DADA MARRY vs DC MAGOTI: AMTWANGA MASWALI MAZITO - ''NIKALALAMIKE MSUMBIJI? TUNASAHAULIKA''...

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 08. 2024
  • DADA MARRY vs DC MAGOTI: AMTWANGA MASWALI MAZITO - ''NIKALALAMIKE MSUMBIJI? TUNASAHAULIKA''...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 88

  • @YusufSasamalo-uz4ii
    @YusufSasamalo-uz4ii Před měsícem +8

    Tanzania nchi nzuri sana,DC anaongea na wananchi in a very friendly way.hongera kwake

  • @user-yj3gy4jc1t
    @user-yj3gy4jc1t Před měsícem +5

    Mama ❤❤❤ chukua mauayoko🌹🌹🌹🌹

  • @yusuphchimwala4126
    @yusuphchimwala4126 Před měsícem +4

    Mama yuko vzr sanaaa 🎉

  • @shaban6644
    @shaban6644 Před měsícem +4

    DC Magoti Mungu azidi Kukupa Hekima,

  • @Luvingadecoration
    @Luvingadecoration Před měsícem +8

    Tena huyu ni mama mchumgaji nini 😂

  • @dilludillu2747
    @dilludillu2747 Před měsícem +4

    Smart

  • @janemcharo5371
    @janemcharo5371 Před měsícem +7

    Mama mchungaji😂😂😂😊

  • @sadikidaudi460
    @sadikidaudi460 Před měsícem +6

    Huyu dada muuliza maswali alindwe pia ataftiwe nafasi yauongozi nijasiri pia anauchungu namkoa wake pia Kunamama kakaa meza kuu anakitambaa cha njano maneno ya mwanamke mwenzie yamemuuma

  • @abidandastanmaliyatabu1373
    @abidandastanmaliyatabu1373 Před měsícem +9

    Huyu agombee udiwani, atapita bila upinzani; ikiwezekana atafute jimbo agombee ubunge

  • @adammwita3150
    @adammwita3150 Před měsícem +1

    Huyu ni miongoni mwa viongozi wazuri nchini wanaweza kuacha alama, Mungu akulinde.

  • @Luvingadecoration
    @Luvingadecoration Před měsícem +4

    Yan kuna wanachi wanaakili jaman huyu dada Yuko vizur hatar

  • @ally_tz96
    @ally_tz96 Před měsícem

    Udada ajengewe sanam apo kisalawe 🎉🎉

  • @chandeyusufu9570
    @chandeyusufu9570 Před měsícem +4

    Dada mashaallah upo vizuri

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 Před měsícem +5

    DC siyo kweli kwamba Hakuna nchi nzuri kama Tanzania eti kwa sababu kuna majirani wanalisha wenye njaa😂

    • @hamisimuhunzi7916
      @hamisimuhunzi7916 Před měsícem

      Rais hajaleta pesa bali walipa kodi ndio wameleta fedha kupitia kodi zao zilizotoka hazina..Samia hana pesa za kujenga barabara

    • @mataypanga5262
      @mataypanga5262 Před měsícem

      Hongera sana kwa uelewa​@@hamisimuhunzi7916

  • @godfreymwikola8232
    @godfreymwikola8232 Před měsícem

    Siasa

  • @DaimaNyakunga-jb6do
    @DaimaNyakunga-jb6do Před měsícem +1

    Mungu fundi

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula Před měsícem +2

    Kabisa kisarawe imesahulika

  • @alipipijimmy7605
    @alipipijimmy7605 Před měsícem

    SAFI KAKA MAGOTI DC MUNGU AKUBARIKI SANA HONGERA SANA KWA KAZI NZURI

  • @georgelusinde4972
    @georgelusinde4972 Před měsícem

    MAGOTI UKIMCHUKUA HUYU DADA KAMA MTENDAJI WAKO, HAKIKA HATA KUANGUSHA' MUNGU ANANISHUHUDIA KUA HUYO DADA NIKIONGOZI MTENDAJI🙏

  • @lukomanomaliki5442
    @lukomanomaliki5442 Před měsícem +1

    Kisarawe imesahaulika kweli.Lakini mtoto wake Mkuranga inazidi kuendelea kuliko mzazi wake.Huyo Jafo ni mbunge wa siku nyingi lakini anashindwa kufanya harakati za kutosha za kuleta maendeleo. Akijaa kugombea CCM oyeee.Shame with us.

  • @consolataaloycemgumba3735
    @consolataaloycemgumba3735 Před měsícem

    🎉

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 Před měsícem +2

    Wandali na Wanyakyusa siku zote ufahamu wao uko juu.

  • @yusuphibrahim-yq9mv
    @yusuphibrahim-yq9mv Před 24 dny

    Huyu maneno yake kintu hongera unafaa kua mbunge

  • @user-lh5nv8lo8f
    @user-lh5nv8lo8f Před měsícem +1

    Mh! Mama Samia!

  • @Official83640
    @Official83640 Před měsícem +1

    Asante mwanamke mwenzetu Jafo hafai kuwa kiongozi Wallah yaani kwao kupo km mkoani vijijini

    • @shijaenock7638
      @shijaenock7638 Před měsícem

      Kwan pwan siyo mkoan? Ni wapi asa au maana ya kusema mkoan huwa unaelewa nn ndgu yetu kisarawe siyo kijijn

    • @Official83640
      @Official83640 Před měsícem

      @@shijaenock7638 Sasa Kisarawe anatoka Waziri ndy kuwe km vile na ww ht Mkuranga vijijini kuzuri

    • @MlingaSawack45
      @MlingaSawack45 Před měsícem

      Mama ingia m4c hapo hapo hata kama elimu hakuna mbn akin msukuma wako bungeni

  • @fransicmushenyera9302

    unatibu maria.sugu sawa ebutibu mgogoro wa kazimzibwa na wananchi wa DSM tumedhurumiwa aridhi yetu

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 Před měsícem +2

    Hapo injili inaweza kuwaka mapepo yakatoka kwaa jina la Yesu.

  • @user-rn9og1rk3l
    @user-rn9og1rk3l Před měsícem +2

    Huyu binti agombee ubungee

  • @jordanmwamlima7579
    @jordanmwamlima7579 Před měsícem +6

    Mhe.Rais hajaleta hela bali ameidhinisha hela ziletwe huko bwana DC...achaneni na sifa nyingi baadala yake tuisaidie nchi.

    • @AndreaMtitu
      @AndreaMtitu Před měsícem +1

      We mwache dc afanye kazi una ongea nn ww

    • @jordanmwamlima7579
      @jordanmwamlima7579 Před měsícem

      @@AndreaMtitu Shits ain't for me, but only sense are for me.

  • @camilomassao8971
    @camilomassao8971 Před měsícem

    She can be a politician!

  • @bulugubujashi6378
    @bulugubujashi6378 Před měsícem +4

    Huyu mama ni mwinjilist

  • @SaimonMoren-vw8ys
    @SaimonMoren-vw8ys Před měsícem

    Huyu dada apewe zawadi kabisa

  • @user-mf2ll7nz5g
    @user-mf2ll7nz5g Před měsícem +4

    Huyu mama anafaa kuwa Mkuu wa wilaya

    • @joshuamsaki7734
      @joshuamsaki7734 Před měsícem

      Upo sawa kwanza anajiamini,anafaa kuwa kiongozi anatakiwa kubustiwa kidogo atakuwa mtambo,washauli wa mkuu wa wilaya muangalieni huyo mama kwa jicho la tatu.

  • @constantinochalle856
    @constantinochalle856 Před měsícem

    Big upo boss !

  • @renatusblandes1131
    @renatusblandes1131 Před měsícem +4

    Huyu dada ajengewe mnala hapo kisarawe

  • @Aminmwansile-we8vn
    @Aminmwansile-we8vn Před měsícem +1

    Huyo mama namkubali wanawake wa mbeya wanaakili kupita kiasi

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Před měsícem +5

    🤔Hii lugha ya wasaidizi kusema Mama kaleta wakati ni fedha za watanzania,inatia ukakasi mno!🤭. Hizi ni kauli za kisiasa zinazopotosha uhalisia na wajibu wa wananchi kugeuzwa kuwa wajibu wa mtu mmoja kufadhili nchi nzima!

    • @josayajohn7324
      @josayajohn7324 Před měsícem +1

      Utashi wa kurejesha fedha kwa mlipa kodi ni wakiongozi anayekusanya kodi.
      Anaweza amua kulipa madeni ya nje badala ya kujenga barabara

  • @AbubakaryMizora
    @AbubakaryMizora Před měsícem

    Sisi wapwani serikali imetudharau kila sekta elimu maji barabar

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd Před měsícem +2

    rais hana pesa pesa Nizenu nyinyi wananchi mama anapesa anafanya biashala ipi

  • @melvinkanje
    @melvinkanje Před měsícem +2

    Huyu Dada Anajua na Anaweza Apewe Kazi huyu

    • @GibsonNtamamilo
      @GibsonNtamamilo Před měsícem

      Mbona Kazi anayo mpaka sasa najua hana mme ila watoto anao hivyo kuwatunza tu ni kazi😂😂😂

  • @swahilitherapytv3846
    @swahilitherapytv3846 Před měsícem

    Kimeumana kudadeki 😅😅

  • @DaimaNyakunga-jb6do
    @DaimaNyakunga-jb6do Před měsícem

    Mnampongeza WA nn wakati anakataza mkaa na gesi yote warisha chukua mabeberu

  • @MkomboziMwachanga
    @MkomboziMwachanga Před měsícem +2

    dada huyo apewe ubunge

  • @barakaabel482
    @barakaabel482 Před měsícem

    Magoti lakini na wewe una mikwara inaonekana.

  • @yassinkimolo2943
    @yassinkimolo2943 Před měsícem +1

    Huyu DC muongo sana kama huna majibu ya uhakika na yakweli usidanganye watu

  • @sultankivumbi9255
    @sultankivumbi9255 Před měsícem +2

    Wazaramo na rami wap na wap

  • @sandaymgunyi6268
    @sandaymgunyi6268 Před měsícem

    anasitahili Ubunge

  • @prophetev.josephatfarasimw8445

    Huyo dada ni mbunge WA kisarawe akigombea apite

  • @BuddhimanerDhadha
    @BuddhimanerDhadha Před měsícem

    What man uses after he is established is his real character.😊😊😊😊😊😊😊😊😊

  • @josephjulio6112
    @josephjulio6112 Před měsícem +1

    Raisi hana hera kabisa mfanya kazi wetu hera anatoa ni za kwake au kodi zetu nyie ndio mnatakiwa mtushukuru sisi kwa kulipa kodi vizuri

  • @festoaidan8955
    @festoaidan8955 Před měsícem

    Naomba namba yake nimtumie hela

  • @mohamedkisenga6654
    @mohamedkisenga6654 Před měsícem

    Acha siasa ww Fanya kziuongo tuuu

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 Před měsícem +1

    Wekeni lami tuhamie huko. Huku Dar msongamano

  • @edwarddaniel7459
    @edwarddaniel7459 Před měsícem

    Wanawake wa mbeya wna iq kubwa sanaa,mh dc na comrade wangu najua utaliweka sawa mkuu

  • @jeremiahblazio4781
    @jeremiahblazio4781 Před měsícem

    Usiseme Hela ya Samia unatukosea wananchi sema Hela yenu walipa kodi

  • @dadamuebrania1539
    @dadamuebrania1539 Před měsícem

    Kwan yule mwanamuziki alihamishwa kisarawe?

  • @SylvesterAmbokile-ur2vd
    @SylvesterAmbokile-ur2vd Před měsícem

    Ongea kidogo usirefushe sana kuna wengi wanataka kuchangia.

  • @user-yj4iw6pg8u
    @user-yj4iw6pg8u Před měsícem +1

    Huyo chadema

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 Před měsícem +1

    Mama una nguvu