Komentáře •

  • @georgegregory8414
    @georgegregory8414 Před dnem +3

    Wewe ni zaidi ya wasemaji wote duniani uongezewe mshahara kwa kweli

  • @drallan6879
    @drallan6879 Před 2 dny +3

    chama is talented player;we should keep him in our club

  • @hamzaamry6251
    @hamzaamry6251 Před dnem +2

    Hakuna mkubwa kwenye timu Simba ya msimu ujao inawezekana bila chama 💪😢

  • @iddimngazija1957
    @iddimngazija1957 Před dnem +1

    Mashindano ambayo yako mbele yetu,vzr sana😀

  • @Mumlion2624
    @Mumlion2624 Před 2 dny +2

    Mnatupa presh juu ya chama semaj kama ameongez mkataba tuambien maan daah

  • @drallan6879
    @drallan6879 Před 2 dny +2

    keep the man he is magnificient

  • @SephaniaSanga
    @SephaniaSanga Před 2 dny +2

    Jamaica chamade ni bora Nassington mashabiki tunaona yuko bora

  • @RahmaKhalfani-qp3vc
    @RahmaKhalfani-qp3vc Před 2 dny +1

    Semaji tumechoka ba mafumbo yasiyo kwisha kuhusu chama naomba utuambie wazi ilitujue

  • @user-gs2ir3bg4j
    @user-gs2ir3bg4j Před 2 dny +1

    Izopesa bola mungefanya usajili mbona munapenda safali sana nyinyi olewenu muje mutuchanga atuta waerewa

  • @abubakarbajun3503
    @abubakarbajun3503 Před 2 dny +1

    Mbona unazunguka sana sema jambo mojaa achaa adisiiiiii

  • @eunho9529
    @eunho9529 Před dnem

    kwa maoni yangu binafsi Simba sc ni muda sahihi ya kuachana na chama kwani hata ukiangalia uwezo wake umeanza kuchuka, hivyo ni kheri kumtafuta mtu mwenye uwezo zaidi ya chama.

  • @user-up4kd4di7h
    @user-up4kd4di7h Před 2 dny +2

    Timu inaondoka lini

  • @DIANAPETER-n7q
    @DIANAPETER-n7q Před 2 dny

    we chama bali simba mimi nakupenda saaaanaaaa

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l Před 2 dny

    mungu ibariki tanzania🎉🎉🎉❤❤❤

  • @user-hu4el2rx2u
    @user-hu4el2rx2u Před dnem +2

    Bado mwamba yupooooooooooooo

  • @yusufulimo5737
    @yusufulimo5737 Před dnem +1

    Huyu ndio ahamed Ali Sasa.

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 Před dnem

      Kuongea ujinga wa kuwafurahisha? Huyu unaona ana akili! Anajirudia mara kumi

  • @akwilaisseri5312
    @akwilaisseri5312 Před dnem

    Mtamua Mzee Saidi Simba sport club

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p Před dnem

    Chama kama angekuwa anabaki angekuwa tayar asahasain ila now tarehe 1 jully tayar mchezaji huru

  • @HamishaiWakishua-oh1ul

    😂😂😂mwamba walusaka naamini tutakuwa nae na tutatambabnae

  • @user-nw9ds9qe5i
    @user-nw9ds9qe5i Před 2 dny

    Bora abaki chama ndani ya Simba bado uwezo anao mkubwa Sana kuitumikia Simba tusimuache mwamba wa Lusaka ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ tunaimani nae chama

  • @JuliusJohn-ce7hr
    @JuliusJohn-ce7hr Před dnem

    Saivi kila andiko unalotaka kuandika unalifuta😂😂😂😂😂😂

  • @OnesmoNyika
    @OnesmoNyika Před dnem

    Tumeskia chama hayupo tena Simba nyosha maekezo 😅

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 Před dnem

    Simba wanasema kazeeka🤣🤣🤣leo wanajua anaondoka,wanasifia ! Huo ndo mgawanyiko wa simba! Akibaki,walimtukana?? Jibu ,HABAKI!

  • @OnesmoNyika
    @OnesmoNyika Před dnem

    So kweli katoka mwamba

  • @othmanmagoma6213
    @othmanmagoma6213 Před 2 dny

    Niseme tu viongozi na huyu mwanahabari asiwafanye watu ndundusa. Semeni kiume hapo watu wajue moja. Na mkimuacha kisha baadae mpigwe mabao na timu yoyote ile ya Bongo ndipo mtakapojua mbichi au mbivu kwa hawa ndundusa.

  • @husseinsalumu6214
    @husseinsalumu6214 Před dnem

    mm nafikili swalamoja nazani tunajuwa misimu 3 mfulu lizo atuna furaha kabisa wana simba sasa wazo langu mm iyo pesa itayo tumika kwenda uko misr tuta fute mbonge lamchezaji mtu wakazi kazi kumzidi chama maana ss tunajuwa chama tena 😂😂😂😯.

  • @MikaLota
    @MikaLota Před 2 dny

    Nyoosha maelezo,mbona unazunguka mbuyu.mana siyo kawaida yako kama jamaa chama yupo ungejimwambafay lakini kinyoooongee. Imeenda iyo.

  • @noelymwakasege2428
    @noelymwakasege2428 Před dnem

    Mh uku awez kuondoka mala watakao mchukua watakuwa kam fisi tueelewe lip saa

  • @drallan6879
    @drallan6879 Před 2 dny

    kauli zako Ahmed ni za kisiasa :hopeless;hamna uwezo WA kumlipa so stinge Mo

  • @samwelllazaro87
    @samwelllazaro87 Před 2 dny

    Nyoshaah

  • @JumaHUssi
    @JumaHUssi Před dnem

    Mbona ngonjera nyingi, jibu, yupo au hayupo?. wewe mwenyewe umesema ni mchezaji huru, hivyo nafasi yenu kwa chama ni Hela tu, maamuzi ni ya chama.

  • @salumhassan4309
    @salumhassan4309 Před 2 dny

    Nyie mnao ongea anyooshe maneno kwani yeye ndio anae sajili yeye msemaji tu anatangaza kilicho andaliwa kwasabau ashakuwa muwazi kuwa tusubilie viongozi ndio watakao amua hafai aachwe

  • @MohamedFundikila
    @MohamedFundikila Před 2 dny

    Sura yako tu inaonyesha chama hayupo simba

  • @MusaKatenga
    @MusaKatenga Před 2 dny

    Chama kabaki au

  • @josephnyatugara6422

    😂😂😂😂😂semaji lenye gundu kukosa makombe hadi chama kuondoka

  • @mosesdavid-vm5hk
    @mosesdavid-vm5hk Před dnem

    CHAMA kaenda JANGWANI MAMAE SIJAPENDA KABISA ASE

  • @kassimmwawado7002
    @kassimmwawado7002 Před 2 dny

    Wanapenda sana kuwadanganya Wanasimba..kwa porojo zisizo kuwa na kichwa wala miguu! Pathetic!

  • @ezzepuritykamwene2121

    Huyu abaki mpk afie msimbaziii

  • @BeniYaredy
    @BeniYaredy Před 2 dny

    Mbona mnatumia nguvu sana

  • @JohanesPatrick
    @JohanesPatrick Před 2 dny

    Sema ukwer konanyingi xana wambie watu ukwer

  • @ElishaOisso
    @ElishaOisso Před dnem

    Kama mnata kujenga timu chama asibaki

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 Před dnem

    Huyu kula yake kuongea! Subirini muone🤣🤣

  • @jumanakamo5503
    @jumanakamo5503 Před dnem

    Walisaini vipi wakati wanajua walichelewa kulipa? waandishi wa Tanzania mmmmmh!

  • @user-up4kd4di7h
    @user-up4kd4di7h Před 2 dny

    Hapo umeongea ukweli

  • @hidayampakate2380
    @hidayampakate2380 Před dnem

    Mbona umechukua muda mrefu kuwa ambia kuwa mmemuacha

  • @AlexGwambie-xr2hm
    @AlexGwambie-xr2hm Před dnem

    Ashasepa mna hio msemo BC kishaumana Chama jina lake lisahaulike

  • @user-er9xv9yz7b
    @user-er9xv9yz7b Před 2 dny +1

    Yaani porojo tu chama kaishaondoka kitambo na kesho anatambulishwa kwa wananchi

    • @Gisakijamaduda
      @Gisakijamaduda Před 2 dny +1

      Yanga hana hela ya kumlipa chama

    • @EliaMkumbo-wn7bm
      @EliaMkumbo-wn7bm Před 2 dny

      ​@@Gisakijamadudakesho utajua kama yanga hawana Hela sijui akina Aziz k pacome diara aucho wanalipwaga mawe kwahiyo nyie makoroboi ndo munahela tu je azam

    • @user-id5oc7hm4n
      @user-id5oc7hm4n Před 2 dny

      ​@EliaMkumb-wn7bm mjifaliji Ivo Ivo,,, mlisena Mzee vp Leo Kawa kijana 😂😂😂wagogo me

  • @hasanimkamba8377
    @hasanimkamba8377 Před dnem

    makoro mwenyekili hamna kabisa kila siku chama chama kwaiyo kumbe nyie bila chama hamna timu

  • @user-zh1fd8zv1x
    @user-zh1fd8zv1x Před 2 dny +2

    Acheni kumpandisha kiburi uyo chama

  • @malietamalieta9658
    @malietamalieta9658 Před 2 dny

    Maneno na kusajili tu kuchukua ubingwa aaah

  • @user-vg9bu6zv8v
    @user-vg9bu6zv8v Před dnem

    Mbona jobe mmmmmm

  • @maxwellmarko7007
    @maxwellmarko7007 Před dnem +1

    Umeznguka tuu sem anaondokaa

  • @KabungaKalla-fw4pp
    @KabungaKalla-fw4pp Před 2 dny

    Kwani mwaka Jana mlikuwa mnatania

  • @KabungaKalla-fw4pp
    @KabungaKalla-fw4pp Před 2 dny

    Waambie tu mwamba Kagoma KK usaini . Huna lolote zaidi ya kuzuwia taharuki.

  • @ChalambaMrisho
    @ChalambaMrisho Před 2 dny

    Chama tunamuhitaji acheni brabraa, fanyeni uamuzi wa busara

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 Před dnem

    Bango kesho🤣🤣🤣🤣Chama Yanga!

  • @pius-john4212
    @pius-john4212 Před 2 dny

    Hivi ni lini viongozi wasimba watakuwa wawaziii??

  • @hidayampakate2380
    @hidayampakate2380 Před dnem

    Unawapa moyo alafu unatoka kwenye mada

  • @KabungaKalla-fw4pp
    @KabungaKalla-fw4pp Před 2 dny

    Aibuuuuu!!!!!!!

  • @KazunguFrancis-j3z
    @KazunguFrancis-j3z Před dnem

    🎉tafta hela

  • @timothyberege2594
    @timothyberege2594 Před 2 dny +3

    Mbona maelezo marefu sana dalili sio nzuri 😂😂😂😂😂

    • @EliaMkumbo-wn7bm
      @EliaMkumbo-wn7bm Před 2 dny

      Chama ni mwananchi hadi saiv huyu kichaa anajing'ata ng'ata bure tu koroboi eti wakimchukua watakuwa mafisi huy jamaa ni taira yan

    • @revocatusmalimi4525
      @revocatusmalimi4525 Před 2 dny

      Pamoja na upendo wetu kwake,kama yeye mwenyewe haoni upendo huo na kung'ang'ania aondoke ni kumwacha ili astusumbue asije akaendelea kudengua.

  • @user-zh1fd8zv1x
    @user-zh1fd8zv1x Před 2 dny +1

    Tungemuacha tu amishaanza kutuletea visa sana kwa ilo m'mekosea

  • @EvadeusGonge
    @EvadeusGonge Před dnem

    Chama abaki

  • @mrishojuma4695
    @mrishojuma4695 Před dnem

    Semeni kweli kenge nyie kachukuliwa na Yanga ndiyomaana unazunguuka zunguuka tu. Mwaka huu hamko nae paka nyie

  • @user-er9xv9yz7b
    @user-er9xv9yz7b Před 2 dny +3

    We sema tu kaenda yanga maneno mengi wakati chama kesho yupo zake yanga

  • @BeniYaredy
    @BeniYaredy Před 2 dny

    Tatizo mashabiki madinduka au makolo uyu fala ana wadanganya sana liongo hatal fukuzeni linamkos

    • @OmaryAllykumba
      @OmaryAllykumba Před dnem

      Acha matus kaka mtu Yuko kazini kama inakukera usiangalie

  • @Manywele.Maluja
    @Manywele.Maluja Před 2 dny +3

    Hata kuongea hajiwezi masikini anazungukaa kama anaosha pipa hapo hapo anajichanganya..Eti hakuna timu yeyote hapa tz inaweza kumlipa chama hapohapo madunduka wanapiga makofi kwa furaha akajisahau tena kama watamchukua bac watakuwa kama mafisi tuh... Madunduka wakabaki wanyonge maskini duh...Mbona unatumia nguvu kubwa sanaaa

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv Před dnem +1

    Ahmed Ally kwenye siasa zake 😂😂

  • @dismaskullaya8520
    @dismaskullaya8520 Před 2 dny

    😢😢

  • @jadhirybenneth3138
    @jadhirybenneth3138 Před dnem

    Kweli ahmed ally ni kichwa tenge anaongea mambo na kuyasahau mda huo jmn fara ni fara tu

  • @user-oj4wp7qv6x
    @user-oj4wp7qv6x Před 2 dny +1

    Mashabiki wa 5imba mnaandaliwa kisaikolojia chama bye bye 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @MarryRashidi
    @MarryRashidi Před dnem

    Huyo dogo kutoka moroco yupo kwel au cheche2

  • @dismaskullaya8520
    @dismaskullaya8520 Před 2 dny

    6:56 😅

  • @hajingangila1558
    @hajingangila1558 Před dnem +2

    Wewe siasa sasa za nn maneno umeongea mengi sana sema neno moja bado maamuzi hayajatoka au hatunae au tunae unapoteza sv zako kwa maneno mengi sana unajua nakukubaki sana hujui tu.

  • @drallan6879
    @drallan6879 Před 2 dny

    too much politics tatizo anaenda wapi yanga it's a defeat to you by yanga;

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p Před dnem

    Xavi mtupu

  • @jamesmwandu9295
    @jamesmwandu9295 Před 2 dny

    Ukitaka ujue kwamba Simba Mashabiki kweli ni mbumbumbu kama alivyosema Aden Rage ni kwenye hii speech ya Ahmed Ally yani hapa mpka saizi hajui kama wanapigwa porojo na Bado wanapiga makofi

  • @girbetpaul8309
    @girbetpaul8309 Před 2 dny

    Mwamba wa Lusaka simba ni nyumbani, haiwezi kwenda kutengeneza madeni ya kuidai timu na kupelekana cas mwambaaaaa

  • @nizoplatinumztz8025
    @nizoplatinumztz8025 Před 2 dny

    Jichetue tu

  • @edsonchristian5806
    @edsonchristian5806 Před 2 dny

    Kama una D 2 lzm uelewe

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v Před 2 dny

    SIMBA WAMEKOSA FEDHA CHAMA AMEENDA YANGA AHMED ALI ANAENDELEA KUWAJAZA UMBUMBUMBU

  • @christopherngiga9349
    @christopherngiga9349 Před 2 dny +2

    Acha polojo zako unaongea maneno mengi sana wenye akili tumeelewa

  • @drallan6879
    @drallan6879 Před dnem

    mmepoteza chama ubahili;umempoteza beki wacost ubahili;majibu ya Simba so sahibi;ubahili mtupu;we are touched if chama is lost to yanga

  • @allykamal-r8z
    @allykamal-r8z Před 2 dny

    tunafeli

  • @zenahussein2242
    @zenahussein2242 Před dnem

    Hapa hali tayari ishakuwa mbaya kwa simba, chama ni mwananchi hapa. Wameshindwa kufika bei. Yani hakuna chakuongea kipya hapo 😂😂

  • @RamadhaniDaudi-p6i
    @RamadhaniDaudi-p6i Před dnem

    Jasho jingi sana linamtoka uyu jamaa kwasababu ya chama

  • @ushiwamarandu7433
    @ushiwamarandu7433 Před 2 dny

    KWA KWEL HAPO NDIYO NAAMIN KUWA SIMBA INATATIZOZO KUBWA HASA KUANZIA KWA VIONGOZI HASWAAAA....!

  • @JOVINSAMSON
    @JOVINSAMSON Před 2 dny

    Semaji unachelewesha mambo tupe habari kamili

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 Před dnem

      Hakuna khabari,kesho utasikia Yanga wakitangaza Chama 🤣🤣🤣

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 Před dnem

      Kwa hiyo usajili wa simba ni chama tu?! Mo anajua kuwachezea Makolo! Ongelea chama,watatulia! Unaongelea jezi,watu WANATAKA KUJUA USAJILI! MO HUYOO🤣🤣🤣🤣🤣

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 Před 2 dny

    Hayupo acha rongo rongo ww mbana pua.

  • @jovinmashauri7883
    @jovinmashauri7883 Před dnem

    jamaa anatumia kauli ya maanufaa ya simba😂 kuwapoza mashabiki tu😂 sema iv jamaa ashatoka tayar acha uongo ahmed😂

  • @AsiaNgoleka
    @AsiaNgoleka Před 2 dny +1

    Mnazidi kumsingizia eti kauza mechi eti hatufai Leo mnamtaka Tena? Kaenda yangaaas.

  • @mussandikumana3561
    @mussandikumana3561 Před 2 dny

    Chama kisha ondoka anashindwa kuongeya ukweli lakini wachezaji kama Chama ni wengi tuu

  • @ip_header
    @ip_header Před dnem

    Ogopa technology, baada ya
    Misimu mi3
    Bila taji lolote muhimu.

  • @nasrakambimton9522
    @nasrakambimton9522 Před dnem

    Jamani msituchoshe kama anabaki saw anakwenda saw tumechoka kelele za chama xhamc

  • @giftmkwawa3003
    @giftmkwawa3003 Před 2 dny +2

    Mwamba kaamua kufanya umwamba wake

  • @musaminza4920
    @musaminza4920 Před 2 dny +1

    maneno haya mbona kama ni ya sizitaki mbichi hizi!?🤣🤣

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p Před dnem

    Hatuzitaki jezi kama hamjasajili watu wamana tunagoma kununua jez

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p Před dnem

    Yoga ww

  • @isakanandamule
    @isakanandamule Před 2 dny

    Chama chama eeeeeh tumechoka sasa ifikie wakt iwe bx bwan

  • @manboy2423
    @manboy2423 Před 2 dny

    😂😂😂😂