Mh. Makonda, hongera sana kwa kazi na Mungu akulinde. Tunaomba uje na HUKU UKONGA KIPUNGUNI. WAZAZI WETU WAMECHOSHWA KUAHIDIWA MALIPO YA MAENEO YAO BILA MAFANIKIO. MIAKA YAPATA 45 HAKUNA KUENDELEZA MAENEO YAO NA WALIPEWA AMRI WASIFANYE CHOCHOTE NA WASUBIRIE MALIPO YAO. TUNAOMBA HAKI ITENDEKE WALIPWE FEDHA ZAO ILI WAONDOKE NA HAWALIPWI MHESHIMIWA. NJOO TU UTUKOMBOE BABA MAKONDA. ASANTE..
Jamani watendaji wa Serikali kwa nini mnawaangusha viongozi wetu wa juu? Mhshmw mama Samia, tunauona utendaji wako, Mungu azidi kukulinda mamaaa😭 Makonda mwanangu, kiongozi wetu mkweli, njoo Arushaaa😭
Kaka Makonda ujue kwamba Mwenye haki akitawala tawala taifa hufurahi Bali mtu mwovu akitawala taifa huugua hivyo wanaotawala katika maeneo hayo inaonyesha sio wenye haki ndio maana haki za watu zinazodhulumiwa
Aende wapi mahakamani ndiko kesi za watu wengi wanafatilia mbaka wanakufa kesi bado zinasomwaga ujinga san wadogo wanaharibu san utawara wa nchi mana juuu huko anaon kira kitu saf kumbe huku mitaani ni tabu sana
Acha afie gerezan au aombe gereza lifunguke lenyewe watu wamefungwa maisha kwa makosa ya kusingiziwa itakuwa huyo anatukana mpk serikali afie huko tupate simulizi za kusimulia kwa watoto wetu badae
Kama yeye kweli ni mbarikiwa na avunje gereza na atoke...Yeye kwa nn alijiingiza kwenye siasa akaacha kanisa..halafu wanasiasa wenyew aliokuwa anawatetea wapo wanaendelea kula bata huku mitaan badala ya kwenda kujiunga na kumtetea Mbarikiwa.Siasa na Dini haviendani.
Tanzania hujidai eti ina amani. Oneni madudu anayofumuliwa nayo Makonda. Hata kama eti hana mandate ya.mwisho, still inaonyesha how Hod-less Tanzania has become. Yana mwisho. Mungu atatuua woteee
Makonda.acha.kuchezea.jina.la.mungu.bure.sema.tuondoe.ccm.sio.tumuombe.mu ngu.atendemiujiza..hapa.tatizo.ni.serekali.ya.ccm..nawewe.ni.ccm.makonda.acha sanaa
Hiyo ndio ccm kazi kuonewa wananchi alafu wanataka kula tu kazi hizi alitakiwa Raisi anafanya kama magufuli ama mawaziri lakini hawajiwezi hata kidogo sasa hii ni aibu kwa ccm makonda anafichua mambo mengi watu hawasikilizwi huko polis na mahakamani ni hovyo watu hawatendi haki
CMD makonda mwenyezi mungu akupe maisha malefu
Safi muheshimiwa
Mungu akulinde The Horn P. Makonda
Mh. Makonda, hongera sana kwa kazi na Mungu akulinde. Tunaomba uje na HUKU UKONGA KIPUNGUNI. WAZAZI WETU WAMECHOSHWA KUAHIDIWA MALIPO YA MAENEO YAO BILA MAFANIKIO. MIAKA YAPATA 45 HAKUNA KUENDELEZA MAENEO YAO NA WALIPEWA AMRI WASIFANYE CHOCHOTE NA WASUBIRIE MALIPO YAO. TUNAOMBA HAKI ITENDEKE WALIPWE FEDHA ZAO ILI WAONDOKE NA HAWALIPWI MHESHIMIWA. NJOO TU UTUKOMBOE BABA MAKONDA. ASANTE..
Watu wanzulumiwa niwengi no nchini tz makonda tuokoe mikoa nawilayani tuna shida sana
Makonda amemeza roho ya Magufuri kabisa
Kaka makonda mungu aendelee kukulinda
Brother may God be with you ❤
Katiba tu inatosha kuliko kumsumbua mungu Kwa mambo tunayoweza wenyewe
Makonda nakupendaaa😭 mimi ni muhanga, nayajua maumivu ya kudhulumiwa ardhiiii😭
Uyu makonda mungu yuko ndani yake
Wasomi ni wengi Kwa nini watumishi wanaichafua selikali fukuzeni wazembe wote kazini ajirini wengine
wala sio viongozi shida ni ccm haina watu wa kuongoza nchi kuna wezi tu.
sasa hapo umeongea nini?
Safi Mheshimiwa Makonda wongozi mzuri kwa Wananchi na hasa wanyonge asante
Polisi wenye vyeo vikubwa wapi dar wanakula gud taim na watu wanateseka haya
ina maana Tz kuna ubaguzi sana
Ni biashara gani unaifanya mama mpaka wanakuibia hela cash
Jamani watendaji wa Serikali kwa nini mnawaangusha viongozi wetu wa juu?
Mhshmw mama Samia, tunauona utendaji wako, Mungu azidi kukulinda mamaaa😭
Makonda mwanangu, kiongozi wetu mkweli, njoo Arushaaa😭
Tamaa
Uyu makonda ako kama baba makufuli akii uyu anafaa
Hawa wakuu wa mikoa wanaotuhumiwa kuiba ni watu wa aina gani? Mhe Rais Samia tafadhali kuwa macho na hawa maRC. Hawakusaidii.
Njoo na mwanza
Mungu akulinde makonda rais wetu ajaye
Maandiko yanasema!! Haki ya mungu huinua taifa! Nayo amani furaha ya wengi!!
Makonda jamani unanichekesha kweli kweli
MAKONDE WAKONDESHE😂😂😂😂
SANAA TUPU... HII NI KUWADHALILISHA WANANCHI KWASABABU HAKUNA SULUHISHO KWA LOLOTE ZAIDI YA WATU KUJIANIKA SHIDA ZAO.
Tuthibitishie kwa kutuonyesha ulichodanganywa {huna jema}
Yawezekana polisi alijengq kwa kiwanja.chq huyo.mwanqmke.
Hizi mali za dunia zitatupeleka wapi?. Hawa watendaji wa serikali tatizo lao nini?. Kutatua matatzo ya watanzania nini kinawashinda?.
Mhhhhh kumbe watuKama hawa wapo ndomaana mafuriko hayaishi
Ukweli huwezi kuupata hapa kikaoni. Mpaka afisa ardhi afike ofisini afuatilie nyaraka husika apate ukweli wa umiliki, tusikurupuke, kesi zitarudi upya
Sasa wewe ambaye hujakurupuka mbona hujatatua mpaka aje Makonda sasa
Kaka Makonda ujue kwamba Mwenye haki akitawala tawala taifa hufurahi Bali mtu mwovu akitawala taifa huugua hivyo wanaotawala katika maeneo hayo inaonyesha sio wenye haki ndio maana haki za watu zinazodhulumiwa
Aende wapi mahakamani ndiko kesi za watu wengi wanafatilia mbaka wanakufa kesi bado zinasomwaga ujinga san wadogo wanaharibu san utawara wa nchi mana juuu huko anaon kira kitu saf kumbe huku mitaani ni tabu sana
Wamesahau, enzi zetu,mambo yote, ni kwenda ofisi za CCM, turudi huko tena, vituo vya majamaa, hazina maana!
Wao ndiyo chanzo kikubwa cha kukimbizwa. Wameshindwa kuwaheshimu Waume zao na ndoa zao. Haki imekua tatizo Paulo. Mungu mkuu aturehemu. Amen.
MTOENI MBARIKIWA GEREZANI, MLIMFUNGA BILA HATIA, WENYE HATIA WAKO MITAANI WANAENDELEA KUDHULUMU WATU.
Acha afie gerezan au aombe gereza lifunguke lenyewe watu wamefungwa maisha kwa makosa ya kusingiziwa itakuwa huyo anatukana mpk serikali afie huko tupate simulizi za kusimulia kwa watoto wetu badae
Huyu mchungaji wenu ni fala acha.afie uko gerezanj. Tuna taka nchi itulie.tumechokaa
Na habari za barikiwa
Kama yeye kweli ni mbarikiwa na avunje gereza na atoke...Yeye kwa nn alijiingiza kwenye siasa akaacha kanisa..halafu wanasiasa wenyew aliokuwa anawatetea wapo wanaendelea kula bata huku mitaan badala ya kwenda kujiunga na kumtetea Mbarikiwa.Siasa na Dini haviendani.
@@melanialeonard4031huna haya na aibu,
@@melanialeonard4031soma tena ulichokiandika
rai tv tupo pamoja
Asnt Boss
Sijui ulijuaje kama tunapitia mambo magum jamani.
Kila.marq kuibowa wewe tuu jinga sana wee dada
Pigakazi dogo
Tanzania hujidai eti ina amani. Oneni madudu anayofumuliwa nayo Makonda. Hata kama eti hana mandate ya.mwisho, still inaonyesha how Hod-less Tanzania has become. Yana mwisho. Mungu atatuua woteee
Duuuhhh hatarr
Fanyakazi makonda wanamchi tumekukubali
Hakustahili apande kwenye adhabau hadi siku 7😊
Makonda.acha.kuchezea.jina.la.mungu.bure.sema.tuondoe.ccm.sio.tumuombe.mu ngu.atendemiujiza..hapa.tatizo.ni.serekali.ya.ccm..nawewe.ni.ccm.makonda.acha sanaa
Mama haelewi alipoenda kudai haki yake alipaswa apewe elimu
Sisi wenzio tulisha sahau kama kuna vyombo vya kutoa haki tujuavyo kuna vibaka waliosoma na kuvaa suti
🇺🇲
Mahakama na jeshi la polisi ni mizigo isiyo na Faida,kazi ni Kula rushwa Kwa bodaboda.
MAKONNDA NCHI HII WEZI NA MATAPELI WAKO CCM NA CCM NDIO CHANZO CHA MATATOZO YOTE UNACHOFANYA WW NI KOMEDY BABU
Makonda we we mbona kama unanikumbusha magufuli weweeeee! Ah!
Mambo nimazito
Alafu anatokea Punguani anaitwa mwanasheria mkuu yuko dar anasema eti aunde mahakana nyingine
Maharaja zetu zero kabisa
mama nenda mahakamani ndio huko haki inapatikana CCM sio mahakama
Mahakamani kumejaa rushwa Bora hapa anaweza saidiwa
@@twiseghekisilu8845 anapoteza muda wake bure CCM haina uwezo wa kubadili maamuzi ya mahakama
Mahakama zinapigiwa simu
Hajapata haki huko
Ni jambo la hatari sana
Makonda. Piga mwingi
Askari huoni aibu?unamchuna mmama wa wa2,unatafuta laana na huyo dog uloowa,acha dhuluma.
Wewe mwanaume unamaking😂 faces au na wewe ndo wale wale 😂😂😂😂
Haki itainua taifa letu:
Mahakama imeozaaa
Usanii mtupu mwisho wa maji tope
Hiyo ndio ccm kazi kuonewa wananchi alafu wanataka kula tu kazi hizi alitakiwa Raisi anafanya kama magufuli ama mawaziri lakini hawajiwezi hata kidogo sasa hii ni aibu kwa ccm makonda anafichua mambo mengi watu hawasikilizwi huko polis na mahakamani ni hovyo watu hawatendi haki
Makonda kama unaongea kutoka moyon Mungu akulinde binafisi uwaga siamin kiongozi yeyote wakitanzania kwenye idara yeyote
M
Rais 2030 baada ya mama.pinga wakucheke.
Hakuna haki. Dhuluma. Rushwa. Uonevu. Tanzania is a lawless society. Tumelaanika mnooo
Yaan nchi hii watu wanaumia sana hadi ni aibu kwa nchi zingine.
Yaani watu wana shida Kubwa sanaaa, fikiria kesi za mirathi miaka 10 jamani,