Aiseee JAMAA ulikua unaongea vitu vinachekesha sana, ila ulikua kwenye WRONG AUDIANCE ... hapo hawakuwepo wa kuweza kufafanua kwa haraka uliokua unayamaanisha. POLE SANA mkuu, Ilikua one of your best perfomance, Nataman uyarudie yoote hayo kwenye Cheka tu.
Hawa kenge walikuwa na njaa ndo mana hawacheki halafu ni washamba wanakushangaa hawaamini kama wakuona so kila mmoja amekaa tayari kukutazama sio kukuskiliza in short ni vilaza ila apo jeshi umepita sana ungekuwa cheka tu ungeuwa sana
Nmeona jamaa anachekesha sana nmecheka sana nlipo naangalia kila mda ila hiyo mijitu ilikua inamshangaa msanii haipat mda wa kuconcentrate kwenye jokes
Right comedian before the wrong audience.
Sahiv uumiz kichwa am your fan... Leonard ebu Leta yale mapunchline y fainal
Aiseee JAMAA ulikua unaongea vitu vinachekesha sana, ila ulikua kwenye WRONG AUDIANCE ... hapo hawakuwepo wa kuweza kufafanua kwa haraka uliokua unayamaanisha. POLE SANA mkuu, Ilikua one of your best perfomance, Nataman uyarudie yoote hayo kwenye Cheka tu.
Audience ni wana-SUA ni vigumu sana ku-perform mbele yao ni wana stress ya Chuo😂😂
Hii show ilikuwa ngumu sana kwa mwamba
😂😂
Hawa kenge walikuwa na njaa ndo mana hawacheki halafu ni washamba wanakushangaa hawaamini kama wakuona so kila mmoja amekaa tayari kukutazama sio kukuskiliza in short ni vilaza ila apo jeshi umepita sana ungekuwa cheka tu ungeuwa sana
Hii Audience wote wana stress, changamoto sana kwa mwamba
Unajuwa broh ❤️🚀
Hawa hawakuja kucheka 🤝🤝🤝
Broo hii show ilikukataa but keep up man🤞
Perfect jokes but wrong audience 🙄hizi jokes angefanya Cheka tuu ingekua bonge la performance
Jama huu anaweza kbx
Unajua sana bro keep it up.
Mi nacheka kinomaaaaa....hao watu hapo hawaelew kiswahili au😂😂😂😂
Show kali audience siwaelew ni mazombi au🥲
respect bro
Nmeona jamaa anachekesha sana nmecheka sana nlipo naangalia kila mda ila hiyo mijitu ilikua inamshangaa msanii haipat mda wa kuconcentrate kwenye jokes
Audience imezingua... katoa vitu vikal sana... sa kama hao wanao chat wataelewa
Hii audiance haikukuwa serious aki...
Huyu jamaa anatakiwa awe professor tcha
Kazi ngumu sana hii
Etii eeh
Jamaa unajua
Good
audience ya mabibi but big up boy unjuaa sanaa
jokes 🤣😂 khaliii sana sema kikoba na maden inawafanya watu wasielewee
Kwan wanadaiwa mbn hawacheki
Jamaa umepata changamoto sana lkn ukobamba sana 😂😂😂😂
i think maybe he performed late hours ,when people are tired
Siku ngumu 😀
😂😂leonardo mwamba
Kifupi sana; katika kila kazi kuna zile siku tunaamka tofauti mambo hayaendi
Hii audience ni watu wenye stress uko vizur bro
Mbn hawacheki wawap hawa kwan
Jamaa amepoa sana hata steji haitumii ipasavyo kasimama sehemu moja
Haimbi ngonjera
Sio running comedy ni standup comedy
😹😹
X,,,,,
Hii audience ina stress ya mikopo
Hapo hakuna mchekaji maana mawazoyao hayapo hapo na mchekeshaji ameshajua kuw hapo amechemka
Hao jamaa walikua na stress sanaa
I laughed bro
Dogo hii imekukataa lakini ndio kazi🤣🤣🤣🤣
Wrong audience, jokes nzuri.
My Kuna kinadada kina charti tu ... shenzi
suree kabisaa
Kabsa wanaboa
Audience mikausho mikaliii
Jamaa wamegoma kucheka
Ni maneno ya busara yy kakamlika
Unajitahidi
Performance nzuri ila ao maaudience wamekaa kishamba sana as if wapo msiban 😢
😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤
😂😂😂😂
Audience wana stress balaa
Audience wazembe
Ni kama wamegoma vile 🤣🤣🤣 hawacheki
😂😂😂
audiences ni marobot😂
Hii audience
Wrong audience foreal
S... N...
audiences is hell