Mobilisation,De- mobilisation establishement of temporary house banda la maneno mengi ya kitaalam yanamsaidia nn mwananchi wa kawaida ww mpe maji this is what the late president of Tanzania JPM didn't want to hear
Ndo hapo wanataka viongozi wa aina gani ,MIE NLITAMANI JPM ABANE ZAIDI YA ALIVYOKUWA AKIBANA , OTHERWISE TUTAWALIWE TU TENA KAMA ALIVYOKUWA ANASEMA TRUMP ,AFRICA KWA MWENDO HUU TUTAWALIWE TENA MAANA TUNAANGUSHANA SANA ,WAKIJA VIONGOZI WANAOSIMAMIA TUNAWATUHUMU ,WAKIJA WANAOTUBEBA BADO TUNAFANYA MADUDU JAMANI ,WATANZANIA TUNATAKA NINI ????
Katika Mawaziri WACHACHE SANA naowakubali katika uongozi wa awamu hii Jumaa Aweso ni namba moja!!!! Yaani anapiga kazi sanaaaaa!!! Hizi mambo za kusema siwezi kufokea watu wazima zitaucosti uongozi huu ndio maana tumerudi uchumi wa chini! Jifanyeni wastaarabu tu
@@christopherdimagaaaikopouw916 ndugu yangu hii nchi ina ugonjwa hatari sana ukitaka kutibu tatizo wanakuinukia na kukuambia wewe ni dikteta au muuaji kisha baadae wanakuondoa eneo la uongozi na kukusahau
Hatari sana na huo ndio mwanzo tu mpka tukifika 2030 nchi hoi bin taban na bado beach tayali lishaingia chaka bimkubwa wanamchezesha jinsi wanavyotaka 😭 wanafanya nchi kama mali ya mababa zao nawaambia hipo siku yenu jibu mtakuja kulipata hapa hapa duniani
Namna pekee ya kuikomboa nchi yetu ni kubadili fikra za watanzania, wawe wanajitambua na kujiheshimu. Ni kazi ngumu, ya muda mrefu, inatakiwa tuanze na watoto wetu tangu wangali wadogo. Hasa tuwe na mtaala wa kuwasaidia kujitambua. Mambo mengine ni ya kihuni tu, huwezi kuyafanya kama umelelewa vizuri.
Jamani c ndio viongozi walioteuliwa wanapiga Kazi kuwazuia wezi ndugu ni inshu kwaiyo unapoonda hatua zinachukuliwa tusiingize mambo ambayo hayapo coz ata magu hakuweza kuwadhibiti wote na pesa wamepiga nyingi tu ktk uongozi wake
Ni.kweli nakubali magu kafanya kazi ila Kama nchi hii huijui tulia kuna barabara bunda to mugumu inamiaka saba haiishi sasa hivi ndio naiona inakimbia ila ukiuliza utaelewa.
Hawa wangekuwa wanavyongwa tu au unapachapa viboko na mijeredi na unawaachia wakimbie kama wanyama halafu unatwanga risasi za matakoni na kisogoni nguruwe hawa. Ngoja JPM liberation front tuiingie madarakani wala rushwa wote na wafisadi ni kunyonga hadharani
Kwa nini bakora hazitumiki??? Watu kama hawa kabla ya kuswekwa ndani walistahili kwanza wapate bakora(viboko) iwe fundisho kwa wengine wenye tabia kama hizi, Inauma sana fedha ya umma kuchezewa kama hivi halafu anaongea na waziri kwa ujeuri kama vile anaongea na mhuni mwenzie, huyu jamaa mkimtoa mmetukera duniani mpaka ahera, mwacheni aozee huko huko
Hizi ni dharau za hali ya juu, hizo hesabu hata kama mimi sio Mkandarasi huu ni wizi wa wazi na Ufisadi hakuna haja ya ku discuss weka ndani wote wajinga haoo
Banda sio mbaya wamekula kwa urefu wa kama kama mama alivyowaamuru. Maana bando ya bati bei juu. Mbao ya boriti inauzwa kwa futi. Ila hapo kwenye bwawa . Wacharazwe viboko hadharani
Hawezi kuwa rais kwasababu waswahili hawawapemdi watu wakweli na ikiwezekana basi wanamuua , bongo rais lazima atoke dar es salaam alafu hawe na itikadi hizo ndio tutafanyikiwa lakini mtu kutoka shamba lazima tu watamzunguka wahuni wa mijini
Mbuzi ameruhusiwa kula kwa urefu wa kamba yake, tena rukhsa hiyo ilitoka kwa mama mwenyewe; mimi sioni ajabu kwa kweli, ijapokuwa inauma na kuudhi kwelikweli. Sera ya sasa ni: “Mwendo wa kula asali 🍯.”
Aliyeiona hiyo Temporary camp house ya Million Saba, hapo anipe like 👍 nzito kwamba wahuni wamerudi hewani kama kawa🙆♂️🙆♂️😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Tena wahuni wa vilemba
Na bado 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hahaaàaaaaaa. Hataliiiiiiiiii
Hapo ndo nimeamini uhuni unaofanywa Milioni 7 hapo kilochotumika si ni mabati na mbao tu, hesabu ya haraka haraka hazidi milioni4
Mil 4 au mil 1?
Kwa kweli Jumaa Awesu Mungu akubariki unafanya Kazi njema
Mobilisation,De- mobilisation establishement of temporary house banda la maneno mengi ya kitaalam yanamsaidia nn mwananchi wa kawaida ww mpe maji this is what the late president of Tanzania JPM didn't want to hear
😂😂😂😬
Hicho kibanda cha bati mil 7
Demobilisation kwani amemaliza kazi?
1:50 Temporary camp house ya milion 7 ndio BANDA LA MABATI KAAH ASEE WIZI WA OVYO
Pumbavu kabisa. Asante Waziri kwa kuwakusanya hao WAHUNI ndani ya Defender. Wapigwe viboko hadharani.
Watenda kazi ndani ya taifa letu bila fimbo hawaendi magufuri aliwadhibiti kwa asilimia kubwa wanamwita dikteka
Kweli kabisa kaka umenena vyema lisibatilike hata Nemo Moja 👍👍👍
Ndo hapo wanataka viongozi wa aina gani ,MIE NLITAMANI JPM ABANE ZAIDI YA ALIVYOKUWA AKIBANA , OTHERWISE TUTAWALIWE TU TENA KAMA ALIVYOKUWA ANASEMA TRUMP ,AFRICA KWA MWENDO HUU TUTAWALIWE TENA MAANA TUNAANGUSHANA SANA ,WAKIJA VIONGOZI WANAOSIMAMIA TUNAWATUHUMU ,WAKIJA WANAOTUBEBA BADO TUNAFANYA MADUDU JAMANI ,WATANZANIA TUNATAKA NINI ????
Katika Mawaziri WACHACHE SANA naowakubali katika uongozi wa awamu hii Jumaa Aweso ni namba moja!!!! Yaani anapiga kazi sanaaaaa!!! Hizi mambo za kusema siwezi kufokea watu wazima zitaucosti uongozi huu ndio maana tumerudi uchumi wa chini! Jifanyeni wastaarabu tu
Yaani kamshinda hata Majaliwa
hongera mwamba kutoka pangani fanya kazi ww ni mtoto wa magu
🤣🤣🤣Banda la milion 7 tumeliona ahsanteni sana
Ndio kwa sababu kuna vita Ukraine vifaa vimepanda bei
Nchi ngumu sana hiii😁😁😁😁
@@raphaelsikumbi5517 😂😂😂😂😂 Kwan bando moja ya bati sa ivi inauzwa bei gan raphael?
@@christopherdimagaaaikopouw916 ndugu yangu hii nchi ina ugonjwa hatari sana ukitaka kutibu tatizo wanakuinukia na kukuambia wewe ni dikteta au muuaji kisha baadae wanakuondoa eneo la uongozi na kukusahau
😂😂😂
Hatari sana na huo ndio mwanzo tu mpka tukifika 2030 nchi hoi bin taban na bado beach tayali lishaingia chaka bimkubwa wanamchezesha jinsi wanavyotaka 😭 wanafanya nchi kama mali ya mababa zao nawaambia hipo siku yenu jibu mtakuja kulipata hapa hapa duniani
Haya ndio matokeo ya kuwa na kiongozi dhaifu. Ukiwa na system dhaifu utapigwa tu na wahuni.
Namna pekee ya kuikomboa nchi yetu ni kubadili fikra za watanzania, wawe wanajitambua na kujiheshimu. Ni kazi ngumu, ya muda mrefu, inatakiwa tuanze na watoto wetu tangu wangali wadogo. Hasa tuwe na mtaala wa kuwasaidia kujitambua. Mambo mengine ni ya kihuni tu, huwezi kuyafanya kama umelelewa vizuri.
Umenena vyema
Iyo mijizi, kama wezi wengine tu wa uswahilini ilikua ipigwe mawe adi kufa, Big up mueshimiwa Waziri
Huu ndiyo mutindo Hayati Magufuli aliweza kufanikiwa. Muiteni Hayati Magufuli majina yeyote yale. Aliweza pale viongozi waliomutangulia walishindwa. Lala salama baba, ulisema tutakukumbuka na kweli.
Yule mzee alipofariki yote haya yakaaza watu kuchukulia poa pesa za serikali daah aibu sanaa
Jamani c ndio viongozi walioteuliwa wanapiga Kazi kuwazuia wezi ndugu ni inshu kwaiyo unapoonda hatua zinachukuliwa tusiingize mambo ambayo hayapo coz ata magu hakuweza kuwadhibiti wote na pesa wamepiga nyingi tu ktk uongozi wake
Ni.kweli nakubali magu kafanya kazi ila Kama nchi hii huijui tulia kuna barabara bunda to mugumu inamiaka saba haiishi sasa hivi ndio naiona inakimbia ila ukiuliza utaelewa.
Yamerudi yale yale na watu wanaiona tena nchi kuwa shamba la bibi.
Tanzania nchi yangu huwezi amino hayo maji ndio wanapikia na kunywa mungu tusaidie Tanzania nchi
Sasa Serikali ifanyeje hela imetoa na kujenga bwawa hapo mafisadi wamekula million 600
Imekaa vizuri
Big up waziri
Waziri kidogo amchape kofi huyo Msenge eti mkandarasi😂😂😂
Hayo mabat kupiga hapo ni mil7
Ndio kwa sababu kuna vita Ukraine
Huko Tanga kuna shida.Wataamu wa kulamba asali 🍯
Hawa wangekuwa wanavyongwa tu au unapachapa viboko na mijeredi na unawaachia wakimbie kama wanyama halafu unatwanga risasi za matakoni na kisogoni nguruwe hawa. Ngoja JPM liberation front tuiingie madarakani wala rushwa wote na wafisadi ni kunyonga hadharani
😂😂😂😂😂😂risas za matakon
Viboko na mijeredi 🤭😃😃😃😃 leo umenifurahisha!🤣🤣🤣
Yaani nikupiga risasi wote walioko kwenye mfumo wa ufisadi, harafu tunaanza upya
Eti tanzania kunawashika dini hamna kitu tz hilo ndio bwawa la 600 milioni duu nyumba ya mabati milioni 7
Tanzania wakandarasi wapo... sema tenda zinauzwa kwa washikaji na kila bodi ina mkato wake.
RIP JPM
RIP inakujaje hapo?. Badala ya kumpongeza Aweso kwa kuchukua hatua unaleta usenge.
Ongera sana waziri.Ni wizi mtupu unaofanyika.
Kwa nini bakora hazitumiki??? Watu kama hawa kabla ya kuswekwa ndani walistahili kwanza wapate bakora(viboko) iwe fundisho kwa wengine wenye tabia kama hizi, Inauma sana fedha ya umma kuchezewa kama hivi halafu anaongea na waziri kwa ujeuri kama vile anaongea na mhuni mwenzie, huyu jamaa mkimtoa mmetukera duniani mpaka ahera, mwacheni aozee huko huko
Na wamechacha hao wakandalasi huyu kama wa tatu hivi anafanya hivi hivi mmjoja alijenga banda la lakitano kaandika million 100 aisee mama uwe makini.
Alafu jamaa anaonyesha kibuli sana yaan anajiamini kupita maelezo anapiga makofi bila wasi wasi
nahisi alikuwa mwanakwaya sasa akadhani waziri ana iba.
@@kiariedavid8370 😂😂 atajua hajui kwa mziki wa Aweso
@@kiariedavid8370 😂😂😂😂ndo atajua hajui tu
😂😂Temporary house mil.7 😂😂 yaani banda la laki 4😂😂😂 hii nchi jmn😂😂😂
tatizo viongozi hawaendi kukagua miradi
dah temporary house million.7 haaaa banda la kuku an Tz kuchekea watu kama hawa upuuzi.xnaa
hayati magufuli alivyodeal na hawa wasenge mlimuita diktetA, nchi imerud tena kwenye ulegelege tena
Hizi ni dharau za hali ya juu, hizo hesabu hata kama mimi sio Mkandarasi huu ni wizi wa wazi na Ufisadi hakuna haja ya ku discuss weka ndani wote wajinga haoo
Nyumba ya Million saba hiyoo daaaah
Serikari za uchochoroni hizo, pesa ziliwe mama yupo ulaya shida nini, wacha wale maziwa na asali mana mama kasema kuleni kidogo wanangu mnanjaa😅😅
1:46 🤣🤣
Temporaly camp house. Real shit🤔😂😂
Linda utawala wa mama. Maana kuna mamtu yanazani huu ni utawala wa kupiga Hela
Duuu hata Mimi ningeweza kuchimba hivi
Mama yupo bize na marekani jamani
wanapatawapi huo ujasili wa kura hela ya kodi
Hatar sana
Hivi hawa watendaji na mkandarasi mbona wanakiburinna ujinga sana.Hatuwezi watandika viboko hawa?
😅😅😅
Hahahaha hy temporary house...et mil7 duuuuuh!hii ndo tz
Tusaidieni jaman tumewapa kura zetu jaman
Lkn mbn kipindi Cha Uncle magu mbn Kila mtu alikua na adabu zake ilikua hakuna ujinga huu
Ni huzuni kwa kweli
Sweka ndani wote
Anaomba aweke Maelezo😅😅😅
Serikari imejipambanuaaa🙄🙄😏😏serikari gani???,,
Banda sio mbaya wamekula kwa urefu wa kama kama mama alivyowaamuru. Maana bando ya bati bei juu. Mbao ya boriti inauzwa kwa futi. Ila hapo kwenye bwawa . Wacharazwe viboko hadharani
😂😂😂😂😂😂kazi ipo tanzania mara hi asee
Huyu jamaa anafaa kuwa rais.nakutabiria makubwa.
Hawezi kuwa rais kwasababu waswahili hawawapemdi watu wakweli na ikiwezekana basi wanamuua , bongo rais lazima atoke dar es salaam alafu hawe na itikadi hizo ndio tutafanyikiwa lakini mtu kutoka shamba lazima tu watamzunguka wahuni wa mijini
Mwiteni Magu ndiye kiboko ya hao machunguchu😂😂😂
Tatizo Rais wetu anabembeleza nyani,hatuwezi kufika,
Huyu Jamaa anajitahidi sana,kwa hakika
Halafu huyu nae akirudi nyumbani anasema ametoka ktk majukumu ya kuwahudumia wananchi,hawa ni wahuni wa kufukiwa wakiwa wazima
Damu yaMAGULI ITAWATAFUNA SANA
inzi hii bwana
Waziri wa maji wanakudharau nn? Mbona miradi yote ya maji Ina u adhirifu mkubwa sana
'Temporary Camp 7m. Ni lile pale mheshimiwa...' 😂 😂 😂 msomaji mchongezi wewe...
😂
Mzigua vs mzigua
Iyo nyumba million 7 🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂 wameanza hahahaha
Hiyo suti hapo ilikula million 7.yajayo yanafurahisha
Temporary camp 7 mil., hii hatari.
Mkuu nenda na kilindi Kuna madudu zaidi ya hapo.anzia msente kolan'ga na kinkwembe.utalia tu
Weka ndani wote
Mtoto umleavyo ndivyo Akuavyo...
ss tutawaliwe tu maana ni vilaza maana no uzalendo
Wanalamba asali
Jamani hilo banda la million saba ni uhuni 😑
Madhara ya kubembelezana ndo hayo
Dah hicho kibwawa
Hilo banda la bati ndiyo milioni 7!
Ilo banda kweli 7m mhhhh mabati tu kwa kuona ni 2m Mbao labda laki7 fundi laki 4 tu 🤣🤣🤣🤣
Hahaha watu wanapigwa sana aseee
Sweka ndani fukuza kazi tafuta wengine
Masihala hayo jamani! Kibanda hicho eti milioni 7!?
Ndio kwa sababu kuna vita Ukraine vifaa vya ujenzi vimepanda bei
MZEE NAJUA HUJAFA BD UMEKAA SEHEM FULANI UNACHEKI UJINGA UNAOFANYIKA CHINI YA UONGOZ WA MAMA WA TAARABU,,,R.I.P MWAMBA JPM
We nae pumba kabsa kwaio samia ndo kazzila na kama imegundulika huoni serekaali ipo makin kufatilia you're narrow minded acha kuishi na fkra za chuki
Hahaha😂😂😂
😂😂😂
Uwizi mtupu
Mkandarasi kijumba Cha mabati million 7🙄🙄🙄🙄🙄🙄
mwenzangu ata mi nashaka 😂😂
🤣🤣🤣
Kusanya woteeeeeee😡😡😡😡😡
Huyomkandarasi anavyo jiamini niwazi kabisa anauhakika hajaladhulima na ndiomaana ana confidence yakuongea
Kwanza kwa nini hakumpa nafas ya kujieleza? Anamuuliza swali..akitaka kujibu anamkatisha.
@@prosperjuma905 ajieleze nini???kweli hilo banda la bati hapo milioni 7!!! Kwa akili kama zako itakua ngumu Tanzania kuendelea
Mbuzi ameruhusiwa kula kwa urefu wa kamba yake, tena rukhsa hiyo ilitoka kwa mama mwenyewe; mimi sioni ajabu kwa kweli, ijapokuwa inauma na kuudhi kwelikweli.
Sera ya sasa ni:
“Mwendo wa kula asali 🍯.”
Nisawa ila ungewaacha wajieleze nawao tuwasikie uongo wao atujapenda
wanapatawapi huo ujasili wa kura hela ya kodi
Hilo libaba linaonekana limekuwa hela
😂😂
😂😂😂