MKURUGENZI AJICHANGANYA KWA AWESO, APIGIWA SIMU "MIMI NIPO KWENYE ZIARA WEWE HAUPO UKO WAPI?"

Sdílet
Vložit

Komentáře • 23

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 Před 19 dny +2

    Kwa ujumla suala la wanawake kupata vyeo amejisahau sana . Wawe chini ya.

  • @shabanipanya1033
    @shabanipanya1033 Před 18 dny +1

    Alafu kuna kitu nimegundua karibia watumishi wengi ni wanawake alafu mambo yanakwenda hovyo sana na watu wananyanyasika sana

  • @mvullamanase
    @mvullamanase Před 23 dny +3

    Mbona IDARA YA MAJI NI WANAWAKE WATUPU.
    NDIO MAANA MAMBO MAGUMU

  • @osmanhajj3059
    @osmanhajj3059 Před 23 dny +2

    Mh waziri ujee ututembelee wilaya mbarali

  • @menelus911mene5
    @menelus911mene5 Před 19 dny

    Duh!!!!! Wakisemwa oowanaonewa ila mhe waziri wa maji njjo na Gairo hivyohivyo toka tujaze form toka mwezi wa 9 / 23 mpaka leo ukiuliza vifaa hatuna sasa sijui itakuwaje kama wana ambiana hao tusaidie mhe wetu wa maji wewe nimkombozi wetu waonesana hao warudi majumbani wayaone hayo tunayo yaona sisi mpepole huyo Ubarikiwe ❤❤❤

  • @user-zm4mm4eb5j
    @user-zm4mm4eb5j Před 17 dny +1

    Hujuma hujuma hujuma wanamfanyia mama ili wananchi wamchukie rais wao

  • @user-ow7pl6tz2c
    @user-ow7pl6tz2c Před 23 dny +1

    Kweli kabisa ni ujuma kwanza wananchi hatahatuji kama wazir anakuja mbezi watu wangejaa sana Maji ni tatizo sana mm nimelipia Maji tangu mwenzi 11 mwaka Jana mpaka Leo sijaletewa naukiuliza majibu Yao nibaya sana sana kimala

  • @inocentlukumay767
    @inocentlukumay767 Před 23 dny +1

    Arusha pia kuna tatizo hilo. Mradi wa bilioni 500 sisi tuliotoa maeneo yetu kuchimbwa maji hatunufaiki kwa lolote. Tupo tayari kulipia maji.

  • @happymarchiusnjungani1138

    Yaan hawa wadada wakishapata Vihela na vyeo mmmmmmm utajua hujui

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Před 23 dny +1

    Huyo dada hafai asiee bora aondolewe

  • @ibrackibrahim6909
    @ibrackibrahim6909 Před 23 dny +1

    Mademu wao hao😂😂😂

  • @yayananajota5838
    @yayananajota5838 Před 23 dny

    Tz na watu wake😅😅😅😅😅vichekesho kweli, eee Mola waja wako hawa, 😥😥😥

  • @sskondopoleani9616
    @sskondopoleani9616 Před 12 dny

    Jamani DAWASA HEBU TUANGALIENI SISI WATU WA BOKO NATIONAL HOUSING KUELEKEA MAGEREZA. KWETU MAJI NI NYOTA YA JAHA.

  • @NoName-pp4lo
    @NoName-pp4lo Před 23 dny +1

    Aweso fata nyayo za makonda

  • @saidhamza5318
    @saidhamza5318 Před 23 dny

    Afu mbona viongoz wengi ni mademu halafu mambo hayaendi!

  • @inocentlukumay767
    @inocentlukumay767 Před 23 dny

    Huyo dada hana shida yoyote tatizo ni urasimu na mlolongo wa maelekezo ya sheria. Urasimu

  • @sultanmsolon8428
    @sultanmsolon8428 Před 20 dny

    Mh njoo na chalinze, mdaula na ubena

  • @lucymtui8680
    @lucymtui8680 Před 21 dnem

    Shida kweli kweliiwel

  • @yayananajota5838
    @yayananajota5838 Před 23 dny +3

    Zuga tu, midemu zao hizo,wakitoka hapo wanaenda kula kulana mshikaki paleeeee😏😏😏

  • @gwamakajohn7122
    @gwamakajohn7122 Před 18 dny

    Safi viongoz wote igeni bc

  • @AbubakarAlly-th6op
    @AbubakarAlly-th6op Před 23 dny

    Yupo na mshikaji wake kazini wanaingi wanavyotaka wenyewe

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 Před 23 dny +1

    WANAWAKE WANAWEZA 🙆🙆🙆

  • @inocentlukumay767
    @inocentlukumay767 Před 23 dny

    Arusha pia kuna tatizo hilo. Mradi wa bilioni 500 sisi tuliotoa maeneo yetu kuchimbwa maji hatunufaiki kwa lolote. Tupo tayari kulipia maji.