MAKONDA AKASIRIKA-"MWEKAHAZINA NI NINAOMBA UNIAMBIE BILIONI 4 Za MRADI Ziko WAPI NAWAPIGA SPANA"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 31. 05. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Zábava

Komentáře • 71

  • @dubariz_mic_killa
    @dubariz_mic_killa Před měsícem +4

    Mji wa Arusha umepata mganga wake wagonjwa wapo kibaaao,Mungu amlinde kwenye utatuzi wa kero za wananch wake Makonda ni mwamba❤❤❤❤❤🇹🇿🎤

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s Před měsícem +6

    Makonda be blessed,wakuu wa mikoa mingine waige mfano wa makonda,

    • @Ericomtz5
      @Ericomtz5 Před 5 dny

      huyu jamaa anahofu ya Mungu ameisha nusurika kifo kutoka kwa watu wasiyo wema

  • @CikeTanzania
    @CikeTanzania Před měsícem +18

    Yaan Makonda utanimalizia pesa muda wote natamani nikuckilize

    • @BuruhaniKitomozi-gb7fb
      @BuruhaniKitomozi-gb7fb Před měsícem +2

      Asee mimi ni wakwanza mwenyewe kanimalizianyingisana kilamuda niponaenafyatilia

    • @istambulahmed6664
      @istambulahmed6664 Před měsícem +2

      Hata mimi sijui nifanyeje maana nashindwa kujizuia

    • @laurian27
      @laurian27 Před měsícem +1

      Nimeingia mkataba na mwarabh mmoja jirani mwisho wa mwez namlipa elfu 28 kwaajil ya WI-FI, kisa makonda ayseee daaaah?!

    • @jumamustapha8254
      @jumamustapha8254 Před měsícem

      Hata mimi bando langu linaishia kwake.

  • @babalevinerlameki5425
    @babalevinerlameki5425 Před měsícem +16

    Makonda the future president from god, makonda I see you fare we are waiting you one day

  • @sosmakanya4901
    @sosmakanya4901 Před měsícem +7

    RAIS NAKUOMBA MAKONDA AWE MKUU WA MIKOA YOTE YA TANZANIA ILI AWEZE KUKUSAIDIA KAZI

  • @gladistaemanueliy6336
    @gladistaemanueliy6336 Před měsícem +7

    Muongo huyo hawakuombei, sisi wa hali ya chini ndio tunakuombea makonda wetu

  • @ernestaassenga9646
    @ernestaassenga9646 Před měsícem +2

    Mh,Mama Samia Raisi wetu umetishaaa!! Tutafutie makonda wengine kama huyu mama plse

  • @Mpendahaki
    @Mpendahaki Před měsícem +2

    Huyu rais makonda anachapa kazi vizuri sana

  • @EmanuelMinja-fv9dn
    @EmanuelMinja-fv9dn Před měsícem +4

    Tunakuomba makonda wew ni role model wa magufuli usiwe chawa wa yeyote

  • @jbdedon
    @jbdedon Před měsícem +7

    Wasafi bana kila mnachokiandika sicho kinachozungumzwa daaah mnaboa

    • @mwanaidimussa
      @mwanaidimussa Před měsícem

      Yaan hawa wana asiri ya kaumbea mbea tu

  • @furahinimbise7969
    @furahinimbise7969 Před měsícem +1

    Makonda unanimalizia bando👏👏

  • @Damian-tt8fv
    @Damian-tt8fv Před měsícem +2

    Wote wanaohusika kuanzia Mkurugenzi na wa chini yake wachukuliwe hatua akili zao zimeganda zimedumaa haziwezi kuchakata mambo. Wanapwaya kwenye nafasi zao wakachunge ng'ombe

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 Před měsícem +3

    Wapigaji hao nakumbuka magufuli wetu arkuwa haxhereweshi

  • @ipepeetube449
    @ipepeetube449 Před měsícem +1

    Njoo Nyamongo utusaidie tukwisha kaka tarime

  • @mohamedali7544
    @mohamedali7544 Před měsícem +2

    Hela iko fix deposit wanakula

  • @DeboraNyari
    @DeboraNyari Před měsícem +2

    Mtego una andaliwa

  • @JosephMargareth
    @JosephMargareth Před měsícem +1

    Spana, Spana, naona Ndita kwenye nyuso!

  • @lilianmosha-ph3mp
    @lilianmosha-ph3mp Před 14 dny

    Huyu no mtetez was wanyonge Sina chakukupa Ila nakuombea Manisha marefu uzid kutusaidia

  • @jacobletema3681
    @jacobletema3681 Před měsícem +4

    Mh. Makonda tunaomba utuazime na sisi hizo spana huku kwetu kwa angalau wiki mbili

  • @bizzyjunior_tz
    @bizzyjunior_tz Před měsícem +2

    🌟🌟🌟

  • @mohamedali7544
    @mohamedali7544 Před měsícem +2

    Hawa wanahujumu chamaa cha CCM mjini Arusha

  • @eleonorashirima1604
    @eleonorashirima1604 Před měsícem +2

    Dhu pitia na vyeti vyao mkuu

  • @user-ij2lp1om6i
    @user-ij2lp1om6i Před měsícem +1

    Huyu awe waziri mkuu hata kwa miezi mi3

  • @EmanuelMinja-fv9dn
    @EmanuelMinja-fv9dn Před měsícem +1

    Makonda Kuna waliosoma huku mtaan achana hao wababaishaji

  • @RafaelNelson-ye3jk
    @RafaelNelson-ye3jk Před měsícem

    Hizo bila Makonda zingepigwa

  • @mohamedali7544
    @mohamedali7544 Před měsícem +1

    Wanaweka fix deposit wakila interest

  • @mybrain8940
    @mybrain8940 Před měsícem

    Shida ya sabaya ni mafujo but good central forward 😂😂

  • @chrismassawe2939
    @chrismassawe2939 Před měsícem

    Ni hatari

  • @selinakatega6691
    @selinakatega6691 Před měsícem +3

    Niko napanga mabegi apa niende zangu arusha Uko ela ipo jamani 😂😂

  • @rajabmwasangala5472
    @rajabmwasangala5472 Před měsícem

    Walio wengi wana chukina hao ndio wezi wakubwa wa Nchi hii,na hawawezi wakampenda Makonda na ndio maana wanamtafutia kila chanzo ili wamg'oe sehemu hiyo ya Mkuu wa Mkoa, nawaomba wana Arusha msikubali kuipoteza baati hiyo.

  • @eleonorashirima1604
    @eleonorashirima1604 Před měsícem

    Mheshimiwa makonda nakwambia ondoeni wote ajirini wengine Kuna wasomomi wengine jamani wapeni na wototo wetu hao wamwsharidhika

  • @baishibybaishi5782
    @baishibybaishi5782 Před měsícem

    Mshimiwa raisi nakuomba ikikupedeza mchague makonda awe mkuu wamiko ya Tanzania yote Huku chini kunamadudu megi sana

  • @saadatiyahyashabani-yg2xy
    @saadatiyahyashabani-yg2xy Před měsícem

    Muwekeni sabaya awe mkuu wa wilaya

  • @SofiaMvungi-zu5tg
    @SofiaMvungi-zu5tg Před měsícem

    Watumishi wenye roho mbaya wanakalia pesa kisa uzembe tu kujichubua tu hata sura haing,ai

  • @eleonorashirima1604
    @eleonorashirima1604 Před měsícem

    Dhu pitia na vyeti vyao vipo sawa kwanza wengine wamezeeka anagalia mkuu kagua hivyo vyeti jamani

  • @fulgenceoswald3866
    @fulgenceoswald3866 Před měsícem

    Kuna mda hata hao wakuu wa Wilaya wanazingua Mama Samia tumbua hawa wapo kwenye mamlaka yako

  • @FedyKafyulilo-iz2nw
    @FedyKafyulilo-iz2nw Před měsícem

    Cku hizi bando anakula makonda hasa zangu maana cwez lala bila kumfuatilia

  • @jumamustapha8254
    @jumamustapha8254 Před měsícem

    Hela hizo mkuu, huwa wanaziweka fiksi akaunti zinazalishwa kisha faida wanachukuwa wao pumbavu hawa.

  • @godfreymasanja354
    @godfreymasanja354 Před měsícem

    Haya ni matatizo ya halmashauri zote janjajanja nyingi

  • @yhasintakalenyula970
    @yhasintakalenyula970 Před měsícem +1

    😂😂😂😂....Nimecheka hapo kwenye maombi😂😂😂😂

    • @mwanaidimussa
      @mwanaidimussa Před měsícem

      Apooo moyoni wanajua waoo na mungu wao!

  • @user-xn8jh1yw1h
    @user-xn8jh1yw1h Před měsícem

    Asituchanganye. Ndiyo maana kila mwaka wa serikali kuna Budget yake. Kama pesa ipo kwa nini kazi isifanyike?

  • @muziki228
    @muziki228 Před měsícem

    NANI KASIKIA WATUKOPESHE 😂😂😂

  • @josphatnduati7868
    @josphatnduati7868 Před měsícem

    makonda siku moja awe raisi wa watazania.

  • @yothamgwanika9530
    @yothamgwanika9530 Před měsícem

    Kuna ubaya wengine kuigaaa hivi. Et wakuu wa mikoa

  • @kelvinmboya5846
    @kelvinmboya5846 Před měsícem

    😢😢

  • @WilsonOmbati-jc6ll
    @WilsonOmbati-jc6ll Před měsícem

    Tunataka mtu kama uyo Kenya

  • @eleonorashirima1604
    @eleonorashirima1604 Před měsícem

    Hawa watu wanapeana kijiti Kwa mtu aliyesoma hawezi kufanya hayo madudu

  • @josephatemmanuel458
    @josephatemmanuel458 Před měsícem

    Walikuwa wajiandaa kuzipiga

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 Před měsícem +1

    Wapigaji na wala rushwa wameiteka Arusha.

  • @Happizo
    @Happizo Před měsícem +1

    😢Arusha inanuka rushwa na ni jiji la kitalii..

  • @lilianmosha-ph3mp
    @lilianmosha-ph3mp Před 14 dny

    Makonda anafaa kuwa raisi anawanyoosha mafisad

  • @user-fu3hn1ms2j
    @user-fu3hn1ms2j Před měsícem +2

    Lakini nani anawateuwa Hawa watu

    • @wadhhasuleiman2621
      @wadhhasuleiman2621 Před měsícem

      Bro Kila mtu ale Kwa urefu WA kamba Yake huko juu tunaliwa vibaya pia Samia anaweka pesa nje yote Bandar imetolewa

  • @rukiauwonde7062
    @rukiauwonde7062 Před měsícem

    😅😅😅😅ilo dua siyo mkuu 😂

  • @raymondmbassa1247
    @raymondmbassa1247 Před měsícem +2

    😅😅😅😅😅

  • @chesconkwera2005
    @chesconkwera2005 Před měsícem +2

    Wajinga wengi wako kundi la wasomi

  • @eliasinnocent6229
    @eliasinnocent6229 Před měsícem

    Hiv kweli jaman mbn sisi tukiwa tunatoa Hela zetu za Kodi hawasikilizi kelo tukavumiliwa iweje wao Hela zetu ziwe na changamoto za kimfumo

  • @lilianmosha-ph3mp
    @lilianmosha-ph3mp Před 14 dny

    Huyu no mtetez was wanyonge Sina chakukupa Ila nakuombea Manisha marefu uzid kutusaidia