Staff wanatoa fungu lake ndio wanampa,,na nahic katumia marudio kutokana na audience kwa muonekano hawana muda wa kumfatilia sana hivyo ni vitu vipya kwao ..
Ameanza na mpya fresh ila akacheki muda bado upo wa kutosha ikabid aweke zile za moto zingine lazima ujue kujiongeza kwenye maisha dogo anaijua kazi yeke vizuri na usisahau kuchekesha audience kama hyo sio mchezo, watu na phd zao unarudia tu
Hii sio akili, kwahiyo Leo Ali kina arudie rudie wimbo eti ksa kisa Kuna ambao hawakuusikia alivotoa mwanzo.? We unaona ni akili hiyo.? Ehee, wengine hawajasikia, na sisi wengine ambao tulisikia alafu tunasikia kitu kile kile mara ya 8 saivi, na ni shabiki zake tufanye nini.
Leonardo Mimi ni shabiki yako saana siku Moja nataman nije nikuone the way unavyotoa izo context zako ata kama ni repetition but still watu Wana enjoy apo ndo utajua unaweza na unajua let's go brooh am benard chegere @leonardo you are first comedian in tz
Anatumia akili, audience kama hiyo sio watu ambao wanafuatilia contents zake kila siku so why waste all the good new jokes wakati hata za zamani hawajazisikia. Akiwa kwenye stage kubwa kama ya Cheka tu hutosikia akirudia contents.
Kwahiyo Diamond alitoa wimbo, wasiposikiliza watu kadhaa huo wimbo ndo anatakiwa kuuimba tena.? Hizo ni akili.? Sikia,sisi wengine ni fans wa Leonardo toka siku ya kwanza tu akiwa kwenye usajili wa cheka tu. Lakini hii kurudia rudia contents ni ujinga na sioni mnatetea nini. Yani imagine mimi naingia CZcams kuangalia Cheka tu au kwenye platform yoyote Leonardo kaja na joke ipi, nakuta joke nafurahi. Kufungua nakuta 90% ni vitu vile vile.! Alafu unatetea, sjui unatetea nini hapo. Anahitaji kubadilika, walau anaweza rudia joke moja out of 12 kila baada hata ya miezi mitatu. Sasa we unasema wengine hawakuona, so what.?
Aisee hata kama ameludia ila ila tambua kuwa kuchekesha kazi Tena woote ni wasomi humo! So kwa kiasi jamaa kajiatahidi sana bcos huwa wengine huwa wanashindwa hata kustaimili mbele hapo!
writing jokes for stand up comedy is hard it is not easy, no wonder if you go in developed countries comedian don't allow people to record with there phones nor take videos for fear of people getting hold of the materials.
Daaaha mnisamehe wadau hata ilo neno Sina ila typing error herufi n na m zipo karibu San ,nashukuruni Kwa kureply msingesema neno nisingerudi kurekebisha ...be blessed Sana
Watu wa bank wagumu atakumtunza😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Kuna watu bahili kama bank ndugu?
Hata hawacheki...hapo file rahisi kuwa deleted
Asa wamtunze wanaela? Wao ni watunza pesa za watu
Hawanaga hela ao
Mtiririko wake wa mawazo bila kupotea kwanzia mwanzo wa show hadi mwisho nikipaji tosha
Watu wanaosema anarudia jokes,,mbona wenyewe wanarudia ugali ule ule kila siku
Hongera keep it up kuchekesha staff sio rahis
MNAOKOSOA KARUDIA " MNADHANIA KUANDAA NI SIMPLE" KAUSHA KAMA UNAONA KARUDIA MNAWATOA WATU KWENYE MOOD MBONA NYIMBO MNARUDIAA
Nakubali samweli umechafukwa🔥🔥
Sio mbaya nadhani wakati mwingine atajipanga zaidi.
KASIMAMA DAKIKA 17 ni nyingi sana na HE DESERVES TO BE A MASTER HABOI YANI YUPO POA
Umetisha mkuu
Muwe makini na uncle 😅😅
One love george
Uko vzur Engineer,🥇 big up xana
Karibu tena!
Staff wanatoa fungu lake ndio wanampa,,na nahic katumia marudio kutokana na audience kwa muonekano hawana muda wa kumfatilia sana hivyo ni vitu vipya kwao ..
Leonard talent Yako ni kubwa sana🎉🎉🎉🎉
Pamoja sana ibeatz
Mbona wanacheka jamani
Huwa namwelewa sana mwamba
Usisahau kusubscribe atakuwa sana hapa
Usipige story chekesha
Bravo katisha
Yupo vizur anajua kwa kweli
Nakubali Sunday,umesubscribe?
Ameanza na mpya fresh ila akacheki muda bado upo wa kutosha ikabid aweke zile za moto zingine lazima ujue kujiongeza kwenye maisha dogo anaijua kazi yeke vizuri na usisahau kuchekesha audience kama hyo sio mchezo, watu na phd zao unarudia tu
😂😂😂😂😂 muwe makini na uncle huyo
Safi kaka, kurudia ni tatizo dogo la kiufundi😂
For me namkubali na bhana ndaro wote wa2 wangu sana yaan Leonard anajuwa sana
Usisahau kusubscribe,content zao zaidi zitakuwa hapa
Brother unajua xana
Sema anarudia sana content
Kweli jamaa anarudia sana
Content anazozirudia si ni za kwake? All master comedians (mc) wanarudia contents zao.
@@iankomba4253KUchEkesha sio mchezo wao wanakalili tu
Anarudia manake siyo kila mtu anakua amesikia hiyo content anakutana na audience tofauti
Hii sio akili, kwahiyo Leo Ali kina arudie rudie wimbo eti ksa kisa Kuna ambao hawakuusikia alivotoa mwanzo.? We unaona ni akili hiyo.? Ehee, wengine hawajasikia, na sisi wengine ambao tulisikia alafu tunasikia kitu kile kile mara ya 8 saivi, na ni shabiki zake tufanye nini.
Leonardo Mimi ni shabiki yako saana siku Moja nataman nije nikuone the way unavyotoa izo context zako ata kama ni repetition but still watu Wana enjoy apo ndo utajua unaweza na unajua let's go brooh am benard chegere @leonardo you are first comedian in tz
Bernad umetisha sana kuwa na moyo wa kuappreciate wengine
Kachekesheni ninyi msio rudia,msitupigie kelele hapa
hilo nalo neno 🤣🤣🤣🤣🤣
Congrats
Mbna awacheki
Namuona Kelvin Kimbinje
Big up brooo unajua mnooo anaesema unarudia Kwan lazima acheke yeye
Nakubali Daudi
Well done, lkn ukerewe imeingiaje hapo mwisho?????
kwaswara la kuludia sio kesi coz alikaa mwenyewe akatunga, mbona nyimbo hupigwa hata show zaidi ya 23
Hahahahahahah
Sasa ndo aludie mwanzo mwisho
We unaesema anarudia,haikuhusu izo content nizake,acha arudie
Issue unarudia sana
Hii ndiyo tofauti yako na Eliud... unarudia sana content.....
kila cku kuna member mpya ambae hajawah kusikia hzo content
Panda wewe tuone kama utaweza
Haka Kachalii kanafikiri watu wote wanafatilia CZcams kam yeye
Anatumia akili, audience kama hiyo sio watu ambao wanafuatilia contents zake kila siku so why waste all the good new jokes wakati hata za zamani hawajazisikia. Akiwa kwenye stage kubwa kama ya Cheka tu hutosikia akirudia contents.
Kwahiyo Diamond alitoa wimbo, wasiposikiliza watu kadhaa huo wimbo ndo anatakiwa kuuimba tena.?
Hizo ni akili.? Sikia,sisi wengine ni fans wa Leonardo toka siku ya kwanza tu akiwa kwenye usajili wa cheka tu. Lakini hii kurudia rudia contents ni ujinga na sioni mnatetea nini. Yani imagine mimi naingia CZcams kuangalia Cheka tu au kwenye platform yoyote Leonardo kaja na joke ipi, nakuta joke nafurahi. Kufungua nakuta 90% ni vitu vile vile.! Alafu unatetea, sjui unatetea nini hapo. Anahitaji kubadilika, walau anaweza rudia joke moja out of 12 kila baada hata ya miezi mitatu. Sasa we unasema wengine hawakuona, so what.?
Sound engineer kazingua sout n video camera n roll za watazamaji ila jamaa katem madini
Kwenye NMB ndo kauwa saaana
Hahhaha kama hauna DD apo mwamba hautamuelewa
Vichwa panzi
sema kwa NMB ulitisha balaa kuliko CRDB
Mike zko vzur sana aisee😂znqsikika vzur
Gud job bro achen jamaaa apambane kutafta tonge
Nakubali kaka
Kuchekesha unahitaji kutekenya sana, kwa maneno so fikili kwa kina na upana na uwezo usio rudia ndo unakuwa na talent sio kihivyo lakini unajitahidi
Hajachekesha vzr
Sio kila siku utakua ktk form
Smart
Jamaa anajua ila anarudiabsana contect mpk anakera
Aisee hata kama ameludia ila ila tambua kuwa kuchekesha kazi Tena woote ni wasomi humo! So kwa kiasi jamaa kajiatahidi sana bcos huwa wengine huwa wanashindwa hata kustaimili mbele hapo!
15:29
Leonard
Kuchekesha kazi watu hata hawacheki 😅😅😅😅😅😅😅😅😅 sema namkubali Leonardo
Endelea kumsport mwana
Kaza mwamba
Upo vizuri dogo ila acha kurudia content Bz jokes sio wimbo
writing jokes for stand up comedy is hard it is not easy, no wonder if you go in developed countries comedian don't allow people to record with there phones nor take videos for fear of people getting hold of the materials.
Hao watu kuwachekesha na mostly parent siyo vijanq ni kaz
jokes za huyu jamaa, zina kuwaga na fundisho sana
Game kama ilimkataa ivii sku iiii
Si0 rahisi kama mnavy0jua
Nimependa , aliposema tutafute vya kwetu 💯
Major point
Okeii
Iv umaskin min?
Leo apo amekutana na watu benk alitakiwa achekeshe kwenye mazingira yao
Anajua sana huyu jamaa 😂
Ni mnyama eeh?
Bila d mbili huwezi elewa
Kuchekesha wasome kazi kwel
Sana
Kw mara ya Kwanza kuona watu kavu
hii kali
Bado mda upo utafika unapopataka
Umetisha
Unarudiaaaaaaaaa😢
Acha kurudia rudia vichekesho unatuchosha bro
Leo kazini kulikuwa kuna kazi
Namna iyo
Watu wanacheka bna achane uongo wabongo
Bonge ya Stage na Ukumbi
Good but unarudia content
Kubadili sio mchezo
Eludi ndo fundi wao
Mbona hawacheki?
Jamaaa umetisha co jambo lahic hapo mbele kucmama kwa madk zote hizo!
Ni nima
Unarudi kaka unatuangusha wadau
Apo amegonga mwamba wa2 hawachek wamekaza
Bro upo vizur ila jipe muda kubuni,utaaza kupoteza mashabiki
Mnaboa bana mnarudia vichekesho
Karudia content
Haya majaa hayacheki
Hapa alichemka
Wanafanya poa mno maana kuchekesha staff so raisi.
🤛🤛👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Wale mnao waona wanacheka sana wengi wanastress ..hapo watu WAPO kazini
Stress au kazi?
plz bro be creative
Amna ki2 hapo
Why?
Mwamba huyu
Asilimia 90 % karudia content
Izo 10% zinatosha
Leonardo first
😅😅😅🥰
kalibu kubuni vitu jipyaa
STAND UP COMEDIANS ANDIKENI MUWE NA CONTENT ZA KUTOSHA MSIWABOE WATU. BANK YA CONTENT NDO MTAJI
Them guys got stiff faces or don't get the jokes
😅😅😅😅🥰
Wewe dogo, sasa unabowa kurudia content
Butindi 😂😂
Mnalia nini kontent hapo ziliitajika za namba hiyo ni benki wakikaa ofisin wanakumbushana wewe katafute D mbili urud kusikiliza
Bro creativity imeenda wapi kaka.😅
Ipo nyingi kaka
Mbn hii aliwah kuiongea sehem,,,au anarudiarudia content?
Tulia wewe
Shenzi
😅
Kuna siku huyu mwamba atakuwa bonge amtaamini tunzeni hii comment 😅
Pole
Inaelekea unapenda sana kuandika hiyo kitu
tumia simu vizuri mkuu
Daaaha mnisamehe wadau hata ilo neno Sina ila typing error herufi n na m zipo karibu San ,nashukuruni Kwa kureply msingesema neno nisingerudi kurekebisha ...be blessed Sana
@@salummbunga4167hapana ndugu yangu n na m zipo karibu nashukuru Kwa kureply maana daaah nisingeweza kurekebisha bila wew
Jitahidi kuwa Kama mpoki bhana, wewe kila siku ni hizo hizo, jaribu kufikiria vitu vipya
Sasa mpoki ana nini?😕