Nikazi ngumu sana kuchekesha watu wazima haswa wenye nyazifa kubwa serikalini,lkn jamaa ameweza,pia lugha yake ipo smart na hachoshi watu,,pure talented comedian we have in the country 🎉
😂😂 ila na mm pesa ya sponsor nilishawahi kuitumia sana, daah!! Haya maisha, had nikalipiwaga ada ya shule. Sema yule sponsor alikuwa serious sana had akamuoa demu wangu 😂😂😂
Kinacho nishangaza wabongo huwa wanakuja kwenye show bila pesa hata kumtunza mchekeshaji tu kwenye jukwaa hamna jaman acheni roho mbaya watunzeni wachekeshaji kwenye jukwaa
uyu jamaa ni level zingine kabsa bhn,, genius uyu🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Leonardo ni mnyama sana na tunakuona mbali mzee.. ongeza juhud
Majaji hawakukosea kumchagua kuwa mshindi wa cheka tuu,pokea maua yake❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Nikazi ngumu sana kuchekesha watu wazima haswa wenye nyazifa kubwa serikalini,lkn jamaa ameweza,pia lugha yake ipo smart na hachoshi watu,,pure talented comedian we have in the country 🎉
Huyu na eliud mm nawakubali sana
It is encouraging to see a brother rise from humble beginnings to manage corporate events. Hongera sana Leornado.
The best standup comedian 🇹🇿
Hongera sana kaka Mwenyezi Mungu azidi kukufungulia milangoo...sio kazi ndogo hapooo
Asante Ayo kwa kumpa leonardo platform anastahili anatoa ushauri mzuri
Jamaa nimkali sana uyu atali 👏👏👏👏👏👏
Hongera bro unajua mungu akuzidishie
Toka siku ya kwanza nilikupenda unajua sana unamaterial yaliyoenda shule❤️❤️❤️
Moja ya wachekeshaji bora wa majukwa ya kusimaa
Uyu jamaa anajua mpaka anaboa tumpe like zake
Anakera😂
Hamkamati KIPOTOSHI banaaaa
@@abdulrahmanissasizimwe2107Kipotoshi bado sana, Leonardo ndo King wa Stand up comedy Tanzania
Weeee kipotoshi ndo nan😂
Alie ona jamaa kaanza kunenepa anipe like
Haipingwi
😂😂😂 nakubali mwambaa kaashaa ivaa ❤😅😅 dua kilaa atumwambaa shavu kaka
😅😅😅 bado mimi tu kaka
😂😂😂kweli nilimsahau kbs kweli pesa haiongopi
🤣🤣🤣😆😆
More blessing 🙌 braza unaweza
Aliye sikia ahmed ally makofi kwa wingi gonga like hapa😂😂😂😂
Mkali wa mathe ukimuona kama kisheta eeh kumbe he is very smart😂😂😂
Anatoa platform nzur sana❤ ishi sana leonard unamadini bhna
Jamaa anakula endorsements tu saivi.. safi sana
Jamaa ana IQ KUBWA sana🔥🔥🔥🔥
Your the best commedian in Tanzania
Jamaa unpredictable kabisa safi sana...
Huyu jamaa anakuja vzr sana big up
Mwamba wala hatumii nguvu kuchekesha watu😂😂😂😂🙌
Unajuwa sana from USA
He's GOAT....
🔥🔥🔥🔥🔥m nakupa maua yang bro ,Leonardo unajuwa Sana,Godbless you ,Mungu atakusaidia utafik mbali 😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃
Leonard unaweza sana mzemwenzangu ongeza juhudi mbaliii unaonekana.
ni kweli kabisa ata kwenye mavazi tunaona mtoto wa boss akivaa kimini huitwa misi lakini wa maskini huitwa malaya
Kweliiii kabisaa 😂😂😂😂😂❤❤❤
Jamaa anatisha sana yaan jokes zake Zina mafundisho mazuri😅😅😅🏃🏃🏃🏃♂️🏃♂️
Leonard hayup sirias na maisha kabisa 😂😂😂
😂😂 ila na mm pesa ya sponsor nilishawahi kuitumia sana, daah!! Haya maisha, had nikalipiwaga ada ya shule. Sema yule sponsor alikuwa serious sana had akamuoa demu wangu 😂😂😂
😅😅😅😅
Huyu jamaa anajua nimerudi hii video mara tano na haichoshi😂😂
Good performance..
Nakukubali sana 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩❤️❤️
huyu jamaa noma san
me namkubal kinoma
He is genius of comedy 😅😅😅😅😂😂😂😂
TALENTED😂⛽🔥🚬
Nkupend ❤bure Leonard unajua mpk unajua ten
Anapitisha ujumbe mzuri sana kwenye comedy 💯
huyu mxhkj anatisha mungu akuzidishie
Pesa shikamoo 😂😂😂
Kumbe wewe ndo ulomvuruga mpenzi wangu
Wa nne mimi like zangu jamanieeeeeeeeeeeee
Big up leornado
Kinacho nishangaza wabongo huwa wanakuja kwenye show bila pesa hata kumtunza mchekeshaji tu kwenye jukwaa hamna jaman acheni roho mbaya watunzeni wachekeshaji kwenye jukwaa
tunza pesa mjomba
Akili zake aliacha kwenye masanga
Hii material umeandika mzee itakuwa umelipwa pesa nyingi😂
Nimefirahi sana kukuona live thanks my bank nmb
He knows
Akili mingi focus kubwa
Good
Anajua sana 🇹🇬🇹🇬🇹🇬
Niko hapa
Congrats sana Leonardo
He is very talented keep it up
❤❤❤❤ unajua hadi unakera
My favourite stand up comedian
Nimejifunza kitu hapa uta enjoy na kucheka vzr Kama huna madeni
😂😂😂😢
duh lamata ana kengeza bayaaa
Waoo uko vizuri broo
Mbavu zangu mie😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Hata kama unachekesha ila ushauli unachomekea kwa ndani kabisa vizuri sana 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Léonard number one of tz thé king
Safi sana
Nimecheka 😂😂
Noma na Nusu
Nakubali Engineer,
Talented...
The future of game is upon him
❤🎉🎉🎉
Leonado matako kweli wewe😂nimekusifia mpaka nimepitiliza😂
Unajua sana❤❤❤
mungu awabaliki😘
😂😂😂 kazi nzuri!unajua unajua tena
GENIUS
Unajuwa sana 🔥🔥
Genius
ongera sana broo unajua
Watu wa bank wagumu sana Kutunza hao wanacheka tu wanacheka tu
🔥🔥
Mse* sana huyu 🤣 🤣
❤sana mzee babaa
Kijana unajua hongera sana
😂😂LEONARDO THE GENIUS GUY
NOOMAAA
Ushauri mzur sana
Like zang Kam unamkubali Leonard😂😂
Jamaa kanenepa
Very clean Jokes 🙌🏾🙌🏾
Leonardo wew anajua
Waooo
Hyu jama na mkubali sana ..🎉🎉🎉🎉
Jamaa kaanza kanenepa aseeh
unazaid ya uwezo mzee
Safi kabisa
Sauti
Team tza
Jamaa ana balaa
Huyu jamaa noma sana 😂😂
MSHINDI WA CHEKA TUU ✊🔥🔥🔥