WAZIRI AMVAA MKANDARASI "BWAWA LILILOTUMIA MILIONI 600 LIKO WAPI?, POLISI WAKAMATE"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 04. 2022

Komentáře • 142

  • @thieryniyonkuru5023
    @thieryniyonkuru5023 Před 2 lety +21

    Aliyeiona hiyo Temporary camp house ya Million Saba, hapo anipe like 👍 nzito kwamba wahuni wamerudi hewani kama kawa🙆‍♂️🙆‍♂️😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿

    • @luischoma5094
      @luischoma5094 Před 2 lety +1

      Tena wahuni wa vilemba

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Před 2 lety

      Na bado 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @fettyfay2334
      @fettyfay2334 Před 2 lety

      Hahaaàaaaaaa. Hataliiiiiiiiii

    • @yohanabundala9162
      @yohanabundala9162 Před rokem

      Hapo ndo nimeamini uhuni unaofanywa Milioni 7 hapo kilochotumika si ni mabati na mbao tu, hesabu ya haraka haraka hazidi milioni4

    • @elishakayagwa9371
      @elishakayagwa9371 Před měsícem

      Mil 4 au mil 1?

  • @ombenishirima6444
    @ombenishirima6444 Před 2 lety +5

    Kwa kweli Jumaa Awesu Mungu akubariki unafanya Kazi njema

  • @deoprosper556
    @deoprosper556 Před 2 lety +13

    Mobilisation,De- mobilisation establishement of temporary house banda la maneno mengi ya kitaalam yanamsaidia nn mwananchi wa kawaida ww mpe maji this is what the late president of Tanzania JPM didn't want to hear

  • @valentinetesha8536
    @valentinetesha8536 Před 2 lety +6

    1:50 Temporary camp house ya milion 7 ndio BANDA LA MABATI KAAH ASEE WIZI WA OVYO

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 Před 2 lety +5

    Pumbavu kabisa. Asante Waziri kwa kuwakusanya hao WAHUNI ndani ya Defender. Wapigwe viboko hadharani.

  • @raphaelsikumbi5517
    @raphaelsikumbi5517 Před 2 lety +12

    Watenda kazi ndani ya taifa letu bila fimbo hawaendi magufuri aliwadhibiti kwa asilimia kubwa wanamwita dikteka

    • @mosesmwailenge5192
      @mosesmwailenge5192 Před 2 lety

      Kweli kabisa kaka umenena vyema lisibatilike hata Nemo Moja 👍👍👍

    • @liannsambu7264
      @liannsambu7264 Před 2 lety

      Ndo hapo wanataka viongozi wa aina gani ,MIE NLITAMANI JPM ABANE ZAIDI YA ALIVYOKUWA AKIBANA , OTHERWISE TUTAWALIWE TU TENA KAMA ALIVYOKUWA ANASEMA TRUMP ,AFRICA KWA MWENDO HUU TUTAWALIWE TENA MAANA TUNAANGUSHANA SANA ,WAKIJA VIONGOZI WANAOSIMAMIA TUNAWATUHUMU ,WAKIJA WANAOTUBEBA BADO TUNAFANYA MADUDU JAMANI ,WATANZANIA TUNATAKA NINI ????

  • @c75923
    @c75923 Před 2 lety +5

    Katika Mawaziri WACHACHE SANA naowakubali katika uongozi wa awamu hii Jumaa Aweso ni namba moja!!!! Yaani anapiga kazi sanaaaaa!!! Hizi mambo za kusema siwezi kufokea watu wazima zitaucosti uongozi huu ndio maana tumerudi uchumi wa chini! Jifanyeni wastaarabu tu

  • @njaapangai2149
    @njaapangai2149 Před 2 lety +3

    hongera mwamba kutoka pangani fanya kazi ww ni mtoto wa magu

  • @uklife5232
    @uklife5232 Před 2 lety +10

    🤣🤣🤣Banda la milion 7 tumeliona ahsanteni sana

    • @raphaelsikumbi5517
      @raphaelsikumbi5517 Před 2 lety +1

      Ndio kwa sababu kuna vita Ukraine vifaa vimepanda bei

    • @alexmgusi2534
      @alexmgusi2534 Před 2 lety +2

      Nchi ngumu sana hiii😁😁😁😁

    • @christopherdimagaaaikopouw916
      @christopherdimagaaaikopouw916 Před 2 lety

      @@raphaelsikumbi5517 😂😂😂😂😂 Kwan bando moja ya bati sa ivi inauzwa bei gan raphael?

    • @raphaelsikumbi5517
      @raphaelsikumbi5517 Před 2 lety

      @@christopherdimagaaaikopouw916 ndugu yangu hii nchi ina ugonjwa hatari sana ukitaka kutibu tatizo wanakuinukia na kukuambia wewe ni dikteta au muuaji kisha baadae wanakuondoa eneo la uongozi na kukusahau

    • @omeysuper
      @omeysuper Před 2 lety +1

      😂😂😂

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme Před 2 lety +3

    Hatari sana na huo ndio mwanzo tu mpka tukifika 2030 nchi hoi bin taban na bado beach tayali lishaingia chaka bimkubwa wanamchezesha jinsi wanavyotaka 😭 wanafanya nchi kama mali ya mababa zao nawaambia hipo siku yenu jibu mtakuja kulipata hapa hapa duniani

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 Před 2 lety +3

    Haya ndio matokeo ya kuwa na kiongozi dhaifu. Ukiwa na system dhaifu utapigwa tu na wahuni.

  • @stephenmtenga897
    @stephenmtenga897 Před 2 lety +2

    Namna pekee ya kuikomboa nchi yetu ni kubadili fikra za watanzania, wawe wanajitambua na kujiheshimu. Ni kazi ngumu, ya muda mrefu, inatakiwa tuanze na watoto wetu tangu wangali wadogo. Hasa tuwe na mtaala wa kuwasaidia kujitambua. Mambo mengine ni ya kihuni tu, huwezi kuyafanya kama umelelewa vizuri.

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli3974 Před 2 lety

    Iyo mijizi, kama wezi wengine tu wa uswahilini ilikua ipigwe mawe adi kufa, Big up mueshimiwa Waziri

  • @gracegrace6200
    @gracegrace6200 Před 2 lety +7

    Huu ndiyo mutindo Hayati Magufuli aliweza kufanikiwa. Muiteni Hayati Magufuli majina yeyote yale. Aliweza pale viongozi waliomutangulia walishindwa. Lala salama baba, ulisema tutakukumbuka na kweli.

  • @charleskaozya9924
    @charleskaozya9924 Před 2 lety +4

    Yule mzee alipofariki yote haya yakaaza watu kuchukulia poa pesa za serikali daah aibu sanaa

    • @shubebunyesi542
      @shubebunyesi542 Před 2 lety

      Jamani c ndio viongozi walioteuliwa wanapiga Kazi kuwazuia wezi ndugu ni inshu kwaiyo unapoonda hatua zinachukuliwa tusiingize mambo ambayo hayapo coz ata magu hakuweza kuwadhibiti wote na pesa wamepiga nyingi tu ktk uongozi wake

    • @isaacmwaseba9972
      @isaacmwaseba9972 Před 2 lety

      Ni.kweli nakubali magu kafanya kazi ila Kama nchi hii huijui tulia kuna barabara bunda to mugumu inamiaka saba haiishi sasa hivi ndio naiona inakimbia ila ukiuliza utaelewa.

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 Před 2 lety +2

    Yamerudi yale yale na watu wanaiona tena nchi kuwa shamba la bibi.

  • @happyshayo8100
    @happyshayo8100 Před 2 lety +3

    Tanzania nchi yangu huwezi amino hayo maji ndio wanapikia na kunywa mungu tusaidie Tanzania nchi

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 Před 2 lety +1

      Sasa Serikali ifanyeje hela imetoa na kujenga bwawa hapo mafisadi wamekula million 600

  • @hizamwaimu3918
    @hizamwaimu3918 Před 2 lety

    Imekaa vizuri

  • @hustlerjailan2287
    @hustlerjailan2287 Před 2 lety

    Big up waziri

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 Před 3 měsíci

    Waziri kidogo amchape kofi huyo Msenge eti mkandarasi😂😂😂

  • @efraimjohn4956
    @efraimjohn4956 Před 2 lety +3

    Hayo mabat kupiga hapo ni mil7

  • @majimotomalole1809
    @majimotomalole1809 Před 2 lety +1

    Huko Tanga kuna shida.Wataamu wa kulamba asali 🍯

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 Před 2 lety +3

    Hawa wangekuwa wanavyongwa tu au unapachapa viboko na mijeredi na unawaachia wakimbie kama wanyama halafu unatwanga risasi za matakoni na kisogoni nguruwe hawa. Ngoja JPM liberation front tuiingie madarakani wala rushwa wote na wafisadi ni kunyonga hadharani

  • @samuelminja6590
    @samuelminja6590 Před 2 lety

    Eti tanzania kunawashika dini hamna kitu tz hilo ndio bwawa la 600 milioni duu nyumba ya mabati milioni 7

  • @mokhimji
    @mokhimji Před 2 lety +1

    Tanzania wakandarasi wapo... sema tenda zinauzwa kwa washikaji na kila bodi ina mkato wake.
    RIP JPM

    • @khamisally9559
      @khamisally9559 Před 2 lety

      RIP inakujaje hapo?. Badala ya kumpongeza Aweso kwa kuchukua hatua unaleta usenge.

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před 2 lety

    Ongera sana waziri.Ni wizi mtupu unaofanyika.

  • @juliussuleiman3999
    @juliussuleiman3999 Před 2 lety +1

    Kwa nini bakora hazitumiki??? Watu kama hawa kabla ya kuswekwa ndani walistahili kwanza wapate bakora(viboko) iwe fundisho kwa wengine wenye tabia kama hizi, Inauma sana fedha ya umma kuchezewa kama hivi halafu anaongea na waziri kwa ujeuri kama vile anaongea na mhuni mwenzie, huyu jamaa mkimtoa mmetukera duniani mpaka ahera, mwacheni aozee huko huko

  • @fatumazuberi9842
    @fatumazuberi9842 Před 2 lety

    Na wamechacha hao wakandalasi huyu kama wa tatu hivi anafanya hivi hivi mmjoja alijenga banda la lakitano kaandika million 100 aisee mama uwe makini.

  • @kennyrogers4734
    @kennyrogers4734 Před 2 lety +4

    Alafu jamaa anaonyesha kibuli sana yaan anajiamini kupita maelezo anapiga makofi bila wasi wasi

    • @kiariedavid8370
      @kiariedavid8370 Před 2 lety +1

      nahisi alikuwa mwanakwaya sasa akadhani waziri ana iba.

    • @kennyrogers4734
      @kennyrogers4734 Před 2 lety +1

      @@kiariedavid8370 😂😂 atajua hajui kwa mziki wa Aweso

    • @kennyrogers4734
      @kennyrogers4734 Před 2 lety +1

      @@kiariedavid8370 😂😂😂😂ndo atajua hajui tu

  • @elishakayagwa9371
    @elishakayagwa9371 Před měsícem

    😂😂Temporary house mil.7 😂😂 yaani banda la laki 4😂😂😂 hii nchi jmn😂😂😂

  • @shaqdizo7678
    @shaqdizo7678 Před 2 lety +1

    tatizo viongozi hawaendi kukagua miradi

  • @onesphoryo407
    @onesphoryo407 Před 2 lety

    dah temporary house million.7 haaaa banda la kuku an Tz kuchekea watu kama hawa upuuzi.xnaa

  • @hallin9561
    @hallin9561 Před 2 lety +1

    hayati magufuli alivyodeal na hawa wasenge mlimuita diktetA, nchi imerud tena kwenye ulegelege tena

  • @castobenjamin4074
    @castobenjamin4074 Před 2 lety +3

    Hizi ni dharau za hali ya juu, hizo hesabu hata kama mimi sio Mkandarasi huu ni wizi wa wazi na Ufisadi hakuna haja ya ku discuss weka ndani wote wajinga haoo

  • @augustinoevarist6754
    @augustinoevarist6754 Před 2 lety

    Nyumba ya Million saba hiyoo daaaah

  • @yayananajota5838
    @yayananajota5838 Před 2 lety

    Serikari za uchochoroni hizo, pesa ziliwe mama yupo ulaya shida nini, wacha wale maziwa na asali mana mama kasema kuleni kidogo wanangu mnanjaa😅😅

  • @ngoshazprank1384
    @ngoshazprank1384 Před 2 lety

    1:46 🤣🤣

  • @fettyfay2334
    @fettyfay2334 Před 2 lety

    Temporaly camp house. Real shit🤔😂😂

  • @eaglecrown1101
    @eaglecrown1101 Před 2 lety

    Linda utawala wa mama. Maana kuna mamtu yanazani huu ni utawala wa kupiga Hela

  • @jebellwallace3509
    @jebellwallace3509 Před 2 lety

    Duuu hata Mimi ningeweza kuchimba hivi

  • @jaffarymnaro566
    @jaffarymnaro566 Před 2 lety

    Mama yupo bize na marekani jamani

  • @homeboy2307
    @homeboy2307 Před 2 lety +1

    wanapatawapi huo ujasili wa kura hela ya kodi

  • @peterjohn2854
    @peterjohn2854 Před 2 lety

    Hatar sana

  • @josephatmathiasgalagalabuh786

    Hivi hawa watendaji na mkandarasi mbona wanakiburinna ujinga sana.Hatuwezi watandika viboko hawa?

  • @eliahedward7490
    @eliahedward7490 Před 2 lety

    Hahahaha hy temporary house...et mil7 duuuuuh!hii ndo tz

  • @jabirmfinanga552
    @jabirmfinanga552 Před 2 lety +1

    Tusaidieni jaman tumewapa kura zetu jaman

  • @seifsalim2039
    @seifsalim2039 Před 2 lety

    Lkn mbn kipindi Cha Uncle magu mbn Kila mtu alikua na adabu zake ilikua hakuna ujinga huu

  • @ashachitemo7816
    @ashachitemo7816 Před 2 lety

    Ni huzuni kwa kweli

  • @nancykiduda729
    @nancykiduda729 Před 2 lety +1

    Sweka ndani wote

  • @nyamarungujr7834
    @nyamarungujr7834 Před 2 lety

    Anaomba aweke Maelezo😅😅😅

  • @yayananajota5838
    @yayananajota5838 Před 2 lety

    Serikari imejipambanuaaa🙄🙄😏😏serikari gani???,,

  • @stephanomoses7694
    @stephanomoses7694 Před 2 lety

    Banda sio mbaya wamekula kwa urefu wa kama kama mama alivyowaamuru. Maana bando ya bati bei juu. Mbao ya boriti inauzwa kwa futi. Ila hapo kwenye bwawa . Wacharazwe viboko hadharani

  • @aishaalbalushaishabalush8291

    😂😂😂😂😂😂kazi ipo tanzania mara hi asee

  • @amalikakiva4937
    @amalikakiva4937 Před 2 lety +1

    Huyu jamaa anafaa kuwa rais.nakutabiria makubwa.

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Před 2 lety

      Hawezi kuwa rais kwasababu waswahili hawawapemdi watu wakweli na ikiwezekana basi wanamuua , bongo rais lazima atoke dar es salaam alafu hawe na itikadi hizo ndio tutafanyikiwa lakini mtu kutoka shamba lazima tu watamzunguka wahuni wa mijini

  • @missangela6720
    @missangela6720 Před 2 lety

    Mwiteni Magu ndiye kiboko ya hao machunguchu😂😂😂

  • @fortidaskashaigili7496

    Tatizo Rais wetu anabembeleza nyani,hatuwezi kufika,

  • @saidhassan7779
    @saidhassan7779 Před 2 lety

    Huyu Jamaa anajitahidi sana,kwa hakika

  • @abdulwahababdulkadir9965

    Halafu huyu nae akirudi nyumbani anasema ametoka ktk majukumu ya kuwahudumia wananchi,hawa ni wahuni wa kufukiwa wakiwa wazima

  • @kefajoseph158
    @kefajoseph158 Před 2 lety

    Damu yaMAGULI ITAWATAFUNA SANA

  • @superangeltv4615
    @superangeltv4615 Před 2 lety

    inzi hii bwana

  • @sadahabdalah7073
    @sadahabdalah7073 Před 2 lety

    Waziri wa maji wanakudharau nn? Mbona miradi yote ya maji Ina u adhirifu mkubwa sana

  • @yolenimocheng8745
    @yolenimocheng8745 Před 2 lety +1

    'Temporary Camp 7m. Ni lile pale mheshimiwa...' 😂 😂 😂 msomaji mchongezi wewe...

  • @hizamawa6046
    @hizamawa6046 Před 2 lety

    Mzigua vs mzigua

  • @hisanmwakijungu10
    @hisanmwakijungu10 Před 2 lety

    Iyo nyumba million 7 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ellyjacob9897
    @ellyjacob9897 Před 2 lety

    😂😂😂😂 wameanza hahahaha

  • @joramkimario9321
    @joramkimario9321 Před 2 lety

    Hiyo suti hapo ilikula million 7.yajayo yanafurahisha

  • @malupex6299
    @malupex6299 Před 2 lety

    Temporary camp 7 mil., hii hatari.

  • @omaryidd8199
    @omaryidd8199 Před 2 lety

    Mkuu nenda na kilindi Kuna madudu zaidi ya hapo.anzia msente kolan'ga na kinkwembe.utalia tu

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup68 Před 2 lety

    Weka ndani wote

  • @stevenlugojeremia2323
    @stevenlugojeremia2323 Před 2 lety

    Mtoto umleavyo ndivyo Akuavyo...

  • @superangeltv4615
    @superangeltv4615 Před 2 lety

    ss tutawaliwe tu maana ni vilaza maana no uzalendo

  • @greysonmheni5176
    @greysonmheni5176 Před 2 lety

    Wanalamba asali

  • @mathayonyerera3144
    @mathayonyerera3144 Před 2 lety

    Jamani hilo banda la million saba ni uhuni 😑

  • @resmakihiyo3463
    @resmakihiyo3463 Před 2 lety

    Madhara ya kubembelezana ndo hayo

  • @watuhuru6128
    @watuhuru6128 Před 2 lety

    Dah hicho kibwawa

  • @bockernyarusahi3655
    @bockernyarusahi3655 Před 2 lety

    Hilo banda la bati ndiyo milioni 7!

  • @charleskaozya9924
    @charleskaozya9924 Před 2 lety

    Ilo banda kweli 7m mhhhh mabati tu kwa kuona ni 2m Mbao labda laki7 fundi laki 4 tu 🤣🤣🤣🤣

    • @RioIpo
      @RioIpo Před 2 lety

      Hahaha watu wanapigwa sana aseee

  • @willelia2554
    @willelia2554 Před 3 měsíci

    Sweka ndani fukuza kazi tafuta wengine

  • @rmaryp6269
    @rmaryp6269 Před 2 lety

    Masihala hayo jamani! Kibanda hicho eti milioni 7!?

    • @raphaelsikumbi5517
      @raphaelsikumbi5517 Před 2 lety

      Ndio kwa sababu kuna vita Ukraine vifaa vya ujenzi vimepanda bei

  • @abrahamuisrael6161
    @abrahamuisrael6161 Před 2 lety

    MZEE NAJUA HUJAFA BD UMEKAA SEHEM FULANI UNACHEKI UJINGA UNAOFANYIKA CHINI YA UONGOZ WA MAMA WA TAARABU,,,R.I.P MWAMBA JPM

    • @rashidyusuph4417
      @rashidyusuph4417 Před 2 lety

      We nae pumba kabsa kwaio samia ndo kazzila na kama imegundulika huoni serekaali ipo makin kufatilia you're narrow minded acha kuishi na fkra za chuki

  • @missangela6720
    @missangela6720 Před 2 lety

    Hahaha😂😂😂

  • @missangela6720
    @missangela6720 Před 2 lety

    😂😂😂

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup68 Před 2 lety

    Uwizi mtupu

  • @diegogeorge3405
    @diegogeorge3405 Před 2 lety +3

    Mkandarasi kijumba Cha mabati million 7🙄🙄🙄🙄🙄🙄

  • @farajakunyanja2521
    @farajakunyanja2521 Před 2 lety

    🤣🤣🤣

  • @charleskaozya9924
    @charleskaozya9924 Před 2 lety

    Kusanya woteeeeeee😡😡😡😡😡

  • @DM_15
    @DM_15 Před 2 lety

    Huyomkandarasi anavyo jiamini niwazi kabisa anauhakika hajaladhulima na ndiomaana ana confidence yakuongea

    • @prosperjuma905
      @prosperjuma905 Před 2 lety

      Kwanza kwa nini hakumpa nafas ya kujieleza? Anamuuliza swali..akitaka kujibu anamkatisha.

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 Před 2 lety

      @@prosperjuma905 ajieleze nini???kweli hilo banda la bati hapo milioni 7!!! Kwa akili kama zako itakua ngumu Tanzania kuendelea

  • @gideonmwangaza4807
    @gideonmwangaza4807 Před 2 lety +3

    Mbuzi ameruhusiwa kula kwa urefu wa kamba yake, tena rukhsa hiyo ilitoka kwa mama mwenyewe; mimi sioni ajabu kwa kweli, ijapokuwa inauma na kuudhi kwelikweli.
    Sera ya sasa ni:
    “Mwendo wa kula asali 🍯.”

  • @supriaja2374
    @supriaja2374 Před 2 lety

    Nisawa ila ungewaacha wajieleze nawao tuwasikie uongo wao atujapenda

  • @homeboy2307
    @homeboy2307 Před 2 lety

    wanapatawapi huo ujasili wa kura hela ya kodi

  • @user-po8hz7xw9j
    @user-po8hz7xw9j Před 2 lety

    Hilo libaba linaonekana limekuwa hela

  • @ahmedjuma3602
    @ahmedjuma3602 Před 2 lety

    😂😂

  • @missangela6720
    @missangela6720 Před 2 lety

    😂😂😂