Kindly Dr MO IAM an old Simba member since 1986 i tried to reach the chairman Mr MO but in vain. So kindly convey this message to him without fail I know that you can do it. That Simba should recruit IBENGE IBENGE IBENGE as head coach and his assistant be MGUNDA MGUNDA MGUNDA MGUNDA the two can make a perfect workable combination that will clinch all local trophies including CAF Cups. They have both reputable and proved best history. Simba shouldn't repeat same mistakes that made Simba change about 8 coaches in three years "shame" So kindly insure that the message is delivered to the boss and of course you have to solicit about it
Mbona mnaitaja saaana wydad nawaambia tena na tena na tena wydad msimu huuu Hawapo club bingwa wala shirikisho Africa labda mwakani kwenye ligi wamemaliza wa 6
Akili hamna kocha anakuja tayali mmeisha muandalia usajili bila kijua mahitaji ya kocha,tatizo lipo pale pale,akijua kusema Hawa wachezaji sio wa ubingwa mtamlaumu
We umaeanza kujua mpira mwaka 2000.....lalale tu..wa 2000...nani alikuambia simba haina kocha...... halafu kocha ni mfanyakazi tu kama wengine hawezi ndio maana anaweza fukuzwa timu ikabaki...yeye hawezi kuwapangia waajiri...kama hawezi anasepa..dogo.. mpira usikaririshwe
Ulisikia wapi kocha akiajiriwa na wachezaji wasepe awaajiri yeye..nitajie timu ambayo duniani iliajiri kocha na wachezaji wote...alliowakuta wakafukuzwa..kununua wachezaji sio kazi ya kocha...ndio maana kuna kamati za usajiri za timu na wataalamu 😅😅😅..rudi shule
SIMBA NGUVU MOJA 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤
SIMBA NGUVU MOJA🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Kindly Dr MO IAM an old Simba member since 1986 i tried to reach the chairman Mr MO but in vain. So kindly convey this message to him without fail I know that you can do it.
That Simba should recruit IBENGE IBENGE IBENGE as head coach and his assistant be MGUNDA MGUNDA MGUNDA MGUNDA the two can make a perfect workable combination that will clinch all local trophies including CAF Cups. They have both reputable and proved best history. Simba shouldn't repeat same mistakes that made Simba change about 8 coaches in three years "shame"
So kindly insure that the message is delivered to the boss and of course you have to solicit about it
Huyo siku huzi hamgusi Mangungu, chezea mangungu weee.😊
Mbona mnaitaja saaana wydad nawaambia tena na tena na tena wydad msimu huuu Hawapo club bingwa wala shirikisho Africa labda mwakani kwenye ligi wamemaliza wa 6
Kwan gamond anavyo Kuja alisajili mchezaj gan zaid zaid yakuwakuta
Kusifia mnajua sana, ila wakianza kutokota hamkawii kuwatukana
Team psychologist,nae ni muhimu kwa sasa
Bos hanuniw Mo dwji sarurt kwake turuddishie furaha ilipotea
Utopolo mnadandia habari za Simba maana hakuna sehemu habari zenu zinaandikwa.Pamoja na kuwa mabingwa lakini bariiiidi Kama alivyosema JK
Hawawez Acha kununua mechi,
Huyu jamaaa poyoyo kweli yaaani
Ameamua kusifu kwa kuogopa asije kosa msamaha
Nyie wenye akili hebu acheni kununua mechi tuone ubora wenu
Yanga wenye akili wawili tu kocha wanyoko kwani .mgunda siyupo
Inakuhusu? Kulikoni uwashwe?
Akili hamna kocha anakuja tayali mmeisha muandalia usajili bila kijua mahitaji ya kocha,tatizo lipo pale pale,akijua kusema Hawa wachezaji sio wa ubingwa mtamlaumu
weee ndie huna Akili mbona simba wana kocha ni Mgunda na Matola wee ujui?
We umaeanza kujua mpira mwaka 2000.....lalale tu..wa 2000...nani alikuambia simba haina kocha...... halafu kocha ni mfanyakazi tu kama wengine hawezi ndio maana anaweza fukuzwa timu ikabaki...yeye hawezi kuwapangia waajiri...kama hawezi anasepa..dogo.. mpira usikaririshwe
Ulisikia wapi kocha akiajiriwa na wachezaji wasepe awaajiri yeye..nitajie timu ambayo duniani iliajiri kocha na wachezaji wote...alliowakuta wakafukuzwa..kununua wachezaji sio kazi ya kocha...ndio maana kuna kamati za usajiri za timu na wataalamu 😅😅😅..rudi shule
Chizi mwenda wazimu wew mgunda na matola n nan pale
Hata nabi mbona alisajiliwa kikosi na Hers
MANGUNGU oyeeeeee