WAZIRI AWESO AJIFANYA MTEJA, APIGA SIMU HUDUMA KWA WATEJA DAWASA, SIKIA ALIVYOJIBIWA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 1. 07. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Zábava

Komentáře • 18

  • @Datiuspp
    @Datiuspp Před 16 dny +4

    Sijawai kumuona customer care mkolofi hata kama ungemwambia jambo gani uwa ni watu smat sana

  • @zachmaselle6635
    @zachmaselle6635 Před 23 dny +11

    ....Binti amejibu vizuri sana, lakini ukichambua alichofanya sidhani atamsaidia huyo Abdallah maana hakuchukua namba yake, hakuuliza stakabadhi ya Malipo, ambayo ingeonyesha ni lini alilipia na tatizo ni nini. Yote hayo yangekjitokeza kwenye kompyuta baada ya kweka jina au namba ya malipo. Haya mambo yalishafanywa na yanafanyika nchi zingine tukopi tu. Tatizo kubwa DDhiki ya wananchi ya maji, imekuwa miradi ya wenye nafsi kuumiza wanyonge. Tanazania hatutakiwi kuwa na tatizo la maji. Mungu ametubariki mno.

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 Před 21 dnem +2

    Safiiiii ukijibiwa vzr raha sn.hongera waziri

  • @MOHAMEDSALEH-fl7kb
    @MOHAMEDSALEH-fl7kb Před 23 dny +2

    Hongera waziri

  • @daltonpaul5838
    @daltonpaul5838 Před 22 dny +6

    Watu wa huduma kwa wateja ni wakarimu mno kikubwa watu waungiwe maji kwa wakati

    • @JumaaHussein-ut6fc
      @JumaaHussein-ut6fc Před 21 dnem +2

      Wakarim kwasababu simu zinarekodiwa hivo tuu yaani.

    • @user-ji1bc5ti8r
      @user-ji1bc5ti8r Před 19 dny

      ​@@JumaaHussein-ut6fctofauti na hapa tungekuwa tunajibiwa hovyo adi tukome muwapigia

    • @daltonpaul5838
      @daltonpaul5838 Před 18 dny

      @@JumaaHussein-ut6fc kwa kweli

  • @delgalshan6318
    @delgalshan6318 Před 16 dny +1

    AUWSA ni jibu arusha tena baya kabisa wanaleta ankara wakati maji hawafungui wazembe sana

  • @emmanuelndahan9815
    @emmanuelndahan9815 Před 20 dny +1

    Huyoo ni customer care, kikubwa watu wapate maji

  • @FredMwamgogwa-td6ni
    @FredMwamgogwa-td6ni Před 23 dny +2

    Safi sana

  • @user-eg3mh1gk5l
    @user-eg3mh1gk5l Před 21 dnem +2

    Safiii

  • @stanymccary7136
    @stanymccary7136 Před 6 dny

    Iyo namba wanayo

  • @jumbeplumber4327
    @jumbeplumber4327 Před 20 dny +2

    Safi sasa

  • @HarithAlly-v5o
    @HarithAlly-v5o Před 22 dny +1

    ❤❤

  • @sofiakhan9706
    @sofiakhan9706 Před 19 dny

    Ila goba hakuna maji ki ukweli

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar9912 Před 19 dny

    Sasa kofia ya chama inafanya nn apo