VURUGU WADUDU WAFUNGA BARABARA ARUSHA, WAZUIWA KUFIKA NYUMBANI KWA MWENZAO ALIYEFARIKI.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 16. 05. 2024

Komentáře • 346

  • @gililwise
    @gililwise Před 29 dny +68

    Serikali msipothibiti hawa wadudu tutaangamiza taifa LA kesho

    • @hamisombali8545
      @hamisombali8545 Před 29 dny +13

      kabisa brother yani ujinga huu faida yake nini sasa

    • @noahmadali7150
      @noahmadali7150 Před 29 dny

      Kizazi kimeisha huko

    • @user-ly9us4db3m
      @user-ly9us4db3m Před 28 dny +1

      Kweli kabisa mm pia siwapendi kabisa hawa wadudu mwisho watakuwA majambazi hao yaani hili tatizo lizibitiwe mapema kabisa jamani

    • @rosetreffert4179
      @rosetreffert4179 Před 28 dny +3

      Vichaa tu upuuzi mtupu Mira mingi na bangi

    • @deogratiusyudatadei5658
      @deogratiusyudatadei5658 Před 28 dny +4

      Ww Linda watoto wako serikali hailei watoto tabia ya mtoto kuwa nzuri au mbaya ni malezi ya wazazi na siyo magengee mm nimeishi Arusha zaidi ya miaka 10 nanina marafiki vibaka waizi wauza madawa nakila uchafu hata hao wadudu Nina marafiki zangu lakini mbn sipo kwenye hayo magengee situmiee chochote lea watoto wako

  • @kingwandeinvestment8002
    @kingwandeinvestment8002 Před 29 dny +64

    içhi kizazi kitakuja kuigharim serekali niko paleee

  • @user-gy5en6cy8o
    @user-gy5en6cy8o Před 29 dny +33

    Huu ni ujinga wa hali ya juu ikomeshwe mara moja

    • @fatihiyadossa375
      @fatihiyadossa375 Před 29 dny +3

      Ningumu Kwa chuga

    • @personpeter2221
      @personpeter2221 Před 29 dny

      ​@@fatihiyadossa375Serikal haijawahi shindwa ktu ww panya road wako wap hapa bongo hebu wakamatwe kama watu 10 wale vchwa vbovu uone kama haitakuwa

    • @ziadasalimu1730
      @ziadasalimu1730 Před 29 dny

      Kwanini ni ngumu Kwa chuga Wana Nini hao si vichaa tu wapelekwe lutindi , wenzao panyarudi wapo wapi unaona walivyo uliwa km kuku,hao pia wawamaliza ​@@fatihiyadossa375

    • @ziadasalimu1730
      @ziadasalimu1730 Před 29 dny

      Makonda umeoelekwa kwenya kuongozwa vijana vichaa hao

    • @mwitaagness455
      @mwitaagness455 Před 28 dny

      Serekali inaendekeza ujinga, hawahawa ndio tatu mzuka nawaeleza, km makonda aliweza kuzuia panya road, please komesha hii kitu jamani😢😢😢

  • @Khmy54
    @Khmy54 Před 28 dny +6

    Chepe zipo tutamfukia kwa chepe tutamfukia mwana kwa chepe, ww fukia kwa mkono tukukamate hatukuachi😂😂😂wapuuz sana hawa wanaiona nchi yao au

  • @ChinaBoy-jh8bm
    @ChinaBoy-jh8bm Před 27 dny +2

    Poleni sana wadude wa arusha kwakumpoteza mojawenu natuma ujumbe kutoka Somalia

  • @chikujuma18
    @chikujuma18 Před 29 dny +23

    Bodaboda ni shida kwa kweli hata kama ushirikiano sio sitaili hizo wote ni bange tuu

  • @anethmtei2912
    @anethmtei2912 Před 29 dny +42

    Serikali isiruhusu vitu kama hivi. Ni ujinga uliopitiliza serikali ikomeshe huu ujinga

    • @user-zs4qz4wm2n
      @user-zs4qz4wm2n Před 29 dny +1

      Umesema sawa kabisa

    • @user-mi7cd8ch1b
      @user-mi7cd8ch1b Před 29 dny +1

      Hawa watu wa Arusha hawana hakiri kabsha

    • @user-zs4qz4wm2n
      @user-zs4qz4wm2n Před 29 dny

      @@user-mi7cd8ch1b ndiyo alafu wanaona ni ujanja ni ushamba na upumbavu kabisa vijana wa hovyo kabisa

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari Před 29 dny

      ​@@user-mi7cd8ch1bwashamba wanajifanya maganster

    • @damasmarungu2520
      @damasmarungu2520 Před 28 dny +1

      Embu fateni mambo yenu bhna umeona mtu wa arusha analalmik kwani

  • @xxxl-jf2ji
    @xxxl-jf2ji Před 29 dny +9

    Upumbavu mtupu hawana hata iman ya mungu khaaa

  • @user-ny7oq2oy8r
    @user-ny7oq2oy8r Před 29 dny +10

    Makonda kazi anayo😂

  • @josephatjoseph1755
    @josephatjoseph1755 Před 28 dny +2

    Lait mwenzao angeamka akawaambia kinachompata huko wange acha huo ujinga

  • @auntmakochela4202
    @auntmakochela4202 Před 9 dny

    Hivi Arusha wana Dini kweli 😢😢😢😢 SubhannaAllah

  • @FrankMushi-cs5js
    @FrankMushi-cs5js Před 29 dny +9

    Aseee noma sanaaa

  • @Hamy1109
    @Hamy1109 Před 29 dny +14

    Hawa washamba wanatakiwa wadhibitiwe wote tuondokane na kizazi cha ovyo kama hicho. Mamlaka zipo wapi!?

  • @kilogreekachananawatuwasio4054

    MIMI BONGO NAMINI HAWA WATOTO WA ARUSHA UWAONE IVI TU MAKATILI WAKIONGEA KAMA WAJINGA LAKINI WACHA TU DANGEROUS PEOPLE ARUSHA BOYS 😂😂😂😂

  • @mboneamalaki5674
    @mboneamalaki5674 Před 29 dny +6

    Mungu ponya kizazi hichi

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
    @RubenMtuwaMungu-bz8ee Před 29 dny +7

    Wadudu maana yake nini? Kwanini tusiwe na kizazi kitakatifu chenye upendo, furaha na amani? Aina hii ya maisha hata tukikubali ni sawa na kukubali kuishi na bomu ndani ya nyumba. Biblia inasema hakuna amani kwa wabaya asema Mungu wangu.

  • @thebios2553
    @thebios2553 Před 29 dny +10

    Washamba wanapewa airtime aisee Yani ni upuuzi na Bado wakiendelea na akili izo watauzulia sana mazishi hamna hata mwenye helmet uendeshaji wa hovyo

  • @user-kw7ew1fu2w
    @user-kw7ew1fu2w Před 28 dny +1

    Laa makubwa Pole Sana RC. Kazi Unayo.

  • @manp9091
    @manp9091 Před 29 dny +6

    Iyo ni shangwe ya kumpoteza mwenzao na sio uzuni

  • @USAIDforHomelessPeopleOfUK

    WADUDU are all British Workers ✌️🇺🇸🗽

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 Před 29 dny +8

    Hafu mnaanza kusema ni wasaini na huku tayari ni mazezeta

    • @verombwambo3703
      @verombwambo3703 Před 29 dny +3

      Hapo ndio na Mimi nachoka jmn hakuna Cha usanii hapo ni uzombi tu

  • @leahmollel6589
    @leahmollel6589 Před 28 dny +1

    Yaani wanajeshi wangeruhusiwa kuondoa hilo kundi linalojiita wadudu! Ni wiki moja wanakuwa watu na siyo wadudu! Mungu warehemu watoto wetu😭😭

  • @williamuphilipo2120
    @williamuphilipo2120 Před 29 dny +4

    "Wadudu ni wanamziki wanachofanya ni sawa kabisa". Alisikika Mbunge mmoja akimpa taarifa Mbunge mwenzake aliyekuwa akichangia hoja Bungeni. Tafakari.

  • @user-qk4lx4hg7g
    @user-qk4lx4hg7g Před 28 dny +3

    Mmh serikali kuwrni makini haya malezi ya hawa vijana yatakuja kuwashinda baadae

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před 29 dny +2

    Hatari

  • @JosephMdam
    @JosephMdam Před 12 dny

    Watu wa Njiro na uku arusha duh kazi ipo😂😂😂

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870 Před 29 dny +3

    Poleni Sana nyote MWENYEZI MUNGU awape nguvu awapikanie awashindie awaweseshe vyema katika Jina la YESU KRISTO

  • @NuruJuma-zv3yz
    @NuruJuma-zv3yz Před 27 dny +1

    Wamarekani hivikaribuni watamtafuta kiongozi wao ili waanzishe bokoharamu tz wooooooooooooi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 Před 29 dny +4

    Hapo hapo kuna mijambaxi inapora ikiwa kwa pikipiki.

  • @gapserminja5215
    @gapserminja5215 Před 26 dny

    Poleni sana

  • @veronicathomas9422
    @veronicathomas9422 Před 28 dny +2

    Ipo sababu ya kutokuwatazama kwa macho ya furaha hili ni kaa la moto tunalipalia mwisho litasababisha moto mkubwa. Neema ya Mungu inahitajika kwa vizazi vyetu

  • @ausonjustinian4673
    @ausonjustinian4673 Před 29 dny +11

    Vijidudu vimewapanda kichwani. Serikal Serikali Serikali .... Mh aya...

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj Před 29 dny +12

    MAKONDA KAZI ANAYO ILA ATAFAULU TU PAMOJA NA CHANGAMOTO ZOTE

    • @MCNgakungaJunior
      @MCNgakungaJunior Před 29 dny +1

      AKITAKA KUWAWEKA KWENYE HOTPOT SEKUNDE TU

    • @DavalsonMarlony
      @DavalsonMarlony Před 28 dny

      ​@@MCNgakungaJuniorsyo chuga alyo yakta atayaacha ivyo ivyo

  • @robertnkaragano298
    @robertnkaragano298 Před 21 dnem

    Bangi Arusha imezidi aisee kuliko maeneo yote Tanzania hawa watu wadhibitiwe haraka sana, Serikali isiwachekee hawa vijana!!

  • @user-ui5xc6sb5m
    @user-ui5xc6sb5m Před 29 dny +1

    Tunae chule tunaletewa burungu 😂😂😂😂 welcome chunga jiji lenye huuni mwingi naluga tata

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g Před 29 dny +1

    Mmmmmh hiyo ongea yao puuuh

  • @SungesuAngelina-id4tj
    @SungesuAngelina-id4tj Před 29 dny +6

    Vijana wote wa Arusha wahamishiwe Somalia huko ndo wanaendana Nako huku Tz sio hadhi yao kwakweli,watanzani Gani Wana Fujo hivi? Aaaah😢

  • @hurumakaaya1150
    @hurumakaaya1150 Před 29 dny +7

    Hivi wadudu ni wakiume tuu?

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 Před 29 dny +6

    Pole sana Makonda Samia na waziri wa mambo ya ndani Masauni na police na mtakoma mtakavyopata aibu kama Taifa kwa kuipeleka Afcon Arusha ni bora mngepeleka Mwanza au Dodoma

    • @AnuaryShedafa
      @AnuaryShedafa Před 28 dny

      😂 dah kwakwer

    • @ashurakodd1589
      @ashurakodd1589 Před 28 dny

      Itapelekwa tu kwa taarfa Yako nyoo

    • @jamesmassawe4888
      @jamesmassawe4888 Před 25 dny

      Hii ni Arusha na hii ndo asili ya arusha sasa wewe unaehoji afcon mbona huulizii makao makuu ya afrika mashariki ni wapi?

    • @henryabby2681
      @henryabby2681 Před 22 dny

      Kama mwanga vile

  • @DOLALITV
    @DOLALITV Před 24 dny

    HAWA WADUDU, hii nchi mtakuja kunishukuru endeleeni kuwalea sana ni swala la Muda tu.

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Před 28 dny

    Mnawaendekeza sana hawa ohooo

  • @obedingilisho
    @obedingilisho Před 24 dny

    😂😂😂😂Wapuuzi ote awo

  • @NuruJuma-zv3yz
    @NuruJuma-zv3yz Před 27 dny +1

    Je akipatikana mwanasiasa akawapa Silaha nini ktatokea? asieziba Ufa atajenga ukuta

  • @athumaniamani9905
    @athumaniamani9905 Před 6 dny

    Wadudu ni wengi ila Kuna wadudu wengin ni kumbikumbi wale wenye mafuta mengi

  • @ernestsinje9700
    @ernestsinje9700 Před 29 dny

    ARUSHA VIBE

  • @easternyerembe7271
    @easternyerembe7271 Před 28 dny +1

    Arusha nchi ya wahuni

  • @trice_yanga
    @trice_yanga Před 29 dny +2

    dah ni huzuni Kwa kweli

  • @henrypeter1361
    @henrypeter1361 Před 29 dny +2

    Mbona simuoni makonda au kasaliti chama

  • @hasanimohamedi279
    @hasanimohamedi279 Před 29 dny +1

    daah makonda una kazi babaa

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard4031 Před 29 dny +1

    Huu ni umasikin wa akili roho na mwili baada ya miaka kumi huu ni mzigo kwa taifa😏😏😏

  • @givenessdavid3743
    @givenessdavid3743 Před 29 dny

    Makonda shikamoo. Kazi ni kubwa

  • @JosephIsack-eu4wu
    @JosephIsack-eu4wu Před 20 dny

    Bado amjasema

  • @PatrickMwamba289
    @PatrickMwamba289 Před 26 dny +2

    Tanzania kuna mambo mengi mabaya anaendelea...Harmonize anatumia uchawi kwenye Sanaa kuharibu kazi za Diamond Platnumz youtube ..Basata ⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️

  • @JosephM.meiliari
    @JosephM.meiliari Před 28 dny

    Hivi hawa viongozi mnaounga mkono hawa wavuta bangi mnategemea tunaelekea wp?

  • @WillisonMkumbo
    @WillisonMkumbo Před 22 dny

    Waddudu ,lini wataitwa wanyama¿

  • @EmmanuelLekasango-rt1qx

    Nimbayaaaaaa😂😂😂tuuuu

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 Před 29 dny +4

    Wanakwenda kuzika au kwenye sherehe? Inaelekea walevi na miteja

  • @ashuramahali3410
    @ashuramahali3410 Před 29 dny +2

    Wadudu kama wadudu

  • @JustoJusto-ki7lg
    @JustoJusto-ki7lg Před 2 dny

    Kazi ya chepe ni kufukia

  • @JosephMdam
    @JosephMdam Před 12 dny

    Natokea arusha lakini huniupumbavu sana ovyoo

  • @albertadalabert5702
    @albertadalabert5702 Před 29 dny +2

    Hacheni habari za kukimbiza pikipiki vifo ni vingi sana jamani vijana tutaisha

  • @adeltuszakumuha9618
    @adeltuszakumuha9618 Před 25 dny

    Wehu tu hawa, Serikali isipokuwa macho hamna kizazi cha maana hapo. Hovyo sana hawa.

  • @michaelaloyce2072
    @michaelaloyce2072 Před 29 dny

    Hawa wAdudu ni walevi sana. Wapuuzi

  • @khamisshee803
    @khamisshee803 Před 29 dny +5

    Muna watentekizaa Sawa wadudu gani mbona jeshi la police linawaaachia wafanye watakavo
    AKA BACHUCHU MOMBASA 001
    +254

    • @edsonnelson4464
      @edsonnelson4464 Před 29 dny

      Eti eeh!!

    • @user-ox3ij7ki3t
      @user-ox3ij7ki3t Před 29 dny

      Hii ni nchi nyingne hiyo serekali yenyew ikfka arusha inabid ifuate sheria na taratib za wenyeji

  • @user-se3dl4sx2u
    @user-se3dl4sx2u Před 26 dny

    Haya majinga matupu.mambwa haya majizi mibangi tu

  • @zidatv1122
    @zidatv1122 Před 29 dny +5

    Huu ndi maisha ua bodaboda yaan inasikitisha,
    Hao hata kizazi chao hakuna maisha hapo

  • @user-se3dl4sx2u
    @user-se3dl4sx2u Před 26 dny

    Yanataka sifa tu..shenzi mbwa

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 Před 29 dny +5

    Hiyo hali isipoangaliwa kwa makini....

  • @AboubakarShabani-op1dk

    Uhuru wa wadudu

  • @Official83640
    @Official83640 Před 29 dny +1

    C mmewapromot endeleeni kuwafurahia na kuwapa promo

  • @isayaluvanda5757
    @isayaluvanda5757 Před 27 dny

    SDA NJIRO MOJA, Kwa Msola ni kwele😂

  • @emanuelherman7029
    @emanuelherman7029 Před 28 dny

    😢😢😢😢 wapumbavu hawa watakufa vibaya wote nawahakikishia wasipobadilika wataisha wote bangi mihadarati itawamaliza wanajiita Wadudu wakatubu kanisani upumbavu wao

  • @kivatirokitojo657
    @kivatirokitojo657 Před 28 dny

    Jamaa wanajielewa unajiitaje mdudu??Ili iweje

  • @Brunn-mh2bq
    @Brunn-mh2bq Před 29 dny +1

    Wallah hii nchi haina hatma nzuri kama watu wetu ndio hawa. Tujiulize tumekosea wapi na tujirekebishe haraka.

    • @reginas1832
      @reginas1832 Před 29 dny +1

      Si unaona tunauza rasilimali zetu wa wageni. Hawa vijana hapo wapo Drs, engineer na walimu . Serikali ina kikundu kidogo kinachokula keki ya Taifa

  • @user-jr3mo3je3k
    @user-jr3mo3je3k Před 27 dny

    Hizo siyo bangi aiseeee ,,,Kama siyo Pepo bas ni ulimbukeni tu,, harafu na mazoea yaan waao wamekuwa wakiona babu zao wapo hivo na wao ngumu sanaaaa kuchange kikubwa ni kuwaombea tu ili hii hali iishe kabisaaa usiendelee kuumiza kizazi kijacho

  • @nikundiweamosi5087
    @nikundiweamosi5087 Před 27 dny

    Kizaz cha nuhu

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 Před 28 dny

    Makonda utawaweza hawa kweli

  • @neliciousmtata5309
    @neliciousmtata5309 Před 5 dny

    kumbe kunanjiro na arusha na hamsemi?

  • @Kidabitangassa
    @Kidabitangassa Před 5 dny

    Arusha sio Tanzania 🇹🇿😂

  • @topesafi9742
    @topesafi9742 Před 29 dny

    Nainjoi saana kuwachek wadudu😂😂

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Před 28 dny

    Hichi kizaz huko mbeleni itakuwa shida sana

  • @adeltuszakumuha9618
    @adeltuszakumuha9618 Před 25 dny

    Wadudu ndo nini, bangi tu na ulevi

  • @hancymachibbula4355
    @hancymachibbula4355 Před 23 dny

    Hata midea zinazowahoji ndiyo zinawapa kick wasipo wapa Airtime huu ujinga wao utaonekana wapi

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k Před 29 dny +2

    Mungu warehemu vijana wetu wamechanganyikiwa

  • @bushbabytz
    @bushbabytz Před 23 dny

    vijana wa hovyo kabisa sijui taifa gani hili tunatengeneza ..wanafanya makosa kama haya ya barabarani lakini hakuna sheria wanachukuliwa

  • @ErickyTz-ku7dt
    @ErickyTz-ku7dt Před 29 dny

    Visit chuga

  • @user-xw3ew4jy5p
    @user-xw3ew4jy5p Před 28 dny

    Aliye wapa jina la wadudu hakukosea😂😅😂😂

  • @festohaule9716
    @festohaule9716 Před 29 dny

    Hawa wadhibitiwe mapema sanasana.... Hii sio Haiti..

  • @jeffchurum1431
    @jeffchurum1431 Před 29 dny +3

    Bangi ya Kenya imefika Arusha.

  • @salehwaziri5062
    @salehwaziri5062 Před 28 dny

    Bange

  • @hatimmohamed4299
    @hatimmohamed4299 Před 29 dny +1

    Kudadadeki bangi nuksi kishenzi
    Hawa wadudu watakula nchi

  • @lightnessmarandu5945
    @lightnessmarandu5945 Před 29 dny +1

    Huyu s baba ake shaa kbsa

  • @boeihongoa1436
    @boeihongoa1436 Před 27 dny

    Chukulia hawa ndio wazee wa baadae.
    Aisee, WanaArusha chukueni hatua mapema.

  • @bitricepadros5787
    @bitricepadros5787 Před 22 dny

    Hivi Hii nchi yenye Hawa watu Iko wapi ....

  • @user-ui4sz5gt2h
    @user-ui4sz5gt2h Před 15 dny

    Uhuni wa bila faida

  • @mussaharun7257
    @mussaharun7257 Před 27 dny

    Millard Ayo si kila kitu una report huu ni ujinga

  • @Views-mf8ir
    @Views-mf8ir Před 27 dny +1

    Watu wa Dar wanaona watu wote wa Arusha tuko ivi, tunavaaga ivyo na life style ni hiyo.!! 😂😂😂

    • @Aidhjuma
      @Aidhjuma Před 25 dny

      Nataka kuja arusha ila naogopa hao wadudu kwakweli

    • @Views-mf8ir
      @Views-mf8ir Před 25 dny

      @@Aidhjuma karibu sana Boss ..!!
      Can i give you my Contact number uje nikutembeze Ungalimi, Ololooo na Matejoo alaf tumalizie kwakula Nyama kwa Mromboo alaf tukaogelee zetu Duluti ..😊

    • @Views-mf8ir
      @Views-mf8ir Před 24 dny

      @@Aidhjuma nikupe number uje ututembelee Boss

  • @josephkalwani
    @josephkalwani Před 29 dny

    Ila arusha wameathiliwa sana na utalii

  • @_Sammy_BbOy_Bseven
    @_Sammy_BbOy_Bseven Před 29 dny

    Nchi ya arusha ni kweleee😮

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar Před 28 dny

    Hawa vijana hawa tusipokua makini nao itatugharimu sana