Kuna figisu zinafanyika kukwamisha juhudi zao. Usikurupuke kusema vibonde wakati mambo yanaonekana wazi wazi kua timu fulani ndizo zinazopangwa kushika nafasi za juu kwenye ligi hiyo. Kisha ww Kijana ukizungumza jambo lifanyie uchunguzi kwanza.
Hata simba wangekuwa ligi ya mabingwa wangeanzia hatua ya awali kutokana na tim zimepunguzwa za kuanzia hatua ya mwanzo badala ya 10 zimepunguzwa mpaka 5 sasa alaf kumbukeni shirikisho hata azam msim jana hakuanzia hatua ya awali japo azam hawakuwah kufika hata makundi. Simba ni kweli wamefanya vizur misim mitano ilo halina ubishi ila caf wanabadilisha sana mifumo yao ni bora ingebaki tu vile ilivyokuwa mwanzo top 10 wasingeanzia hatua za awali ila kwasas hata alioko nafasi ya 6 anaanzia priliminary😢😢😢😢
Labda nikuulize swali,je,kwa kukosea huko na kushuka kiwango kwa simba unakupima kwa kutumia kigezo kipi? wakati kama robo ya club bingwa alifika na bado timu kubwa zimepigika hadi 6 na 7 kimataifa. Hebu uwe mkweli kwa kuzingatia data
Ondoka Acha Uongo MNAHAĹIBÙ WASAFI ĶWA KUIPENDELEA YAÑGA
Osca Kwa huku umechemka owent Kila msim zipo babu
Osca yuko sawa Ila Mwandishi umekosea Simba haianzi hatua ya awali, awali kwa lugha rahisi ni chekechea. Timu 3 ndio vibonde
Ujui chambua mpira wew cklza crown media upate maarifa kibonde cmba alie kombe la waliofel
Osca, akili Yako ndo imefikia mwisho apo
Kuna figisu zinafanyika kukwamisha juhudi zao. Usikurupuke kusema vibonde wakati mambo yanaonekana wazi wazi kua timu fulani ndizo zinazopangwa kushika nafasi za juu kwenye ligi hiyo. Kisha ww Kijana ukizungumza jambo lifanyie uchunguzi kwanza.
Huyuuu oscar hajuiii kuchambuaaa mpilaa.chakufanuaaa huyuu tumuridisheeee darasa la 1 ajifunzeeee tenaaaa maaana anahalibuuu snaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂 hakijuiiii kuchambuaaaaa
Kama hawa ni vibonde na Gor mahia nao tunawaitaji huyu hajui mpira na ni mbabaixhaj na mpotoshaji xijuw kwann huwa anajixahau
Oscar wew huna akili unafanya kuongea kwa sifa hula lolote
Oscar we mbwa hujui mpra
Hata simba wangekuwa ligi ya mabingwa wangeanzia hatua ya awali kutokana na tim zimepunguzwa za kuanzia hatua ya mwanzo badala ya 10 zimepunguzwa mpaka 5 sasa alaf kumbukeni shirikisho hata azam msim jana hakuanzia hatua ya awali japo azam hawakuwah kufika hata makundi. Simba ni kweli wamefanya vizur misim mitano ilo halina ubishi ila caf wanabadilisha sana mifumo yao ni bora ingebaki tu vile ilivyokuwa mwanzo top 10 wasingeanzia hatua za awali ila kwasas hata alioko nafasi ya 6 anaanzia priliminary😢😢😢😢
We oscar huelewi chochote ngombe we
Anasema ukweli utopolo ni vibonde😂😂
Labda nikuulize swali,je,kwa kukosea huko na kushuka kiwango kwa simba unakupima kwa kutumia kigezo kipi? wakati kama robo ya club bingwa alifika na bado timu kubwa zimepigika hadi 6 na 7 kimataifa. Hebu uwe mkweli kwa kuzingatia data
Kaka hujui lolote Simba haianzi kama yanga Simba ni wakubwa sana
Simba inashiriki michuano gani msimu huu
Leo Oscar umechemsha dogo
Oscar haujui lolote acha kudanganya watu mtafute mbwaduke akupe dalasa hulu
Wewe ndio uelewi
mmmmmmmmmmmmmmhhhhhhhhhh
Oscar iko sahii
Leo Osca umechemsha dogo