MANZI MDUDU WA ARUSHA AWACHANA WADADA WA DAR "SURA HATA MBUZI ANAYO, MBAYA TU"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 16. 05. 2024

Komentáře • 172

  • @annertz9969
    @annertz9969 Před měsícem +9

    Duuh harufu ya bangi mpaka huku Dodoma😂😂

  • @RenathaElias
    @RenathaElias Před měsícem +5

    Iringa yangu naipenda jaman❤❤❤❤❤😂😂😂😂

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 Před měsícem +16

    Hongera dada kwa upambanaji ,una mume na mtoto.Una sura nzuri pia asikudanganye mtu

  • @marafikistation
    @marafikistation Před měsícem +4

    Manzi safii sanaa hakuna kulemba lemba lemba 💪

    • @selector728
      @selector728 Před měsícem +1

      Kurembaremba sio kulembalemba

    • @marafikistation
      @marafikistation Před měsícem +1

      @@selector728 mmmmh ngoja tuwasubili wakali wa kiswahili waje…

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 Před měsícem +7

    Ee mungu wasaidie wana Arusha hii si maisha 😭😭😭

  • @evansmumo3921
    @evansmumo3921 Před měsícem +2

    Dawa za arusha ni strong sana

  • @johnnkelebe7360
    @johnnkelebe7360 Před měsícem +2

    Arusha sio sehemu salama kwa kulelea watoto.

  • @jeckobass7502
    @jeckobass7502 Před měsícem +4

    😅😅😅😅😅❤❤❤❤❤mbeya yangu naipendaa

  • @rhamlaally6930
    @rhamlaally6930 Před měsícem +3

    Mzazi anakutana na mtoto wake kwenye hyo vurugu🥺Mungu tusaidie watt wetu wasijiingize huko

    • @JosephM.meiliari
      @JosephM.meiliari Před měsícem

      Serikali serikali mnatupotezea taifa Kwa hawa wagonjwa wa akili mnaowapa kipaumbele kwenye mitandao

  • @nassorally9008
    @nassorally9008 Před měsícem +7

    Kizazi kibovu na waliokuwa wanajuwa hawa wanaharibikiwa wao wanaona vipaji duu aiseee ujinga mtu

    • @damariszuckschwert9489
      @damariszuckschwert9489 Před měsícem

      Huwa wananishangaza sana sana vile wanashindaga wakituonyesha kama ni kitu cha maana. Useless kabisa

  • @tato8979
    @tato8979 Před měsícem +2

    Hadi wa dada wanajichetua jaman hata haipendez😢😢😢

  • @sweetbartcloud2787
    @sweetbartcloud2787 Před měsícem +2

    Jamani huyo dada mwenyewe anaonekana ni dawa tupu yani duuuu aisee

  • @sarafinabutashilaga6990
    @sarafinabutashilaga6990 Před měsícem +14

    Halaf wao wanaona kama sifa vile😢

    • @azizymachadeson3577
      @azizymachadeson3577 Před měsícem +1

      Haoni sifa ila ndo uhalisia wa maisha yetu tchuga ni sawa na hao wadaslade wadada ni vigodoro na kujiuza so kwani wao wanaona sifa ndo maisha yao so ishi maisha yako acha ya watu!

    • @TheresiaAndrea-hv9dg
      @TheresiaAndrea-hv9dg Před měsícem

      Shida kweli kweli

    • @abdulmango2461
      @abdulmango2461 Před měsícem

      Umeona eeh! Kumbe ni ujinga tu.

    • @user-io8hn1jb4d
      @user-io8hn1jb4d Před měsícem

      Hawa wapumbavu tu, ujinga kwao ndio sifa vitu hivi kwetu tulionaga miaka ya 2000 mwanzoni kipindi kile watu wanaweka viplasta usoni na manguo makubwa western ila kwa sasa ukolo tu huo

  • @subiralema
    @subiralema Před měsícem +12

    Bangi zinawamaliza

    • @morganeeugene2095
      @morganeeugene2095 Před měsícem +1

      Amna kitu ooote unaelewa weeee....

    • @TheresiaAndrea-hv9dg
      @TheresiaAndrea-hv9dg Před měsícem

      Hivi mi najiulizaga, Arusha kweli kunawazee wa kuwalea vijana wao? Au wavuta banging wote wa nchi nzima wamehamia Arusha? Kwa ufupi mnatuharibia nchi😭😭😭

  • @ismailchibonda5005
    @ismailchibonda5005 Před měsícem

    Dah! Bange mbaya sana

  • @HamisiKisime-or9jz
    @HamisiKisime-or9jz Před měsícem +4

    Mwenyewe kaona kapatiiiiia,ujinga mtup

  • @Casanovatz
    @Casanovatz Před měsícem +4

    3:02 mpk 3:32 jamaa anavuta sigara mbele ya camera duh🙌🙌 Arusha mnazingua.
    Mnawafunza nini machalii wadogo😔

    • @user-yl2br2ts3i
      @user-yl2br2ts3i Před měsícem

      niganja

    • @morganeeugene2095
      @morganeeugene2095 Před měsícem

      Iyo ndo uloona,we apo mtaani kwako kuna nini nzuri Machali wanajifunza au Wanachojifunza toka kwako..

    • @Casanovatz
      @Casanovatz Před měsícem

      @@morganeeugene2095 hahaha
      Kitaa chetu atuwez vuta fegi mbele ya camera
      Ata tukiw nawateja wet wa boda boda atuwez vuta fegi mbele yao.
      Naio alio ishika apo sio fegi!!!!
      Acha kutetea vitu vivyo elewek budah

    • @Casanovatz
      @Casanovatz Před měsícem

      @@morganeeugene2095 na wanacho jifunza kwang nimeng tuh kitaani kwet wananiita mashine yakaz
      Wewe kitaan kwenu wanakuita nan?

    • @snipershort6988
      @snipershort6988 Před měsícem

      ​@@Casanovatzhuku atuendi kwa mpalange wala kwalulenge

  • @israelkisaila8401
    @israelkisaila8401 Před měsícem +7

    Arusha piga bomu la nyuklia ianze upya

  • @user-nb6yh2bn9y
    @user-nb6yh2bn9y Před měsícem +4

    kwastaHili hii Tanzania ya Kesho itakuwa yama zombie 👉👹👹👹

  • @user-yl2br2ts3i
    @user-yl2br2ts3i Před měsícem +3

    naipenda Arusha yangu

  • @PerpetuaNkilosubi
    @PerpetuaNkilosubi Před měsícem +2

    Samia mama ukowapi Hawa watoto wanaangamia ongea kitu kuhusu Hawa wanaoniita wadudu vinginevyo tunalea kizazi kilicholaaniwa huu sio utamaduni wa kitanzania hapo ni bangi na aina zote za madawa ya kulevya

    • @ibramayno8447
      @ibramayno8447 Před 26 dny

      Huyu mama ako mwenyewe unaemuita hapa hana shughuli 😢😢

  • @derickjuma4251
    @derickjuma4251 Před měsícem +4

    Daaah hiii jaman Arusha yetu 😅😅😅😅

  • @rachelkaaya-do3mj
    @rachelkaaya-do3mj Před měsícem

    Arusha yangu naipenda sanaaàaaaa

  • @jeremiahngoka4980
    @jeremiahngoka4980 Před měsícem +3

    Bangi hiyo.Hamna kitu hapa ni ujinga uliojaa upumbavu kbs yaani

  • @FrankMushi-cs5js
    @FrankMushi-cs5js Před měsícem +2

    Nawakubaliik ivyo ivyoo tuuuu wajubaaaaa

  • @subiralema
    @subiralema Před měsícem +6

    Akuna sura ya kupewa kuku apo wewe niwa banana na mbege

  • @RedmiNote-wv6cn
    @RedmiNote-wv6cn Před 28 dny

    Miaka 22 kazeeka uyu dada 😢😢😢😂😂

  • @Mwanatanga
    @Mwanatanga Před měsícem +5

    Vijana wa Arusha hawana akili alfu washambaa tuu😂

  • @mnolamanyendi4956
    @mnolamanyendi4956 Před měsícem +2

    Washamba tu mna uhuni gani nyinyi

  • @tanzaniacarschannel6975
    @tanzaniacarschannel6975 Před měsícem +1

    Inasikitisha sana kwakweli.

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa Před měsícem +14

    Duuh Arusha jamani Aisee poleni sana sura tu me naogopa 😢😢😢

  • @abdallahmmary8591
    @abdallahmmary8591 Před měsícem +1

    Madili yameporomoka sio Arusha tu nchi nzima hii dar wala usiseme hy mwanza mmm kikubwa nkuwa makini na uelewela

  • @fridafrancis1960
    @fridafrancis1960 Před měsícem

    Nimeulizia sana hawa wadudu wapo sehemu lakini hamna anayefahamu ila huku ndo tunawaona

  • @Yassinseleman
    @Yassinseleman Před 22 dny

    Mimi arusha jamani sina habari napo 🙄🙄yaani wanawake wamekubuhu uhuni ivi🤔🤔

  • @aiyaavibes7610
    @aiyaavibes7610 Před měsícem

    Sema Millard ayo ana wa promote sana hawa wadudu ...... sielewi kwa nn ____but all z well.

  • @user-xd4lu1xl6c
    @user-xd4lu1xl6c Před měsícem +2

    Hapa kwl si banging jmn arusha jmn

  • @selemanmaganga-le4zg
    @selemanmaganga-le4zg Před měsícem +1

    Duuh, kwahiyo ngeu ndio cheo? Usikute Arusha ni nchi jirani ilibidi Nyerere angetuelewesha vizuri labda hawa ndugu zetu wa kambo DNA iusishwe!.😂😂😂

  • @eagle_fighter
    @eagle_fighter Před měsícem

    U.S.A
    United State of Arusha
    Imeisha hiyoooo

  • @user-jg3me8ih9i
    @user-jg3me8ih9i Před měsícem +1

    Eti kwani nipo flat cape uko down ama😂😂😂

  • @rahabumarungi8047
    @rahabumarungi8047 Před měsícem +2

    ACHENI UJINGA WENU ONGEENI KWA HESHIMA MNAJICHORA

  • @user-tk4es1uw7e
    @user-tk4es1uw7e Před měsícem +1

    Ni shwari jamaa ana chanja bila wasi

  • @henry1933
    @henry1933 Před měsícem +1

    Millard Ayo hamna positive news Arusha? unaaribu taswira na image ya mkoa wako.

  • @mariamusaulo4429
    @mariamusaulo4429 Před měsícem

    wadudu sio kabisaaa

  • @michaelaloyce2072
    @michaelaloyce2072 Před měsícem +1

    Arusha kwishaaa. Bangi tupuuuu

  • @julianapatrick7911
    @julianapatrick7911 Před měsícem +2

    Ni kamzozo na kamkutano😂😂😂

  • @musampanda3643
    @musampanda3643 Před měsícem +1

    Jomba anachoma shada mbele ya camera ya ayo tv

  • @user-ib3nl1sk4l
    @user-ib3nl1sk4l Před měsícem

    Arusha n kubwa kuliko Tanzania is trying 😂😂😂

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 Před měsícem +1

    Yule pale nyuma anachoma skanka nn

  • @user-rs1me3tp2m
    @user-rs1me3tp2m Před měsícem

    Arusha ni kubwa kuliko Tanzania

  • @nadiatanzania
    @nadiatanzania Před měsícem

    Bangi nyie uwuee😂

  • @irenemboya7899
    @irenemboya7899 Před měsícem

    Bangi nyingi doh

  • @blackeagle4441
    @blackeagle4441 Před měsícem

    😂🤣😆😆hiyo vyeo hapo

  • @jovitusiinnocent7534
    @jovitusiinnocent7534 Před měsícem

    Dah Arusha bwana ety Arusha ni kubwa kuliko Tanzania 😂😂

  • @user-jh9yv1zp1l
    @user-jh9yv1zp1l Před 24 dny

    Bangi hiz sio akil yake wantk sifa tu kutrend

  • @user-ql3rd9qp7p
    @user-ql3rd9qp7p Před měsícem

    Ila Arusha mmeshindikana😂😂😂

  • @JosephM.meiliari
    @JosephM.meiliari Před měsícem

    Hv Sasa huyo mwandishi wa habari c angefuatilia mambo ya muhimu ya kuelimisha jamii kuliko huo upuuzi

  • @VianaKokutensa
    @VianaKokutensa Před měsícem

    Uyo wa mwisho saa

  • @azizymachadeson3577
    @azizymachadeson3577 Před měsícem

    Naona comment watu wanalalamika Arusha ooh sjui watu wa ovyo hii ni life style ya Arusha toka enzi na enzi Sema tu mlikua Hamjui cz media zilikua hazipo nyingi na kuonyesha aya maisha ndo mana watu wanashangaa ila ayo maisha tumeyaishi toka mda ila washamba ndo wanashanga na Arusha etu ni ile ile inakua kiutalii mabarabara ndo ayo sema ni vile tu hamjui arusha nyie mawaki!

    • @morganeeugene2095
      @morganeeugene2095 Před měsícem +1

      Oyaaa waambie awa mambanga Amana kitu ooote wanaelewa CHUGA kama mbeleeeee

    • @oscarakyoo4641
      @oscarakyoo4641 Před měsícem

      wambie hawa wangese ,yaani sisi arusha ni kama mambele

    • @azizymachadeson3577
      @azizymachadeson3577 Před měsícem

      @@morganeeugene2095 yani wao hawaoni maisha yao wanaangalia ya Arusha wanataka na sisi tuige au tufurahie Dada zetu na Mama zetu wanatoa Matako nje ya magari wanacheza vigodoro ndo wanaona ni maisha mazuri sasa iyo ni life style yenu na sisi Kama Tchuga tuna life style yetu so kila mtu aishi maisha ake , Ukienda Marekani Maisha wanayoishi watu wa LA ni tofauti na Brooklyn, nenda Kenya life ya Uko Kasarani ni tofauti na isilii au dandora kuna hao Mbogi genje ndo kama tchuga kuna Wadudu So ni life style punguzeni GENYE nyie Mboga Saba! Acheni PERERE MINGI

  • @jamaliddiin9357
    @jamaliddiin9357 Před měsícem +2

    Mabange hayo ,na makonda atawanyoosha ,dada mzuri ajisijfia wizi ,

  • @mrsinia3064
    @mrsinia3064 Před měsícem

    Chuga hiyoo 🤣🤣

  • @manaseliberatus1347
    @manaseliberatus1347 Před 29 dny

    MTU ASIWADANGANYE, ARUSHA NI MKOA ULIO WA KIPEKEE SANA, KWENYE MSAFARA WA MAMBA MSIISHIE KUTAZAMA KENGE

  • @user-zr2yz6qg1f
    @user-zr2yz6qg1f Před měsícem

    1:06

  • @KassimHanga-xr7rb
    @KassimHanga-xr7rb Před měsícem

    Cha Arusha kimezidii

  • @DelightfulShipsWheel-wu6ov
    @DelightfulShipsWheel-wu6ov Před měsícem

    Duh arusha inatish

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 Před měsícem

    Ata mbuzi anayo

  • @VianaKokutensa
    @VianaKokutensa Před měsícem

    Kwa yote ila pady utavaa t😅😅

  • @westcijosh
    @westcijosh Před měsícem

    Eti yeye ni msela? Muulize anaingia period? Akisema ndio muulize masela wanaingia period?

  • @VianaKokutensa
    @VianaKokutensa Před měsícem

    Flat cap typing and deleting 😢😢

  • @ridhiwankanjoe2078
    @ridhiwankanjoe2078 Před měsícem

    Serikali kunakitu inatakiwa kufanya mikoa ya kaskazini hasa arusha na kilimanjaro bangi na madawa ya kulevya yatamaliza vijana.

  • @BANJO_MOULDING_DECORATION
    @BANJO_MOULDING_DECORATION Před měsícem

    😅

  • @hawahussein137
    @hawahussein137 Před měsícem

    Bangi haijawahi acha mtu salama

  • @sweetbartcloud2787
    @sweetbartcloud2787 Před měsícem

    Sasa kumbe hawa ni wezi aisee siunaona wanajisema kabisa yani

  • @kelvinshaban6941
    @kelvinshaban6941 Před měsícem

    Ahahah mwamba anamenya kijit nyumaa

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard4031 Před měsícem

    Ona alivo eti miaka22😏😏

  • @HassanSamson-kg5cq
    @HassanSamson-kg5cq Před měsícem

    Polereni

  • @molenicharles9107
    @molenicharles9107 Před měsícem +6

    Jamani nahisi Arusha si ya Tanzania...peleka somaria🤣🤣

  • @Jacklinejohn7
    @Jacklinejohn7 Před měsícem

    😂😂😂😂😂😂daah

  • @WamburaJomu-xy2is
    @WamburaJomu-xy2is Před měsícem

    Et Arusha nikubwa kuliko Tanzania 🤣🤣🤣

  • @BilleKalu
    @BilleKalu Před měsícem

    Mh

  • @JamalDaudlulyeho
    @JamalDaudlulyeho Před měsícem

    Kamzozo ni kamkutano

  • @annamnanka-qk1bx
    @annamnanka-qk1bx Před měsícem

    Iyache ikae chuga kama ujuwi tulia

  • @swaiseif2989
    @swaiseif2989 Před měsícem

    Flat cup😂😂😂😂😂dah

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz Před měsícem

    Amedafat Ar ucpime,hao wdd,baba,c kawaida,

  • @perfectpixelsstudio3603
    @perfectpixelsstudio3603 Před měsícem

    Arusha ni kubwa kuliko Tanzania 😅😅😅😅😅😅😅

  • @BilleKalu
    @BilleKalu Před měsícem +1

    Uchafu mtupu

  • @mshua337
    @mshua337 Před měsícem

    Huu mkoa unateketea kipumbavu kabisa

  • @HussainMaula-wr5co
    @HussainMaula-wr5co Před měsícem

    Ukisikia kamzozo kamkutano hapo aliingiwa mtu mifukoni.

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Před měsícem

    Useless kabisaa..,nonsense

  • @peterjustin1237
    @peterjustin1237 Před 27 dny

    Kamzozo kamkutano😂 hiyo ndio kaskazini

  • @user-ce8uu9jy2e
    @user-ce8uu9jy2e Před měsícem

    Kijiti cha arusha kinawachanganya hao

  • @tanzmaica
    @tanzmaica Před měsícem

    msela anakichoma atari