WAZIRI SILAA MAMA ATAPELIWA KIWANJA NA MFANYAKAZI WAKE | ADAI KUPEWA FOMU AJAZE MILIONI 45 NI HATARI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 07. 2024
  • MAMA ATAPELIWA SHAMBA NA MFANYAKAZI WAKE.
    Mkazi wa Ifakara Mkoani Morogoro Bi. Mary Florian Somba amedai kutapeliwa shamba na kibarua wake kwa kusainishwa fomu ya uthibitisho wa mauzo ya Shamba hilo kwa kiasi cha Milioni 45 ambayo mpaka leo hajawahi kupewa hadi leo.
    Bi. Mary amesema hayo katika mkutano wa hadhara wa ziara ya kikazi ya Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Jerry Silaa ambaye amewataka watanzania kuhifadhi nyaraka zao za ardhi wenyewe pasipo kumpa mtu yeyote ili kuepuka kutapeliwa.
    Waziri Silaa anaendelea na ziara yake mkoani Morogoro humo kwa ajili ya kushughulikia changamoto za ardhi na ukaguzi wa miradi mbalimbali inayotekelezwa na Wizara hiyo.
  • Zábava

Komentáře • 1

  • @user-ui6rf8yx7s
    @user-ui6rf8yx7s Před 17 dny

    Eemungu watu anawaza ya Dunia tuuu akhera kesho utajibunini