Wote wanaohusika kuanzia Mkurugenzi na wa chini yake wachukuliwe hatua akili zao zimeganda zimedumaa haziwezi kuchakata mambo. Wanapwaya kwenye nafasi zao wakachunge ng'ombe
Walio wengi wana chukina hao ndio wezi wakubwa wa Nchi hii,na hawawezi wakampenda Makonda na ndio maana wanamtafutia kila chanzo ili wamg'oe sehemu hiyo ya Mkuu wa Mkoa, nawaomba wana Arusha msikubali kuipoteza baati hiyo.
Mji wa Arusha umepata mganga wake wagonjwa wapo kibaaao,Mungu amlinde kwenye utatuzi wa kero za wananch wake Makonda ni mwamba❤❤❤❤❤🇹🇿🎤
Makonda be blessed,wakuu wa mikoa mingine waige mfano wa makonda,
huyu jamaa anahofu ya Mungu ameisha nusurika kifo kutoka kwa watu wasiyo wema
Yaan Makonda utanimalizia pesa muda wote natamani nikuckilize
Asee mimi ni wakwanza mwenyewe kanimalizianyingisana kilamuda niponaenafyatilia
Hata mimi sijui nifanyeje maana nashindwa kujizuia
Nimeingia mkataba na mwarabh mmoja jirani mwisho wa mwez namlipa elfu 28 kwaajil ya WI-FI, kisa makonda ayseee daaaah?!
Hata mimi bando langu linaishia kwake.
Makonda the future president from god, makonda I see you fare we are waiting you one day
Me too 🤲🙏
Akiwa rais hataweza haya
Watendaji watamuangusha
Huyu anatakiwa aende kwenye majiji yote Kwanza
RAIS NAKUOMBA MAKONDA AWE MKUU WA MIKOA YOTE YA TANZANIA ILI AWEZE KUKUSAIDIA KAZI
Muongo huyo hawakuombei, sisi wa hali ya chini ndio tunakuombea makonda wetu
Mh,Mama Samia Raisi wetu umetishaaa!! Tutafutie makonda wengine kama huyu mama plse
Huyu rais makonda anachapa kazi vizuri sana
Tunakuomba makonda wew ni role model wa magufuli usiwe chawa wa yeyote
Wasafi bana kila mnachokiandika sicho kinachozungumzwa daaah mnaboa
Yaan hawa wana asiri ya kaumbea mbea tu
Makonda unanimalizia bando👏👏
Wote wanaohusika kuanzia Mkurugenzi na wa chini yake wachukuliwe hatua akili zao zimeganda zimedumaa haziwezi kuchakata mambo. Wanapwaya kwenye nafasi zao wakachunge ng'ombe
Wapigaji hao nakumbuka magufuli wetu arkuwa haxhereweshi
Njoo Nyamongo utusaidie tukwisha kaka tarime
Hela iko fix deposit wanakula
Mtego una andaliwa
Spana, Spana, naona Ndita kwenye nyuso!
Huyu no mtetez was wanyonge Sina chakukupa Ila nakuombea Manisha marefu uzid kutusaidia
Mh. Makonda tunaomba utuazime na sisi hizo spana huku kwetu kwa angalau wiki mbili
🌟🌟🌟
Hawa wanahujumu chamaa cha CCM mjini Arusha
Dhu pitia na vyeti vyao mkuu
Huyu awe waziri mkuu hata kwa miezi mi3
Makonda Kuna waliosoma huku mtaan achana hao wababaishaji
Hizo bila Makonda zingepigwa
Wanaweka fix deposit wakila interest
Shida ya sabaya ni mafujo but good central forward 😂😂
Ni hatari
Niko napanga mabegi apa niende zangu arusha Uko ela ipo jamani 😂😂
😃😃 karibu
😅😅😅😅😅😅sawa mm nyuma❤❤❤❤
Mm nabeba na godoro😂😂😂😂😂😂😂
Walio wengi wana chukina hao ndio wezi wakubwa wa Nchi hii,na hawawezi wakampenda Makonda na ndio maana wanamtafutia kila chanzo ili wamg'oe sehemu hiyo ya Mkuu wa Mkoa, nawaomba wana Arusha msikubali kuipoteza baati hiyo.
Mheshimiwa makonda nakwambia ondoeni wote ajirini wengine Kuna wasomomi wengine jamani wapeni na wototo wetu hao wamwsharidhika
Mshimiwa raisi nakuomba ikikupedeza mchague makonda awe mkuu wamiko ya Tanzania yote Huku chini kunamadudu megi sana
Muwekeni sabaya awe mkuu wa wilaya
Watumishi wenye roho mbaya wanakalia pesa kisa uzembe tu kujichubua tu hata sura haing,ai
Dhu pitia na vyeti vyao vipo sawa kwanza wengine wamezeeka anagalia mkuu kagua hivyo vyeti jamani
Kuna mda hata hao wakuu wa Wilaya wanazingua Mama Samia tumbua hawa wapo kwenye mamlaka yako
Cku hizi bando anakula makonda hasa zangu maana cwez lala bila kumfuatilia
Hela hizo mkuu, huwa wanaziweka fiksi akaunti zinazalishwa kisha faida wanachukuwa wao pumbavu hawa.
Haya ni matatizo ya halmashauri zote janjajanja nyingi
😂😂😂😂....Nimecheka hapo kwenye maombi😂😂😂😂
Apooo moyoni wanajua waoo na mungu wao!
Asituchanganye. Ndiyo maana kila mwaka wa serikali kuna Budget yake. Kama pesa ipo kwa nini kazi isifanyike?
NANI KASIKIA WATUKOPESHE 😂😂😂
makonda siku moja awe raisi wa watazania.
Kuna ubaya wengine kuigaaa hivi. Et wakuu wa mikoa
😢😢
Tunataka mtu kama uyo Kenya
Hawa watu wanapeana kijiti Kwa mtu aliyesoma hawezi kufanya hayo madudu
Walikuwa wajiandaa kuzipiga
Wapigaji na wala rushwa wameiteka Arusha.
😢Arusha inanuka rushwa na ni jiji la kitalii..
Makonda anafaa kuwa raisi anawanyoosha mafisad
Lakini nani anawateuwa Hawa watu
Bro Kila mtu ale Kwa urefu WA kamba Yake huko juu tunaliwa vibaya pia Samia anaweka pesa nje yote Bandar imetolewa
😅😅😅😅ilo dua siyo mkuu 😂
😅😅😅😅😅
Wajinga wengi wako kundi la wasomi
Hiv kweli jaman mbn sisi tukiwa tunatoa Hela zetu za Kodi hawasikilizi kelo tukavumiliwa iweje wao Hela zetu ziwe na changamoto za kimfumo
Huyu no mtetez was wanyonge Sina chakukupa Ila nakuombea Manisha marefu uzid kutusaidia