"AFSA MAZINGIRA NJOO UTUPE MILIONI 10 ZETU TUNAMALIZANA HAPA HAPA WAPIGIYE SIMU SASA HIVI WAJE "

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 02. 2024
  • #AdilTV

Komentáře • 32

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 Před 5 měsíci +3

    Ungeakikisha namba wanakua miyayusho mingi Awa watumishi mazishi 😂😂😂

    • @melanialeonard4031
      @melanialeonard4031 Před 5 měsíci

      Izi ni fedheha mpk mkubwa ampgie magoti mdogo na bado mataabika sana😂😂😂😂 mpk kutetemeka jaman mmh

  • @Zubaiba
    @Zubaiba Před 5 měsíci

    Eti mheshimiwa magufuli mdg mkutano wa madeni oyeeeeeeee😂😂😂🎉❤

  • @nyabwinyorobert214
    @nyabwinyorobert214 Před 5 měsíci

    kibondo iwachu mweee, ndabatasha hongereni Kwa kutembelewa😊😊😊 huyo afisa maji mbona hatoi majibu sahiii, anatangatanga

  • @mwanagwakyala3213
    @mwanagwakyala3213 Před 5 měsíci +1

    Hawa viongoz wana upofu gan

  • @alexsimon5576
    @alexsimon5576 Před 5 měsíci +2

    Huyu diwani mjinga kabisa,kashindwa kutumia fulsa

  • @johaali9959
    @johaali9959 Před 5 měsíci

    Yan mm ndio man nakupenda makonda umenyook huna mbambamba

  • @MichaelJohnsonJimmyJimmy-ur8ze

    Mm naona hawa viongozi wa wilaya wanakula bata tu hkuna huduma kwa wananch lait wangekua makin wangefanya mikutano na kusikiliza kelo na kuzipleka kwa viongozi wakubwa zingetekelezeka na c mpka viongoz wakubwa waje ndo watu wakusanyane kutoa matatzo yao

  • @user-uc8ei8kn3l
    @user-uc8ei8kn3l Před 5 měsíci

    Dah,,,vitu vingine Vinatieri huruma make hata sielewi anatia huruma dah,,,yaan adi kujielezea ameshindwa kabsa jamani watu wamesoma ila pesa hizi

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 Před 5 měsíci +1

    TONGE RINAMTOKA MDOMONI HUYU AKILI ANA KABISA PESA KAPOKEA SELEKALINI KASHATUMIA ANABABAIKA TU😂😂😂😂😂😂

  • @jeremiahmbena4644
    @jeremiahmbena4644 Před 5 měsíci

    Makonda tunaomba no Yako ya simu maana na ssi tunasumbuliwa na office za Nssf wanatutesa sana namafao yetu asa Nssf ya makumbusho.

  • @user-ix6uq6bz8k
    @user-ix6uq6bz8k Před 5 měsíci

    Nakushulu.makonda.kwamoyo.uliyonawo.mungu.akubaliki

  • @honoratamafala6968
    @honoratamafala6968 Před 5 měsíci

    Sasa jamani mmejionea jinsi wananchi walivyo na matatizo lukuki.Wabunge wapo,wakuu wa Wilaya wapo,Madiwani,na hata seikali za mtaa.hao wote wanahitajika wawepo kwenye nafasi zao????

  • @abihudikihemba5891
    @abihudikihemba5891 Před 5 měsíci

    Siyasa tu zote hizo Kwa Nini usijuulize Kila unakokwenda unapokelewa nakero chungumbovu.maanayake ccm inafanya kaz mpaka kwenye ziara ya viongozi.maliza ziara uone nondo wananchi watayobakianayoi

  • @deokessy6596
    @deokessy6596 Před 5 měsíci

    Makonda unajua you can a president 2030

  • @user-kl8jy1ij2i
    @user-kl8jy1ij2i Před 5 měsíci

    Mungu akurinde mheshimiwa uendelee kuwasaidia wanyonge.

  • @geoffreynyabigo7565
    @geoffreynyabigo7565 Před 5 měsíci +1

    Wa tz mkiaja huyu Jamaa makonda, amuta bata mkombozi Kaa huyu, After Samia , Makonda Anatosha, Mimi ni mkenya lakini Ilike this Man Makonda

  • @ngoshandeko9873
    @ngoshandeko9873 Před 5 měsíci

    Makonda seba akulinde nkujiwa tulihalumo

  • @user-xd9ye7wk6c
    @user-xd9ye7wk6c Před 5 měsíci

    😂😂😂 makonda hapo huna mtu yeye nikwa maana haongei yakaeleweka sijui uwoga

  • @georgeandasa5444
    @georgeandasa5444 Před měsícem

    Ww unafaa kuwa rais

  • @RoseKimishabhalemi-oz9bn
    @RoseKimishabhalemi-oz9bn Před 5 měsíci

    Kifura hatuna majikihela A na B na kibambo

  • @frankkitosi732
    @frankkitosi732 Před 5 měsíci

    Makonda njoo hata vijijin

  • @bongo1998
    @bongo1998 Před 5 měsíci +2

    naikwa mkude 😀😀😀

  • @MichaelJohnsonJimmyJimmy-ur8ze

    Yan porojo yanakuja yanakuja

  • @najatsaid2326
    @najatsaid2326 Před 5 měsíci

    Yaani Tz kuna mambo ya ajabu saana NIMECHIMBA KISIMA KAKONKO, KIJIJI CHA NABIBUYE KINANYWESHA VIJIJINI 5, MAJI SAFI NA SALAMA KISIMA KIPO FULL KWA MILIONI 45 TU, NA HAIKUCHUKUA HATA WIKI MBILI DUUH MNATESA WANAWAKE NA WATOTO WATENDAJI MMEOZA.

    • @shamzone388
      @shamzone388 Před 5 měsíci

      Najat haina haja kujisifu ndugu yangu tufanye kheir zetu tutazikuta kwa allah

  • @user-mr5yf1hp7t
    @user-mr5yf1hp7t Před 5 měsíci

    😂😂،،

  • @EliaHiluka-ep3tp
    @EliaHiluka-ep3tp Před 5 měsíci

    Si kweli kwamba chama kinawajali watu

    • @abdallahnkrumah6237
      @abdallahnkrumah6237 Před 5 měsíci

      Je ni kweli Makonda anafanya kazi zaidi ya Wabunge na Mawaziri ?

    • @nyabwinyorobert214
      @nyabwinyorobert214 Před 5 měsíci

      kibondo iwachu mweee, ndabatasha hongereni Kwa kutembelewa