AWESO ACHUKIZWA AMSIMAMISHA MENEJA DAWASA KINYEREZI "SIJAJA KUCHEZA WALA KUUZA SURA"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 30. 06. 2024
  • Waziri wa Maji Jumaa Aweso amemsimamisha Meneja wa DAWASA Kinyerezi Burton Mwalupaso Kwa kushindwa kutekeleza vyema majukumu yake ikiwa ni pamoja na kushindwa kujua Takwimu kamili za mahitaji ya Maji kwenye eneo hilo sambamba na malalamiko mengi ya wananchi.
    Waziri Aweso ametoa maelekezo hayo Leo wakati akizungumza na Wananchi wa Tabata Kinyerezi katika ziara yake ya kukagua hali ya huduma ya maji katika Jiji la Dar es Salaam.
    "mimi kinyerezi sijaja kuuza sura tumekuja tuelezane ili tuweze kuhakikisha tunawasaidia wananchi maji hayahitaji siasa, ukicheka na nyenyere anayekutambalia kwenye mapaja utang'atwa pabaya siko tayari kung'atwa" Waziri Aweso

Komentáře • 49

  • @mathiasmichael9915
    @mathiasmichael9915 Před 24 dny +2

    Good Honorable Aweso Aweso Kwa kazi nzuri

  • @user-qf9bz9ed2m
    @user-qf9bz9ed2m Před 23 dny +2

    Mh unafanya kazi nzuri sana!utendaji wako hauna mashaka,mh tunakuomba sana njoo bulala kata ya buhogwa wilaya ya nyamagana hatuna maji mwezi mzima hila bill za maji zinatoka!mh ziwa lipo kilometet 3 hila tunachangamoto kubwa sana ya maji.

  • @rehemarwanda6039
    @rehemarwanda6039 Před 22 dny

    Mh Waziri Ahsante kwa kuja Kinyerez......hali ilikuwa mbaya sana Meneja na watendaji wake wotee ungetubadilishia#Waziri uko juu sana#Mwanaume na Nusu🔥🔥🔥

  • @maureenmnimbo1665
    @maureenmnimbo1665 Před 24 dny +3

    Kinyerezi hatuna Maji MIEZI minne hatimaye Leo yametoka nimepataaaa lita 2000

  • @mathiasmichael9915
    @mathiasmichael9915 Před 24 dny +2

    Aweso Aweso You deserve to be the President of Tanzania

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 Před 24 dny

      No he doesnt. where was he all that time ndo yuaja saa hizi? they should take a leaf from Hn Silaa..he pulled his sleeves the next day after being sworn..talk about Aweso...this guy came cause eledctions are around the corner..wasteful of resources and mercilessly they care nothing about us

  • @saxannjo6173
    @saxannjo6173 Před 24 dny +2

    Mtu mmoja anatumia lita 135 kwa siku. Mahitaji ya maji (174,650 × 135) kwa siku.

  • @2003hintay
    @2003hintay Před 24 dny +3

    Surat za watumishi wa maji hapo wanamsikiliza WAZIRI huku wanamuona kama anampigia mbuzi hitaa wanaonyesha dharau

    • @feezdidthis2220
      @feezdidthis2220 Před 23 dny

      Wameamua kuja kutafutia kura za 2025 uku, haya ngoja tuone

  • @rosetowo2678
    @rosetowo2678 Před 24 dny +2

    Toa utawala wote wa Dawasa Waziri,hawafai

  • @abdallahmmary8591
    @abdallahmmary8591 Před 24 dny +1

    Naombeni mwenye no ya aweso jamani nipo arusha tunabambikizwa bil atari mpaka ina tisha nilienda kwa Makonda hypo ofisin yupo kwenye matibatu

  • @Piscesblair
    @Piscesblair Před 18 dny

    Watendaji wanakosa uweledi (professionalism). Hipo haja ya kuandaa benchmarks kurahisisha uwelewa wa pamoja katika taarifa zinazoandaliwa na watendaji.

  • @josephatmathiasgalagalabuh786

    Mkuu njoo na Mbezi Msumi.Tunaishi maisha mabaya sana jamani maji hayana dalili eti naibu wako akasema tujimbe visima

  • @EmanuelyMalugu
    @EmanuelyMalugu Před 19 dny

    Maji hayatoki na yakitoka hayana presha tuelezane kuna nini tofauti na awali jilekebisheni

  • @rosetowo2678
    @rosetowo2678 Před 24 dny +1

    Wenyewe Dawasa wanasema kuna Siasa,na ndio wanazidiwa

  • @davidchihimba9489
    @davidchihimba9489 Před 20 dny

    Tabata maji ni mara moja kwa wiki

  • @RamaAlly-pw4ql
    @RamaAlly-pw4ql Před 24 dny

    Kimekukuch 🤣🤣

  • @ayoubmtumishi50
    @ayoubmtumishi50 Před 18 dny

    Wananong'onezana kumbeza waziri hawa wafanyakazi mmmm😂😂

  • @mohamedomari6129
    @mohamedomari6129 Před 21 dnem

    Kijana mdogo, mzuri Lakini akili kisoda.

  • @_Darthstewiemotivational

    This guy is not straight forward, he asked the question..., give a straight answer😂

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 Před 24 dny +1

    Amna.kitu dawasa wahuni. Sana mnatuumiza mnoo sio siri mnatufanya tuongee hata atutaki kuongea

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 Před 22 dny

      Aweso ni mzembe..miaka mingi tangu achaguliwe alikuw wapi? watu wengi wanalia maji..pesa mabillion yametolew. Aweso na watu wake wanakula. hapo anafukuza mtu kesha enda kuweka maengineer wake ili wawe wanakula hela. Aweso sijjui ni wawapi..sina hamu kabisa

  • @user-hg4yy1qs7g
    @user-hg4yy1qs7g Před 16 dny

    unafanya kazi nzuli sana ila kwann haya mambo uwa yanatokean kipid cha uchaguz ....

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 Před 24 dny

    Aweso, where was you all that time when yu was elected Minister of Water? Now we can see these ministers parading out there as elections are getting closer..then after elections yu see them no more..first of your ministry is completely rooten..billions of TZS are wasted while you are in your office and here you are showing up so late and firing your subordinates..so unfair Aweso come'on now..this doesnt cut it at all sir

  • @lwitikomwakatumbula5672

    Mheshimiwa waziri aweso mbezi makabe pia bado tatizo la maji ni kubwa tunaomba jitihada zako tafadhali

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 Před 22 dny

      hwanga shida na watu. wizara ya Aweso nimuozo mtupu..miaka yt hiyo bado w.nchi wanalia maji na mabillion yalishatengwa. wanakula hela ya serikali

  • @nth3512
    @nth3512 Před 19 dny

    Huu ndo uzuri wa kiongozi kuwa ni mtu wa fani iyo

  • @prince.eric_msemwa9732
    @prince.eric_msemwa9732 Před 24 dny +1

    Dawasa ina ishuz sana, rushwa imeshamiri sana mijiini pia incompetence

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 Před 22 dny

      sawa kabisa. usimuone hapo Aweso anafukuza w/kazi, anaenda kuweka wakwake ili wale pesa. kunamtu wandani kaniambia..amechukua maengineer wake ili ndo wasogeze pesa. Aweso hana moyo wakutupa maji..alafu mamboa ya viwango vya chini. kazi kweli

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb Před 22 dny

    Siyo kuwasaidia nihakiyao

  • @mweyoms5548
    @mweyoms5548 Před 17 dny

    Uzembe kila mahali

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 Před 24 dny

    Ndio maana jambo la kwenda Field Kwa viongozi wa juu ni la muhimu sana,
    MAJI yenyewe kwenye utumiaji Kwa mita Kuna 'CONSUPTION' ambayo itakujulisha UNIT zidisha BEI unagawanya Kwa CUBIC unapata kiasi cha GALLONS ambayo ndio TOTAL ya matumizi Kwa mtumiaji atayolipia, hivyo meneja ukiangalia DATA BASE Yako na ukiwa smart ni rahisi kukisia Kwa asilimia 90 ni kiasi gani cha Maji WALAJI wako wanahitaji..
    Lakini Sasa hebu angalia maneja huyo 🤣🤣🤣 yaani unaona kabisa , huenda kana Elimu ya Chup nzuri tu', lkn hajui Nini maana ya NAFASI aliyopo yeye yupo KIIMLA zaidi, yaani kusoma makaratasi ya ofisi na sio kujua mtaani watu wanahitaji Nini ....VIJANA tukipewa kazi tufanye KAZI

  • @2003hintay
    @2003hintay Před 24 dny

    Mheshimiwa WAZIRI tunamuomba atembelee kata ya Tandale

  • @suedissa7500
    @suedissa7500 Před 24 dny +1

    Huy jamaa s Burton mawalupaso ama?

  • @FloridaAdelinus
    @FloridaAdelinus Před 23 dny +1

    Muheshimiwa tumechoka kudanganywa. Kila mara maneno hayo hayo hakuna maji sasa miaka 15 wakati tuliambiwa mchague Mabula Nyamagana Maji itakuwa historia, sasa tuko tunaisoma namba maji 0 yakitoka ni saa 8 - 9 usiku kufikia asubuhi hakuna maji.

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 Před 22 dny

      huyu anafukuza w/kazi alafu anaweka wakwake ili kuchukua hela ya serikali..Aweso anatuona sie danganya toto. hamana kitu hapo.ni vile uchaguzi umekaribia..sioni wana moyo wakusaidia w.nchi. mioyo yao haipo kabisa. Aweso ametokea wapi? sikuzote alikuwa wapi? wizara yake imeoza kabisa huyu

  • @rosetowo2678
    @rosetowo2678 Před 24 dny

    Wazabuni wanawadai hawalipi nikukaa tuu kwenye vikao,na kusema wanasiasa wanawaingilia,

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 Před 22 dny

      hawa watu niwaongo. Magufuli tuu ndo walau alikuwa na moyo na nchi yake. hawa wengine hamna kitu. anachofanya kufukuza watu na kuweka wenzake. Ana moyo wa ajabu sana..mabillion ya hela yameibiwa kwenye wizara yake..huyu mtu so mwema kabisa

  • @2003hintay
    @2003hintay Před 24 dny

    Naombeni namba ya Awesu

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw Před 24 dny

    Hatutaki maneno tunataka mita za kama luku utapeli hatutaki

  • @user-li2cy1st6o
    @user-li2cy1st6o Před 24 dny

    Mbezi maramba tunamiezi nane maji hayatoki

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 Před 24 dny

    Wasiwasi wangu wale waliyokuwa wanavuna maji wakastop wakati wa Magu huenda wamerudi. Maana kuna wakati maji yanatoka ya chumvi. Mazuri wanafungulia kwenye visima vyao. Sasa kweli ni haki watu kulipa bill ya maji yasiyoeleka? Vishoka ni hao hao wafanyakazi wa dawasa. Mbona kipindi cha Magufuli tulikuwa tunapata maji mazuri?

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 Před 22 dny

      Aweso na wizara yake wamepewa mabillion ya hela..sasa Aweso kashiba ndo anakumbuka kusimama na kuanza kutoa hotuba ya kufukuza w/kazi..ameenda kuweka maengineer wake ili wawe wanakula hela..Aweso is incompetent..hapo ni siasa tuu. ametoka kulala ndo kaamkia hapo..baada ya hpo hamna utekelezaji. mwanzo mabomba ni chini ya viwango hela ingnie inapotea

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb Před 22 dny

    Sipendi kiongozi aye jisifia