WAZIRI SILAA NILIPIGWA MIMI | BIBI AMWAGA MACHOZI HADHARANI | MGOGORO WA ARDHI MWEKEZAJI NA WANANCHI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 09. 2024
  • MAMA AMWAGA MACHOZI HADAHARANI SAKATA MGOGORO WA ARDHI NA MWEKEZAJI MOROGORO - WAZIRI SILAA AFUNGUKA
    Wananchi katika kijiji cha Kikundi Wilayani Morogoro Mkoani Morogoro wamemuomba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwaonea huruma juu ya ardhi yao ya asilia inayomilikiwa na Mwekezaji wa Kampuni ya Uluguru Cooperation ambaye ameshindwa kuiendeleza.
    Wakizungumza katika mkutano wa kijiji wa tarehe 09/07/2024 mbele ya Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Jerry Silaa wananchi hao wamesema kuwa wamekuwa wakifanyiwa vitendo vya fedheha ikiwepo kupigwa na kuchomewa makazi yao na mwekezaji huyo .
    Aidha Waziri Silaa amewataka wananchi hao kuandika barua ya maombi ya ardhi huku akiwasihi kuacha kujiundia kamati ili kuchangisha kuratibu mazoezi ya ardhi.

Komentáře • 10