MKANDARASI ANUSURIKA KICHAPO KWA KUMDANGANYA WAZIRI AWESO, WANANCHI WACHARUKA "HUYU TUACHIE SISI".

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024

Komentáře • 284

  • @loishiyesamwel1374
    @loishiyesamwel1374 Před rokem +3

    Kwa moyo wa thati kabisa ninaomba huyu Waziri Mungu amlinde ktk Kazi yake hii,
    Ndio faida ya kuwapa vijana madaraka,
    Angekuwa ni mzee siamini km angetembea umbali huo, Nammpongeza Sana Sana ❤❤❤🎉🎉🎉🎉.

  • @allychapa155
    @allychapa155 Před rokem +6

    Allah akujalie kila la heri mh Aweso aki ya mungu umeniliza Leo unafanya kazi kubwa sana pia hongera Millard Ayo mungu akubriki Sana

  • @timboxlee919
    @timboxlee919 Před rokem +12

    Wangekuwa mawaziri wote kama huyu,hii nchi ingekuwa mbali Sana, RIP JPM

  • @asantechota8974
    @asantechota8974 Před rokem +3

    Hawa ndio mawaziri vijana tunaowataka na kazi inafanyika hongera kwa Samia haya ni matunda ya kuwaamini vijana Aweso safi kazi iendeleee

  • @RaymondElisha-pu9dz
    @RaymondElisha-pu9dz Před 4 měsíci

    Kwa stairi hiyo waziri nimeipenda chapa kazi kaka mungu yu pamoja nawe

  • @MauFundiElectronics
    @MauFundiElectronics Před rokem +1

    Yupo vizuri sana aweso yupo vizuri sana KAZI mzuri sana mungu aendelee kukusimamia.

  • @alexkalonga5323
    @alexkalonga5323 Před rokem +10

    Nchi hii Ina Aweso na Bashe Hawa jamaa ni watu aiseeee na wanajua majukumu yao

  • @lailalaila8206
    @lailalaila8206 Před rokem

    Hongera sana my bro huwesu mungu akusimamie kwa kaz zako tungekuwa na mawazir10r nch ingesonga

  • @allymoshi2053
    @allymoshi2053 Před rokem

    Htr wako spidi kama kiongozi wa mbio za mwenge wa 2022 ila kazi nzuri ya ufuatiliaji big up minister

  • @pancrasmalamla9799
    @pancrasmalamla9799 Před rokem +1

    Maoni yangu mh Aweso roho ya utu ya Magufuri inafanya kazi ndani yake.Mungu ambariki

  • @jumaamartin7929
    @jumaamartin7929 Před rokem

    hongera mweshimiwa awesu unanikumbusha mbali sana wewe ni kiongozi sio mwanasiasa.

  • @user-gn7rs8li8e
    @user-gn7rs8li8e Před 11 měsíci +1

    Mungu akupe maisha marefu kwa kuwajali wanyonge

  • @LeylatVlogs
    @LeylatVlogs Před rokem +3

    Big up,keep it up Aweso!💪

  • @hamishassan6784
    @hamishassan6784 Před rokem +3

    Hawa ndio mawaziri watu kazi bhana safi sana Uweso

  • @fambemwanga8401
    @fambemwanga8401 Před rokem +4

    Namshukuru sana mwenyezi mungu kutupa waziri mchapakazi kama aweso..

  • @ezekielloylepayon5042
    @ezekielloylepayon5042 Před rokem +6

    Huu waziri anafaa kabisa Tanzania 🇹🇿 tungepata 100 kama huyu ujanja ujanja usingekuwepo

  • @jeromepetrododomatunawapat3654

    Hongera mh. Awesome kwakukagua miradi ya maji.

  • @vuaivuai9005
    @vuaivuai9005 Před rokem +1

    Hongera muheshimiwa waziri huwa ndo ufanyaji kazi

  • @johnfue2387
    @johnfue2387 Před rokem +4

    Amefanya Magufurification, anastahili pongezi. Kazi njema sana kwa Waziri Aweso

  • @thomasmakweta3860
    @thomasmakweta3860 Před rokem +1

    Mungu akujalie waziri

  • @Joseph-tm1ri
    @Joseph-tm1ri Před 2 měsíci

    Aweso👍

  • @sekishafii3896
    @sekishafii3896 Před rokem +4

    Safi Sana kijana wetu fanyakazi waone mtunda yako yakuzaliwa tanzania

    • @jambo3751
      @jambo3751 Před rokem +1

      Mkandarasi amesahau vituo alivyotengeza 😂😂

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před rokem

      ​@@jambo3751SIO KASAHAU HAVIJUWI VILIPO 😂😂😂😂😂 TOKA 2020 MIAKA 3 HAJUWI VILIPO 😂😂😂😂

    • @rezegerezege691
      @rezegerezege691 Před rokem

      @@jambo3751 😂😂😂🤗🤔inakera sana

  • @swahilitherapytv3846
    @swahilitherapytv3846 Před rokem +4

    KWANI HAWA JAMAA HUWA WANACHUKULIWA ATUA GANI....!??
    MBONA HUWA SIPATI FEEDBACK ZAO

  • @jozeeshirima9231
    @jozeeshirima9231 Před 6 měsíci

    safi sana uwesu

  • @SongilGook-ei2my
    @SongilGook-ei2my Před rokem +3

    Na wezi wa fedha za uma wangekuwa wanashughulikiwa hivi daaah yani nchi ingekuwa imenyooka mpk co poa

  • @sammymdemeka7937
    @sammymdemeka7937 Před rokem +5

    Mkandarasi anatembea kama Jonas Savimbi 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ericbalige1781
    @ericbalige1781 Před rokem +1

    😂😂😂 Mh. umetisha sana. Kutembea umbali wote huo so mchezo!

  • @mohamedwwnurumasagcom8171

    Hongera Aweso watanzania tunakuona wewe ni jembe katika kazi

  • @zwinaalhabsi664
    @zwinaalhabsi664 Před rokem +1

    Safi sana waziri chapa kazi

  • @kamalissabig4631
    @kamalissabig4631 Před rokem +2

    Huyo Mgambo atae jaribu nishika kwenye mkundu Walah ntamgonga ngumi wataniua iyo siku

  • @g.karathaofficial666
    @g.karathaofficial666 Před rokem

    Kuna mtawala na kiongozi.Bali wewe ni kiongozi,Mama angepata majembe kama haya daaah Tanzania 🇹🇿 ingekuwa moto mkubwa ambao hauzimiki.
    God bless U.

  • @salamanhonya9677
    @salamanhonya9677 Před rokem

    Hongera sana waziri Tanzania tunataka viongozi kama wewe. Inafurahisha.

  • @revocatusbarnaba1491
    @revocatusbarnaba1491 Před rokem +1

    Ee bhana maji hamuna.

  • @MauFundiElectronics
    @MauFundiElectronics Před rokem

    Huyo mwamba mda mrefu sijamsikia aissssseeee yupo vizuri mnooooo

  • @japhethcharles5791
    @japhethcharles5791 Před 5 měsíci

    Tunaitaji viongozi waadilifu kama juma aweso kwa kazi hii,natumai hata baada ya uchaguzi kazi itaendelea hivi hivi

  • @ronniebertin3563
    @ronniebertin3563 Před rokem

    Mkandalasi fyekelea mbali. Sukuma ndani

  • @salamanhonya9677
    @salamanhonya9677 Před rokem

    Hii ndo serikali ya Awamu ya Sita. Mama Samia Nakupenda Sanaa wewe na serikali Yako. !!

  • @FakihiNapunda
    @FakihiNapunda Před rokem +5

    Dah watu hawana huruma! Wanamdanganya hadi Aweso! 😂

  • @daslamonline4665
    @daslamonline4665 Před rokem +4

    Jino kwa jino

  • @LovelyOmbreSky-pu4jt
    @LovelyOmbreSky-pu4jt Před 2 měsíci

    Safii sana mtoto wa mzee aweso walizaniumelala haahaha

  • @nuhhumwakanyamale4771
    @nuhhumwakanyamale4771 Před rokem +1

    He hapa tupo na mh waziri tumetoka kuangalia maji,
    "Heeee bwana maji hamna.......
    Hahahaaa......

  • @aminamjema-kf7qr
    @aminamjema-kf7qr Před rokem +1

    Wangefatilia miradi yote na pia kufilusiwa wangejirekebisha na maisha yangebadilika

  • @komboarts7110
    @komboarts7110 Před rokem

    Mwijaku amehusika kutuchoma mradi wetu
    tusishibe 😅😅😅. Natania jamani

  • @salimumpoma8393
    @salimumpoma8393 Před 4 měsíci

    Mama Samia upooo/ooo

  • @joshmsojo3069
    @joshmsojo3069 Před rokem +1

    Aweso apewe shamba lake la maua mapema,ni role model wa mawaziri wote,namtabiria kuwa PM ajaye

  • @jonassumari8974
    @jonassumari8974 Před rokem +3

    Tunaomba na wilaya meru kata ya Nkoaranga kijiji cha Nshup Mweshimiwa waziri ufike kuna mradi kichefuchefu unakera na majibu hatuna miaka mingi

  • @charesslutandula2459
    @charesslutandula2459 Před rokem

    Uwesso munguakubariki sana

  • @kanankirannko6174
    @kanankirannko6174 Před rokem +1

    Duh angesema tu ukweli jamani hawa ndowanaharibu nchi sio kidogo

  • @hamishassan6784
    @hamishassan6784 Před rokem +4

    Hapo ndio pale tunaposema wakandarasi wazawa mnatuangusha hamuminiki na mnatuvunja moyo sana. hivi mlisomeshwa kweli kwa fedha za umma? mbona uadilifu wenu ni finyu sana

  • @fatumatandika6220
    @fatumatandika6220 Před rokem +2

    Inasikitisha sana bora angekuwa mkweli na kumsumbua waziri jamani

  • @frankvianey2438
    @frankvianey2438 Před rokem +3

    Hahahaaaa,asee huyo mkandaras kwanza nampa hongera kitendo cha kuupeleka umati wote huo wa watu sehem isiyojulikana na anajua kabisa hamna vituo vya maji unahitajika ujasiri ambao sio wa kawaida

  • @whatisthetruth.8793
    @whatisthetruth.8793 Před rokem +1

    duh ! hii nchi ni shida sana .

  • @onesmowilfred7523
    @onesmowilfred7523 Před rokem

    Kampeni ya kumtua mama ndoo kichwani bado haijafanikiwa kama waziri anatakaka kufikia lengo ,kazi aliyoianza isiishie hapo

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 Před rokem

    Safi sana chapeni,wanatusumbua sn.

  • @user-vh3yh2ec8r
    @user-vh3yh2ec8r Před rokem

    Nakuaminia bb❤

  • @festohaule9716
    @festohaule9716 Před rokem +2

    Huyu ndiye mtu pekee anayepiga kazi Kwa bidii awamu hii..Mungu akutangulie

  • @mwinukafundibombanjombe
    @mwinukafundibombanjombe Před rokem +2

    Iyo inaitwa nyayo kwa nyayo

  • @lastkinglastking3326
    @lastkinglastking3326 Před rokem +1

    That's why rais mama samia anapenda huyu jama
    Hana uzembe

  • @kassimmuktarymurji4242
    @kassimmuktarymurji4242 Před 7 měsíci

    Aweso pambana watanzania wako nyuma yako simamia haki za watanzania,mungu atakulipa

  • @amalikakiva4937
    @amalikakiva4937 Před rokem +2

    Hivi vitu kma hivi anavyofanya aweso avihitaji kwenda arusha kufundishwa na kuaribu ela za walipa kodi ni mtu anazaliwa na ukarimu wa mtu na alivyolelewa na wazazi wke.

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 Před rokem

    Wesha piga pesa hao makosa wasimamizi hawakua na wazalendo mhandisi nae rushwa tupu mkandarasi alipe tu pesa this is very bad. Wapigaji wengi tu Tzd

  • @froma3732
    @froma3732 Před rokem

    Hii miji miakaa 60 toka wapate Uhuru hawana Maji leo miaka 2 ya Uwogozi wa Mzazibar wanatarajia kupata

  • @rusanzurubigo1103
    @rusanzurubigo1103 Před rokem +1

    Hakika,hiyo ndio maana halisi ya kuwatumikia WANANCHI,unafanya MAKUBWA lakini hujivuni,Asante sana.

  • @shaphiasabani5760
    @shaphiasabani5760 Před rokem

    Naomba kurud Tanzania uku nilipo nakuona kumelala sana

  • @yohanasiminzile2096
    @yohanasiminzile2096 Před rokem

    Nchi hii raha sana mpaka wanafunzi wadogo wapo kwenye ukaguzi wa mradi uzalendo mkubwa sana wanajifunza, mawaziri wamuige mwenzao Aweso wakifanya hivi wote mama yetu Rais ataongoza kwa raha sana, lakini sasa wengine WANAZINGUA sana HONGERA AWESO

  • @jamilmwinge3695
    @jamilmwinge3695 Před rokem

    Akuuh, 😂😂 mimi sio mkandarasi

  • @sein.208
    @sein.208 Před rokem +2

    Ata huyo anayesema waondoke kwenye kata yake anatakiwa yy pia aondokeeeee ,kwann hakufatilia

  • @rukiauwonde7062
    @rukiauwonde7062 Před rokem +1

    😂😂😂😂mzee baba,amechoka kudanganywa leo ni mwendo wa jeshi tu😂😂

  • @ashelimwamlima602
    @ashelimwamlima602 Před 4 měsíci

    MBONA ASKARI NI WACHACHE N NIMSAFARA WA WAZIRI kbsaa

  • @Josh_1194
    @Josh_1194 Před rokem +1

    Hii ndo yenyewe

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle Před 11 měsíci

    Hata aibu halina linamdaanganya waziri jamani hili li baba ndevu tu akili hamna

  • @jumaamartin7929
    @jumaamartin7929 Před rokem

    Anatakiwa akimaliza mambo ya maji tu mweshimiwa awesu.Apelekwe ktk wizara zile korofi nako akawanyooshe wakae ktk mstari wale wababaifu na watakao fanya kazi kimazoea.

  • @abdallabundala404
    @abdallabundala404 Před rokem +2

    Mh Aweso umefanya poa. Iyo ndio falsafa ya uwongozi ni dhamana

  • @hamishassan6784
    @hamishassan6784 Před rokem +8

    ila hapa ningeshauri jambo. kiukweli watu wa maji kwenye wilaya wako huru mno, hawana kamati za manunuzi ( bodi za zabuni), wala wakaguzi wa ndani Nashauri kama ingefaa Mh. Waziri Miradi hii ipitishwe kwenye Baraza la madiwani, Halmashauri zihusishwe kwa kutoa bodi ya zabuni na wakaguzi wa ndani ambao wawe wanatoa ripoti maalumu za kila robo mwaka ambazo zijadiliwe kwenye mabaraza ya madiwani na kisha wizara ichukue hatua stahiki

  • @isayandolomindolomi1853

    Mmmmm hiyo kali

  • @JohnGyunda
    @JohnGyunda Před rokem

    Jamaangu magesa elieza na vjana wengine wamekutia ndimu

  • @elishajoshua4892
    @elishajoshua4892 Před rokem +1

    Watanzania wanaumizwa, hawana tu viongozi wakutosha wa aina hii. Tanzania 🇹🇿 yangu!😣

  • @senseiamani4684
    @senseiamani4684 Před rokem +1

    Haaaaahaaaaa daaaah nimecheka

  • @thomastemu3332
    @thomastemu3332 Před rokem

    Ndiyoooo baba aweso 😅 Chaos kazi mwanangu

  • @felixsolomon6293
    @felixsolomon6293 Před rokem

    Huyo jamaa anayeongea na simu kanichekesha eti hapa niko na mkuu tunaenda kuangalia maji😅😂😂😂😂

  • @ChrisMwambeje
    @ChrisMwambeje Před rokem +2

    aweso huna deni na mimi

  • @greenwellnsyukwe4729
    @greenwellnsyukwe4729 Před rokem

    Aweso yupo pekee yake hadi sasa, Mama akinipa kz na Mm tutakua wawili wenye moyo wa uzalendo km Nyerere, Mm chukua hiyoooo.

  • @pasquallungwa3517
    @pasquallungwa3517 Před rokem

    Siasa waziri mpaka upigiwe sim na vice presdaa ndio uende kukagua na huko ni home kwa vice alipita last week ndio akakiamsha so umekuja kutokana na agizo

    • @bernadetamodest6170
      @bernadetamodest6170 Před rokem

      Hakwenda kwa ajili ya agizo,walitaka vitendea kaz je hawakuvipata?

  • @charesslutandula2459
    @charesslutandula2459 Před rokem

    Nimeipenda sanahii

  • @mathiasmsumeno8516
    @mathiasmsumeno8516 Před rokem +1

    Lowasa on those days 👏🏾👏🏾👏🏾

  • @hamisiyusufu1101
    @hamisiyusufu1101 Před rokem +2

    Waziri nakuomba uende kigoma vijijini Kyle ndo kuna shida ya maji miaka yote..wananchi wanateseka mno mno

    • @georgedaniel4962
      @georgedaniel4962 Před rokem

      Sio vijijini nenda kigoma mjini ndoo shida zaidi na wanazungukwa na ziwa.

  • @queenmwasanguti2370
    @queenmwasanguti2370 Před rokem

    Vijana wanafanya kazi

  • @idrisakassim3533
    @idrisakassim3533 Před rokem +1

    Ila hii nchi daah watu hawafanyi kazi bila kusimamuwa

  • @queenmwasanguti2370
    @queenmwasanguti2370 Před rokem

    Watu kama Hawa Mama Kila mtu atampigia kura. Hii nchi ni shamba la bibi.

  • @erastomapunda1444
    @erastomapunda1444 Před rokem

    viongozi wenu wanaiba mabilion hamuwafanyi chochote au hamuwaoni nyiwenyewe ni wezi tuu

  • @user-oh6pc7zd4s
    @user-oh6pc7zd4s Před 6 měsíci

    FIDDA HUSSEIN NI MWIZI WANYUMBA ZA WATU DAR

  • @shadrackmohamedi8765
    @shadrackmohamedi8765 Před rokem +3

    This is Tanzania.
    Hongera Mh. Waziri, ila hata wasimamizi ktk hiyo wilaya wafukuzwe.

  • @musampanda3643
    @musampanda3643 Před rokem +1

    Kwahy sasa maji yapo na watu wamepiga pesa ama

  • @deoyessaya8689
    @deoyessaya8689 Před rokem +3

    Wangemkanda kwanza kidogo.

  • @user-mb2dy1cp7v
    @user-mb2dy1cp7v Před rokem

    Waziri Amechafukaa😅😅 vumbi nyong'o nyong'o 😂😂

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 Před rokem +1

    Yaani hadi waziri anadanganywa jamani😂😂😂😂

  • @user-py1zx3nh7o
    @user-py1zx3nh7o Před rokem

    Yaan mheshimiwa waziri tembelea na mradi wa maji halimashauri ya shinyanga,ktk Kijiji Cha tinde ukaone fedha zinavyoliwa na maji hakuna

  • @neemayamungu9537
    @neemayamungu9537 Před rokem +1

    Kulikon tenaaa😮😮😮

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 Před rokem

    Unajitafutia umarufu ??
    Wee Achaa achaa acha bwanaa
    Dk 13: 11

  • @athusmateru
    @athusmateru Před rokem

    Sawa sawa