Kwa moyo wa thati kabisa ninaomba huyu Waziri Mungu amlinde ktk Kazi yake hii, Ndio faida ya kuwapa vijana madaraka, Angekuwa ni mzee siamini km angetembea umbali huo, Nammpongeza Sana Sana ❤❤❤🎉🎉🎉🎉.
Hapo ndio pale tunaposema wakandarasi wazawa mnatuangusha hamuminiki na mnatuvunja moyo sana. hivi mlisomeshwa kweli kwa fedha za umma? mbona uadilifu wenu ni finyu sana
Hahahaaaa,asee huyo mkandaras kwanza nampa hongera kitendo cha kuupeleka umati wote huo wa watu sehem isiyojulikana na anajua kabisa hamna vituo vya maji unahitajika ujasiri ambao sio wa kawaida
Hivi vitu kma hivi anavyofanya aweso avihitaji kwenda arusha kufundishwa na kuaribu ela za walipa kodi ni mtu anazaliwa na ukarimu wa mtu na alivyolelewa na wazazi wke.
Nchi hii raha sana mpaka wanafunzi wadogo wapo kwenye ukaguzi wa mradi uzalendo mkubwa sana wanajifunza, mawaziri wamuige mwenzao Aweso wakifanya hivi wote mama yetu Rais ataongoza kwa raha sana, lakini sasa wengine WANAZINGUA sana HONGERA AWESO
Anatakiwa akimaliza mambo ya maji tu mweshimiwa awesu.Apelekwe ktk wizara zile korofi nako akawanyooshe wakae ktk mstari wale wababaifu na watakao fanya kazi kimazoea.
ila hapa ningeshauri jambo. kiukweli watu wa maji kwenye wilaya wako huru mno, hawana kamati za manunuzi ( bodi za zabuni), wala wakaguzi wa ndani Nashauri kama ingefaa Mh. Waziri Miradi hii ipitishwe kwenye Baraza la madiwani, Halmashauri zihusishwe kwa kutoa bodi ya zabuni na wakaguzi wa ndani ambao wawe wanatoa ripoti maalumu za kila robo mwaka ambazo zijadiliwe kwenye mabaraza ya madiwani na kisha wizara ichukue hatua stahiki
Siasa waziri mpaka upigiwe sim na vice presdaa ndio uende kukagua na huko ni home kwa vice alipita last week ndio akakiamsha so umekuja kutokana na agizo
Kwa moyo wa thati kabisa ninaomba huyu Waziri Mungu amlinde ktk Kazi yake hii,
Ndio faida ya kuwapa vijana madaraka,
Angekuwa ni mzee siamini km angetembea umbali huo, Nammpongeza Sana Sana ❤❤❤🎉🎉🎉🎉.
Allah akujalie kila la heri mh Aweso aki ya mungu umeniliza Leo unafanya kazi kubwa sana pia hongera Millard Ayo mungu akubriki Sana
Wangekuwa mawaziri wote kama huyu,hii nchi ingekuwa mbali Sana, RIP JPM
Kweli kabisa
Hawa ndio mawaziri vijana tunaowataka na kazi inafanyika hongera kwa Samia haya ni matunda ya kuwaamini vijana Aweso safi kazi iendeleee
Kwa stairi hiyo waziri nimeipenda chapa kazi kaka mungu yu pamoja nawe
Yupo vizuri sana aweso yupo vizuri sana KAZI mzuri sana mungu aendelee kukusimamia.
Nchi hii Ina Aweso na Bashe Hawa jamaa ni watu aiseeee na wanajua majukumu yao
Kuna yule slaa na yuko vzr sana
Hongera sana my bro huwesu mungu akusimamie kwa kaz zako tungekuwa na mawazir10r nch ingesonga
Htr wako spidi kama kiongozi wa mbio za mwenge wa 2022 ila kazi nzuri ya ufuatiliaji big up minister
Maoni yangu mh Aweso roho ya utu ya Magufuri inafanya kazi ndani yake.Mungu ambariki
hongera mweshimiwa awesu unanikumbusha mbali sana wewe ni kiongozi sio mwanasiasa.
Mungu akupe maisha marefu kwa kuwajali wanyonge
Big up,keep it up Aweso!💪
Hawa ndio mawaziri watu kazi bhana safi sana Uweso
Namshukuru sana mwenyezi mungu kutupa waziri mchapakazi kama aweso..
Huu waziri anafaa kabisa Tanzania 🇹🇿 tungepata 100 kama huyu ujanja ujanja usingekuwepo
Hongera mh. Awesome kwakukagua miradi ya maji.
Hongera muheshimiwa waziri huwa ndo ufanyaji kazi
Amefanya Magufurification, anastahili pongezi. Kazi njema sana kwa Waziri Aweso
Mungu akujalie waziri
Aweso👍
Safi Sana kijana wetu fanyakazi waone mtunda yako yakuzaliwa tanzania
Mkandarasi amesahau vituo alivyotengeza 😂😂
@@jambo3751SIO KASAHAU HAVIJUWI VILIPO 😂😂😂😂😂 TOKA 2020 MIAKA 3 HAJUWI VILIPO 😂😂😂😂
@@jambo3751 😂😂😂🤗🤔inakera sana
KWANI HAWA JAMAA HUWA WANACHUKULIWA ATUA GANI....!??
MBONA HUWA SIPATI FEEDBACK ZAO
safi sana uwesu
Na wezi wa fedha za uma wangekuwa wanashughulikiwa hivi daaah yani nchi ingekuwa imenyooka mpk co poa
Mkandarasi anatembea kama Jonas Savimbi 🤣🤣🤣🤣🤣
Savimbi
😄😄
😂
😂😂😂 Mh. umetisha sana. Kutembea umbali wote huo so mchezo!
Hongera Aweso watanzania tunakuona wewe ni jembe katika kazi
Safi sana waziri chapa kazi
Huyo Mgambo atae jaribu nishika kwenye mkundu Walah ntamgonga ngumi wataniua iyo siku
Kuna mtawala na kiongozi.Bali wewe ni kiongozi,Mama angepata majembe kama haya daaah Tanzania 🇹🇿 ingekuwa moto mkubwa ambao hauzimiki.
God bless U.
Hongera sana waziri Tanzania tunataka viongozi kama wewe. Inafurahisha.
Ee bhana maji hamuna.
Huyo mwamba mda mrefu sijamsikia aissssseeee yupo vizuri mnooooo
Tunaitaji viongozi waadilifu kama juma aweso kwa kazi hii,natumai hata baada ya uchaguzi kazi itaendelea hivi hivi
Mkandalasi fyekelea mbali. Sukuma ndani
Hii ndo serikali ya Awamu ya Sita. Mama Samia Nakupenda Sanaa wewe na serikali Yako. !!
Dah watu hawana huruma! Wanamdanganya hadi Aweso! 😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
😹😹😹😹
Jino kwa jino
Safii sana mtoto wa mzee aweso walizaniumelala haahaha
He hapa tupo na mh waziri tumetoka kuangalia maji,
"Heeee bwana maji hamna.......
Hahahaaa......
Wangefatilia miradi yote na pia kufilusiwa wangejirekebisha na maisha yangebadilika
Mwijaku amehusika kutuchoma mradi wetu
tusishibe 😅😅😅. Natania jamani
Mama Samia upooo/ooo
Aweso apewe shamba lake la maua mapema,ni role model wa mawaziri wote,namtabiria kuwa PM ajaye
Tunaomba na wilaya meru kata ya Nkoaranga kijiji cha Nshup Mweshimiwa waziri ufike kuna mradi kichefuchefu unakera na majibu hatuna miaka mingi
Uwesso munguakubariki sana
Duh angesema tu ukweli jamani hawa ndowanaharibu nchi sio kidogo
Hapo ndio pale tunaposema wakandarasi wazawa mnatuangusha hamuminiki na mnatuvunja moyo sana. hivi mlisomeshwa kweli kwa fedha za umma? mbona uadilifu wenu ni finyu sana
Wakipewa wageni wanalalamika
Inasikitisha sana bora angekuwa mkweli na kumsumbua waziri jamani
Hahahaaaa,asee huyo mkandaras kwanza nampa hongera kitendo cha kuupeleka umati wote huo wa watu sehem isiyojulikana na anajua kabisa hamna vituo vya maji unahitajika ujasiri ambao sio wa kawaida
Jamaa kachanganyikiwa, 😂alijua waziri hatahairisha ukaguzi
Huyo mhandisi alidanganya kutokunywa uwesso hadanganyiki akasemamguukwamguu kukagua chezeaUwesso wewe
Alipaniki
Nimecheka hadi machoz yananitoka
Na kweli kanusurika kipigo
duh ! hii nchi ni shida sana .
Kampeni ya kumtua mama ndoo kichwani bado haijafanikiwa kama waziri anatakaka kufikia lengo ,kazi aliyoianza isiishie hapo
Safi sana chapeni,wanatusumbua sn.
Nakuaminia bb❤
Huyu ndiye mtu pekee anayepiga kazi Kwa bidii awamu hii..Mungu akutangulie
wako wawili tu na bashe
Iyo inaitwa nyayo kwa nyayo
😂😂😂 mguu kwa mguu, nyayo kwa nyayo
That's why rais mama samia anapenda huyu jama
Hana uzembe
Aweso pambana watanzania wako nyuma yako simamia haki za watanzania,mungu atakulipa
Hivi vitu kma hivi anavyofanya aweso avihitaji kwenda arusha kufundishwa na kuaribu ela za walipa kodi ni mtu anazaliwa na ukarimu wa mtu na alivyolelewa na wazazi wke.
Wesha piga pesa hao makosa wasimamizi hawakua na wazalendo mhandisi nae rushwa tupu mkandarasi alipe tu pesa this is very bad. Wapigaji wengi tu Tzd
Hii miji miakaa 60 toka wapate Uhuru hawana Maji leo miaka 2 ya Uwogozi wa Mzazibar wanatarajia kupata
Hakika,hiyo ndio maana halisi ya kuwatumikia WANANCHI,unafanya MAKUBWA lakini hujivuni,Asante sana.
Naomba kurud Tanzania uku nilipo nakuona kumelala sana
Nchi hii raha sana mpaka wanafunzi wadogo wapo kwenye ukaguzi wa mradi uzalendo mkubwa sana wanajifunza, mawaziri wamuige mwenzao Aweso wakifanya hivi wote mama yetu Rais ataongoza kwa raha sana, lakini sasa wengine WANAZINGUA sana HONGERA AWESO
Akuuh, 😂😂 mimi sio mkandarasi
Ata huyo anayesema waondoke kwenye kata yake anatakiwa yy pia aondokeeeee ,kwann hakufatilia
😂😂😂😂mzee baba,amechoka kudanganywa leo ni mwendo wa jeshi tu😂😂
MBONA ASKARI NI WACHACHE N NIMSAFARA WA WAZIRI kbsaa
Hii ndo yenyewe
Hata aibu halina linamdaanganya waziri jamani hili li baba ndevu tu akili hamna
Anatakiwa akimaliza mambo ya maji tu mweshimiwa awesu.Apelekwe ktk wizara zile korofi nako akawanyooshe wakae ktk mstari wale wababaifu na watakao fanya kazi kimazoea.
Mh Aweso umefanya poa. Iyo ndio falsafa ya uwongozi ni dhamana
ila hapa ningeshauri jambo. kiukweli watu wa maji kwenye wilaya wako huru mno, hawana kamati za manunuzi ( bodi za zabuni), wala wakaguzi wa ndani Nashauri kama ingefaa Mh. Waziri Miradi hii ipitishwe kwenye Baraza la madiwani, Halmashauri zihusishwe kwa kutoa bodi ya zabuni na wakaguzi wa ndani ambao wawe wanatoa ripoti maalumu za kila robo mwaka ambazo zijadiliwe kwenye mabaraza ya madiwani na kisha wizara ichukue hatua stahiki
WA
Mmmmm hiyo kali
Jamaangu magesa elieza na vjana wengine wamekutia ndimu
Watanzania wanaumizwa, hawana tu viongozi wakutosha wa aina hii. Tanzania 🇹🇿 yangu!😣
Haaaaahaaaaa daaaah nimecheka
Ndiyoooo baba aweso 😅 Chaos kazi mwanangu
Huyo jamaa anayeongea na simu kanichekesha eti hapa niko na mkuu tunaenda kuangalia maji😅😂😂😂😂
aweso huna deni na mimi
Aweso yupo pekee yake hadi sasa, Mama akinipa kz na Mm tutakua wawili wenye moyo wa uzalendo km Nyerere, Mm chukua hiyoooo.
Siasa waziri mpaka upigiwe sim na vice presdaa ndio uende kukagua na huko ni home kwa vice alipita last week ndio akakiamsha so umekuja kutokana na agizo
Hakwenda kwa ajili ya agizo,walitaka vitendea kaz je hawakuvipata?
Nimeipenda sanahii
Safi sana Waziri Kwa Majukumu Mazuri kaka
Lowasa on those days 👏🏾👏🏾👏🏾
I second you
Waziri nakuomba uende kigoma vijijini Kyle ndo kuna shida ya maji miaka yote..wananchi wanateseka mno mno
Sio vijijini nenda kigoma mjini ndoo shida zaidi na wanazungukwa na ziwa.
Vijana wanafanya kazi
Ila hii nchi daah watu hawafanyi kazi bila kusimamuwa
Watu kama Hawa Mama Kila mtu atampigia kura. Hii nchi ni shamba la bibi.
viongozi wenu wanaiba mabilion hamuwafanyi chochote au hamuwaoni nyiwenyewe ni wezi tuu
FIDDA HUSSEIN NI MWIZI WANYUMBA ZA WATU DAR
This is Tanzania.
Hongera Mh. Waziri, ila hata wasimamizi ktk hiyo wilaya wafukuzwe.
Kwahy sasa maji yapo na watu wamepiga pesa ama
Wangemkanda kwanza kidogo.
😂😂😂
Waziri Amechafukaa😅😅 vumbi nyong'o nyong'o 😂😂
Yaani hadi waziri anadanganywa jamani😂😂😂😂
Yaan mheshimiwa waziri tembelea na mradi wa maji halimashauri ya shinyanga,ktk Kijiji Cha tinde ukaone fedha zinavyoliwa na maji hakuna
Kulikon tenaaa😮😮😮
Unajitafutia umarufu ??
Wee Achaa achaa acha bwanaa
Dk 13: 11
Sawa sawa