LEONARDO ALIVYOWAVUNJA MBAVU WAFANYAKAZI WA CRDB!

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 05. 2024
  • #chekatu #Leornado#Tanzania
  • Zábava

Komentáře • 241

  • @nugwiziwe7577
    @nugwiziwe7577 Před 21 dnem +44

    Watu wa bank wagumu atakumtunza😂😂😂😂😂

  • @ramadhanali7985
    @ramadhanali7985 Před dnem +1

    Mtiririko wake wa mawazo bila kupotea kwanzia mwanzo wa show hadi mwisho nikipaji tosha

  • @bigbro-my6xj
    @bigbro-my6xj Před 17 dny +14

    Watu wanaosema anarudia jokes,,mbona wenyewe wanarudia ugali ule ule kila siku

  • @user-jk6we5qu2x
    @user-jk6we5qu2x Před 21 dnem +7

    Hongera keep it up kuchekesha staff sio rahis

  • @samwelipaschal6412
    @samwelipaschal6412 Před 20 dny +40

    MNAOKOSOA KARUDIA " MNADHANIA KUANDAA NI SIMPLE" KAUSHA KAMA UNAONA KARUDIA MNAWATOA WATU KWENYE MOOD MBONA NYIMBO MNARUDIAA

    • @VisitTZ
      @VisitTZ  Před 13 dny +1

      Nakubali samweli umechafukwa🔥🔥

  • @godsontesha2734
    @godsontesha2734 Před 13 dny +7

    Sio mbaya nadhani wakati mwingine atajipanga zaidi.

  • @senetornkwarz5714
    @senetornkwarz5714 Před 6 dny

    KASIMAMA DAKIKA 17 ni nyingi sana na HE DESERVES TO BE A MASTER HABOI YANI YUPO POA

  • @georgekagwebe2461
    @georgekagwebe2461 Před 21 dnem +12

    Umetisha mkuu

  • @hundahazeze
    @hundahazeze Před 16 dny +10

    Uko vzur Engineer,🥇 big up xana

  • @LucasHaule-kc6bb
    @LucasHaule-kc6bb Před 19 dny +8

    Staff wanatoa fungu lake ndio wanampa,,na nahic katumia marudio kutokana na audience kwa muonekano hawana muda wa kumfatilia sana hivyo ni vitu vipya kwao ..

  • @IBEATZ-kq9qm
    @IBEATZ-kq9qm Před 18 dny +4

    Leonard talent Yako ni kubwa sana🎉🎉🎉🎉

  • @silvestermanase6101
    @silvestermanase6101 Před 13 dny +2

    Mbona wanacheka jamani

  • @IsackMagessa
    @IsackMagessa Před 20 dny +11

    Huwa namwelewa sana mwamba

    • @VisitTZ
      @VisitTZ  Před 13 dny

      Usisahau kusubscribe atakuwa sana hapa

  • @JohnMgonjo
    @JohnMgonjo Před dnem

    Usipige story chekesha

  • @LauMjanja
    @LauMjanja Před 14 dny +2

    Bravo katisha

  • @SundayNgalomba
    @SundayNgalomba Před 19 dny +7

    Yupo vizur anajua kwa kweli

    • @VisitTZ
      @VisitTZ  Před 13 dny

      Nakubali Sunday,umesubscribe?

  • @sebastiankimendo8333
    @sebastiankimendo8333 Před 16 dny +1

    Ameanza na mpya fresh ila akacheki muda bado upo wa kutosha ikabid aweke zile za moto zingine lazima ujue kujiongeza kwenye maisha dogo anaijua kazi yeke vizuri na usisahau kuchekesha audience kama hyo sio mchezo, watu na phd zao unarudia tu

  • @JustinEmmanuel-lt3vh
    @JustinEmmanuel-lt3vh Před 17 dny +3

    😂😂😂😂😂 muwe makini na uncle huyo

  • @allykamila3445
    @allykamila3445 Před 18 dny +3

    Safi kaka, kurudia ni tatizo dogo la kiufundi😂

  • @tarikijafari1111
    @tarikijafari1111 Před 18 dny +1

    For me namkubali na bhana ndaro wote wa2 wangu sana yaan Leonard anajuwa sana

    • @VisitTZ
      @VisitTZ  Před 13 dny

      Usisahau kusubscribe,content zao zaidi zitakuwa hapa

  • @YakoboYotham
    @YakoboYotham Před 15 dny +1

    Brother unajua xana

  • @BrayoDimpoz
    @BrayoDimpoz Před 21 dnem +17

    Sema anarudia sana content

    • @user-hi5pg4vp2u
      @user-hi5pg4vp2u Před 20 dny

      Kweli jamaa anarudia sana

    • @iankomba4253
      @iankomba4253 Před 20 dny +1

      Content anazozirudia si ni za kwake? All master comedians (mc) wanarudia contents zao.

    • @erickhaule8680
      @erickhaule8680 Před 20 dny

      ​@@iankomba4253KUchEkesha sio mchezo wao wanakalili tu

    • @petersagala7756
      @petersagala7756 Před 19 dny +2

      Anarudia manake siyo kila mtu anakua amesikia hiyo content anakutana na audience tofauti

    • @Jitu_Lisilofikirika.
      @Jitu_Lisilofikirika. Před 17 dny

      Hii sio akili, kwahiyo Leo Ali kina arudie rudie wimbo eti ksa kisa Kuna ambao hawakuusikia alivotoa mwanzo.? We unaona ni akili hiyo.? Ehee, wengine hawajasikia, na sisi wengine ambao tulisikia alafu tunasikia kitu kile kile mara ya 8 saivi, na ni shabiki zake tufanye nini.

  • @BenardChegere-nl4mj
    @BenardChegere-nl4mj Před 18 dny +1

    Leonardo Mimi ni shabiki yako saana siku Moja nataman nije nikuone the way unavyotoa izo context zako ata kama ni repetition but still watu Wana enjoy apo ndo utajua unaweza na unajua let's go brooh am benard chegere @leonardo you are first comedian in tz

    • @VisitTZ
      @VisitTZ  Před 13 dny

      Bernad umetisha sana kuwa na moyo wa kuappreciate wengine

  • @simulizitanzania2571
    @simulizitanzania2571 Před 17 dny +3

    Kachekesheni ninyi msio rudia,msitupigie kelele hapa

  • @emmanuelbaraka2217
    @emmanuelbaraka2217 Před 19 dny +2

    Congrats

  • @JohnMgonjo
    @JohnMgonjo Před dnem

    Mbna awacheki

  • @hassanlubola414
    @hassanlubola414 Před 6 dny

    Namuona Kelvin Kimbinje

  • @LaisonDaudi
    @LaisonDaudi Před 16 dny +4

    Big up brooo unajua mnooo anaesema unarudia Kwan lazima acheke yeye

  • @nestorylwaly3364
    @nestorylwaly3364 Před 19 dny

    Well done, lkn ukerewe imeingiaje hapo mwisho?????

  • @eliasmgendi
    @eliasmgendi Před 12 dny +4

    kwaswara la kuludia sio kesi coz alikaa mwenyewe akatunga, mbona nyimbo hupigwa hata show zaidi ya 23

  • @kassororoboassenga1885
    @kassororoboassenga1885 Před 16 dny +1

    We unaesema anarudia,haikuhusu izo content nizake,acha arudie

  • @emmanuelnkwabi8610
    @emmanuelnkwabi8610 Před 18 dny +2

    Issue unarudia sana

  • @DJJO255
    @DJJO255 Před 20 dny +12

    Hii ndiyo tofauti yako na Eliud... unarudia sana content.....

    • @isacksamuel5503
      @isacksamuel5503 Před 20 dny +3

      kila cku kuna member mpya ambae hajawah kusikia hzo content

    • @josiahjoas8526
      @josiahjoas8526 Před 19 dny +1

      Panda wewe tuone kama utaweza

    • @clarkcian2857
      @clarkcian2857 Před 18 dny

      Haka Kachalii kanafikiri watu wote wanafatilia CZcams kam yeye

    • @ibrahimweston9504
      @ibrahimweston9504 Před 17 dny +1

      Anatumia akili, audience kama hiyo sio watu ambao wanafuatilia contents zake kila siku so why waste all the good new jokes wakati hata za zamani hawajazisikia. Akiwa kwenye stage kubwa kama ya Cheka tu hutosikia akirudia contents.

    • @Jitu_Lisilofikirika.
      @Jitu_Lisilofikirika. Před 17 dny +1

      Kwahiyo Diamond alitoa wimbo, wasiposikiliza watu kadhaa huo wimbo ndo anatakiwa kuuimba tena.?
      Hizo ni akili.? Sikia,sisi wengine ni fans wa Leonardo toka siku ya kwanza tu akiwa kwenye usajili wa cheka tu. Lakini hii kurudia rudia contents ni ujinga na sioni mnatetea nini. Yani imagine mimi naingia CZcams kuangalia Cheka tu au kwenye platform yoyote Leonardo kaja na joke ipi, nakuta joke nafurahi. Kufungua nakuta 90% ni vitu vile vile.! Alafu unatetea, sjui unatetea nini hapo. Anahitaji kubadilika, walau anaweza rudia joke moja out of 12 kila baada hata ya miezi mitatu. Sasa we unasema wengine hawakuona, so what.?

  • @FectureTV
    @FectureTV Před 14 dny

    Sound engineer kazingua sout n video camera n roll za watazamaji ila jamaa katem madini

  • @mrmartinipaul2464
    @mrmartinipaul2464 Před 12 dny +1

    Kwenye NMB ndo kauwa saaana

  • @bukurufreddy28
    @bukurufreddy28 Před 21 dnem +9

    Hahhaha kama hauna DD apo mwamba hautamuelewa

  • @lucas_Tz
    @lucas_Tz Před 8 dny

    sema kwa NMB ulitisha balaa kuliko CRDB

  • @MohamediKalanje
    @MohamediKalanje Před 17 dny +1

    Mike zko vzur sana aisee😂znqsikika vzur

  • @felixkamguna7101
    @felixkamguna7101 Před 18 dny +1

    Gud job bro achen jamaaa apambane kutafta tonge

  • @KiboJoseph-cc5eu
    @KiboJoseph-cc5eu Před 20 dny +1

    Kuchekesha unahitaji kutekenya sana, kwa maneno so fikili kwa kina na upana na uwezo usio rudia ndo unakuwa na talent sio kihivyo lakini unajitahidi

  • @EdsonDaud-rg5jk
    @EdsonDaud-rg5jk Před 12 dny

    Hajachekesha vzr

  • @user-xg7tv5je6b
    @user-xg7tv5je6b Před 10 dny

    Sio kila siku utakua ktk form

  • @arackiusevarist9399
    @arackiusevarist9399 Před 5 dny

    Smart

  • @AndrewMalembela
    @AndrewMalembela Před 20 dny +2

    Jamaa anajua ila anarudiabsana contect mpk anakera

    • @enockluse1346
      @enockluse1346 Před 14 dny

      Aisee hata kama ameludia ila ila tambua kuwa kuchekesha kazi Tena woote ni wasomi humo! So kwa kiasi jamaa kajiatahidi sana bcos huwa wengine huwa wanashindwa hata kustaimili mbele hapo!

  • @user-vi4ge8hm6o
    @user-vi4ge8hm6o Před 5 dny

    15:29

  • @user-lp7rg6uz6o
    @user-lp7rg6uz6o Před 21 dnem +3

    Leonard

  • @elibarikisengasenga1376
    @elibarikisengasenga1376 Před 17 dny +2

    Kuchekesha kazi watu hata hawacheki 😅😅😅😅😅😅😅😅😅 sema namkubali Leonardo

    • @VisitTZ
      @VisitTZ  Před 13 dny +1

      Endelea kumsport mwana

  • @sebomanyotakali761
    @sebomanyotakali761 Před 20 dny +3

    Kaza mwamba

  • @hassanaliamin1104
    @hassanaliamin1104 Před 19 dny +1

    Upo vizuri dogo ila acha kurudia content Bz jokes sio wimbo

    • @eddienahum
      @eddienahum Před 18 dny +1

      writing jokes for stand up comedy is hard it is not easy, no wonder if you go in developed countries comedian don't allow people to record with there phones nor take videos for fear of people getting hold of the materials.

  • @erickadolph8974
    @erickadolph8974 Před 18 dny

    Hao watu kuwachekesha na mostly parent siyo vijanq ni kaz

  • @SMLS995
    @SMLS995 Před 17 dny

    jokes za huyu jamaa, zina kuwaga na fundisho sana

  • @sleimankhamiss4586
    @sleimankhamiss4586 Před 11 dny

    Game kama ilimkataa ivii sku iiii

  • @YusuphKagoma
    @YusuphKagoma Před 13 dny

    Si0 rahisi kama mnavy0jua

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 Před 17 dny

    Nimependa , aliposema tutafute vya kwetu 💯

  • @travispiccasso-ho3rv
    @travispiccasso-ho3rv Před 17 dny

    Okeii

  • @user-io2jx6ct5p
    @user-io2jx6ct5p Před 15 dny

    Iv umaskin min?

  • @user-vt2oj3sr4k
    @user-vt2oj3sr4k Před 17 dny

    Leo apo amekutana na watu benk alitakiwa achekeshe kwenye mazingira yao

  • @Juli-ep9dn
    @Juli-ep9dn Před 21 dnem +10

    Anajua sana huyu jamaa 😂

  • @LucasHaule-kc6bb
    @LucasHaule-kc6bb Před 19 dny

    Bila d mbili huwezi elewa

  • @LincolnMoshi
    @LincolnMoshi Před 15 dny

    Kuchekesha wasome kazi kwel

  • @kingdeniscrocodile
    @kingdeniscrocodile Před 18 dny

    Kw mara ya Kwanza kuona watu kavu

  • @charleschogamturi
    @charleschogamturi Před 15 dny

    hii kali

  • @SkillfulNgenje
    @SkillfulNgenje Před 17 dny +2

    Bado mda upo utafika unapopataka

  • @saloumtz6596
    @saloumtz6596 Před 20 dny +1

    Unarudiaaaaaaaaa😢

  • @user-bc9pe6io1b
    @user-bc9pe6io1b Před 17 dny

    Acha kurudia rudia vichekesho unatuchosha bro

  • @yusuphmwanza4405
    @yusuphmwanza4405 Před 17 dny

    Leo kazini kulikuwa kuna kazi

  • @user-ni2kv3yf6e
    @user-ni2kv3yf6e Před 20 dny

    Watu wanacheka bna achane uongo wabongo

  • @rockyvlogs2214
    @rockyvlogs2214 Před 19 dny

    Bonge ya Stage na Ukumbi

  • @enocknguku
    @enocknguku Před 21 dnem +5

    Good but unarudia content

  • @erickkagisa833
    @erickkagisa833 Před 20 dny

    Mbona hawacheki?

  • @enockluse1346
    @enockluse1346 Před 14 dny

    Jamaaa umetisha co jambo lahic hapo mbele kucmama kwa madk zote hizo!

  • @user-pn3cl7iw7y
    @user-pn3cl7iw7y Před 12 dny

    Unarudi kaka unatuangusha wadau

  • @miso-bg2xl
    @miso-bg2xl Před 16 dny

    Apo amegonga mwamba wa2 hawachek wamekaza

  • @henrymushi8340
    @henrymushi8340 Před 19 dny

    Bro upo vizur ila jipe muda kubuni,utaaza kupoteza mashabiki

  • @fadhilimashaka2728
    @fadhilimashaka2728 Před 20 dny

    Mnaboa bana mnarudia vichekesho

  • @optatmallya1283
    @optatmallya1283 Před 16 dny

    Karudia content

  • @EvansGodfrey-tj5op
    @EvansGodfrey-tj5op Před 19 dny

    Haya majaa hayacheki

  • @allenjefwa835
    @allenjefwa835 Před 15 dny

    Hapa alichemka

  • @kharidmadanganya
    @kharidmadanganya Před 15 dny

    Wanafanya poa mno maana kuchekesha staff so raisi.

  • @peternyambui7492
    @peternyambui7492 Před 21 dnem

    🤛🤛👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @issamakamba5569
    @issamakamba5569 Před 15 dny

    Wale mnao waona wanacheka sana wengi wanastress ..hapo watu WAPO kazini

  • @nuumnyasi
    @nuumnyasi Před 11 dny

    plz bro be creative

  • @siphaeldavid206
    @siphaeldavid206 Před 11 dny

    Amna ki2 hapo

  • @fratilupembe3479
    @fratilupembe3479 Před 9 dny

    Mwamba huyu

  • @moidasimo9955
    @moidasimo9955 Před 16 dny

    Asilimia 90 % karudia content

  • @BenardChegere-nl4mj
    @BenardChegere-nl4mj Před 18 dny

    Leonardo first

  • @JoyceAbdallah-bm4fi
    @JoyceAbdallah-bm4fi Před 21 dnem

    😅😅😅🥰

  • @levygasper7438
    @levygasper7438 Před 19 dny

    kalibu kubuni vitu jipyaa

  • @deblacktz2981
    @deblacktz2981 Před 16 dny

    STAND UP COMEDIANS ANDIKENI MUWE NA CONTENT ZA KUTOSHA MSIWABOE WATU. BANK YA CONTENT NDO MTAJI

  • @clementhiddi1486
    @clementhiddi1486 Před 21 dnem +1

    Them guys got stiff faces or don't get the jokes

  • @JoyceAbdallah-bm4fi
    @JoyceAbdallah-bm4fi Před 21 dnem

    😅😅😅😅🥰

  • @hyasintkisika8848
    @hyasintkisika8848 Před 18 dny

    Wewe dogo, sasa unabowa kurudia content

  • @Kingsman2713
    @Kingsman2713 Před 14 dny

    Butindi 😂😂

  • @user-cq8nl8if6c
    @user-cq8nl8if6c Před 17 dny

    Mnalia nini kontent hapo ziliitajika za namba hiyo ni benki wakikaa ofisin wanakumbushana wewe katafute D mbili urud kusikiliza

  • @Ibrahim.Katera.
    @Ibrahim.Katera. Před 19 dny

    Bro creativity imeenda wapi kaka.😅

  • @erickkagisa833
    @erickkagisa833 Před 20 dny

    Mbn hii aliwah kuiongea sehem,,,au anarudiarudia content?

  • @petereliezeli3368
    @petereliezeli3368 Před 20 dny

    Shenzi

  • @barakae.n6418
    @barakae.n6418 Před 16 dny

    😅

  • @shalomchaula4420
    @shalomchaula4420 Před 21 dnem +4

    Kuna siku huyu mwamba atakuwa bonge amtaamini tunzeni hii comment 😅

    • @haidhabushiri9558
      @haidhabushiri9558 Před 20 dny

      Pole

    • @salummbunga4167
      @salummbunga4167 Před 20 dny

      Inaelekea unapenda sana kuandika hiyo kitu

    • @isacksamuel5503
      @isacksamuel5503 Před 20 dny

      tumia simu vizuri mkuu

    • @shalomchaula4420
      @shalomchaula4420 Před 20 dny

      Daaaha mnisamehe wadau hata ilo neno Sina ila typing error herufi n na m zipo karibu San ,nashukuruni Kwa kureply msingesema neno nisingerudi kurekebisha ...be blessed Sana

    • @shalomchaula4420
      @shalomchaula4420 Před 20 dny

      ​@@salummbunga4167hapana ndugu yangu n na m zipo karibu nashukuru Kwa kureply maana daaah nisingeweza kurekebisha bila wew

  • @saidchombo5952
    @saidchombo5952 Před 13 dny +1

    Jitahidi kuwa Kama mpoki bhana, wewe kila siku ni hizo hizo, jaribu kufikiria vitu vipya

    • @VisitTZ
      @VisitTZ  Před 7 dny

      Sasa mpoki ana nini?😕