Na hakuna mahala popote palipoandikwa kuwa,kwakuwa Galagtico ya Real Madreed ilifeli,basi kila timu itakayo sajili nyota wengi itafeli kama Madreed --- " Opponent akipata goli,wakati Score bord inasoma YNG 5 -- MADUNDU 1 halafu ni dakika ya 88:45 kuna shida gani "
Baba Levo nilikumiss san kwenye jana na leo
Amerudi kwa kishindo 🎉🎉🎉
Uyu ni mtu na nusu
Baba Levo katua kwenye jana na leo pamechangamka sana leo.
Sawa
Ila baba levo nimuongoo kinoma we jamaaaa😂😂😂
Jaman baba levo anafurahishA sana nataman niwe na msikiliza kila siku na kiswahili chake
Daaaaaaah. Baba levo balaaa
Baba Le vo nakukubali sana
Baba level low football proffesional lakini kwenye kipindi lakini ana mchango sana hapoo hamjui tuu🎉
Iki kipindi kilikiwa hakina mvuko baba levo akikosekana
Baba levo we ni mpuuzi huwezi kumuacha muda uka muweka chama Taira toka hapo studio
Hakuelewi has baba levo Acha wananchi tutambe
Yani hwa jamaa akili zao ni kuchekesha tu
Safi sana .baba ,muda yeye atapishana na max inategemea na metch yenyewe
Baba levo unajua kupanga, mashine
Yaaaani mzinze huwa anatukosesha sana furaha
Baba levo aiseee nakualika zanzibar kwenye dinner aisee one day unavutia mnoooo
Gamond ameungana na Edo Kumwembe. Kaulizwa atawapanga star wote kwa wakati mmoja?
Akajibu: Tutegemee kufungwa kila mechi tutakayo fanya hivyo.
Mechi za kimataifa lazima prince Max muda pacome Aziz waanze....
Baba levo umepotelea wapi unatoboaga wewe bora unerudi
baba nakukubali sana kwenye jana na leo
sema oscar kw kujifany anaon mbali😂😂
🎉🎉🎉
Baba levo una kipaji sana cha kuchekesha
Baba levo micc you❤
ILA baba level 🎉🎉🎉
Hoisi
safi sana edo waambie hao
Baba leo is an other level
😂😂😂❤❤baba levo
tutawagaragaza sio kuwafunga 2
Na hakuna mahala popote palipoandikwa kuwa,kwakuwa Galagtico ya Real Madreed ilifeli,basi kila timu itakayo sajili nyota wengi itafeli kama Madreed --- " Opponent akipata goli,wakati Score bord inasoma YNG 5 -- MADUNDU 1 halafu ni dakika ya 88:45 kuna shida gani "
haha acha muda uongee .....nyie mastaa kaka😂
Wew ni Xavi mtupu
Babalevo noma
babalevo🔥🔥🔥🔥
Hhhhhhhhhhhhh😅
😂😂😂😂😂
QwiShaa 😂
UMEWAHI KUFIKIRIA YANGA WAMESHINDWA KUINGIA MAKUNDI CAFCL?
THINK ABOUT THAT!
Makundi mbali kote huko, kuna timu bovu TZ limeshindwa kabisa kushiriki CAFCL msimu ujao limebahatika kwenda shirikisho😅
Baba levo mpira haujui kbs hapasw kuwa kwenye hich kipind labda kwasababu analeta uchangamfu kwenye kipindi
Kaongea points apo ww sikilza