"RPC ni Mtu mdogo siwezi kuzungumza nae, nimempa siku 3' - MSUKUMA
Vložit
- čas přidán 19. 09. 2017
- Mbunge na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Geita Joseph Msukuma ameongea kwa mara ya kwanza baada ya kukamatwa na Polisi na kulazwa sero kwa zaidi ya saa 48.
Baada ya kuachiwa kwa dhamana ameongea na AyoTV kuhusu kosa lake lililofanya akamatwe na kusema pia kwamba RPC wa Geita ana roho mbaya.
we siulisema unaheshim hata askarimdogo aje akukamate..sasa umekamatwa na mkubwa una lalamika...poleeeee
Kajinga haka kajamaa na shida ni shule
@@bennymgaya2277 wa ha madharahu
hahahahahaaaaa TANZANIA imefikia patamu si mchezo 😁😁😁😁😁
safi sana nilitamani ukae ndan ata miez minne unashabikiaga xan Akin lema wakiwekw ndani
Jozey The Boy TV msukuma ni msukuma tu
+Venance Basil
halafu ajielewi eti anasema RPC chadema ajui kuwa hicho ni cheo kinavyo Fanya kazi akiulizi chadema wala ccm
Msukuma hunalolote
kumbe hamuwez kusema mpaka mfanyiwe...Tanzania msema kweli Ni lisu angalii fitina ....mseme Siku zote ...mnafki
Yordan Yona Wanafki awa
Kwahiyo akikuomba msamaha utamfichia hayo maovu?
Bob Wangwe, arudishwe sero
Bob Wangwe bobu tulia wewe
huyo mtangazaji mbona anamuiga miladi hayo sauti
+Frank Bella.....muige na ww pia
Lisu nilaisi wa wanashelia mbona yeye aliwekwa lokap marangapi wewe unalaumu afu dalasa LA 7 mufungweee RPC fanya kazi yako
Kumbe kuna siri wanafichiana? Naomba waendelee kuchafuana ili tujue ya ndani.Serikali hii..!!
Takukuru mnasubiri nini anzeni namsukuma
l like that
Hamis Mindika hahaa
SIKU ZOTE UNATAKA UONGEE NA USHANGILIWE NA WANA CCM.WALA SI MPIGANIA WATANZANIA BALI NI MWAKILISHI WA CCM TU.HONGERA RPC.
msukuma mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu unataka upewe upendeleo maalum kwa kuwa eti wewe ni m kiti wa ccm wa mkoa m kiti wa ccm ndio unaruhusiwa kuvunja sheria na kuhusu ufisadi wa RPC yote ayo ni maneno ya mkosaji kwani unasubiri mpk uwekwe ndani ndio useme maovu ya RPC.
Pole
Kumbe inaumae? Hakika mkuki kwa nguruwe kwa binadamu duu!
Huyu ndo yule chizi anayeshabikiaga mambo ya kipuuzi yanayofanywa na police kwa upinzani,Leo yamemkuta yeye kidogo tu analalama anataka hadi kufa.....hiyo ndo serikali yenu wehu nyie na ujifunze kuacha kuwabeza wapinzan wanapoonewa na serikali yenu MPUUZI WEWE
Zacharia John kachukuwe soda kwa Mangi nitalipa, umenifurahisha sana
Zacharia John mie namkubali msukuma
Zacharia John heti anasema RPC ni chadema ahahahaa
Zacharia John hili lijamaa kweli halifikirii
Zacharia John mid namkubali
amakweli mkuki kwa ngurueee...sasa nimchunguu mmmmh.
Ukusema mwanzo mnafiki hunaswaga
Hapo ndiyo namkubali RPC alafu nilitamani ukae hats miezi 8 kwa kiherehere ulicho nacho
Sheria unaichanganya na siasa bro! kapimwe mkojo
Kabisa yani hili chizi halielewi hata anachoongea
wekwa ndani weweeee mweu ulimshabikia LEMA hakiwa ndani uliwatusi kina Halima mdee sasa utanyoka
Haaa haaa haa! Dah! Mzimu wa Lisu umeanza kazi na utawatafuna wote!
Kabarana Maganga eti mzimu wee ni boya sana
huna jipya elimu ya kuungaunga
Kwani alishakufa?
King M you are Good!
hua unajua nini unaongea!
na hujawahi kuogopa safi! tupo nyuma yako!
Pumbav ww yaan kwa sababu tuu ww ni CCM ndio uvunje sheria RPC muongeze masaa mengi 120
Shedrack Tweve 😂😂😂😂😂😂😂😁😁😁😁😁😁😁
😂😂😂😂😂
Shedrack Tweve kumbe imemuuma anavyoshabikiaga wenzie sasa imemkuta yeye
Shedrack Tweve zitto alisema nchi wamepewa washamba hakukosea
Shedrack Tweve subir utaona akimtaja ufisadi wake
Kwahiyo akikuomba msamaha utamfichia hayo mambo hadharani?
Bob Wangwe hahahaha!!kijana nakuona umepotea sana
Asiposema Inamaana amefumbia macho uovu
Pole msukum wangu love you
Kiongozi gani wewe unaficha mabaya ya viongozi wengine, Kama kweli wewe ni mzalendo kweli Fichua mabaya aliyo nayo, Watanzania tumewachoka viongozi tiamaji tiamaji kama nyie.
Issaria Kimambo hapo ndipo ninapomwona msukuma hana akili
Kabisa yaani halijitambui hili
Leo nimeamini msukuma sio mzalendo kwanini ufiche maovu ya MTU kama kweri mzalendo na geita mmefanyiwa hayo kwanini usiseme
mohamed Seif kabisa,hana uzalenfi wowote,ni unafiki tuu
Wakifungwa lisu wakitetea haki unashangilia..ila wewe unatisha..mpaka upelekwe ndo utaje maovu.jinsi mlivyo wanafiki...yanawarudia wenyewe
Gurached Mmbaga yeye ni nani? Unadhan kuwa mwenyekiti ndo nn? Serekali ya wote
Gurached Mmbaga mnafiki sanaaaaa
Mavunde Mmbaga . .
wewe unaftina sana,muheshimiwa Rais muangalie sana huyu mtu,anasema RPC mfuasi wa Chadema kwani yeye msukuwa ameacha lini ufuwasi wa Lowassa?
ovyo ovyo
eddie ross kweli yeye mwenyewe mfuasi wa Lowassa
kwenda wewe we mungu achamkwara etiusikamatwe
Huhu
Huna lakuwaeleza wtz
nice
mimi binafsi nampa hongela huyo rpc kazi anaweza
RPC amekuwa na roho mbaya zaidi ya waliotaka kumuua LISSU? Acha upuuuuzi
umenena mwanaaa
😂😂😂😂😂😂😂 msukuma bhana... Eti "sijawahi kuona RPC mwenye roho mbaya kama huyu" Muhuni amevurugwa huyo...kampiga tanganyika jerk mheshimiwa...
Said Ndimbwa Unamtetea nini sasa wacha alale ndani
Nimelipenda Sana hilo neno "kupoteza radha ya mahakama".
we msukuma mbona unamtisha sana kamanda unasema ufulahii wapinzani kuwekwa ndani mbona kila siku unawapigia debe polisi leo wamekugeuka
Kanyika Kanyika hahahahahah
Braza Ayo!!! Hawa vijana wako wanakuiga hadi sauti!!! Jamaa waambie waongee sauti zao!!!!
hawa wanatuinjoi
bwege sana huyu..
Ernest Ndauka alikwa wapi kusema mpaka akamatwe
Kweri
Pole kiongozi usijal tupo pamoja from Dodoma tunakupenda mtani wetu msukuma
sema vyote wewe izo siyo siri tena kwa taarf yako.nakukubali sana Mr Msukuma
usipoweza kumuheshimu rpc anayekulinda ktk himaya yako usitegemee kusikilizwa na sirro au rais
Piganeni nyie wote CCM na huyo RPC wenu mpaka muuwane
Albadirr ishaanza kufanya kazi...
Hongera RPC haki itendeke kwa wote hayo yote mbona hakusema wakati hajakamatwa .ukikosea sheria lazima uchukuliwe hatua.
Alubadili iyo inafanya kazi kwa msukuma
Leo msukuma zam yako usilamike mkuki kwa nguruwe
acha uchochezi, asingekamatwa ungesema mengne, tumia akili
Hapa ndio napomkazania mwanangu kusoma kwa hali yeyote ile....elimu ni muhimu sana
Pole sana msukuma! Sasa,hapo umejiongezea shtaka la5 kwa kumtishia RPC! Uwiiii, poor TZ! Tunaelekea wapi? 'TUFIAKWA!!'
Mmh yani kimtu hichi sijuwi kikoje kumbe kunya anye kuku akinya bata kalisha kumbe kama nikweli umeweka ndani sio kutufumba macho umewezwa kwann ayo maovu Usinge sema zamani shwani ww
Mkuki kwa nguruwe hahaha asnte Tanzania yangu nakupenda
Mambo gani unaanika baada ya kuwekwa ndani, acha vitisho. Tanga tunakujua.
si uzungumze Sasa hivi?
so CCM mnafichua ubadhilifu mpaka mwe impacted, lol
uombwe radhi wewe nani bwanaee???c unajidai mjuaji na mshangiliaji wa ya wapinzani? kaaa selooo huna ukubwa wowote kuliko RPC
Safiiiiiii sana msukuma
Unatakiwa useme tu.
na kama unao ushahidi juu ya maovu yake aburuzwe mahakamani na wewe uburuzwe kwa makosa yako.
hhhh unanikosha kwa mikwala mwanangu nakukubali kinoma
kwenda wamekukomesha unakuwaga na kielele kwa hiyo unataka upinzani tu wangekuacha hata miezi
Msonjo Khan nimemwelewaaaa kwa biti
Hahaha sio poa Kwanza umenifulahisha umeongea kishujaa bro nakupenda Sana
daaah kumbe mnalindana, siku zote ulikuwa wapi ......? mpaka ukamatwe ndio unataka kusema huo ukweli.....? Lisu big Up sana.
ahahaha kuwekwa ndan sio mchezo we amsha dude kwa faida ya wananchi sio akikuomba radhi usiseme
RPC ninampongeza sheria ifate mkondo wake akuna cha Ccm au chadema
Acha mboyoyo RPC Yuko vizuri na hayo ndiyo majukumu yake hakuna mtu aliye juu ya sheria NNCHI HII
Veema- sana Mkuu msukuma tukopamoja nawe watz wote Joseph Msukuma oyeee nakukubali sana.
Pole sana ,samehe tu kiongozi
Ulikuwa wapi kuyaanika hayo unayotaka kuyasema,acha unafiki msukuma,usiwajibishwe ww ni nan katika nchi hii,acha kulia lia RPC piga kazi # HAPA KAZI TU.
Zambi ya ubaguzi haijawahi mwacha mtu salama.
msukuma. my bro.wewe nikiongozi wa mkoa kuwa mfano.acha vyombo vya ulinzi na usalama vifanye kazi yake.ushauri
Mara pap iii....hiiiiiii!!!!!!!
Abdillahi Hassan 😂😂😂tumemsomaa!
Abdillahi Hassan 😂😂😂tumemsomaa!
Abdillahi Hassan
Mtenda akitendewa mambo huwa hivi😃😃😃😃😃😃
Jamaa yukoo simpo sana kama hakana ela
hahahah!!, mzee baba liamshe DuDE nakukubal
ACHA KUTOA POVU NI KAWAIDA TU.UWEKWA NDANI ULITUMWA NA NANI UFANYE HUO UPUUZI.NANI AKUPIGE RISASI.AKUOMBE RADHI NANI WEWE
ज़
Musuma umeonaeeee bungeni wapinzani wakilalamikiaga hayo mnapingaga ss yamekukuta acha presha
Hujajua kulalamika bdo;endelea kuropoka maana ya lissu unayaona n madogo!!subiri yakukute zaidi ya hayo
yani hapa hakuna mtu kituko
Bangi mbaya, uombwe radhi na RPC wakati umesema ni mtu mdogo kwako?
Daaah.unatafuta balaa msukuma.muangalie nape alipo.nyerere alitoa onyo.mnawapiga Hawa wakiisha mnapigana ninyi kwa ninyi.
kumbe mnafichiana uovu,sasa mmetuweka wazi kuwa ni WATENDA UOVU
Wanajisahau sana hawa wanasiasa ambao sifa ya ubunge nikujua kusoma na kuandika tu!!! RPC ni mtu na elimu yake bhana!!!!
sasa mwenyekit wa chama akikosa hastaili kuadhibiwaa? na kama anastahili kuadhibiwa unalalamika nn Kukaa siku mbili maneno yote yanakutoka je ungekaa miezi 6 ingekuwaje
eti rpc ni chadema hahahhahhhaaaaaa, kisa wewe ccm kakukamata hahahahhaa, kwani ccm ndo nini weka ndani wote alafu acha mikwara kwa rpc hahhaaaha eti risasi! nani akupige risasi wewe hakuna mtu wa kukupiga risasi tanzania ni ya amani, alafu kama wewe ni kiongoz bora ni bora uzungumze hadharani kwnini unaficha siri au kupiga mkwara, tumbua basi kama unaweza
Venance Basil Namshangaa kwa nini hawakuitana huko kwao geita,kumbe unaficha maovu eeee
msukuma kua mkweri rais katukanwa Wap ? usitafute kiki Kwa pickpik
Hana lolote mshenzi tu huyu ingekua kweli si angesema
na bado utawaita roho mbaya wengi..suala uenyekiti ....mbowe na wengine mnaowaita kama watoto mpuuzi wee msukuma..
Msukuma mjinga tuu kwanini usiyaseme kabla hujakamatwa
Uyu vip? Lowasa kaingiaje hapo?
Fredrick Benito hapo chacha.
hiyo ndio sifa ya darasa zero, huna lolote kazi yako kupiga kelele na kujipendekeza kwa Magufuli, sasa utaamua kurudi shule au kuwa mfurukutwa zaidi wa ccm, kazi yako kuongopea watu eti mimi naungana na raisi Magufuli kwenye vita vya kiuchumi, mbona hilo la Rpc kama ana madudu lilikushinda kuzungumza bungeni? kilichobaki ni kula matapishi yako mwenyewe kwani ulikuwa ukiona raha kuwafika wapinzani eee
Mwaka huu mtatwambia mengi😂😂😂😂😂
Jeshi LA police halina chama limepewa thamana ya kulinda nchi na wananchi pamoja na mali zao liache lifanye kazi yake.R.P.C piga kazi babaaaaaa.
hahaha ati ylikamatwa kwa kosa ganii?????? muhhhh kama stor ya sungura na fisi vile
Msukuma unanipaga raha ha ha ha ha aaaaaaa
Msukuma unanipaga raha ha ha ha ha aaaaaaa
mnafki mkubwa
Dah!!!! Malizana nae huyo!!!!!dah anakuona mbwiga pole yake sana mh msukuma nawe umezidi upole inshallah mungu batakusaidia .
Mkuki kwa nguruwe kwa binadam mchungu, tunavyofanyiwa chadema huwa huoni but we leo masaa tu unapanic lema alikaa miezi4 tulia pasi msipende kujipaisha Na vyeo Muwe Na hofu ya Mungu haha wakati wa Bwana waja hakuna cha watanzania wanaelewa unaelewa we mwenyewe
Na msipo mkamata tena huyu msukuma nitashangaa kumbe ana maovu ya watumishi wa serikari huyu jamaa analeta uchochezi cjui yukoje?
mjinga kweli wewe unaakili kweli?
Hahaahhahaha Msukumaaaa
Olais Lukumay jamaa anapovu c mchezo
hahahaha mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu
Pole sana bwana Kwa malalamiko yako Needhani kasikia.
fala wewe
Asingepewa dhamana huyoo
akuombe lathi we nnibhna mkuki kwa nguluwe
Msukuma mm hakukubali sana ila binadamu hao ila police wanakela sana Mungu asaidie police ya Tanzania wafre kwenye roho mbaya
Huyu alitakiwa awekwe ndani na koplo wa Polosi wala si RPC. Asitishe watu/polisi.
koma
Online Trendz
kwanini ungesinga ongea mapema Acha usenge kumbe wewe sio mwenyekiti wewe ufai
kwaiyo wewe ni mwenyeki wa rpc kumbe police wanavyama
big up sana mzukumu
MKUKI KWA NGURUWE....
Eeeerhhh uwwwwe Leo yamemkuta povu jingiiiiii nitunzie nije nifue
agatha M Mapunda mapunda DUH!
ukome
Ningekuwa kiongozi mda huu ungerudi sero, ulikutoa hayo uliyonayo miyoni mwako, kakini yote haya ni uongozi bora wa Dr Rais jpm, Mungu akutie nguvu ili uwe na makamanda wengi km wa geita hii ni ishara kuwa nchi inazidi kuwa Safi, huyo wammkamate aseme aseme, na sheria itende haki....
Jitafakari na ww pia mxkm
safi wamekukomesha wew huna adabu wala akilii.... safi sana walivyosema chakula chako kimwagwe.....
inabidi wakunyooshe wew,kwan mwenyekiti wa chama nan alisema yuko juu ya sheriaaa???
acha zako wew bhanaaa huna jipyaaa....
Safi umeongea point sana mkubwa hawakamati wahalifu wanaogopa
Yangu macho😂😂😂 ungesema alichopereka mbeya alichowekeza geita umesha mwaka mchele kwenye kuku wengi
sipati picha hiyo Tanganyika jeki ulivyobebwa nahicho kimwili RPC kirudishe ndan tena Massa 3000
....."" Leo ni sisi, kesho ni Nape..keshokutwa ni wewe....". Alisema Tundu Lissu
Marco Dominico-Mungu akiponye mja wake! Lissu
Pole sana msukuma
Msukuma deal imegonga mwamba
Hahahahhahaha! Siasa hizi na wana siasa hawa! Tukiwasubiri mtufikishe mmmmmmh! Imekula kwetu! Mkae na mtu ambaye ana mabaya yake! Duh!
Hahaahaa nanyi yawawashe kidogo😅😅😅😅😅
Wewe unaongoza jimbo ndani ya mkoa yeye RPC anaongoza mkoa mzima unahisi nani mkubwa hapo.
Alaf eti aombwe msamaha kenge hanithi huyu
safi sana na uache kimbelembele kujifanya unajua sana kusema wenzio na kama ungekuwa mzalendo ungesema maovu yake toka mwanzo siyo kupigwa Tanganyika jeki ndo unajifanya kutoa mapovuu
pole mkuu mungu nimwema
tunakuunga mkono mbunge wetu na mwenyekiti wetu geita muanike huyo rpc
akamatwe tena na awekwe ndani kwani anaongea nini tena,,wakati suala lenyewe lipo mahakamani
Unabii unaonyesha kwamba huo ndo mwanzo wa machafuko ambayo yatakivaa chama cha CCM na hasa wale wasiyomjua Mungu na huo ni mwanzo tu, yapo yanakuja ni muda umefika Mungu amechoka kuona watu wanamyungu yao kuongoza nchi