VILIO NA SHANGWE KARIAKOO:MBUNGE WA ZAMANI ATOLEWA GHOROFANI, WAZIRI SILAA ATOA UAMUZI "WARUDISHIWE"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 15. 05. 2024

Komentáře • 90

  • @rosemaryhyera6164
    @rosemaryhyera6164 Před 17 dny +6

    Hongera sana Waziri,unajua kazi yako vema,Mwenyezi Mungu akulinde na kukufadhili kwa kutenda haki,tena kisheria si kwa mawazo yako na ushirikishaji kwa walalamikaji na walakamikiwa.

  • @user-bq5pr5rk3j
    @user-bq5pr5rk3j Před 16 dny +3

    Mashallah viongozi kama Hawa ni wachache sana , mungu amlinde , ampe afya njema na ambariki katika kazi yake na atimize malengo yake

  • @KassimHanga-xr7rb
    @KassimHanga-xr7rb Před 18 dny +17

    Tunahitaji viongozi kama Hawa Mungu wanusuru na awalinde Amin

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 Před 17 dny +6

    Mungu akutunze waziri wngu mpedwa nakuombea afya njema na kila la her kaka

  • @MikidadiChande-wh4ur
    @MikidadiChande-wh4ur Před 17 dny +3

    Afande anatingsha kichwa kuonyesha anaelewa 😂

  • @alfredymalata269
    @alfredymalata269 Před 11 dny +1

    HUKU MAKONDA KULE SILAA 🔥🔥🔥

  • @Josephineexsuper
    @Josephineexsuper Před 17 dny +3

    Safiii. Hii kesi ilikaa sana..mbunge alipapata hapo kiujanjaujanja

  • @annamwakibinga527
    @annamwakibinga527 Před 15 dny +1

    Duh mpaka umezeeka mbunge wangu. Mungu akusimamie

  • @JK-uq1tv
    @JK-uq1tv Před 17 dny +21

    Hii wizara mpaka imemfanya Silaa awe Mzee

  • @innocentsisti9556
    @innocentsisti9556 Před 17 dny +6

    Akili ya huyu mwamba it's extra ordinary

  • @sein.208
    @sein.208 Před 18 dny +12

    Mtangazaji upo vizuri brother keep it up 💪

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt Před 15 dny +1

    Ooh Allah wajaalie kila wenye haki zao wapate haki zao hakika ya dunia ni mengi na yanachosha

  • @ttss7716
    @ttss7716 Před 17 dny +2

    Kenya ndo kitu kinaendelea kudhulumu watu we yetu walikuwa waona hatuna kakitu wakituangalia walishanga fery walibaki mdomo wazi kweli kabsa mkionekana hamna lolote ndo wana wadhumu thulma haidumu😢😢😢

  • @CristinLyanga
    @CristinLyanga Před 11 dny +1

    Katika watu ninaowakubali kwa kuchapa kazi na kutenda haki ni Waziri Jery silaa,Makonda,Msukuma na Kishimba only wengine bad mnazingua.

  • @user-hs7vq1jo2q
    @user-hs7vq1jo2q Před 17 dny +2

    Mungu akubariki sana wewe baba

  • @jakayajuma9867
    @jakayajuma9867 Před 18 dny +9

    Katika kesi zimeamuliwa vizur hii ni ya kwanza dunian

  • @lionofjudahtv8796
    @lionofjudahtv8796 Před 17 dny +3

    Huyu sauli ni dhulumati sana jengo la Zambezi mbeya

  • @rasheedmbaraka7199
    @rasheedmbaraka7199 Před 17 dny +8

    Kuna afande kule nyuma yy anatikisa kichwa tu..haha

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver6541 Před 16 dny +1

    Huyo jamaa ni zaidi ya kiongozi yup vizur sana

  • @samwelnaal7952
    @samwelnaal7952 Před 17 dny +3

    Silaa tangu awe waziri wa hii wizara mpaka nywele zimebadilika rangi😂😂

  • @karimjuma4019
    @karimjuma4019 Před 17 dny +2

    Jengo hili mussa ndio ttzo hapa yule jamaa muuza viatu ndio aliesababisha nyumba kuuzwa ,ila mungu amjibu maombi yao

  • @user-ky7mz7qh1o
    @user-ky7mz7qh1o Před 18 dny +13

    Uyuu slaaa ni hatari mungu amtunzee😊

  • @michaelbwoma2760
    @michaelbwoma2760 Před 17 dny +2

    Safii kabisaaa aisee

  • @georgejokimos625
    @georgejokimos625 Před 11 dny

    Mbona viongozi wengine hawatembelei wananchi jmn, hivi ndivyo mawaziri wanatakiwa kuwa

  • @RoseMshana-pm8op
    @RoseMshana-pm8op Před 17 dny +3

    Huyu waziri anafanya kazi nzuri sanaaaa , mungu akulinde

  • @user-wu1oo1ro3k
    @user-wu1oo1ro3k Před 18 dny +4

    very good

  • @ngambikomsu64
    @ngambikomsu64 Před 4 hodinami

    Si ndio utamaduni wa serikali ya CCM au wanezuiwa haki yao na CHADEMA wanatengeneza migogoro wenyewe na watendaji wake alafu mnashangilia pyuuuuu

  • @LaizerLogoloi
    @LaizerLogoloi Před 10 dny

    Waoow uko powa wasiri

  • @mlwalegeofrey5792
    @mlwalegeofrey5792 Před 18 dny +1

    Mungu amupe maisha marefu

  • @Bilioneabichwa331
    @Bilioneabichwa331 Před 12 dny

    Mbunge wa zamani

  • @IbrahimShan-qu3um
    @IbrahimShan-qu3um Před 15 dny

    Mungu aku2nze sana mkuu🙏

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 Před 11 dny

    Hivi haya pia mnafanyiwa na Wazanzibar?

  • @KUPAZAVOICE-uc8ko
    @KUPAZAVOICE-uc8ko Před 17 dny +1

    SASA PAMOJA NA PONGEZI NYINGI SANA KWA MH SLAA, NAWAIBIA SIRI TU HAYA MADUDU YAPO KWENYE MAMBO TOFAUTI NCHI NZIMA MAWAZIRI WOTE WANGEINGIA FRONT KAMA HUYU AU KAMA HAWA (MAKONDA) NCHI INGEKUWA SAFI SANA. MUNGU ATUONGOZE VYEMA KWENYE KUTEKELEZA MAJUKUMU HAYA.

  • @jakayajuma9867
    @jakayajuma9867 Před 18 dny +3

    Very good job lakin mambo ya kubomoa nyumba za watu mm sikuyapenda kabisa

    • @mussamussa9446
      @mussamussa9446 Před 17 dny +2

      We umependa wanavyodhulumu maeneo ya watu sio

    • @agapemunyi2095
      @agapemunyi2095 Před 17 dny

      Mzee kuna sehem jibu lilonyooka ni kubomoa kinachowagombanisha ,hzo ni zege Tu kama hakuna Aman

  • @JumaOmar-ku6cr
    @JumaOmar-ku6cr Před 18 dny +7

    Mtangazaji unazingua wacha tusikie wenyewe

  • @marthaswai1185
    @marthaswai1185 Před 14 dny

    Hongera Waziri. Uko vizuri mno

  • @HussainMaula-wr5co
    @HussainMaula-wr5co Před 17 dny +1

    Maaskari kama hawa wanafaa sana anamsikiliza kwa umakini mh waziri kamanda apewe maua yake

  • @user-ny2fu8bu2u
    @user-ny2fu8bu2u Před 14 dny

    Ongela sana baba mwanangu mungu atakusimamiya mana akuna aneyekysema mabaya

  • @sumakibonde5152
    @sumakibonde5152 Před 17 dny +1

    Jamani, Nampataje waziri huyu, kuna tajiri amekalia plot yangu kwa nguvu huko Dodoma?

  • @wilbardvalerian6556
    @wilbardvalerian6556 Před 17 dny +7

    Mh Rais SSS,Mh waziri wa Ardhi,J. Silaha (mb),namuombea aongezewe ulinzi,anafanya kazi nzuri Sana kwlkwl
    0:44

  • @mudhihirissa274
    @mudhihirissa274 Před 15 dny

    Waziri wa maji mh:Awaso muige huyu j slaa wizara imejaa hujuma hasa huku mbezi malamba mawili sehem nyingi maji hakuna

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 Před 14 dny

    Nazidi kujifunza.sijutii kuweka bando langu kutazama videohii

  • @braitonilomo1635
    @braitonilomo1635 Před 17 dny

    ukovzr mweshimiwaa

  • @user-wu1oo1ro3k
    @user-wu1oo1ro3k Před 18 dny +2

  • @FredMwamgogwa-td6ni
    @FredMwamgogwa-td6ni Před 17 dny +1

    Huyu ndio waziri bora na waziri mkuu na biteko wengine wanadimba tuu

  • @AbuuFarhaan-ri2yj
    @AbuuFarhaan-ri2yj Před 17 dny

    Mzee wa white tshirt

  • @abdul-azeezmagram4973
    @abdul-azeezmagram4973 Před 13 dny

    Kama umrona askari anamuelewa waziri tujuane😊

  • @user-to4ki3db3j
    @user-to4ki3db3j Před 18 dny +2

    Toka na sauti lako bhana hapa 😢😢😢😢😢

  • @maidimples8236
    @maidimples8236 Před 17 dny

    Huyu SH amon ni amezidi na kwenye kesi haji anadharau hatari

  • @LusajoKabuka
    @LusajoKabuka Před 17 dny

    Ndo wamebaki na makonda na silaha kwani uongo kazi Yao tunaiona hata iweje ccm acha kuchongea

  • @frankvianey2438
    @frankvianey2438 Před 15 dny

    Miaka 26?

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 Před 18 dny +4

    Hivi akina lukuvi na yule mama anajihita dokta macula walikuwa wanafanya kazi gani

  • @ip_header
    @ip_header Před 17 dny

    Kodus Mh Wazir Slaa

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 Před 17 dny

    1/7 na 6/7 ndio vipi? Nifahamishe i

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Před 18 dny +2

    Hasara ya kuuza ndio hii

  • @user-tm3jl4yx9f
    @user-tm3jl4yx9f Před 17 dny

    Mawazir wa vtengo vngne wanasubili nnnnnnnn hau hawapo?

  • @uredmwasembo8579
    @uredmwasembo8579 Před 17 dny +1

    Katika teuzi bola za mama bola ukimtoa makonda anaye fwata ni wazili uyu Yani awa wawili wanafanya kazi nzuli sana

  • @user-bl4sy5ei1k
    @user-bl4sy5ei1k Před 16 dny

    Mjinga ni mjinga tu hao wakipewa hilo jengo watauza muda sio mre´fu ninawapa miezi sita baada ya kupewa

  • @user-wu1oo1ro3k
    @user-wu1oo1ro3k Před 18 dny +2

    very good

    • @user-kr2qr8vx1x
      @user-kr2qr8vx1x Před 17 dny

      Nikushukuru wazili sraa Kwa hekima Yako...ujamuonea mtu..umempa heshima mzee na mzee sauri pia...mungu akusaidie kwani Dunia inapita...sisi kama waamgaikaji tumetoka mbali na sauri Kwa kusaidia watu kiajira...na mzee nae najua kasaidia kasaidia wengi...mungu awafanyie njia hata pasipo njia...bigap sana wazili Kwa hekima...mungu atakulipa Kwa kutenda haki bila kumwasili mtu.