RC PAUL MAKONDA ASEMA! 'HATISHIKI' AENDELEA KUWAPIGA SPANA NA WALA HAOGOPI KITU.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 05. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Zábava

Komentáře • 124

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g Před měsícem +19

    Safi sana Mh Makonda. Jeshi la mtu mmoja nguvu kazi 💪💪💪 Piga spana hao

  • @GilgariMinistryTanzania
    @GilgariMinistryTanzania Před měsícem +22

    Arusha imepata raisi wake hakika pamoto hatari Arusha

  • @venancemalima1181
    @venancemalima1181 Před měsícem +4

    Safi sana Mh.Paul Makonda.Wengine wamelala na kupokea mishahara bila kuwahudumia Watanzania ipasavyo.Mh.Makonda achape kazi.

  • @oliashoo4675
    @oliashoo4675 Před měsícem +6

    Nawaza tu lakini
    Mh Raisi wetu mama Samia angempa nafasi mh, Makonda awape semina, Wakuu wote wa mikoa, wafanye kama afanyavyo yeye, Hakika taifa letu Mungu angeliinua zaidi.
    Eee Mungu Mlinde Raisi wetu, Mlinde Mh Paul Makonda
    Ilinde Tanzania
    Amen

  • @anoldamkumba3208
    @anoldamkumba3208 Před měsícem +5

    Makonda fanya kazi,Nakupenda na umewapa za uso.Hawana utetezi bali kiki ,Wanawake tunapigwa, tunabakwa,tunauwawa Sijasikia haki za binadamu,wala U WT nk.Wasimpunguzie kasi Makonda.PIGA SPANA Makonda.

  • @GilgariMinistryTanzania
    @GilgariMinistryTanzania Před měsícem +11

    Arusha rahaaaaaaaaaa na Mh Makonda

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g Před měsícem +7

    Kitenge umezege mate😅😅😅😅😅 wallah nimecheka sana. Arusha imeanza kunawiri kwa nguvu ya Mh Makonda 🎉🎉🎉.

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 Před měsícem +1

    I love makonda ❤ god protect him pls🙏🏿

  • @user-rw7ww2yd7i
    @user-rw7ww2yd7i Před měsícem +7

    Sana na awapige TU hongera sana mhe makonda wewe ni tumaini la watanzania

  • @user-ml5tq8hj2x
    @user-ml5tq8hj2x Před měsícem +2

    Kweli waje waongelee arusha waone halooo hakuna atakaewaelewa mama samia asante kutuletea makonda ubarikiwe sana

  • @NeemaJuma-os6uo
    @NeemaJuma-os6uo Před měsícem +2

    Safi sana tz tungepata watu kama hao 10 tu tungefika mbali Kwa kweli

  • @emanuelmkama1325
    @emanuelmkama1325 Před měsícem +6

    Tunajua kitenge umpend makondq,ila najua ipo sku utamkubal tu

  • @francismadirisha3511
    @francismadirisha3511 Před měsícem +8

    Sio Arusha Tu hata Sisi katavi tunamhitaji makonda

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx Před měsícem +7

    Ila nyie jamaa 😂😂 sema Makonda ni mtu wa maana kbs hana baya baba wa watu apge kazii

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj Před měsícem +4

    GO MAKONDA GOOOOO..WAPELEKEE MOTO...WABANE SPANA😂

  • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur
    @SmilingBulldogPuppy-nb9ur Před měsícem +2

    Mnafki mkubwa na liupara lako hilo shoga maulidi kitengo bwana ako nape kakutuma,Paul CHRISTIAN makonda hamuwezi huna malinda kitenge maulid

  • @octiminja5260
    @octiminja5260 Před měsícem +1

    Mama SAMIA PLZZZ KUWA NA MSIMAMO THABITI KWA KIJANA WAKO WATENDAJI WAMEKUWA LEGE LEGE SAAAANA KAMA MILENDA WANA KUPIMA IMANI MH RAISI. Aaacha SINDANOOO YA CRISTAPEN IWAINGIE WAVIVU WALA RUSHWA WEZI WOTEE. DADA ZUUU FUMBA MASIKIO NA MACHO KWA WAPIGA KELELE WANAOMPINGA MAKONDA PLZZZZZ

  • @petroyohana1126
    @petroyohana1126 Před měsícem +7

    Makonda tunakupenda,

  • @user-ge3ni4qn4u
    @user-ge3ni4qn4u Před měsícem +2

    Kitenge hongera sana

  • @EneaMbogo
    @EneaMbogo Před měsícem +7

    Mwamba anapiga kazi,,,,asisikilize polojo ili aendelee kuwatumikia wana Arusha 💪

  • @wenge4x423
    @wenge4x423 Před měsícem +2

    Kitenge ipo siku utagongwa bila parachute

    • @geey7893
      @geey7893 Před 29 dny

      😂😂anawashea Mikundu saana

  • @CikeTanzania
    @CikeTanzania Před měsícem +3

    Wanyooshe baba hawakufanyi chochote watu wanateseka nchini kwao.

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 Před měsícem +1

      Kwel awanyoshee tu achane na hao wanafikii

  • @petroyohana1126
    @petroyohana1126 Před měsícem +9

    Makonda saaafiii. Kile kibibi cha uwt ndio vilaza wanaoturudisha nyuma kama taifa, mizigo

  • @meryamabdullah2081
    @meryamabdullah2081 Před měsícem +4

    Mitano tena

  • @wakushibandfrombushland
    @wakushibandfrombushland Před měsícem +1

    ❤❤❤ hahaha tuko nae pamoja na makonda

  • @ibrahimomari2458
    @ibrahimomari2458 Před měsícem +1

    Hando anaongea kimzaha lakin anaongea lililo kwel...arusha akiondoka makonda ccm inahamia makumbusho kwa ajir ya watalii

  • @maxmiliangunze8931
    @maxmiliangunze8931 Před měsícem +2

    Yaaaan nchi hii hakuna kuleana aisee kama kuleana ni miaka 60? Kwel? Nchi yenyew bado maskini,,, pesa inatumika vibaya kiongozi asiseme??? Tena makonda watamkoma

  • @gaspercharles2244
    @gaspercharles2244 Před měsícem +2

    Sasa hizi taasisi watumishi wakiiba wao huwa wanafanya nn? Na kama Wana wanachama wao basi wanapopoteza au kuiba fedha za serikali ninyi huwa mnaongea nao na kuwapa maonyo hadharani? Yaan mm niko na Makonda Benet Makonda nyoosha Arusha Upinzani Arusha kumbe ilikuwa ni kwa sababu ya mateso wananchi walio nayo

  • @petroyohana1126
    @petroyohana1126 Před měsícem +4

    Hii nchi ilipofikia inabidi viongozi wa aina ya makonda waruhusiwe kutumia viboko kucharaza viongozi wapumbavu kama yule dada

    • @DeogratiusAndrew-zi7zv
      @DeogratiusAndrew-zi7zv Před měsícem

      Umenifanya nicheke,mpaka napata wazo wananchi tuungane tuwakamate tuwachape wenye viboko hawa wapuuzi sana

    • @Goldenbutterfly-hk1hp
      @Goldenbutterfly-hk1hp Před měsícem

      😂😂😂😂kabisa yani tuwapigee mbwaa awaa ​@@DeogratiusAndrew-zi7zv

  • @bellaseverua609
    @bellaseverua609 Před měsícem +1

    Mungu arena makonda .amen.

  • @mathiasduduru628
    @mathiasduduru628 Před měsícem +1

    Wazalendo wapo sema vita dhizi yao ni kubwa.Mungu msimamie Makondawise wadudu saivi mambo shwari na wanapiga doria kumlinda kijana mwenye upeo wa uongozi Makonda ni kiongozi na nusu.
    Mama muongezee nguvu mpe ukuu wa wilaya Lengai Ole Sabaya hawa vijana wakiungana Arusha na Tanzania kwa ujumla tutaona sura ya uongozi.

  • @ShebbyTheparadiso-hf6fz
    @ShebbyTheparadiso-hf6fz Před měsícem +1

    Habari ipo Arusha dar imelala

  • @bbanyikwa
    @bbanyikwa Před měsícem +2

    😂😂😂😂😂😂
    Hawa jamaa wamenichekesha
    Jamani mm nipo Arusha kiukweli watu wa Arusha hauwaambii kitu kuhusu makonda anapendwa na wananchi kuliko mtu yoyote

  • @emmanuelfari8924
    @emmanuelfari8924 Před měsícem +1

    Ni heri kutolipunguza au kutoliongeza jambo! Hawa ndio waandishi wa sasa🙌

  • @kingngojea
    @kingngojea Před měsícem +1

    Ao wanao pazisha saut kumupinga makonda watetez wa mafisad

  • @StevenKisanga
    @StevenKisanga Před měsícem +1

    Arusha sa hiv Ni Paradise ndogo

  • @eliamwankenja7087
    @eliamwankenja7087 Před 29 dny

    Tupo wanaharakati mbeya tutawasha moto nakukubali sana

  • @disanatv4485
    @disanatv4485 Před měsícem

    Yani nafurahia Tu, Nitoshe kusema apo alipo anastaili.....SASA KWA MSAADA MUNGU WETU MAKONDA ANARUKA UKUTA, MUNGU AMESHAINGILIA VITA YAKE, KILA ANAYEINGILIA VITA YAKE, SAA HII KUPIGANA ANAKUFA.🙏🙏🔥🔥💐💐💐

  • @BeniJohn-xd3cn
    @BeniJohn-xd3cn Před měsícem +1

    Mama anatukanwa mpo wapi 😂😂😂😂😂😂Makonda na wewe una sema naenda Arusha 😂😂😂😂😂

  • @ladislausmoris9638
    @ladislausmoris9638 Před měsícem +1

    Viva viva makonda

  • @abuilmailma3534
    @abuilmailma3534 Před měsícem +2

    Kama kuna mtangazaji mchunia tumbo Tanzania nzima ni huu kicha Kitenge.hiv anamchukia Makonda kwa sababu gani? Yaani hili lisenge likipata taarifa la kumshambulia Makonda yaani kwa Kitende ni cku ya furaha kama vile mke wake kajifunguwa

  • @user-oh6pc7zd4s
    @user-oh6pc7zd4s Před měsícem

    KEEP IT UP MAKONDA

  • @user-rw7ww2yd7i
    @user-rw7ww2yd7i Před měsícem +1

    Wote hao wanakuwa wapi watu wanapokosa haki zao miaka nenda Rudi ingekuwa ni ndugu zao wanakosa haki hizo

    • @mrdeniskomba6199
      @mrdeniskomba6199 Před měsícem

      Kabisa... natamani kutemea mate... watu wanateseka wapo kimya eti leo wanaibuka

  • @BeniJohn-xd3cn
    @BeniJohn-xd3cn Před měsícem

    Masajii😂😂😂😂 upepo wa Arusha mkali Sana Masaji😂😂😂😂

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo Před měsícem

    Hii nchi viongozi wengi ni kama Mafgari mabovu nati zimeregea wanapaswa kupigwa spana mpaka wakae sawa.

  • @yunuskizundu4707
    @yunuskizundu4707 Před měsícem

    😂😂😂😂😂😂
    eti wakaongelee Arusha

  • @Re-Post1
    @Re-Post1 Před měsícem

    Makonda jembe 💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽

  • @AliSalim-yu4mo
    @AliSalim-yu4mo Před měsícem

    Nadhani Kama viongozi wote wa Tanzania watakuwa hivi hatuna haja ya upinzani haya ndio yanayofanya kuwebna upinzani

  • @user-zi1gp6dc2q
    @user-zi1gp6dc2q Před měsícem

    Mama samia ungejuwa huku mitaan ulivokuwavunachambwa kumbe viongo wako ndo walikuwa wanasababisha utukanwe mama wawatu huna baya, ungempa ruhusa makonda awe anawapa semina wakuu wenzie namna yautendaji kaz nahali za wananchi

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab Před měsícem

    Awa Nao Wanaongea Lakini Wamejaa Chuki Ushusha Kitenge

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 Před měsícem +1

    Hii media ya kisenge sna

  • @user-ch7fp4ve9s
    @user-ch7fp4ve9s Před měsícem

    Wewe kitenge ata uongee kwa kukazia muacheni makonda afanye kazi yake tunajuwa kuwa wewe kitenge una bifu na makonda muache achape kazi yake kwa wewe nani yeye yupo kwenye aki na kuwatetea wananchi

  • @TWENZETUEDEN
    @TWENZETUEDEN Před měsícem

    Huyu kiongozi wa Cwt amekurupuka hiyo nadhani sio kauri ya chama hebu afute kauli yake Ili chama kibaki salama, chama kinataka watu kama Makonda,Chalamila na wengine wanaosukiliza wanaNchi

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji Před měsícem

    SPANA❤

  • @user-tz8hj1sd5o
    @user-tz8hj1sd5o Před měsícem

    Ameanza na wa dudu😭😭😭

  • @vincentcharles4385
    @vincentcharles4385 Před měsícem

    Kitenge unaanza kuboa

  • @goodluckminja9101
    @goodluckminja9101 Před měsícem

    Zembwela wapi?

  • @EsteR-dt9iw
    @EsteR-dt9iw Před měsícem

    Mm muongeze Makonda ulinzi

  • @namaanwilson6467
    @namaanwilson6467 Před měsícem

    Jeladdi leo umenifurahisha

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts Před měsícem

    Jana nilikua sina bando na sikopesheki😭mnaweza kuniambia Mhshmw na team yake walikua wapi?...

  • @BeniJohn-xd3cn
    @BeniJohn-xd3cn Před měsícem

    Masajii hiyoooo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @broka_genius3615
    @broka_genius3615 Před měsícem +1

    Mitano tena 😂

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala3303 Před měsícem

    Ahaaa ahaaa

  • @asunigohagi5177
    @asunigohagi5177 Před měsícem

    Safiii makonda

  • @user-bp2cc9eo6g
    @user-bp2cc9eo6g Před měsícem

    😂😂😂 waende A town wakaongee hayo wanayo ongea waone moto wa raia wa Arusha😂😂

  • @mnolamanyendi4956
    @mnolamanyendi4956 Před měsícem

    Hahaha Arusha pameanza kuchangamka Gaza makonda usiwasikirize wanawake haoo tupo nyuma yako

  • @kamuliShija-rb6ju
    @kamuliShija-rb6ju Před měsícem

    Nimefurahia na kipd hik

  • @ellyemily4234
    @ellyemily4234 Před měsícem

    Mmmh mbona hicho chama kisipige vita kikokotooo... mtu wa hovyo

  • @Ommybabaa47
    @Ommybabaa47 Před měsícem

    Tunatia ubani uwe na afya njema kamanda makonda piga spana kodi zetu zinaliwa tuu Arusha kama Dubai sasa watu hoyoooooo

  • @paulsibu5770
    @paulsibu5770 Před měsícem

    Wakuu wa Mikoa Wengine Wafanye Vivyo Hivyo

  • @davidgeorge9324
    @davidgeorge9324 Před měsícem

    Ngoja awanyoshe kwasababu yeye ndoo kabak mwenyetimamu wakuu wamikoa wengine hawajielewi wanajifungia ofisin tu

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no Před měsícem

    😂😂😂😂 NCHI imehamia ARUSHA

  • @simonmalegesi414
    @simonmalegesi414 Před měsícem

    Mbona mjachambua aliposema mama katukanwa na hawakusema chochote mjaongelea nanyinyi walewale wanafiki tu nyinyi.

    • @Ambwene
      @Ambwene Před měsícem

      Kasema broo sikiliza vizuri

  • @Gehohamis
    @Gehohamis Před měsícem

    Acha awapige spana had waelewe umuhimu wa kuhudumia wananchi

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 Před měsícem

    wale wamama hatuwataki kwenye nchi yetu ya Arusha tena wanyamaze kabisa

  • @khadejarajab8007
    @khadejarajab8007 Před měsícem

    Arusha pamoto hapakwepeki piga spana wote mpaka waseme hao wote😂😂😂😂😂😂

  • @mmassyferguson4959
    @mmassyferguson4959 Před měsícem

    Ngoja niungane na maulid kitenge na hando kuchekaaa 😂😂😂😂😂😂😂

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 Před měsícem

    Mtangazaji acha Fitina.

  • @MCNgakungaJunior
    @MCNgakungaJunior Před měsícem

    😂😂😂 hawa jamaaa maneno yao bhana hatari sana.
    Makonda wamuache tu Silaha ya kivita ile.

  • @user-kz1rx3rk1b
    @user-kz1rx3rk1b Před měsícem

    Ukiona unapgwa vita ujue umewashika wezi pabaya

  • @user-xy1jn7iq9m
    @user-xy1jn7iq9m Před měsícem

    Ww kitenge nimbeambea

  • @user-ml5tq8hj2x
    @user-ml5tq8hj2x Před měsícem

    Uwt kaeni msifuge waizi hasa wanawake ni aibu

  • @robertzamani5612
    @robertzamani5612 Před měsícem

    We kitenge acha uongo Makanda hajasema hiyo kauli uliyoitoa ww ya kwamba hakuna (hakuna mtu yeyote atakae mfanya chchote)

  • @user-xv7mo8tw7c
    @user-xv7mo8tw7c Před měsícem +1

    Makondo jembe tena nchi zma hakuna kama makondo

  • @user-bz2yc2td3c
    @user-bz2yc2td3c Před měsícem

    Mukimgusa mako tuandamana kudai aki

  • @davidmickidad6842
    @davidmickidad6842 Před měsícem +5

    Mtuache na makonda wetu. Tunampenda na tunamwamin. Achen propaganda zenu

  • @user-fb4gg1me7f
    @user-fb4gg1me7f Před měsícem +1

    Wewe mtangazaji acha kukuza jambo dogo,,mtuachie makondo wetu ashulike na wazembe,wala rushwa,,,, kwahiyo nyie mnaona hizo milioni 460 ni kidgo???kwanza hyo Eng afukuzwe kazi na kupelekwa mahakamani takukuru ifanye kazi yake,,,dont talk much about makonda

  • @BeniJohn-xd3cn
    @BeniJohn-xd3cn Před měsícem

    Na nyie mnamambo 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @WazirJuma-gd5oo
    @WazirJuma-gd5oo Před měsícem

    Na anawapiga spana kweli wamekalia kutii kavu

  • @PoulMarwa
    @PoulMarwa Před měsícem +1

    Hiyo imeenda chezea makonda wewe

  • @kingngojea
    @kingngojea Před měsícem

    Makonda hakuna kulala ikilala ngonjwa wanyoooooshe mzeee mpaka wakojoe dagaa

  • @BeniJohn-xd3cn
    @BeniJohn-xd3cn Před měsícem

    Na wewe peponi😂😂😂😂

  • @kilogreekachananawatuwasio4054

    SASA SIO AKAE MKOA MIAKA 5 ACHUKUE NCHI MIAKA 5 ULAYA YOTE UTAZIZIMA WATAJUA MTOTO WA MAKUFULI KACHUKUA URAISI 😂😂😂

  • @andreaonesmo4907
    @andreaonesmo4907 Před měsícem

    😂😂😂😂

  • @user-oh6pc7zd4s
    @user-oh6pc7zd4s Před měsícem

    Mskonda piga spana tupo pamoja na wewe

  • @Re-Post1
    @Re-Post1 Před měsícem

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-nf3dc9fb6v
    @user-nf3dc9fb6v Před měsícem

    😂😂😂😂🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @HenryNuhu
    @HenryNuhu Před měsícem

    L

  • @deonatusyokta3579
    @deonatusyokta3579 Před měsícem

    Makonda ni jembe😂😂😂

  • @uredmwasembo8579
    @uredmwasembo8579 Před měsícem +2

    Makonda safi sana mama tunashukulu tunaomba mlinde sana makonda