Mm naona hawa viongozi wa wilaya wanakula bata tu hkuna huduma kwa wananch lait wangekua makin wangefanya mikutano na kusikiliza kelo na kuzipleka kwa viongozi wakubwa zingetekelezeka na c mpka viongoz wakubwa waje ndo watu wakusanyane kutoa matatzo yao
Sasa jamani mmejionea jinsi wananchi walivyo na matatizo lukuki.Wabunge wapo,wakuu wa Wilaya wapo,Madiwani,na hata seikali za mtaa.hao wote wanahitajika wawepo kwenye nafasi zao????
Siyasa tu zote hizo Kwa Nini usijuulize Kila unakokwenda unapokelewa nakero chungumbovu.maanayake ccm inafanya kaz mpaka kwenye ziara ya viongozi.maliza ziara uone nondo wananchi watayobakianayoi
Yaani Tz kuna mambo ya ajabu saana NIMECHIMBA KISIMA KAKONKO, KIJIJI CHA NABIBUYE KINANYWESHA VIJIJINI 5, MAJI SAFI NA SALAMA KISIMA KIPO FULL KWA MILIONI 45 TU, NA HAIKUCHUKUA HATA WIKI MBILI DUUH MNATESA WANAWAKE NA WATOTO WATENDAJI MMEOZA.
Ungeakikisha namba wanakua miyayusho mingi Awa watumishi mazishi 😂😂😂
Izi ni fedheha mpk mkubwa ampgie magoti mdogo na bado mataabika sana😂😂😂😂 mpk kutetemeka jaman mmh
Eti mheshimiwa magufuli mdg mkutano wa madeni oyeeeeeeee😂😂😂🎉❤
kibondo iwachu mweee, ndabatasha hongereni Kwa kutembelewa😊😊😊 huyo afisa maji mbona hatoi majibu sahiii, anatangatanga
Hawa viongoz wana upofu gan
Huyu diwani mjinga kabisa,kashindwa kutumia fulsa
Yan mm ndio man nakupenda makonda umenyook huna mbambamba
Mm naona hawa viongozi wa wilaya wanakula bata tu hkuna huduma kwa wananch lait wangekua makin wangefanya mikutano na kusikiliza kelo na kuzipleka kwa viongozi wakubwa zingetekelezeka na c mpka viongoz wakubwa waje ndo watu wakusanyane kutoa matatzo yao
Dah,,,vitu vingine Vinatieri huruma make hata sielewi anatia huruma dah,,,yaan adi kujielezea ameshindwa kabsa jamani watu wamesoma ila pesa hizi
TONGE RINAMTOKA MDOMONI HUYU AKILI ANA KABISA PESA KAPOKEA SELEKALINI KASHATUMIA ANABABAIKA TU😂😂😂😂😂😂
Makonda tunaomba no Yako ya simu maana na ssi tunasumbuliwa na office za Nssf wanatutesa sana namafao yetu asa Nssf ya makumbusho.
Nakushulu.makonda.kwamoyo.uliyonawo.mungu.akubaliki
Sasa jamani mmejionea jinsi wananchi walivyo na matatizo lukuki.Wabunge wapo,wakuu wa Wilaya wapo,Madiwani,na hata seikali za mtaa.hao wote wanahitajika wawepo kwenye nafasi zao????
Siyasa tu zote hizo Kwa Nini usijuulize Kila unakokwenda unapokelewa nakero chungumbovu.maanayake ccm inafanya kaz mpaka kwenye ziara ya viongozi.maliza ziara uone nondo wananchi watayobakianayoi
Makonda unajua you can a president 2030
Mungu akurinde mheshimiwa uendelee kuwasaidia wanyonge.
Wa tz mkiaja huyu Jamaa makonda, amuta bata mkombozi Kaa huyu, After Samia , Makonda Anatosha, Mimi ni mkenya lakini Ilike this Man Makonda
Makonda seba akulinde nkujiwa tulihalumo
😂😂😂 makonda hapo huna mtu yeye nikwa maana haongei yakaeleweka sijui uwoga
Ww unafaa kuwa rais
Kifura hatuna majikihela A na B na kibambo
Makonda njoo hata vijijin
naikwa mkude 😀😀😀
Yan porojo yanakuja yanakuja
Yaani Tz kuna mambo ya ajabu saana NIMECHIMBA KISIMA KAKONKO, KIJIJI CHA NABIBUYE KINANYWESHA VIJIJINI 5, MAJI SAFI NA SALAMA KISIMA KIPO FULL KWA MILIONI 45 TU, NA HAIKUCHUKUA HATA WIKI MBILI DUUH MNATESA WANAWAKE NA WATOTO WATENDAJI MMEOZA.
Najat haina haja kujisifu ndugu yangu tufanye kheir zetu tutazikuta kwa allah
😂😂،،
Si kweli kwamba chama kinawajali watu
Je ni kweli Makonda anafanya kazi zaidi ya Wabunge na Mawaziri ?
kibondo iwachu mweee, ndabatasha hongereni Kwa kutembelewa