Jamani mheshimiwa waziri tunashkuru kwa kazi yako iliotukuka mheshimiwa karibu na mara huku wilaya ya rorya ndo kuna mambo ya ajabu watu kukandika makaburi na kuweka makazi na kuanzisha migogoro ya ardhi tunaumia
Waziri pls tushugulikie viwanja vya safari city arusha vipimwe kwa watu maana vimechanganyana watu wanataka kujenga lakini haiwezekani mpaka vipimwe tena
TUNAKUOMBA PIA UJE TANGA NYUMA YA STENDI YA MKOA NA YA MALORI VIWANJA TULITOLEWA KULEE JAPANI KWA AJILI YA KUPISHA BANDARI KAVU TUKALETWA HAPA SASA HATUELEWI TUNAOMBA MSAADA WAKO
DDDAAAAHHHH
HONGERA SANA WAZIRI SLAA
Uyu waziri namukubali sana mungu amulinde sana .raia wata nufaika!Allah mulinde kiongozi wewe.?
Waziri mtu wa haki sana, lakini mleta habari mbabaishaji, Dua mara mbili!!!
Tumekwambia kuwa huku amboni mwekezaji auza ardhi yetu unefika hakuna ukichofanya sijui ukifumba macho 😂😂😂😂
Jamani mheshimiwa waziri tunashkuru kwa kazi yako iliotukuka mheshimiwa karibu na mara huku wilaya ya rorya ndo kuna mambo ya ajabu watu kukandika makaburi na kuweka makazi na kuanzisha migogoro ya ardhi tunaumia
Waziri pls tushugulikie viwanja vya safari city arusha vipimwe kwa watu maana vimechanganyana watu wanataka kujenga lakini haiwezekani mpaka vipimwe tena
TUNAKUOMBA PIA UJE TANGA NYUMA YA STENDI YA MKOA NA YA MALORI VIWANJA TULITOLEWA KULEE JAPANI KWA AJILI YA KUPISHA BANDARI KAVU TUKALETWA HAPA
SASA HATUELEWI TUNAOMBA MSAADA WAKO
Kweli nimeamini tanga ni giza 😢😢😢😢