WAZIRI MKUU AWACHANA TRA MBELE YA WAFANYABIASHARA KARIAKOO "Rais anatamka unakuwa na mashaka"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 16. 05. 2023
  • Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
    BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
    Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
    Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
    Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

Komentáře • 102

  • @salumhamoud-dv3nf
    @salumhamoud-dv3nf Před rokem +12

    Muheshimiwa nakuelewa sana. Na pia una faa kia raisi. Asante sana

  • @fatumasukwaju226
    @fatumasukwaju226 Před rokem +4

    Mungu akuweke muheshimiwa.Fata nyayo za Mwenazake.

  • @samoramollel
    @samoramollel Před rokem +18

    Mungu pekee ndio mkombozi kwa watanzania wote

    • @kabulukimati
      @kabulukimati Před rokem

      Mungu.wa.mbinguni.mbariki.raisi.wetu..mbariki.waziri.mkuu.wetu.kiukweli.wametupa.faraja.na.amani.sisi.wafanya.biashara.ushauri.kuna.baahi.ya.wizara.zinatakiwa.zifunjwe.au.zifanyiwe.mabadiliko.zikiwepo.wizara.ya.fedha.na.biashara..ni.maono.yangu

  • @hadijauledi6995
    @hadijauledi6995 Před rokem +6

    Hongera muheshimiwa waziri wetu kwa kutatuwa kero zetu asante muheshimiwa 🙏

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 Před rokem +6

    Rushwa inaanzià juu kwenu

  • @salummohamed2689
    @salummohamed2689 Před rokem +4

    Tatizo sio TRA, tatizo ni kuwa WAUMINI wanaishi kama KUHANI WAO.

  • @salomembiro5017
    @salomembiro5017 Před rokem +3

    Kweli baba Majaliwa, hali siyo nzuri kabisa

  • @NgelelaLuchagulaMasalu-bg5xu

    Asante mweshmiwa waziri mkuu chapa kazi mkuu na kazi iendelee

  • @FatnaAlly-fh7qj
    @FatnaAlly-fh7qj Před rokem +1

    Allah mashallah ubarikiwe semaaa semaaa baba wafanya biashara wanapata tabu mungu akutie nguvu ulinde haki mashallah

  • @ruqiyanasir7141
    @ruqiyanasir7141 Před rokem +5

    Nahizo pesa zote wanazo walipisha watu zinaisha mifukonamwao katika sehemu yenye wazi walamali yauma naserekali kama TRA WEzi namba wan wanawaoneya watusana yaani pese zinazo ingia mifukoni mwawatu nyinyingi kuliko zinao ingizwa serekalini

  • @FatnaAlly-fh7qj
    @FatnaAlly-fh7qj Před rokem +2

    Allah mpaka watu wanashundwa kuleta biashara kutoka nje Kwa ajili ya Kodi kuwa kubwa Sasa wakati wa haki umefika mabubu nao kuongea na kupata haki mashallah 💕👍👍

    • @christinembeye5489
      @christinembeye5489 Před rokem

      Kweli mtu ukisafiri hata na Masanduku Mawili ru Airport Mtu Unapekuliwa na TRA mpaka Nguo za Ndani zilizomo Sandukuni zinaonekana🙈🙈 kwa sababu ya Tamaa zao,
      Kweli Waziri Mkuu Watu husika Washughulikiwe Kikamilifuu-

  • @masaimollel2525
    @masaimollel2525 Před rokem +2

    Mnalindana tuu msituone sisi mafala ningewaelewa kma mwigulu ungemtengua hapohapo na km wewe hauna uwezo wa kutumbua Sasa si upeleke pendleton kwa raisi Samia kuwa waziri wa fedha hafai au mpk siku watanzani wajinyonge kwa hasara wanazoingia ndio mje kutoa pole .

  • @IsackMgaya-eu5li
    @IsackMgaya-eu5li Před rokem

    Asante sana baba kweli upo vizur na umesimama kwenye kwel ukwel lazima ujitenge

  • @timboxlee919
    @timboxlee919 Před rokem +7

    Hii ni awamu ya nne inatawala,mama hawezi kutumbua mtu, mafisadi,Rip JPM

  • @jack2010ization
    @jack2010ization Před rokem

    Ubarikiwe sana kiongozi

  • @robaichisutia4765
    @robaichisutia4765 Před rokem +5

    Mungu akubariki Waziri na aibariki Tanzania

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 Před rokem +4

    Kasimu majaliwa for Presidency. Mungu akitupa huyu mtu kama Rais Tanzania itapiga hatua sana.Viongozi wa awamu hii wengi wamejikinai na kujaa kibri.

  • @FatnaAlly-fh7qj
    @FatnaAlly-fh7qj Před rokem +1

    Allah honfera sana muheshimuwa wa ziri

  • @MoriceFwaka-pt4bp
    @MoriceFwaka-pt4bp Před rokem

    Hongera Sana mweshimiwa tunakuamini Mungu akurinde

  • @chackym4416
    @chackym4416 Před rokem +1

    Next presdent

  • @yusuphmaharage2739
    @yusuphmaharage2739 Před rokem +2

    Safi sana waziri mkuu

  • @dennishyera5448
    @dennishyera5448 Před rokem +1

    Nusu Mungu wafukuzwe kazi, waje waone maisha uraiani.

  • @jacklinelucas
    @jacklinelucas Před rokem +2

    Kwan Mheshimiwa amewajua vizuri tu dawa inChemka

  • @darasibrown6084
    @darasibrown6084 Před rokem +3

    Hili swala la kodi na kujua haki ya mtu binafsi yan haki yako ilibidi hii misingi tuwekewe toka dalasa la kwanza had la saba kwenye mtaala watoe aiba na michezo waweke hili somo kila mtu atajua wajibu wake

  • @NRI_1
    @NRI_1 Před rokem +2

    Curruption too much in Tanzania

  • @monicachacha455
    @monicachacha455 Před 2 dny

    safiiiii

  • @MiriumWajey-lr1tq
    @MiriumWajey-lr1tq Před rokem +2

    Kodi zimekuwa changamoto

  • @servaspilato7892
    @servaspilato7892 Před rokem +1

    Ama kweli majaliwa sijawahi kukukibali iLa hapa baba kagombee uraisi niko pamoja na wee

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 Před rokem +3

    Selikari ni wewe tu mheshimiw

  • @chachamakenge8367
    @chachamakenge8367 Před rokem +1

    Mheshimiwa,waziri mkuu,nakisa kimoja,kuna mtu yuko gerezani,chakushangaza alikuwa na mtandao wa TRA feki yeye akiwa kiongozi wao ,alikuwa anawaongoza kwa njia ya simu akiwa gerezani,hivyo kuna watu wanaojifanya ni kutoka TRA, hivyo kuna uwezekano mkubwa wafanya biashara huwa wanatapeliwa

  • @user-hc2hl6sn7o
    @user-hc2hl6sn7o Před rokem

    Sawa mh.

  • @emanuelsamson-hq2jv
    @emanuelsamson-hq2jv Před rokem

    Asante waziri mukuuu

  • @SayakuluAyubu-my9kr
    @SayakuluAyubu-my9kr Před rokem +1

    Ruswa, iko hivi Mimi nnataka Nida nikienda kule ofisi ya Nida naambiwa let Nida ya mama yangu Ana maka 60 Hana Nida hapo inakuwaje, Mali IA mwengewe

  • @tatoorashedi1787
    @tatoorashedi1787 Před rokem

    Tatizo mnaongea tu mngekuwa mnaonyesha mfano mkifukuza 5 .6 hawa wengine watajifunza

  • @AbdillahSOthman
    @AbdillahSOthman Před rokem +1

    Magufuli angetumbua zaman hao jamaa.

  • @mayranehemia9469
    @mayranehemia9469 Před rokem +1

    🙏🙏🙏🙏

  • @rabwarab574
    @rabwarab574 Před rokem

    Nawaheshimu wabunge wote wanaopita ktk majimbo yao bila kupingwa mfano waziri mkuu kassim majaliwa na Hayati Jpm na profesa Mwandosya hawana mba mba mba❤

  • @arthalesha5825
    @arthalesha5825 Před rokem +1

    Eti hawana tv😂😂

  • @MlelwaErasmo
    @MlelwaErasmo Před 10 dny

    Wazili. Mkuu safisana.

  • @sanauswahilimovies
    @sanauswahilimovies Před rokem

    Bonyeza hapa kutazama filamu mpya za bongo movie

  • @kennbleirmboya9700
    @kennbleirmboya9700 Před rokem

    tz kikubwa uzima

  • @alibushiri4725
    @alibushiri4725 Před rokem

    Namkubali wazir mkuuu kuliko mama

  • @MjuniJeremiaStephanoZaka-nu8dj

    Tuna imani na wazuri wetu mkuu alistahili kuwa raisi wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania

  • @MlelwaErasmo
    @MlelwaErasmo Před 10 dny

    Ulifaa. Kuwa rais. Inafaa 5:37

  • @hapietz
    @hapietz Před rokem

    All

  • @matukutajuma156
    @matukutajuma156 Před rokem

    HONGERA MSAIDIZI WA MH RAIS UNAELEWEKA!! KUMAliIZIA RUSWA ITISHA KURA YA SIRI MUHIMU KUBAINI!

  • @noahlameck1564
    @noahlameck1564 Před rokem

    Mbona sijamuona baba levo akiongea apo kariakoo

  • @allykihambwe6690
    @allykihambwe6690 Před rokem

    Mh,waziri mkuu jambo Hilo TRA nitabia Yao raisi ameagiza wafanyabiashara wanaoanza biashara wasilipishwe Kodi laki jambo Hilo halitekelezwi mpaka Sasa kwani Kuna kampuni imesajiriwa ivi karibu I MWEZI wa tatu hata kazi haijaanza imepipishwa Kodi ningepata nafasi ya kukuona ningekuletea ushahidi wa Kodi tuliyolipa kabla ya kufanya kazi.

  • @jacklinelucas
    @jacklinelucas Před rokem +1

    Hapa nyinyi TRA wezi wakubwa nasasa kuna kamat imeundwa muangalien msije mwagiwa chakula chaa watoto wenu Wazazi wamewasomesha mnataka kuharibu kazi angalien

    • @jacklinelucas
      @jacklinelucas Před rokem

      Mnatubana sana na mtahamiswa hapo

    • @DavidMbwilo-qk1bz
      @DavidMbwilo-qk1bz Před rokem

      TRA nawachukiaa sana kinachowaponza ni maisha ya starehe wanayoiga ndio maana wanakosa uadilifu katika kazi

  • @neemamuro8001
    @neemamuro8001 Před rokem

    Waziri kwasasa tunatwangia maji kwenye kinu. Tangu Magufuri afe walarushwa wamepewa nafasi tena. Hawana wakuwakemea. Mbona wakati wa Magu hayakuwepo?.

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 Před rokem

    Mama Samia kwani anasemaje kuhusu mwigulu

  • @LukasMamuya-ub1ot
    @LukasMamuya-ub1ot Před rokem

    Mzee nimekuelewa

  • @ashahassan2120
    @ashahassan2120 Před rokem

    Hyu ndo anapajua raisi jamani

  • @marymremi1051
    @marymremi1051 Před rokem +1

    Mungu mkubwa mie wakati wa kitilya nilizuiwa contena la toi likazuiwa na ikawa mwisho wa biashara

  • @jacksondavid6854
    @jacksondavid6854 Před rokem

    bonge lakiongozy

  • @masikitikomwakyonde1259
    @masikitikomwakyonde1259 Před rokem +1

    Dah ila waziri huyu anapiga kazi ongera sana Mzee najua kutetea Haki ni kazi sana MUNGU aendelee kukulinda

  • @charlesmanase4507
    @charlesmanase4507 Před rokem

    Basi awe rais tu

  • @abdulhakeem959
    @abdulhakeem959 Před rokem

    KUNA JAMAA LIMESIMAMA NYUMA YA WAZIRI MKUU,NALIGANANISHA NA ROBOTI MVU LA MAREKANI

  • @godymbanyi1878
    @godymbanyi1878 Před rokem +2

    Mheshimiwa Waziri Mkuu, hawa wafanyabiashara msiwalegezee kila kitu! Wana mambo mengi yanayokosesha serikali mapato. Wasionewe lakini nao wawe waungwana na wakweli! Biashara zimejaa ujanja mwingi.

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 Před rokem +2

    Wafanyabiashara ni wajanja sana inabidi kuwa making wafanyabiashara wengi hawana maduka na wanauzia kwenye stop na tra wakienda kwenye duka wakifanya assement anonekana anabiashara ndogo wakati Biashara anafanyia stoo

  • @soniaemmanuelmataro9414

    Na simu wanazotupigia ni kero,

  • @HusseinSaguti
    @HusseinSaguti Před rokem

    Niko tayali

  • @rehemarwanda6039
    @rehemarwanda6039 Před rokem

    TRA MJIPANGE UPYAA

  • @menaldmbilinyi3518
    @menaldmbilinyi3518 Před rokem

    Chekeni

  • @ThomasSanga-eo8db
    @ThomasSanga-eo8db Před 5 dny

    Saf

  • @samyspesho1698
    @samyspesho1698 Před rokem

    WANASIASA WANAFKI SANA

  • @masikitikomwakyonde1259
    @masikitikomwakyonde1259 Před rokem +1

    Viongozi wetu ni jeuri tu kweli kabisa ni agizo tatizo viongozi wanajifanya Miungu watu

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw Před rokem

    Wapo Kwa ajili ya mifuko Yao na advantage ni Kwa kuwa wananchi hawana elimu ya Sheria hizo Sheria haipo kwengine duniani wanajua Sheria.

  • @frankmwakalinga7455
    @frankmwakalinga7455 Před rokem +1

    ❤ Hongera sana waziri mkuu kwa busara zako na hekima zako
    God bless you 🙏🙏🇹🇿

  • @christinagervas2134
    @christinagervas2134 Před rokem +1

    06:04 "waziri mwenye dhamana na wizara yake, makamu wa rais w/mkuu na raisi wakitoa maelekezo kwa mamlaka chini yao ni agizo"
    Then tunategemea Mwigulu aache kutoa matamko ya kukandamiza raia kupitia mamlaka zilizopo chini yake mfano hao TRA Ilihali washasema tamko la waziri ni agizo?

  • @godymbanyi1878
    @godymbanyi1878 Před rokem

    Tufuate sheria.

  • @NRI_1
    @NRI_1 Před rokem

    TRA و ZRB ، الهجرة كلها أكثر الناس تقيدا في تنزانيا

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 Před rokem

    Polisi hawahusiki kukagua wafanyabiashara , kuna sheria kandamizi.