ERIC OMONDI AFANYA BALAA USIKU WA THE REALITY/AWAVUNJA MBAVU WAGENI WAALIKWA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 1. 05. 2024
  • Usisahau ku"SUBSCRIBE" CZcams channel yetu kwa videos nyinginezo
    #zamaraditv #mambonimengi
  • Zábava

Komentáře • 54

  • @shawn_mendy
    @shawn_mendy Před 2 měsíci +10

    Any Kenyan 🇰🇪

  • @user-pe1qv1sn5p
    @user-pe1qv1sn5p Před 2 měsíci +4

    nampenda.huyu.eric.omondi.❤❤❤

  • @sharifahabsi5004
    @sharifahabsi5004 Před 2 měsíci +4

    Mashaallah 🎉

  • @chikusangalala7759
    @chikusangalala7759 Před 2 měsíci +3

    Show nzuri sana

  • @UpendoLangeni
    @UpendoLangeni Před 2 měsíci +3

    ❤❤❤

  • @saumbliz8983
    @saumbliz8983 Před 2 měsíci +2

    Show mbona imepoa

  • @Brunn-mh2bq
    @Brunn-mh2bq Před 2 měsíci +7

    Kuna binti mweupe kakaa hapo mbele kaanika utu wake hatari. Sijui anafikiria nini yarabi. 😢

  • @keyla3641
    @keyla3641 Před 2 měsíci +2

    Love erik

  • @HassanJohar-qx5ur
    @HassanJohar-qx5ur Před 2 měsíci +3

    Oric ominde Acha kukashifu kenya

  • @winnesakara6957
    @winnesakara6957 Před 2 měsíci +1

    Waooo

  • @Juke995
    @Juke995 Před 2 měsíci +7

    Kuchekesha wabongo yahitaji roho ya Paka😂😂😂

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 Před 2 měsíci +8

    hapaja changamkaa mpaka Eric anajitaidi kuleta uchangamfu ila anashindwa mpaka kijana wa watu anajiskia shida kidogo..

  • @upendogreutert199
    @upendogreutert199 Před 2 měsíci +1

    Sheee kwani kuvaa uchi hiyo ndo kupata viewers wengii???

  • @rukaya-jg7hj
    @rukaya-jg7hj Před 2 měsíci +4

    Kilicho muangusha ni pale alipo fanya mambo adharani maskini😢

    • @user-wh9md9im9w
      @user-wh9md9im9w Před 2 měsíci

      Binadamu bwana mnahuku mtu kwa Dhambi ambayo hata nyie mnaifanya gizani

    • @belak999
      @belak999 Před 2 měsíci

      ​@@user-wh9md9im9wsasa km tunafanya gizan, inamaana niya gizan, sasa yeye kwnn alifanya mwangani?

  • @abudimuddy517
    @abudimuddy517 Před 2 měsíci +3

    Wewe ongelea kilichokupeleka huko Wacha kuongelea Kenya Na kukashifu Kenya yetu... Kenya we have everything.

  • @sebastianmboya6702
    @sebastianmboya6702 Před 2 měsíci +1

    Hawacheki wanawaza vicoba

  • @user-px3po9lt8g
    @user-px3po9lt8g Před 2 měsíci

    Duuuuh role model wa wapi tuige nn au style za xxx zake aloigiza pumbavu

  • @akokofrank
    @akokofrank Před 2 měsíci

    Mbwa mimi, watu hawachekii 😮

  • @florabuzoya3948
    @florabuzoya3948 Před 2 měsíci +1

    Safi sana Eric 🔥🔥🔥

  • @user-gs9mt1vp7i
    @user-gs9mt1vp7i Před 2 měsíci +2

    Show show kama waona si kali unaumwa

  • @georgenzai1355
    @georgenzai1355 Před 2 měsíci +4

    Etick was the only learned person kwa hii show😂😂😂😂😂😂

  • @amour0072
    @amour0072 Před 2 měsíci

    sasa MBONA sauti iko nyuma

  • @user-nn7uf1mr7x
    @user-nn7uf1mr7x Před 2 měsíci +2

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @souvenirweber7169
    @souvenirweber7169 Před 2 měsíci +2

    Usiku wa makahaba

  • @naimanimo4925
    @naimanimo4925 Před 2 měsíci +2

    Erick is not funny anymore

  • @mungatanamedia5157
    @mungatanamedia5157 Před 2 měsíci

    Not funny....

  • @naimanimo4925
    @naimanimo4925 Před 2 měsíci +3

    Very foolish how do you abuse your own country bure sana tola kenya hamia tz ata una content anymore una tapatapa na politics useless

    • @peteremmanuelymatwimatwiem3258
      @peteremmanuelymatwimatwiem3258 Před 2 měsíci +2

      Wakenya mna gombana wenyewe oooh mna chekesha sana

    • @aishaarusha894
      @aishaarusha894 Před 2 měsíci +3

      Naima unaroho mbaya itakuuwa😂

    • @darelet
      @darelet Před 28 dny

      Kenya ni yako ndio uamue nani wanafaa kukuwa huko ama wahame? Kati yako na Eriko labda wewe ndio utakosa shares. WaKenya wangapi wanajivunia wewe? Ni kama huelewi comedy so hebu toka kwa pages za comedy uende usome matangazo ya vifo juu ni kama hiyo ndio mnafanana nayo

    • @darelet
      @darelet Před 28 dny

      @@peteremmanuelymatwimatwiem3258 Demokrasia inahitaji hivyo mwenzangu. Inaweza onekana jambo baya lakini ukweli ni kwamba nchi yoyote ya mamilioni haiwezi kuwa na watu tupu wenye tabia njema. Ukiona palipo na umati mkubwa wa watu wa kawaida, usiochaguliwa, utapata wenye hulka mbaya, na hulka nzuri. Ukiona maoni yote ni mazuri, jua tu kwamba kuna uoga wa kukashifu, au umati sio wa kawaida - hiyo ni jangwa kubwa kushinda matusi mitandaoni, kwasababu inamaanisha hakuna uhuru wa maoni, na ni serikali ya udikteta