ni mtu mkweli na amekinai na asili ya utajiri wake ni juhudi zake kabla ya ubunge na mwenyezi mungu akaweka baraka zake nyie ndio watu wenye siasa za kifitna fitna mtakufa vinywa wazi na laana yenu hiyo

  • @Lunemyabahati1
    @Lunemyabahati1 Před 7 měsíci +1

    Pongez kwako