WAMENIIBIA MIL 21MKUU WA MKOA AMESHIRIKI ||WANANIFUKUZA MAHAKAMANI || MKUU UMESIKIA NAKUJA UMEKIMBIA

Sdílet
Vložit

Komentáře • 87

  • @japhethchristopher1952
    @japhethchristopher1952 Před 5 měsíci +7

    CMD makonda mwenyezi mungu akupe maisha malefu

  • @JlmwinukaOnlineTv
    @JlmwinukaOnlineTv Před 4 měsíci +3

    Safi muheshimiwa

  • @feliciarfrancis2388
    @feliciarfrancis2388 Před 5 měsíci +5

    Mungu akulinde The Horn P. Makonda

  • @AmijomaAmijoma
    @AmijomaAmijoma Před 4 měsíci +1

    Mh. Makonda, hongera sana kwa kazi na Mungu akulinde. Tunaomba uje na HUKU UKONGA KIPUNGUNI. WAZAZI WETU WAMECHOSHWA KUAHIDIWA MALIPO YA MAENEO YAO BILA MAFANIKIO. MIAKA YAPATA 45 HAKUNA KUENDELEZA MAENEO YAO NA WALIPEWA AMRI WASIFANYE CHOCHOTE NA WASUBIRIE MALIPO YAO. TUNAOMBA HAKI ITENDEKE WALIPWE FEDHA ZAO ILI WAONDOKE NA HAWALIPWI MHESHIMIWA. NJOO TU UTUKOMBOE BABA MAKONDA. ASANTE..

  • @jameskaizilege1692
    @jameskaizilege1692 Před 4 měsíci +2

    Watu wanzulumiwa niwengi no nchini tz makonda tuokoe mikoa nawilayani tuna shida sana

  • @niyomugabojohn8329
    @niyomugabojohn8329 Před 5 měsíci +7

    Makonda amemeza roho ya Magufuri kabisa

  • @asiamwanukuzi5085
    @asiamwanukuzi5085 Před 4 měsíci +1

    Kaka makonda mungu aendelee kukulinda

  • @shebbyelphonce8514
    @shebbyelphonce8514 Před 4 měsíci +4

    Brother may God be with you ❤

  • @hassanndabila8244
    @hassanndabila8244 Před 5 měsíci +3

    Katiba tu inatosha kuliko kumsumbua mungu Kwa mambo tunayoweza wenyewe

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts Před 4 měsíci +1

    Makonda nakupendaaa😭 mimi ni muhanga, nayajua maumivu ya kudhulumiwa ardhiiii😭

  • @user-zi1gp6dc2q
    @user-zi1gp6dc2q Před 4 měsíci +3

    Uyu makonda mungu yuko ndani yake

  • @user-tm3dx2ey7j
    @user-tm3dx2ey7j Před 5 měsíci +5

    Wasomi ni wengi Kwa nini watumishi wanaichafua selikali fukuzeni wazembe wote kazini ajirini wengine

  • @ismaildavid6970
    @ismaildavid6970 Před 5 měsíci +6

    wala sio viongozi shida ni ccm haina watu wa kuongoza nchi kuna wezi tu.

    • @MtuSafi
      @MtuSafi Před 4 měsíci

      sasa hapo umeongea nini?

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 Před 4 měsíci

    Safi Mheshimiwa Makonda wongozi mzuri kwa Wananchi na hasa wanyonge asante

  • @chemli23
    @chemli23 Před 5 měsíci +5

    Polisi wenye vyeo vikubwa wapi dar wanakula gud taim na watu wanateseka haya

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 Před 5 měsíci +4

    ina maana Tz kuna ubaguzi sana

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 Před 4 měsíci +1

    Ni biashara gani unaifanya mama mpaka wanakuibia hela cash

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts Před 4 měsíci +1

    Jamani watendaji wa Serikali kwa nini mnawaangusha viongozi wetu wa juu?
    Mhshmw mama Samia, tunauona utendaji wako, Mungu azidi kukulinda mamaaa😭
    Makonda mwanangu, kiongozi wetu mkweli, njoo Arushaaa😭

  • @user-nk4oq4ek9y
    @user-nk4oq4ek9y Před 5 měsíci +6

    Uyu makonda ako kama baba makufuli akii uyu anafaa

  • @humphreymkony8915
    @humphreymkony8915 Před 5 měsíci +4

    Hawa wakuu wa mikoa wanaotuhumiwa kuiba ni watu wa aina gani? Mhe Rais Samia tafadhali kuwa macho na hawa maRC. Hawakusaidii.

  • @user-xc8ec5uc5e
    @user-xc8ec5uc5e Před 4 měsíci +1

    Njoo na mwanza

  • @gladistaemanueliy6336
    @gladistaemanueliy6336 Před 3 měsíci

    Mungu akulinde makonda rais wetu ajaye

  • @willydugilo3258
    @willydugilo3258 Před 4 měsíci +1

    Maandiko yanasema!! Haki ya mungu huinua taifa! Nayo amani furaha ya wengi!!

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 Před 4 měsíci +1

    Makonda jamani unanichekesha kweli kweli

  • @maryambarayan7599
    @maryambarayan7599 Před 4 měsíci +1

    MAKONDE WAKONDESHE😂😂😂😂

  • @user-ih6is7ql6y
    @user-ih6is7ql6y Před 5 měsíci +3

    SANAA TUPU... HII NI KUWADHALILISHA WANANCHI KWASABABU HAKUNA SULUHISHO KWA LOLOTE ZAIDI YA WATU KUJIANIKA SHIDA ZAO.

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula Před 4 měsíci +1

    Yawezekana polisi alijengq kwa kiwanja.chq huyo.mwanqmke.

  • @uwezawamungumkuu.amaniafrika
    @uwezawamungumkuu.amaniafrika Před 5 měsíci +2

    Hizi mali za dunia zitatupeleka wapi?. Hawa watendaji wa serikali tatizo lao nini?. Kutatua matatzo ya watanzania nini kinawashinda?.

  • @halima_Paulin
    @halima_Paulin Před 4 měsíci +1

    Mhhhhh kumbe watuKama hawa wapo ndomaana mafuriko hayaishi

  • @TulloMhombo
    @TulloMhombo Před 5 měsíci +3

    Ukweli huwezi kuupata hapa kikaoni. Mpaka afisa ardhi afike ofisini afuatilie nyaraka husika apate ukweli wa umiliki, tusikurupuke, kesi zitarudi upya

    • @alexanderkapinga700
      @alexanderkapinga700 Před 4 měsíci

      Sasa wewe ambaye hujakurupuka mbona hujatatua mpaka aje Makonda sasa

  • @EliaHiluka-ep3tp
    @EliaHiluka-ep3tp Před 4 měsíci +1

    Kaka Makonda ujue kwamba Mwenye haki akitawala tawala taifa hufurahi Bali mtu mwovu akitawala taifa huugua hivyo wanaotawala katika maeneo hayo inaonyesha sio wenye haki ndio maana haki za watu zinazodhulumiwa

  • @Fundi12345
    @Fundi12345 Před 5 měsíci +2

    Aende wapi mahakamani ndiko kesi za watu wengi wanafatilia mbaka wanakufa kesi bado zinasomwaga ujinga san wadogo wanaharibu san utawara wa nchi mana juuu huko anaon kira kitu saf kumbe huku mitaani ni tabu sana

  • @user-hj4sy9fy4g
    @user-hj4sy9fy4g Před 5 měsíci +2

    Wamesahau, enzi zetu,mambo yote, ni kwenda ofisi za CCM, turudi huko tena, vituo vya majamaa, hazina maana!

  • @uwezawamungumkuu.amaniafrika
    @uwezawamungumkuu.amaniafrika Před 5 měsíci +1

    Wao ndiyo chanzo kikubwa cha kukimbizwa. Wameshindwa kuwaheshimu Waume zao na ndoa zao. Haki imekua tatizo Paulo. Mungu mkuu aturehemu. Amen.

  • @FloridaAdelinus
    @FloridaAdelinus Před 5 měsíci +8

    MTOENI MBARIKIWA GEREZANI, MLIMFUNGA BILA HATIA, WENYE HATIA WAKO MITAANI WANAENDELEA KUDHULUMU WATU.

    • @melanialeonard4031
      @melanialeonard4031 Před 5 měsíci +2

      Acha afie gerezan au aombe gereza lifunguke lenyewe watu wamefungwa maisha kwa makosa ya kusingiziwa itakuwa huyo anatukana mpk serikali afie huko tupate simulizi za kusimulia kwa watoto wetu badae

    • @fidelismwakanyamale6787
      @fidelismwakanyamale6787 Před 5 měsíci +1

      Huyu mchungaji wenu ni fala acha.afie uko gerezanj. Tuna taka nchi itulie.tumechokaa
      Na habari za barikiwa

    • @thaddeojude7511
      @thaddeojude7511 Před 5 měsíci +1

      Kama yeye kweli ni mbarikiwa na avunje gereza na atoke...Yeye kwa nn alijiingiza kwenye siasa akaacha kanisa..halafu wanasiasa wenyew aliokuwa anawatetea wapo wanaendelea kula bata huku mitaan badala ya kwenda kujiunga na kumtetea Mbarikiwa.Siasa na Dini haviendani.

    • @Ernestlaiza
      @Ernestlaiza Před 5 měsíci

      ​@@melanialeonard4031huna haya na aibu,

    • @faustinedeogratias4337
      @faustinedeogratias4337 Před 4 měsíci

      ​@@melanialeonard4031soma tena ulichokiandika

  • @hujulathkashaija7901
    @hujulathkashaija7901 Před 4 měsíci +1

    rai tv tupo pamoja

  • @user-vn1cu7ts3k
    @user-vn1cu7ts3k Před 4 měsíci +1

    Sijui ulijuaje kama tunapitia mambo magum jamani.

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula Před 5 měsíci +2

    Kila.marq kuibowa wewe tuu jinga sana wee dada

  • @user-uo8ut8fv6i
    @user-uo8ut8fv6i Před 5 měsíci +3

    Pigakazi dogo

  • @Yomiyomi6897
    @Yomiyomi6897 Před 5 měsíci +2

    Tanzania hujidai eti ina amani. Oneni madudu anayofumuliwa nayo Makonda. Hata kama eti hana mandate ya.mwisho, still inaonyesha how Hod-less Tanzania has become. Yana mwisho. Mungu atatuua woteee

  • @user-us1oc6ej3l
    @user-us1oc6ej3l Před 4 měsíci +2

    Fanyakazi makonda wanamchi tumekukubali

  • @amosisayi7540
    @amosisayi7540 Před 4 měsíci +1

    Hakustahili apande kwenye adhabau hadi siku 7😊

  • @ezraochora8495
    @ezraochora8495 Před 5 měsíci +1

    Makonda.acha.kuchezea.jina.la.mungu.bure.sema.tuondoe.ccm.sio.tumuombe.mu ngu.atendemiujiza..hapa.tatizo.ni.serekali.ya.ccm..nawewe.ni.ccm.makonda.acha sanaa

  • @yassinlumbe2678
    @yassinlumbe2678 Před 5 měsíci +1

    Mama haelewi alipoenda kudai haki yake alipaswa apewe elimu

  • @radhiaally4872
    @radhiaally4872 Před 5 měsíci +1

    Sisi wenzio tulisha sahau kama kuna vyombo vya kutoa haki tujuavyo kuna vibaka waliosoma na kuvaa suti

  • @DieuIlanga
    @DieuIlanga Před 4 měsíci +1

    🇺🇲

  • @mashauriobedi6290
    @mashauriobedi6290 Před 5 měsíci +2

    Mahakama na jeshi la polisi ni mizigo isiyo na Faida,kazi ni Kula rushwa Kwa bodaboda.

  • @user-cj2iq1qv6n
    @user-cj2iq1qv6n Před 4 měsíci

    MAKONNDA NCHI HII WEZI NA MATAPELI WAKO CCM NA CCM NDIO CHANZO CHA MATATOZO YOTE UNACHOFANYA WW NI KOMEDY BABU

  • @elifasimwigema1327
    @elifasimwigema1327 Před 4 měsíci

    Makonda we we mbona kama unanikumbusha magufuli weweeeee! Ah!

  • @rispersum3235
    @rispersum3235 Před 4 měsíci +1

    Mambo nimazito

  • @alexanderkapinga700
    @alexanderkapinga700 Před 4 měsíci

    Alafu anatokea Punguani anaitwa mwanasheria mkuu yuko dar anasema eti aunde mahakana nyingine

  • @joelsaganya4077
    @joelsaganya4077 Před 5 měsíci +2

    Maharaja zetu zero kabisa

  • @hamisimuhunzi7916
    @hamisimuhunzi7916 Před 5 měsíci +2

    mama nenda mahakamani ndio huko haki inapatikana CCM sio mahakama

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si Před 5 měsíci +1

    Makonda. Piga mwingi

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 Před 4 měsíci

    Askari huoni aibu?unamchuna mmama wa wa2,unatafuta laana na huyo dog uloowa,acha dhuluma.

  • @LibanleylaMuhidin
    @LibanleylaMuhidin Před 5 měsíci +2

    Wewe mwanaume unamaking😂 faces au na wewe ndo wale wale 😂😂😂😂

  • @johnjoel5012
    @johnjoel5012 Před 4 měsíci

    Mahakama imeozaaa

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Před 5 měsíci +1

    Usanii mtupu mwisho wa maji tope

  • @caashamacalini3887
    @caashamacalini3887 Před 5 měsíci +2

    Hiyo ndio ccm kazi kuonewa wananchi alafu wanataka kula tu kazi hizi alitakiwa Raisi anafanya kama magufuli ama mawaziri lakini hawajiwezi hata kidogo sasa hii ni aibu kwa ccm makonda anafichua mambo mengi watu hawasikilizwi huko polis na mahakamani ni hovyo watu hawatendi haki

  • @stevenmarunda4353
    @stevenmarunda4353 Před 5 měsíci +1

    Makonda kama unaongea kutoka moyon Mungu akulinde binafisi uwaga siamin kiongozi yeyote wakitanzania kwenye idara yeyote

  • @mosesmnyantope9534
    @mosesmnyantope9534 Před 4 měsíci +1

    M

  • @user-ix9fv5xq1h
    @user-ix9fv5xq1h Před 4 měsíci

    Rais 2030 baada ya mama.pinga wakucheke.

  • @Yomiyomi6897
    @Yomiyomi6897 Před 5 měsíci +4

    Hakuna haki. Dhuluma. Rushwa. Uonevu. Tanzania is a lawless society. Tumelaanika mnooo

    • @emakoresahili
      @emakoresahili Před 5 měsíci

      Yaan nchi hii watu wanaumia sana hadi ni aibu kwa nchi zingine.

    • @user-qm4bi9wg5k
      @user-qm4bi9wg5k Před 5 měsíci

      Yaani watu wana shida Kubwa sanaaa, fikiria kesi za mirathi miaka 10 jamani,