YANGA NA SIMBA NI VIBONDE KWENYE MICHUANO YA KLABU BINGWA YA AFRIKA| IDADI ZA PIONTI NI NDOGO SANA.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 07. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Zábava

Komentáře • 22

  • @muharamijuma1569
    @muharamijuma1569 Před 22 dny

    Ondoka Acha Uongo MNAHAĹIBÙ WASAFI ĶWA KUIPENDELEA YAÑGA

  • @abubakarjuma443
    @abubakarjuma443 Před 23 dny +1

    Osca Kwa huku umechemka owent Kila msim zipo babu

  • @user-px1gd4de7k
    @user-px1gd4de7k Před 21 dnem

    Osca yuko sawa Ila Mwandishi umekosea Simba haianzi hatua ya awali, awali kwa lugha rahisi ni chekechea. Timu 3 ndio vibonde

  • @Damsonmwiga-t8q
    @Damsonmwiga-t8q Před 22 dny

    Ujui chambua mpira wew cklza crown media upate maarifa kibonde cmba alie kombe la waliofel

  • @nicodemusmemba1402
    @nicodemusmemba1402 Před 22 dny

    Osca, akili Yako ndo imefikia mwisho apo

  • @user-hk2oz2eg4j
    @user-hk2oz2eg4j Před 23 dny

    Kuna figisu zinafanyika kukwamisha juhudi zao. Usikurupuke kusema vibonde wakati mambo yanaonekana wazi wazi kua timu fulani ndizo zinazopangwa kushika nafasi za juu kwenye ligi hiyo. Kisha ww Kijana ukizungumza jambo lifanyie uchunguzi kwanza.

  • @FrankLuhaha-dt5sh
    @FrankLuhaha-dt5sh Před 22 dny

    Huyuuu oscar hajuiii kuchambuaaa mpilaa.chakufanuaaa huyuu tumuridisheeee darasa la 1 ajifunzeeee tenaaaa maaana anahalibuuu snaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂 hakijuiiii kuchambuaaaaa

  • @Sukuma_Tv
    @Sukuma_Tv Před 19 dny

    Kama hawa ni vibonde na Gor mahia nao tunawaitaji huyu hajui mpira na ni mbabaixhaj na mpotoshaji xijuw kwann huwa anajixahau

  • @RaysonAlex-g3v
    @RaysonAlex-g3v Před 22 dny

    Oscar wew huna akili unafanya kuongea kwa sifa hula lolote

  • @boscoShama
    @boscoShama Před 23 dny

    Oscar we mbwa hujui mpra

  • @user-ox3ij7ki3t
    @user-ox3ij7ki3t Před 23 dny

    Hata simba wangekuwa ligi ya mabingwa wangeanzia hatua ya awali kutokana na tim zimepunguzwa za kuanzia hatua ya mwanzo badala ya 10 zimepunguzwa mpaka 5 sasa alaf kumbukeni shirikisho hata azam msim jana hakuanzia hatua ya awali japo azam hawakuwah kufika hata makundi. Simba ni kweli wamefanya vizur misim mitano ilo halina ubishi ila caf wanabadilisha sana mifumo yao ni bora ingebaki tu vile ilivyokuwa mwanzo top 10 wasingeanzia hatua za awali ila kwasas hata alioko nafasi ya 6 anaanzia priliminary😢😢😢😢

  • @aminamano775
    @aminamano775 Před 23 dny +1

    We oscar huelewi chochote ngombe we

  • @brightonchedego8100
    @brightonchedego8100 Před 23 dny

    Labda nikuulize swali,je,kwa kukosea huko na kushuka kiwango kwa simba unakupima kwa kutumia kigezo kipi? wakati kama robo ya club bingwa alifika na bado timu kubwa zimepigika hadi 6 na 7 kimataifa. Hebu uwe mkweli kwa kuzingatia data

  • @michaelkamaghe5046
    @michaelkamaghe5046 Před 23 dny +1

    Kaka hujui lolote Simba haianzi kama yanga Simba ni wakubwa sana

  • @petersikalumba608
    @petersikalumba608 Před 23 dny

    Leo Oscar umechemsha dogo

  • @robertsalum1968
    @robertsalum1968 Před 23 dny +4

    Oscar haujui lolote acha kudanganya watu mtafute mbwaduke akupe dalasa hulu

  • @abdallahchungulu4439
    @abdallahchungulu4439 Před 23 dny

    mmmmmmmmmmmmmmhhhhhhhhhh

  • @user-zh1fd8zv1x
    @user-zh1fd8zv1x Před 23 dny

    Oscar iko sahii

  • @petersikalumba608
    @petersikalumba608 Před 23 dny

    Leo Osca umechemsha dogo