WAZIRI SILAA ASURUHISHA MGOGORO WA SHIRIKA LA NYUMBA NHC NA NA KITUO CHA AFYA | WAMUOMBEA DUA NZITO.

Sdílet
Vložit

Komentáře • 8

  • @samorajama8833
    @samorajama8833 Před 13 dny

    DDDAAAAHHHH
    HONGERA SANA WAZIRI SLAA

  • @allykama3352
    @allykama3352 Před 16 dny

    Uyu waziri namukubali sana mungu amulinde sana .raia wata nufaika!Allah mulinde kiongozi wewe.?

  • @oscarmtavangu3053
    @oscarmtavangu3053 Před 16 dny

    Waziri mtu wa haki sana, lakini mleta habari mbabaishaji, Dua mara mbili!!!

  • @user-ej5sl9mn5k
    @user-ej5sl9mn5k Před 12 dny

    Tumekwambia kuwa huku amboni mwekezaji auza ardhi yetu unefika hakuna ukichofanya sijui ukifumba macho 😂😂😂😂

  • @AbdonAkiri
    @AbdonAkiri Před 16 dny

    Jamani mheshimiwa waziri tunashkuru kwa kazi yako iliotukuka mheshimiwa karibu na mara huku wilaya ya rorya ndo kuna mambo ya ajabu watu kukandika makaburi na kuweka makazi na kuanzisha migogoro ya ardhi tunaumia

  • @user-ml5tq8hj2x
    @user-ml5tq8hj2x Před 16 dny

    Waziri pls tushugulikie viwanja vya safari city arusha vipimwe kwa watu maana vimechanganyana watu wanataka kujenga lakini haiwezekani mpaka vipimwe tena

  • @samorajama8833
    @samorajama8833 Před 13 dny

    TUNAKUOMBA PIA UJE TANGA NYUMA YA STENDI YA MKOA NA YA MALORI VIWANJA TULITOLEWA KULEE JAPANI KWA AJILI YA KUPISHA BANDARI KAVU TUKALETWA HAPA
    SASA HATUELEWI TUNAOMBA MSAADA WAKO