DEBORAH AMVUA KOFIA DR.MOHAMED, KUTUA MSIMBAZI | WAZAMBIA MAMBO SHATASHATA KDONDOSHA WINO.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 06. 2024
  • JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
    KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.
  • Sport

Komentáře • 21

  • @mnyongeiddi2454
    @mnyongeiddi2454 Před 2 dny +6

    Hapo kwa kuongea na mutale apana umetupiga na kitu kizito😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l Před 2 dny +2

    SIMBA NGUVU MOJA🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @GABRIELMAKOA
    @GABRIELMAKOA Před 15 hodinami

    Nakubali

  • @khatibkhatib3417
    @khatibkhatib3417 Před 2 dny +1

    Vp kuhusu Mpanzu

  • @IshevannyAnatory
    @IshevannyAnatory Před 19 hodinami

    taarifa za awali zilitoka kuwa Dr Mohamed kafungiwa mbn bdo anaizungumzia Simba???

  • @ayubuashibeli9678
    @ayubuashibeli9678 Před dnem

    Shida tunajuwa sana kuongea ila mwisho wa usajiri ovyoo mtatuua mashabiki

  • @johnurio9151
    @johnurio9151 Před 2 dny

    Tulishawazoea kila mwanzo wa ligi ndo huwa mnacheza huo mpira,yupi onana, miquson, chemalone, Ngoma mlivyojitapa Leo kiko wapi, tunasubiri kwa hamu tuone hizo mbwembwe

  • @AndrewLikiti-yb2ws
    @AndrewLikiti-yb2ws Před 2 dny

    Kwani Mutale si Binadamu? Kwanini asiongee na watu wanamichezo?

  • @PauloMole-lv4tf
    @PauloMole-lv4tf Před 2 dny

    kwanini simba tushindwa wachesaji wasuri kama kina pooku.tunakwama wap ngoja tusubiri

  • @user-qy7pi3xq7v
    @user-qy7pi3xq7v Před 22 hodinami

    Shida hyu jamaa muongo sijuh uongo n fani?

  • @user-sq4sz5jj2g
    @user-sq4sz5jj2g Před 2 dny

    Kizito mno

  • @flova7022
    @flova7022 Před 2 dny +1

    Kuna jjambo simba hhatuko serious

  • @IshevannyAnatory
    @IshevannyAnatory Před 19 hodinami

    Kuna taarifa za awali zilitoka kuwa Dr Mohamed kafungiwa na Simba mbn anazungumza???

  • @patrickimran2645
    @patrickimran2645 Před 2 dny +1

    Huu mfungwa anabwabwaja nini

    • @omarymwenebatu
      @omarymwenebatu Před 2 dny +1

      Mfungwa ni ASHULA CHEUPE umemsahau msemajiwenu wa UTO?

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před 2 dny +1

      ​@@omarymwenebatuAKIKUJIBU NIAMBIE 😂😂😂😂😂

    • @ezekielmlay8219
      @ezekielmlay8219 Před dnem

      Tumekujua timu Mangungu vinganganizi mlioivuruga timu na kushika nafasi mbaya, wasema kweli mnawapiga mazonge

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Před dnem

      ​@@salimmalaka256msubirini Deborah...

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před dnem

      @@mwanangusana MPAKA USEME CHOGO WEWE

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h Před 2 dny

    Kiboko yako ni mangungu, imekubidi ujibembeleze na kuanza kuwasifia, mangungu hachezewi hovyo.