Ww Linda watoto wako serikali hailei watoto tabia ya mtoto kuwa nzuri au mbaya ni malezi ya wazazi na siyo magengee mm nimeishi Arusha zaidi ya miaka 10 nanina marafiki vibaka waizi wauza madawa nakila uchafu hata hao wadudu Nina marafiki zangu lakini mbn sipo kwenye hayo magengee situmiee chochote lea watoto wako
Kwanini ni ngumu Kwa chuga Wana Nini hao si vichaa tu wapelekwe lutindi , wenzao panyarudi wapo wapi unaona walivyo uliwa km kuku,hao pia wawamaliza @@fatihiyadossa375
Wadudu maana yake nini? Kwanini tusiwe na kizazi kitakatifu chenye upendo, furaha na amani? Aina hii ya maisha hata tukikubali ni sawa na kukubali kuishi na bomu ndani ya nyumba. Biblia inasema hakuna amani kwa wabaya asema Mungu wangu.
Ipo sababu ya kutokuwatazama kwa macho ya furaha hili ni kaa la moto tunalipalia mwisho litasababisha moto mkubwa. Neema ya Mungu inahitajika kwa vizazi vyetu
Pole sana Makonda Samia na waziri wa mambo ya ndani Masauni na police na mtakoma mtakavyopata aibu kama Taifa kwa kuipeleka Afcon Arusha ni bora mngepeleka Mwanza au Dodoma
Tanzania kuna mambo mengi mabaya anaendelea...Harmonize anatumia uchawi kwenye Sanaa kuharibu kazi za Diamond Platnumz youtube ..Basata ⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️
😢😢😢😢 wapumbavu hawa watakufa vibaya wote nawahakikishia wasipobadilika wataisha wote bangi mihadarati itawamaliza wanajiita Wadudu wakatubu kanisani upumbavu wao
Hizo siyo bangi aiseeee ,,,Kama siyo Pepo bas ni ulimbukeni tu,, harafu na mazoea yaan waao wamekuwa wakiona babu zao wapo hivo na wao ngumu sanaaaa kuchange kikubwa ni kuwaombea tu ili hii hali iishe kabisaaa usiendelee kuumiza kizazi kijacho
@@Aidhjuma karibu sana Boss ..!! Can i give you my Contact number uje nikutembeze Ungalimi, Ololooo na Matejoo alaf tumalizie kwakula Nyama kwa Mromboo alaf tukaogelee zetu Duluti ..😊
Serikali msipothibiti hawa wadudu tutaangamiza taifa LA kesho
kabisa brother yani ujinga huu faida yake nini sasa
Kizazi kimeisha huko
Kweli kabisa mm pia siwapendi kabisa hawa wadudu mwisho watakuwA majambazi hao yaani hili tatizo lizibitiwe mapema kabisa jamani
Vichaa tu upuuzi mtupu Mira mingi na bangi
Ww Linda watoto wako serikali hailei watoto tabia ya mtoto kuwa nzuri au mbaya ni malezi ya wazazi na siyo magengee mm nimeishi Arusha zaidi ya miaka 10 nanina marafiki vibaka waizi wauza madawa nakila uchafu hata hao wadudu Nina marafiki zangu lakini mbn sipo kwenye hayo magengee situmiee chochote lea watoto wako
içhi kizazi kitakuja kuigharim serekali niko paleee
Sio tu kuigharimu ila kuwapa changamoto
😂😂😢😢😢☹️☹️☹️
Vijana wapumbavu
sioni kama itagharimu chochote. kuna mambo makubwa serikali yabidi kujali sio hawa vijana..
Umesema kweli mtumishi
Huu ni ujinga wa hali ya juu ikomeshwe mara moja
Ningumu Kwa chuga
@@fatihiyadossa375Serikal haijawahi shindwa ktu ww panya road wako wap hapa bongo hebu wakamatwe kama watu 10 wale vchwa vbovu uone kama haitakuwa
Kwanini ni ngumu Kwa chuga Wana Nini hao si vichaa tu wapelekwe lutindi , wenzao panyarudi wapo wapi unaona walivyo uliwa km kuku,hao pia wawamaliza @@fatihiyadossa375
Makonda umeoelekwa kwenya kuongozwa vijana vichaa hao
Serekali inaendekeza ujinga, hawahawa ndio tatu mzuka nawaeleza, km makonda aliweza kuzuia panya road, please komesha hii kitu jamani😢😢😢
Chepe zipo tutamfukia kwa chepe tutamfukia mwana kwa chepe, ww fukia kwa mkono tukukamate hatukuachi😂😂😂wapuuz sana hawa wanaiona nchi yao au
Poleni sana wadude wa arusha kwakumpoteza mojawenu natuma ujumbe kutoka Somalia
Bodaboda ni shida kwa kweli hata kama ushirikiano sio sitaili hizo wote ni bange tuu
Hao sio bodaboda ni kikosi cha wahuni tu
Staili sio sitaili
Serikali isiruhusu vitu kama hivi. Ni ujinga uliopitiliza serikali ikomeshe huu ujinga
Umesema sawa kabisa
Hawa watu wa Arusha hawana hakiri kabsha
@@user-mi7cd8ch1b ndiyo alafu wanaona ni ujanja ni ushamba na upumbavu kabisa vijana wa hovyo kabisa
@@user-mi7cd8ch1bwashamba wanajifanya maganster
Embu fateni mambo yenu bhna umeona mtu wa arusha analalmik kwani
Upumbavu mtupu hawana hata iman ya mungu khaaa
Makonda kazi anayo😂
Lait mwenzao angeamka akawaambia kinachompata huko wange acha huo ujinga
Hivi Arusha wana Dini kweli 😢😢😢😢 SubhannaAllah
Aseee noma sanaaa
Hawa washamba wanatakiwa wadhibitiwe wote tuondokane na kizazi cha ovyo kama hicho. Mamlaka zipo wapi!?
MIMI BONGO NAMINI HAWA WATOTO WA ARUSHA UWAONE IVI TU MAKATILI WAKIONGEA KAMA WAJINGA LAKINI WACHA TU DANGEROUS PEOPLE ARUSHA BOYS 😂😂😂😂
Mungu ponya kizazi hichi
Wadudu maana yake nini? Kwanini tusiwe na kizazi kitakatifu chenye upendo, furaha na amani? Aina hii ya maisha hata tukikubali ni sawa na kukubali kuishi na bomu ndani ya nyumba. Biblia inasema hakuna amani kwa wabaya asema Mungu wangu.
Washamba wanapewa airtime aisee Yani ni upuuzi na Bado wakiendelea na akili izo watauzulia sana mazishi hamna hata mwenye helmet uendeshaji wa hovyo
😊a
Laa makubwa Pole Sana RC. Kazi Unayo.
Iyo ni shangwe ya kumpoteza mwenzao na sio uzuni
WADUDU are all British Workers ✌️🇺🇸🗽
Hafu mnaanza kusema ni wasaini na huku tayari ni mazezeta
Hapo ndio na Mimi nachoka jmn hakuna Cha usanii hapo ni uzombi tu
Yaani wanajeshi wangeruhusiwa kuondoa hilo kundi linalojiita wadudu! Ni wiki moja wanakuwa watu na siyo wadudu! Mungu warehemu watoto wetu😭😭
"Wadudu ni wanamziki wanachofanya ni sawa kabisa". Alisikika Mbunge mmoja akimpa taarifa Mbunge mwenzake aliyekuwa akichangia hoja Bungeni. Tafakari.
Dah
Mmh serikali kuwrni makini haya malezi ya hawa vijana yatakuja kuwashinda baadae
Hatari
Watu wa Njiro na uku arusha duh kazi ipo😂😂😂
Poleni Sana nyote MWENYEZI MUNGU awape nguvu awapikanie awashindie awaweseshe vyema katika Jina la YESU KRISTO
Wamarekani hivikaribuni watamtafuta kiongozi wao ili waanzishe bokoharamu tz wooooooooooooi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hapo hapo kuna mijambaxi inapora ikiwa kwa pikipiki.
Poleni sana
Ipo sababu ya kutokuwatazama kwa macho ya furaha hili ni kaa la moto tunalipalia mwisho litasababisha moto mkubwa. Neema ya Mungu inahitajika kwa vizazi vyetu
Vijidudu vimewapanda kichwani. Serikal Serikali Serikali .... Mh aya...
MAKONDA KAZI ANAYO ILA ATAFAULU TU PAMOJA NA CHANGAMOTO ZOTE
AKITAKA KUWAWEKA KWENYE HOTPOT SEKUNDE TU
@@MCNgakungaJuniorsyo chuga alyo yakta atayaacha ivyo ivyo
Bangi Arusha imezidi aisee kuliko maeneo yote Tanzania hawa watu wadhibitiwe haraka sana, Serikali isiwachekee hawa vijana!!
Tunae chule tunaletewa burungu 😂😂😂😂 welcome chunga jiji lenye huuni mwingi naluga tata
Mmmmmh hiyo ongea yao puuuh
Vijana wote wa Arusha wahamishiwe Somalia huko ndo wanaendana Nako huku Tz sio hadhi yao kwakweli,watanzani Gani Wana Fujo hivi? Aaaah😢
😂😂😂walisha kwambia arusha ni nchi kama nchi😂😂
@@jameschali6023 😂😂😂
Hivi wadudu ni wakiume tuu?
Wakike wapo ila sio wengi
Pole sana Makonda Samia na waziri wa mambo ya ndani Masauni na police na mtakoma mtakavyopata aibu kama Taifa kwa kuipeleka Afcon Arusha ni bora mngepeleka Mwanza au Dodoma
😂 dah kwakwer
Itapelekwa tu kwa taarfa Yako nyoo
Hii ni Arusha na hii ndo asili ya arusha sasa wewe unaehoji afcon mbona huulizii makao makuu ya afrika mashariki ni wapi?
Kama mwanga vile
HAWA WADUDU, hii nchi mtakuja kunishukuru endeleeni kuwalea sana ni swala la Muda tu.
Mnawaendekeza sana hawa ohooo
😂😂😂😂Wapuuzi ote awo
Je akipatikana mwanasiasa akawapa Silaha nini ktatokea? asieziba Ufa atajenga ukuta
Wadudu ni wengi ila Kuna wadudu wengin ni kumbikumbi wale wenye mafuta mengi
ARUSHA VIBE
Arusha nchi ya wahuni
dah ni huzuni Kwa kweli
Mbona simuoni makonda au kasaliti chama
daah makonda una kazi babaa
Huu ni umasikin wa akili roho na mwili baada ya miaka kumi huu ni mzigo kwa taifa😏😏😏
Makonda shikamoo. Kazi ni kubwa
Bado amjasema
Tanzania kuna mambo mengi mabaya anaendelea...Harmonize anatumia uchawi kwenye Sanaa kuharibu kazi za Diamond Platnumz youtube ..Basata ⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️
Hivi hawa viongozi mnaounga mkono hawa wavuta bangi mnategemea tunaelekea wp?
Waddudu ,lini wataitwa wanyama¿
Nimbayaaaaaa😂😂😂tuuuu
Wanakwenda kuzika au kwenye sherehe? Inaelekea walevi na miteja
Tuache na chuga yetu😢😢
Wadudu kama wadudu
Kazi ya chepe ni kufukia
Natokea arusha lakini huniupumbavu sana ovyoo
Hacheni habari za kukimbiza pikipiki vifo ni vingi sana jamani vijana tutaisha
Wehu tu hawa, Serikali isipokuwa macho hamna kizazi cha maana hapo. Hovyo sana hawa.
Hawa wAdudu ni walevi sana. Wapuuzi
Muna watentekizaa Sawa wadudu gani mbona jeshi la police linawaaachia wafanye watakavo
AKA BACHUCHU MOMBASA 001
+254
Eti eeh!!
Hii ni nchi nyingne hiyo serekali yenyew ikfka arusha inabid ifuate sheria na taratib za wenyeji
Haya majinga matupu.mambwa haya majizi mibangi tu
Huu ndi maisha ua bodaboda yaan inasikitisha,
Hao hata kizazi chao hakuna maisha hapo
sio wote my dr
Yanataka sifa tu..shenzi mbwa
Hiyo hali isipoangaliwa kwa makini....
Uhuru wa wadudu
C mmewapromot endeleeni kuwafurahia na kuwapa promo
SDA NJIRO MOJA, Kwa Msola ni kwele😂
😢😢😢😢 wapumbavu hawa watakufa vibaya wote nawahakikishia wasipobadilika wataisha wote bangi mihadarati itawamaliza wanajiita Wadudu wakatubu kanisani upumbavu wao
Jamaa wanajielewa unajiitaje mdudu??Ili iweje
Wallah hii nchi haina hatma nzuri kama watu wetu ndio hawa. Tujiulize tumekosea wapi na tujirekebishe haraka.
Si unaona tunauza rasilimali zetu wa wageni. Hawa vijana hapo wapo Drs, engineer na walimu . Serikali ina kikundu kidogo kinachokula keki ya Taifa
Hizo siyo bangi aiseeee ,,,Kama siyo Pepo bas ni ulimbukeni tu,, harafu na mazoea yaan waao wamekuwa wakiona babu zao wapo hivo na wao ngumu sanaaaa kuchange kikubwa ni kuwaombea tu ili hii hali iishe kabisaaa usiendelee kuumiza kizazi kijacho
Kizaz cha nuhu
Makonda utawaweza hawa kweli
kumbe kunanjiro na arusha na hamsemi?
Arusha sio Tanzania 🇹🇿😂
Nainjoi saana kuwachek wadudu😂😂
Hichi kizaz huko mbeleni itakuwa shida sana
Wadudu ndo nini, bangi tu na ulevi
Hata midea zinazowahoji ndiyo zinawapa kick wasipo wapa Airtime huu ujinga wao utaonekana wapi
Mungu warehemu vijana wetu wamechanganyikiwa
vijana wa hovyo kabisa sijui taifa gani hili tunatengeneza ..wanafanya makosa kama haya ya barabarani lakini hakuna sheria wanachukuliwa
Visit chuga
Aliye wapa jina la wadudu hakukosea😂😅😂😂
Hawa wadhibitiwe mapema sanasana.... Hii sio Haiti..
Bangi ya Kenya imefika Arusha.
Kenya hakuna bhangi kuna mirungi
Bange
Kudadadeki bangi nuksi kishenzi
Hawa wadudu watakula nchi
Huyu s baba ake shaa kbsa
Chukulia hawa ndio wazee wa baadae.
Aisee, WanaArusha chukueni hatua mapema.
Hivi Hii nchi yenye Hawa watu Iko wapi ....
Uhuni wa bila faida
Millard Ayo si kila kitu una report huu ni ujinga
Watu wa Dar wanaona watu wote wa Arusha tuko ivi, tunavaaga ivyo na life style ni hiyo.!! 😂😂😂
Nataka kuja arusha ila naogopa hao wadudu kwakweli
@@Aidhjuma karibu sana Boss ..!!
Can i give you my Contact number uje nikutembeze Ungalimi, Ololooo na Matejoo alaf tumalizie kwakula Nyama kwa Mromboo alaf tukaogelee zetu Duluti ..😊
@@Aidhjuma nikupe number uje ututembelee Boss
Ila arusha wameathiliwa sana na utalii
Nchi ya arusha ni kweleee😮
Hawa vijana hawa tusipokua makini nao itatugharimu sana