WAZIRI SILAA CCM WAFUKUZENI HAWA VIONGOZI MATAPELI NA WAONGO | WAMEWAPA WANANCHI MIGOGORO YA ARDHI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 07. 2024
  • Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi Jerry Silaa amekitaka chama cha mapinduzi ccm kuwafukuza pamoja na kuwachukulia hatua kali wenyeviti vijiji,vitingoji na wa mitaa ambao wamewaingiza wananchi kwenye migogoro ya Ardhi.
    Silaa ameyasema hayo mbele ya Amos Makala katibu mwenezi Taifa kwenye mkutano wa hadhara wa chama cha mapinduzi wenye lengo la kusikiliza kero za wananchi katika jimbo la Ukonga jijini Dar Es Salaam.
  • Zábava

Komentáře • 7

  • @salimiddy7769
    @salimiddy7769 Před 19 dny

    Kweli kabisa Mh Waziri wa Ardhi Jerry Slaa

  • @mwanaidiahmed-dt8dj
    @mwanaidiahmed-dt8dj Před 18 dny

    Silaa oyee

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 Před 19 dny +2

    Mama hongera kwa kumchagua waziri slaa

  • @zubedadahalgould8809
    @zubedadahalgould8809 Před 19 dny +1

    Ni kweli kabisaa huko kidimu kibaha wanatuuziya mara mbili mbili na kutuleteya migogoro huko kuna huyo serialised ya mtaa anaitw Kafifi na wenziwe wote serialised za mtaa wanahujumu uchumi wanatutesa kwa kutaka hongo kila siku hii ninaomba imgikie Waziri wa Ardhi Waxiri Slaa ili aone madudu ya KIDIMU

  • @mussakilo4916
    @mussakilo4916 Před 19 dny +2

    Natamani siku moja nikutane na wewe uso kwa uso nikusalimie tu wewe kweli unafanya kazi ya kutukuka mungu akulinde piga kazi mkuu hakika wewe ni jembe la watanzania

  • @zubedadahalgould8809
    @zubedadahalgould8809 Před 19 dny +1

    Tunatamu uje huko KIDIMU UJE KUTUTALIAMADIDU YA HUKO

  • @simbisimbila1972
    @simbisimbila1972 Před 17 dny

    Waziri naomba kuuliza swali ivi kupewa control namba ya kulipia aridhi inachukua miezi mi ngapi kwani mimi na miezi 8 nazungushwa tu shida nini