AWESO AKASIRIKA VIBAYA, AMBANANISHA VIKALI AFISA UGAVI DAWASA - "KWANINI UMENIDANGANYA? WE NI NANI?"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 07. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Zábava

Komentáře • 73

  • @Piscesblair
    @Piscesblair Před dnem

    Kama Mawaziri wote wangefanya kazi zao namna hii, utendaji wa kazi kimazoea ungekoma na tabia ya watendaji kuandika taarifa za uongo zinge koma kabisa katika utendaji wa watumishi wa umma. Hongera sana Mheshimiwa.

  • @aminamwashambwa6846
    @aminamwashambwa6846 Před 6 dny +3

    Mungu akupe maisha marefu hakikisha watu wote tunapata maji

  • @albertbunyinyiga7581
    @albertbunyinyiga7581 Před 2 dny

    Safi sana bana hao wanatuangusha sana

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 Před 6 dny +4

    Toa taarifa huko na domo lako kimelegea / zito km uji wa mapande 😂😂tumbua upes 😂😂

  • @AugustKisaka-qy7kl
    @AugustKisaka-qy7kl Před 6 dny +1

    Asante kiongozi wapeleke mchaka mchaka ,ndivyo inavyo takiwa

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 Před 6 dny +3

    Sasa hapa ndio mtaona kuwa watu wanapofuatiliwa na kuchukuliwa hatu hawaonewi, ni WAZEMBE , na hawana UTUMISHI kwa watu bali kwa MATUMBO yao na VIKUNDI vyao vya kula RUSHWA

  • @MichaelKilinga
    @MichaelKilinga Před 2 dny +1

    Kuna watu wanapata kazi mpaka unajiuliza walipataje kazi wallah

  • @kallystjonathan2377
    @kallystjonathan2377 Před 12 hodinami

    Hiyo ni sura halisi ya Idara na wizara zote za nchi hii

  • @injili90
    @injili90 Před 3 dny +1

    Hapo aweso nje ya kamera alitaka hata kumpiga kibao lakini ameona kama kiongozi angeharibu

  • @Zenny89
    @Zenny89 Před 2 dny

    Na Waziri mwenyewe anatakiwa kujiuzulu…Kwani amekuwa waziri wa Maji Muda gani?

  • @karloladislaus45
    @karloladislaus45 Před dnem

    Wana danganya au wanakosa nafasi ya kujieleza??.....Fikiria mahakamani tungekua tuna pelekeshwa hivyo..nani angesema ametendewa haki??

  • @YahyaMbega
    @YahyaMbega Před dnem

    Anakudanga huyo ndio wenye maboza hao eakupa sihasa

  • @kitovasaidi6753
    @kitovasaidi6753 Před 6 dny +3

    Hivi hizo akili matope kwa Nini asiseme ukweli tu

  • @unjuusalvatory5331
    @unjuusalvatory5331 Před dnem

    Kumbe ndo maana maji hayatoki na mimvua yote ile ....nilikuwa nashangaa how comes maji hayatoki na mvua zmenyesha na serikali imetoa mabilioni kwenye bajet kumbe kuna wafelishaji huku down.

  • @user-rr1ri7nw7q
    @user-rr1ri7nw7q Před 17 hodinami

    Kijana chapa kazi Mama amekuwamini

  • @zaitunihussein
    @zaitunihussein Před 3 dny

    Safi sana kiongozi. Watu wa maji wanatutapeli sana. Nenda jimbo la Bumbuli

  • @mbwanaabdallah8525
    @mbwanaabdallah8525 Před dnem

    Jamani aweso tukumbuke na sisi wakazi wa kidimu kibaha

  • @ghotmedia
    @ghotmedia Před dnem

    Huyo jamaa ningemzaba vibao adi masikio yazibe😂

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 Před dnem

    Hizo taarifa unazoziona ni kwa wakati wa Magufuli. Nidham ya kazi tuliiona.

  • @ibba8082
    @ibba8082 Před 6 dny +2

    Huyu Jamaa Kichwani Amejaza Majina ya Wafumu(Waganga Wa Jadi).Uwezo Wakufanya kazi HamnaMazingahombwe tu Ndo Amejaza Kihunoni !!!😂

  • @IsmailMjesh
    @IsmailMjesh Před 3 dny

    Ila wallah' nasema na allah shahidi, mtambue kwakila masonononeko ya kila mwananchi kwa chochote kile.... Ndani ya nchi yaje wallah viongozi hamtokua na salama yeyote' nyinyi binafsi pamoja na familia zenu, nawale wote wanaofanya kusudi na hali yakua wanajua kua hii ni dhima' Allah awalaani , awape maradhi ambayo hayana tiba wallah binafsi roho yangu inaniuma sana.... Kutwa wananchi tunaumia na nafsi zetu kila siku ya mungu......😢

  • @godfreymwandara
    @godfreymwandara Před 6 dny +1

    Duh hatari

  • @denisnjaila2182
    @denisnjaila2182 Před 2 dny

    Wamcheki hajajikojolea huyu jamaa kweli

  • @BallBrainersYT
    @BallBrainersYT Před dnem

    Tunailaumu serikali kumbe wenzetu wenyewe ndio wanaotukwamisha. Hawana uadilifu kwenye kazi zao

  • @mbwanaabdallah8525
    @mbwanaabdallah8525 Před dnem

    Tumepeka maombi mapinga wananchi 50 kutoka mwezi wa kwanza 2024

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 Před 2 dny

    MUESHIMIWA HAWA WANAFANYA KAZI KWA MAZOEA MI MWEZI WA TATU NIMELIPIA MAJI NA SIJAYAPATA

  • @jedidahbintidaudi8241

    Aweso anafukuza ma-engineer alafu anaweka watu wake kisha wanakula hela ya wizara yake..nimeambiwa na mtu wa ndani kabisa...Aweso yeye ni kuzunguka tuu mikoani lakini maji hayatokii..Aweso you can do better than this sir...com'on now

  • @RAMADHANAllykibanga
    @RAMADHANAllykibanga Před 2 dny +1

    Kulachuma

  • @costakihuru4937
    @costakihuru4937 Před 4 dny +2

    Ukweli humweka mtu huru.😂

  • @augustinodaniel5574
    @augustinodaniel5574 Před 6 dny +1

    Sako kwa bako ndo hii

  • @denisnjaila2182
    @denisnjaila2182 Před 2 dny

    Kimeumana

  • @albertbunyinyiga7581
    @albertbunyinyiga7581 Před 2 dny

    Njoo na huku busweru na butindo atuna maji

  • @mwamvuamagongo8163
    @mwamvuamagongo8163 Před 6 dny +1

    Njoo Sinza madukani mwezi watatu sasa bila maji safi

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 Před 2 dny

    Such workers can give you a heart attack ...hata ofisi anayofanyia kazi kasahau😢

  • @denisnjaila2182
    @denisnjaila2182 Před 2 dny

    Jama huwa wanafanya kazi kwa mazoea sana

  • @wemacs
    @wemacs Před 2 dny

    3:22 aah mkuu naomba unisamehe😂 hii bhana jamaa kamzunguuusha Waziri kumbe anapiga hesabu, mpaka zinagoma ndo anastuka😂

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 Před 3 dny

    Viongozi wote wa Tz nzima eleweni tu kinachoirudisha nchi nyuma kimaendeleo ni hili neno kulindana, kubweteka, na kutokuwa mzalendo, woga, uvivu, na kunafkiana, ifike mahali muache hayo, fanyeni kazi ya kulijenga taifa.

  • @user-ow7pl6tz2c
    @user-ow7pl6tz2c Před 5 dny +1

    Yani dawasa nitatizo niwazembe sana na nimajeuli sana

  • @YahyaMbega
    @YahyaMbega Před dnem

    Wanakupotezea muda hao wanafanya mazoea

  • @Kiburudisho
    @Kiburudisho Před 3 dny

    Yaani kuna wafanyakazi nchi hii wameajiriwa wanakula mshahara wa serikali ambao unatokana na kodi ya wananchi lakini hawajui kabisa majukumu yao

  • @AugustKisaka-qy7kl
    @AugustKisaka-qy7kl Před 6 dny +1

    Adi watoke mapovu, ndiovyo inavyo takiwa

  • @jimmymushi2357
    @jimmymushi2357 Před 6 dny +1

    Mambo ya estimation au sio ?

  • @fredymike3494
    @fredymike3494 Před 6 dny +1

    Aweso ukiona kura za jimbo kwako hazitokitoshaa nipo hapa nije nikupigie na mimi we ni jembe kuna majimbo yamebarikiwa watu bhn

  • @YahyaMbega
    @YahyaMbega Před dnem

    Kama wanakudanya sisi wanatujibu ww subiri pinga makofu huyo unambembereza shemeji yako huyo

  • @Optionxll_Playz1
    @Optionxll_Playz1 Před 6 dny

    Miji ikipangwa vizuri hakutakuwa na shida

  • @YahyaMbega
    @YahyaMbega Před dnem

    Mpige gumi mnyange akiri kwanza mpumbavu huyo

  • @JOVICTORY2020
    @JOVICTORY2020 Před 6 dny +3

    hiii inch tatizo watanzania tunao aminiwa na serikli hatuko srious hivi mtu kama huyu mimi na mchapa makofi , kwa upumbavu huu ata laumiwa Rais ?

    • @ismailmasoud6001
      @ismailmasoud6001 Před 6 dny

      Usishangae kuona wapinzani au wanasheria uchwara kuona hatua hizi zinazochukuliwa kwenye ziara kama hizi ni uonevu....lkn kiukweli kabisa watendaji wengi wanapewa nafasi lkn hawajali wananchi Bali ni WAO na MATUMBO yao

    • @JohnJoseph-qq7ow
      @JohnJoseph-qq7ow Před 6 dny

      Wee nae huna akili mtu afanye kazi vizuri upinzani wapinge tena ccm wanaofanya kazi ni wachache Jerry silaa​ makonda aweso@@ismailmasoud6001

    • @naturelle1097
      @naturelle1097 Před 2 dny

      Hio subira nani anayo mara upelekwe huku mara kule

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 Před 3 dny

    Hii shida inaonyesha kwamba watu wa serekalini wamezoea kufanya kazi kwa mazoea na sio kwa weledi, mijitu inabweteka tu , hakuna anaewafatilia , wao wanapewa magari, dereva, mafuta, mlinzi, vocha, posho, nk, alafu kumbe hata hawawajibiki ipasavyo, wanyonyaji wakuu wa Serekalini na kula kodi za maskini . Inauma sana.

  • @gwamakajohn7122
    @gwamakajohn7122 Před 2 dny

    Viongoz wangekuwa ivi yn

  • @tanzaniamycountry9308

    Wazir mkuu ajae
    Natabiri

  • @user-rc6ww6rx7n
    @user-rc6ww6rx7n Před 3 dny

    Cheche 😂😂😂😂😂😂

  • @WilsonWela
    @WilsonWela Před 3 dny

    Kero zamaji naumeme haziwezi kuisha unalioa pesa kupata maji au unememe inakua shughuri

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 Před 6 dny +1

    Dah ndugu yangu huyo noma sana

  • @NanaMaembe
    @NanaMaembe Před 3 dny

    YANI LIJITU LIMEAMINIWA NA RAIS LISIMAMIE MAJI ILI WANAINCH WAPATE MAJI..... LAKINI LENYEWE LINALETA OUNGO MUONGO TU

  • @user-rc6ww6rx7n
    @user-rc6ww6rx7n Před 3 dny +2

    Aisee hii nchi.imeoza kila mahali bac ukiwafata ofcn kwao ww raia wakaiwa walivyokuwa na zarau mbwa hao

    • @user-mq1kw3dk4u
      @user-mq1kw3dk4u Před dnem

      😂😂

    • @shinipapaya846
      @shinipapaya846 Před dnem

      Ni mishetani hiyo ona hata mavazi yao mjoto wote lakini wanavaa mihoods na ukiona mijitu inakuchezea kama kitenesi basi juwa kabisaa hata huyo waziri hajitambui huo ndio ukweli mbona JPM ilikuwa papo kwa papo na kuna ile mijituz flani flani eti hakizabinaadamu kwa mishetani kama hayo hayajitokezi ila ukiligusa shoga au sagaji utayaona kwenye tv 📺 mpaka mishipa ya shingo na OMO kama zote 😭😭 RIP mzee baba Magufuli

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Před 5 dny +3

    Mtu yupo kazini ila hana hata document moja ya kazi anayo fanya 😂

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 Před 6 dny +5

    ukisikia bampa tu bampa ndo hiyo duuh

  • @RiddoRiddo-jj1bx
    @RiddoRiddo-jj1bx Před 4 dny

    Mm sielewi ivi ayo mambo yenu mkifanya out of camera yatakua hayaendi au n siasa za kijinga

  • @nadiaamisha2958
    @nadiaamisha2958 Před 6 dny

    Mfumo wa JPM hadi raha 🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳

  • @user-zm4mm4eb5j
    @user-zm4mm4eb5j Před dnem

    Jamaa mdomo umekuwa mrefu kama chupi iliokatika mpira kazi uongo na uzembe vilaza wakubwa hawa

  • @moriscollins4494
    @moriscollins4494 Před 4 dny

    Arusha jiji la kitalii maji hakuna na mradi mkubwa wa billion 500 upo mkuu upitie na huku

  • @davisnitu890
    @davisnitu890 Před 3 dny

    Njoo sowasa uku kuna madudu kibao mkuu.