Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Asee huyu jamaa ana kipaji cha ajab sana..anatumia lugha nzuri na maadili ya hadhira yake kuchekesha watu..wat a talent
Duuuhhh jmn Leonardo naijuw huo et ''mapenz n mbel 2 nyum mwiko'' nimeielewaa hyo big up sanaa kwakoo unanikoshaa hatar❤
Ameeeen Mungu wa mbingu na nchi akulinde mnooo Asante Sanaa 🙌🙌
Jamaa anajuaaaaa, Sema hiyo hadhira haikujua kumchangamasha, yani Walikua wamepoa sana.
Etiii mimba na ujauzito tofauti 😂😂😂😂
Eliud ndo mnomaaaaaaa kuliko comedian wote Tz
eliud n accent inamsaidia broo,,bt leonardo n mkali
😜😜
the audience didn't deserve this man. akili zimelala sana.
Ujauzito, unajifungua. Mimba unazaa 😂😂
Hahahaaaaa hapo kwenye sigara. Ila dunia inawatu wa ajabu we Leonardo bas 2
Upo vizuri aseee
Right presentation to wrong audience
Leonardo we n nyoko kabsaaaaa,,, hapo kwa mvuta sigara umeua mzeee
Broo unavut nn naon umeumiaa sanaa
Uko poa sema hadhira imezingua sana😰😰
Huyu kijana ni 🔥 ananichekesha mpaka natokwa na machozi
Kachekesha miez mitano iliyopita lkn adi Leo Nacheka kinoma 😂😂😂
Content unarudiarudia ndio noma,watakuchoka
Duh jamaa anasimulia achekeshi
Hadhira imepoa Sana imemuangusha wazito mno
Tofauti ya comed za kenya na bongo ninini
Inajionyesha kabisa
JAMAA AMECHUKUA MDA MREFU SANA MPAKA ANALEMEWA SASA
Vizuri sana
😃😃😃😃😃 mimba ni janga
Leonardo ameua 🔥🙌
Leonado anarudia nondo umoumoo 😂😂😂😂
Daah kwl mimba ni janga alf ujaauzito ni baraka 😆😁😁
Yupo vizuri
Leonardo uko njema sana
Nice
Good 👍
Jamaa amewa kinoma
Uko vizuri sana kaza komaa
Wakenya wamepoa
Broo unatisha
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 jamaniiiiiiiiiiiiii daaah
Pale mseng😂😂😂
Leornard anarudia punch
kwani msanii wa mziki akipanda stejini huwa anapaform nyimbo mpya tu kurudia punch sio zambi
Custume muhimu jamani tuboreshe stendup commed kwa kugaramia custume
🤩🤩🤩
😂😂😂😂hatariiii
Acha kurudia contents
Why are you hia ...tell me😂😂😂😂😂😂😂😂😂nmcheka jmn you you yuuuuuu
Tatizo ya leonardo anarudia punch sana
Unaweza wewe 😂
@@PesaMadafu 😂😂swali zuri sana 😂
Mbona unamuandama sana
🙄😳😳😳😳😳
Huyu naye comedian? Hovyo kabisa
Kuwa comedy wewe
We. Unaweza fanya na wewe unafikiri kazi rasi
Kaka God bless ue
Mkali mpaka mkali Tena ❤❤❤❤
Kama humjui mtu Bora ukaushe tu kuliko kuropoka ropoka, utaitia matundu heshima yako
😂😂😂😂😂
Asee huyu jamaa ana kipaji cha ajab sana..anatumia lugha nzuri na maadili ya hadhira yake kuchekesha watu..wat a talent
Duuuhhh jmn Leonardo naijuw huo et ''mapenz n mbel 2 nyum mwiko'' nimeielewaa hyo big up sanaa kwakoo unanikoshaa hatar❤
Ameeeen Mungu wa mbingu na nchi akulinde mnooo Asante Sanaa 🙌🙌
Jamaa anajuaaaaa, Sema hiyo hadhira haikujua kumchangamasha, yani Walikua wamepoa sana.
Etiii mimba na ujauzito tofauti 😂😂😂😂
Eliud ndo mnomaaaaaaa kuliko comedian wote Tz
eliud n accent inamsaidia broo,,bt leonardo n mkali
😜😜
the audience didn't deserve this man. akili zimelala sana.
Ujauzito, unajifungua. Mimba unazaa 😂😂
Hahahaaaaa hapo kwenye sigara. Ila dunia inawatu wa ajabu we Leonardo bas 2
Upo vizuri aseee
Right presentation to wrong audience
Leonardo we n nyoko kabsaaaaa,,, hapo kwa mvuta sigara umeua mzeee
Broo unavut nn naon umeumiaa sanaa
Uko poa sema hadhira imezingua sana😰😰
Huyu kijana ni 🔥 ananichekesha mpaka natokwa na machozi
Kachekesha miez mitano iliyopita lkn adi Leo Nacheka kinoma 😂😂😂
Content unarudiarudia ndio noma,watakuchoka
Duh jamaa anasimulia achekeshi
Hadhira imepoa Sana imemuangusha wazito mno
Tofauti ya comed za kenya na bongo ninini
Inajionyesha kabisa
JAMAA AMECHUKUA MDA MREFU SANA MPAKA ANALEMEWA SASA
Vizuri sana
😃😃😃😃😃 mimba ni janga
Leonardo ameua 🔥🙌
Leonado anarudia nondo umoumoo 😂😂😂😂
Daah kwl mimba ni janga alf ujaauzito ni baraka 😆😁😁
Yupo vizuri
Leonardo uko njema sana
Nice
Good 👍
Jamaa amewa kinoma
Uko vizuri sana kaza komaa
Wakenya wamepoa
Broo unatisha
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 jamaniiiiiiiiiiiiii daaah
Pale mseng😂😂😂
Leornard anarudia punch
kwani msanii wa mziki akipanda stejini huwa anapaform nyimbo mpya tu kurudia punch sio zambi
Custume muhimu jamani tuboreshe stendup commed kwa kugaramia custume
🤩🤩🤩
😂😂😂😂hatariiii
Acha kurudia contents
Why are you hia ...tell me😂😂😂😂😂😂😂😂😂nmcheka jmn you you yuuuuuu
Tatizo ya leonardo anarudia punch sana
Unaweza wewe 😂
@@PesaMadafu 😂😂swali zuri sana 😂
Mbona unamuandama sana
🙄😳😳😳😳😳
Huyu naye comedian? Hovyo kabisa
Kuwa comedy wewe
We. Unaweza fanya na wewe unafikiri kazi rasi
Kaka God bless ue
Mkali mpaka mkali Tena ❤❤❤❤
Kama humjui mtu Bora ukaushe tu kuliko kuropoka ropoka, utaitia matundu heshima yako
😂😂😂😂😂